This sermon really amazing it's confusing who doesn't know who is God.. but all in all..we believe Jesus christ as our sevior and Saturday is the day to rest ❤❤❤❤
Kwa kweli nafuatilia midaharo hii ni nzuri mch Ndacha Mungu akubariki sana jinsi ambavyo Roho wa Mungu anavyokufunulia maandiko unatisha na wahadhiri wengine Wote Mungu awabariki
God has now filled men with His Holy spirit to fearlessly come out and call sin a sin,,,,and among them is pr.Ndacha ...continue with this powerful Gospel pr,because we have no time,Jesus is coming soon.God bless you.
Hii injili inachoma. Vitu vyote vitapita lakini neno litasimama. Pastor Ndacha umejenga Imani yangu na Nina kila sababu ya kuwa Mkristo imara. Mfuasi wa Yesu Kristo
Wahalambu wanafukaka Manduka wana henda kusaali waalambu wana juuwa dini awata funguw manduka mupaka watoke kusaali kuko kalimbu aliwahi kumusuhaniya mtoto wake tena akatomboka sana juu akufunga duka akasema akasema funga tukahenda tuka muchukulu mwenyenzi mungu kwakuwa yeye jo anatupa Barak
Hana ukweli ila shetan wakanisani wamjaa kwakichwa yake..saut yake imkua kama yashetan..ata sura zake zimebadilka kaa zashezan wakanisni..bblia ilisma kanisni kuna kiti cha cha enzi chashetan..ndio hao mashetan wamejaa kwa ndacha..nayeye anatumia nguvu zashetan wakanisa...
Kwani hauna habari muhammad ndie alimdilimisha shetani akawa muislam? Toa ata shetani ni mkristo Mimi nitakutolea ata shetani na majini wore ni waislam na kitabu chao ni quran s
If you were achristian well but if you were amuslim don't be deceived the gay is lying read the complete verse surah 7:163 and understand that was acertain israil community and also 16:124 which talks to the prophet not to follow those who refused to follow Abraham.and he is lying by saying ati siku ya sabato ndiyo siku ya ibada wala siyo ijuma please check well iwill put the full ayah here
Shindwa una andiko Yessu anasema mimi ni Mungu wacha kuamini upotovu wa wachungaji Hawa wanajali mambo ya Dunia wala hawajali jinsi gani Mungu atawaadhibu kwa kuwa fuata Hawa wapotoshaji nyie mnadhani Ndacha anawaongoza kumjua Mungu hapana sivyo alivyo fuatilieni mijadala vizuri Kisha wekeni kumbukumbu kwa maneno yake kila siku huwa anabadilisha na kusema vyengine kwa sababu huyo ni mchungaji biblia imewatahadharisha juu ya Hawa wachungaji lakini hataki kuamini hata biblia inapofikia kuwajadili na kuwajua someni wenyewe maandiko mumjue Mungu msiwategemee Hawa
Nani waliopotea nakupotezwa kama si nyinyi makafiri wakiristo? Tunamuomba Allah atuepushe na upotovu wenu huo. Hivi hata huoni ni kwa kiasi gani wakiristo wenzako wanavyosilimu wanapoiona haki inayotoka kwa Mola wao? Na miongoni mwao ni hao wakubwa wenu katika mapadri na wengineo basi hivi hutafakari? Hebu jiulize iyo dini yako ya ukiristo imetokea wapi kama si uzushi.
@@hanifaabdalla2096 Satani anakudanganya Sana Yesu alisema ndie njia ya ukweli na uzima hakuna mwenye atakae ingia mbinguni bila kupitia kwake.sasa wewe unamufuata Nani????
This encouraging and I support Ndacha for what he is doing let's join him so that we may fasten the second coming of Christ so that the word may be witness on the judgment day
😂😂😂😂😂😂 Kubalini kuwa hakuna dini ila uislam tu angalieni katika hii dunia watu wanavyoingia dini ya kiislamu bado tu mme lala na kitabu cha mwingereza na sasa katika Makanisa wanamfundisha LGBT Hamjuwi kama BIBILIA wamebadilisha mambo mengi
Eee bwana wee,Wacha roho ya mungu ikuelekese kwa kila unenapo.Nimefurai jinzi unanenea hao wa islaamu.niko kwao huku SAUTI ARABIA mtu wamungu.be blessed.
Ewee kafri ulie laaniwa namungu katika injili nataurat nazabur naquraan...Bblia insma kanisnai kuna kiti cha enzi chashetan. Iksma tena munapo kusanyika kanisani sikwafaida Bali nikwahasara.iksma walio lala katika kiristo wamepotea...kwann mupotee najua iko kwa uislam .nabii yesu hakuenda kanisani wala hakuwatuma Muende huko kanisani kwa shettan. Munafanya nn huko kwenye shetan??mabishop napamsta makuhani wote hao niwanachama washetani..wao wanwpoteza ninyi wafuaci ili Riziki yao itokao kwahetan waikose...bc njoon kwenye njia ya uzima kwuislam...
