FULL: PAMBANO LA MWAKINYO NA BONDIA KUTOKA GHANA LAFANYIKA USK WA MANANE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 тра 2024
  • FULL: PAMBANO LA MWAKINYO NA BONDIA KUTOKA GHANA LAFANYIKA USK WA MANANE
    #modewji #diamondplatnumz #ccm #tundulissu #simbasc #yanga #modewji #mwijaku #feisalsalum #ahmedally #zuchu #wasafi #harmonize #wcb #mbosso #modewji #fistonmayele #yangabingwa #simbasc #ahmedally #alikamwe #ahmedally #modewji #fistonmayele #yangasc #manara #simba #diamondplatnumz #harmonize #yanga #harmonize #mwakinyo #diamondplatnumz #modewji #simba #ahmedally #simba #fistonmayele #yanga #ahmedally #kibudenis #modewji #simba #diamondplatnumz #harmonize simba #fistonmayele #modewji #modewji #yanga #ahmedally #raissamiasuluhuhassan #mafuriko #kimbungahidaya #modewji #wifewadunia #harmonize #simba #fistonmayele #yanga #modewji #ahmedally #raissamiasuluhuhassan #simba #fistonmayele #diamondplatnumz #simba #yanga #ihefu #ahmedally #alikamwe #manara #modewji #hd
    #harmonize #diamondplatnumz #alikiba #kingkiba #wifewadunia #kondeboy #YangaSC #simba #fistonmayele #azamtv #bahatibukuku #paulmakonda #raissamiasuluhuhassan
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 255

  • @edsonipaulo
    @edsonipaulo 2 місяці тому +12

    Tunachukia kwa mihemko yetu tunakukubali Mwakinyo Mungu ajalie mambo yakuendee tunakuelewa hoja zako Zina mashiko Pambania Ndoto Yako Mungu akubariki unajuhudi nakukubali hujali kulaumiwa utafika mbali zaidi🎉🎉

    • @user-gz2or2ui9n
      @user-gz2or2ui9n 2 місяці тому

      Unatia aibu tu bora ungeacha tu kupigana unazingua sana mwamba

    • @Madanstars
      @Madanstars 2 місяці тому

      Akufirahishe wewe wakat Hela zake hajapata sema chombo Cha ngumi kiwe makini na ma present

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 2 місяці тому +4

    Mashabiki wanatia hamasa hadi raha, bonge moja la support

  • @johnmarco8252
    @johnmarco8252 2 місяці тому +5

    Bongo wakikuona unamsimamo nia yao wakupoteze ila kaka pambana mungu yuko nawe champez wanataka kutuangusha hawataweza time mwakinyoo❤❤

    • @user-tc9vi3ow3n
      @user-tc9vi3ow3n 2 місяці тому

      Abongo wengi wanafanya vitu kwa sifa,mwisho wa siku wanakuja kulaumu na kuwa omba omba,huyo mwakinyo yupo kuangalia madirahi ya habadae ukipigwa ufe aki yako utahioata wapi?

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma7946 Місяць тому +1

    Mungu akubaliki mwakingo championi watanzania

  • @FaniaHassani
    @FaniaHassani 2 місяці тому +4

    Weunaesema huelewi kipi ukielewi au ndio nyie mnaotaka kumpongeza mwakinyo? Kwa hilo mmeshafeli na mkanda keshachukua,hongera sana hassan mwakinyo

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 2 місяці тому +3

    Mwakinyo ni bondia anayejuelewa sana. Mabondia wote waliobaki ni wapuuzi tu na njaa zinaweza kuwapoteza kabisa

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 2 місяці тому +5

    Leteni bondia yoyote ata mlete figisu zenu atapigwa tu safi Mwakinyo bondia mwenye msimamo

