KAKA WA LISSU AELEZEA MASIKITIKO YAO JUU YA HAKI YA MDOGO WAKE, ADAI WATAPAMBANA HADI HAKI IPATIKANE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 189

  • @reginamwendwa6709
    @reginamwendwa6709 4 місяці тому +26

    Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent na hukuhitaji ulipwe kifo kwa kutetea haki zaWatanzania na watu wako

  • @MeyaMziray
    @MeyaMziray Місяць тому +1

    Hongereni sana watu wa familia ya lisu mungu andeleze mshikamano wenu ni jambo jema lakuigwa na wale wote wenye akili

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 4 місяці тому +16

    Jamaa wanafanana. Hata kwa kuongea

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw 4 місяці тому +17

    Tumwombe Mungu atujalie uwe rais wa Tanzania. Inaonesha mmekulia kwenye maadili meme na mna ushirikiano mzito. Kama mnavyoshirikiana ndivyo tungetamani taifa letu lisshirikiane. Inafaa kuwa kiongozi Bora kwa kuwa umekulia kwenye maadili ya upendo, HAKI, nidhamu na maadili mema. Mungu akubariki sana wewe na ukoo wako na hatimaye akufanye chaguo lake kwa Watanzania.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 4 місяці тому +1

      SIFA ZA KUWA RAIS WA NCHI HANA
      SABABU NI MLEMAVU
      SIO KWA TANZANIA BALI NI DUNIANI KOOOTE

    • @Commentsplus
      @Commentsplus 4 місяці тому

      Umeongea pumba futa haraka sana haraka futa

    • @elimringimoshi590
      @elimringimoshi590 4 місяці тому

      Wewe mwenyewe ni mlemavu ni huruma za Mungu tu zinakulinda ndiyo maana unapata nguvu zakuropoka

    • @gadisonmichael7805
      @gadisonmichael7805 4 місяці тому

      mlemavu mwenyewe muombe mungu msamaha hujui uliongealo unaishi kwa neema2 kesho yako huijui

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 4 місяці тому

      ​​@@elimringimoshi590kama yeye ni Kwa neema anaishi, wewe unaishi Kwa pmbu za Mzee wako?

  • @rajababrahman4365
    @rajababrahman4365 4 місяці тому +19

    Taifa letu litasimama na ww lisu
    Na 2025 Tutakutawaza kuwa Rais na Utatuondolea dhuluma ktk nchi hihi
    Mungu akubariki

    • @reginamwendwa6709
      @reginamwendwa6709 4 місяці тому +1

      Pole sana ndugu yangu mwenyezi Mungu alionyesha kwamba you were Inocent hukuhitaji malipo ya kifo kwa kutetea Nchi na watu wako Damu ya YESU ikufunike

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 4 місяці тому +8

    Mungu akulinde na akupe maisha marefu Tundu Lisu

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 4 місяці тому +6

    Mnaweza kujifunza jambo hapa.
    Huu ukoo n mkubwa.
    Ukoo mkubwa n ulinzi na mafanikio makubwa...vijana oeni msiogope kutunza familia.kwan Babu zetu waliwezaje na sisi tunashindwaje?

    • @marymwasiga
      @marymwasiga 4 місяці тому

      Amina' Kaka....

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 4 місяці тому +1

      alafu mababu zetu waliowa wake wengi sisi mmoja tu noma

    • @braggadachu1723
      @braggadachu1723 Місяць тому

      We jamaa hao zamani walkuwa wanalima chakula kilo kuwepo cha kutosha sahv Kila ktu ni hela

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 місяці тому +3

    Kiukweli wanyaturu tunaoipenda pombe huwa tukiipata hatufanyagi ajizi tunaipa za uso live

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu 4 місяці тому +6

    Hivi tundu lisu nguo za chadema unatoaga kwel

  • @sadinimtinangi-zt4pv
    @sadinimtinangi-zt4pv 4 місяці тому +6

    Unaonekana n ukoo wa walevi😂

    • @yassinm69
      @yassinm69 4 місяці тому

      😂😂😂😂 kabisa upuuzi mtupu

    • @romanilyimo
      @romanilyimo 6 днів тому

      Inakuhusu hau unawashaa

  • @KelvinKimambo
    @KelvinKimambo 4 місяці тому +10

    Kamanda umesha shinda fita mpaka hapo tuombe uzima

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 4 місяці тому +12

    Mungu ni mwema kwa kweli

  • @DAVIDJOSEPH-u8r
    @DAVIDJOSEPH-u8r 4 місяці тому +1

    Mungu.ni mkuu. Kwakilajambo. Mubarikiwe sana

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 4 місяці тому +2

    Familia kubwa yenye baraka tele tena kumbe tunashea BABU yaani MURO

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 4 місяці тому +3

    Kwaiyo mzee anakes maliasili😢 ya kuua simba

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 4 місяці тому +5

    Familia la kisomi sana hongera sana FAMILIA. YA LISU.

