MSWAHILI:MKASA WA AJABU MAGOMENI MWEMBECHAI,JINI LAMUUA BINADAMU CHANZO KIKIWA SHILINGI 6000/=

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 201

  • @allyseif5115
    @allyseif5115 2 роки тому +8

    Namjua mm huyo dogo alikuwa dereva wangu wa bodaboda kijana mmoja muaminifu sana mungu amlaze mahali pema

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 3 роки тому +8

    Nimeshare hii kwa wakaka wengi ili waache kuwa na tamaa wakiona vyaelea tu maana ni mkasa mzito na unahuzunisha hd machozi yamenitoka Subhannallah Mungu amrehem marehem 😢😢

  • @ireneassey753
    @ireneassey753 2 роки тому +6

    Mungu akiwa upande wetu naamini hata shetan atakaa mbali nas

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana1271 3 роки тому +12

    Jmni msidharau inaweze ikawa kweli. Majini yanauwezo kubadilika katika maumbo tofauti.

  • @abumoyo5341
    @abumoyo5341 3 роки тому +7

    Daaah inaumaa sana Mungu amstiri marehemuu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 роки тому +3

    Duuu Allah atuepushe na madhira ya dunia

  • @Kokafamil
    @Kokafamil 3 роки тому +5

    Hello from turkey 🇹🇷 Dah hapo kwa mpemba nime miss hizo chips na kuku hapo karibu na zimbabwe bar 😋😋😋😋mtaan kwangu

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 3 роки тому +20

    Stori nzuri Ila mnakulaje wakati sisitunasikiliza story mngekula kwanza Mimi sijapenda

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 3 роки тому +14

    Huyo kiumbe jamaa alikutana naye huko baharini,na akatamani kumfuatilia kutokea huko baharini,ukweli ni kwamba huyo jini alkuwa ana mission na huyo jamaa hiyo mission ndo hatuijui sasa!..

  • @mohahassan5687
    @mohahassan5687 3 роки тому +16

    Zembwela pole pole na msosi, maana mada hii ya Leo moto sana.

  • @ghanimaali4507
    @ghanimaali4507 3 роки тому +4

    innalilahi wainna ilahii rajiuna

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 3 роки тому +7

    Vijana tuache tamaa za ajabu ajabu jamani dah😢😢😢😢

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 3 роки тому +4

    Innalilah waina lillah rajiuon

  • @abdirahmansheikh1089
    @abdirahmansheikh1089 3 роки тому +7

    Story nzuri lkn kwa ufupi kuwa mstaarabu maana nikama hauna. Shukran

  • @lulually5209
    @lulually5209 2 роки тому +1

    Marehemu alikuwa anasali nn kamuendea kinyume na maumbile hapo hapo kanogewa akataka tena ikashindikana mwisho wa mchezo anaambiwa atoe ankara kabisha kutoa na maneno ya kashfa unategemea jini km jini atachukua maamuzi gani zaidi ya kukudedisha akiangalia tayari keshadhalilika kwa mwanaadamu yalotokea ndio hayo kikubwa ni kumuombea dua marehemu m,mungu amsameh alipoteleza basi hakuna chengine

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Рік тому

      Inamaana huyo jini alikua na tako zuri,marehemu alifinyiwa kwa ndani😂😂

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 3 роки тому +5

    Daah jamaa anasimulia vizuri sana

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 роки тому +5

    Daa' inatisha sana' poleni familia

  • @maulidirajabu5331
    @maulidirajabu5331 3 роки тому +7

    Hii move kali mno ukipatà mtu akakuhadisia kwa nukta unaweza lia

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 3 роки тому +6

    Wanangu ee hii story inafundisha sana yani Dr Jana mwenyew nimekutana na dem Kam ivo. Nikaanz pilik kumbe sio poa ee dr nimefundishika

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 3 роки тому +8

    Mshikaji Nina wasi wasi jini ndio kamchukua ila hajafa bado

  • @361NEWS
    @361NEWS 2 роки тому

    Dah

  • @code_rapper6317
    @code_rapper6317 3 роки тому +4

    NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA UKASIKILIZE WIMBO WANGU UITWAO WEKA KAMA HAUTOJALI NAOMBA MUDA WAKO🙏🙏🙏🙏🙏 NAOMBA

