Tumwombe Mungu atujalie uwe rais wa Tanzania. Inaonesha mmekulia kwenye maadili meme na mna ushirikiano mzito. Kama mnavyoshirikiana ndivyo tungetamani taifa letu lisshirikiane. Inafaa kuwa kiongozi Bora kwa kuwa umekulia kwenye maadili ya upendo, HAKI, nidhamu na maadili mema. Mungu akubariki sana wewe na ukoo wako na hatimaye akufanye chaguo lake kwa Watanzania.
Mnaweza kujifunza jambo hapa. Huu ukoo n mkubwa. Ukoo mkubwa n ulinzi na mafanikio makubwa...vijana oeni msiogope kutunza familia.kwan Babu zetu waliwezaje na sisi tunashindwaje?
MWIGULU NCHEMBA NDIE ANAEWAJUA WALIOMSHAMBULIA LISSU, MAANA MWIGULU NDIE ALIEKUA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA NDIE ALIYEAMRISHA ULINZI KUONDOLEWA KTK BUNGE!
Ni utamaduni mzuri ktk maisha ya kiafrika, hata Mimi na familia yangu tunafanya hivyo, mungu akupe umri mrefu wenye manufaa Kwa watanzania wote na watu wote wanaopenda haki duniani
MUNGU akuzidishie umri wako si kwa matakwa yao Bali kwa mpango wa MUNGU you are a hero my brother Lisu,wengine tayari Mungu amawahukumu wamekufa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Hawana lolote hawa walevi wa mbege hii nchi hatuwezi kuwapa mataahira kama hawa na uzuri wenyewe wanajua hilo... Ccm oyeeee mtaendelea kuteseka sana kenge nyie
Ndiyo dini ya kifirani inavyo kufundisha kutukana kwani wamekukosea nini au unaona mama kilemba mwaka kesho atangukia pua Tanganyika haimtaki mama kilemba
Kweli gari hilo lenye risasi zilizolenga kuondoa uhai wa Kamanda Tundu Lissu lazima libaki kumbukumbu kwa vizazi na vizazi kuwa uovu haulipi na daima watu wema wasiruhusu uovu ulipe.
Mungu ni mwema aliyebariki jambo Hilo mungu ameshamuhukumu mheshimiwa lisu aliyepigwa risasi 16 bado anadunda kwani hamjiulizi walinzi waliondolewa na nani ?pia hamjiulizi kamela ziliondolewa nanani?na kwa idhini ya nani?mtawalaumu polisi kutofanya upelelezi lakini wao pia wanafuata maelekezo hakuna binadamu anaependa kulaumiwa cha msingi tukubali yaishe maana mungu alishachukua hatua ndio maana .mheshimiwa lisu Yuko hai lakini mheshimiwa?????mungu alishachukua hatua
Nnahakika serikali inajua Kila kitu kuhusiana na Mpango dharimu wa kuondosha maisha ya Mh. TL hata wanapoyaskia haya wanaona aibu. Hii dhambi haitawaacha huru au nchi hii haitatawaliwa kwa utulivu lazma ccm na ukoo wenu wote mtapitia moto daima pamoja na kumiliki Kila kitu mtakula na kuishi kwa taabu kwa dhuluma zenu halaf mbaya zaidi bado mnahangaika kumchafua Mh Lissu mtakufa vibaya kama walivyotamgulia mamia ya viongozi waandamizi tangu baada ya mlichomtendea Mh. Lissu
Kwani ujui ni Sheree ya ukoo wewe unae oji kuusu kunywa ila wewe ata ukifiwa kwenye ukoo awaji wakina wanskuja choka mbaya ambao Awana kazi acha ujinga uyo anaeshimika na anadhaminiwa na ni ukoo wa Erimu wameelimika nisawa na Nyerere butiku ona walioba jaji
Zidaiwe Footage za mitaa na majengo ndo upererezi uanzie hapo kama zilifichwa na mtu basi awajibishwe, na pia itabidi sasa serikali inayotawala iweke cctv cameras mitaani kwa ajiri ya usalama maana wanao miliki silaa mtaani ni wachache na wengi wao ni watu wa serikali ambao Raia atuna imani nao kwasababu nchi aiko huru kwa sasa matukio ni mengi.