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 4 місяці тому +1

    Tundu lisseu unakunywa Nini hapo ?. Naona Kuna kitu unakunywa kwenye kikombe

  • @FrancisThomas-jc8wq
    @FrancisThomas-jc8wq 4 місяці тому

    Mungu ni mkuu na mwema kwa mja wake

  • @punguzauzitofurahiamaisha
    @punguzauzitofurahiamaisha 4 місяці тому +3

    Huyu Ni Mwamba Kwelilweli. Mungu Aendelee Kumtunza

  • @ERWINKAYETAN
    @ERWINKAYETAN 4 місяці тому +1

    CCM kwa heri 2025. Shida watanzania wote wajinga today ikulu hadi diwani. Gari ipelekwe makumbusho ya taifa.

    • @huyu1993
      @huyu1993 4 місяці тому +1

      Kwaeri wewe sio ccm mpuuzi wewe

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 місяці тому +5

    MWIGULU NCHEMBA NDIE ANAEWAJUA WALIOMSHAMBULIA LISSU, MAANA MWIGULU NDIE ALIEKUA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA NDIE ALIYEAMRISHA ULINZI KUONDOLEWA KTK BUNGE!

    • @MuhidiniLebba
      @MuhidiniLebba 4 місяці тому

      ALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KIPINDI LISSU ANAPIGWA RISASI NI KANGE LUGOLA

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 4 місяці тому

      Kaka alikuwa Cirro sio kangi logola alikuwa saimon Cirro na kumteka MO ALIKUWA HUYO HUYO CIRRO NDUGU YANGU.. NA ALITOLEWA NA MAMA KUMPELEKA UBALOZI

  • @bilakawaboynew978
    @bilakawaboynew978 4 місяці тому +1

    Wapo wanakula vitu

    • @frankremishoy5778
      @frankremishoy5778 4 місяці тому

      Kawsida sana.wacha watu wale vyitu maisha mfupi mno

  • @MohammedAbdallahSaid
    @MohammedAbdallahSaid 4 місяці тому +3

    Ni utamaduni mzuri ktk maisha ya kiafrika, hata Mimi na familia yangu tunafanya hivyo, mungu akupe umri mrefu wenye manufaa Kwa watanzania wote na watu wote wanaopenda haki duniani

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 4 місяці тому

    MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WOTE...FAMILIA YOTE NA UKOO WA COMRADE LISSU.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 4 місяці тому +1

    Advocate kweli anaongea ki uanasheria.

  • @MaulidyMadyo
    @MaulidyMadyo Місяць тому

    Wakenya tunawakubali sana pambaneni msiongozwe na mwanamke

  • @ngotikongotiko2711
    @ngotikongotiko2711 3 місяці тому

    Natamani huyu bwana arudi bungeni akawachangamshe watu wamelala

  • @AnneNdabila-uv2qh
    @AnneNdabila-uv2qh 4 місяці тому +4

    Polen sana tunaumia lakin hatuna namuna lissu baba yeti tunampenda na mung anampenda ndo maana yupo anaishi mung aendelee kumpa neema zaid

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 4 місяці тому +1

    Hawa jamaa hatari lakini salama🤣🤣🤣🤣

  • @SylvanusMillanzi-w7h
    @SylvanusMillanzi-w7h Місяць тому

    MUNGU akuzidishie umri wako si kwa matakwa yao Bali kwa mpango wa MUNGU you are a hero my brother Lisu,wengine tayari Mungu amawahukumu wamekufa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @PaulMuna
    @PaulMuna 4 місяці тому +6

    Mungu wa Israel ni Mungu wetu. Hatutakufa bali tutaishi na kuyasimulia matendo ya makuu siku zote.

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 3 місяці тому

    Mungu akulinde lissu❤

  • @sharoshine9984
    @sharoshine9984 4 місяці тому +1

    Kila k2 ni lisu m2pu

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 4 місяці тому

    Kabisa Hilo Gari lijengewe makubusho. Na itangozwe siku ya tundu lissu day.