    • @user-er1sh4fi4h
      @user-er1sh4fi4h Місяць тому

      Team mwakinyo tuna mtaka msouth Africa aliwatia aibu mabondia wa tz

  • @AbdullyCharles
    @AbdullyCharles 2 місяці тому +4

    Mwakinyooo fighter

  • @user-fb8ju1nv2j
    @user-fb8ju1nv2j 2 місяці тому +14

    Mwakinyo ndo bodia anayejielewa yeye haangalii watu watasemaje ila anaangalia masirahi yake yazigatiwe safi mwakinyo

    • @denishaule6314
      @denishaule6314 2 місяці тому +1

      Ndio masirahi mko vizur na mwakinyo

    • @SalimuHassani-xt3og
      @SalimuHassani-xt3og 2 місяці тому +1

      Sawa ila tunachokua tunaomba kwenye huu ujinga wake anaotufanyia ni kuturudishia viingilio vyetu tu bas mengne ayatuusu

  • @kutokakutoka8730
    @kutokakutoka8730 2 місяці тому +1

    Jamani nimechelewa ila ijayo iwe ya konde boy na mwakinyo ju ameiomba sana harmonaze nitakata basi kutoka kwetu Kenya Hadi bongo

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy2070 2 місяці тому +3

    ❤❤❤tu no pamoja champez

  • @PeterBaton
    @PeterBaton 2 місяці тому +4

    Sasa hapo Ndio Mwakinyo kashinda Au 🤣🤣Yani kama Picha la kihindi🤣🤣

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 2 місяці тому

    Hongera sana broo mafanikio ayaji tu lazima upitie mapito utafika mbali broo

  • @user-ee8kx1lp6y
    @user-ee8kx1lp6y 2 місяці тому +5

    Si mashabiki wa mwakinyo tunaamin uwezo wako

  • @user-ui2bs8ti9p
    @user-ui2bs8ti9p 2 місяці тому +1

    Braza wangu weni brucelee wakubali wakataeee dua nyingi nili kupigia

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 2 місяці тому

    Hongera sana Brother Mwakinyo

  • @user-er1sh4fi4h
    @user-er1sh4fi4h Місяць тому

    Tanzania 🇹🇿🇹🇿 champion 1 tu Hassan mwakinyo Champez

  • @BakariMussa-to2me
    @BakariMussa-to2me 2 місяці тому

    Mungu akusimamie Kaka ufike malengo Kama unavojikubali endelea kujikubali

  • @RashidiMsangi
    @RashidiMsangi 2 місяці тому +1

    Mbana mwakinyo usisikilize Hao simamia hakiyako bro

  • @StevenMwaweza
    @StevenMwaweza 2 місяці тому

    😮😮

  • @hassanmuhamad6311
    @hassanmuhamad6311 2 місяці тому +1

    Pamoja kaka mwakinyo

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 2 місяці тому

    Nakubali Sana kiba me naimba natumia jina diga boy TZ Song RAHA UA-cam please please naombo surpot UA-cam

  • @HusseinOmbeni
    @HusseinOmbeni Місяць тому

    Mnacho shindwa kujua kwamba mwakinyo hana kosa ira kuna viongozi ndio wanataka kumwalibia Aliomba rathi uringon na kupiiga simu lkn bado watu mnamlaumu mwakinyo yupo nasi jamani tumuombe min kam Mike nakupenda nakueshimu pia shabiki yako sana

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv 2 місяці тому +1

    mapambano ya mwakinyo ni maigizo TU hamna cha maana sasa hapo kashinda nini? au ni uchawi anatumia maama namuona mwepesi ngumi zake hazina power yaani ni michezo ya shule za msingi!!

    • @hendricksjohn6201
      @hendricksjohn6201 2 місяці тому

      Vituko TU hapa hakuna kitu huyo mwakinyo watu wa kupigana nao anawachagua yeye mwenyewe

