Pole ndugu. Dunia tumegeuza ni uwanja wa fujo. Hakuna kinachopotea mbele ya Mungu wetu. Dhuluma ina malipo yake nayo ya uchungu wa hali ya juu. Pambana na maisha iko siku Dunia itatambuua ukweli ambao ulifichwa kwa maslahi ya watu wabaya.
Yani hi kz lait ningesoma sizani km ningekuja kusahin,hi kz ngum Sanaa,nakuiyona Pepo mungu mwenyewe ndoanajuwa, Police, traffic,Hakimu,mhhh changamoto🔥
Mungu akubariki umeongea vyema kuhusu aneti... ufanikiwe na kutoka kwenye minyororo ulienda ukajue mengi ututee tusio jua shelia pole sana miaka 4 n mingi sana
Pole sana home boy ulipo pelekwa kabla ya kituo cha polisi Flamigo jirani na shekhe Yahya ndio home kwetu kabisa bro by profession mie lawyer so nakushauri kitu kimoja ingia shule anza hata certificate mdogo mdogo utoboe mpaka LLb huku unakimbiza NGO yako utakuwa mkali sana cz utakuwa umesoma kwa vitendo mwanzo mwisho sasa hivi achana na hayo mambo kuwa unajua sheria
@@abdallahdataguy Acha ufala wewe huwezi kukaa gerezani na ukatosha kupractiz sheria hata kama utakaa Gerezania miaka mia labda kwa tarifa yako hapo AME deal kwa vitendo na somo moja kati ya masomo almost 53 ya sheria yeye amedeal na CRIMINAL LAW AND PROCEDURES tena kwenye ishu yake tu acha kuongea kama mtoto. Nakubali jamaa ana kitu amepata kwenye sehemu hiyo ya sheria but nikosa kumuaminisha kuwa now anaweza kupractice sheria NO!ataweza kuendesha hiyo NGO cz inadeal na hicho alicho jifunza akiwa huko gerezani pia si sawa kumuaminisha kuwa anaweza kuwa anajua sheria kuliko lawyers waliyokaa miaka minne darasani na mwaka mmoja wakifanya sheria kwa vitendo law school acha kuyangalia mambo kama umebadili matumizi ya viungo vyako vya mwili
Kila kitu kinatokea kwasababu maalumu huwez kuelewa mwanzo likikukuta lakin badae utaelewa angalia umekaa gerezani lakini umejifunza mengi na sheria umeijua vizur kama ulienda chuo tu ila hicho ulichonacho utakuja kusaidia mtu au watu usiotarajia ulituliza akili yako sana mungu akubariki
Mtihani pole kaka mwenyezi mungu atakulipia kila aliye kusingizia kesi iso na uhakika iko siku yatamkuta hiii duniya tulio nayo bora ukutane na simba uimuogope kuliko binaadamu mwezKo
Zembwela... KUNA NDUGU ZETU WENGI WAMEPOTEZWA KWA KESI ZA KUBAMBIKIZWA HUKO...1. REMMY SIPUKA 2. GABRIEL KARIUKI 3. JIMMY MAINA 4.ABDUL NSEMBO NA MKEWE ,NA WENGINE WENGI...
Brother kwanza nikupe pole sana kwa janga hilo umepitia mengi wanda kuna mengi ujasema kutokana anaekuhoji Interview hii ingempata milldayo tungejifunza mengi kutoka kwako Zembwera umenibowa.