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 3 роки тому +4

    Babu unafanya kazi nzr sana big up

  • @mussamlewa2178
    @mussamlewa2178 3 роки тому +5

    I miss my street

  • @achufela9414
    @achufela9414 3 роки тому +1

    Co mchezo...safi sana mkuu kipindi kizuriii

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 3 роки тому +14

    Kuku mtamu unasahau sana Mike 🤣🤣🤣🤣

    • @azizaaziza9113
      @azizaaziza9113 3 роки тому +1

      Zembwela acha ubishi mtu akifa maji kawaida huwa anaelewa but km kuchukuliwa na chunusi huwa ananyonwa damu kisha hutelekezwa kati kati ya miamba

  • @arngemer
    @arngemer 3 роки тому +7

    Hiyo inaitwa rip current, ni hatari sana. Unaogelea kwenda mbele ila inazidi kukupeleka mbali zaidi ya ufukwe.

    • @bilalbaker9238
      @bilalbaker9238 2 роки тому +1

      Ilekuwa rahisi kuelekea kule mkondo (current) inapoelekea ingukuwa rahisi, na wasinge choka ila wangekuwa wanakwenda mbali na fukwe. Ajali Imepangwa Na M, Mungu ishatokea.

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 3 роки тому +11

    watu wana mlaumu marehemu kuwa alikuwa malaya,, lakini kama umesikiliza kwa makini utagundua kuwa yule jini,, ndo alikuwa wakwanza kusema twende huko unako kwenda ww,, yaani baada ya kumkosa dada yake basi akaona bora tu akaliwe mzigo na jamaa,, hivyo yule jini ndo alimtega jamaa kwa kusudi kabisaa na huenda hata hakuwa na ndugu wala nn apo,, alikuwa tu ana mawindo yake apo,, maana hao viumbe vyakula vyao ni mifupa na damu,, akaamua kupita na ndugu yetu,, na huko baharini ni yy ndo alimvutia huko ili amalize kazi yake kirahisi

    • @bilalbaker9238
      @bilalbaker9238 2 роки тому +1

      Na Jambo la Kushangaza (au la kuzingatia) ingawa linaonekana dogo, ni Kwamba kwanini Bwana harusi tu pekee, (wa harusi ya kule beach) ndie alieona kwanza, je ni dalili gani ? ni kitendawili hicho. bwana harusi na bibi harusi hapo wana yatenda yapendwayo na dini zote, tafauti na yalio letea kifo hicho ( Tunavyoamini ). Inawezekana ni ajali tu hata hivyo. Tupo kwenye kipindi cha MSWAHILI tusisahau. Nategemea Nimeeleweka. Kama hukunielewa niulize tena,, kama umenifaham hamna MBUNGI.

    • @michaeljohn9070
      @michaeljohn9070 2 роки тому

      @@bilalbaker9238 sija kuelewa bado

    • @kasiniapotatoes9804
      @kasiniapotatoes9804 2 роки тому

      Rama ali shindwa mtihani kivyovyote vile kosa ni la Rama wajina wangu

    • @lulually5209
      @lulually5209 2 роки тому +1

      Marehemu angekubali matakwa ya jini damu angenyonywa mwengine lkn alivyomkatalia ndio akaamua kumsulubu all in all kikubwa dua

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 3 роки тому +5

    Tatizo zembwela huwezi kula hiki unaongea siku nyingine kula kwanza baadae uongee hapo story haiendi mtapaliwa vyakula

  • @felixtvtz4600
    @felixtvtz4600 2 роки тому

    Inasikitisha sana

  • @josephmanyama9012
    @josephmanyama9012 3 роки тому +4

    Napajua hapo nishakaaaa hapo sana pembeni yake ku bar inaitwa Zimbabwe bar

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 3 роки тому +3

    🤔uyo dada wamoto ukiangalia sana hapo kuna namna ipo

  • @kubulizuberikubulizuberihu5896
    @kubulizuberikubulizuberihu5896 3 роки тому +11

    Chakula kina heshima yake kwanini usimalize kula ndio uendelee na chakula

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 3 роки тому +1

      Story nzuri ila kutafuna tafuna huku mnaongea ndio imekuwa bonge la kasoro.

