JE YESU ALIKUWA DINI GANI? SWALI LA MAZINGE LAJIBIWA KWA UFASAHA NA MWL YOHANA OMARI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023. Mada, Je Yesu alikuwa Mwislamu?

КОМЕНТАРІ • 1 тис.

  • @hajathhajiselemani3019
    @hajathhajiselemani3019 8 місяців тому +9

    Mashallah ustadhi mazinge Allah akupe maisha marefu inshallah

  • @JuliusRichard-yi3zm
    @JuliusRichard-yi3zm 11 місяців тому +14

    Tunashukuru kwa majib mazuri mtumishi wa mung
    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MawazoMwamba-fz5hr
    @MawazoMwamba-fz5hr Рік тому +20

    Bwana Yesu Asifiwe❤️❤️🙏🙏

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 8 місяців тому +2

      Umepotea ndugu na kama upo hai badilika upo kwenye njia sio sahihi utakuja kujilaumu badae

    • @AmanaAutomative
      @AmanaAutomative Місяць тому

      Munapotea sana😢

  • @AkramIbrahim-m6x
    @AkramIbrahim-m6x 2 місяці тому +2

    Alhamdulillah Namshukuru Allah Subhanna Huwataallah Kuzaliwa Ktk Uislam Mungu Hakuzaliwa Hakuzaa Hana Hana Alie Fanana Nae Wala Hana Mshirika Analotaka Liwe Linakuwa Jie Hy Mmeyapata Wapi

  • @lovenessmwagala7638
    @lovenessmwagala7638 Рік тому +10

    Safi sana Mungu wazidishie nguvu sana Watumish waMunguu

    • @judithjackson-ks9ug
      @judithjackson-ks9ug Рік тому

      amen mungu huwainua watu wake kwa wakat aupendaoo hiv omar kuinuliw na mung ni mapnz ya mung wala s tamaa ya fedhaa achen visingziooo kwamba wakritoo t ndo wanapesaa waislam hawana .usiogp vitishoo huduma ya mungu isong mbeleeee

    • @sifamanyori
      @sifamanyori 10 місяців тому +1

      Wahisiram wenyewe wanamuabubu mutumewao mupangani

  • @HaggaiSimiyu-g2f
    @HaggaiSimiyu-g2f Місяць тому +1

    Yesu ndiye njia nakweli amen

  • @Razeqa
    @Razeqa 5 місяців тому +4

    Waallahkumu salamu warahamatullah wabaraqatu😊

  • @MwanaishaShabani-d3s
    @MwanaishaShabani-d3s 28 днів тому +1

    Duuuh nashukuru kwa kuzaliwa muislam

  • @kulemudogo6413
    @kulemudogo6413 10 місяців тому +7

    Yesu ni bwana ukatae usipoaamini ni bwana...

    • @LeonardMarko-j7k
      @LeonardMarko-j7k 2 місяці тому

      Kwani nani alikuambia yesu mama?

    • @MbarukuMohamedi-e3y
      @MbarukuMohamedi-e3y 2 місяці тому

      Wewe ninani kama yesuni bwana

    • @BabaAli-f4s
      @BabaAli-f4s 20 днів тому

      Hujaelewa hata firauni aliitwa bwana

    • @BabaAli-f4s
      @BabaAli-f4s 20 днів тому

      Ni nani kondoo aliye tumwa kwa nyumba ya israeli

    • @BabaAli-f4s
      @BabaAli-f4s 20 днів тому

      Ukitaka kunijua basi mimi ni mshambulizi wa bible na quran

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim8256 12 днів тому +1

    Sheikh mazinge mnamkata akifanunua😂 nashukuru kwa kuwa muislamu Alhamdulilah ❤

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 8 місяців тому +5

    Allah awajaalie kheri na masikilizano mema inshallah

  • @MajidWakoli
    @MajidWakoli Місяць тому

    Thanks kwa mjadala komavu, hauna hasira ya waislamu

  • @SwaumuSwaumu-i6q
    @SwaumuSwaumu-i6q Рік тому +12

    Mashehe wetu mungu awazidishie muwape elimu

  • @JohnJackob
    @JohnJackob 8 місяців тому +7

    Nimeipenda hii imeenda❤

  • @SamsonNestory-e6e
    @SamsonNestory-e6e 2 місяці тому +1

    Nyie waislam musijifanye mnamjua sana mungu mtuache na ukristo wetu

  • @amantlulu2460
    @amantlulu2460 Рік тому +16

    Bwana YESU KRISTO asifiwe zihidi tena.

    • @mastaplan
      @mastaplan Рік тому

      Ukristo ulianzia wapi?

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 Рік тому

      Kwa lipi?

