MSWAHILI:ANUSURIKA KUFA ,MOTONI /AIBA MSIKITINI MPAKA KANISANI/ACHANGISHA MCHANGO KWENYE DALADALA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 сер 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 149

  • @halimamis4236
    @halimamis4236 2 роки тому +8

    Usimdharau usimhukumu usie mjua...Hakika Allah humjua Mja wake Nafsini mwake, Bismillah...masha'Allah

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 роки тому +26

    Mashallah Elimu ya dini unayo allah akufanyie wepesi utubu kabla ya umauti na urejee kwake na Allah awe radhi na wewe ili uwanze kujitakasa kwa swala za toba, allah akupe mwisho mwema na atupe mwisho mwema na sisi tulobakia maana hatujui kesho yetu 😭 maana dunia duru

    • @senenembeya.9753
      @senenembeya.9753 2 роки тому +3

      Kwakweli tujitahidi kuisoma dini na kuwasomesha watoto dini.

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 роки тому +34

    Maaashallaaaaa hakika alikufungua katika adhabu Kwa hiyo sura inanusuru mambo mengi Allah akuongoze katika njia ya haki na atupe mwisho mwema

  • @jamalmohamed3400
    @jamalmohamed3400 2 роки тому +6

    SUBHANALLAH...ALLAH AZIDI KUMUONGOZA NDUGU. NA HIO POMBE pia weka kando .

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +11

    Allah akuongoze ktk njia inayompendeza uache na hyo pombe inauma mtu anaejua dini kwakweli ila kwa Allah hakuna kubwa

  • @zainabmkuya5151
    @zainabmkuya5151 2 роки тому +8

    Ni Maisha tu...Allah atakufanyia wepesi Kibelero urudi km zamani,very smart handsome...kaka la nguvu

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 2 роки тому +4

    Such a touching story wallah
    Allah hadha wajaallah akuongize uache kila kitu ufanye ibada jamani kijana mzuri MAA shaa Allah

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 2 роки тому +7

    Kazi nzuri Zembwela. Big Up 🙏

  • @Shariff143
    @Shariff143 2 роки тому +11

    Swadakta brother this my first time to comment on any platforms,this is true my brother we want to see you in good path and you will get the success that you want,Also i am in that Journey with you guys we need to see him after some months thanks

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 2 роки тому +8

    Marekani nakufatilia mnoooo....ahsante kaka Zembwela!
    Kipindi kina mafunzo mengi aiseee.
    Ahsante.

  • @mwljuliuskiwovele
    @mwljuliuskiwovele 2 роки тому +11

    Sema Zembwela ni mtaalamu sana wa kuhoji na anaendana na saikolojia ya mtu mwenyewe

  • @ahmedsalim4930
    @ahmedsalim4930 2 роки тому +4

    MASHAAALLAH na anajua vizuri kurana Allah amuongoze

  • @corneliuslangat7834
    @corneliuslangat7834 2 роки тому +7

    Am watching from Kenya...Zembwela you are a great talent. Excellent work.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 роки тому +5

    Yani kaka imeniuma jamani kumbe unadini yako umesoma daa Rudikwa Allah Allah kakupima Imani tulia uswari acha pombe jamani Allah atujaaliemwishomwema

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 2 роки тому

    Aisee mswahili Dr Sina cha kusema ila haya maisha bus tu pole Sana kaka #kibelelo haya ndio maisha nimejifunza mengi ila Mimi ningekua na kitu ningemtoa ila Sina namuna mwenye uwezo amtoe tafadhari jaman

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn 2 роки тому +3

    Mashaalah allah akutangulie mpaka mwixho wa maixha yako

  • @momomlaga7403
    @momomlaga7403 2 роки тому +4

    Kaka nakumbuka tulivyo kupa kipigo ww...aiseeee noma sana

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 роки тому +7

    Masha"Allah Allah amekunusuru

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 2 роки тому +7

    Allah amuongoze ila dunia imemchakaza simchezo kachakaa!!!

  • @user-sf5lk3qo4s
    @user-sf5lk3qo4s 6 місяців тому

    Allah amfanyie wepes pia akuongoze

  • @emmanuelchejo7154
    @emmanuelchejo7154 2 роки тому +3

    Bro zembwela natamani nikutane na ww kweli we no chuma cha pua.. Mi nipo iringa kaka we ni icon..