Yaani siku lissu akifa Tanzania aitokaa atokee mtu shujaa kama lissu na mwana siasa nguli kama uyu sijawai ona mtu makini kama lissu kwanza ametufundisha mambo mengi ktk taifa hili siku zote ccm na serikali nzima nikusema uongo tuu .Tumuombe Mungu lissu awe Raisi wetu
Poleni ila tunaomba mtupumzishe na jambo lenu, kama Taifa tumekumbwa na majanga kibao, na mambo lazima yaendelee, kama alipigwa risasi yeye sio wa kwanza , siasa ina michezo michafu dunia nzima , Iran leo wanaomboleza usikute CIA na MOSAD Washafanya yao je Nchi yao itasimama hapana, kwahiyo acheni kulia kulia , Lissu umepona shukuru Mungu songa mbele, People don't care lolote lingekufika watu wangekusahau , hata Baba wa Taifa kama sio kumbukumbu wengi wangeshamsahau, dunia tunapita na kuna majaribu mengi, ugonjwa , ajali n.k kwahiyo wewe usijione ndio special saaaana hata Mitume ya Mungu ilipata majaribu, kwahiyo hatuwezi acha mambo ya msingi kwasasa tuanze kusikiliza jambo lako , limetokea sawa pole na shukuru na uende nyumba za ibada kutoa sadaka
Damu ni nzito kuliko maji ni rahisi sana kuyaongea hayo uliyoyaongea kwasababu hayajaifika familia yako ila yangekua ni upande wako na labda aliezulika ni baba yako mzazi hata uwezo wa kuyaandika haya usingekua nao,huyo baba wa taifa unaesema ungemsahau ni kwa upande wa familia yako labda wangemsahau lakini sio familia yake kamwe na ndomaana hapo unaona wanaotafuta haki ya ndugu Yao ni familia yake na hapo umekaa ni ukoo wake wala awajataka kukushirikisha wewe ,narudia tena haya mambo omba yasiwe katika familia yako ni rahisi sana kumcheka jirani yako aliefiwa lakini yakiwa upande wako ndo utajua maumivu yake Mungu akubariki Mtanzania mwenzangu unaekerwa na hayo yanayofanywa na familia ya huyo jamaa.
napenda hilo gar awe anaendanalo popote aendako ila matundu asiyazibe iwe onesho kila kona kwa mwananch mpigania uhuru.kama maonesho ya kila mwananch popote awapo
Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent na hukuhitaji ulipwe kifo kwa kutetea haki zaWatanzania na watu wako
Hongereni sana watu wa familia ya lisu mungu andeleze mshikamano wenu ni jambo jema lakuigwa na wale wote wenye akili
Jamaa wanafanana. Hata kwa kuongea
Kweli
Yaan afu anaongea kwa busara
Tumwombe Mungu atujalie uwe rais wa Tanzania. Inaonesha mmekulia kwenye maadili meme na mna ushirikiano mzito. Kama mnavyoshirikiana ndivyo tungetamani taifa letu lisshirikiane. Inafaa kuwa kiongozi Bora kwa kuwa umekulia kwenye maadili ya upendo, HAKI, nidhamu na maadili mema. Mungu akubariki sana wewe na ukoo wako na hatimaye akufanye chaguo lake kwa Watanzania.
SIFA ZA KUWA RAIS WA NCHI HANA
SABABU NI MLEMAVU
SIO KWA TANZANIA BALI NI DUNIANI KOOOTE
Umeongea pumba futa haraka sana haraka futa
Wewe mwenyewe ni mlemavu ni huruma za Mungu tu zinakulinda ndiyo maana unapata nguvu zakuropoka
mlemavu mwenyewe muombe mungu msamaha hujui uliongealo unaishi kwa neema2 kesho yako huijui
@@elimringimoshi590kama yeye ni Kwa neema anaishi, wewe unaishi Kwa pmbu za Mzee wako?
Taifa letu litasimama na ww lisu
Na 2025 Tutakutawaza kuwa Rais na Utatuondolea dhuluma ktk nchi hihi
Mungu akubariki
Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent hukuhitaji malipo ya kifo kwa kutetea Nchi na watu wako Damu ya YESU ikufunike
Mungu akulinde na akupe maisha marefu Tundu Lisu
Mnaweza kujifunza jambo hapa.
Huu ukoo n mkubwa.
Ukoo mkubwa n ulinzi na mafanikio makubwa...vijana oeni msiogope kutunza familia.kwan Babu zetu waliwezaje na sisi tunashindwaje?
