Namshukuru Mungu, ni miaka kadhaa sasa imepita toka nimpokee CRISTO, huku raha sana unaish bila kwenda kw mganga wa tunguli.. Halleluya..yan mimi nilikuw mbishi mfano wa mazinge lkn yote n kw sabb ukiw ktk giza uwez uwez iona NURU, NURU n CRISTO njoon mpate ingia NURUNI.
UNATAKIWA UELEWESHWE LUGHA YA KISWAHILI: Sisi Dini yetu inaitwa UISLAMU,, ivi kushawahi kusikia kuna yahudi, islamu,, Kristo,, pagani katika biblia hiyo kristo siyo dini mnatakiwa kutafuta dini kwanza.
Wewe kafiri acha uongo uislamu haukutaka mtu aende kwa mganga Wewe hukuwa mfano wa mazinge ata siku Moja Umeenda katika ukristo ukaimbe na ukale mziki basi ukasngalie na matako na mapaja maana kanisan wanawake vimini na suruali ndo mavazi yao
Mwenyezi mungu ajikalie maisha marefu mwalimu Ndacha, panga mkutanano na Dr Zakir pia mwalimu wangu juu naamini hajawahi patana na msomi wa kiwango chako
Na venye mna kimbelembele si huyo zakir angekua kashawasili ukumbini nivenye mwenyewe kaogopa maana hana hoja kwa ndacha na ndio maana kina mazinge wameshindwa kumsilimisha ndacha nyioooh!!😂😂😂😂
Amen Pastor, Glory be to God.Go, then,to all people everywhere and make them my disciples: baptize them in the name of the Father,the son,and the Holy Spirit,and teach them to obey everything i have commanded you .And i will be with you always,to the end of the age.
Mutumishi Wa mungu ishi kama bahari ili mungu akutumie utu teteye kwa izi roho zisizo amini mungu yesu akupe ufunuo tena télé mutumishi un aishi wapi ? Swahili umeongea nakisikia sana ila mimi ni mu Congo utumishi roho yangu ime tamani sikumoja tuonane mbingu nione umevikwa taji la ushindi kwa kushinda izi roho za uasi amina🙏🙏
Imeshabainika kuwa kafiri ni mpingaji anaye pinga kauli tangulizi! Mwenyezi Mungu anasema shetani makao yake yatakuwa jehanamu pamoja na wafuasi wake ,lakini wapingaji wanasema amesilimishwa (amenyenyekeshwa) name Mtume(Saw) Mohamadi. Maadamu ameslimu ataingia peponi!! Mwennyezi Mungu amesema kuwa atamfisha Yesu(Is a) na kumuhuisha tena, wapingaji wanasema Yesu hakufa! Bali Mungu mahali pa kufa Yesu alimweka MTU mwingine!!! Mungu amesema Yesu anazaliwa kwa uwezo Wa Roho bila ya Baba wa kimwli! Wapingaji watiliashaka kauli ya Mungu ,na kudai kuwa Yesu amezaliwa na Yusufu!!
Nani uyo???? mkristo aslim???yaan aukimbie uzima wa milele aifate jehanam???yaan mim ata unipe trilion zote siwez kuslim maisha,yaan ata panga liwekwe shingoni mwangu siwez kuslim ata sekunde moja
Ulopgwa na chin ni ww usieijua dini ya haki mbele ya mwenye enzi mungu ni ip hiv ww hujiuliz maswal et yesu ni mungi hlf et ni mtu mukiulizwa hii vip mnaleta utatu yan yesu kazaliwa halaf katahiriwa halaf kafa eh jaman bas ata babu yng alkua aitwa mungu coz alizaliw alitahariw na ashakufa
Ninachojua mdaharo wowote wa Waislam VS Wakristo waislamu huwa wanashindwa. Kigoma hadi walienda kushitaki Polisi baasa ya Simba Ulanga kuwanyoosha hadi Ijumaa wengi hawakwenda msikutini hasa vijana baada ya kueleza mambo ambayo yaliwachanganya waislam.