JONIJO WA E FM USHAIBIWA AIDIA YAKO YA GEREZANI HUKU BABU MSWAHILI LEO YUPO OFICN HAPANA BABU ZEMBWELA RUDI MTAANI TU HUKU WAACHIE WENYEWE KINA MILLARD AYO, LIL OMMY, VIDO VIDOX🤣🤣🤣 Pole kaka kwa yaliyokukuta
@@zebedayobiswalo1924 Lkn unaonaje interview zake zinavyonoga sasa ona hii story ni nzuri na ya kweli mno angeipata Millard Ayo hii aah mbona ingesimama lkn babu hajaitendea haki kabisa kapoa km yupo kwenye lavidavi ya Diva
Tunahitaji sheria zibadilishwe , ingekuwa watu walioonewa baada ya kushinda wangekuwa wanalipwa fidia kama nchi zilizoendelea wasinge kuwa wanasingizia watu
Nikweli bro mana duniani ili upande cheo nabidi uwe unawa kandamiza weziho, kwa kireno tuna sema, para você ser um chefe ou seja, para subir um cargo devem ser um lambe bota
Interviewer anaboa ile mbaya ! Production sijaifurahia pia. Kwahiyo hapo ana*act kama interrogator ? Hii millard angekaa naye tu kwenye bustani na ingekuwa poa zaidi ya hichi mlichofanya 😏
Jamaa Yuko very smart aisee pole sana brother
Pole ndugu.
Dunia tumegeuza ni uwanja wa fujo.
Hakuna kinachopotea mbele ya Mungu wetu. Dhuluma ina malipo yake nayo ya uchungu wa hali ya juu.
Pambana na maisha iko siku Dunia itatambuua ukweli ambao ulifichwa kwa maslahi ya watu wabaya.
Pole sana best ,,umetupa somo ambalo hatukuwa tunalijua,,mungu akupe nguvu mpya ya utafutaji,,kipindi bombaaa,,tunasbr season 2 akiwepo aneth
Sema mapolice kuja kuona Pepo n kazi sanaa awajawai lizika na mishahlaa yao
Kwani aliyetoa hukumu hapo ni polisi?
Aisee kweli kabisa
Yani hi kz lait ningesoma sizani km ningekuja kusahin,hi kz ngum Sanaa,nakuiyona Pepo mungu mwenyewe ndoanajuwa, Police, traffic,Hakimu,mhhh changamoto🔥
Mie mwenyewe nipo nje nasugua vyoo na siridhiki na mshahara wangu 🤣🤣kwenye pesa sijuhi kama Kuna mtu anatendea haki
Miaka 30 ni sawa kutokana na kosa , mtu kabaka mtoto wa miaka 2/3 /4
Daaaa 🙆 pole sanaa 😭😭hila Mungu Ataenderea kukupigania😱
Mungu akubariki umeongea vyema kuhusu aneti... ufanikiwe na kutoka kwenye minyororo ulienda ukajue mengi ututee tusio jua shelia pole sana miaka 4 n mingi sana
Nimeanza kufatilia kipindi chako this is what people need to hear and learning.big up brother
Kujifunza kuhusu sheria,kanuni na adhabu kwa lugha nyepesi jiunge na @antrafo_tz
Wanangu mungu awasaidie,pia nawaombea watoto wangu wote wa kiume,akina kaka zangu na wadogo zangu,mungu 2 tete;.
Mpelelezi Zimbwela" kazi hiyo inakufaa kabisa na Sura yako yaki CID kabisa Unaweza 😂😂😂😂
Hawa húwa wanakuwa kitengo bila kutegemea Wala kufikiria
Pole sana ndugu yangu, dunia ina mengi sana.
Subhanallah pole sana home boy. Simama Tena na utembee kwenye njia Yako. Mengine tumuachie hadha wa jallah
Pole sana Sadiq Allah atakulipia hii dhulma uliyofanyiwa
hapo dk ya 13:43 - 14:35 kaeleza kwa umakini duh
@zembwela background sauti ipungue kidogo
Pole sana home boy ulipo pelekwa kabla ya kituo cha polisi Flamigo jirani na shekhe Yahya ndio home kwetu kabisa bro by profession mie lawyer so nakushauri kitu kimoja ingia shule anza hata certificate mdogo mdogo utoboe mpaka LLb huku unakimbiza NGO yako utakuwa mkali sana cz utakuwa umesoma kwa vitendo mwanzo mwisho sasa hivi achana na hayo mambo kuwa unajua sheria
Yeye amesoma sheria kwa vitendo. Wewe umekariri madesa
@@abdallahdataguy Acha ufala wewe huwezi kukaa gerezani na ukatosha kupractiz sheria hata kama utakaa Gerezania miaka mia labda kwa tarifa yako hapo AME deal kwa vitendo na somo moja kati ya masomo almost 53 ya sheria yeye amedeal na CRIMINAL LAW AND PROCEDURES tena kwenye ishu yake tu acha kuongea kama mtoto.
