MSWAHILI:ANUSURIKA KUFA ,MOTONI /AIBA MSIKITINI MPAKA KANISANI/ACHANGISHA MCHANGO KWENYE DALADALA
Вставка
- Опубліковано 26 сер 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Usimdharau usimhukumu usie mjua...Hakika Allah humjua Mja wake Nafsini mwake, Bismillah...masha'Allah
Mashallah Elimu ya dini unayo allah akufanyie wepesi utubu kabla ya umauti na urejee kwake na Allah awe radhi na wewe ili uwanze kujitakasa kwa swala za toba, allah akupe mwisho mwema na atupe mwisho mwema na sisi tulobakia maana hatujui kesho yetu 😭 maana dunia duru
Kwakweli tujitahidi kuisoma dini na kuwasomesha watoto dini.
Maaashallaaaaa hakika alikufungua katika adhabu Kwa hiyo sura inanusuru mambo mengi Allah akuongoze katika njia ya haki na atupe mwisho mwema
Ll
Ameen inasikitisha sanaaaa wallah
Amin Thumma Amin
SUBHANALLAH...ALLAH AZIDI KUMUONGOZA NDUGU. NA HIO POMBE pia weka kando .
Allah akuongoze ktk njia inayompendeza uache na hyo pombe inauma mtu anaejua dini kwakweli ila kwa Allah hakuna kubwa
Ni Maisha tu...Allah atakufanyia wepesi Kibelero urudi km zamani,very smart handsome...kaka la nguvu
Mume huyo sasa
Such a touching story wallah
Allah hadha wajaallah akuongize uache kila kitu ufanye ibada jamani kijana mzuri MAA shaa Allah
Kazi nzuri Zembwela. Big Up 🙏
Swadakta brother this my first time to comment on any platforms,this is true my brother we want to see you in good path and you will get the success that you want,Also i am in that Journey with you guys we need to see him after some months thanks
Vzr saana
Mashallah naam amepata usaidiz na in sha Allah atakua sw
Marekani nakufatilia mnoooo....ahsante kaka Zembwela!
Kipindi kina mafunzo mengi aiseee.
Ahsante.
Samahani ndugu nitafutie kz uko
Sema Zembwela ni mtaalamu sana wa kuhoji na anaendana na saikolojia ya mtu mwenyewe
MASHAAALLAH na anajua vizuri kurana Allah amuongoze
Am watching from Kenya...Zembwela you are a great talent. Excellent work.
Yani kaka imeniuma jamani kumbe unadini yako umesoma daa Rudikwa Allah Allah kakupima Imani tulia uswari acha pombe jamani Allah atujaaliemwishomwema
Aisee mswahili Dr Sina cha kusema ila haya maisha bus tu pole Sana kaka #kibelelo haya ndio maisha nimejifunza mengi ila Mimi ningekua na kitu ningemtoa ila Sina namuna mwenye uwezo amtoe tafadhari jaman
Mashaalah allah akutangulie mpaka mwixho wa maixha yako
Kaka nakumbuka tulivyo kupa kipigo ww...aiseeee noma sana
Masha"Allah Allah amekunusuru
Allah amuongoze ila dunia imemchakaza simchezo kachakaa!!!
Allah amfanyie wepes pia akuongoze
Bro zembwela natamani nikutane na ww kweli we no chuma cha pua.. Mi nipo iringa kaka we ni icon..
Story naijua vizuri home boy magomeni kagera
Kakangu zembwela mimi nipo mombasa na nina mdogo wangu wa damu yeye ni zaidi ya kibe walahi kama utakuwa na muda nitafute nikueleze bro
Rete namba hatamm na media
Zembwela your the best
Wewe ni human resource kwenye jamii yetu kama t-shirt ulovaa tunakuthamini ndugu yetu Allah aendelee kukuongoza
Wangapi wameskia ova ova
Mungu akujaalie msela wangu Kiberelo
Umetisha mkuu. Kweli mswahili..salamu kutoka Berlin
Ndugu yangu madeal hakuna huko tufanye mpango tuje huko ndugu yangu
Mr..zembwe broo uko pwa.unavumbua,unaonya jamiii kufundisha pia.tupiaga manambaaako nikupe michongo.
Ila zembwela hakuna maisha ya uhuni usiyoyajua, we nawe Ni mstaafu kudadeki
Zembwela amezaliwa kwenye maisha hayo so.! anayajua vema anachoongea..kifupi mtoto wa mjin, tena alikua kwao magomen mjin sana.. 😂😂😂
@@sumayasumaya6455 Yes huyo mtoto wa mjini ile ile
Babuuu tuna enjoy sho ila mna chelewa kuachia shoo , mswahili toka pande z Saudia Arabia
Maashallah umeongea vizuri
Nakukubali sana zembwela
Vijana wanaelimu akhera 🤒 daah natamani kulia wallah vijana tuachemambo mabaya
Huyo kweli Kibelelo yani katoka hospitali watu wamemchangia kaenda kula poda tena🤣🤣🤣🤣
Mtihani yarabi tunusuru sisi na vizazi vyetu na hili janga lililo ingiya katika duniya piya mola wetu awaongoze walio ingiya katika hili janga
Mungu anamakusudi nawewe uliponea kwenye tundu la sindano
Alhamdulillah
Nimecheka sana
Kibe The hunter more blessings 😅
Dah mwana katokea kwenye tundu la sindano💥💥💥💥💥
Kazi Bora tunaona kutoka mbali
Jaman mimi nimempenda Huyu kaka nampataje jaman nisaidieni
@@mohamedslh5478 😂😂😂hapana kuna kitu nataka tuzungumze maana nimeguswa sana na mkasa wake kwahiyo kama naweza kumsaidia insha Allah nitamsaidia
@@mohamedslh5478 hukunipa
@@mohamedslh5478 mmmh haya bana
Nenda wasafi mtafute huyu zembwela itakuwa laisi kumpata jamaa...huyu jamaa anaitaji kusaidiwa.