Yesu ndiye sadaka ya kuteketezwa. Hatuitaji tena kutoa kafara ya kuteketeza maana damu ya Yesu imetuosha na kutufanya watakatifu. Nyote waislamu na hawa wasabato mnawapotoza wanaowasikiliza. Mungu awasamehe.
Huyo jamaa ni chizi. Mapepo yanamsumbua kichwa yake..Ana mapepo elf moja..Atakua wapi na Akili kujua Dini yakiislam. .mwanzo mapepo wamtoke. .kisha ndio ata faham dini yakiislam..Na mukifuata huyo hamutajua ukweli mutakua kwenye giza leusi sana..
Ukweli wa Mwenyez Mungu utabaki balebale Sabato ndio Ukweli wa Mwenyenz Mungu utabaki palepale Sabato ilifanyika kwaajili ya Mwanadam yani shehe anaonyeshatu kua anajua ukweli ulipo naipo ck atabatizw
16:124...hakika sabato imewekewa wale......kwahivyo Kuna wale waliowekewa....wacha kupoteza watu.....ati waislamu wamepotea..je wakatholiki na anglican nao jumapili tutasema nn....hiyo aya inao wale mungu alielekeza...soma vizuri uelewe we pastor wacha biashara
Waislam mavi yamewagonga kwenye vyupi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Asante Mungu kwa kua mkiristo Asante baba angu kwa kuiacha dini ya mashetani umenizaa Kwenye ukiristo Asante baba😘😘😘😘😘
@@zulfaabdallah3217 waulize wasenge wezio waislam walio kufa kama wameingia peponi alafu nipe jibu😂😂😂😂😂😂😂😂amna atae uona ufalme wa mbinguni bila kumuamini yesu amna ata siku moja mbona amnza yule anawaambia kila siku na anawasomea iyo iyo Qran yenu mtachomwa moto nyinyi wachawi wauwaji wafuga majini
We sasa ndo shetani Wa pembe mbili..haya ni maneno ya MTU Wa Mungu au shetani..matusi haibadilishi chochote jibu maswali ulioulizwa..Mimi siwezi kukutukana ...huyo Muhammad (saw) uliye mtusi hajawahi kukutukana.. na anafwatwa na mabilioni duniani si kama wewe hata kwenu hujulikani..na matusi yote ulio tukana inaonyesha babako na mamako niwatu wasiokua na tabia ndo wakakufunza matusi..hufai hata kujiita MTU w Mungu Shetani wewe...
Kile kimenifurahisha ni ya kwamba paster amevaa kanzu . Asante Najivunia kuwa mwislamu. Alafu huyu paster anasoma verses nusunusu kwalaghai wakristo juu hawajui maandiko. Pole umewika iyo yote bado watu wataendelea kuislimu na kanisa kupunguka.
Waislamu wanasilimu wakitumia sheria wao hawana Imani kwa baba wa mbinguni. Waislamu ni wachawi wakora. Waislamu mashiek lazima wasome uchawi na uganga- elimu Dunia na ahera. Waislamu hata mecca wanaabudi jiwe jeusi huko mecca
Warumi 14: 5 - 6: Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe. Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.
Je! Mwenyezi Mungu hatoshi kwa mja wake, na wanakuogopani pamoja na wale wasiokuwa Yeye, basi hana wa kumwongoa? wa mbingu na ardhi, bila ya shaka watasema, Mwenyezi Mungu: “Je! .Mnazuia rehema zake?” Sema: Mwenyezi Mungu ananitosheleza wanaomtegemea itamfikia adhabu ya kumfedhehesha, na itamfikia adhabu ya milele. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu kwa ajili ya watu kwa haki, basi ni kwa ajili ya nafsi yake Potelea mbali kwa ajili yake, na wewe si wakala wa Mwenyezi Mungu juu yao, anachukua roho wakati wa kufa kwao, na wale ambao hawakufa katika usingizi wao Huipeleka nyengine kwa muda uliowekwa. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao fikiri watajihadhari na mfano wa Mwenyezi Mungu wa miguu miwili ambayo ndani yake wana washirika wanaogombana na mtu aliyesilimu. Je! Basi mtakuwa mlangoni kwenu Siku ya Kiyama, Je! Na wale wanaoileta Haki na kuiamini, hao ndio watakao kuwa nao, hao ndio malipo ya watendao, ili Mwenyezi Mungu awafutie ubaya wa waliyo yatenda Naapa kwa aliye teremsha Taurati na Injili na Upambanuzi na Zaburi na Qur'ani yenye hekima kwa Bwana wa Mitume Muhammad rehema na amani ziwe juu yake. Mungu awe juu yake yeye na familia yake na maswahaba zake na awape amani wote, na kwa ukweli wa Mungu alivyoumba jua, mwezi, sayari, nyota, mbingu, ardhi, majini, wanadamu, Adam. , amani iwe juu yake, na Hawa, amani iwe juu yake, Shetani, pepo, pepo, wanyama waharibifu, ngamia, miti, mawe, miamba, milima, mchanga, ndege, simba, fisi, simba, nyoka, nyoka, nge. , na kila