Huyu mwalimu wa kiislamu aachwe aendelee kuonyesha jinsi alivyo na hoja finyu ila kwa wale MUNGU ANAOWAONYESHA maana anauliza vitu vyepesi sana hana hoja
@@mussakamando2678 sasa sijui maandiko kwenye nini mbona kama hujaweka wazi au ndiyo walewale wafuata mkumbo toa maelezo nini unamaanisha vinginevyo usicomment ili uonekane umecomment ilhali hueleweki
Kumbe muislamuu??? Shetani duuu ndiyo maana mashetani mengi huwa yanasema hi salamu ya waislamu??? Afu ukienda kwa waganga ukute wanasema aslamleko 😂😂 Sasa uone mashetani kama yatataja jina la YESU yatachomwa motooo❤️❤️❤️❤️
Kwanza wewe yawezekana shule hukwenda ndio maana unasubili2 kusomewa na ma kafili wenzio wale wapokazini wanajua kama uislam ndio dini ya bwana yesu ila wewe kipofu ndio unashida soma ufunuo 2 12 agano jipya ndio ujue mfalume wa uklisto ni shetani
kuna jirani yetu mmoja aliwah kupandisha mapepo akaanza kusem namtaka shekhe,akaambiw mchungaji,pepo halitaki mchungaji,sasa apo akili kichwani,kwann pepo limtake shekhe??mim baada ya hapo nikajifunza jambo
Ombeni sana wa Cristo munapokutana nayo Mazinge mujuwe munakutana na shetani uyo ni mtumishi WA shetani mensagem kutoka Moçambique Mungu awabarik sana wa Cristo Yesu 3:36 ni Mbwana
Mungu afunguwe macho wa lslam, kwakuwa wanasomewa maswali na jibu wana zipata kutoka Quoran na Bibiliya ira ku elewa nivigumu, wanajitahidi kureta vitu vingine na swali wameshapata jibu, Mungu awasahidiye
Ukiona umekosea njian usiendelee na njia iyoiyo utafk kuskojulikana kbs,( yani ukipotea njia ya kwenda mbiguni unakuw na njia ya kwenda jehanam 2) rfk zetu waislam yesu ni njia karibu sana ukristo 2nawapenda sana , wala sio kwa nguvu au mabavu ukweli wowote uliofunuliwa ukusute ufanye maamuzi
@@nuswemwaipopo9558 Milton yupo sahihi, miungu ipo mingi sana, kwa tafsiri ya huyu bwaba Milton mungu ni kile kitu unacho kiabidu, kama unaabudu nyoka huyo ni mungu wako, kama unaabudu shetani huyo ni mungu wako, na kwa vile akina mizinge wanaabudu shetani huyoni mungu wao, NB: Tofauti tofauti ya Mungu muubaji wa vyote, anayeabudiwa kwa haki, baba wa Bwana wetu Yesu kristo ni katika maandishi, lazima uanze na herufikubwa "Mungu" ukiandika "mungu" unamaanisha, mizimu, majoka, mapango, miti mikubwa, makaburi, na miungu mingine. uwe makini.
kanisa ni mkusanyiko au mkutano wa watu wanaomwamini Kristo, sio mkutano au mkusanyiko wowote ni kanisa, lazima mkusanyiko huo uwe na imani moja juu ya Kristo na Kristo ni Mungu mwenyewe
Yaani wewe Lutf Adbdulrab lazima upinge chenga, Hivi unajifanya uelewi maandiko yenye yamesomwa. Mkusanyiko wa watu wanaoamini yesu, sio mkusanyiko tuu.
@@frankmpembu2505 wewe ndo hujaelew ndugu, Yesu hakuna sehem kaingia kanisani, sasa nyiny kanisani mnaend kutafta nini? Lkn pia, kwa mujib wa uyo mchungaji, kanisa ni mkusanyiko wa watu, sasa mbona yale majengo yanaandikwa makanisa? We huon kama umeenda kinyume na maandiko, swali kanisa ni nyumba ya ibada au ni mkusanyiko? Kama ni mkusanyiko kwa nini yale manyuma mnayaita makanisa, na alaf mnaingia wkt yes hajawah kuingia?
