Maulid mpema aka mau mpembaa nakufuatilia sehem nyingii baba yangu lkn kwenye fumbuwa macho unanifundishaa na kunifurahisha Allah akuzidishie baba au kaka
Kwann w'ke mnaumia sana tukiwaolea mke wa pili, cc tunaoa kwa mashaka yenu, ata kama mtu hataki aoe bc kwa vitimbi vyenu mtu anaoa tu, emu msiwe na mashaka muone kama tutaoa mke wa pili maisha haya
Maulid mpema aka mau mpembaa nakufuatilia sehem nyingii baba yangu lkn kwenye fumbuwa macho unanifundishaa na kunifurahisha Allah akuzidishie baba au kaka
Naomba kibendera upo juuuuuu
kazi nzr sana hongeren sana wasaniii wetu
Safi sana nakubali kazi
Dongo dongo dongo.chaguwa ubavu unao laliyaa.hahahaaa😅uko juuu dongo
Woow!! Nice iyo kweli dawa yao, na uko ndani unatakiwa umpige hasa zaidi apigike vizuuri 😊
Jmn da Hasnat tulikumiss sanaaa😍❤
Ile flm uungwana mbn vp jmn da hasnat
Hongera mau kwa usharibmzur😂😂❤
Kwann w'ke mnaumia sana tukiwaolea mke wa pili, cc tunaoa kwa mashaka yenu, ata kama mtu hataki aoe bc kwa vitimbi vyenu mtu anaoa tu, emu msiwe na mashaka muone kama tutaoa mke wa pili maisha haya
Asalam alaikum afadhali leo wa mwanzo
Hongera kwakuwahi nakesho jitahidi
Naomba umezidi kwa umbeya aaaaa ukiaamka chai ni umbeya tuu na mke wa maguo yumo kazini. Maana umbeya wataka nafasi mungu awabariki washiriki nyote
Sku hizi mnachelew kutuekea lakin kaz nzur
Haha nimependa mwisho chezea mke mwenza mau kiboko
Kikanzu hhujui kama ni dira au ni kijora😮😮
Wa pili Leo mm
Wamwisho
TAWIRE NA TAWIRE IKUTAWIRE😅😅
Ila nawakubali sana mko kiuhalisiya ktk maisha ya kizanzibar hususan kipemba
kazi njema sana 🎉🎉
Naomba anajuwa sana
Hatupoi
much love
😂😂😂 Safi Sana 🎉🎉
Eeee fundi wee wazidi chafukwa
Mbavu zangu ilaa mau ni mtuu ❤❤❤ maan si kwa ushaur uwo jamaniii wajuwaa kwamba wanawake ukimwambiya mke 2 ni kosaaa😅😅😅😅😅😅😅😅
Kumekuchaaaa
Well doun wenzetu wapemba
Ety dawa yetu mke mwenza hahhaha😂😂😂
Pemba kuna wanawake wazuri bwana 😊
Katafute uowe
Na wana maneno mengi
Serious❤
Tunkwenda ude kwa ude..🎉🎉🎉
Duuh naomba shkamoo cjapata hata ukengele😂😂😂😂
😂😂
Pemba moja ioo swapingi
Kombo kichwa ni mumeee😂
😂😂😂
chezea nyumba ndogo, bora apigwe 😂🤣😃😄😆
Fisadi wamotoni 😂😂😂😂😂 Kumbe yupo
fisadi weye😂😂😂😂
Naomba haki 🔥
Hahahaha 😂😂😂🤣 mau wahera watafutwa ukauze ufuta
**Ela mumewe kankiona kile kidera, umetisha sana hongera**
Wa kwanza 😊😊
Hatari lakin dalama
Naomba punguza uongo khaa🤣🤣🤣
Ila dongo unajua sana aisee eti chagua ubavu unaolalia mmoja nataka uvunja
Mchezo uko vzr
😂😂😂😂😂 et bichwa nalifanya mto
😂😂😂😂😂😂😂😂daa hatari
Naomba nzuri
Kazi nzuri sana
Kombo kichwa aonewa...et nzinga ule kutafta kuja kukutipukia😢😢
😂😂😂😂😂😂😂
Ma Shaa allaha
Mie wa 7
Hao wahusika wapya wanatakiwa wanolewe Hadi waive maana naona wasani niwachache sana
Nina nyumba 3 dar es salaam pia Nina gari 5 Nina biashara natoa cm Dubai naleta Tanzania na Kenya namtaka shuuu nimuoee
Gia tu hizo hhhhhh
@@ashakhamis9093 kwer sio uongo
Kwaza Pemba yetu hupewi mke kwa sifa ya mali utapata kwa dini na madili
@@OmanOman-ky2oo dini ninayo sihaba
Ama nshapitwaa
Ilike this voice😂
😂😂😂mau
Kwani NAOMBA NA MAU KIUHALISIA NINDUGU? MANA WAMFANANA MIMACHO😂😂
❤❤❤🎉🎉🎉
Nzinga ule kujakutafuta kukurupukia
😊😊😊😊😊😊😊
Mashallah
Izo nguo mbadilishe au ndo matirio
Dongo and wife 😂😂😂😂😂😂😂 wife iko na job ya umbea😅😅😅😅😅😅
Tumemiss kitatange
Njooni pemba ,pemba kutam
An darahamani wapemba saluti
mm napenda location tu
Hhhhhhhhh dongo ajapigana vita vya majimaji
Et kombo kichwa ni mumee au wataka kuripukiwa
Mbona hatuoni viatu vipya bwana mau unakwama wp yakhee
😂😂🤣🤣🤣🤣😂
👍
😂😂😂😂🎉🎉🎉
Hahhahaha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Hahahaaa
fisadi weye😂😂😂😂
👍
😂😂😂😂😂