    • @annemoureen6676
      @annemoureen6676 Рік тому

      Amen

    • @oscarluanda-jw9iq
      @oscarluanda-jw9iq Рік тому +1

      Tunashukuru sana kwa kutuekimisha huu muadhala ni mzr sana

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Рік тому

      ​@@mastaplan ukisto ni dini ya Paul ilianza baada ya yesu kuondoka yesu alipewa injili na biblia ni mkusanyiko wa vitabu hakuna andika wala hakuna nabii aliye pewa biblia

  • @SamsonSamsonlopua
    @SamsonSamsonlopua 2 місяці тому +1

    Sheria ya mfalme kila mtu asipo amini atakwenda jehenam Marko 9:42-47 waislamu wasome neno la mungu vizuri

    • @SamsonSamsonlopua
      @SamsonSamsonlopua 2 місяці тому

      Mathayo 25:41 kibirit iko tayari Kwa wasio Amini watakwenda jehenam mile namilele,waislamu mtakuwa kama Sodom nangomora

  • @TimeMohd-dv3mu
    @TimeMohd-dv3mu Рік тому +5

    We yesu sio mungu mnakosea sana wakristo mungu awaongoze muijuwe dini yake kul huwa llahu ahad

    • @davidochiengbuoga7165
      @davidochiengbuoga7165 Рік тому

      Yesu ni Mungu kwa mujibu wa biblia Isaiah 9:6...

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 Рік тому +1

      ​@@davidochiengbuoga7165Yani usirudie hi kauli ya yesu ni mungu wewe looooh yesu nabii kama wengine

    • @FabianPiusMghanga
      @FabianPiusMghanga 10 місяців тому

      ​@@saumbliz8983Mimi nairudia kwa nguvu YESU ni MUNGU.

    • @ConfusedGrassyMountain-tf8mj
      @ConfusedGrassyMountain-tf8mj 10 місяців тому

      Akuna mahali dini inatupeleka.mdau,,,waislamu wanaamini dini

  • @YohanaFulika
    @YohanaFulika 4 місяці тому +2

    Mungu nimwema sana Christ atukuzwe

  • @justuswambua7278
    @justuswambua7278 11 місяців тому +5

    Yesu ni mungu sio wa dini yoyote.akuna watu wa dini wataenda mbinguni

    • @PendoKalama-rn8pf
      @PendoKalama-rn8pf Місяць тому

      Tuko pamoja 😊...tumfate yesu Christo aliye njia ya kweli.. hatuezi potea

    • @hclever7731
      @hclever7731 8 днів тому

      Yohana 8:40-42
      [40]Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo.
      [41]Ninyi mnazitenda kazi za baba yenu. Ndipo walipomwambia, Sisi hatukuzaliwa kwa zinaa; sisi tunaye Baba mmoja, yaani, Mungu.

  • @NzeimanaSanda
    @NzeimanaSanda Місяць тому

    Maada ni nzuri inatuelimisha❤

  • @geofreykobelo661
    @geofreykobelo661 Рік тому +8

    1. Sinagogi ni nyumba ya ibada ya Wayahudi
    2. Wayahudi si Waislamna hawajawahi kuwa Waislam
    3. Yesu si Issa
    4. Biblia ni kitabu tofauti na Quran
    5. Yesu ndiye Njia, Kweli na Uzima.
    6. Amwaminiye Yesu Kristo anaokolewa na kupewa Uzima wa milele. Asiyemwamini Yesu amekwishapotea - (Yohana 3:16-19).
    7. Yesu ni Mwana wa Mungu, mwokozi wa ulimwenguni

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw 11 місяців тому +2

    Mungu awabariki watumishi

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Рік тому +28

    Usipo mkubali YESU utajutia maisha yy ndie atakae kuja twamgoja wewe endelea kumpinga utalia badae nakuhakikishia

  • @SusanKegancha
    @SusanKegancha 11 місяців тому

    Amina mwenyezi mmungu awaited nguvu.

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas Рік тому +3

    Watumishi wa Mungu hamkupaswa kuyatenda haya

  • @NuratHaiman-u5k
    @NuratHaiman-u5k 2 місяці тому

    Amina yesu ndo muweza

  • @hashimmamboleo351
    @hashimmamboleo351 Рік тому +16

    allah wahifathi na awape mwesho mwema

    • @a_melly
      @a_melly 9 місяців тому

      Allah sio Mungu.

  • @salimomar-n7s
    @salimomar-n7s 8 місяців тому +1

    Mashekh wtu kwa kzi nzuri mnayofanya

  • @kimbambakaili4761
    @kimbambakaili4761 Рік тому +4

    Great teaching

  • @RoseRashidi-p9b
    @RoseRashidi-p9b 5 місяців тому

    Safi sana mtumishi yohana nakupendea hapotu ndiooo wakiwa hawaelewi nendeni naakili zao safiii iyo imeenda

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Рік тому +7

    Allah awazidishie umri masheikh wetu

    • @norahk6587
      @norahk6587 9 місяців тому

      Mungu wenu hana nguvu twambie muujiza mmoja wa allah

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 4 місяці тому

      Hao mashehe wanatakiwa waukubali wokovu wa Yesu kristo ndipo umri utakapoongezeka. na wewe umkunali yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako

  • @ANDREWKIRUI-vo7wl
    @ANDREWKIRUI-vo7wl 9 місяців тому

    Nashukuru sana jukwaa hili kwa kutufahamisha kila mmoja afahamu kwake

  • @isaacnzai8202
    @isaacnzai8202 Рік тому +3

    Tafuteni ufalme wa mungu
    Acheni kubishana
    Yesu hakuwa na dini bali alikuja kutufundisha habari njema ya ufalme wa mbinguni
    Hakufata waislamu wala wakrito alikuja kwa watu wote

    • @owensamuelkalimo
      @owensamuelkalimo Рік тому +1

      That is true

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Sasa kama Yesu haikuwa na dini kwann nyinyi munajinasibisha na dini?