  • @mpilimussa7322
    @mpilimussa7322 2 роки тому +2

    Story naijua vizuri home boy magomeni kagera

  • @kevintungucha9725
    @kevintungucha9725 2 роки тому +8

    Kakangu zembwela mimi nipo mombasa na nina mdogo wangu wa damu yeye ni zaidi ya kibe walahi kama utakuwa na muda nitafute nikueleze bro

  • @rosemuba2532
    @rosemuba2532 2 роки тому +1

    Zembwela your the best

  • @IlhaamMarshed
    @IlhaamMarshed 2 роки тому +1

    Wewe ni human resource kwenye jamii yetu kama t-shirt ulovaa tunakuthamini ndugu yetu Allah aendelee kukuongoza

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245 2 роки тому +5

    Wangapi wameskia ova ova

  • @kareemabas2610
    @kareemabas2610 2 роки тому

    Mungu akujaalie msela wangu Kiberelo

  • @gratiouskimberly2949
    @gratiouskimberly2949 2 роки тому

    Umetisha mkuu. Kweli mswahili..salamu kutoka Berlin

    • @tonyspencer1928
      @tonyspencer1928 2 роки тому

      Ndugu yangu madeal hakuna huko tufanye mpango tuje huko ndugu yangu

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 2 роки тому

    Mr..zembwe broo uko pwa.unavumbua,unaonya jamiii kufundisha pia.tupiaga manambaaako nikupe michongo.

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 2 роки тому +7

    Ila zembwela hakuna maisha ya uhuni usiyoyajua, we nawe Ni mstaafu kudadeki

    • @sumayasumaya6455
      @sumayasumaya6455 2 роки тому +3

      Zembwela amezaliwa kwenye maisha hayo so.! anayajua vema anachoongea..kifupi mtoto wa mjin, tena alikua kwao magomen mjin sana.. 😂😂😂

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому +1

      @@sumayasumaya6455 Yes huyo mtoto wa mjini ile ile

  • @mzeekara2370
    @mzeekara2370 2 роки тому +1

    Babuuu tuna enjoy sho ila mna chelewa kuachia shoo , mswahili toka pande z Saudia Arabia

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 роки тому +1

    Maashallah umeongea vizuri

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Рік тому

    Nakukubali sana zembwela

  • @lastbornsaadah7632
    @lastbornsaadah7632 Рік тому

    Vijana wanaelimu akhera 🤒 daah natamani kulia wallah vijana tuachemambo mabaya

  • @stn4873
    @stn4873 2 роки тому +2

    Huyo kweli Kibelelo yani katoka hospitali watu wamemchangia kaenda kula poda tena🤣🤣🤣🤣

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому

    Mtihani yarabi tunusuru sisi na vizazi vyetu na hili janga lililo ingiya katika duniya piya mola wetu awaongoze walio ingiya katika hili janga

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Рік тому

    Mungu anamakusudi nawewe uliponea kwenye tundu la sindano

  • @immah_deo19
    @immah_deo19 2 роки тому +1

    Alhamdulillah

  • @pendalaizer8853
    @pendalaizer8853 2 роки тому +3

    Nimecheka sana

  • @hassanmussa3664
    @hassanmussa3664 8 місяців тому

    Kibe The hunter more blessings 😅

  • @runyadraft1519
    @runyadraft1519 2 роки тому

    Dah mwana katokea kwenye tundu la sindano💥💥💥💥💥

  • @mbaichris8772
    @mbaichris8772 Рік тому

    Kazi Bora tunaona kutoka mbali

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 2 роки тому +7

    Jaman mimi nimempenda Huyu kaka nampataje jaman nisaidieni

    • @shamilakalinga437
      @shamilakalinga437 2 роки тому +1

      @@mohamedslh5478 😂😂😂hapana kuna kitu nataka tuzungumze maana nimeguswa sana na mkasa wake kwahiyo kama naweza kumsaidia insha Allah nitamsaidia

    • @shamilakalinga437
      @shamilakalinga437 2 роки тому

      @@mohamedslh5478 hukunipa

    • @shamilakalinga437
      @shamilakalinga437 2 роки тому

      @@mohamedslh5478 mmmh haya bana

    • @kaundasutikaunda7769
      @kaundasutikaunda7769 2 роки тому

      Nenda wasafi mtafute huyu zembwela itakuwa laisi kumpata jamaa...huyu jamaa anaitaji kusaidiwa.