  • @user-vn8qo4ff9j
    @user-vn8qo4ff9j 2 місяці тому

    Namkubali sana Mwakinyo Misimamo yake Itampa mafanikio sana

  • @steveprosper4084
    @steveprosper4084 Місяць тому

    Lingeuza michungwa pale chalinze lisipotezee mda humu

  • @selemanisozi936
    @selemanisozi936 2 місяці тому

    🎉 dua sana mwakinyo kwa mkanda kubaki ata kama wapinzani hawataki

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy 2 місяці тому

    Atar sana

  • @user-jd9if6ny1t
    @user-jd9if6ny1t 2 місяці тому +1

    Safi mwokinyo nimefulai

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma7946 Місяць тому

    Matako mwenyewe matako unasema mashabiki tunaona wanamferisha mwakinyo viongoziwangumi halafu unasema mashabiki kiufupi ukimponda mwakinyo ww tako

  • @MchJacobKassim
    @MchJacobKassim 2 місяці тому +1

    Mimi naelewa hili halikuwa pambano lilikuwa movie ya kichina

  • @hezekiamhapa7395
    @hezekiamhapa7395 2 місяці тому

    Huu wizi Tu mwisho wa siku ngumi zitapoteza mvuto kuweni makini na mwakinyo lakini kama ni maslahi wapate inavyostahiki alafu ngumi za hivi mtu hajapigwa ngumi yeyote ya maana mnamaliza pambano sio vizuri mnaharibu mchezi wa ngumi

  • @maxmia100
    @maxmia100 2 місяці тому +1

    Mwakinyo makalio tu huyo anajiona mjanja kumbe fala tu kwanza anaogopa mabondia

  • @gman3245
    @gman3245 2 місяці тому

    South African boxer by the name 'Wellem" ndie dawa ya mwankiyo 😊😊

  • @FikiriMgonanze
    @FikiriMgonanze 2 місяці тому +1

    Kwakweli huyu jamaa mapambano yake nachelewaga kuyaelewa

  • @Kombs-cr2mj
    @Kombs-cr2mj 2 місяці тому

    Mwakinyo ni pro sana, anaangalia stats zake kidunia sio ushabik wa kibongobongo tu kama bongo movie

  • @RahimHassan-bh3mm
    @RahimHassan-bh3mm 2 місяці тому

    Mwakinyo anajielewa sana to me naamin yupo sahihi maisha sio lazima uyaendeshe ukiwa na kaka au dada simama ww kama ww acha kulialia ww

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 місяці тому

    T.K.O iko wapi hapo???!!! Acheni ujinga basi! Mwakinyo ahamie kwenye uigizaji wa filamu za vichekesho maana pambano hapo hakuna, ni vitimbi vitupu!!!!

  • @minahismail9515
    @minahismail9515 2 місяці тому

    Jamani walihama ukumbi wakawaita marefa wao na mc wao na waandishi wa habari za mtandaoni. Ndo maana hujaona azam tv'wala mc wasiwasi mwablambo. Yaani huyu mwakinyo mungu anamuona katuchezea mashabiki wa ngumi cheus na chekundu.

  • @emilysanga7662
    @emilysanga7662 2 місяці тому

    Kwa hali hiyo Mwakinyo ndio mwenyewe final say kwakua kila atakachoongea wanamsikiliza management nzima

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 2 місяці тому

    Makamera Wa Bongo Bana! Et Video imechukuliwa kwa Mbaaali😅😅😅

  • @hassankindamba6633
    @hassankindamba6633 2 місяці тому

    Huyu wajina wangu kuna kamchezo hucheza ili kupiga pesa. Bondia Gani yeye ndo anachagua wakupigana nae na anamoanga kabisa mpaka malipo achukue kiasi Gani. Na kama bondia akikataa lazima litokee jambo aidha agome au atafute kisingizio ili tu kuharibu cv za watu

  • @RahimHassan-bh3mm
    @RahimHassan-bh3mm 2 місяці тому

    Mwakinyo ana kosa gani Sasa apo walaumu mapromota ambao wanania ya kumpoteza mwakinyo lakin naamin mwakinyo hawezi kupotea na mungu yupo ataendelea kusonga mbele

    • @user-hn6tz2mx5v
      @user-hn6tz2mx5v 2 місяці тому

      Kwahiyo hiyo pesa tayar kapewa? Mwakinyo aache ujanja sasa hizo ningumu au bonanza niwizi mtupu