ndege wa angani, na kila mnyama kitambaacho juu ya nchi, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi, na baharini, na mito, je! itokeze katika ardhi, kisha ikatoa mimea yenye rangi mbali mbali, kisha ikasisimka, na ukaiona inageuka kuwa ya manjano, kisha anaivunjavunja kifuani Mwenyezi Mungu anaufungua kwa Uislamu, basi yeye yuko juu ya nuru ya Mola wake Mlezi! Wale wanaomcha Mola wao Mlezi hutetemeka kwa hayo, kisha ngozi zao na nyoyo zao zikalainika kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu ubaya wa adhabu Siku ya Kiyama, na wataambiwa madhalimu: “Onjeni uwongo wa walio kuwa kabla yao, maadamu nyinyi mmekwisha pata Mwenyezi Mungu aliwaonjesha fedheha ya maisha ya dunia na adhabu ni kubwa zaidi, laiti wangelijua, Mungu Wangu, nionyeshe nguvu zako na uweza wako katika kila jeuri na jeuri juu ya ardhi yako na chini ya ardhi yako. Mungu wangu, uadilifu, uadilifu, uadilifu, na kila nilipowaita kuwasamehe, wanaweka vidole vyao masikioni mwao, na kuacha kuabudu chochote kisichokuwa wewe, ili upate kusamehewa Kwa ajili yao. , ikiwa wangefanya hivyo, wangeweka vidole vyao masikioni mwao ili wasisikie wito wangu kwao kwa ajili ya hilo, na wangejifunika nguo zao Mungu Wangu, sasa wanakuamini, basi usioneshe chochote bali wape adhabu, na waonyeshe adhabu chungu katika nafsi zao, katika mali zao, na katika watoto wao, baraka za Mwenyezi Mungu na amani zimshukie Bwana wetu Muhammad na jamaa zake na maswahaba zake, ewe Mwenyezi Mungu, Amina, Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Huyu shekh anapotosha watu...yesu alisema yafaa kutenda kazi njema siku ya Sabato. ..je ng'ombe wako akitumbukia shimoni siku ya Sabato hutamtoa? Someni bana msipoteze muda kulumbana
Reeh Gold wallahi my sister unajidanganya nakupa mawaidha angalia wazungu waliowaletea dini na kuwadanganya Mungu ni watatu father son and holy spirt venye wanasilimu watch mawaidha ya Sheik Ahmed deedat na Dr zakir naik iyo mbili tu sikupi mingi
Reeh Gold Sheik Ahmed deedat is class six dropout bt wise man anawashika wazungu wale wakubwa malawyer na professers na wale wamesoma wewe huoni kama ni miracle and he is just class 6 drop out Allah is Great
@@mahadmohamedadhan8634 Ndio maana Waislam hawamjui Mungu ila kitabu chao ni hadithi Muhamed na mkewewe walizo hadithiwa na Padri. Kama si padri Muhamed angejua malaika Jibril? Hamna Taurati, zaburi, vitabu vya manabii na Injili mtajua Mungu aje?
Jiulize wanao abudu sanamu ni Nani? Kama sabato ni jumamosi mbona jumapili ndio wana enda kanisani? Na kama wana omba wakati wote mbona siku zingine makanisa hayana watu
Kama kuna watu waislamu hamtawaweza ni Wasabato....hao watu wanasoma sana.....hamtawaweza waislamu wamesoma mpaka kuruani.....hamuwawezi ile kusema kweli....ndo maana waislamu wengi wanakuwa wasabato.....
Acha oungo taja muislamu mmoja amekua msabato..na kusoma kila mtu anasoma labda wewe hatutishwi na wasabato wala watu w Juma pili..tunaamini mumepotea na mnahitaji msaada
Mwalimu Ndacha MUNGU akubariki sanaaaaaa,hakuna jina jingine tupaswalo kuokolewa kwalo ispokua jina la YESU,injili itahubiriwa kwa mataifa yotee
Amen 🙏🙏🙏 glory to Jesus
This sermon really amazing it's confusing who doesn't know who is God.. but all in all..we believe Jesus christ as our sevior and Saturday is the day to rest ❤❤❤❤
Kwa kweli nafuatilia midaharo hii ni nzuri mch Ndacha Mungu akubariki sana jinsi ambavyo Roho wa Mungu anavyokufunulia maandiko unatisha na wahadhiri wengine Wote Mungu awabariki
😂😂😂Ndacha you made my day!!
Umeweza
God has now filled men with His Holy spirit to fearlessly come out and call sin a sin,,,,and among them is pr.Ndacha ...continue with this powerful Gospel pr,because we have no time,Jesus is coming soon.God bless you.
Akuna mtu anaetoka salama akikutana na mwalimu NDACHA 🙌 yani nafrahi sana kuzaliwa katika kristo 💪
From 🇹🇿
True huyu ni Mwalimu Mkuu wa Enjili
amen
Na 🔥 motoni utafrah nae pamoja or cio
WWE ukristo nidini ya wa Grèce unadini wewe
Huyo pastor Ni shujaa Sana wa mungu..