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Ww nadhani tayari umeukana Ukristo lkn hutaki kusema ukweli naamini utafahamu si muda mrefu jitahidi kufuatilia vitabu

  • @KELVINTHOBIAS-qx8hk
    @KELVINTHOBIAS-qx8hk Рік тому

    Mnakosea sana Mungu yaan mnachunguza dini ya kikristo ukiwa yenu haichunguzwi Mungu awasamehe sana

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Рік тому

      Huna uhakika na dini yako ndo maan huna amani unajua pana makubwa yatafichuliwa humo vitabu na ukwel utaonekana

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 11 місяців тому

      Ukristo sio dini ww😂sema dini yako

    • @PendoKalama-rn8pf
      @PendoKalama-rn8pf Місяць тому

      Luke 4:29 soma hiyo
      Walitaka kumtupa chini ili afie huko lkn alipita katikati yao ,na mpaka sasa bado wanamtete ili habari zake zipotee kabisa lkn ushindi ulikuwepo ,upo na utakuwepo...zuia kile ulicho nacho usimpe nafasi shetani akakichukua

    • @PendoKalama-rn8pf
      @PendoKalama-rn8pf Місяць тому

      ​@@abubakarymaulidy5681hata kutokee nini aliye na christo hatafadhaika maana yesu ndo njia....ila ikifika niupande wa dini ni sawa kuelimishana

  • @IssaSaid-vf3lg
    @IssaSaid-vf3lg Рік тому +5

    Ukristo... Rahaa sanaa

    • @salimomar-n7s
      @salimomar-n7s 8 місяців тому

      Unaraha gani huo ukiristo ni hasara tupu

    • @Sityriziki
      @Sityriziki 3 місяці тому

      Jipe moyo

  • @mohamedmwabeha
    @mohamedmwabeha 3 місяці тому

    Mungu akuzidishie shekhe mazinge

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Рік тому +20

    Viongozi wa dini ya kikrsto nawaombeni Sana msipoteze muda kubishana juu ya Yesu ,kwani Yesu anajitetea mwenyewe kwakuwa matendo yake yakiungu Ni dhahiri, kwahiyo mtu akatae akubari Yesu anabaki kuwa Mungu.

    • @annemoureen6676
      @annemoureen6676 Рік тому +1

      Ndio anajtetea mwenyewe,matendo yake mbona twayaona anae amn aamn asiyetaka asepe

    • @abuuhassani497
      @abuuhassani497 Рік тому +1

      Alikaa tumboni

    • @umishaajuma8675
      @umishaajuma8675 Рік тому +1

      Duh?kumbe yesu ni mungu inallilah wainallilah rajiun hakika pole yenu

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Рік тому +1

      Tumuamini yesu aw wewe uloshiba maharage yesu mwenyewe kasema yeye mtu wewe unamwita mungu ni mungu gani huyo anaye tahiriwa mungu gani aliye kamatwa akasulubiwa mbona makafiri mnashindwa kusoma biblia yenu yenyewe mkaielewa

    • @angelvii113
      @angelvii113 Рік тому +1

      @@abuuhassani497 through the holy spirit not intimate of sex*

  • @MajaniKisigwa
    @MajaniKisigwa 4 місяці тому

    Yesu ahitaji kutetewa wala kujadiliwa! Ni mzawa wa kwanza wa Mungu Mwenyezi, ndiye njia, ukweli na uzima. Amen.

    • @ClintonBurton-y7n
      @ClintonBurton-y7n 4 місяці тому

      you have good intentions of speaking good think ..but grammar is some how incorrect

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Рік тому +4

    Hebu vunjeni mhazara nendeni hapo hospital ya karibu, muwape chakula na pesa wagonjwa ndio Mungu anataka !

  • @PierreKasongo-q8p
    @PierreKasongo-q8p 5 місяців тому

    Baba Mungu akubariki kwazi munafanya😂😂😂❤❤

  • @mussasimbanilo1674
    @mussasimbanilo1674 Рік тому +5

    Mungu awatie nguvu

  • @TimeMohd-dv3mu
    @TimeMohd-dv3mu Рік тому +2

    Nyinyi wakristo kwann mumuabudu binaadam mwezenu mutajibu nn mbele ya allah hata musemeje yesu sio mungu waislaam takbiiir

    • @janetmwende7280
      @janetmwende7280 Рік тому

      Yesu alikua tangu mwazo wa dunia kuwapo,kuzaliwa na mariam alifanyika mwili ili kutuokoa kutoka kwa dhambi ,

    • @furahafaraja5572
      @furahafaraja5572 4 місяці тому

      Allaahu Akbar

  • @rotichben5016
    @rotichben5016 Рік тому +15

    This is great,,facts and reading fighting,, knowledgeable persons of God.