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 3 роки тому +6

    Kweli mnaboa zembwela maneno yanakutoka huku unatafuna tafuna! Sio ustaarabu..

    • @361NEWS
      @361NEWS 2 роки тому

      🤣🤣🤣tulia uko

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 роки тому +3

    Jamani ni story ya kusikitisha saana bt kile najuwa kuna mtu behind this story angejuwa angetoka tu hapo akaenda msikitini wakamuombea dua vijana tujihadhari jamani.

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 роки тому +2

    Nice babu zebwela kisa chaajabu kweli

  • @hamiibreezy2000
    @hamiibreezy2000 3 роки тому +4

    Ni noma Sana....🥺🥺

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 3 роки тому +3

    Kaa jamani sasa mnaongelea makaburini?kwanini msiheshimu hao watu walolala?Innalillah lillah wainna illah Rajiun Baki Allah, Allah ampe kaul thabity

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 роки тому +1

    Jaman😭😭😭😭😭😭poleni

  • @lastbornsaadah7632
    @lastbornsaadah7632 Рік тому

    Jamani nimekaa magomeni kweli kuanzia kagera adi mwembe chai jini tena wakike kitambo luti yake maeneo hayo...jifunzeni vijana sio kila king'aacho ni dhahabu...pia unaweza kumpeleka geto baada ya kumla mzigo badala yk ukaliwa ww

  • @spaice995
    @spaice995 3 роки тому +5

    Nazani hofu ndo imemuua jamani tuache kusikiliza waganga hawa tutakufa na presha maskini nazani aliwaza kuhusu jini 😞poleni sana

    • @japhetadelard9465
      @japhetadelard9465 3 роки тому

      Kabisa hiyo ni hofu hakuna jini hapo

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 3 роки тому +4

      Kwakwel nyie halijawakuta ni lazma mseme hivyo! Msicheze na majini

    • @spaice995
      @spaice995 3 роки тому

      @@welcometoeat165 we imekukuta? Washasema hakuwa mjuzi wa kuogelea so kama haujawahi kupata panic ndan ya maji usijafanye mjuaji pia.

    • @mariamramadhani3860
      @mariamramadhani3860 3 роки тому

      Na barua je

    • @spaice995
      @spaice995 3 роки тому

      @@mariamramadhani3860 wanawake unatujua kwa vitisho 🤣tunaweza andika chochote kile

  • @esterderiki6505
    @esterderiki6505 2 роки тому +1

    Kwani angempa iyo elfu 6 angepungukiwa nini mjifunze

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Рік тому

      Utelezi noma huenda alikua na mauno akamfinyia kwa ndani

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 роки тому +1

    Ni hatariiii

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 3 роки тому +3

    hivyo unavyokula unachafua roho kua ns heshima

  • @godloveemanuel7785
    @godloveemanuel7785 3 роки тому

    Duh noma sana

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 2 роки тому +3

    Alivyokufa tu namaelezo yauyo jamaa aliyejalibu kumuokoa,, uyo kafa kwakuzidiwa na maji tu sio jini

  • @salmaabdulabdul5200
    @salmaabdulabdul5200 2 роки тому +3

    Tumejifunza kitu tusipende jamani mbuzi kufia kwa muuza supu

  • @urueuudududu5760
    @urueuudududu5760 3 роки тому +3

    Hakuna jini hapo kafa Kwa Ajali ya maji tu , demu alikuwa kazini, maana majini hayana shida na pesa jamani, kama demu alikuwa mchawi hapo kidgo naweza amini

    • @duniayakijani7868
      @duniayakijani7868 3 роки тому +1

      Endelea hivyo hivyo kubisha

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 2 роки тому

      Majin utafta xababu ... Unawezaa ataa ukamwaga maji ovyo na ukamkela na kukudhul maana tunaish nao wengine atuwaonii ..

  • @habimanayasin4223
    @habimanayasin4223 2 роки тому

    Unaonaaaa bwanaaa ...