Hii injili inachoma. Vitu vyote vitapita lakini neno litasimama. Pastor Ndacha umejenga Imani yangu na Nina kila sababu ya kuwa Mkristo imara. Mfuasi wa Yesu Kristo
Kama kweli inachoma kilakitu mbona yanatokea tena LGBT YA NINI
God bless you mtumishi!! Mungu anakutumia kama chombo chake ubarikiwe Sana.
Amen nabarikiwa sana Sisi wa Kristu tumushukur Mungi
Asante YESU kwa kumpa mtumishi wako ujasiri,Amen na penda wokovu wa YESU ulio niweka huru.
Good sana uko vzr
Wow, be blessed broh
Ameeeeeeen
Na YESU atashinda , na wafuasi wake kushinda wengine hadi mwisho wa dunia . sio wakristo walio potoshwa bali ni waislamu .
@@abdulhakimhasan7673 puuuuuuuuh
Wahalambu wanafukaka Manduka wana henda kusaali waalambu wana juuwa dini awata funguw manduka mupaka watoke kusaali kuko kalimbu aliwahi kumusuhaniya mtoto wake tena akatomboka sana juu akufunga duka akasema akasema funga tukahenda tuka muchukulu mwenyenzi mungu kwakuwa yeye jo anatupa Barak
Rudi shule wewe ujue kuandika,lugha gani hii umeandika?
Amen... pastor My God bless u continue like that...... wengi wana uchungu kwa kuskia ukweli waambie ata wale wa sundayw wajue ukweli wa mambo.
Hana ukweli ila shetan wakanisani wamjaa kwakichwa yake..saut yake imkua kama yashetan..ata sura zake zimebadilka kaa zashezan wakanisni..bblia ilisma kanisni kuna kiti cha cha enzi chashetan..ndio hao mashetan wamejaa kwa ndacha..nayeye anatumia nguvu zashetan wakanisa...
Ewe kafri ulie laaniwa katika injili na zabur nataurat naquraan..somen vzr bblia mujue ukweli musife mukiwa nimkfri .jahannam inawsubiri makafri namshetan..Hao viongozi wenu wao niwanachama wamshetan..hawatki kuambia ukweli watakosa rzki
Kwani hauna habari muhammad ndie alimdilimisha shetani akawa muislam? Toa ata shetani ni mkristo Mimi nitakutolea ata shetani na majini wore ni waislam na kitabu chao ni quran s
ua-cam.com/video/X83K3nWdbZ8/v-deo.htmlsi=NcgncX5kMID9_vhy
Kanisa limewaka moto
Mpendwa fuatilia kisa hiki
YES PASTOR WAAMBIE WAMJUE MUNGU WA KWELI YEHOVA ELOHIM
Twambie ni yupi Mungu wa kweli?
Enock Ndale ubarikiwe wamjue Yesu alie Bwana na mwokozi wetu
@@magdalenajuma6229 Nakusikitikia apo bado hujamjua Mungu wa kweli.
Hakuna mkristo anamjua na kumumini na kumuabudu Mungu wa kweli kama yupo ajitokeze nimuulize masiali kama atajibu
@@godisgreat1845
Ask me
Am here
Barikiwe Sana rafiki kwa kazi nzuri unayoifanya
Waisalam jamani mmeumbuka
Kazi ya unafiki kumsema uwongo huo
Savio Tv kwer baba sema kwer y mung
Yesu akirudi,hata angalia ulikuwa msabato,mkatoliki,muislam,bila kuokoka unaenda kuzimu!Yesu ndie njia!
Kama yesu ndiye njia mbona usimfate.
amen
Amen Amen bwana yesu anastahili sifa nimeamini yesu ndjye njia ya uzima
If you were achristian well but if you were amuslim don't be deceived the gay is lying read the complete verse surah 7:163 and understand that was acertain israil community and also 16:124 which talks to the prophet not to follow those who refused to follow Abraham.and he is lying by saying ati siku ya sabato ndiyo siku ya ibada wala siyo ijuma please check well iwill put the full ayah here
Mungu akubariki pastor ndacha 🤗🤗🤗
Aminaaaaaa YESU NAKUPENDA MUNGU MKUUUU😘😍
Sotw twampenda Yesu Christu....au sio?
Shindwa una andiko Yessu anasema mimi ni Mungu wacha kuamini upotovu wa wachungaji Hawa wanajali mambo ya Dunia wala hawajali jinsi gani Mungu atawaadhibu kwa kuwa fuata Hawa wapotoshaji nyie mnadhani Ndacha anawaongoza kumjua Mungu hapana sivyo alivyo fuatilieni mijadala vizuri Kisha wekeni kumbukumbu kwa maneno yake kila siku huwa anabadilisha na kusema vyengine kwa sababu huyo ni mchungaji biblia imewatahadharisha juu ya Hawa wachungaji lakini hataki kuamini hata biblia inapofikia kuwajadili na kuwajua someni wenyewe maandiko mumjue Mungu msiwategemee Hawa
Mungu awenawe pastor ndacha 🤗🤗🤗
Nampenda ndasha sana...tena sana...tuletee muhadhara latest mko sawa sda....nakubuliana na nyinyi 100%
Ndacha May God bless you.uko soo clear
Basi pastor unaweza kunipa numba yako yasimu ili uje kuhubiri kwetu Rwanda ili kila mtu ajuwe ukweli wa Biblia?