  • @HusseinChai
    @HusseinChai 2 місяці тому

    Mwambaaaa nakukubalii😂😂

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu 2 місяці тому

    shabik unalipa kiingilio alafu mabondia wanatokea wote hawana matatizo yakiafya yaani wakofiti " et unaambiwa kunamtu mkubwa haonekani na ana ishu zote za mkanda ndiotunamtafuta kwenye cm lakn hatujafanikiwa kumpata " sasa unajiuliza maandalizi ya pambano kipindi chote hicho yako wapi? Kama sio uhuni? alaf unaenda kulala unapata taarifa pambano lilichezwa na wazamin wa matangazo ni tofaut na MC naye ni mwingine😂 " sasa unajiuliza tena inamaana huyo anasubiriwa aliona pesa zetu hazina maana ? anakuja mda anao utaka na uongozi wa ngumi unataka et kuwepo na mashabiki wa ngumi " nani atapenda ujinga huo

  • @user-jc2vy3yf6v
    @user-jc2vy3yf6v 2 місяці тому +2

    Wemechagua sikuyao sio

  • @YusuphChigwe
    @YusuphChigwe 2 місяці тому

    Duh

  • @MushiProsper
    @MushiProsper Місяць тому

    Mwankinyo kaonewa huruma tu

  • @JumaIsmail-dt4il
    @JumaIsmail-dt4il Місяць тому

    Tz 1

  • @minahismail9515
    @minahismail9515 2 місяці тому

    Mashabiki wa mwaninyo nao ni matako bondia kawazalilisha kutocheza kwa wakati anakuja kuhonga na kununua marefa wachezeshe uchochoroni. Ili apewe mkanda. Wao wanafrahia. Haya. Kama sio uchochoroni mzamini azam tv'yupo wapi??

  • @user-sm8tz6xb1c
    @user-sm8tz6xb1c 2 місяці тому

    Anachaguwa mabondia kwanini asiletewe bondia kweli

  • @bukavusongs6012
    @bukavusongs6012 2 місяці тому

    Harmoniz vipi

  • @francismussa5690
    @francismussa5690 2 місяці тому

    Waandaji wa kulaumiwa, hakika kuna shida katika mapambano ya mwakinyo, nadhani atetee huyo mkanda na bondia bora ili tujue uwezo wake mwakinyo

  • @user-yu3im5cv7j
    @user-yu3im5cv7j 2 місяці тому

    Pambano LA mchongo mashoga toka lini wakawa na msimamo zaidi ya maneno mengi

  • @JumaMkose
    @JumaMkose 2 місяці тому

    Dah kwa hili kuna cha kujiuliza kwakweli kwann ligailishwe aya apo apo licheZwe bila nembo ya mzamin hata mmoja dah bongo ni hatari

  • @minahismail9515
    @minahismail9515 2 місяці тому

    Jamani mwakinyo kama umerizika na kiwango chako na mashabiki zako wanakukubali tia saini. Kwenye bendera chuma tukupige hadi mashabiki wakukatae. Maana hao ndo mashoga zako wanakupamba uzidishe naneno. Timu kidugu hatunaga maneno ni kudunda tu.

  • @mgosiadvocate6160
    @mgosiadvocate6160 2 місяці тому

    Alhaqu yaaluu

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa 2 місяці тому +1

    Hiii Nini hiiiiiiiiiiiiiiiii Sasa hivi ni VITU VIPYA katika ubovu wake ulio wa VIWANGO VYA juu katika mazingira mabovu kabisa hiiii ni so sad and great shampoo if not shameful

  • @user-uk4cy1ot6r
    @user-uk4cy1ot6r 2 місяці тому

    Hapigani kwa mihemko ya watu anaangalia sheria ina semaje sio boya kama mabondia wenu mbuzi nyie

