MSWAHILI : TANDALE KUOLEWA MAJALIWA/ MTOTO NDIO KILA KITU, PESA MBELE KUDOKOA MWIKO
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Fanya kweli kaka Zembwela, Talent hiyoo mpe kweli Maisha huyo bro na nyimbo yake. Itakua ana mambo mengi sana Mr Fagio. Kazi kwako Zembwela Street President.
Kwa kua humjui uyu fagio,ashapata dili kubwa ila yy msumbufu gambe nyingi😂
Bonge la kipindi hili saiv nitaakikisha hakinipiti dahhh safiii sana 🔥🔥🔥
Da kweli hvi kipindi chake ni lini?
@@charlesmassawe5378 jumatatu saa tatu kamili kaka🔥🔥🔥
Poa kaka p....ucku au asubuhi?
@@charlesmassawe5378 saa 3 usiku
Habari yako ndugu samahan kwa usumbufu
NaoMba Maoni yako kwa wimbo wangu *“Ukinizingua Tutazinguana”*
👇
ua-cam.com/video/ZdxcRPDbVIc/v-deo.html
AKHSANTE & BARIKIWA
Fagio mm nampenda vituko vywake 💯💯
Unaamjua kwani
Unamjua
From Kenya I really missed this program #uswazi
Hongera sana mzazi zembela..tunakukubali sana tangia upo na marehemu max hadi uswazi ndani ya EATV..ebwana tunakuomba utembeleee Mombasa yetu mlaleo kisauni uswazi kwetu ukutane matukio mbalimbali alafu adimu hakika utakua na yakusimulia kwenye kipindi ...karibu sana..
Ahsante Sana ... Tunaomba Kuwasiliana na wewe kwa ajili ya Kuja Kutengeneza Kipindi cha #Mswahili - Tutafute Kupitia namba hii hapa - 0658996473
#Cku zinaenda ajari zinasogea htr sanaaa! fagiooooh!✌✌✌
Pamoja wasafi tv🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Zembwelaaaaaaaa dah Safi Sana tulimiss Sana izi mambo, wacha nikwende kufunga dish langu sasa
Aise isho itapendwa sana 🔥🔥🔥🔥🔥#Mswahili
Hahaaaaa jamaaa anafanya.. biashara kiubunifu
Iyo wimbo Kali jamani msaidieni fagio anatalanta.iyo si kazi yake bali ye ni msanii
kabisa kipaji chake nimuziki msaidieni jamani
From oman ila tandale ndio home
From Omani ila tandale home😀😀
Mashallah wcb 4life
Huyu jamaa wa fangio akiingia kenya anakuwa diamond,watz hawajui sisi tunapenda sna kiswahili sanifu
Hahaha
Keep reminding me about #Uswazi back in the days
😂😂😂mkandamize na zuchu itanoga
-15:00 Zembwela help broom man to release this single🤣🤣 #fagio
Pind taam saana
Hello mbona ile ya Zanzibar
Wasafi Kipaji hichooooooo.
Zembwela M Manage huyooo mtuu.
Mzee fyegio namkubali sana that guy is super talented. Mpeni nafasi jamani
Hapo ilitakiwa umuachie hata buku5 umemuacha pakavu na amekuburudisha akiwa kazini
imagine 😐
Watanzania uimbaji sio shida
😄😅
🔥🔥🔥🔥
Dah safi sana napenda sana kipindi kama iki 🔥🔥🔥🔥
Ushauri katika kutengeneza mafagio ya nje: Sehemu inayofagia isiwe *mlalo* [horizontal]; iwe *matemo* [slanting] kidogo kutoka kwa mtumiaji ili kuongeza ufanisi wa matumizi.
Kongole kwako Zembelwa kwa kuwafikia wananchi wetu walio nje ya mawasiliano. Ni ukombozi mkubwa kwao.
From Dubai namkubali mswahili
Hatariii sanaaa 😍😍😍😍
chuma salamu zikufikie big up naumia sana nikikosa wa kukurithi ila mimi ndo nijaye
Huyo jama kipaji bonge la voko mdhaminini aingie studio atapata sana mashabiki
😅
Safi saanaaa zembwela
Kipindi kizuri ahsante wasafi ahsante zembwela
MAA SHA ALLAH 🤲🏿
Aeeeee Fagiooooo....