  • @Anord-u3n
    @Anord-u3n Місяць тому +1

    Amen

  • @isaacnzai8202
    @isaacnzai8202 Рік тому +5

    Acheni kushindana
    Jueni ya kwamba dini haziwezi kupeleka mtu mbinguni
    Utakatifu pekeake ndio utakaotupeleka mbinguni
    Bila utakatifu huezi kumuona baba acheni kubishana
    Mungu anaangalia uhusiano wako na yeye uko vipi

    • @claris6405
      @claris6405 Рік тому

      Nyinyi hamuamin kama yesu nimwana wamungu munasema mungu Hana mwana nawahurumia sana

    • @aliabdallah8456
      @aliabdallah8456 Рік тому

      Bila kuwa na DINI inangozaje huwezi kwenda kwa Mungu lazima uwe na DINI na tena hiyo dini hiwe ya kweli na ni ya MUNGU

    • @isaacnzai8202
      @isaacnzai8202 Рік тому

      @@aliabdallah8456 wokovu kaka hauletwi na dini
      Ungekua wokovu unaletwa na dini basi kina abraham wasingeweza kuenda mbinguni kwasababu zamani hakukua na dini bro na watu waliokoka wakaenda mbinguni

    • @isaacnzai8202
      @isaacnzai8202 Рік тому

      @@aliabdallah8456 ukielewa maana ya dini utanielewa
      Sisemi dini ni mbaya ila haiezi kukupeleka mbinguni kama hujaokoka
      MUNGU anaangalia moyo wako haangalii dini elewa

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Utakatifu upi bila ya dini?

  • @kingondesanaarekingondesanaare

    mubarikiwe namungu

  • @jumamgae9594
    @jumamgae9594 Рік тому +4

    Ivi itawezekanaje dunia nzima kuwe na dini moja au zehebu moja mungu jamani ni mmoja kila MTU naamuabudu anavyo muabudu,mambo ya midahalo ya kidini hayana maana yoyote jamani hayo mambo yamepitwa na wakati kila MTU akae na dini yake kwa imani
    Yake.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Рік тому

      Haya mambo yana maana sana kwa sababu dini ni muongozo mzima wa maisha yako bila dini hakuna maisha watu watakuwa km wanyama dini inatufundisha kila kitu

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Labda utueleze ikiwa Mungu ni mmoja vp dini ziwe nyingi?na suala la midahalo halipingiki maana Mitume yote yalifokisha ujumbe wa Mungu ili watu waokoke na Moto siku ya hesabu(yaani akhera)

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Na hii ni amri yake Mungu na hata Yesu amesema"Lililo fichwa mvunguni litangazeni juu ya paa"

  • @BabaKom-s5d
    @BabaKom-s5d Місяць тому

    Yesu hawezi kuwa na dini maana neno dini kwa lugha ya kiarabu ni njia ya kumuelekea Mwenyezi Mungu sasa Yesu mwenyewe ni njia anawezaje kua na dini John 14:6

  • @abdulkarimukasimabdallah148
    @abdulkarimukasimabdallah148 Рік тому +9

    As'salamualeikum yesu ni muislam .

    • @innocentmtashobya1257
      @innocentmtashobya1257 Рік тому

      Kama ni Muislam mbona hamfuati mafundisho yake?..na hakuna mahali ambapo Yesu aliutaja Uislam kwenye injiri yake.. hacheni kuforce mambo

    • @lovenessmwagala7638
      @lovenessmwagala7638 Рік тому

      Muslim bas kama alikuwa mhisrama utoporo

    • @stevetz2683
      @stevetz2683 Рік тому

      Uongo

    • @janetmwende7280
      @janetmwende7280 Рік тому

      Mbona nyinyi sio wafuasi wake basi?

    • @fredkhaemba449
      @fredkhaemba449 8 місяців тому

      Bora ondoleo la dhambi,,jua hivyo,,tupuni mpate ondoleo la dhambi kupitia huyu Isaa ama yesu,huyu ndiye njia,anataka Kila mmja aokoke..

  • @johnyurra-eb8yo
    @johnyurra-eb8yo Рік тому +2

    Mnaobishana wote cjui mnataka kujua na kulazimisha nn yote kwa yote mungu ni moja

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Hapa watu hawabishani wanafahamishana kuwa dini ni moja na Mungu ni mmoja Tu!

  • @joseprinceofficialKE
    @joseprinceofficialKE Рік тому +7

    Kuweni na amani na watu na zaidi utafuteni utakatifu maana bila huo hakuna atakayemwona Mungu.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому +1

      Uadilifu ni kumuamini Mungu mmoja asiye na mshirika ambaye hakuzaa wala hakuzaluwa na hakufanana na mtu au kitu chochote na wala hafikwi au kushindwa na jaribio lolote

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому +1

      Amani haiwezi kupatikana bila kumjuwa Mungu WA kweli na hili hata Yesu alilisemea hvii!(NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU,WAKUJUWE WEWE MUNGU WA KWELI WA PEKEE NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA)sasa hapa kama kuna mtu atasema Yesu ni Mungu huyo itabidi tukampime akili na Uadilifu yatakuwa nao

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 Рік тому

      @@AliSalim-yu4mo Mungu alizaa wapi nanyie ata Bible ijaandika Mungu kazaa wewe sema unachuki zako ndani uko utaenda popote

    • @joseprinceofficialKE
      @joseprinceofficialKE Рік тому

      @@AliSalim-yu4mo huku kuzaa kwa Mungu umesoma katika Biblia gani utufahamishe pia???

