VITASA | Said Mkola vs Said Bwanga (TKO) | Dar Boxing Derby 29/06/2024
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Said Mkola amechezea TKO kutoka kwa Said Bwanga katika vita kati ya Mbagala na Manzese. Ilikuwa fight moja ya maana mno, raundi zote nane zikiwa na moto mkali, huku kila upande ukionja sakafu kabla ya raundi ya nane…
Tazama pambano zima, tazama TKO ilivyotokea
Lilikuwa ni pambano la saba katika mapambano ya utangulizi Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby uliofanyika Uwanja wa Posta, Kijitonyama Dar es Salaam.
Main Card ilikuwa ni Nassib Ramadhan vs Juma Choki.
#NyieHamuogopi #DarBoxingDerby #Vitasa
Familia nakuona mbali sana BWANGA..KAZA KAKA AMINI ILO NATAKA YULE MTOTO WA KIZULU UMKALISHE AMINI FAMILIA
Champions ni mmoja tuuu Bwanga Mbagala finest na dada Yao sada Mkola tushamlamba
Said Bwanga Nimependa Boxing Yake Huyu Dogo Ni Full Package 🔥🔥
Sawa Bwanga kashinda lakini refaree kazingua ili mtu ahesabiwe bas lazima aliemueka chini mwenzio arud kweny kona ndo refaree aanze ku count lakini Bwanga bado yuko hapo hapo araf refaree anahesabu hii sio Sawa kabisa
Vijana wameonyesha ubora mkubwa sana
Aliyepata matokeo chanya amestahili
🥊
mshindi kapatikana kihalali toka mwanzo huu dogo alikuwa makini sana ,ila ni mabondia wazuri sana waendelee kukaza buti
Big up sana Mkola punch ziko na unarusha mawe
Bondia wangu sku zote ni bwanga mpeni sana shavu ana kitu 🔥 🙌🙌
Bwanga kashinda kihalali kaza dogo utafika mbali unajuwa kajanja
Punguzeni Mahaba
Bwanga kabebwa
Said bwanga yuko anjua kam davis tank
tank unamjua vzr kaka
Bwanga na mkola wote mabondia wazur
kweli hii ilikuwa derby maana sio mchezo
Bwanga mtu mbadi
Side Bwanga 💪
bwanga ni chanpioni
Bwanga🎉🎉🎉❤❤ mkola bado Sana ww kanyonye
Nyie mnao ongea mna mapenzi na Bwanga ila kachapika tu
Wewe hizo body panchi ndio kachapika, bwanga yeye alikua anascore kichwani tu
Kuna watu wengine hawajui ngumi wasikusubue bro@@athumanimakange9346
Ujui ngumi wewe akijifunze acha majungu
@@MmafiaMmojani kweli kabisa ana anachokijua uyo
Kushindwa sio rahisi na kutoa droo marufuku
bwanga unatisha Sana nakupa BG up
Acha taarab ww kigugumiz
Huyu bwanga ndy wa madafu au mkola
Bwaaaaaaaaaanga
Mbagala boy wajna bwanga
Ize
Nice
Ila azam max mnazingua sisi tulioko nje ya nchi tunapata tabu sana
Uyo mtot ndo anamhitaji ibra class ataxia uwanjani
Saidi Mkola amedhulumiwa Kwani ameshinda round nyingi zaidi, round aliyoipoteza Ni hiyo aliyopata knock down basi Sasa iweje mshindi awe Saidi Bwanga? Mbona Kiduku alipigwa knock down na Dullah Mbabe round ya kwanza Kisha akashinda round zilizofuata na akapewa ushindi wake? Majaji Mungu anaeaona watu wanamwaga jasho hapo ulingoni mjue!!!
Washamba wamemdhurumu , hawa was waswahili ni shida sana . Mkola ameshinda very clean . Amescore kuanzia raundi ya 1 hadi ya 7
@@athanasmgungusi9996 mliangalia pambano tofauti na hili labda
Watazamaji wengi hamjui shiria ya ngumi hamuoni penat nyie mnaangalia bod mkola Bodo Hana nidham ya 32:59 mchezo yeye mwewe kadondoka mala mobili hasemi ajipange tena
Watangazaji wasenge
Umepigwa
Mechi drooo
Bwangaaaaaaaaaaaaa
19:05
CHAMPION
Bwanga AK 47
Safi Bwanga aliangushwa Ila refa hahumuhesabia ola Saidi Bwanga ali
po muangusha Saidi Mkola kabla hata hajarudi kwenye Kona yake refa ameanza kumhesabia!!. Hii ni dhuluma, tunataka pambano hili na like la Nasib vs Choki yarudiwe. Semunyu....Semunyu...Semunyu .....turudishie haya mapambano mawili tafadhali.
😂😂😂kama hutaki dhulma ulitakiwa uongelee na raundi ya 3 Mkola alivyopelekwa chini nae hakuhesabiwa.
Jibizaneni mukumaliza tulieni sisi kazi tushamaliza
@@rogertuga007nikweli kabisa ata mkora akuhesabia haki bin hami😂😂
Nipo na wewe naunga mkono hoja