Amina' Kaka....
alafu mababu zetu waliowa wake wengi sisi mmoja tu noma
We jamaa hao zamani walkuwa wanalima chakula kilo kuwepo cha kutosha sahv Kila ktu ni hela
Kiukweli wanyaturu tunaoipenda pombe huwa tukiipata hatufanyagi ajizi tunaipa za uso live
😂😂😂😂😂
Hivi tundu lisu nguo za chadema unatoaga kwel
Atatoaje na yy ndo chadema
Chadema
Zinauzwa
Unaonekana n ukoo wa walevi😂
😂😂😂😂 kabisa upuuzi mtupu
Inakuhusu hau unawashaa
Kamanda umesha shinda fita mpaka hapo tuombe uzima
Mungu ni mwema kwa kweli
Mungu.ni mkuu. Kwakilajambo. Mubarikiwe sana
Familia kubwa yenye baraka tele tena kumbe tunashea BABU yaani MURO
Kwaiyo mzee anakes maliasili😢 ya kuua simba
Familia la kisomi sana hongera sana FAMILIA. YA LISU.
Tundu lisseu unakunywa Nini hapo ?. Naona Kuna kitu unakunywa kwenye kikombe
Mungu ni mkuu na mwema kwa mja wake
Huyu Ni Mwamba Kwelilweli. Mungu Aendelee Kumtunza
CCM kwa heri 2025. Shida watanzania wote wajinga today ikulu hadi diwani. Gari ipelekwe makumbusho ya taifa.
Kwaeri wewe sio ccm mpuuzi wewe
MWIGULU NCHEMBA NDIE ANAEWAJUA WALIOMSHAMBULIA LISSU, MAANA MWIGULU NDIE ALIEKUA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA NDIE ALIYEAMRISHA ULINZI KUONDOLEWA KTK BUNGE!
ALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KIPINDI LISSU ANAPIGWA RISASI NI KANGE LUGOLA
Kaka alikuwa Cirro sio kangi logola alikuwa saimon Cirro na kumteka MO ALIKUWA HUYO HUYO CIRRO NDUGU YANGU.. NA ALITOLEWA NA MAMA KUMPELEKA UBALOZI
Wapo wanakula vitu
Kawsida sana.wacha watu wale vyitu maisha mfupi mno
Ni utamaduni mzuri ktk maisha ya kiafrika, hata Mimi na familia yangu tunafanya hivyo, mungu akupe umri mrefu wenye manufaa Kwa watanzania wote na watu wote wanaopenda haki duniani
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WOTE...FAMILIA YOTE NA UKOO WA COMRADE LISSU.
Advocate kweli anaongea ki uanasheria.
Wakenya tunawakubali sana pambaneni msiongozwe na mwanamke
Natamani huyu bwana arudi bungeni akawachangamshe watu wamelala
Polen sana tunaumia lakin hatuna namuna lissu baba yeti tunampenda na mung anampenda ndo maana yupo anaishi mung aendelee kumpa neema zaid
Hawa jamaa hatari lakini salama🤣🤣🤣🤣
MUNGU akuzidishie umri wako si kwa matakwa yao Bali kwa mpango wa MUNGU you are a hero my brother Lisu,wengine tayari Mungu amawahukumu wamekufa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mungu wa Israel ni Mungu wetu. Hatutakufa bali tutaishi na kuyasimulia matendo ya makuu siku zote.
Mungu akulinde lissu❤
Kila k2 ni lisu m2pu
Kabisa Hilo Gari lijengewe makubusho. Na itangozwe siku ya tundu lissu day.
Mbeba maono hafi mpaka maono lyale yatimie
Polesana bro lissu
Hawana lolote hawa walevi wa mbege hii nchi hatuwezi kuwapa mataahira kama hawa na uzuri wenyewe wanajua hilo... Ccm oyeeee mtaendelea kuteseka sana kenge nyie
Matusi yako yanaonyesha ulivyo kosa busara
@@elisantenyange8751 kabisaa
Ungekaa kimya usinge onekana msenge
Mingu hujibu mapema sana subirini wahalifu nyie
Ndiyo dini ya kifirani inavyo kufundisha kutukana kwani wamekukosea nini au unaona mama kilemba mwaka kesho atangukia pua Tanganyika haimtaki mama kilemba
Kweli gari hilo lenye risasi zilizolenga kuondoa uhai wa Kamanda Tundu Lissu lazima libaki kumbukumbu kwa vizazi na vizazi kuwa uovu haulipi na daima watu wema wasiruhusu uovu ulipe.