@@hemed4064 SWALI ZURI UMEULIZA Kwa mujibu wa Maandiko, Kanisa siyo jengo la matofali au udongo au miti au nyasi.Bali kanisa ni Kusanyiko la watu wanaomwamini Kristo,,na Kristo huwa anakaa ndani ya kanisa yaani ndani ya Kusanyiko la watu wanaomwamini yeye Kristo Mathayo 18:20 20 Kwa kuwa walipo WAWILI WATATU WAMEKUSANYIKA KWA JINA LANGU, NAMI NIPO PAPO HAPO KATIKATI YAO.
@@hemed4064 na kama Kanisa siyo jengo kwanini tunajenga jengo,,,tuna jenga majengo hayo hili kujikinga na mvua, jua, kuhifadhi mali zetu na kadhalika. Jengo hilo siyo kanisa, Bali lile Kusanyiko la watu lililomo ndani ya jengo hilo, Hilo Kusanyiko ndiyo kanisa, rejea Mathayo 18:20 20 Kwa kuwa walipo WAWILI WATATU WAMEKUSANYIKA kwa jina langu, NAMI NIPO PAPO HAPO KATIKATI YAO.
Ndacha ni Mtumishi wa Mungu aliye hai, roho wa Mungu yu juu yake kwa ufahamu wa kawaida huwezi kuchambua mambo ya Mungu kwa kiwango hicho roho Mtakatifu asipokuwa nawe. Majini yote yalisilimu yakawa waislamu na wanaabudu nayo msikitini eti nao ni viumbe wa mwenyenzi Mungu pumbavu zenu mwaminini Yesu kwani hata muhamad kwenye Qurain anakiri Yesu ndiye atakayehukumu ulimwengu hata na yeye atapanga mstari apokee hukumu yake
Wana ganganiya kupinga kama Yesu Kristo siyo Mungu tena Quoran imesha sema na Bibiliya ikasema, sasa kwa nini musi amini Quoran na andiko yayo, ira kazi kupoteza watu wasijuwe ukweri kama Yesu Kristo ni Mungu
NASIKITIKA SANA KUONA SHETANI ANAWADANGANYA WATU WANAOIJUA DINI KAMA MAZINGE ! HV UNAULIZAJE AYA INAYOSEMA YESU KAINGIA KANISANI ETI NI MKRISTO 😂😂😂😂 YESU YEYE NDIO KRISTO MWENYEWE HV WATU WANA AKILI AU MATOPE ANAKUAJE MKRISTO DAAAH MSAMEHEWE TU😚
Mimini Bwana,ndilo jina langu,na utukufu wangu sitampa wingine,wata sitawapa sanamu sifa zangu,Zaburi,115:4-& Sanamu zao ni fedha na dhahabu.kazi ya mikono ya wanadamu.Zina vinywa lakini hazisemi,zina macho lakini hazioni.zina masikio lakini hazisikii ,zina pua lakini hazisikii harufu ..mikono lakini hazishiki ,miguu lakini haziendi ,wala hazitoi sauti kwa koo zake,Wazifanyao watafanana nazo,wazifanyao watafanana kila mmoja anayezitumainia,"
Mtumishi hua nakuelewa sana hao unao bishana nao hawana elimu ya mbingun wanabishana kwa mazoea ubishi wa kwenye kahawa kwahio ni busara uwafundishe kwanza kwamba yesu ndio njia, yesu ndio neno litokalo kwa mungu, yesu ndio mwenye mamlaka mbinguni, duniani na chini ya aridhi na akirudi yeye ndio atakae simamia hukum ya waovu na wasio waov pia alisema kua kwa babayake kunamakazi yakutosha je waulize waulize kua wapi Muhammad alisema kwamba yeye ndio njia ya kweli kwenda peponi?
pastor Mungu akuzidishie neema!! You are a very good example of a true man of God
Namshukuru Mungu, ni miaka kadhaa sasa imepita toka nimpokee CRISTO, huku raha sana unaish bila kwenda kw mganga wa tunguli.. Halleluya..yan mimi nilikuw mbishi mfano wa mazinge lkn yote n kw sabb ukiw ktk giza uwez uwez iona NURU, NURU n CRISTO njoon mpate ingia NURUNI.