  • @paulokiwango21
    @paulokiwango21 2 роки тому

    KATIKA MIKASA YOTE ULIYOTOA.HII NDIO ILIYONSISIMUA NA KUNFUNZA ZAIDI..GONGA LIKE KWA ULIYENIELEWA.

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 роки тому

    🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @fahadykajugus
    @fahadykajugus 2 роки тому

    Sembwela njoo kwa aziziali Kuna story moja noma

  • @atuonukyemhema5653
    @atuonukyemhema5653 3 роки тому +3

    Wanaume na nyinyi mmezidi kuokota okota

  • @mwantumkombo172
    @mwantumkombo172 3 роки тому +1

    Funzo Ilo ...Umalaya mwengine ata haufai

    • @walaaabdallah3236
      @walaaabdallah3236 3 роки тому +1

      Akunacha umala wala nini jini akikutaka atakupata tu uwe malaya usiwe malaya

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 3 роки тому

      Kweli kabisa

    • @urueuudududu5760
      @urueuudududu5760 3 роки тому

      Mm Niko tofauti na nyinyi , mm nahsi hyo demu ni mchawi, alafu twende mbele turudi nyuma , hyo ni uhuni ndio ila Kila jambo Lina makusudi

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 2 роки тому

    Mm nna rafiki yangu kabsa alikutana nae ila zake za kuishi bado zipo

  • @GozbethUrassa-lh7wc
    @GozbethUrassa-lh7wc Рік тому

    Ayo Mambo yapo

  • @salmaoman9160
    @salmaoman9160 3 роки тому

    Daaah adinimeogopa

  • @josephmuchiri3180
    @josephmuchiri3180 3 роки тому +2

    Daaa?sura ya zembwela nzuli☺☺☺☺

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 3 роки тому +3

    Daaa mambo ya Dunia hy jmn

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Рік тому

      Kiuswazi tunasema rama kafia vitani ila kiuhalisia uchunguzi hakuna ni kusadikika tu,ila nimesikia huyo jini alikua pisi nzuri tako tako,Rama alifinyiwa kwa ndani😂😂

  • @yahyasaloummvyongo3536
    @yahyasaloummvyongo3536 2 роки тому

    Mmmmmh kifo ni Cha mungu Allah ampefanyie wepesi natukumbukee MAJINN pia WAPO na hakuna haja ya kuendelea kumfuatili MAADAMUU yalishapitaa

  • @shamimucollectiondubai9727
    @shamimucollectiondubai9727 2 роки тому

    nenda mbagala kizuiani mitaa ya kwanyoka street

  • @irenewile
    @irenewile 2 роки тому

    Sauti jamani mbona ndogo

  • @maryamhassan7148
    @maryamhassan7148 3 роки тому

    Duh

  • @saiyydashapi5994
    @saiyydashapi5994 2 роки тому

    So ule kwanza halafu ndiyo usimuliye kiss.mbona ai u ndogo ndogo.

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il 3 роки тому +2

    Long story short ubahili umemponza.

  • @meddyzambetakis
    @meddyzambetakis 2 роки тому +2

    Hili paja la kuku kweli?! Mbona dogo!🤣🤣🤣

  • @sulexseif1531
    @sulexseif1531 3 роки тому +3

    Kipindi kizuri sana

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 3 роки тому +2

    Mtqongeaje huku mnakula sasa

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 роки тому

    duu 😢😢inauma sana

  • @fhfbfcvcgfggf6844
    @fhfbfcvcgfggf6844 3 роки тому +2

    Oya babu unakula Sana brow🤣

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 2 роки тому +1

    Pga vitu zembwela mwili haujengwi Kwa tofal

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 3 роки тому +2

    Tumejifunza kitu…hasa sisi wanaume .. hiyo mbuzi kufia kwa muuza supu

  • @napster2558
    @napster2558 3 роки тому

    Sth to learn

  • @fahadykajugus
    @fahadykajugus 2 роки тому

    Daah Dogo Rama namjua hiyo story nikweli daah

  • @ruthmariki6462
    @ruthmariki6462 3 роки тому +2

    Mmmh hatari😭😭😭

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 3 роки тому +6

    zembwela hiki kipindi usifanyie mjini njoo huku vijijini uje uone mambo yanavyofanywa hapa duniani nitakutafuta kwenye isngram yako nikupe mambo wee acha tu

  • @jacksonkendavis8689
    @jacksonkendavis8689 2 роки тому

    ...ITAENDELEA LINI WAKUU...
    MIEZI 9 SASA!!