Nakubali jamaa ana kitu amepata kwenye sehemu hiyo ya sheria but nikosa kumuaminisha kuwa now anaweza kupractice sheria NO!ataweza kuendesha hiyo NGO cz inadeal na hicho alicho jifunza akiwa huko gerezani pia si sawa kumuaminisha kuwa anaweza kuwa anajua sheria kuliko lawyers waliyokaa miaka minne darasani na mwaka mmoja wakifanya sheria kwa vitendo law school acha kuyangalia mambo kama umebadili matumizi ya viungo vyako vya mwili
Pole sana uko vizuri
Kila kitu kinatokea kwasababu maalumu huwez kuelewa mwanzo likikukuta lakin badae utaelewa angalia umekaa gerezani lakini umejifunza mengi na sheria umeijua vizur kama ulienda chuo tu ila hicho ulichonacho utakuja kusaidia mtu au watu usiotarajia ulituliza akili yako sana mungu akubariki
Pole sana ndugu Allah atakulipa insha allah
Polee Sanaa kaka
Uko vizuri kwenye kuhoji ila jitahidi sauti iwe kwaliti
simu yako ndo mbovu tafuta hela 😂😂😂
@@davidshaban7375 😂😂😂😂😂🙌
Kwakweli
Hya maisha hay unaweza kusema yanaupendeleo san ila acha tuone
Umeboreshaaaa sana kipindi hiki duuu
Ingekua USA 🇺🇸 Jamaa angelipwa hela ndefu
kwa kweli hiii nchi pana ujinga sana yanimtu ana fungwa miaka 30 kirahisi hivi so sad wapo wengine kibao jela wasio na hatia
Pole sana kaka
Mtihani pole kaka mwenyezi mungu atakulipia kila aliye kusingizia kesi iso na uhakika iko siku yatamkuta hiii duniya tulio nayo bora ukutane na simba uimuogope kuliko binaadamu mwezKo
9m
1m1p8 has the potentip111o
Pole sanaaa
Zembwela... KUNA NDUGU ZETU WENGI WAMEPOTEZWA KWA KESI ZA KUBAMBIKIZWA HUKO...1. REMMY SIPUKA 2. GABRIEL KARIUKI 3. JIMMY MAINA 4.ABDUL NSEMBO NA MKEWE ,NA WENGINE WENGI...
Dah pole kaka Mungu atakupa nuru
Pole sana ndugu.
Pole broo. Kwa wenye akili, mahalo popote anapokuwepo pawe pazuri au pabaya kwao no fursa tupu.
Eeeh mutangaziji anatosha bwana kisura kisauti utafikiri ni comando😀😀😀😀
Ninamuomba Millard ayo amtafute huyu jamaa inaonekana ana madini mengi sana ya sheria.
Brother kwanza nikupe pole sana kwa janga hilo umepitia mengi wanda kuna mengi ujasema kutokana anaekuhoji
Interview hii ingempata milldayo tungejifunza mengi kutoka kwako
Zembwera umenibowa.
Pole sana,,, kila kwenye Shari kuna heri ndani yake,,,, pole home boy
Pole Sana mwanangu Hadi machozi yanatoka.looo!!! Allah atakulipa hee unajua kwele kukieleza .Mimi Mama ake Sinahila Zahoro aliepo Uturuki
Unae hoji hujui kuhoji ungemwacha aelezee story yote.
