Kachara haibiwi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Tafadhali usiache kushare na kusubscribe ili uwe wa kwanza kupata video zangu mpya

КОМЕНТАРІ • 118

  • @kassimfundi8690
    @kassimfundi8690 4 роки тому +5

    Pemba iko juu kw vipaji kachara lete mafunz kw ajili ya allah

  • @ngendakumanasimeon92
    @ngendakumanasimeon92 4 роки тому +2

    Vzr sana nilikuwa nimekumbuka sana lugha tamu kiswahili mozambique hapa

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 роки тому +5

    Mashaallah kachara mungu akuongezee ujuzi na kheri wafunze vijana hao wanaotafuta vyarahisi vijana chapeni kazi mupate riksi zenu musiuwe wezenu umuri shukra kachara bin mambo funika lakini usiyafunike yafunue tuyaone kama hayo big job

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 2 роки тому

    Hongera sana kaka Salim Abdalla kutoka Tanga tunasema Kachara haibiwi.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 роки тому

    Mzr sana na inamafunzo sana mungu akubariki sana mzee kachara😁😁😁😁😁😘

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 4 роки тому +1

    kAchara nakukubali mie yuleee DR mabio,kutok mexico apa sasa

  • @suleimanhamad839
    @suleimanhamad839 4 роки тому

    Nakukubali Amii endeleza vipaji👍👍👍👍

  • @estamaiko4776
    @estamaiko4776 3 роки тому

    Napenda Sana Kazi za Hawa watu

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 4 роки тому +1

    😃😃Kachara sio kwa masizi hayo na vifuu hivyooo 😃😃😃😃

  • @abdulbastadam7985
    @abdulbastadam7985 4 роки тому

    Hhhhhha big up ila iwe ni funzo kwa kufuat mazuri tuu na mabaya kuyaacha

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 роки тому

    Hahahahaha iyo ndokiboko ya washenz nimeipenda sana

  • @sulaimanead8060
    @sulaimanead8060 4 роки тому

    Nguvungwa . duh kachara na kiswahili cha zamani

  • @aishanatamaniningekuepoktk5062
    @aishanatamaniningekuepoktk5062 4 роки тому +7

    Mwizi avuna km shamba lake😁😁

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 4 роки тому +1

    Methali amazing

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 4 роки тому

    Nataka unizike leo kesho nikija nikifa uje uondee uvundo
    Sema
    #najivunia kuwa mzanzibar weweeeeee

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 роки тому

    Haibipo tena kwa kilichonkuta.

  • @PEMBANKWETU7
    @PEMBANKWETU7 4 роки тому +1

    Good job Salim abdallah seif

  • @hemedabdalla2189
    @hemedabdalla2189 4 роки тому

    Kachara bora mwizi wenge mgandisha polo la kichwa

  • @a.856
    @a.856 4 роки тому +1

    Masheli mazuri 😀

  • @Alikidu
    @Alikidu 4 роки тому +1

    Nice location

  • @yussraseef4039
    @yussraseef4039 4 роки тому +1

    Bismillahi mashaallah, good job

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd
    @AbdullaAbdulla-pw5nd 4 роки тому

    Asante kachara kazi nzuri

    • @ashamohd61
      @ashamohd61 4 роки тому

      Asanten vyote nimeipenda filam

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому +1

    Heee huyu si mwizi ni hasidi anavuna kama shamba lake

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 роки тому

    Hiyo ya kupigiwa vifuu nnaipenda kake.

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 роки тому +1

    Daah wizi mbaya aibu 😂👍

  • @abuujureyjkhaniy.5520
    @abuujureyjkhaniy.5520 4 роки тому +1

    Yaakhee kacharaa hana elfu hamsini asingeiba mahindi machangaa mhaamehee 😄😄😄😄😄

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 4 роки тому

    Usaniii kazi jamani sio mchezo

  • @SamiraameirSamira-qt9yn
    @SamiraameirSamira-qt9yn 7 місяців тому

    Ukiona kambeba polo 😂😂😂

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 4 роки тому +11

    The best performance and imagination on the film production for the need of the audience. Big up brother. I am Handhal watching your channel from Konde.

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs Місяць тому

    ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 роки тому +1

    Kureshi

  • @bakarhamadbakar-ue1rh
    @bakarhamadbakar-ue1rh Рік тому

    'M PROUD FOR MY PEMBANIAN

  • @mudy4604
    @mudy4604 4 роки тому +2

    Ukiona kanbeba polooo9

  • @mjombavuma679
    @mjombavuma679 2 роки тому

    👍safi

  • @zully756
    @zully756 3 роки тому

    Beauty of swahili so sweet

  • @mrmagambomagambo1761
    @mrmagambomagambo1761 4 роки тому +1

    😂😂😂 hunaushahidi

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 4 роки тому +1

    unaweza kacha

    • @sharowoter1441
      @sharowoter1441 4 роки тому

      Kazi mzuri sana Masha Allah tena ni yenyekufundisha na kuelimisha vilivyo .

