VITASA | Emmanuel Mwakyembe vs Said Bwanga | Pambano kali | NGOMA NZITO 24/02/2023
Вставка
- Опубліковано 23 лют 2023
- USIKU WA VITASA: Bonge moja la pambano likimkutanisha mkongwe Emmanuel Mwakyembe dhidi ya kijana mgeni kwenye ngumui za kulipwa… Said Bwanga. Zilikuwa ni raundi sita tamu, vitasa vikitembea kikamilifu lakini shughuli ikamalizika kwa sare.
Ni #VitasaNight #NgumiImenyooka ndani ya #UbungoPlaza kuelekea pambano kuu kati ya Tony Rashid vs Sabelo Ngabinyana LIVE #AzamSports1HD - Спорт
Yani mie sina cha kumdai BWANGA aiseeee tuna mabondia wazuri sana bado hawajapata promo jamaaaa ni mkali sana yani ngumi zake zinahamasisha kuangalia yuko vizuri sana well-done BWANGA
Champion Side bwanga umeshinda game kabisa umeonesha mashabiki zako ngumi zinachezwaje utafika mbali sana Kwa uwezo wa mwenyezimungu 💪
❤ boy anajua kazi umetisha mwamba anacheza kwa hakili sana
dogo bwanga unatisha Sana pia hongela mwakyembe Kwa kuonyesha ukongwe wako
HII FIGHT IWE MAIN CARD KTK MARUDIANO ITAPENDEZA
Good fighter.. Emmanuel mwakyembe.. keep it up
Said bwanga ww ni boxer mzuri saana 👏
Bonge ya game bwanga uko vizuri sana
Dogo bwanga nimoto naona atawapa changamoto kubwa sana mabondia watz dogo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪
huyu dogo angejiandaa kwa hili pambana mwakyembe alikuwa anakaa mapema sana
Sideee maweee👊👊
Said noma
Bwanga yupo vizuri sana
bwangaa🔥🔥
Bonge la fight...
Saidi atafika mbali ameonyesha ana uwezo,ujuzi,uvumilivu na mbinu, keep it up Saidi Bwanga.
Bwanga the champion
Huyo dogo mpinzani W Mwakiembe yupo vzr sanaaa Kama inawezekana awezeshwe afikie ndoto Zake kwny ngumi na kutangaza Taifa pia
Bwanga the king
Naomba serikali imlinde Hyu Bwanga ni🔥🔥
Oyaaa Uyu Bwanga ni Hazina Ya Taifa
TOKA NIANZE KUANGALIA VITASA ILI PAMBANO SIJAWAI ONA UYU BWANGA ATARI
Ana pambano lake lingn kamgonga kichizi Mchanjo. Mtafute HANA kazi mbaya DOGO anajua
Bwanga ni 🔥
Saf dogo
Ukiacha Mbwana Matumla na Rashidi enzi zao,,,Bwanga anapiga ngumi za kiwango, pambano bora la mwezi ni hili
bwanga yuko vizr lakin kwa mwakyembe ajipange
Kwa sisi tulio bahatika kumuona Rashidi Matumla eke SNAKE BOY wakati wa enzi zake
Basi huyu mtoto Saidi Bwanga eke RING MASTER ni Snake boy 99 per cent.
Na kama anatokea Mbagala bila shaka kapitia mikono ya gym ya Matumla .
Mungu ampe mwendelezo mwema wa mwanzo wake.
Said kaza njanja we2 nakubali ipaishe mbangala mponda
tangu nimeanza kucheq ngumi sijawahi ona ngumi ambazo zimepigwa kimpangilio kama hizi
Kabisaaa mzee
Huyo dogo BWANGA kama akiwa AMATEUR naziona MEDALI 🏅 Za DHAHABU MIKONONI MWAKE akiziletea TAIFA la TANZANIA
(umri unamruhusu)
AMACHA KULE SIO KWA KUUZA SURA
Fight bora usiku huu
Said
bwanga💪🖤
Ukiwekeza kwabwanga inabaki tuu kuvuna faida. Bonge labondia
Huyu bwanga ni professional boxer hatari sn
Tanzania kuna mabindia wazuri sana hao kina kiduku sijui mwakinyo wamebakia majina tu
Draw vipi tena wakati huyu alimwangusha mwenzie kwa konde zito. Hapo ndipo judges wa Bongo mnakoseaga.
Ongera mwakiembe zidisha mazoezi ila uyu dogo said bwanga akiwezeshwa atafka mbali mvumilivu sana
Bwanga ni hatari sana... Kiufupi wapate wafadhili watafika mbali sana
Yeah, hawa vijana wanacheza na kupigana ngumi za ushindani. Wakiendelezwa watafika mbali.
Vitasa kweli kweli
Sema kitu nimeona,watangazaji wanafanya promo
Azam jaribuni kuongea na hao majaji wenu wanazngua .. mchezo mzuri lakini mshindi kaonekana ni mwakyembe .. kila siku mapambano ushindi unatolewa kwa mikelele ya watu na si kanuni za boxing
nisawa lkn huenda wameangalia kummotisha bondia Mchanga ambaye wengi hawakumjua wala kumuona
SAIDI BWANGA MSHINDI WAMEMUONEA DOGO.
Ngumi Burudani
Bwanga ni hatari
Mwakywembe alishinda Hill pambano ngumi nyingi zilifika usoni kwa mpinzani wake hakuna dro hapo
Kweli kabisa