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma7946 Місяць тому

    Kwani umelazimishwa kumuangalia tukufungie ww kuangalia tuone utafulai pimbiww

  • @MwanaNgurumo
    @MwanaNgurumo 2 місяці тому

    Mtan wangu mwakinyo ninakuamini songa mbele kamanda wenye vijicho wakajinyonge

  • @joycekaishozi1177
    @joycekaishozi1177 2 місяці тому +1

    ukisimamia hhaki yako ni bora sana

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 2 місяці тому

    Mwakinyo hataki janja janja kama wale wengine wakipewa ata lack 3 wanapigana😅

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 2 місяці тому

    Aibu

  • @user-wz9mh7it3y
    @user-wz9mh7it3y 2 місяці тому

    Kwani kulikua na ngumi au kulikua na makubaliano tu hapa. Mbona km ibabaishaji. Maana cjaona ngumi apo walopigana. Imekua sawa na mtu na dem wake. Wakat dem anajarib kukataa kudo kisha akaachia nyama

  • @EdwinNgimba
    @EdwinNgimba 2 місяці тому

    Chochote unachokifanya kwaajili ya future yako kifanye kwa usahihi haijalishi unazomewa na wangap, hata kama una mashabiki wawili haohao wanakutosha mtu huna hata uhakika wa kula unatukana watu mitandaoni sometimes tujifunze kuzuia hasira zetu za kipumbavu mwana ana watu watu wachache ila maisha mazuri kuna mabondia viwanja vinajaa ila wana njaa kali tujifunze kusimama kuwatetea wanamichezo wetu kwenye stahiki zao

    • @nekashash2190
      @nekashash2190 2 місяці тому

      Koo hii gem ilichezwa siku ileike au lini..na kwanini

    • @AniaJaffari
      @AniaJaffari 2 місяці тому

      Safi ndugu yangu

  • @user-ih4kw5eb3d
    @user-ih4kw5eb3d 2 місяці тому

    Jama ako sawa lkn shoulder imembwaga ame tupa ngumi akashituka bega

  • @AthanasiMichael
    @AthanasiMichael 2 місяці тому

    Champenz 🏆

  • @komboadata4323
    @komboadata4323 2 місяці тому

    KUWENI WAKWELI MWAKINYO MWENYEWE PIA AJUI KAMA KASHINDA HILI PAMBANO

  • @barnabassassiyo4741
    @barnabassassiyo4741 Місяць тому

    Mwakinyo kuna siri kubwa anaijua TPBRC
    Maisha na Mafanikio ya mtu ni Siri yake!

  • @dismaspascal6198
    @dismaspascal6198 2 місяці тому

    Daah,pambano la mchongo

  • @MICHAELLEONTH
    @MICHAELLEONTH 2 місяці тому

    Mwakinyo naye hiyo style yake jaman Sio usanii

  • @alikhamic4177
    @alikhamic4177 2 місяці тому

    mbona watu hakuna

  • @WinifridaJonathan-cq2nw
    @WinifridaJonathan-cq2nw 2 місяці тому

    Mkanda lazima tuubebe hao wanao mrudisha nyuma nangoja wageuke😅

  • @fintanifelix1680
    @fintanifelix1680 2 місяці тому

    Mwakinyo alivaa sket au macho yangu jamani

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 2 місяці тому

    Leo mm nime shika number one

    • @KassimSaid-vp4zz
      @KassimSaid-vp4zz 2 місяці тому

      Number one ya nyoko upumbavu nao unataka 2upongeze

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 2 місяці тому

      @@KassimSaid-vp4zzunamtafuta mtu wa kukufila basi Pele lime pata kucha

  • @lucasmombo-di4zr
    @lucasmombo-di4zr 2 місяці тому

    Mwakinyo afungiwe bonding gani mbabaishaji !