  • @habibyusuf1755
    @habibyusuf1755 4 роки тому

    Hahaaa nom sna

  • @suleimanmuhammad8766
    @suleimanmuhammad8766 3 роки тому

    Ukiona kambeba polo nyimbo mzur san

  • @mrmagambomagambo1761
    @mrmagambomagambo1761 4 роки тому +1

    mwinzi kumbe hajaiba kwa fujoo ananjaaa tuu😏

  • @aliykhamis2038
    @aliykhamis2038 3 роки тому

    Wabongo hawajui kuigiza kma hivi I love you Pemba

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому

    Hahahaha hahahaha mmenichekesha nyinyi

  • @saidmohd5090
    @saidmohd5090 4 роки тому

    Kachara huyu mzee anaweza kwasababu kwanza hatetemeki lapili haangaliyi kamera

  • @slumwaalid5274
    @slumwaalid5274 4 роки тому +1

    Mwana kuli find mwana kuli get

  • @yussufghalib9843
    @yussufghalib9843 4 роки тому +2

    Kacahara

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket Місяць тому

    Huku sikuiba avuna huyu km yake

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 роки тому

    Best ever my brother. Hongera sana.

  • @mzeevuai
    @mzeevuai 4 роки тому +8

    😀😀 script nzuri sana na imepigwa katika ubora mkubwa mim nimeona kosa moja tu pale shambani mda wa kuweka dawa haikua na haja ya kuonesha dawa zote 4 ili kufupisha urefu wa video usio wa lazima .ila hii stori nimecheka kweli

    • @shemsaally6051
      @shemsaally6051 4 роки тому +1

      Kibogaaaa

    • @jumasimba8862
      @jumasimba8862 4 роки тому +1

      Seif usemayo ni kweli..angeonyesha vijiti vinne, akazika kimoja na cha mwisho. Shots zake nzuri , bridges nzuri transition na continuity njema.

  • @thierryt7689
    @thierryt7689 4 роки тому +1

    Huyu aliyeiba mahindi alikukataza wewe kuiba futari..Leo kaja kuiba yeye😂

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 4 роки тому +1

    Mm nataka hayo masheli nichemshe

  • @mranzuann7950
    @mranzuann7950 3 роки тому

    kyefulee wee

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 роки тому +1

    😂😂😂😂😂mwizi kapatikana

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 4 роки тому

    Kachara waroqa shamba

  • @hafidhshebo8078
    @hafidhshebo8078 4 роки тому

    Ataka nitia ufu kara hahaha

  • @jumahassan5434
    @jumahassan5434 4 роки тому

    Wataka nitia hasara

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 роки тому

    hapa baada ya kukabidhiwa mwizi kwanza kachara angekwenda zake ndani akakaa mpaka wakaja watu wakamuombe radhi kwake baada ya kuteseka.lkn hapa mmebugi kidogo

  • @sleimanali2871
    @sleimanali2871 4 роки тому

    Mackini weee

  • @ahmedsalim5232
    @ahmedsalim5232 4 роки тому +2

    Haaaaa haaa aa ! Eti tia mkono hapo .
    Kunakuwa khali kama vifungo vya seruni . Aaaaah kongole wazee .

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 4 роки тому

    Ucje ukawa tumbili ukatiwa kamba ya nyonga badala ya kwenda mbele warudishwa nyuma.

  • @mdungially2342
    @mdungially2342 3 роки тому

    Jaman huyu kaonesha 3 au 4, maana huenda mm nnamatatixo ya uwono kwa mm nimeona 4lkn wao wanasema 3

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 роки тому

    Kake ama kweli huibiwi!

  • @jumahassan5434
    @jumahassan5434 4 роки тому

    Mbona mwizi anacheka

  • @vicentelias491
    @vicentelias491 3 роки тому

    Teyari tena ushanichomokea pale pale😂😂😂

  • @allymasoud4846
    @allymasoud4846 3 роки тому

    Ata wwe ulikuwa mzizi wafutar

  • @fatmayahya6272
    @fatmayahya6272 4 роки тому

    Wizkid

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 роки тому +3

    😂😂😂😂kachara wewe unaniuwa mbavu mie siku za kuishi nyingi ukweli kachara wewe kiboko

  • @hamadsuleiman3391
    @hamadsuleiman3391 3 роки тому

    Hii part ya mwizi ilikua awe kitatange

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 2 роки тому

    Kake wayaweza mwizi saizi yako huyo.