  • @swalehesalim9630
    @swalehesalim9630 3 роки тому

    Unasahau kula kakaa😀😀😀

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 3 роки тому

    Due!ilikuwa mwakajuI kamasikosea 2019 du!

  • @thureyaalkindy9373
    @thureyaalkindy9373 3 роки тому

    Story siiskii vzr kwakutamn hao kuku

  • @sebastianherman607
    @sebastianherman607 3 роки тому +1

    Wait for it

  • @Salhiya-hr7dy
    @Salhiya-hr7dy 3 роки тому +4

    Htry wallah ndo muache kutongoza ovyo Allah atustir wallah

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 3 роки тому +1

      Wamezidi

    • @swdaalii6892
      @swdaalii6892 3 роки тому

      Na nyie mliobaki muwe makini maana uyo jini na sister wake naye anataka boy friend

  • @lulually5209
    @lulually5209 2 роки тому

    Mmmh zembwela anatia ndani sahani ya pili sio poa halafu huku anaongea amesahau km yupo kwenye kipindi

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 3 роки тому +5

    people dont talk while eating kueni na displin

    • @liciouscharles3370
      @liciouscharles3370 3 роки тому

      Acha mtu ale

    • @wasalimie11
      @wasalimie11 3 роки тому

      @@liciouscharles3370 sikatai lakini kuongea na domo limejaa is de
      discusting yaani inachafua roho

  • @mbwanakonk453
    @mbwanakonk453 3 роки тому

    Kuku mtam unasahau sana maik

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 роки тому +1

    Mtu Kafa Maji Polisi Tena Waje Kuchunguza

  • @hassankarama3412
    @hassankarama3412 2 роки тому

    Barua yenyewe ikowapi

  • @kikumbivunge7976
    @kikumbivunge7976 2 роки тому

    Uyoo jamaa ajafa anaishi ujinini mpaka mda huu na uyoo Dada a namjua uyo mchizi na alichokifanya uyo jini kazamilia na uyo jini alimpenda Ramadhani

  • @edwardongori7734
    @edwardongori7734 2 роки тому

    😭😭😭😭😭😭😭pole na ni funzo kwetu.

  • @arafamhina6041
    @arafamhina6041 3 роки тому

    Cjapenda mlivyofika makaburin mngahadisia tu

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 3 роки тому

    Zembela ujanawa mikono

  • @salminwamu2297
    @salminwamu2297 2 роки тому

    Eti alikuwa ana swali swali

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 3 роки тому +5

    Vijana punguzeni kuokota okota mnaichosha miili yenu na mnajitia matatizoni uzinzi unamadhara mengi msipende kuchezea wasichana mkiwa hamna malengo nao

    • @josephsilem7239
      @josephsilem7239 3 роки тому

      Kuchezea au kuchezeana jamani mbona ss tu?

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 3 роки тому

      @@josephsilem7239 sababu WANAUME wamepewa MAMLAKA ya kuwa VIONGOZI wa wanawake

    • @urueuudududu5760
      @urueuudududu5760 3 роки тому +1

      Point sana tubadilike ,jamani

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 3 роки тому +1

    Kitaani kwetu hapo

  • @sulexseif1531
    @sulexseif1531 3 роки тому

    Ya Leo imenoga

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu1427 3 роки тому +2

    Uku unakula zembwele mnaboa bwana

  • @halimaabubakari1506
    @halimaabubakari1506 3 роки тому

    Ndomjifunzege

  • @AbuBakar-fu9ov
    @AbuBakar-fu9ov 3 роки тому

    Mtakuja kula mic hazo habar unazungumza huku unakula

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 роки тому

    Jmn kabri LA bibi angu lipo apo apo chin ya mmuarobaini

  • @jasonhatjuggling1858
    @jasonhatjuggling1858 3 роки тому +4

    Mbungi lipigwetena 🤣🤣🤣