@@kaundasutikaunda7769 sasa mimi nipo Oman kabisa
Wallah nimempenda bure huyu kaka 😂😂😂😂ni Mjanja
Mashallah 🙏
ZEMBWELA kaka kipindi chako kweli kinatoa funzo kwa jamii sana vijana waachane na matumizi ya madawaya kulevywa vijana tufanye kazi tuachekukaa vijiweni tumkumbuke mungumwenyezi
Kibe duh ww kweli ni the Monsters
Asifiwe YESU ambaye ndie anae amua umauti umfike mtu,,, mshukuru sana MUNGU kwani amekupa chance ya kuishi ili uyasimulie matendo yake
Anaamua umauti wakati yeye anakufa aliemfisha nani?acheni ujinga
Peraso peraso nini 😂😂😂😂😂 kuibaaa 😂😂😂 Zimbwela bwana
Mashallah
Yani wanaokwenda ulaya kufuata maisha, maisha si ndio haya hapa bongo sasa 😂😂😂 Dah sihamiiiii !! Ulaya ntaenda na ukwaju nieke kwenye zile barafu zao za bure nile 😂😂😂😂
Uwiiiiiiiiiiiii uwiii7ii mbav zang mie
Mambo ya Zamaniiiii zembwela bwana nakumbuka enzi zako za hujakwama ukikwama utakuja.
Zembwela😍😍😍
Mashalla uyo ni kiboko.
Amazing,,, let's keep going
Nice from 🇸🇦 👌 👏 👍
Nimecheka kwafuraha jamani
Nilimiss hili pindi babu saluti
mzee kibe kamkumbuka MUNGU baada ya kuona kifo chaja 😂😂😂😃😃😃😃
Mzee kibenenga huyu jamaa miaka ya 2003 mpaka na 6 alikua ndio mtengeneza umeme maarufi popobawa mpaka mwembechai wakuitwa vishoka kkk
Kwambaliii
Daah kibaka kaenda madrasa
Kweli mlimtoa mbali kibe
human resources tshirt ya mwana
HR wa weziiii 🤣🤣🤣🤣
Watu wanapiga vita wavutaji unga lakini wauzaji wanaigopewa au wanaheshimiwa... Kitu Cha kushangaza ni kuwa unampiga vita Teja alafu wewe mwenyewe ni mlaji riba au mfitishaji au hata huna heshima na wazazi. Siungi mkono uteja .....
Kiberelo Lijendi 😁😁
Daaaah ndo alikua hivi
Tafuteni camera nzuri
Cm yako ndo mbov
Aende sobar house zimbwela weeee
🤣🤣🤣 ety vipigo hvyo adi kichwa kinabalu dah zembwela nyoko sna
Kijana Natamani Apate Mtaji wa biashara
Kibe boy 😆😆
❣🤲
Mungu mkubwa.tumepata somo kubwa kaka
Kibelelo ni mtu htr 🤣🤣
Cameraaaaaaa sio hd
Mh unatumia simu gani
Eti kariakoo Mia😃
Ila Zembwela hahaaaaaa...duh
Sio mnamuhoji tu alafu mnamuacha hivi hivi..muwezesheni kiaina..!!
Ninampataje?
Kan'riakooo mia! Kan'riakooo mia!
Dah huyu jma ni mwinzi hatari.
😭😭😭😭😭 pole
Eti we usiniudhi zembwela kachimbwa biti
Eti pilaso, pilaso, zee mbwera sema wizi pilaso pilaso wapi😅😅😅😅
Hahahahaha nmemuelewa snaa 😂😂😂😂😂
Noma bana
Zembwela bwana et vipigo hvyo😀😀😀
Apo kanisan noma saan😂😂😂😂😂
But damn
Et tulkua na doctor wetu hiii
Biafra
Watoto wapelekwe madrasa
Pelaso pelaso nini!
Kuibaaaaaaaaaa😎😎😎😎😎😎
jamaa poa bro huyu hata akini iba nta msamehetu maana ni mwizi comedian anao chekesha kweli na cheka tu kumu angalia huyu na mpa hata na kazi 😂
Zembwera naomba ukamuhoji babuhaji wa znz baharia aliehojiwa na dar24 naamini ukimuhoji we itakuapoa sana
Ata yule mshikaji mbona kamuhoji poa tu
Yaa ofcoz but vipaji vya kuhoji vinatofautiana hajahoji vibaya mshakji yuko vzr na nimependa str yote
Umerudi kaka
😀😀😀😀🙏
Nimeshindwa kuimaliza...hakuna cha kujifunza hapa..
Umeshindwa kuelewa funzo lolote kwamba wizi mbaya madawa mabaya bado huelewi
Kweli Hana kichwa kigumu
Tatizo hlo
Utakuwa una mawenge wewe
Sasa ulitaka mpk afikie wapi kule kishakupeleka polis.kishachoma sasa ulitaka ujue amekaa siku ngapi jela
😂😂😂😂🙌