  • @yahyathabit979
    @yahyathabit979 4 роки тому

    Kachara kwa masinzi tena😂😂😂😂

  • @rashidbakari6436
    @rashidbakari6436 4 роки тому

    😂👍

  • @salummkubwa
    @salummkubwa 4 роки тому +3

    Kongole kwa Introsoft media kwa hii kazi iliyokamilika kiufundi, nilikua naangaza nani katengeneza hii filamu nimeoana mwisho jina.
    Kazi kwenu wizara ya habari, sanaa utamaduni na michezo kama mtakallia mikono ama kupongeza kazi kama hizi za kuelimisha jamii, inavyotakiwa kwa mwaka kufanyika event ya wasanii wa fialmu katika kumbi apatikane mwigizaji bora, script bora nk na vijizawadi alau wahisi basi thamani yao katika jamii.
    Wafanyabishara hizi ni fursa pia ku dhamini kazi kama hizi, ni faida katika kuitangaza biashara yako.
    Hii filamu kuanzia script, location, background soundtrack, video quality sijaona kosa, ila huyu mwizi ilikua gunia la mahindi limgande mgongoni hadi kwa Kachara😊
    Hongereni sana na tusapoti hizi kazi basi alau kwa ku share, like na subscribe tuone views hapo zikiwa ni nyingi mno.

    • @kacharabinmambofunika5956
      @kacharabinmambofunika5956 4 роки тому

      Inamaanisha nn hapo

    • @kacharabinmambofunika5956
      @kacharabinmambofunika5956 4 роки тому

      Oh sasa nimefaham nashkuru Sana kwa muongozo

    • @IntroSoftProductions
      @IntroSoftProductions 4 роки тому

      Shukran sana yakheee.. Tusaidieni kusambaza kazi zetu ili zifike kwa wahusika.

    • @salummkubwa
      @salummkubwa 4 роки тому

      Kwanza tukusalimu mzee wetu Kachara, ni fahari kubwa kuulizwa nawe, salaamalaykum.
      Lengo letu sisi ni kuona vipaji tulivyonavyo vinathaminiwa na tunajua iwapo vipaji tulivyonavyo vitathamiminiwa na kuwa promoted basi faida itapatikana kwa wasanii na nchi kwa ujumla.
      Kazi imefanyika kwa ubunifu na ufundi mkubwa, kwa wenzetu hizi ni kazi za thamani na wafanyabiashara huwa ni fursa pia kwao kujitangaza kupitia sanaa hizi za maigizo.
      Events za kila mwaka kutambua mchango wao hufanyika, na katika award events hizo pia huwa ni nafasi ya ku network , ama kupata mahusiano zaidi na mashirika, wafanya biashara na wadau waliomo katika sanaa.
      Tunaomba dua kazi zenu zithaminiwe nasi upande wetu tutajitajidi pale tutapoweza kuzitangaza na kusapoti kwa njia moja ama nyengine, hata kwa mawazo.

    • @lamjanesululu5945
      @lamjanesululu5945 4 роки тому

      Kwer

  • @rukiyarukiya8005
    @rukiyarukiya8005 3 роки тому

    😂😂😂😂😂😂😂🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 4 роки тому

    Kachara ile filamu bendi moja mbona haina part 2

  • @jumafarid816
    @jumafarid816 4 роки тому

    Kama lke shamba

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 4 роки тому

    Misemo atarii

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 4 роки тому +1

    tuleteeni muendelezo

  • @rukiyarukiya8005
    @rukiyarukiya8005 3 роки тому

    🤦‍♀️🤣🤣🤣😂😂😳😳😳🙆‍♀️

  • @zully756
    @zully756 3 роки тому

    Genius

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai833 4 роки тому

    Welewe baaa huyo

  • @bilubala3018
    @bilubala3018 4 роки тому

    Boire

  • @khadijahamadi9030
    @khadijahamadi9030 4 роки тому

    Huyu mwizi katisha .kwa polo?

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 4 роки тому

    🤣👍🏻

  • @lauraabass1077
    @lauraabass1077 4 роки тому +1

    Chezea watu wee

  • @al-hilalijuma8779
    @al-hilalijuma8779 4 роки тому

    Kamani tupeni mwendelezo wake

  • @mussaidrissa1385
    @mussaidrissa1385 3 роки тому

    🤣🤣🤣

  • @hamadkhamis6010
    @hamadkhamis6010 3 роки тому +1

    Ppp👍

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 роки тому

    Daah wizi mbaya aibu 😂👍