Kazi nzuri mwinjilisti Ndacha
Waislamu bandia plus bonoko😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆hamuwezi kutupoteza sisi Wakristo Injili ya YESU KRISTO IKO louder and clear kabisa 🙏🙏🙌🙌🙌💃💃
Uyo Yesu ndio nani?
Nani waliopotea nakupotezwa kama si nyinyi makafiri wakiristo? Tunamuomba Allah atuepushe na upotovu wenu huo. Hivi hata huoni ni kwa kiasi gani wakiristo wenzako wanavyosilimu wanapoiona haki inayotoka kwa Mola wao? Na miongoni mwao ni hao wakubwa wenu katika mapadri na wengineo basi hivi hutafakari? Hebu jiulize iyo dini yako ya ukiristo imetokea wapi kama si uzushi.
Kwani uusulanu umetoka wapi
@@hanifaabdalla2096
Satani anakudanganya Sana
Yesu alisema ndie njia ya ukweli na uzima hakuna mwenye atakae ingia mbinguni bila kupitia kwake.sasa wewe unamufuata Nani????
@@hanifaabdalla2096 huwezi kumjuwa hadi Ufunuliwe na Roho mtakatifu
Mtumishi Keep Moving sir
Asante mchungaji nitamwambia dadaangu atoke kwenye kanisa yakisiramu akimbie 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃haraka aripotea kweri 😹😹😹😹😹😹😹
Alfa na Omenga mwanzo na mwisho ni YESU pekee.
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU kuwa shushiya hao Injili ya kweli
napenda sana kipindi hiki, Yesu kristu ashifiwe sana
Unahangaika wewe 😂😂😂 yaani mishipa inakutoka Kwa kuutetea ukafiri 🙌🙌
Makafir ni ndugu za majini
This encouraging and I support Ndacha for what he is doing let's join him so that we may fasten the second coming of Christ so that the word may be witness on the judgment day
We, sheh, kubali, kuwa, umeambiwa ukweli, ooh Jesus fanya miujiza,🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
😂😂😂😂😂😂 Kubalini kuwa hakuna dini ila uislam tu angalieni katika hii dunia watu wanavyoingia dini ya kiislamu bado tu mme lala na kitabu cha mwingereza na sasa katika Makanisa wanamfundisha LGBT Hamjuwi kama BIBILIA wamebadilisha mambo mengi
Mungu akulinde popote uendapo mchungaji ndacha
Muislam..ujue kwanza utofauti ya amri za Mungu na amri za watu,umeleta amri za watu tu
Waaa asante sana nimebarikiwa sanaaaa mtumishi wa mungu
Francis Ndacha, asante mwalimu wangu
Hana lolote, huyo anawapotosha, uisilamu ndio dini ya haki
Barikiwa sana mtu wa Mungu akika Sabato ni muhuli wa Mungu
Mungu akubaliki mzee!
Eee bwana wee,Wacha roho ya mungu ikuelekese kwa kila unenapo.Nimefurai jinzi unanenea hao wa islaamu.niko kwao huku SAUTI ARABIA mtu wamungu.be blessed.
GOD bless you for giving people a light of heaven the truth of God thank you so much
Jane Kwahada , ubarikiwe Sana kondoo wa BWANA
Ewee kafri ulie laaniwa namungu katika injili nataurat nazabur naquraan...Bblia insma kanisnai kuna kiti cha enzi chashetan. Iksma tena munapo kusanyika kanisani sikwafaida Bali nikwahasara.iksma walio lala katika kiristo wamepotea...kwann mupotee najua iko kwa uislam .nabii yesu hakuenda kanisani wala hakuwatuma Muende huko kanisani kwa shettan. Munafanya nn huko kwenye shetan??mabishop napamsta makuhani wote hao niwanachama washetani..wao wanwpoteza ninyi wafuaci ili Riziki yao itokao kwahetan waikose...bc njoon kwenye njia ya uzima kwuislam...
@@sulehassanshall6140 hujui kitu unasema
Hi my sister
Mungu akubariki pastor ndacha
Mungu ni mkuu hakika, injili lazima ihubiriwe kwa kila kiumbe.
Yesu ndiye sadaka ya kuteketezwa. Hatuitaji tena kutoa kafara ya kuteketeza maana damu ya Yesu imetuosha na kutufanya watakatifu. Nyote waislamu na hawa wasabato mnawapotoza wanaowasikiliza. Mungu awasamehe.
ata sina lakucomment.