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      @@joseprinceofficialKE mm nimesikia Kwa Wakristo wanasema Mungu Baba,Mungu mwana na Mungu roho Mtakatifu,sasa labda unifafanulie hapa nielewe vizuri

  • @Mbonimpaolenga
    @Mbonimpaolenga 6 місяців тому

    Nikweli batumishi bamungi mungu ababaliki yesu nikweli ni mungu tito2:23

  • @peterngeri9442
    @peterngeri9442 Рік тому +3

    Mubarikiwe nyote mulio wezesha mafundisho haya yatufikie,walimu wakristo ni wasomi,omary umemaliza mada walitaka kumpinga shehe mwenzao 😂

  • @mirajilimited8563
    @mirajilimited8563 Рік тому +1

    ..Kabla haujajinyonga nenda kwanza kwenye ibada mshilikishe Mungu kwa Maombi then kumbuka kujinyonga au kitendo cha kuua ni dhambi kubwa sana 🔥 unamjua aliekuumba kwanini ujiue au umpoteze binadamu mwenzako wakati unaamini ukimwomba anakupatia..... TOKOMEZA SHETANI USIJIPOTEZE EWE NI SHUJAA WA MUNGU!....BALOZI MIRAJI TZ

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 11 місяців тому +22

    Ni jambo la kumshukuru Mungu kuwa Waislamu wanakiri kuwa Yesu kristo ndiye atakayehukumu ulimwengu

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws 9 місяців тому +2

      Nan kakwambia

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 9 місяців тому

      Manabii wote n waislaamu ndiomaana mskiti wa Alaqsa uko Israel,mchungaji unajua kiaarabu,unajipamba na warabu wapo wakristo,ila wayahudi,c wKristo sinagogi n mskiti, mchungaji,chezea Mungu hata Mtume alipigwa na mjomba wake na YESSU aliteswa na pilato,unajifurahisha na lugha,ya kiaarabu,rejea, mtume MUHAMMAD alipigwa na mjomba Wake,kwahio hata warabu wapo makafiri

    • @MussaHamadi-s5c
      @MussaHamadi-s5c 7 місяців тому

      Utaenda kuona uko siku ya hukumu

    • @Imageconnectioncare
      @Imageconnectioncare 7 місяців тому

      ❤❤❤

    • @Imageconnectioncare
      @Imageconnectioncare 7 місяців тому

      Hawa waislamu hawataki kabisa kukubali ukweli

  • @fredkhaemba449
    @fredkhaemba449 8 місяців тому

    Kwani mnapingania nini,hii nikama watoto wa mtu moja Wana mkimbili kila moja anadai kua yeye ndiye mzuri,,mambo mzuri,,wenzangu endelea kwa uzuri ,,amina

  • @daniologymsyomi4750
    @daniologymsyomi4750 Рік тому +3

    Yesu hakuwa na dini Kama angekuwa na dini mngemtii kwakuwa angekuwa dini yenu,Cha ajabu hamtaki hata kumsikia tatizo ninini?Haya muislamu Basi tuamini msalaba.

    • @neemamzande8547
      @neemamzande8547 Рік тому

      Yesu tunamtiii kma mtume w mungu kwetu ni nabii isa na sio yesu ila nyinyi mnakwama mnasema yesu ni mungu na sio ivyo mnapotea wenzetu 😢😢😢

    • @daniologymsyomi4750
      @daniologymsyomi4750 Рік тому

      Dini ya kweli Ni Mungu tu dini nyingine zote zipo kwaajili ya kumchelewesha mtu kumjua Mungu.Viumbe vyote ni kazi ya mikono ya Mungu kwa Mungu hakuna huyu ndugu yangu wala yule siyo ndugu yangu.KwavMungu haku a kafiri hayo yote unayapata kwenye dini na Sheri's zake.Sifa ya dini Ni ubaguzi na kujikweza

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Рік тому

      @@neemamzande8547 Nyie ndiyo mnaopoteza wenzetu,kwa sababu ukifuatilia huyo mnayemuita nabii Isa ni tofauti na huyu Yesu,kwani hata namna Isa alivyopatikana ni tofauti na Yesu alivyopatikana.Hivyo Isa ni Yesu bandia

    • @twahiryabdallah
      @twahiryabdallah 2 місяці тому

      Yesu hakutumia msalaba kaka

  • @AkramIbrahim-m6x
    @AkramIbrahim-m6x 3 місяці тому

    Mungu Hakuzaa Wala Hakuzaliwa Na Wala Hana Mashirika Vipi Mnasema Yesu Mwana Wa Mungu Yesu Atakuja Kuhukumu Uma Jamani Wakristo Mnakufuru Semeni Astaghfirullah

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Рік тому +7

    Tusiwe wabishi manake saa yaja ya Yesu kujitegemea

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Ni kweli musiwe wabishi Kwa kumtegemea mtu aliyeshindwa kujiokoa msalabani na kumnungunikia Mungu wake asimuache

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Na suala la kuja Kwa Yesu hakuna Muislamu hata mmoja anapinga na kumkataa lkn hatuamini kama munavyoamini nyie kuwa yy ni Mungu au mtoto wa Mungu (yy ni Mtume wa Mungu na ni Mtume Kwa Wana wa Ezraeil)na haya ni maneno yake mwenyewe)Kwa Nagari mbaya Sana Wakristo wanamsemea asilolisema mwenyewe na pia hawafuati mafundisho yake pia

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Kwani yy amesema"JITIENI NIRA YANGU,mujifunze kutoka KWANGU,kwani Mimi ni MPOLE na mnyenyekevu wa moyo.Sasa nakuulizeni nyie Wakristo nini maana ya "UNYENYEKEVU?