    • @shamilakalinga437
      @shamilakalinga437 2 роки тому +2

      @@kaundasutikaunda7769 sasa mimi nipo Oman kabisa

  • @cutecute5269
    @cutecute5269 Рік тому

    Wallah nimempenda bure huyu kaka 😂😂😂😂ni Mjanja

  • @Amylotu
    @Amylotu 2 роки тому +1

    Mashallah 🙏

  • @amribihoga5127
    @amribihoga5127 2 роки тому

    ZEMBWELA kaka kipindi chako kweli kinatoa funzo kwa jamii sana vijana waachane na matumizi ya madawaya kulevywa vijana tufanye kazi tuachekukaa vijiweni tumkumbuke mungumwenyezi

  • @hassanmussa3664
    @hassanmussa3664 2 роки тому +1

    Kibe duh ww kweli ni the Monsters

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde4125 2 роки тому +3

    Asifiwe YESU ambaye ndie anae amua umauti umfike mtu,,, mshukuru sana MUNGU kwani amekupa chance ya kuishi ili uyasimulie matendo yake

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 2 роки тому +3

      Anaamua umauti wakati yeye anakufa aliemfisha nani?acheni ujinga

  • @eliaskemiti7785
    @eliaskemiti7785 Рік тому

    Peraso peraso nini 😂😂😂😂😂 kuibaaa 😂😂😂 Zimbwela bwana

  • @yussufmachano124
    @yussufmachano124 2 роки тому

    Mashallah

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 2 роки тому +2

    Yani wanaokwenda ulaya kufuata maisha, maisha si ndio haya hapa bongo sasa 😂😂😂 Dah sihamiiiii !! Ulaya ntaenda na ukwaju nieke kwenye zile barafu zao za bure nile 😂😂😂😂

    • @ffrank6754
      @ffrank6754 2 роки тому

      Uwiiiiiiiiiiiii uwiii7ii mbav zang mie

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 роки тому +7

    Mambo ya Zamaniiiii zembwela bwana nakumbuka enzi zako za hujakwama ukikwama utakuja.

  • @hamisimuna125
    @hamisimuna125 2 роки тому +2

    Zembwela😍😍😍

  • @rashiidrashiid9801
    @rashiidrashiid9801 2 роки тому

    Mashalla uyo ni kiboko.

  • @philippascalmusyoki5417
    @philippascalmusyoki5417 2 роки тому +1

    Amazing,,, let's keep going

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 2 роки тому

    Nice from 🇸🇦 👌 👏 👍

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 роки тому +1

    Nimecheka kwafuraha jamani

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 роки тому +4

    Nilimiss hili pindi babu saluti

  • @martinsamatajr7972
    @martinsamatajr7972 2 роки тому +2

    mzee kibe kamkumbuka MUNGU baada ya kuona kifo chaja 😂😂😂😃😃😃😃

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 роки тому +1

    Mzee kibenenga huyu jamaa miaka ya 2003 mpaka na 6 alikua ndio mtengeneza umeme maarufi popobawa mpaka mwembechai wakuitwa vishoka kkk

  • @alfamgayatv872
    @alfamgayatv872 5 місяців тому

    Kwambaliii

  • @rasterwangu9708
    @rasterwangu9708 2 роки тому +2

    Daah kibaka kaenda madrasa

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 2 роки тому

    Kweli mlimtoa mbali kibe

  • @oscarmatapila6937
    @oscarmatapila6937 Рік тому

    human resources tshirt ya mwana

  • @jamalmohamed3400
    @jamalmohamed3400 2 роки тому

    Watu wanapiga vita wavutaji unga lakini wauzaji wanaigopewa au wanaheshimiwa... Kitu Cha kushangaza ni kuwa unampiga vita Teja alafu wewe mwenyewe ni mlaji riba au mfitishaji au hata huna heshima na wazazi. Siungi mkono uteja .....