Hahaha waislamu hawajielewi kabisa mkubali kuzaliwa mara ya pili hapo inakubalika🙏🙏🙏💃💃💃💃💃
Huyu pastor sijuwi naweza pata wpi waaah 😂😂😂😂🙏🙏
Bwana wetu yesu kristo asifiwe milele daima
Love you pastor ndacha kutuelemisha
Ningekua mimi ndo muislam ata nisingebishana na uyu jamaa maana uyu jamaa ni noma alafu anataja haya zotee kama auna imani unaweza lia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna hata aya moja hapo kutoka Qur'an.
Huyo jamaa ni chizi. Mapepo yanamsumbua kichwa yake..Ana mapepo elf moja..Atakua wapi na Akili kujua Dini yakiislam. .mwanzo mapepo wamtoke. .kisha ndio ata faham dini yakiislam..Na mukifuata huyo hamutajua ukweli mutakua kwenye giza leusi sana..
Hizo Aya anazo nukuu mwalimu Ndacha ziko katika Quran ama
Amina Sana wapeukweli hao wamuludie Mungu Yesu kristo ndo jibu
ivi ndacha dini ninini
mbona kiramdaharo unashingwa
Waislamu murudieni Mungu
Ukirito ni dini ya makafiri waliolaaniwa na mwenyezimungu Islam ndio dini ya haki ni Islam kama hamujuwi
sisi tayari tunaabudu mungu mmoja wewe unasema mungu yupi
Sisi Tuko kwa Allah kilasiku
Kwani nyinyi mko na Mungu?
We utarudi lini
Amen pastor ndacha 🙏🙏
pastor ndacha Mungu akubariki.
Na sadaka?
😅😅😅😅
isaiah fema nipe aya ya kuzaliwa kwa Muhammad ndani ya Quran....
@@calvinmchopa2222 لقد جاءكم رسول من انفسكم عزيز ما عنتم حريس عليكم بالمؤنين رؤوف رحيم. Nawe nipe aya katika bibilia Yesu alizaliwa tarehe 25 December
Q-9: 128
Huyu pastor ameweza kabisa nashukuru mungu sna....huyu pastor ako wpi ?????
barikiwa sana kwa kuitambuwa sabato
annastazia kibole
Ukweli wa Mwenyez Mungu utabaki balebale Sabato ndio
Ukweli wa Mwenyenz Mungu utabaki palepale Sabato ilifanyika kwaajili ya Mwanadam yani shehe anaonyeshatu kua anajua ukweli ulipo naipo ck atabatizw
😂😂😂😂😂💪🙏🙏 kumbe hawo c waisilamu Exactly 👏👏👏👏👏👏👏
Amen. Remember the Sabbath day (Saturday) to keep it Holy.
Subhanaallah huyu anajiamini sana hajuwi kesho yake bro wacheni upumbavu wa kizungu aliomidanganya.
No name that can heal and rescue than jesus name. ..i didnt healed by calling Muhammad ....I love you jesus
But still suffer .
16:124...hakika sabato imewekewa wale......kwahivyo Kuna wale waliowekewa....wacha kupoteza watu.....ati waislamu wamepotea..je wakatholiki na anglican nao jumapili tutasema nn....hiyo aya inao wale mungu alielekeza...soma vizuri uelewe we pastor wacha biashara
Joyce#unapinga Nini sasa juu sikuelewi
Waislam mavi yamewagonga kwenye vyupi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Asante Mungu kwa kua mkiristo Asante baba angu kwa kuiacha dini ya mashetani umenizaa Kwenye ukiristo Asante baba😘😘😘😘😘
Nyie ndio wasenge wacristo ma ana nyie makafiri mutajuta siku ya kiama au mukifa
@@zulfaabdallah3217 waulize wasenge wezio waislam walio kufa kama wameingia peponi alafu nipe jibu😂😂😂😂😂😂😂😂amna atae uona ufalme wa mbinguni bila kumuamini yesu amna ata siku moja mbona amnza yule anawaambia kila siku na anawasomea iyo iyo Qran yenu mtachomwa moto nyinyi wachawi wauwaji wafuga majini
We sasa ndo shetani Wa pembe mbili..haya ni maneno ya MTU Wa Mungu au shetani..matusi haibadilishi chochote jibu maswali ulioulizwa..Mimi siwezi kukutukana ...huyo Muhammad (saw) uliye mtusi hajawahi kukutukana.. na anafwatwa na mabilioni duniani si kama wewe hata kwenu hujulikani..na matusi yote ulio tukana inaonyesha babako na mamako niwatu wasiokua na tabia ndo wakakufunza matusi..hufai hata kujiita MTU w Mungu Shetani wewe...
@@financialloan9818 kwani ufalme Wa mbinguni in wanyanyako ndo unapangia watu kuurithi..wewe hata nadhani umekunywa bangi
Na ni wewe unakaa unafanya kazi y kutengeneza siweji ndo unaimbaimba machafu
Barikiwa sana mucungaji wa Bwana
Yesu ndiye njia kweli na uzima
James Demunga xx yesu ni dini au nabii..
Acha wehu wewe mohammed
Ya kwenda town au Eastleigh?
