INASIKITISHA!- NILILIPWA 30,000/ ALINIDHARAU/NILIPANDA BODABODA KWENDA KWENYE PAMBANO/ NINAUZA KUKU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #vitasa #masumbwi #mandonga

КОМЕНТАРІ • 34

  • @NiraSaire
    @NiraSaire Рік тому +5

    Somba, you do your homeworks very well!! Presenters have a thing to learn from you. Congrats bro

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy2070 Місяць тому

    Nakubali kaka pamoja sana beanga pmj na somba ❤❤❤

  • @abdurrahimjumbe-jc1uf
    @abdurrahimjumbe-jc1uf Рік тому +4

    Well said keep it up...

  • @jumajumanne4997
    @jumajumanne4997 Рік тому +1

    Uyu dogo atari alimsumbua sana mwakyembe yupo vizuri 🥊💪🔥

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 Рік тому +1

    Said bwanga ww ni boxer real never give up,big up kwa walimu wako wamekujenga vizuri kwenye misingi ya boxer 👏🥊🙏

  • @dmstvonline6608
    @dmstvonline6608 Рік тому +2

    Very smart atafika mbali saaaana

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Рік тому +3

    Hila boxing itakuja kuteki over tanzania
    One day na boxing watakuja kulipwa
    Mamilion mengi sanaa kwa kila pambano

  • @liaonaoliver18
    @liaonaoliver18 2 місяці тому

    nimeona mabondia, ww unaweza sana nakuweka level za akina Ibra class, Nassibu, upo vzr sn na utafika mbali sn, una mnyumbuliko mzuri sn katika boxing ambao mabondia wengi hawana,

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 місяці тому

    I like ur discipline said

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 Рік тому +2

    Dogo yuko vzr balaaaa,
    Akaze atafika mbali

  • @oswardybenardy3373
    @oswardybenardy3373 Рік тому +1

    Champion 🏆 ✊🏿

  • @jumasamatta7847
    @jumasamatta7847 Рік тому +1

    Unajua mwanangu

  • @ezekieljolam4276
    @ezekieljolam4276 Рік тому +3

    Nishabik yako mwamba toka nimekuona kwenye game yako mkuu

  • @EvalistTokwa-lw8hf
    @EvalistTokwa-lw8hf 11 місяців тому

    💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥uko vizuli sana dogo nautakuwa no1 tanzania na aflika

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 Рік тому

    Safi Sana Champion

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Рік тому +3

    Mafanikio hayaji ukikata tamaa, yenyewee yanamfata
    anayejituma sio kusukumwa na njaaa
    Side maweeeee
    Mwili mdogo
    Akili nyingiiiiii

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Рік тому +1

    Mzinga finest

  • @fadhilmwakea1259
    @fadhilmwakea1259 Рік тому

    Safi sana kitu chakuzingatia ni mazoezi kwani umenikumbusha wakati nacheza nilikua kama Askari wa kukodiwa nikipewa pesa vitani unauwezo mkubwa mno

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Рік тому +1

    👊👊

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Рік тому +1

    Maweeeeeee

  • @YashibuMketo-qi1dn
    @YashibuMketo-qi1dn Рік тому

    Faza jitahidi utafika mbalisana, kiukweli unaweza.

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Рік тому

    Duuh huyu dogo noma

  • @NahodhaSeleman-ez3qu
    @NahodhaSeleman-ez3qu 8 місяців тому

    Nimeona uwezo wako nimkubaa saaaan utafika mbali

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Рік тому

    Nakuona kama mwakinyo una malengo mazuri sio kupiganatu ila kwa elufu 30😢 hata sindano tano za figo hupati mna waonea

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 Рік тому

    Huyu bondia ni hatarii

  • @daudarajabu5822
    @daudarajabu5822 Рік тому +1

    Mambondia wanaclinyingi sana bora yeye kaeleza ukwel wengine hawa semi kabsa nabado wanaumia .30 elfu unapigania kweli

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Рік тому +2

    Dogo anaupiga mwingi

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Рік тому +1

    Side bwanga

  • @jumasamatta7847
    @jumasamatta7847 Рік тому +1

    Mbagala Kuna samatta WA mpira,na wewe utatuwakilisha ktk ngumi

  • @aloyceshirima7539
    @aloyceshirima7539 Рік тому

    Huu ndo uanamme

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 Рік тому

    Huyo dogo SAID BWANGA kama akiwa AMATEUR naziona MEDALI 🏅 Za DHAHABU MIKONONI MWAKE AKIZILETA TANZANIA
    (umri unamruhusu)

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Рік тому +1

    Huyu dogo anarusha ngumi sio mchezo

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Рік тому

    👊👊