UNATAKIWA UELEWESHWE LUGHA YA KISWAHILI: Sisi Dini yetu inaitwa UISLAMU,, ivi kushawahi kusikia kuna yahudi, islamu,, Kristo,, pagani katika biblia hiyo kristo siyo dini mnatakiwa kutafuta dini kwanza.
Wewe kafiri acha uongo uislamu haukutaka mtu aende kwa mganga
Wewe hukuwa mfano wa mazinge ata siku Moja
Umeenda katika ukristo ukaimbe na ukale mziki basi ukasngalie na matako na mapaja maana kanisan wanawake vimini na suruali ndo mavazi yao
@@SalmaAbdul-zz7dy huyo hujamuelewa itakuwa alikuwa mshirikina mwanzo
Mwenyezi mungu ajikalie maisha marefu mwalimu Ndacha, panga mkutanano na Dr Zakir pia mwalimu wangu juu naamini hajawahi patana na msomi wa kiwango chako
Dr zakir ni Hatari sana Ndacha Hatamuweza Hata siku 1
Na venye mna kimbelembele si huyo zakir angekua kashawasili ukumbini nivenye mwenyewe kaogopa maana hana hoja kwa ndacha na ndio maana kina mazinge wameshindwa kumsilimisha ndacha nyioooh!!😂😂😂😂
Dr Zakir hatari kabisa,,mchungaji wenyu ni mtoto sana kwake...ata kimbia uyu😂😂😂
Udumu mwalimu ❤ nakumwagia mauwa ipo siku waeslaam wataamini tu
Umewakasowa sana mchungaji barikiwa kwa utumishi mzuri
Waislamu mungu awafungue tu maana wa naubishi usikuwa na uelekeo kabisa p ndacha ubarikiwe sana
Pastor ndacha thanks very much I thought I was in a wrong religion but you ahve confirm it but we all leave it to God for guidance ☺️
Kuna vitu nazidi kujifunza sana, asante YESU
Asante Sana pastor Ndacha wape habari mpya wapate wokovu watoke kule msikitini
Asante sana Mwl Ndacha kwa somo zuri
Amen Pastor, Glory be to God.Go, then,to all people everywhere and make them my disciples: baptize them in the name of the Father,the son,and the Holy Spirit,and teach them to obey everything i have commanded you .And i will be with you always,to the end of the age.
Pastor you are a true man of God.. you are annointed and carry fire in you..may the almighty our lord Jesus Christ bless you abundantly
Barikiwa sana mtumishi... Burundi bujumbura tunabarikiwa Na kazi yako
Ndacha Safi sana Bwana Yesu Kristo juu!!
Jina la yesu lihimidiwe Amina
Njoo uislamu wwe utajuata wee
Ndo amejibu nini
Mazinge ni boya tu. Kumkichwa hamna kitu. Bigup Ndasha.
Ndacha mungu akubaliki
Mungu akubaliki ndacha napenda mafunndixho yako
Ndacha hata waungane mazinge 5 hawamuwezi,wasabato wamesoma sana,
Mubarikiwe sana Mungu awabaliki tunawapenda
Pastor may God bless you soo much 💯💯💯💯
Ndacha Mungu akulinde ma magumu yoyote amina
Wow very true pst ANEN
Mutumishi Wa mungu ishi kama bahari ili mungu akutumie utu teteye kwa izi roho zisizo amini mungu yesu akupe ufunuo tena télé mutumishi un aishi wapi ? Swahili umeongea nakisikia sana ila mimi ni mu Congo utumishi roho yangu ime tamani sikumoja tuonane mbingu nione umevikwa taji la ushindi kwa kushinda izi roho za uasi amina🙏🙏
Nashukuru Mungu baada ua kusikiza hii video imani yangu ua uislamu imeongezeka Alhamdullilah
Sehemu yako ni lile ziwa liwakalo moto.
Yesu ndiye njia kweli na uzima.
MUNGU akubariki sana sana mtumishi wa MUNGU.
