MSWAHILI:MKASA WA AJABU MAGOMENI MWEMBECHAI,JINI LAMUUA BINADAMU CHANZO KIKIWA SHILINGI 6000/=
Вставка
- Опубліковано 11 жов 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Namjua mm huyo dogo alikuwa dereva wangu wa bodaboda kijana mmoja muaminifu sana mungu amlaze mahali pema
Nimeshare hii kwa wakaka wengi ili waache kuwa na tamaa wakiona vyaelea tu maana ni mkasa mzito na unahuzunisha hd machozi yamenitoka Subhannallah Mungu amrehem marehem 😢😢
Mungu akiwa upande wetu naamini hata shetan atakaa mbali nas
Jmni msidharau inaweze ikawa kweli. Majini yanauwezo kubadilika katika maumbo tofauti.
Aswaaaaa
We acha tu my love baby!
We umejuaje au unaskia story tu...?
@@liciouscharles3370 ata din zet zimekil kwamba majin yapo na tunaish nayo apa dunian
Daaah inaumaa sana Mungu amstiri marehemuu
hajafa jini kasepa nae
Duuu Allah atuepushe na madhira ya dunia
Hello from turkey 🇹🇷 Dah hapo kwa mpemba nime miss hizo chips na kuku hapo karibu na zimbabwe bar 😋😋😋😋mtaan kwangu
Nikaribishe jirani
Stori nzuri Ila mnakulaje wakati sisitunasikiliza story mngekula kwanza Mimi sijapenda
Mtangazaji hana utulivu. Anaharibu kabisa maana ya kipindi
Nashangaa.. sio tabia nzuri. Wangekula alafu waendelee na story.
Zembwela anazingua 😀😀
Hii kipindi kinaitwa uswahili na huo ndo uswahili wenyewe big up zembwela
Huyo kiumbe jamaa alikutana naye huko baharini,na akatamani kumfuatilia kutokea huko baharini,ukweli ni kwamba huyo jini alkuwa ana mission na huyo jamaa hiyo mission ndo hatuijui sasa!..
Zembwela pole pole na msosi, maana mada hii ya Leo moto sana.
innalilahi wainna ilahii rajiuna
Vijana tuache tamaa za ajabu ajabu jamani dah😢😢😢😢
Innalilah waina lillah rajiuon
Story nzuri lkn kwa ufupi kuwa mstaarabu maana nikama hauna. Shukran
Marehemu alikuwa anasali nn kamuendea kinyume na maumbile hapo hapo kanogewa akataka tena ikashindikana mwisho wa mchezo anaambiwa atoe ankara kabisha kutoa na maneno ya kashfa unategemea jini km jini atachukua maamuzi gani zaidi ya kukudedisha akiangalia tayari keshadhalilika kwa mwanaadamu yalotokea ndio hayo kikubwa ni kumuombea dua marehemu m,mungu amsameh alipoteleza basi hakuna chengine
Inamaana huyo jini alikua na tako zuri,marehemu alifinyiwa kwa ndani😂😂
Daah jamaa anasimulia vizuri sana
Daa' inatisha sana' poleni familia
Hii move kali mno ukipatà mtu akakuhadisia kwa nukta unaweza lia
Wanangu ee hii story inafundisha sana yani Dr Jana mwenyew nimekutana na dem Kam ivo. Nikaanz pilik kumbe sio poa ee dr nimefundishika
Mshikaji Nina wasi wasi jini ndio kamchukua ila hajafa bado
Dah
NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA UKASIKILIZE WIMBO WANGU UITWAO WEKA KAMA HAUTOJALI NAOMBA MUDA WAKO🙏🙏🙏🙏🙏 NAOMBA
Babu unafanya kazi nzr sana big up
I miss my street
Co mchezo...safi sana mkuu kipindi kizuriii
Kuku mtamu unasahau sana Mike 🤣🤣🤣🤣
Zembwela acha ubishi mtu akifa maji kawaida huwa anaelewa but km kuchukuliwa na chunusi huwa ananyonwa damu kisha hutelekezwa kati kati ya miamba
Hiyo inaitwa rip current, ni hatari sana. Unaogelea kwenda mbele ila inazidi kukupeleka mbali zaidi ya ufukwe.