Heeee wanafanana hadi sauti
Lisu wewe ni mwamba bhana hata na wao wanakujua
Mungu ni mwema aliyebariki jambo Hilo mungu ameshamuhukumu mheshimiwa lisu aliyepigwa risasi 16 bado anadunda kwani hamjiulizi walinzi waliondolewa na nani ?pia hamjiulizi kamela ziliondolewa nanani?na kwa idhini ya nani?mtawalaumu polisi kutofanya upelelezi lakini wao pia wanafuata maelekezo hakuna binadamu anaependa kulaumiwa cha msingi tukubali yaishe maana mungu alishachukua hatua ndio maana .mheshimiwa lisu Yuko hai lakini mheshimiwa?????mungu alishachukua hatua
Tundu ni mdogo sana lkn ndiye anayeunganisha huu ukoo
Lissu njoo Ccm. Huko chadema wanakunyanyasa. Ukiludi Ccm chukua Jimbo lako bungeni.
Baba anapiga kill beer 🍻
Nnahakika serikali inajua Kila kitu kuhusiana na Mpango dharimu wa kuondosha maisha ya Mh. TL hata wanapoyaskia haya wanaona aibu. Hii dhambi haitawaacha huru au nchi hii haitatawaliwa kwa utulivu lazma ccm na ukoo wenu wote mtapitia moto daima pamoja na kumiliki Kila kitu mtakula na kuishi kwa taabu kwa dhuluma zenu halaf mbaya zaidi bado mnahangaika kumchafua Mh Lissu mtakufa vibaya kama walivyotamgulia mamia ya viongozi waandamizi tangu baada ya mlichomtendea Mh. Lissu
CHADEMA KWANINI WANAMTENGA MHE. LISU? WAMPE MIL'150 KTK ZILE BIL'2.7 ANUNUE GARI
Anaongea kama Lisu kabisaa
Nakama polis wako makin upelezi nimiaka mingi atakama walizuiliwa kiongozi mkubwa saiz wakamatwe hao ila kwakua ccm inamfumo mmoja shida
Kama mapacha
Kweli mungu yupo jamani ❤
No doubt about it
Kwani ujui ni Sheree ya ukoo wewe unae oji kuusu kunywa ila wewe ata ukifiwa kwenye ukoo awaji wakina wanskuja choka mbaya ambao Awana kazi acha ujinga uyo anaeshimika na anadhaminiwa na ni ukoo wa Erimu wameelimika nisawa na Nyerere butiku ona walioba jaji
Zidaiwe Footage za mitaa na majengo ndo upererezi uanzie hapo kama zilifichwa na mtu basi awajibishwe, na pia itabidi sasa serikali inayotawala iweke cctv cameras mitaani kwa ajiri ya usalama maana wanao miliki silaa mtaani ni wachache na wengi wao ni watu wa serikali ambao Raia atuna imani nao kwasababu nchi aiko huru kwa sasa matukio ni mengi.
Mnafanana sauti Sana kaka mtu
Mbona kama mkenya Ni watanzania kweli nyinyi ?
Yaap tena original from singida land
Na wewe ulikua wapi siku zote hebu usitusumbue Kaaeni mtulie huko
Ujumbe umefika tena hawafai kupewa madaraka
Yaani siku lissu akifa Tanzania aitokaa atokee mtu shujaa kama lissu na mwana siasa nguli kama uyu sijawai ona mtu makini kama lissu kwanza ametufundisha mambo mengi ktk taifa hili siku zote ccm na serikali nzima nikusema uongo tuu .Tumuombe Mungu lissu awe Raisi wetu
Ingekuwa kubwa
Familia ibalikiwe
Ila ujumbe umefika....
Mungu ndiye mfariji na mtetezi mkuu
Mzee Alute inaonekana umekunywa mma.