Namkubali sana mwalimu ndächa YESU azidi kutukuzwa kupitia wewe
Imeshabainika kuwa kafiri ni mpingaji anaye pinga kauli tangulizi! Mwenyezi Mungu anasema shetani makao yake yatakuwa jehanamu pamoja na wafuasi wake ,lakini wapingaji wanasema amesilimishwa (amenyenyekeshwa) name Mtume(Saw) Mohamadi. Maadamu ameslimu ataingia peponi!! Mwennyezi Mungu amesema kuwa atamfisha Yesu(Is a) na kumuhuisha tena, wapingaji wanasema Yesu hakufa! Bali Mungu mahali pa kufa Yesu alimweka MTU mwingine!!! Mungu amesema Yesu anazaliwa kwa uwezo Wa Roho bila ya Baba wa kimwli! Wapingaji watiliashaka kauli ya Mungu ,na kudai kuwa Yesu amezaliwa na Yusufu!!
Acha uongoo nduguu Sisi Hao wapingaji wako hatujuwai kusema yesu kazaliwa na yussufu majibu kasome surat imraan
Huyu mchungaji huyu ni 🔥🔥🔥🔥
Mchugaji gani
Maa Shaa Allah, Barikiwa Sana Sheikh Mazinge,Allah Akupe Umri.
Kanisa siyo jengo,, kanisa ni mkusanyiko la watu wanao mwamini Kristo. Yesu yeye mwenyewe na Wanafunzi wake ni kanisa.
waislamu mmegalagazwa
mungu aishiye asaidie waislamu, wamepotea akh
Ndachi upo vzr Mungu Akubariki
Ameeen ubarikiwe sana mtumishi🎉
Amina mtumishi, ubarikiwe sana.
Pastor uko vizuri hadi raha
Mazinge pole sana wewe mubishi sana halafu ubishi wako Haina maana zaidi unapotosha wasio elewa
Toa andiko sasa
Mazinge Mungu akuweke unapiga ijnili baba ,very good and polite mjadala wenye mafindisho
Mungu atubariki sote tunaomkubari
God bless u pastor Ndacha
Ndacha is the professor here
Hongera sheikh mungu akulinde na insha Allah wakristo wengi wataslim
Nani uyo???? mkristo aslim???yaan aukimbie uzima wa milele aifate jehanam???yaan mim ata unipe trilion zote siwez kuslim maisha,yaan ata panga liwekwe shingoni mwangu siwez kuslim ata sekunde moja
Mko sawa pst na mafundisho ,ni siku tu,yohana.2:19, mbarikiwe sana
Waislam wamepigwa na kitu kizito 😂😂🤣🤣🤣😂😅
Ulopgwa na chin ni ww usieijua dini ya haki mbele ya mwenye enzi mungu ni ip hiv ww hujiuliz maswal et yesu ni mungi hlf et ni mtu mukiulizwa hii vip mnaleta utatu yan yesu kazaliwa halaf katahiriwa halaf kafa eh jaman bas ata babu yng alkua aitwa mungu coz alizaliw alitahariw na ashakufa
jina la Yesu ni jina kuu sana kuliko majina yote
Waooh, bwana yesu asifiwe sanaaa
Hapana Allah ndo mungu pekee na hakuna mwengine anaefanana nae na hakuzaa wala hakuzaliwa na mwenyenzi mungu mmoja tu
Alihubiri masinagogi ambae ni misikiti we ndacha na watu wako nyie ni makafiii haswaaaa
Ninachojua mdaharo wowote wa Waislam VS Wakristo waislamu huwa wanashindwa. Kigoma hadi walienda kushitaki Polisi baasa ya Simba Ulanga kuwanyoosha hadi Ijumaa wengi hawakwenda msikutini hasa vijana baada ya kueleza mambo ambayo yaliwachanganya waislam.