Ilekuwa rahisi kuelekea kule mkondo (current) inapoelekea ingukuwa rahisi, na wasinge choka ila wangekuwa wanakwenda mbali na fukwe. Ajali Imepangwa Na M, Mungu ishatokea.
watu wana mlaumu marehemu kuwa alikuwa malaya,, lakini kama umesikiliza kwa makini utagundua kuwa yule jini,, ndo alikuwa wakwanza kusema twende huko unako kwenda ww,, yaani baada ya kumkosa dada yake basi akaona bora tu akaliwe mzigo na jamaa,, hivyo yule jini ndo alimtega jamaa kwa kusudi kabisaa na huenda hata hakuwa na ndugu wala nn apo,, alikuwa tu ana mawindo yake apo,, maana hao viumbe vyakula vyao ni mifupa na damu,, akaamua kupita na ndugu yetu,, na huko baharini ni yy ndo alimvutia huko ili amalize kazi yake kirahisi
Na Jambo la Kushangaza (au la kuzingatia) ingawa linaonekana dogo, ni Kwamba kwanini Bwana harusi tu pekee, (wa harusi ya kule beach) ndie alieona kwanza, je ni dalili gani ? ni kitendawili hicho. bwana harusi na bibi harusi hapo wana yatenda yapendwayo na dini zote, tafauti na yalio letea kifo hicho ( Tunavyoamini ). Inawezekana ni ajali tu hata hivyo. Tupo kwenye kipindi cha MSWAHILI tusisahau. Nategemea Nimeeleweka. Kama hukunielewa niulize tena,, kama umenifaham hamna MBUNGI.
@@bilalbaker9238 sija kuelewa bado
Rama ali shindwa mtihani kivyovyote vile kosa ni la Rama wajina wangu
Marehemu angekubali matakwa ya jini damu angenyonywa mwengine lkn alivyomkatalia ndio akaamua kumsulubu all in all kikubwa dua
Tatizo zembwela huwezi kula hiki unaongea siku nyingine kula kwanza baadae uongee hapo story haiendi mtapaliwa vyakula
Inasikitisha sana
Napajua hapo nishakaaaa hapo sana pembeni yake ku bar inaitwa Zimbabwe bar
🤔uyo dada wamoto ukiangalia sana hapo kuna namna ipo
Chakula kina heshima yake kwanini usimalize kula ndio uendelee na chakula
Story nzuri ila kutafuna tafuna huku mnaongea ndio imekuwa bonge la kasoro.
Kweli mnaboa zembwela maneno yanakutoka huku unatafuna tafuna! Sio ustaarabu..
🤣🤣🤣tulia uko
Jamani ni story ya kusikitisha saana bt kile najuwa kuna mtu behind this story angejuwa angetoka tu hapo akaenda msikitini wakamuombea dua vijana tujihadhari jamani.
Nice babu zebwela kisa chaajabu kweli
Ni noma Sana....🥺🥺
Kaa jamani sasa mnaongelea makaburini?kwanini msiheshimu hao watu walolala?Innalillah lillah wainna illah Rajiun Baki Allah, Allah ampe kaul thabity
Kwan ni dhambii ?
Jaman😭😭😭😭😭😭poleni
Jamani nimekaa magomeni kweli kuanzia kagera adi mwembe chai jini tena wakike kitambo luti yake maeneo hayo...jifunzeni vijana sio kila king'aacho ni dhahabu...pia unaweza kumpeleka geto baada ya kumla mzigo badala yk ukaliwa ww
Nazani hofu ndo imemuua jamani tuache kusikiliza waganga hawa tutakufa na presha maskini nazani aliwaza kuhusu jini 😞poleni sana
Kabisa hiyo ni hofu hakuna jini hapo
Kwakwel nyie halijawakuta ni lazma mseme hivyo! Msicheze na majini
@@welcometoeat165 we imekukuta? Washasema hakuwa mjuzi wa kuogelea so kama haujawahi kupata panic ndan ya maji usijafanye mjuaji pia.
Na barua je
@@mariamramadhani3860 wanawake unatujua kwa vitisho 🤣tunaweza andika chochote kile
Kwani angempa iyo elfu 6 angepungukiwa nini mjifunze
Utelezi noma huenda alikua na mauno akamfinyia kwa ndani
Ni hatariiii
hivyo unavyokula unachafua roho kua ns heshima
Hiii ndiyo maana ya mswahili
Duh noma sana
Alivyokufa tu namaelezo yauyo jamaa aliyejalibu kumuokoa,, uyo kafa kwakuzidiwa na maji tu sio jini
May be.
Tumejifunza kitu tusipende jamani mbuzi kufia kwa muuza supu
😂😂😂😂😂
Hakuna jini hapo kafa Kwa Ajali ya maji tu , demu alikuwa kazini, maana majini hayana shida na pesa jamani, kama demu alikuwa mchawi hapo kidgo naweza amini
Endelea hivyo hivyo kubisha
Majin utafta xababu ... Unawezaa ataa ukamwaga maji ovyo na ukamkela na kukudhul maana tunaish nao wengine atuwaonii ..
Unaonaaaa bwanaaa ...