😅😅😅😅
Mungu Alisha lips zamani alietenda hicho kitendo Alisha tangulia
Wajifia myampaa Alutree,mughwai, Allah akuhifadhi na mdogo,ntundu L mghwai,
Ya lizzu haitaji upelelezi nikuajibishwa tu walio ondoa walinzi kamera nahap walinzi
Mbona wanakunywa bia sana 😂😂😂
Wanasherehekea sikukuu ya kukutana na ndugu yao, pigeni bia mpaka kieleweke, natamani kuzaliwa ktk ukoo huu❤❤❤❤❤❤❤❤
LISU MUNGU AMULINDE MPAKA AWE RAIS WETU EEEEE MUNGU TUSAIDIE
Poleni ila tunaomba mtupumzishe na jambo lenu, kama Taifa tumekumbwa na majanga kibao, na mambo lazima yaendelee, kama alipigwa risasi yeye sio wa kwanza , siasa ina michezo michafu dunia nzima , Iran leo wanaomboleza usikute CIA na MOSAD Washafanya yao je Nchi yao itasimama hapana, kwahiyo acheni kulia kulia , Lissu umepona shukuru Mungu songa mbele, People don't care lolote lingekufika watu wangekusahau , hata Baba wa Taifa kama sio kumbukumbu wengi wangeshamsahau, dunia tunapita na kuna majaribu mengi, ugonjwa , ajali n.k kwahiyo wewe usijione ndio special saaaana hata Mitume ya Mungu ilipata majaribu, kwahiyo hatuwezi acha mambo ya msingi kwasasa tuanze kusikiliza jambo lako , limetokea sawa pole na shukuru na uende nyumba za ibada kutoa sadaka
Una haki ya kutofuatilia, ila inaonyesha pia unapenda haki ndio maana umefuatilia, Pole ikiwa kuna kundi unashabikia kwa ajili ya mkate.
Umefuatilia kuliko wote comment kubwa kuliko yote
Uzuri ni kwamba inaonesha wew ndo umeguswa na unawafatilia sana, pole sana Dada(kama ni Dada maana jina lako halionesh jinsia)
Damu ni nzito kuliko maji ni rahisi sana kuyaongea hayo uliyoyaongea kwasababu hayajaifika familia yako ila yangekua ni upande wako na labda aliezulika ni baba yako mzazi hata uwezo wa kuyaandika haya usingekua nao,huyo baba wa taifa unaesema ungemsahau ni kwa upande wa familia yako labda wangemsahau lakini sio familia yake kamwe na ndomaana hapo unaona wanaotafuta haki ya ndugu Yao ni familia yake na hapo umekaa ni ukoo wake wala awajataka kukushirikisha wewe ,narudia tena haya mambo omba yasiwe katika familia yako ni rahisi sana kumcheka jirani yako aliefiwa lakini yakiwa upande wako ndo utajua maumivu yake Mungu akubariki Mtanzania mwenzangu unaekerwa na hayo yanayofanywa na familia ya huyo jamaa.
Lisu hyo chuma usiiache tengeneza v8 hyo mazeee
Watanzania wengii hawaaminiii kujenga nyumbaniiii
HI KWA FAMILIA 📘📘🇹🇿🇹🇿😭😭👁️👁️👁️👁️👁️👁️
kaka ake lisu mzuri
Advocate uko vyombo
Atali tupu
Nimeipenda sana wazee wameshikilia vinywaji wanawaka
Ukoo Bora Sanaa na Makini Hakika Mungu Amewabariki
Kufananaje huko
Napenda sana hoja za chadema ilah kaka mtu ameupiga mwingi
Naona wazee wananyonya kirauri tarrrrrratu😂
👊✌👍.
Mzee advocate Alute.
Tunataka uchunguzi huru wakiongozi wetu waliotaka kumuua wakamatwe polisi tunahitaji uchunguzi tunataka katiba mpya kwa maslahi yataifa letu
Hakika mbarikiwe sana
Mbalikiwe kuwawamoja mungu awabaki san muwe naupendo uwouwo
Safi san
Jembe letu bad lunadunda
Anasauti kama ya lisu
Good family❤❤❤
Mwamba anapiga kilimanjaro taratiiiibuuu
.I
M
Hongereni san wazee wetu
Miaka ming itapita kumpata mtu kama lisu nchi yetu Mungu amethibisha hili
Ila mzee muwae wake watatu😂😂😂😂
Mpaka kuongea kama Lisu
Wamefanana adi kuongeaa😂
RiP jPM
Magaidi ninyi nendeni kwa watu wenu huko wakopumulisha.
Wanafanana sana
Amazing family 🎉
Hizo bia sasaa?
napenda hilo gar awe anaendanalo popote aendako ila matundu asiyazibe iwe onesho kila kona kwa mwananch mpigania uhuru.kama maonesho ya kila mwananch popote awapo
Naunga mkono hoja
Lisu ni Maasai?