Zembwela Kuhusu Ndoa "Kuna Mke Mke, Mke Mke Wenu Na Mke Mkeo" | SALAMA NA ZEMBWELA PT 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    MSAFIRI HUFIKIRI
    Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
    Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
    Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
    Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
    Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
    Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
    Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
    Tafadhali enjoy,
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

КОМЕНТАРІ • 231

  • @richardmmassy5857
    @richardmmassy5857 2 роки тому +39

    Kuna elimu na kuna kuelimika... Huyu jamaa kila nikimsikiliza naelimika sana... Asante kwa maisha yako Zembwela, jua kwamba kuna watu tupo tunapata elimu sana.

  • @SaumuHassan-sf5zk
    @SaumuHassan-sf5zk Рік тому +3

    Mwamba huyu hapa, we are too blessed to have you till now. Akili nyingi mkweli mchekeshaji huchoki kumuangalia Wala kumsikiliza. Ahsante sana Salama kwa kutuletea huyu Mwamba muwe na afya njema tuendelee kujifunza

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 роки тому +6

    Yani nakipenda sana iki kipande cha mke mke. Mke mkiwenu. Mke mkeo. Nimejifunza mambo mazuri sana. Big up zembwela na salama bin jabir.

  • @duncankabig9740
    @duncankabig9740 2 роки тому +30

    Nime enjoy Sana Leo sister salama jamaa mkweli sanaa

  • @adamismailly1784
    @adamismailly1784 2 роки тому +3

    Hebu muache km mienzi 2 halafu mlete tena salama huyo jambaa yuko vizuri sana na ana mambo mengi sana ya kutufunza

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 2 роки тому +1

    Swali la kipofu hapo nadhani Salama umekosea kuuliza swali kama hilo, upofu sio swala la kuliwekea utani maishani kuna wanaotaabika na upofu

  • @officialrobeasy
    @officialrobeasy 2 роки тому +23

    This guy is very fun, he made my night 😂😂😂😂

  • @jimmymeshack8725
    @jimmymeshack8725 2 роки тому +3

    Wenye dini hawana imani na wenye imani hawa dini ..!

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 2 роки тому +7

    Siku ya nne sasa nairudia hii daaah🙌🙌🙌bonge la interview

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 Рік тому +1

    Zembwela katisha sana

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 2 роки тому +2

    Msamiati wa Mke mke
    Mke mke wenu na
    Mke mkeo.
    Umenimaliza kk vijana tulio wengi tupo hapo kwenye Mke mke wenu.

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 2 роки тому +9

    Gari bovu huvutwa na gari zima.... Fact Beberu 🍺

  • @sophiamazige705
    @sophiamazige705 2 роки тому +6

    Hela ndo nguvu za kiume zilizobaki. Vijana tafuteni helaaaaaaaaaaaaa😅😅😅

  • @miracledamian2202
    @miracledamian2202 2 роки тому +18

    One of my favorite shows wow

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 роки тому +2

    Zembwela bhana eti ooh! Bugger zinanenepesha!😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣 , nimefurahi sana maneno ya Zembwela,

  • @saidimtera6665
    @saidimtera6665 2 роки тому +5

    I like that mke mke,mke mkeo ,mke mke wenu😂😂😂

  • @yohanacosmasmachalila9016
    @yohanacosmasmachalila9016 2 роки тому +10

    Waoo! Kipindi kimenielimisha na kuniburudisha sana😊 Big up sana salama na kwa kaka yangu Zembwela

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 2 роки тому +6

    " Alaa moja panga mbili haikai, Babu zembwelaa chuma cha pua kabari yao." Naamia kamanda hujawai niangusha.

  • @zeddeastafrica1032
    @zeddeastafrica1032 2 роки тому +2

    Babu kaongea ukweli mtupu mwishoni facts respect sana kwake

  • @esterutewele7143
    @esterutewele7143 2 роки тому +1

    Dah ais

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 2 роки тому +1

    Zembwela nomaaaa sanaaa!