Yesu sio jina lake jina lake ni issa
@@jamesm.darnes640 wewe unamtukana mtume wa Allah mtume wetu Muhammad
YESU Kristo ndio bwana na mwokozi wa ulimwengu mlele AMINA 🙏
Kile kimenifurahisha ni ya kwamba paster amevaa kanzu . Asante Najivunia kuwa mwislamu. Alafu huyu paster anasoma verses nusunusu kwalaghai wakristo juu hawajui maandiko. Pole umewika iyo yote bado watu wataendelea kuislimu na kanisa kupunguka.
😂😂nguo ni uisilamu ad naeza enda nayo shamba
😂😂😂😂 kwani unajua nn maana ya kanzu
Well done passtor Ndacha
Amina mcugaji YesuKristo akulinde udeleye kuwaubiri
Waislamu wanasilimu wakitumia sheria wao hawana Imani kwa baba wa mbinguni. Waislamu ni wachawi wakora. Waislamu mashiek lazima wasome uchawi na uganga- elimu Dunia na ahera. Waislamu hata mecca wanaabudi jiwe jeusi huko mecca
Warumi 14: 5 - 6:
Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.
Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.
Je! Mwenyezi Mungu hatoshi kwa mja wake, na wanakuogopani pamoja na wale wasiokuwa Yeye, basi hana wa kumwongoa? wa mbingu na ardhi, bila ya shaka watasema, Mwenyezi Mungu: “Je! .Mnazuia rehema zake?” Sema: Mwenyezi Mungu ananitosheleza wanaomtegemea itamfikia adhabu ya kumfedhehesha, na itamfikia adhabu ya milele. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu kwa ajili ya watu kwa haki, basi ni kwa ajili ya nafsi yake Potelea mbali kwa ajili yake, na wewe si wakala wa Mwenyezi Mungu juu yao, anachukua roho wakati wa kufa kwao, na wale ambao hawakufa katika usingizi wao Huipeleka nyengine kwa muda uliowekwa. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao fikiri watajihadhari na mfano wa Mwenyezi Mungu wa miguu miwili ambayo ndani yake wana washirika wanaogombana na mtu aliyesilimu. Je! Basi mtakuwa mlangoni kwenu Siku ya Kiyama, Je! Na wale wanaoileta Haki na kuiamini, hao ndio watakao kuwa nao, hao ndio malipo ya watendao, ili Mwenyezi Mungu awafutie ubaya wa waliyo yatenda Naapa kwa aliye teremsha Taurati na Injili na Upambanuzi na Zaburi na Qur'ani yenye hekima kwa Bwana wa Mitume Muhammad rehema na amani ziwe juu yake. Mungu awe juu yake yeye na familia yake na maswahaba zake na awape amani wote, na kwa ukweli wa Mungu alivyoumba jua, mwezi, sayari, nyota, mbingu, ardhi, majini, wanadamu, Adam. , amani iwe juu yake, na Hawa, amani iwe juu yake, Shetani, pepo, pepo, wanyama waharibifu, ngamia, miti, mawe, miamba, milima, mchanga, ndege, simba, fisi, simba, nyoka, nyoka, nge. , na kila ndege wa angani, na kila mnyama kitambaacho juu ya nchi, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi, na baharini, na mito, je! itokeze katika ardhi, kisha ikatoa mimea yenye rangi mbali mbali, kisha ikasisimka, na ukaiona inageuka kuwa ya manjano, kisha anaivunjavunja kifuani Mwenyezi Mungu anaufungua kwa Uislamu, basi yeye yuko juu ya nuru ya Mola wake Mlezi! Wale wanaomcha Mola wao Mlezi hutetemeka kwa hayo, kisha ngozi zao na nyoyo zao zikalainika kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu ubaya wa adhabu Siku ya Kiyama, na wataambiwa madhalimu: “Onjeni uwongo wa walio kuwa kabla yao, maadamu nyinyi mmekwisha pata Mwenyezi Mungu aliwaonjesha fedheha ya maisha ya dunia na adhabu ni kubwa zaidi, laiti wangelijua, Mungu Wangu, nionyeshe nguvu zako na uweza wako katika kila jeuri na jeuri juu ya ardhi yako na chini ya ardhi yako. Mungu wangu, uadilifu, uadilifu, uadilifu, na kila nilipowaita kuwasamehe, wanaweka vidole vyao masikioni mwao, na kuacha kuabudu chochote kisichokuwa wewe, ili upate kusamehewa Kwa ajili yao. , ikiwa wangefanya hivyo, wangeweka vidole vyao masikioni mwao ili wasisikie wito wangu kwao kwa ajili ya hilo, na wangejifunika nguo zao Mungu Wangu, sasa wanakuamini, basi usioneshe chochote bali wape adhabu, na waonyeshe adhabu chungu katika nafsi zao, katika mali zao, na katika watoto wao, baraka za Mwenyezi Mungu na amani zimshukie Bwana wetu Muhammad na jamaa zake na maswahaba zake, ewe Mwenyezi Mungu, Amina, Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Huyu shekh anapotosha watu...yesu alisema yafaa kutenda kazi njema siku ya Sabato. ..je ng'ombe wako akitumbukia shimoni siku ya Sabato hutamtoa? Someni bana msipoteze muda kulumbana
Mungu azidishe power kwa wachungaji
Huu n msiba, thank you Allah for choosing me to be among of Muslim ☪, ni wizi mtupu uo
Fatuma slayman acha ukundu jielewe msiba huko kwwenu ujueeee
Amen Amen Amen pastor glory be to God hallelujah 😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏😅😅
si ljumaa wala jumamosi sabato ya kweli ni ku mwamini bwana Yesu kwa kuacha dhambi kwani siku hizi hatutegemei wanyama kwa ondoleo la dhambi
Biblia gani inasema sabato nikuaja dhambi ama ni maneno yako? Brother chunga Sana.