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 місяці тому

    Bado harmonize

  • @minahismail9515
    @minahismail9515 2 місяці тому

    Jamani mwakinyo ni ki hekesho bora nilienda kulala

  • @babanaso6743
    @babanaso6743 2 місяці тому

    Kinacho chaguliwa na mungu hata uweke chuki vipi kitaendelea kusimama ila ndugu zangu wa tz tuache roho mbaya

  • @MtumishiMwaisaka-lb3qs
    @MtumishiMwaisaka-lb3qs 2 місяці тому +4

    Poorly video shooting,too far "hii ni bangi na njaa,Hamna ngumi hapa

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 2 місяці тому

    Dug haya bana

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 2 місяці тому

    Pumbavu nani afungiwe Ulizani Mwakinyo kama mabondia wenu labda wafungiwe chama cha ngumi

  • @AllyMswahili
    @AllyMswahili 2 місяці тому

    Ndio inavy takiwa bondia uweh naa msimam

  • @HajiJumaHaji-to3ld
    @HajiJumaHaji-to3ld 2 місяці тому

    Hamonaizi kama umechoka kuimba basi kama unavipesa vyako nenda kwenu kanunuwe heka ya mikorosho ulime usije kumtefutiya kesi hasani mwakinyo kwa wazazi wako nenda kalime korosho

  • @EMMANUELR.MASSAWE
    @EMMANUELR.MASSAWE 2 місяці тому

    Mapambano ya jamaa yanaishaga kimaajab ajabu. Unashangaa tu refa ananyoosha mikono pambano limekwisha.

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 2 місяці тому

    All the way from Tanzania 😂 pambano limefanyika Tanzania sio ?

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i 2 місяці тому +1

    Huyo nikiazi tu hana lolote maneno mengi ngumi ajue atahamonazi akimkazia anamfua huyo kuzi

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd 2 місяці тому

      😂😂😂😂Matak yak

    • @3sflyingcars
      @3sflyingcars 2 місяці тому

      Nenda ww mbon una taj mwenzio et hoo hamoz nenda ww kenge ww

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 2 місяці тому

    ila Hormonize!😅😅😅

  • @HusseinHassain-ry9qb
    @HusseinHassain-ry9qb 2 місяці тому

    Ngumi unajua ilaa mabondia wako bdo cjawaelewa baba hassain Soo kwel weee champion of the national Tz half mapmbn yko ayakosi vikwazo vp kaka

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 2 місяці тому

    Hakuna pambano hapo wizi mtupu ngumi zenyewe sasa mmhhhhhh! .

  • @AthmanKhalfan
    @AthmanKhalfan 2 місяці тому +1

    Tatizo jeuli za mwakinyo.amuombe lazi kaka ake.asisingizie bosi zayumba,azam nao?

    • @wegazicomputing2872
      @wegazicomputing2872 2 місяці тому

      Hakika , Hassan kuna watu ana wakosea mahala fulani aombe radhi kwa siri siri au hadharani, pia apunguze mdomo, ni bondia mzuri lakini dharau nyingi, sasa jana ana omba radhi watu kwa kuwa lazimisha ndio nini?
      Ukisema naomba radhi kwa kuchelewa pambano halafu, msiondoke jamani mi nime jiandaa kwa ajili yenu, kwani watu walikuja hapo ukumbini bure?

  • @oswadisanga2636
    @oswadisanga2636 2 місяці тому

    Hv ilipambano la lini??

  • @frankmollel8510
    @frankmollel8510 2 місяці тому

    Hawa waandaaji niwasenge yaani waliamua kutafuta muda wao wakati pesa zetu tulilipa nahawakupigana siku iyo

  • @chiddybwax7749
    @chiddybwax7749 2 місяці тому

    Watu inabidi waelewe mwakinyo hana makosa bali mabosi zetu wa hovyo

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 місяці тому

    Pambano zuri,ni ubora wa picha ndo tatizo

  • @MicharazoCharazo
    @MicharazoCharazo Місяць тому

    Tanzania chikii ndoo zinatusumbuwa

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 2 місяці тому

    Mwakinyo siyo Bondoia wanamletea mabondia viazi tu

  • @AmonOdo
    @AmonOdo 2 місяці тому

    Mwakinyo mzuka mwingi

  • @user-fq6xx4ww4c
    @user-fq6xx4ww4c 2 місяці тому

    Pambano la mchongo msituwekee
    Sasa ndio ngum gani iliyochezwa nawauliza nyie timu mwakinyo