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      YOHANA 17:7-9 Imeandikwa; Sasa wamejuwa ya kuwa yote uliyonipa yatoka kwako,Kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao,nao wakayapokea,wakajuwa ndiwe uliyenituma" sasa haya ndiyo maneno ya Yesu mwenyewe vp Leo museme Yesu ni Mungu?akili au matope?

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Tena angalieni MATHAYO 23:9-10 Imeandikwa: "Wala msimwite mtu Baba duniani,maana Baba yenu ni mmoja wa mbinguni.Wala musiitwe Viongozi,maana kiongozi wenu ni mmoja,Naye ndiye Kristo".kwanini hamuelewi Yesu jmniii?

  • @YOSIAKALINGA
    @YOSIAKALINGA 5 місяців тому

    Yesu hakuleta dini hapa duniani, alikuja kuokoa yohana 3:16

  • @HabibaSaid-q1m
    @HabibaSaid-q1m Рік тому +3

    Najivunia kuzaliwa mwislam

  • @AndrewNgalomba
    @AndrewNgalomba 2 місяці тому +1

    Kazi kwelikweli watu wangu wanspotea kwakuungaunga vijineno vidogovidogo

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 Рік тому +5

    Mazinge kunasiku utarudi kwenye sabato tu ila sasa endelea kuyambayamba tu nakelele zako.

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 Рік тому

      Utangoja kma yesu alidai atakuja

    • @geraldmwangira.4978
      @geraldmwangira.4978 Рік тому +1

      @@khuzeimaabdul4275 kumbe unajua kua Yesu anarudi vizur.

    • @umishaajuma8675
      @umishaajuma8675 Рік тому

      Mazinge hawezi kurudi kwa yesu kwa sababu kajua ipi njia sahihi ya kumpeleka peponi

    • @NasraHamis-ey2ff
      @NasraHamis-ey2ff 10 місяців тому +1

      Siku zote shetani ananguvu huyo kakubwa na pepo uyo mazinge kulud c lhs pepo ilo hakuna zambi kubwa kama kumkana yesu

  • @MobammddAlhabsi
    @MobammddAlhabsi 3 місяці тому

    Allah awahifadhi waislam wote dunia

  • @nurdinchangendo109
    @nurdinchangendo109 Рік тому +4

    Hiki kinachoendelea hapa ni ubatiri mtupu Manishano ya kipumbavu

    • @thomaskiungo4075
      @thomaskiungo4075 Рік тому

      Acha kutukana kama huelew unakaa kimya

    • @thomaskiungo4075
      @thomaskiungo4075 Рік тому

      So vizuri kutukana na hao wanaofanya mdaharo so kuwa hawana hakil

  • @wnadwa5554
    @wnadwa5554 Рік тому +1

    Wa sda mnapenda kujidai na dini sana mungu hapagui dini tunafaa kuombeana sisi kwa ss na kupendana

    • @maxwellopiyo3516
      @maxwellopiyo3516 Рік тому

      Shida wenzetu wanasema Only Islamic is the true Religion the other Religions are Useless

    • @wnadwa5554
      @wnadwa5554 Рік тому

      Sisi zote ni viumbe kutoka kwa mwenyezi mungu, tunastahili kuwa na upedo ule wa kwanza

    • @EasterGlory
      @EasterGlory 9 місяців тому

      Kabla ya kuhukumu jiulize kwanza Mungu anahitaj nn kwako ifuate Iman yako

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Рік тому +3

    Ila.mnapo.kwama.waislamu.hamuamin.kuwa.yesu.alikufa.na.kuchukua.dhambi.ya.ulimwengu.hapo

    • @sharifamgumiro-zs4ph
      @sharifamgumiro-zs4ph 11 місяців тому

      Hamn Kit kama hich acha kujtia uchz ww mlishasema kila mtu atabeba msalaba wakeeee😂😂😂😂😂😂😂mbon yy aliubeba wak mwnyw

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 11 місяців тому

      @@sharifamgumiro-zs4ph usiongee.maneno.ya kasfa.hiyo dini ni.mali ya Mungu.yesu ndie anakufanya.uwepo hata kama.huamini hiyo.guaran.sio.ya dini yenu ni.kitabu cha Mungu.acha.kiburi.Mungu.anawapinga sana.wenye kiburi

  • @basilidighumpi8496
    @basilidighumpi8496 8 місяців тому

    Yesu ni Bwana

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 Рік тому +28

    Hata wao wanajua Yesu ndo atakae rudi kutoa hukumu

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 Рік тому +2

      Sio.wanajua.yesu ni.wa.watu.wote

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Рік тому +5

      Hukumu anatowa mungu siku ya mwisho yesu atarudi kuja kuwakataa makafiri

    • @claraelengabulunda6750
      @claraelengabulunda6750 Рік тому +1

      Umejidangaya sana ndugu Yesu ndiye njiya ya kweli na uzima uwezi fika kwa Mungu bilakupitiya kwa Yesu