  • @yusuphmipawa6340
    @yusuphmipawa6340 2 роки тому +3

    Naomba Zembwela arudi tena

  • @kibajadaniel9887
    @kibajadaniel9887 Рік тому +1

    "Hela ndiyo nguvu ya kiume pekee duniani "by babu zembwela

  • @nobodyfromnowhere1888
    @nobodyfromnowhere1888 2 роки тому +23

    Sister Salama na Zembwela mmeua sana , y’all very smart people. Binamu Mb, Master , Salama and Zembwela to mention a few … Yall are the Cream of your trade of choice and talent. Fanyeni jambo….❤️

  • @exclusvetztv9011
    @exclusvetztv9011 2 роки тому +10

    Thanks my mom for this interview 😀😀😀😀😃🤣🤣🤣😂😅😂 appreciate madame salma j

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 2 роки тому +7

    Asante dada salama, asante pia kwa zembwela babu nimeelimika sana leo napia nimeinjoy SHUKRANI 🙏🏻

  • @AdamClassic-uj9ed
    @AdamClassic-uj9ed Рік тому +1

    Daa Nimekubali Sana

  • @amanothmanhamimu1174
    @amanothmanhamimu1174 2 роки тому +13

    Tunajifunza mengi sana kupitia interview

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 2 роки тому +6

    Mke mke, mke mke wenu, mke mkeo🔥🔥🔥🔥

  • @officialteeh1213
    @officialteeh1213 2 роки тому +5

    Thank you for you salama hua unatuletea watu kama hawa chuma kabari yao mbwa napata ziriki kwa mguu zake .I love him namejifunza vitu vingi sana kupiata Babu zembela Ak mume wangu 😂😂😂

  • @masoudnassor5332
    @masoudnassor5332 2 роки тому +1

    Real zembwela mungu akupe kheri nyingi duniani

  • @dadygirija968
    @dadygirija968 2 роки тому +3

    Zembwela👉🔥🔥🔥✌️

  • @winniekaria6334
    @winniekaria6334 2 роки тому +5

    Nimeona muda wa kipindi mdogo leo jamaniii. ..Zembwela hachoshi kumskiliza wallah ukiplus na maswali yako Salama ndo kabisaaaa...

  • @mdomar4650
    @mdomar4650 2 роки тому +7

    Zembwela kwa hakika naku SALUTE. Nimefaidika na mifano uliyoyapeana. Ufafanuzi wako ni Elimu tosha.. pongezi sana bro. Mimi nakukubali..

  • @universitylink
    @universitylink 2 роки тому +3

    Watu wa dini, Bwana Yesu asifiwe, Shalom, Salaam aleykum, mi si mtu wa dini nisije tafuta dhambi mpya

  • @selemanimuhanga4018
    @selemanimuhanga4018 2 роки тому +2

    Shoo Kali Sana! Producer Tunamuomba Mb Dog Mzee Wa Latifa Kwenye Shoo

  • @mwamvuajumatano1817
    @mwamvuajumatano1817 2 роки тому +4

    Allah akupe uhayy,huwa na enjoy nikimfwata zembwela anajuwa sana hadi anakera,Allah azid kukubarik

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 2 роки тому +4

    I think this is one of the shows ambayo salama ame enjoy sana

  • @jumamohamed5174
    @jumamohamed5174 2 роки тому +6

    salama and zembwela you guys are too smart ...

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 роки тому +3

    Madini ya kutosha Zembwela tunashukuru Sana kaka!

  • @KalabashCreative
    @KalabashCreative 2 роки тому +3

    Asante salama, asante Hillary(Zebwela) mbarikiwe kwa somo la maisha.