  • @robertngilante9621
    @robertngilante9621 Місяць тому

    Mbeba maono hafi mpaka maono lyale yatimie

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 4 місяці тому

    Polesana bro lissu

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 4 місяці тому +2

    Hawana lolote hawa walevi wa mbege hii nchi hatuwezi kuwapa mataahira kama hawa na uzuri wenyewe wanajua hilo... Ccm oyeeee mtaendelea kuteseka sana kenge nyie

    • @elisantenyange8751
      @elisantenyange8751 4 місяці тому +1

      Matusi yako yanaonyesha ulivyo kosa busara

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 4 місяці тому

      @@elisantenyange8751 kabisaa

    • @ayubumbaras776
      @ayubumbaras776 4 місяці тому +1

      Ungekaa kimya usinge onekana msenge

    • @davidmziray2048
      @davidmziray2048 4 місяці тому

      Mingu hujibu mapema sana subirini wahalifu nyie

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 4 місяці тому +1

      Ndiyo dini ya kifirani inavyo kufundisha kutukana kwani wamekukosea nini au unaona mama kilemba mwaka kesho atangukia pua Tanganyika haimtaki mama kilemba

  • @azavelilwaitama1975
    @azavelilwaitama1975 4 місяці тому

    Kweli gari hilo lenye risasi zilizolenga kuondoa uhai wa Kamanda Tundu Lissu lazima libaki kumbukumbu kwa vizazi na vizazi kuwa uovu haulipi na daima watu wema wasiruhusu uovu ulipe.

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 4 місяці тому +1

    Heeee wanafanana hadi sauti

  • @frankjuma5654
    @frankjuma5654 4 місяці тому

    Lisu wewe ni mwamba bhana hata na wao wanakujua

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m 4 місяці тому

    Mungu ni mwema aliyebariki jambo Hilo mungu ameshamuhukumu mheshimiwa lisu aliyepigwa risasi 16 bado anadunda kwani hamjiulizi walinzi waliondolewa na nani ?pia hamjiulizi kamela ziliondolewa nanani?na kwa idhini ya nani?mtawalaumu polisi kutofanya upelelezi lakini wao pia wanafuata maelekezo hakuna binadamu anaependa kulaumiwa cha msingi tukubali yaishe maana mungu alishachukua hatua ndio maana .mheshimiwa lisu Yuko hai lakini mheshimiwa?????mungu alishachukua hatua

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 місяці тому +2

    Tundu ni mdogo sana lkn ndiye anayeunganisha huu ukoo

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 місяці тому

    Lissu njoo Ccm. Huko chadema wanakunyanyasa. Ukiludi Ccm chukua Jimbo lako bungeni.

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 4 місяці тому +1

    Baba anapiga kill beer 🍻

  • @andersonnyahove2867
    @andersonnyahove2867 4 місяці тому

    Nnahakika serikali inajua Kila kitu kuhusiana na Mpango dharimu wa kuondosha maisha ya Mh. TL hata wanapoyaskia haya wanaona aibu. Hii dhambi haitawaacha huru au nchi hii haitatawaliwa kwa utulivu lazma ccm na ukoo wenu wote mtapitia moto daima pamoja na kumiliki Kila kitu mtakula na kuishi kwa taabu kwa dhuluma zenu halaf mbaya zaidi bado mnahangaika kumchafua Mh Lissu mtakufa vibaya kama walivyotamgulia mamia ya viongozi waandamizi tangu baada ya mlichomtendea Mh. Lissu

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 4 місяці тому +3

    CHADEMA KWANINI WANAMTENGA MHE. LISU? WAMPE MIL'150 KTK ZILE BIL'2.7 ANUNUE GARI

  • @RestTarimo
    @RestTarimo 4 місяці тому

    Anaongea kama Lisu kabisaa

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq 4 місяці тому

    Nakama polis wako makin upelezi nimiaka mingi atakama walizuiliwa kiongozi mkubwa saiz wakamatwe hao ila kwakua ccm inamfumo mmoja shida

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 18 днів тому

    Kama mapacha

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 місяці тому +2

    Kweli mungu yupo jamani ❤

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 4 місяці тому

    Kwani ujui ni Sheree ya ukoo wewe unae oji kuusu kunywa ila wewe ata ukifiwa kwenye ukoo awaji wakina wanskuja choka mbaya ambao Awana kazi acha ujinga uyo anaeshimika na anadhaminiwa na ni ukoo wa Erimu wameelimika nisawa na Nyerere butiku ona walioba jaji

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 4 місяці тому

    Zidaiwe Footage za mitaa na majengo ndo upererezi uanzie hapo kama zilifichwa na mtu basi awajibishwe, na pia itabidi sasa serikali inayotawala iweke cctv cameras mitaani kwa ajiri ya usalama maana wanao miliki silaa mtaani ni wachache na wengi wao ni watu wa serikali ambao Raia atuna imani nao kwasababu nchi aiko huru kwa sasa matukio ni mengi.