Huyu mwalimu wa kiislamu aachwe aendelee kuonyesha jinsi alivyo na hoja finyu ila kwa wale MUNGU ANAOWAONYESHA maana anauliza vitu vyepesi sana hana hoja
Wewe hujui maandiko
@@mussakamando2678 sasa sijui maandiko kwenye nini mbona kama hujaweka wazi au ndiyo walewale wafuata mkumbo toa maelezo nini unamaanisha vinginevyo usicomment ili uonekane umecomment ilhali hueleweki
@@mussakamando2678 jina Lako zuri ila huelewi kitu
Ukimwangalia vizuri Mazinge ameshachanganyikiwa. Maana anamdhihaki Mungu
@@elishakayagwa9371 mazinge hawezi kumzihaki mungu
Labda mungu wenu wa bandia
Ahsante sana ndacha kwa kuwafundisha hao waislam
Kumbe muislamuu??? Shetani duuu ndiyo maana mashetani mengi huwa yanasema hi salamu ya waislamu??? Afu ukienda kwa waganga ukute wanasema aslamleko 😂😂 Sasa uone mashetani kama yatataja jina la YESU yatachomwa motooo❤️❤️❤️❤️
Kwanza wewe yawezekana shule hukwenda ndio maana unasubili2 kusomewa na ma kafili wenzio wale wapokazini wanajua kama uislam ndio dini ya bwana yesu ila wewe kipofu ndio unashida soma ufunuo 2 12 agano jipya ndio ujue mfalume wa uklisto ni shetani
kuna jirani yetu mmoja aliwah kupandisha mapepo akaanza kusem namtaka shekhe,akaambiw mchungaji,pepo halitaki mchungaji,sasa apo akili kichwani,kwann pepo limtake shekhe??mim baada ya hapo nikajifunza jambo
Uyo itakua kapandisha mkeo,sio jirani yako
Barikiwa sana mtumishi ndasha 😘😘😘😘
Ubarikiye ndasha❤❤❤
Mungu akusaidie sana
Asante Yesu Kristo
Wish to meet you one day pastor
Aki Mzee Mazinge ana mambo
God bless you pastor.
Ni kweli kabisa hao lugha ndo inawachanganya na huwa wanajengea hoja zao finyu kwenye lugha tuu
Ndacha barikiwa sana
Ndacha Yuko vizuri
Sana mungu Ampe umli mlefu ambatize mazinge nawaislamu wengine Kwa jina la yesu kristo wa nazaleti
Kongole mr. Ndacha👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏❤
Ameweza kweli mazinge kawa mdogo kama piritoni
Ombeni sana wa Cristo munapokutana nayo Mazinge mujuwe munakutana na shetani uyo ni mtumishi WA shetani mensagem kutoka Moçambique Mungu awabarik sana wa Cristo Yesu 3:36 ni Mbwana
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Ogera pastor ubarikiwe na mungu
Pastor Barikiwa milele😁👏👏
Mchungaji ndacha anaongea kwa hoja kutoka biblia na Quran ila shekh mazinge amechemka Hana hoja Bali ni mbishi tu
Ukweli mtupu. Mazinge has no content
@@devinahmatoke3136 wacha kujipa moyo nyinyi musiojielewa yesu siku hiyo atawaruka
Glory to our LORD GOD
Mimi na Familia yangu tumekuwa wakiristo baada ya kusikia hixi hoja
Wewe ni mkristo toka awali Acha uongo
J
Umeamua vyema
Uongo mtupu
Mimi pia
Mazinge hamuwezi Ndacha
Yesu ndie njia
Hiyo njia inayo itwa Yesu ikomahali Gani
Ubarikiwe
Alhamdulillah sees
Be blessed
Mungu afunguwe macho wa lslam, kwakuwa wanasomewa maswali na jibu wana zipata kutoka Quoran na Bibiliya ira ku elewa nivigumu, wanajitahidi kureta vitu vingine na swali wameshapata jibu, Mungu awasahidiye
Barikiwa sanaa
Ukiona umekosea njian usiendelee na njia iyoiyo utafk kuskojulikana kbs,( yani ukipotea njia ya kwenda mbiguni unakuw na njia ya kwenda jehanam 2) rfk zetu waislam yesu ni njia karibu sana ukristo 2nawapenda sana , wala sio kwa nguvu au mabavu ukweli wowote uliofunuliwa ukusute ufanye
maamuzi
Uislam na ukristo wote ni watafuta njia ya kumjua Mungu katika taratibu za Jadi
Kumkubali yesu ni neema
Hawa magaidi ni wabishi kama mungu wao shetani.