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Рік тому +2

      @@claraelengabulunda6750 Yohana 6
      26 Yesu akawajibu, akasema,
      Amin, amin, nawaambieni, Ninyi
      mnanitafuta, si kwa sababu mliona
      ishara, bali kwa sababu mlikula ile
      mikate mkashiba
      Yesu alikujua Zamani km ushashiba mkate

    • @leviskii-7046
      @leviskii-7046 Рік тому

      Ila kwa ugumu wa mio yao hawawezi kukubali

  • @josephgumbo2917
    @josephgumbo2917 Місяць тому

    Ole wake awapotezae njia
    Wana wa Mungu moto wa jehanamu ni wake na wafua si wake

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Рік тому +3

    Kwani mosquée kwa lugha yakifaransa simsikiti ????

  • @MaryMuigai-zj8fz
    @MaryMuigai-zj8fz 11 місяців тому +1

    Yesu alileta msamaha wa dhabi zetu hakua na ndini ndni zililetwa na shetani.bila msamaha hakuna kumuona Mungu Yesu ndie njia ya uzima

  • @LukasLukaslaudanusinyaki
    @LukasLukaslaudanusinyaki 9 місяців тому

    Yesu au mungu Hana Dini Bali yesu au mungu Dini yao ni Dini ya watakatifu akimaanisha kua ni mjumuiko WA wa2 wengi wenye kumcha mungu Kwa kuhurumia watu kutenda matendo mama ambayo yanampendeza mungu hio ndio Dini ya mungu

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595 Рік тому +28

    Eti YESU alikua dini gani...waislam mnayachunguza maandiko ili KUBISHANA NA WAKRISTO (UJINGA MTUPU). Hamtaki kujifunza MAANDIKO YA BIBLIA ILI YESU KRISTO AWAOKOE NA JEHANAM YA MOTO

    • @alufanimuhu12muhudi70
      @alufanimuhu12muhudi70 Рік тому +2

      Acha ushabiki soma kama bibilia ishasema sinakogi ni msigiti Sasa wewe nikipi unapinga enda ufute haya mandiko na hilohilo sinagogi ndipo yesu alipo fanya Ibadan zake

    • @desderymakoi6595
      @desderymakoi6595 Рік тому +1

      @@alufanimuhu12muhudi70 YESU, ALIKUJA KUMWOKOA MWANADAM NA DHAMBI ZAKE NDIO MAANA WALIMSULUBISHA MSALABANI

    • @alufanimuhu12muhudi70
      @alufanimuhu12muhudi70 Рік тому +1

      Kwani nikulize kuua nizambi au

    • @alufanimuhu12muhudi70
      @alufanimuhu12muhudi70 Рік тому +1

      Hebu soma Galatia 3+1 halafu usome hiyo hiyo Galatia 6+5 halafu uludi usome yohana 8+21+22 hebu tutumie hata fikika dogo alie laniwa hua atakua vp akifika kwa mungu

    • @alufanimuhu12muhudi70
      @alufanimuhu12muhudi70 Рік тому

      Lakini wakilisto mmechanganukiwa kweli na mngekua nyinyi waumini mnajiuliza naswali kama hivi walimu wenu wanadai yesu ni mungu wanaludi Tena Wana SEMA ni mtoto wa mungu huku wanaminu kua ni mtoto wa maliamu ukisoma kitabu chataulati mungu ana SEMA fahamu sasas Mimi mungu nauwa Mimi na wiisha Mimi kama wakilisto mko sawa kiakili je mungu wenu yesu kafa mwenyewe au kauwawa Ili hiyo bibilia iyonekane kweli

  • @a_melly
    @a_melly 9 місяців тому

    Yesu ni Bwana wetu.

  • @KasimuOmary-r8z
    @KasimuOmary-r8z 5 місяців тому +2

    Uislamu ndoo dini ya haki pekeyake

  • @GuedoriseMikaAmani
    @GuedoriseMikaAmani 9 місяців тому

    Yesu Kristo asifiwe sana

  • @DianaDickson-v8v
    @DianaDickson-v8v 5 місяців тому

    Mungu ni wawatu wote angekuwa ni WA ubaguz ange kuwa anaishinso

  • @ALLYALLY-h3h
    @ALLYALLY-h3h 3 місяці тому

    Yesu ndiye mwenye mamlaka kwa jina lake watu waponywa,mapepo yatoka hata shetani anamuelewa vizur tu😊😊

  • @Hilairekasongama
    @Hilairekasongama Рік тому

    Vraiment intéressant

  • @julesngama2508
    @julesngama2508 10 місяців тому

    Mazinge aja soma , jibu nzuri kwa uyo mutumishi wa Mungu. Vipofu awa jama . Jibu Kali. Sinagogi siyo musikiti haaaaa.