Pole kaka
Kaka unaakili nyingii haswaa kujitetea mwenyewe si mchezo
Hiki siyo kipindi cha mswahili tena tunataka mtaa kwa mtaa
Acha roh mbaya wewe
JONIJO WA E FM USHAIBIWA AIDIA YAKO YA GEREZANI HUKU BABU MSWAHILI LEO YUPO OFICN HAPANA BABU ZEMBWELA RUDI MTAANI TU HUKU WAACHIE WENYEWE KINA MILLARD AYO, LIL OMMY, VIDO VIDOX🤣🤣🤣
Pole kaka kwa yaliyokukuta
But jonij haoji wa fungwa
This is real life story
@@zebedayobiswalo1924 Lkn unaonaje interview zake zinavyonoga sasa ona hii story ni nzuri na ya kweli mno angeipata Millard Ayo hii aah mbona ingesimama lkn babu hajaitendea haki kabisa kapoa km yupo kwenye lavidavi ya Diva
@@zebedayobiswalo1924 Anae hojiwa ndy km anae hoji vile maana kwa sauti yake tu Zembwela anaweka madoido lkn bd kaiharibu interview
Pole sana
pole broo
uko sahihi
Mtangazaji unakwenda mbere sana ktk kuoji sio kwanza kielelezo kufundisha vijana wengine kwanza Anza nae mwanzo tuelewe
Tatizo ni mda ni mchache
Tunahitaji sheria zibadilishwe , ingekuwa watu walioonewa baada ya kushinda wangekuwa wanalipwa fidia kama nchi zilizoendelea wasinge kuwa wanasingizia watu
Siwapendi polisi Leo atakesho
Polo ndugu yangu. Mungu awe nawe
Pole kaka dah wanaume jaman wanapitia magumu
Sio wanaume tu
Pole tuwe na ubinadam hata kido jamani yp pesa inatumika sana na tabia mbaya uko ndiko zilipo watu hawaplay kwenye nafc zao kabisa
Nikweli bro mana duniani ili upande cheo nabidi uwe unawa kandamiza weziho, kwa kireno tuna sema, para você ser um chefe ou seja, para subir um cargo devem ser um lambe bota
Tanzania tumekuwa kituko asee kuoneana
Natamani siku moja utatuletea Aneth atuambie yake ya moyoni ili tuweke kwenye mizani
Interviewer anaboa ile mbaya ! Production sijaifurahia pia. Kwahiyo hapo ana*act kama interrogator ? Hii millard angekaa naye tu kwenye bustani na ingekuwa poa zaidi ya hichi mlichofanya 😏
Maisha yana mengi sana ya kutufunza aisee😑
Raiti Ningekuwa Rais ningeasi TAIFA langu na kuwapa wazungu kumiliki nchi
Umeumia sana leo pale ndoo maisha hayo
acha kubadili matumizi ya viungo
😭😭😭😭😭
Pole sana kaka ila polce mbinguni watapasikia tu😭
Nikweli kbs watapasikia tu, police Wana roho mbaya Sana
Pole mkuu
Pole Sana Mungu atakulipa. Ila gereza si sehemu nzuri kabisa
Pole sana ndugu yangu mchi za shelia Inabidi hulipwe 🇹🇿🇬🇷👊
Mtangazaji bana...... Haya bana 😅😅😅😅
Wanaume tunapitia mengi.
Zembwela wewe ni fundi sana man
😭😭
Namba zake wahanga sisi wengi
kesi ya mchongo
Kusimamia haki ni sisi wala sio taasisi
❤️😞
🙄😢
Hii interview ingemkuta Millard Ayo bhanaa
wee nae
Ingependeza sanaaa
Nimetamani kulia.
Munamuiga jonijo
Jonijo ndio takataka gani?
@@fadiga56 🤣🤣🤣