  • @babaetwaha8822
    @babaetwaha8822 2 роки тому +2

    Nampenda sana bro zembwela ni mkweli cku zote pia kazi zake nzuri
    Asante dada salama kw kipindi chako naenjoy sana

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 роки тому +2

    Safi saana nimenjoy saana pindi la lao zembwela katisha kinoma

  • @allinall9382
    @allinall9382 2 роки тому +5

    Dah kipindi nimekiona kifupi san asee 😋😋, arudi tena ,ikibid muda uongezwe

    • @mdomar4650
      @mdomar4650 2 роки тому +1

      Kweli kabisa.. Hapo sawa kabisa.

  • @fatmamussa5255
    @fatmamussa5255 2 роки тому +7

    the show was great...nilitamani msingemalza☺

  • @paulinekisaka4677
    @paulinekisaka4677 2 роки тому +6

    One of the best Salama na episode.....kudos!!!

  • @AbdallahNorman
    @AbdallahNorman 2 роки тому

    mke, mkeooo... wanaumee na wavulaaana... safi sana Beberuuu

  • @mangisenya4012
    @mangisenya4012 2 роки тому +2

    Zembwela big up

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 2 роки тому +2

    Daaaaa dada asante Sana kwa kutuletea huyu jamaa n ukweli mtupu kaongea hapo

  • @universitylink
    @universitylink 2 роки тому +3

    Utakula alafu ule au utakulaa kwanza, mkunga mwenyewe ameshachika

  • @manirakizaambula8605
    @manirakizaambula8605 2 роки тому +1

    Asante kaka,🇧🇮

  • @mnenedrogba1218
    @mnenedrogba1218 2 роки тому +4

    Very factual for sure Zembwela. I never knew u such an inspiration bro.i salute u man🤝👍👌🙏💯✔

  • @zalubiasalim240
    @zalubiasalim240 2 роки тому +6

    Thanks for the interview salama, madini ya kutosha, respect babuu zembwela

  • @geofreymahally7115
    @geofreymahally7115 2 роки тому +3

    Kwa kwl salama nme enjoy sn kipindi cha leo

  • @mateshasembuche2497
    @mateshasembuche2497 2 роки тому +2

    Nimeipenda sana show yenu, nzuri sanaaa

  • @johnmalembeka3546
    @johnmalembeka3546 2 роки тому +2

    Nmependa sna hii interview ya zembwela sna na chumvi katupiga sehem zaman emoji hazikuwepo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @karimumduma4048
    @karimumduma4048 2 роки тому +1

    Dah nime enjoy sana

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha3740 2 роки тому +4

    Oooh my Good one of the best busara nyingi na hekma thanks you for doing doing good job my sister

  • @odrianinicolaus5353
    @odrianinicolaus5353 2 роки тому +2

    Salama Tuletee yule Mbunge Mhe.Kishimba,mch.Gwajima au Mhe.Msukuma.

  • @kpol22
    @kpol22 Рік тому +1

    This is excellent show. Hongera sana Salam J . Zembwela is too real!~

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 8 місяців тому

    Fresh akajibu hakuna mtindi kitambo sana,jamaa ana misemo uyu

  • @yahyaahmed1854
    @yahyaahmed1854 2 роки тому +3

    Twataka part 3 salama

  • @butogwaavelina5299
    @butogwaavelina5299 2 роки тому +3

    Nimependa saan na nimejifunza vingi 🙏

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 роки тому +3

    Nimefurai sana Leo kumuona zembwela. Big salama.

  • @mmbando
    @mmbando 2 роки тому +1

    Vichwa viwili, hatari.. safi sana.

  • @soudbako5925
    @soudbako5925 2 роки тому +2

    One of the best interview all the time anaitwa BEBERU kabali yao or BABU

  • @joelndowo
    @joelndowo 2 роки тому +1

    Aisee...🙌🙌🙌

  • @chikuketo4279
    @chikuketo4279 2 роки тому

    Namkubali Sana Beberu,Nmejikuta Natamani Aendelee Kuongea,Hachoshi.

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 2 роки тому +4

    Best interview.......elimu ya kutosha nakukubali sana zembwela .......