  • @EliusPonde-i3u
    @EliusPonde-i3u 4 місяці тому +1

    Mnafanana sauti Sana kaka mtu

  • @huyu1993
    @huyu1993 4 місяці тому +1

    Mbona kama mkenya Ni watanzania kweli nyinyi ?

    • @OfficialMutrah
      @OfficialMutrah 4 місяці тому

      Yaap tena original from singida land

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 4 місяці тому +1

    Na wewe ulikua wapi siku zote hebu usitusumbue Kaaeni mtulie huko

    • @yassinm69
      @yassinm69 4 місяці тому +1

      Ujumbe umefika tena hawafai kupewa madaraka

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 4 місяці тому +4

    Yaani siku lissu akifa Tanzania aitokaa atokee mtu shujaa kama lissu na mwana siasa nguli kama uyu sijawai ona mtu makini kama lissu kwanza ametufundisha mambo mengi ktk taifa hili siku zote ccm na serikali nzima nikusema uongo tuu .Tumuombe Mungu lissu awe Raisi wetu

  • @Mshuta
    @Mshuta 4 місяці тому +3

    Familia ibalikiwe

  • @chrisphabyevents7826
    @chrisphabyevents7826 4 місяці тому +5

    Ila ujumbe umefika....
    Mungu ndiye mfariji na mtetezi mkuu

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 4 місяці тому +1

    Mzee Alute inaonekana umekunywa mma.

  • @yasiniabdallah2412
    @yasiniabdallah2412 4 місяці тому

    Mungu Alisha lips zamani alietenda hicho kitendo Alisha tangulia

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 місяці тому

    Wajifia myampaa Alutree,mughwai, Allah akuhifadhi na mdogo,ntundu L mghwai,

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi 4 місяці тому

    Ya lizzu haitaji upelelezi nikuajibishwa tu walio ondoa walinzi kamera nahap walinzi

  • @bensenlukumai4691
    @bensenlukumai4691 4 місяці тому

    Mbona wanakunywa bia sana 😂😂😂

    • @vedastusmlavumba1158
      @vedastusmlavumba1158 4 місяці тому

      Wanasherehekea sikukuu ya kukutana na ndugu yao, pigeni bia mpaka kieleweke, natamani kuzaliwa ktk ukoo huu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 4 місяці тому

    LISU MUNGU AMULINDE MPAKA AWE RAIS WETU EEEEE MUNGU TUSAIDIE

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 місяці тому +2

    Poleni ila tunaomba mtupumzishe na jambo lenu, kama Taifa tumekumbwa na majanga kibao, na mambo lazima yaendelee, kama alipigwa risasi yeye sio wa kwanza , siasa ina michezo michafu dunia nzima , Iran leo wanaomboleza usikute CIA na MOSAD Washafanya yao je Nchi yao itasimama hapana, kwahiyo acheni kulia kulia , Lissu umepona shukuru Mungu songa mbele, People don't care lolote lingekufika watu wangekusahau , hata Baba wa Taifa kama sio kumbukumbu wengi wangeshamsahau, dunia tunapita na kuna majaribu mengi, ugonjwa , ajali n.k kwahiyo wewe usijione ndio special saaaana hata Mitume ya Mungu ilipata majaribu, kwahiyo hatuwezi acha mambo ya msingi kwasasa tuanze kusikiliza jambo lako , limetokea sawa pole na shukuru na uende nyumba za ibada kutoa sadaka

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 4 місяці тому +2

      Una haki ya kutofuatilia, ila inaonyesha pia unapenda haki ndio maana umefuatilia, Pole ikiwa kuna kundi unashabikia kwa ajili ya mkate.