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary2704 2 роки тому +1

    Kiberelo Lijendi 😁😁

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 2 роки тому

    Daaaah ndo alikua hivi

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 2 роки тому +2

    Tafuteni camera nzuri

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 2 роки тому +1

    Aende sobar house zimbwela weeee

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣 ety vipigo hvyo adi kichwa kinabalu dah zembwela nyoko sna

  • @hamisimuna125
    @hamisimuna125 2 роки тому

    Kijana Natamani Apate Mtaji wa biashara

  • @anestomgoiganga2031
    @anestomgoiganga2031 Рік тому

    Kibe boy 😆😆

  • @dayah2554
    @dayah2554 2 роки тому +1

    ❣🤲

  • @awadhichimbunga2009
    @awadhichimbunga2009 2 роки тому +4

    Mungu mkubwa.tumepata somo kubwa kaka

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 2 роки тому +2

    Kibelelo ni mtu htr 🤣🤣

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 2 роки тому +1

    Cameraaaaaaa sio hd

  • @sheylaomar2864
    @sheylaomar2864 2 роки тому

    Eti kariakoo Mia😃

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 роки тому

    Ila Zembwela hahaaaaaa...duh

  • @elochoyakobo7809
    @elochoyakobo7809 2 роки тому

    Sio mnamuhoji tu alafu mnamuacha hivi hivi..muwezesheni kiaina..!!

  • @mwajabuyusuph3945
    @mwajabuyusuph3945 2 роки тому

    Ninampataje?

  • @stn4873
    @stn4873 2 роки тому

    Kan'riakooo mia! Kan'riakooo mia!

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana1271 2 роки тому +6

    Dah huyu jma ni mwinzi hatari.

  • @NajmasoudiNajmasoudi
    @NajmasoudiNajmasoudi 2 роки тому

    😭😭😭😭😭 pole

  • @khadijamakuku9313
    @khadijamakuku9313 2 роки тому

    Eti we usiniudhi zembwela kachimbwa biti

  • @davidkizito6900
    @davidkizito6900 2 роки тому

    Eti pilaso, pilaso, zee mbwera sema wizi pilaso pilaso wapi😅😅😅😅

  • @josephatjordan5560
    @josephatjordan5560 2 роки тому +1

    Hahahahaha nmemuelewa snaa 😂😂😂😂😂

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 2 роки тому

    Noma bana

  • @cristinasofla5090
    @cristinasofla5090 2 роки тому

    Zembwela bwana et vipigo hvyo😀😀😀

  • @mariammariam1812
    @mariammariam1812 2 роки тому

    Apo kanisan noma saan😂😂😂😂😂

  • @eliyanibitanga4770
    @eliyanibitanga4770 2 роки тому

    But damn

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 2 роки тому

    Et tulkua na doctor wetu hiii

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman 4 місяці тому

    Biafra

  • @OverdozClassic
    @OverdozClassic 2 роки тому

    Watoto wapelekwe madrasa

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 2 роки тому

    Pelaso pelaso nini!
    Kuibaaaaaaaaaa😎😎😎😎😎😎

  • @tawhidislam4418
    @tawhidislam4418 2 роки тому

    jamaa poa bro huyu hata akini iba nta msamehetu maana ni mwizi comedian anao chekesha kweli na cheka tu kumu angalia huyu na mpa hata na kazi 😂

  • @mansourmakame355
    @mansourmakame355 2 роки тому

    Zembwera naomba ukamuhoji babuhaji wa znz baharia aliehojiwa na dar24 naamini ukimuhoji we itakuapoa sana

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому +1

      Ata yule mshikaji mbona kamuhoji poa tu

    • @mansourmakame355
      @mansourmakame355 2 роки тому +1

      Yaa ofcoz but vipaji vya kuhoji vinatofautiana hajahoji vibaya mshakji yuko vzr na nimependa str yote

  • @mshirazialisindindi4673
    @mshirazialisindindi4673 2 роки тому

    Umerudi kaka

  • @rosemuba2532
    @rosemuba2532 2 роки тому

    😀😀😀😀🙏

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 2 роки тому

    Nimeshindwa kuimaliza...hakuna cha kujifunza hapa..

    • @stenvibe9589
      @stenvibe9589 2 роки тому +10

      Umeshindwa kuelewa funzo lolote kwamba wizi mbaya madawa mabaya bado huelewi

    • @thabitiykitwana1271
      @thabitiykitwana1271 2 роки тому +4

      Kweli Hana kichwa kigumu

    • @leonardhossa3192
      @leonardhossa3192 2 роки тому

      Tatizo hlo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому +1

      Utakuwa una mawenge wewe

    • @camicapoty9415
      @camicapoty9415 2 роки тому +1

      Sasa ulitaka mpk afikie wapi kule kishakupeleka polis.kishachoma sasa ulitaka ujue amekaa siku ngapi jela

  • @fancymixx1026
    @fancymixx1026 2 роки тому +1

    😂😂😂😂🙌