Chunga sana brother, shetani sio rika yetu
Mungu akuweke sana
Biblia nikitabu kitakatifu,yesu aSifiwe milele
Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa kutowa ukweli
Mandiko ya Mungu yajitetea kweli Amen 🙏
Very best ndasha
Mungu akubariki unasema kweli umewakomicha wambiye wapi kindongo
Huyo mjanja mjanja alikuwa anabadirisha maandiko sasa hiv tanzania masheikh washamjua wanamnyoosha tu
Ukristo ndo dini peeke
Proudly Christian❤
Reeh Gold wallahi my sister unajidanganya nakupa mawaidha angalia wazungu waliowaletea dini na kuwadanganya Mungu ni watatu father son and holy spirt venye wanasilimu watch mawaidha ya Sheik Ahmed deedat na Dr zakir naik iyo mbili tu sikupi mingi
Reeh Gold Sheik Ahmed deedat is class six dropout bt wise man anawashika wazungu wale wakubwa malawyer na professers na wale wamesoma wewe huoni kama ni miracle and he is just class 6 drop out Allah is Great
I like this guy..trust me he is genius
Let the truth be truth good work God be praised
Imeandikwa,Mathayo 4:4-10 na Isaya 28:10,13,9
Shukran ustadh kwa kupeyana elimu. Halafu pastor anajikaranga na mafuta yake. 🤣🤣🤣
Wewe tabiaaaa
Huyu Shekhe anaongea points za Ndacha hajaleta anything new..... he can't defend his religion
mungu atunusuru bibilia imejieleza
Amri waislamu wamepoteza maana wanawachukia saana Wakristo na kusema wauawe ni makafiri pole saana kwa uislamu hata Amri ya Mungu mmepoteza
Yesu ndiye njia ya uzima
Zahal Jamal ubarikiwe kwa kujua ukweli sio kwa ubishani
Kabla ya Yesu nani alikuwa njia, na baada ya kufa nani alikuwa njia, alipokuwa tumboni kwa mama yake nani alikuwa njia ondoa hizi ambiguity
Wewe ci muislam
Huezi pinga bible, ndacha ❤❤❤❤❤❤❤❤
Thank you Allah for making me Muslim, hii ni hatari sana ....subhanallah tangu lini mungu anapumzika.....ovyo kabisa
Mungu kupumzika iko katika kitabu cha mwanzo wa nabi musa ambayo waislamu pia wanasema ni halali
Hamna mahali imesemekana mungu amepumzika katika uislaamu tafadhali
@@mahadmohamedadhan8634 Ndio maana Waislam hawamjui Mungu ila kitabu chao ni hadithi Muhamed na mkewewe walizo hadithiwa na Padri. Kama si padri Muhamed angejua malaika Jibril? Hamna Taurati, zaburi, vitabu vya manabii na Injili mtajua Mungu aje?
Pole mama naniiiiii!!
Jiulize wanao abudu sanamu ni Nani? Kama sabato ni jumamosi mbona jumapili ndio wana enda kanisani? Na kama wana omba wakati wote mbona siku zingine makanisa hayana watu
Balikiwa sana mtumishi,unamungu
Shehe simwelewi kabisa kachemka
Wakristo na waislamu niwatoto wa Ibrahim acheni kuyumbana bali kaeni chini mwondoshe tofauti zenu.
Kama kuna watu waislamu hamtawaweza ni Wasabato....hao watu wanasoma sana.....hamtawaweza waislamu wamesoma mpaka kuruani.....hamuwawezi ile kusema kweli....ndo maana waislamu wengi wanakuwa wasabato.....
nikweli hujakosea
Sio kweli na hawajui hata sheria moja ya sabato yaani hawawezi hatakuwafikia mashahidi wa Yehova.
Acha oungo taja muislamu mmoja amekua msabato..na kusoma kila mtu anasoma labda wewe hatutishwi na wasabato wala watu w Juma pili..tunaamini mumepotea na mnahitaji msaada
@@madrasaturahmasec3496kweli wamepotea hawa
wambie mtumishi wa bwana
mungu awe nayi daima wakirsto
Amen love ur neighbour's as love urself
I watch and recognize the truth in secret.
Lit presentation
Congratulations Teacher Francis Ndasha I love your dressing code. .Ah ha ha,