Kumbe shetani mungu
@@nuswemwaipopo9558
Milton yupo sahihi, miungu ipo mingi sana, kwa tafsiri ya huyu bwaba Milton mungu ni kile kitu unacho kiabidu, kama unaabudu nyoka huyo ni mungu wako, kama unaabudu shetani huyo ni mungu wako, na kwa vile akina mizinge wanaabudu shetani huyoni mungu wao,
NB: Tofauti tofauti ya Mungu muubaji wa vyote, anayeabudiwa kwa haki, baba wa Bwana wetu Yesu kristo ni katika maandishi, lazima uanze na herufikubwa "Mungu" ukiandika "mungu" unamaanisha, mizimu, majoka, mapango, miti mikubwa, makaburi, na miungu mingine. uwe makini.
@@zephaniahfanuel8444 mshalaaniwa nyie na misalaba yenu
Nan gaidi
Maana ya kanisa ni mkutaniko siyo nyumba ya ibada ya Mungu, kwa hivyo dini ya kikristo siyo dini ya Mungu ila dini ya mkutaniko wa watu
kanisa ni mkusanyiko au mkutano wa watu wanaomwamini Kristo, sio mkutano au mkusanyiko wowote ni kanisa, lazima mkusanyiko huo uwe na imani moja juu ya Kristo na Kristo ni Mungu mwenyewe
Yaani wewe Lutf Adbdulrab lazima upinge chenga, Hivi unajifanya uelewi maandiko yenye yamesomwa. Mkusanyiko wa watu wanaoamini yesu, sio mkusanyiko tuu.
Mazinge anatakiwa abatizwe maana kaishiwa hata swali kilicho Baki mi kubatizwa Tu nakuimba kwaya
😄😅😂😀😄mbavu sina miye
Mazinge Swali alilouliza kauliza kwasababu hajui Nini Maana ya Kanisa😂😂😂😂
Kauliza kwa kujua,
@@hemed4064 Unamaanisha kauliza swali huku hakijua kuwa hilo siyo swali analopaswa kuuliza😂😂😂😂🤣
@@frankmpembu2505 wewe ndo hujaelew ndugu,
Yesu hakuna sehem kaingia kanisani, sasa nyiny kanisani mnaend kutafta nini?
Lkn pia, kwa mujib wa uyo mchungaji, kanisa ni mkusanyiko wa watu, sasa mbona yale majengo yanaandikwa makanisa? We huon kama umeenda kinyume na maandiko, swali kanisa ni nyumba ya ibada au ni mkusanyiko? Kama ni mkusanyiko kwa nini yale manyuma mnayaita makanisa, na alaf mnaingia wkt yes hajawah kuingia?
@@hemed4064 SWALI ZURI UMEULIZA
Kwa mujibu wa Maandiko, Kanisa siyo jengo la matofali au udongo au miti au nyasi.Bali kanisa ni Kusanyiko la watu wanaomwamini Kristo,,na Kristo huwa anakaa ndani ya kanisa yaani ndani ya Kusanyiko la watu wanaomwamini yeye Kristo
Mathayo 18:20
20 Kwa kuwa walipo WAWILI WATATU WAMEKUSANYIKA KWA JINA LANGU, NAMI NIPO PAPO HAPO KATIKATI YAO.
@@hemed4064 na kama Kanisa siyo jengo kwanini tunajenga jengo,,,tuna jenga majengo hayo hili kujikinga na mvua, jua, kuhifadhi mali zetu na kadhalika. Jengo hilo siyo kanisa, Bali lile Kusanyiko la watu lililomo ndani ya jengo hilo, Hilo Kusanyiko ndiyo kanisa, rejea Mathayo 18:20
20 Kwa kuwa walipo WAWILI WATATU WAMEKUSANYIKA kwa jina langu, NAMI NIPO PAPO HAPO KATIKATI YAO.
AMEN AMEN
Takbiiiiiir
Ahasante ndacha dini ya shetani ni waislamu
Soma ufunuo 2 12
Kumbe shetani anadini?
