Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Mwinyi Mpeku / Dongo _ WAHUNI SI WATU WAZURI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 чер 2020
  • Plz Subscribe,Like,Share,Comment ili uwe wa kwanza kupata Video zetu Ahsante.

КОМЕНТАРІ • 174

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 роки тому +2

    Haahaa dingo umemach sana utauwa bonge yutaban jitahada yako utafikambli inshaallah

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 4 роки тому +5

    Safi bi kidecha, sasa anataka nije nitowe mahari mzee mwinyi

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 Рік тому

    Dah sjawahi kucheka xn Kama leo

  • @sherrybuda9248
    @sherrybuda9248 3 роки тому +6

    Big up wapemba wenzangu Allah atuzidishie vipaji

  • @ayshaalsahafi5714
    @ayshaalsahafi5714 3 роки тому +2

    Waizi wakeshwe
    Haha Dongo atafutiwe mume aolewe

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 роки тому +3

    Mashallahu raha sana mungu awabarki m

  • @salumft661
    @salumft661 4 роки тому +36

    kweli wahuni si watu wazuri hahaha.. nikumbukwe kwenye like😂😂

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 4 роки тому +6

    Clips zenu ni nzuri na hongereni kwa hilo....
    napenda nitoe mapendekezo yafuatayo...
    a) kuepo na mwendelezo wa clips hixi kila wiki...(alhamisi)
    b) mwisho wa clip wasanii wenu waweze kuhamasisha watu juu ya ku--share, comment, subscribe and like...
    c) mujaribu kutengeneza movies mbali mabli ambazo zitawavutia wanajamii kwa kuzingatia maadili ya kizanzibar.....

  • @user-ih5tg8yp2i
    @user-ih5tg8yp2i 10 місяців тому

    Pemba oyeeee

  • @rasadsaid1818
    @rasadsaid1818 4 роки тому +3

    Assalam alykum!! Lazima tubadilike na Aina hizi za Usanii wa Kumshirikisha ALLAH na kuwapa wanajamii mawazo ya kuwa Washirikina ni watu wenye Nguvu na kuogopewa....haya ni makosa makubwa na mabaya kuliko hili jina la mchezo!!..... Washirikina ni Wabaya!!!!

  • @user-ih5tg8yp2i
    @user-ih5tg8yp2i 10 місяців тому

    Wahuni si watu wazurii hahaha

  • @ysherahmad652
    @ysherahmad652 4 роки тому +4

    Hhhhhh nmecheka kwa nguvu😃😃Pemba moja

  • @khalidali1130
    @khalidali1130 3 роки тому +1

    Dah nmecheka mpaka bc wallah mung akzdishien vpaj vyenu msikate tamaa

  • @fatmakhamis7876
    @fatmakhamis7876 4 роки тому +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wapemba mnaniuwa mbavu jamaniii wahuni si watu wazuri

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c 4 роки тому +4

    Jamoon bonge hana bahat safar hii

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 роки тому +5

    Mukovzur hongeren mungu awazmamiye nawapenda sana

  • @salummkubwa
    @salummkubwa 4 роки тому +9

    Dongo subiri muume tu sasa uolewe😂😂😂
    Jufe muko juu 👍

  • @ahmedsule1520
    @ahmedsule1520 4 роки тому +5

    Tizamaaaa hiyo sauti nyembamba km dadeyee

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 роки тому +2

    Wahuni siwatu wazuri jamani sauti mbamba kama dadee bikundecha noma kwakumtia mtu adabu mbavu zangumieee big job shukran jufe

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 4 роки тому +1

    Moja ktk utovu wa nidhamu, tuwaheshimu mama wa wenzetu, imeniuma sn, lkn mtaka la makusudi haambiwi pole, lkn tunaifunza vp jamii, je uyo bikidecha hana watoto, Innalillahi waInna ilayhi Rajiun

