VITASA | Said Mkola vs Said Bwanga (TKO) | Dar Boxing Derby 29/06/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • Said Mkola amechezea TKO kutoka kwa Said Bwanga katika vita kati ya Mbagala na Manzese. Ilikuwa fight moja ya maana mno, raundi zote nane zikiwa na moto mkali, huku kila upande ukionja sakafu kabla ya raundi ya nane…
    Tazama pambano zima, tazama TKO ilivyotokea
    Lilikuwa ni pambano la saba katika mapambano ya utangulizi Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby uliofanyika Uwanja wa Posta, Kijitonyama Dar es Salaam.
    Main Card ilikuwa ni Nassib Ramadhan vs Juma Choki.
    #NyieHamuogopi #DarBoxingDerby #Vitasa

КОМЕНТАРІ • 51

  • @SaidiApollo
    @SaidiApollo 3 місяці тому +3

    Familia nakuona mbali sana BWANGA..KAZA KAKA AMINI ILO NATAKA YULE MTOTO WA KIZULU UMKALISHE AMINI FAMILIA

  • @abduryjumbe7447
    @abduryjumbe7447 3 місяці тому +5

    Champions ni mmoja tuuu Bwanga Mbagala finest na dada Yao sada Mkola tushamlamba

  • @mohamedabdalla5302
    @mohamedabdalla5302 3 місяці тому +3

    Said Bwanga Nimependa Boxing Yake Huyu Dogo Ni Full Package 🔥🔥

  • @SaLuChampeZ
    @SaLuChampeZ 3 місяці тому +2

    Sawa Bwanga kashinda lakini refaree kazingua ili mtu ahesabiwe bas lazima aliemueka chini mwenzio arud kweny kona ndo refaree aanze ku count lakini Bwanga bado yuko hapo hapo araf refaree anahesabu hii sio Sawa kabisa

  • @Ram_1893
    @Ram_1893 3 місяці тому +2

    Vijana wameonyesha ubora mkubwa sana
    Aliyepata matokeo chanya amestahili
    🥊

  • @greysonmandai132
    @greysonmandai132 3 місяці тому +2

    mshindi kapatikana kihalali toka mwanzo huu dogo alikuwa makini sana ,ila ni mabondia wazuri sana waendelee kukaza buti