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 2 роки тому +1

    Nimechelewa Sana kuangalia hii interview mpaka Bwana zebwela ameanza ku trend huko tick tock na what's up stutus nikasema ngoja nije kuona utamu bonge moj ala rahaaaa na buridaniiii iliojaaa elimu toshaaaaa ama kweli junguu kuuu halikosi ukoko

  • @frankkyomushula7588
    @frankkyomushula7588 2 роки тому +12

    Great Show as usual Dada....

  • @tanziluhizza8214
    @tanziluhizza8214 2 роки тому

    Kwenye mke nimekuelewa sana brother 🙏

  • @martinfrancis9808
    @martinfrancis9808 2 роки тому

    ZEMBWELA BABU... NAMKUBALI SANA HUYO

  • @khamismachemba4020
    @khamismachemba4020 2 роки тому

    Bonge la show....Zembwele moto

  • @laurentrueta9625
    @laurentrueta9625 2 роки тому

    dada unatufundisha maisha asante🙏

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 2 роки тому +2

    Full of lessons...!!

  • @harounmamba2632
    @harounmamba2632 2 роки тому

    Moja ya mahojiano bora yalopata kufanyika kwenye karne hii.big up zembwera

  • @merrymafole5180
    @merrymafole5180 2 роки тому +4

    Utakula alafu ule au utakula kwanza 😂😂😂😂😂

  • @yusuphmipawa6340
    @yusuphmipawa6340 2 роки тому +1

    Kaongea Fact salama

  • @ramadhanibashiru5130
    @ramadhanibashiru5130 2 роки тому +1

    Safi sana

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli4853 2 роки тому +1

    Ila Zembwela 😂😂😂🙌

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому +6

    Awesome amazing 💙

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 2 роки тому

    Asante sana kwa hili darasa

  • @salimumazige9497
    @salimumazige9497 4 місяці тому

    Salama nakuomba huyu jamaa uweunamwita marakwara anaelimisha jamii

  • @athumanipigo9295
    @athumanipigo9295 2 роки тому +1

    Dada salama mlete pia Masoud Kipanya please!!!

  • @mguliproperty9469
    @mguliproperty9469 2 роки тому

    Dah madini special sana

  • @JOSKY-j8
    @JOSKY-j8 Рік тому

    Huku wa prove wrong lakini ulihishi katk nyota za bahati may be za majina au ulikuwa unawategemea financially

  • @sammyamnay3708
    @sammyamnay3708 2 роки тому +2

    nimejifunza mengi sana katika interview hii ya zembwela ni maisha halisia kabisa

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel5503 2 роки тому

    Point "Tutafute hela" vijana

  • @sarafinasamson7596
    @sarafinasamson7596 2 роки тому

    nimeipenda

  • @edwinjohnmasanja8602
    @edwinjohnmasanja8602 2 роки тому

    Mpaka machoz jamn

  • @jumabanga6079
    @jumabanga6079 2 роки тому

    Daaaah zebwela khatar saanna

  • @jumamuhando2504
    @jumamuhando2504 2 роки тому +1

    Well said brother

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 роки тому

    Zembwella big boss

  • @UlimeA
    @UlimeA 2 роки тому

    Hizi ni nondo zenye busara kalii

  • @andreakarata5469
    @andreakarata5469 2 роки тому

    Kiukweli Zembwela MUNGU kampa kipaji sana

  • @universitylink
    @universitylink 2 роки тому

    Ni kweli sana sister salaama jamaa mkweli sanaa

  • @husseinbuko9657
    @husseinbuko9657 2 роки тому +1

    Nime enjoy na nimefurahi dada salama kumleta kaka zembwela kwenye kipindi chako nimejifunza mengi Sanaaaa kutoka kwa zembwela na kwako pia MSAFIRI HUFIKIRI

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 Рік тому

  • @hassanmussa3664
    @hassanmussa3664 2 роки тому

    Kioo cha jamii