    • @shafiikhamis2336
      @shafiikhamis2336 4 роки тому

      kuna umuhimu wa kuweza kutofautisha kati ya 'IGIZO' na uhalisia wa nje ya igizo

  • @mwanizejuma5383
    @mwanizejuma5383 2 роки тому +1

    😂😂😂🤣😂🤣,,ama kweli wahuni siwatu wazuri

  • @profesaahmada7711
    @profesaahmada7711 3 роки тому +1

    wizi sio ishu mjifuxe vijana

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 4 роки тому +4

    Nimeipenda sana flm hiii

  • @ibrahiym_khan7984
    @ibrahiym_khan7984 4 роки тому +2

    nimechekaaaa mjuuueeee😁😁😁

  • @a.856
    @a.856 4 роки тому +9

    Mie aje aniavye maziwa😅😅😅

  • @omarsheha2840
    @omarsheha2840 4 роки тому +1

    Kazi safi sana tunafurahi sie tulioko nje ya pemba inshallah

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi9262 4 роки тому +2

    Bora nikubebe nikuzungushe kujiji kizima 😁😁😁

  • @fadhilisheckimweri2512
    @fadhilisheckimweri2512 4 роки тому +1

    Kakupa sauti ntu nke,wataka na mm anilavye maziwa,sauti kama dadeye

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому +2

    Hahahaha hahahaha mbavu zangu mm toba roho yangu mie uuuwiii mdomo koma dongo

  • @huseynally1531
    @huseynally1531 4 роки тому +4

    Dah nimecheka sana😂😂😂

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 роки тому

    Bonge umeuwa 😆 😆 😆 hizo pushap noma sana

  • @a.856
    @a.856 4 роки тому +5

    Hahah subiri mume dongo...😅

  • @mussaidrissa1385
    @mussaidrissa1385 3 роки тому +2

    Bi kidecha kashafanya mambo yake🙃😆😆😆😆😆

  • @aliyulukiza8857
    @aliyulukiza8857 2 роки тому

    Hahahahahahaa nimecheka sana eti utakaa hivo mpaka aje mume😀😀😀😀

  • @salumseif1005
    @salumseif1005 4 роки тому +2

    Dongo mzee mwinyi muko vizuri

  • @Oman-tt1hn
    @Oman-tt1hn 4 роки тому +5

    Kidecha kidecha hebu toka uko njeee hahaha daa Jufe muko vizuri sana

  • @sampart2669
    @sampart2669 4 роки тому +2

    Wallahi nimecheka kwa sautii kubwaaa #big up dongo

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 4 роки тому +3

    😂😂😂😂🤣🤣🤣 dongo mara hii umeingia pabaya

  • @macheteboy9024
    @macheteboy9024 4 роки тому +2

    Big up dinho bikindecha sio m2 mzuri

  • @saidali4371
    @saidali4371 4 роки тому +3

    Watu wasijesema nabaka mwanangwa

  • @mohammedally9236
    @mohammedally9236 Рік тому

    Safi sana sanaa inazidi kuimarika Pemba

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 роки тому +5

    Wow 2👍😃

  • @ahmedimikidadi2179
    @ahmedimikidadi2179 4 роки тому

    Kusema ukwel wanajuwa sana tena sana tuuuu na mm tupo pamoja

  • @sabrinaharoub6934
    @sabrinaharoub6934 4 роки тому +2

    Hhhhh mchez mzur mpo juu jufe

  • @ibrajufe6505
    @ibrajufe6505 4 роки тому +7

    Wakwanza

  • @saidfarid7545
    @saidfarid7545 4 роки тому +2

    Nitakuw njaa wa aanui😄

  • @saidrashid8342
    @saidrashid8342 4 роки тому +5

    Wahuni si watu wazuri
    Lakini hatujajua kama dongo kabadilika sauti tu au kuna na chengine. Hahahaha

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 роки тому +1

    Mzee mwinyi hi

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 4 роки тому +2

    Hahahaha nimecheka mpaka dongo angojee mume aolew

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 10 місяців тому

    ALLAH akupe rehma zake mama yetu

  • @ibrahimibrahimjuma1043
    @ibrahimibrahimjuma1043 4 роки тому +1

    😝😝😝 dongo ume uwa iyo akcheni

  • @saidmohd5090
    @saidmohd5090 4 роки тому +3

    Sauti ya mwanamke mumechemsha sauti ipo chumbani imeharubu

  • @abdulwahidmsellem1998
    @abdulwahidmsellem1998 4 роки тому +3

    🤣😂😁kweli cwa2 wazuri

  • @aliiyvuai116
    @aliiyvuai116 4 роки тому +2

    Kiswabi mbon hayumo dongo

  • @zulfahhussein505
    @zulfahhussein505 4 роки тому +1

    Wahuni si watu wazuri🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu mieeee

  • @BimuJuma
    @BimuJuma 2 місяці тому

    Kaswida kadiria

  • @mpembampemba6982
    @mpembampemba6982 3 роки тому

    Muhuni harogeki
    Vibwengo wenyewe wanaogopa hizi stymu
    WAHUNI SIO WATU WAZURI

