Loren Japhet Vs Juma Choki | VITASA | Mfalme Kwenye Ufalme Wake - 22/04/2023
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Tazama pambano lote la Loren Japhet dhidi ya Juma Choki, pambano ambalo Choki amemtandika kwa pointi Japhet kwenye pambano lao la raundi nane.
Juma choki mi shabiki wako ila pambano hili umecheza chini ya kiwango nadhani ilitakiwa liwe draw mana limebalance
Ningeomba pambano hili lirudiwe mapromota kazi kwenu.
Juma choki kaka unapigana ngumi tamu sana m/mung akuongoze katika kazi ya mikono yang big up kaka
Juma choki is the best fighter
Kiukweli sijapenda uamuzi wa majaji Lorene kacheza vizuri sana kuliko choki...😢
Loren ameonyesha mchezo mzr sana na natumai ndio mshindi
Kama kweli unajua ngumi huwezi sema choki kapigwa Bali wamepigana na Kila mmoja amefanya vizuri Kwa round zake round za Mwanzoni choki alipoteza ila za kati kacheza zaidi kuluko mpinzani amestahili kushinda ila wote The best boxing 🥊
Yani uyu loreni majaji wanamuonea nimtu kwel
Rudien kuangalia huu mchezo chili ameshinda rolen Ni bondia mzuri lakn amepteza
Mm juma choki namkubali saana,lakn kwa game hii ni droo coz Loren amecheza vzuri saana so majaji wetu muwe mnatenda haki....,nmependa sana hii fight waboxer wote mpo vzuri never give up Mungu atawasimamia Insha'Allah 👏🙏🥊
Na pia Loren big up saana kwa team yko ya huko Ghana wamekuandaa vzuri sana aisee usikate tamaa coz umekuja tofauti hii inaonyesha ww ni professional boxer sio Amatuer👏🥊
Kazi nzuri sana
Wa mecheza. Vizuli sana kiu kweli Rakin Ali stairi kupewa Rorene mwamba Ana juA Askate tamah Na mwona mbali A endere. Kukaza2
Inaumiza Sana haki inapokua haitendeki,kwa mtu alie toa jasho,kwa,kupambania kitu,aiseeee,inauma Sana ,,Loren shujaaa,bana
Mechi ni droo
Loren is the best boxer ever
Game droo hiyo
Pambano hili liludiwe
Rolen japhet ameshinda bila ya kupepesa macho hayo mambo yakupigisha watu viongozi wa ngumi muache .hivi serikali bado hawajawashtukia tu unakuta refa nae ni kiongozi judges nao hivyo hivyo mfano mzuri huyo rajabu muhamila ni kocha hapo hapo tena ni referee.Azam wanatia pesa pamoja na makampuni mengine ila kikundi cha watu wachache wanaharibu ngumi za Tanzania
We hujui ngumi,hufai hata kua jaji
Game droo jaribuni kuwa wakweli kwenye uwamuzi
Hakuna droo hapo choki amemzid point kido loren
@@abdullahahmedi9586 majaji ndio waamuzi nimekubali
Dah😢
Choki Amepewa Live.... Maana Choki alipigwa kama Kuku anakamatwa Bandani. Juma Pewa not Juma Choki. Rolen Japhet ni Bondia hata Wamfanyie fitna Pado Rolen ni Hatari
Hujui kitu Juma Choki kascore sana Loren alikuwa anapiga sana body panch tu na point nyingi zipo kichwani
Loleni atakujakuua namtabilia hii itunwe
Another robbery to Japhet!!
Mimi ni mshabiki wa ngumi nzuri na namkubali sana Choki but fairly leo kapigwa. Nliona Loren alishida clearly round 1-3 na round ya 7,8 round nyingine zilikuwa close sana zingeweza enda kwa yoyote kati yao, bora hata lingeamuliwa droo. Naomba Majaji tuwe makini vijana wanaweka maisha yao rehani inavunja moyo sana.
Mnatupotezea muda wetu na uwo ujinga wenu amjifunzi Kwa tony rashidi nyie majage
Choki Kapigwa Sema Nilichogundua Nikwamba Mah Judge Walikua Wanasikiliza Sauti za Mashabiki Sana, Ndio Maana Wamemuonea Mshindi Kwenye Haki yake, Choki Namqubal Sana Anajua Kupigana, Ila Leo Kusema Kweli Alipigwa, Na Kama Angeonewa Huruma Basi Wangesema Droo Tu, Kuliko Kuvunja Nguvu za Vijana Wengi Wenye Ndoto zakuja Kua Ma Boxes, kwa Ushindi Wa Mchongo Kama Uo.!
ivi hawa majaji wanatumia vigezo gan
55 kwa 77 hilo lilikuwa Pambano
gan 😂
Kwenye hii gem upendeleo umefanyika majaji hawako sawa
Angakia gem mwanzo mwisho ndo utajua kama cjoki hajabebwa
Choki kapigwa
We hujui ngumi kabsaa,hufai kua mchambuz wangumi wala kua jaji
Choki kapigwa amebebwa tu
We umeangalia mchezo vzuri mwanzo mwisho
Hawa watangazaji wanaegemea upande mmoja
Hakika ngumi zinatembeaa
Loren kapigwa taget nyingi
Game Droo!! Mi shabiki wa juma choki,, leo ushindi mwembamba.
Wawekewe wbo hawa
Wake waludie away wbo wanastahili
Hao mabondia wenu wakienda nje hawatoboi tz Bado sana
Nenda wewe
@@kitwanathabiti sawa ila kwenye ukweli tunatakiwa tuongee ss bado
Choki katepeta leo
Majaji awajatenda haki
Wamekutana wote wabish
Ushindi wa mchongo