KATIKA MIKASA YOTE ULIYOTOA.HII NDIO ILIYONSISIMUA NA KUNFUNZA ZAIDI..GONGA LIKE KWA ULIYENIELEWA.
🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Sembwela njoo kwa aziziali Kuna story moja noma
Wanaume na nyinyi mmezidi kuokota okota
Funzo Ilo ...Umalaya mwengine ata haufai
Akunacha umala wala nini jini akikutaka atakupata tu uwe malaya usiwe malaya
Kweli kabisa
Mm Niko tofauti na nyinyi , mm nahsi hyo demu ni mchawi, alafu twende mbele turudi nyuma , hyo ni uhuni ndio ila Kila jambo Lina makusudi
Mm nna rafiki yangu kabsa alikutana nae ila zake za kuishi bado zipo
Ayo Mambo yapo
Daaah adinimeogopa
Daaa?sura ya zembwela nzuli☺☺☺☺
Mtafute umpe kinyeo
@@likimaro6 kuma la mama yako goli ta uwanja wa Mkapa
🤣🤣
@@eboumg7061 😊😊😊
Daaa mambo ya Dunia hy jmn
Kiuswazi tunasema rama kafia vitani ila kiuhalisia uchunguzi hakuna ni kusadikika tu,ila nimesikia huyo jini alikua pisi nzuri tako tako,Rama alifinyiwa kwa ndani😂😂
Mmmmmh kifo ni Cha mungu Allah ampefanyie wepesi natukumbukee MAJINN pia WAPO na hakuna haja ya kuendelea kumfuatili MAADAMUU yalishapitaa
nenda mbagala kizuiani mitaa ya kwanyoka street
Sauti jamani mbona ndogo
Duh
So ule kwanza halafu ndiyo usimuliye kiss.mbona ai u ndogo ndogo.
Long story short ubahili umemponza.
Hili paja la kuku kweli?! Mbona dogo!🤣🤣🤣
Kipindi kizuri sana
Mtqongeaje huku mnakula sasa
duu 😢😢inauma sana
Dotto nakutafuta sana
Oya babu unakula Sana brow🤣
Pga vitu zembwela mwili haujengwi Kwa tofal
Tumejifunza kitu…hasa sisi wanaume .. hiyo mbuzi kufia kwa muuza supu
Sth to learn
Daah Dogo Rama namjua hiyo story nikweli daah
Mmmh hatari😭😭😭
zembwela hiki kipindi usifanyie mjini njoo huku vijijini uje uone mambo yanavyofanywa hapa duniani nitakutafuta kwenye isngram yako nikupe mambo wee acha tu
Mtafute
Ebu mtafuta tupate kujua Ya Dunia
...ITAENDELEA LINI WAKUU...
MIEZI 9 SASA!!
Unasahau kula kakaa😀😀😀
Due!ilikuwa mwakajuI kamasikosea 2019 du!
Story siiskii vzr kwakutamn hao kuku
😂😂
Wait for it
Htry wallah ndo muache kutongoza ovyo Allah atustir wallah
Wamezidi
Na nyie mliobaki muwe makini maana uyo jini na sister wake naye anataka boy friend
Mmmh zembwela anatia ndani sahani ya pili sio poa halafu huku anaongea amesahau km yupo kwenye kipindi
people dont talk while eating kueni na displin
Acha mtu ale
@@liciouscharles3370 sikatai lakini kuongea na domo limejaa is de
discusting yaani inachafua roho
Kuku mtam unasahau sana maik
Mtu Kafa Maji Polisi Tena Waje Kuchunguza
Barua yenyewe ikowapi
Uyoo jamaa ajafa anaishi ujinini mpaka mda huu na uyoo Dada a namjua uyo mchizi na alichokifanya uyo jini kazamilia na uyo jini alimpenda Ramadhani
😭😭😭😭😭😭😭pole na ni funzo kwetu.
Cjapenda mlivyofika makaburin mngahadisia tu
Zembela ujanawa mikono
Eti alikuwa ana swali swali
Vijana punguzeni kuokota okota mnaichosha miili yenu na mnajitia matatizoni uzinzi unamadhara mengi msipende kuchezea wasichana mkiwa hamna malengo nao
Kuchezea au kuchezeana jamani mbona ss tu?
@@josephsilem7239 sababu WANAUME wamepewa MAMLAKA ya kuwa VIONGOZI wa wanawake
Point sana tubadilike ,jamani
Kitaani kwetu hapo
Ya Leo imenoga
Uku unakula zembwele mnaboa bwana
Ndomjifunzege
Mtakuja kula mic hazo habar unazungumza huku unakula
Jmn kabri LA bibi angu lipo apo apo chin ya mmuarobaini
Mbungi lipigwetena 🤣🤣🤣