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 Рік тому +1

    Nakubaliana na hii midahalo , ili jamii ya za waislamu zielimishwe , ujinga ni mwingi sana lazima utolewe.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Wakristo ndio wanaotakiwa waelimishwe maana ndiko kulikolala ujinga na hawaeleweki mara Mungu ni watatu,Yesu ni Mungu,Yesu ni mtoto wa Mungu mara ni binaadamu Kwa kweli ni ujinga mtupu

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Рік тому

      Mtoto wa mtu ni mtu,wa nyoka ni nyoka

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Wakristo ndio wajinga na Kwa dalili ya Hilo angalia hii midahalo na Ione ni wapi wanaoingia ktk dini ya kiislamu na wangapi wanaoingia ktk Ukristo?

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      @@edwardntamaboko3414 kwaiyo Yesu nae ni Mungu?

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Рік тому

      @@AliSalim-yu4mo Ukisikia Mungu ndiye Yesu

  • @AkramIbrahim-m6x
    @AkramIbrahim-m6x 2 місяці тому

    David Siku Hy Ya Qiyama Atasimama Mwenyeez Mungu Peke Yake Mnajidanganya Eti Yesu Ndie Atakae Hukumu Umma Semeni Astaghafi Mnamkosea Sn Mwenyeez Mungu

  • @wilkinskazungu7710
    @wilkinskazungu7710 8 місяців тому

    Kujua maandiko na kumcha Mungu ni vitu mbili tofauti, enyi wenzangu msiwe walimu wengi maana Kwa njia hiyo mnajiongezea maovu

  • @ArkamBakar
    @ArkamBakar 5 місяців тому +1

    Watanzania ni watu wa mfano wa kuigwa kwa Amani bila ya kubaguanakwa dini wala kabila

  • @DansonNjeru-j4x
    @DansonNjeru-j4x 10 місяців тому

    Yesu hakuja kwa ajili ya dini Jambo la maana sana yeyote atakaye tubu Dhambi abate kuokolewa

  • @Merry-r1h
    @Merry-r1h Рік тому

    Yesu ndo kristo mwenyewe jmn Mungu atusaidie sana

  • @HamzaAkilimali
    @HamzaAkilimali 11 місяців тому +2

    Ha, ha, haaaa😂Wakristo kuweni wapole mpate elimu, kumuita Yesu ati ni Mungu au Mtoto wa Mungu, huo ni mzaha na kuukaribisha moto🔥🔥 wa Jahannamu. Jamani‼️Someni Biblia yenu kwa makini. Mbona hata yeye Yesu aliisha kili kwamba yeye ni Mtu na ni Mtume wa Mwenyezi Mungu ⁉️

  • @FredBulilo
    @FredBulilo 2 місяці тому

    Wanao mkana Yesu nawapeni pole

  • @TheophilyGaspal-q4t
    @TheophilyGaspal-q4t 5 місяців тому

    Congratulation umenifundisha jambo

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt Рік тому +2

    Bado mtakubali tu kua yesu ni mwislam

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Рік тому +1

    Nivigum Sana kuamisha watu kwamba Yesu ndie mwana wa Mungu, inahitaji roho mtakatifu

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Sawa kama ndio hivyo lkn huyo roho mtakatifu ndie yupi?

  • @NicasJoseph
    @NicasJoseph Рік тому

    Jamani mbona mnalumbana mnataka nn ukweli mbona upo wazi Kila Moja amuheshimu mwenzake na mpendane sote tumtumaini mungu

    • @adventsoundtv
      @adventsoundtv  Рік тому

      Haturumbani tunasaidiana Kiroho na kuelekezana njia ya Uzima!!! Pole kama umetuelewa vibaya

  • @MichaelyPius-v8t
    @MichaelyPius-v8t 2 місяці тому

    Eeee hii noma

  • @JohnChacha-c9o
    @JohnChacha-c9o 5 місяців тому

    Mazinge miaka ya zamani,. ungetangulia kujulisha njia ya Mohamad Yesu ni Mwenyezi Mungu Qur 3.51njia iliyonyooka mwenyezi wakua😢
    Njia njia iliyooka wakiabudiwa ni njia ya kweli na uzima huyu ni njia inauliza makofi polisi wakishatoka hapo

  • @FabiolaOmbay
    @FabiolaOmbay 3 місяці тому

    Kumcha mungu ni chanzo Cha maarifa siio dino yeyeto

  • @AkramIbrahim-m6x
    @AkramIbrahim-m6x 2 місяці тому

    Nyie Wenzetu Mkifanya Makosa Mnakwenda Kwa Mshungaji Kuomba Akusamehe Dhambi Ulizofanya Ss Waislam Tukikosea Tunamuomba Mungu Atusameh Hatumuombi Shekh Wala Ustadh Kwa Kuwa Na Yy Ni Binaadam

    • @bettysteven27
      @bettysteven27 Місяць тому

      Hakuna mchungaji anayesamehee dhambi ila Yesu Kristo ndiyo anatusamehe

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 місяців тому

    Haw WAISLAMU WANAFIKI MARA TUNAMKUBARI YESU MARA YESU SI CHOCHOTE TOKENIMKAANGAMIE HUKO

  • @WahidaAbdalla-eu9cb
    @WahidaAbdalla-eu9cb 7 місяців тому +1

    Allah ahad