@@lileoh3893 wacha ushabiki mtumwa wa shetani wewe
Ndacha ni Mtumishi wa Mungu aliye hai, roho wa Mungu yu juu yake kwa ufahamu wa kawaida huwezi kuchambua mambo ya Mungu kwa kiwango hicho roho Mtakatifu asipokuwa nawe. Majini yote yalisilimu yakawa waislamu na wanaabudu nayo msikitini eti nao ni viumbe wa mwenyenzi Mungu pumbavu zenu mwaminini Yesu kwani hata muhamad kwenye Qurain anakiri Yesu ndiye atakayehukumu ulimwengu hata na yeye atapanga mstari apokee hukumu yake
Elimu unawapa sana mtimishi ila hawa ni wabishi sana tumwombeh mungu atuongozee
Professor Mazinge Allah akupe umri mrefu yenye afya walahi ww ndio kiboko ya makafiri
Tena Sana ataishi kuwasilimisha wengi makafiri
Mazinge anawaongoza waislam kwenda moton nyie mfuatilien aendee lee kuwalisha matango pori mana din sahihi ni Christian mfuaten yesu mtaiona pepo
Vizuri sana kuchungaji ndacha
Hapa waislamu wamepata chanjo. Mwalimu endelea kuwafungua macho.
Wana ganganiya kupinga kama Yesu Kristo siyo Mungu tena Quoran imesha sema na Bibiliya ikasema, sasa kwa nini musi amini Quoran na andiko yayo, ira kazi kupoteza watu wasijuwe ukweri kama Yesu Kristo ni Mungu
Kwa Bwana Yesu Kila Goti litapigwa
Wakristo Mungu awafungue TU mfate dini ya haki pamoja na kitabu kisicho kuwa na shaka quran
NASIKITIKA SANA KUONA SHETANI ANAWADANGANYA WATU WANAOIJUA DINI KAMA MAZINGE ! HV UNAULIZAJE AYA INAYOSEMA YESU KAINGIA KANISANI ETI NI MKRISTO 😂😂😂😂 YESU YEYE NDIO KRISTO MWENYEWE HV WATU WANA AKILI AU MATOPE ANAKUAJE MKRISTO DAAAH MSAMEHEWE TU😚
Kwahiyo kama yeye ndo kristo nieleweshe apo kristo ni jina au ni dini
@@yahayaadeni4824 dini ni jina la kiarabu
Dini-kiarabu. Njia-kiswahili
Amini yesu ninyi makafiri
Mimini Bwana,ndilo jina langu,na utukufu wangu sitampa wingine,wata sitawapa sanamu sifa zangu,Zaburi,115:4-& Sanamu zao ni fedha na dhahabu.kazi ya mikono ya wanadamu.Zina vinywa lakini hazisemi,zina macho lakini hazioni.zina masikio lakini hazisikii ,zina pua lakini hazisikii harufu ..mikono lakini hazishiki ,miguu lakini haziendi ,wala hazitoi sauti kwa koo zake,Wazifanyao watafanana nazo,wazifanyao watafanana kila mmoja anayezitumainia,"
Mwalim ndacha hapo sawa
Mtumishi hua nakuelewa sana hao unao bishana nao hawana elimu ya mbingun wanabishana kwa mazoea ubishi wa kwenye kahawa kwahio ni busara uwafundishe kwanza kwamba yesu ndio njia, yesu ndio neno litokalo kwa mungu, yesu ndio mwenye mamlaka mbinguni, duniani na chini ya aridhi na akirudi yeye ndio atakae simamia hukum ya waovu na wasio waov pia alisema kua kwa babayake kunamakazi yakutosha je waulize waulize kua wapi Muhammad alisema kwamba yeye ndio njia ya kweli kwenda peponi?
Ten anabishana na watu hatar San hao na asingekuw amesimama wangesha muua Mungu akutunze mtushi Kaz yako njema
Hakuna kama yesu
Kabisa yani nakubaliana na hicho anacho kisema sio wale wasio jiamini mungu amzidishie wingi wa neno sio maneno
Asante mutumishi wamungu ndacha 6:14 a
Huyu mchungaji anajua mpaka basi
Moto saaaaana mchungaji
Elimu Nzuri.