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi9262 4 роки тому +7

    Like z wapemba eka hapa👎

  • @khalidhamadi9917
    @khalidhamadi9917 4 роки тому +3

    Nzuri

  • @fabbykhan255
    @fabbykhan255 4 роки тому +3

    Wahuni si wat wazr

  • @ghaniaghalib1136
    @ghaniaghalib1136 Рік тому

    Hahaha 😂😂 habari ya kujatiwa mdom wa kuku

  • @britishadam1896
    @britishadam1896 3 роки тому

    Nyie mko vizur kwely

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 роки тому

    Hahaaaaa nnatumwa ni mama kitunguu na bizari

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 роки тому

    Jaman kitatange yupo wapi

  • @abuubakaraliy5096
    @abuubakaraliy5096 3 роки тому

    Mumetisha baba God kazazeni but I tutafika tu

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 4 роки тому +1

    Balaa belua

    • @abulqadirellajmy431
      @abulqadirellajmy431 4 роки тому

      Aasalala?ww kankufanya sauti ya kike mie wataka aje aniavye Maziwa!?

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 4 роки тому +1

    Hatariii iii

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 роки тому +2

    Kiswabi yupo wapi jaman

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi9262 4 роки тому +3

    Bi kidecha wataka mfata bi mwenda ss🤔

  • @aminihamisi4435
    @aminihamisi4435 4 роки тому +3

    Akwita bi kidecha ukamkunie nazi

  • @othmanally7552
    @othmanally7552 4 роки тому +4

    wahun siwatu wazuri

  • @allyothman5677
    @allyothman5677 4 роки тому +1

    Hhhhhhhh!! Duh! Hongereni sana

  • @mussakhamis2377
    @mussakhamis2377 2 роки тому

    Bi kidecha ogopa sn wahuni si watu wazur

  • @habibahabiba7556
    @habibahabiba7556 4 роки тому +1

    Tusiogope wahun tuogope watu wazim

  • @mohdhussein9721
    @mohdhussein9721 4 роки тому +2

    Maskini Puto amekipata pata mara hii😂😂😂😂ila big up Mr big raisi wangu nafurah kukuona jufe😎😎

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 3 роки тому

    Kitungu na bizari. Naumwa mama. Hahahaa🤣🤣🤣

  • @jumafaki1697
    @jumafaki1697 4 роки тому +15

    😂😂😂😂 Nnatumwa kitunguu na bizari mmamaa

  • @a.856
    @a.856 4 роки тому +3

    😅😅😅asanteni

  • @ramlamohammed1661
    @ramlamohammed1661 3 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂 bi kidecha

  • @mrbcomedy6052
    @mrbcomedy6052 4 роки тому +2

    Wahuni si watu wazur

  • @dullabritish3277
    @dullabritish3277 4 роки тому +9

    Bi Kidecha hataki mchezo 😂😂😂

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi9262 4 роки тому +1

    Wambita ngwere manywele🤣🤣🤣

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 4 роки тому

    Kali sanaa 😄

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 4 роки тому

    Kichwa cha habar ni cha kuiga ila maudhui nzur

  • @sulaimanead8060
    @sulaimanead8060 4 роки тому +1

    Kashamfuata mpaka babayo

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi9262 4 роки тому +2

    Nimecheka ati hii simu pesa zi huku🤣🤣

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 24 дні тому

    ❤❤🎉🎉😂

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu mm wewee ilaa kisauti kitam kweli

  • @allyhaji1932
    @allyhaji1932 4 роки тому +1

    Nice ila muwavivu wa kufany kaz wajuba

  • @shehabakarmbarouk5493
    @shehabakarmbarouk5493 4 роки тому +3

    🤣🤣🤣☝️mpk aje mume.....

  • @muhammedsalim8077
    @muhammedsalim8077 4 роки тому

    Baalaa beluwaa

  • @ishqmeinmarjawan1048
    @ishqmeinmarjawan1048 3 роки тому

    Yan kajua kupewa adhabu nishida hahaha

  • @mudy4604
    @mudy4604 4 роки тому +2

    Kiswabi yukowap mbon hatumuoni

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 Рік тому

    DONGO👍💯

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 роки тому

    Hahahaha hahahaha hahahaha

  • @salehhamadi6070
    @salehhamadi6070 4 роки тому

    Bi kidecha bi kidecha bi kidecha

  • @husnaali8840
    @husnaali8840 4 роки тому +1

    dongo💪

  • @khamikhan6634
    @khamikhan6634 4 роки тому

    bi kidecha weye kankupa sauti ya ntuh nke mie wataka aniavye maziwa

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 роки тому

    Saut embamba kama dadeee

  • @naimat56
    @naimat56 2 роки тому

    😆😆😆😆😆😅😅😅😅😅🤣😅😅😅🤣🤣jmn jmn jmn