    • @Olengujati-uo6gx
      @Olengujati-uo6gx 4 місяці тому +1

      Umefuatilia kuliko wote comment kubwa kuliko yote

    • @barakalukuwi
      @barakalukuwi 4 місяці тому

      Uzuri ni kwamba inaonesha wew ndo umeguswa na unawafatilia sana, pole sana Dada(kama ni Dada maana jina lako halionesh jinsia)

    • @ernestmwakalinga8637
      @ernestmwakalinga8637 4 місяці тому

      Damu ni nzito kuliko maji ni rahisi sana kuyaongea hayo uliyoyaongea kwasababu hayajaifika familia yako ila yangekua ni upande wako na labda aliezulika ni baba yako mzazi hata uwezo wa kuyaandika haya usingekua nao,huyo baba wa taifa unaesema ungemsahau ni kwa upande wa familia yako labda wangemsahau lakini sio familia yake kamwe na ndomaana hapo unaona wanaotafuta haki ya ndugu Yao ni familia yake na hapo umekaa ni ukoo wake wala awajataka kukushirikisha wewe ,narudia tena haya mambo omba yasiwe katika familia yako ni rahisi sana kumcheka jirani yako aliefiwa lakini yakiwa upande wako ndo utajua maumivu yake Mungu akubariki Mtanzania mwenzangu unaekerwa na hayo yanayofanywa na familia ya huyo jamaa.

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 4 місяці тому

    Lisu hyo chuma usiiache tengeneza v8 hyo mazeee

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 4 місяці тому

    Watanzania wengii hawaaminiii kujenga nyumbaniiii

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 4 місяці тому

    HI KWA FAMILIA 📘📘🇹🇿🇹🇿😭😭👁️👁️👁️👁️👁️👁️

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 4 місяці тому

    kaka ake lisu mzuri

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 4 місяці тому

    Advocate uko vyombo

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 4 місяці тому +1

    Atali tupu

  • @dechardavid2555
    @dechardavid2555 4 місяці тому

    Nimeipenda sana wazee wameshikilia vinywaji wanawaka

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 4 місяці тому +5

    Ukoo Bora Sanaa na Makini Hakika Mungu Amewabariki

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 4 місяці тому +1

    Kufananaje huko

  • @juliusphaustine
    @juliusphaustine 4 місяці тому +1

    Napenda sana hoja za chadema ilah kaka mtu ameupiga mwingi

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 4 місяці тому

    Naona wazee wananyonya kirauri tarrrrrratu😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 місяці тому +1

    👊✌👍.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 4 місяці тому

    Mzee advocate Alute.

  • @NathanielRajab
    @NathanielRajab 4 місяці тому +1

    Tunataka uchunguzi huru wakiongozi wetu waliotaka kumuua wakamatwe polisi tunahitaji uchunguzi tunataka katiba mpya kwa maslahi yataifa letu

  • @josephatmakuka4860
    @josephatmakuka4860 4 місяці тому

    Hakika mbarikiwe sana

  • @DamasAmos
    @DamasAmos 4 місяці тому +2

    Mbalikiwe kuwawamoja mungu awabaki san muwe naupendo uwouwo

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 4 місяці тому

    Safi san

  • @AmiriNkungu-po7dy
    @AmiriNkungu-po7dy 4 місяці тому

    Jembe letu bad lunadunda

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 4 місяці тому

    Anasauti kama ya lisu

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 4 місяці тому

    Good family❤❤❤

  • @SaidiMwinshehe
    @SaidiMwinshehe 4 місяці тому

    Mwamba anapiga kilimanjaro taratiiiibuuu

  • @JoseSailas
    @JoseSailas 4 місяці тому

    .I

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed 4 місяці тому

    M

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 4 місяці тому

    Hongereni san wazee wetu

  • @kenedysimon3566
    @kenedysimon3566 4 місяці тому +1

    Miaka ming itapita kumpata mtu kama lisu nchi yetu Mungu amethibisha hili

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 4 місяці тому

    Ila mzee muwae wake watatu😂😂😂😂

  • @UPENDOMMAKASA
    @UPENDOMMAKASA 4 місяці тому

    Mpaka kuongea kama Lisu

  • @HelenaNkwera
    @HelenaNkwera 4 місяці тому

    Wamefanana adi kuongeaa😂

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 4 місяці тому

    RiP jPM

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 4 місяці тому

    Magaidi ninyi nendeni kwa watu wenu huko wakopumulisha.

  • @qudraismail5160
    @qudraismail5160 4 місяці тому

    Wanafanana sana

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 місяці тому +2

    Amazing family 🎉

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 4 місяці тому

    Hizo bia sasaa?

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 4 місяці тому

    napenda hilo gar awe anaendanalo popote aendako ila matundu asiyazibe iwe onesho kila kona kwa mwananch mpigania uhuru.kama maonesho ya kila mwananch popote awapo

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 4 місяці тому

    Lisu ni Maasai?