  • @MadiniMadinariBorntofight
    @MadiniMadinariBorntofight 3 місяці тому +2

    Big up sana Mkola punch ziko na unarusha mawe

  • @MrishoMakamba
    @MrishoMakamba 3 місяці тому +2

    Bondia wangu sku zote ni bwanga mpeni sana shavu ana kitu 🔥 🙌🙌

  • @Hemed-b2v
    @Hemed-b2v 3 місяці тому +2

    Bwanga kashinda kihalali kaza dogo utafika mbali unajuwa kajanja

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 3 місяці тому +3

    Punguzeni Mahaba

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 3 місяці тому +3

    Bwanga kabebwa

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 3 місяці тому +3

    Said bwanga yuko anjua kam davis tank

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 3 місяці тому +2

    Bwanga na mkola wote mabondia wazur

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 3 місяці тому +1

    kweli hii ilikuwa derby maana sio mchezo

  • @JosephevansLyimoo
    @JosephevansLyimoo 3 місяці тому +2

    Bwanga mtu mbadi

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 3 місяці тому +1

    Side Bwanga 💪

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka 3 місяці тому +2

    bwanga ni chanpioni

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 3 місяці тому +1

    Bwanga🎉🎉🎉❤❤ mkola bado Sana ww kanyonye

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 3 місяці тому +2

    Nyie mnao ongea mna mapenzi na Bwanga ila kachapika tu

    • @athumanimakange9346
      @athumanimakange9346 3 місяці тому

      Wewe hizo body panchi ndio kachapika, bwanga yeye alikua anascore kichwani tu

    • @MmafiaMmoja
      @MmafiaMmoja 3 місяці тому

      Kuna watu wengine hawajui ngumi wasikusubue bro​@@athumanimakange9346

    • @donmafarasi2443
      @donmafarasi2443 2 місяці тому

      Ujui ngumi wewe akijifunze acha majungu

    • @donmafarasi2443
      @donmafarasi2443 2 місяці тому

      ​@@MmafiaMmojani kweli kabisa ana anachokijua uyo

  • @KambiAsso
    @KambiAsso 3 місяці тому +1

    Kushindwa sio rahisi na kutoa droo marufuku

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka 3 місяці тому +1

    bwanga unatisha Sana nakupa BG up

  • @AliJustine-t9w
    @AliJustine-t9w 3 місяці тому +1

    Acha taarab ww kigugumiz

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 3 місяці тому +1

    Huyu bwanga ndy wa madafu au mkola

  • @SalumkifuLukwe-wk7sp
    @SalumkifuLukwe-wk7sp 3 місяці тому +1

    Bwaaaaaaaaaanga

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 3 місяці тому +1

    Mbagala boy wajna bwanga

  • @RegnaldZamberi
    @RegnaldZamberi 3 місяці тому +1

    Ize

  • @edunyedetembaa5322
    @edunyedetembaa5322 2 місяці тому

    Nice

  • @DatzKay-dz9wv
    @DatzKay-dz9wv 3 місяці тому

    Ila azam max mnazingua sisi tulioko nje ya nchi tunapata tabu sana

  • @ndarnationsoundtz
    @ndarnationsoundtz 3 місяці тому

    Uyo mtot ndo anamhitaji ibra class ataxia uwanjani

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 3 місяці тому

    Saidi Mkola amedhulumiwa Kwani ameshinda round nyingi zaidi, round aliyoipoteza Ni hiyo aliyopata knock down basi Sasa iweje mshindi awe Saidi Bwanga? Mbona Kiduku alipigwa knock down na Dullah Mbabe round ya kwanza Kisha akashinda round zilizofuata na akapewa ushindi wake? Majaji Mungu anaeaona watu wanamwaga jasho hapo ulingoni mjue!!!

    • @athanasmgungusi9996
      @athanasmgungusi9996 3 місяці тому

      Washamba wamemdhurumu , hawa was waswahili ni shida sana . Mkola ameshinda very clean . Amescore kuanzia raundi ya 1 hadi ya 7

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 3 місяці тому +1

      @@athanasmgungusi9996 mliangalia pambano tofauti na hili labda

    • @yunusmbonde8890
      @yunusmbonde8890 2 місяці тому

      Watazamaji wengi hamjui shiria ya ngumi hamuoni penat nyie mnaangalia bod mkola Bodo Hana nidham ya 32:59 mchezo yeye mwewe kadondoka mala mobili hasemi ajipange tena

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en 3 місяці тому

    Watangazaji wasenge

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 2 місяці тому

    Umepigwa

  • @abubakarjumakhamisi370
    @abubakarjumakhamisi370 3 місяці тому

    Mechi drooo

  • @FatumaPepeyu
    @FatumaPepeyu 3 місяці тому

    Bwangaaaaaaaaaaaaa

  • @RegnaldZamberi
    @RegnaldZamberi 3 місяці тому

    19:05

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 3 місяці тому

    CHAMPION

  • @salumabdallah852
    @salumabdallah852 3 місяці тому

    Bwanga AK 47

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 3 місяці тому

    Safi Bwanga aliangushwa Ila refa hahumuhesabia ola Saidi Bwanga ali
    po muangusha Saidi Mkola kabla hata hajarudi kwenye Kona yake refa ameanza kumhesabia!!. Hii ni dhuluma, tunataka pambano hili na like la Nasib vs Choki yarudiwe. Semunyu....Semunyu...Semunyu .....turudishie haya mapambano mawili tafadhali.

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 3 місяці тому +1

      😂😂😂kama hutaki dhulma ulitakiwa uongelee na raundi ya 3 Mkola alivyopelekwa chini nae hakuhesabiwa.

    • @abduryjumbe7447
      @abduryjumbe7447 3 місяці тому +2

      Jibizaneni mukumaliza tulieni sisi kazi tushamaliza

    • @donmafarasi2443
      @donmafarasi2443 2 місяці тому +1

      ​@@rogertuga007nikweli kabisa ata mkora akuhesabia haki bin hami😂😂

    • @FabianMkirikiti-fn9mb
      @FabianMkirikiti-fn9mb 2 місяці тому

      Nipo na wewe naunga mkono hoja