Hahahaaa 😂😂😂😂
Bei ndio hiyooo
Hatakama ukinunaoo
Watanunua wenzioo
Uku ndio kwako uswahilin..mambo ya studio tupa kuleeeeeeee
Daah bonge la song zembel kitambo mno napenda kusikiliza xan kipnd cha uswaz
Nyimbo Kali xana jamani bigup fegio
Dah noma sana utamu kama wote
Jama wa muda mrefu sana na kazi zake hizohizo
Hatari
We fagio😁😁bei ndo hio hat kam ukinuna watanunua wenzio😂😂
😅😅😅😄
Umetisha mswahili
Eti basi mwali zembwela unanikosha roho yangu nyeupe asanteni wasafi kwa kuwa creative
Ety hiyo aikuhusu nimecheka balaa. Kama umecheka nipe like😆😆😆
Ubunifu 100 wasafi kipind Safi Sana
Love you brother zembwela
Napenda mnoooo
Tuambie kama mzee wafagio ulipatanisha diamond na penda kiplindi sana lakini karibuni ujaupdate 🇰🇪💯💯❤️
Alipo tupo #mswahili
Zembwela 🔥🔥🔥🔥
Nomaa
Mswahili km Mswahili on 🔥🔥🔥
Mko juu wanangu
Kipindi hiko kizuri wasafi 💯💯💯💯
Wakwanza
Big up zembwela
Hongera kipndi kizuri sana umeonesha uwezo
china hamna kipindi km hiki
@@jumarajab1008 hahahahhahahahahahhahaaahhahhahahahahahhahaahhahahahahahahahaahahha
Mpe hata ten tu thn deal mta make sa una mwacha ivo tu muda ote kwan ye kasemaje mlivozima camera
Ee fegiooo bei ndio hyoo
Nimeipenda sana
Kipind kizur saan zembwela keep it up
Chuma chapua kazini katika ubora kipindi kipokama nilivyo dhani ila muda kama mfupi hivi tuongezewe #pr jamari hili la muda lakohili #zembwela hawezikataa kuongezamuda wake was kuifanya kazi hii , mfano pale sokoni tungejuamengi sana lakini muda
Kipindi hichi na EATV hawa wanaiba vipindi vya watu wanaonekana wako juu sisi tumeanza toka na musa ,akaja yule Dada na baadae zembwela yeye tena kakikahamishia WCB hovyo sana washtakini kwa kuiba Idea watu wanatunga nyie mnacopy tu
Ukichunguza kwa umakini kila mtanzania nimsaanii wa kuimba
😅😅😅😂
Nakipenda sana hiki kipindi ila sijui kinaonyweshwa lini na saa ngapi
Safi sana
✌️✌️✌️
Anakwambia siku zinaenda ajali inasogea 🤣🤣🤣
Dah kali sana
Hahahaaa daah zembelwa unanogesha kinoma ww ni kama chumvi wasafi tv ni mboga
Home znz
Wasafi wanaakili sana
Ni kweli maisha yetu
nakubali unajua zembwela....
Piga kazi fagio, tafuta riziki.
Zembwela Kama kweli mnazingatia vipaji huyo Fagio imba nae na wewe ndo wa uswazi bosi wako Diamond wa uswazi Basi muwainue wa Uswazi
Zebwela umiitege basi kwenye show zenu za Wasafi
Huyo aliambiwa amtafute MAN water
You should post more all the recordings for people who outside TZ to see like us :)
Hapa sawa sasa
Daah! Mondi mpe tafu jamaa daah anaweza ndiyo nyimbo zetu za uswazi hizo kaka mondi Kama unanisikia piga moja na jamaa
sema nn uyo jama anakipaji sembwela msaidie jamaa
Kweli ndugu jamaa anaweza
Habari yako ndugu samahan kwa usumbufu
NaoMba Maoni yako kwa wimbo wangu *“Ukinizingua Tutazinguana”*
👇
ua-cam.com/video/ZdxcRPDbVIc/v-deo.html
AKHSANTE & BARIKIWA
Umeua sanaa
Boss ungemwachia hata elfu kumi huyo fagio
Zembwela kaka mkubwa heshima kwako ,uliangaika kwenye jua hukukata tamaa Leo unalia kivulin umenifunza hakuna kukata tamaa
Hapo dakika 3:00 kakosha
Zembwelaa...Hoyee..🤣🤣
huu wimbo wa huyu jamaa si anaweza kurekodi huyu amshirikishe baba levo.
❤❤❤❤❤❤
Kashapigaaa sanitezer hahahha
Nimekubali wimbo sana
Moto
Mwenye uswazi yake #z
Uhakika!
Uyo mkka wa fagio ni msani msaidyen arikod
Habibu dinga
Maharage ya njano kwanza maji mara moja na pia hayana gesi
Ah ichi kipindi kipo poa kaka
Ni noumaaaa
😁😁😁😁eti unaongea kingereza
Zembwela the best
#Fagio_Bei_Ndo_Iyo
🧠🔥
Jamaa wa fagio yupo mtaani kwetu ni brother mwenye vipaji vingi ila hakuwa serious tuu jamaa anaimba na pia comedian
Habari naitwa Isaac Producer wa kipindi cha mswahili naomba kuwasiliana na ww tuone namna ya kuja kurekodi kipindi cha mswahili 0658996473
@@isaackillale526 hamna shida kaka 0687989036
@@bosekajr2468 nitakupigia