FULL: PAMBANO LA MWAKINYO NA BONDIA KUTOKA GHANA LAFANYIKA USK WA MANANE
Вставка
- Опубліковано 31 тра 2024
- FULL: PAMBANO LA MWAKINYO NA BONDIA KUTOKA GHANA LAFANYIKA USK WA MANANE
#modewji #diamondplatnumz #ccm #tundulissu #simbasc #yanga #modewji #mwijaku #feisalsalum #ahmedally #zuchu #wasafi #harmonize #wcb #mbosso #modewji #fistonmayele #yangabingwa #simbasc #ahmedally #alikamwe #ahmedally #modewji #fistonmayele #yangasc #manara #simba #diamondplatnumz #harmonize #yanga #harmonize #mwakinyo #diamondplatnumz #modewji #simba #ahmedally #simba #fistonmayele #yanga #ahmedally #kibudenis #modewji #simba #diamondplatnumz #harmonize simba #fistonmayele #modewji #modewji #yanga #ahmedally #raissamiasuluhuhassan #mafuriko #kimbungahidaya #modewji #wifewadunia #harmonize #simba #fistonmayele #yanga #modewji #ahmedally #raissamiasuluhuhassan #simba #fistonmayele #diamondplatnumz #simba #yanga #ihefu #ahmedally #alikamwe #manara #modewji #hd
#harmonize #diamondplatnumz #alikiba #kingkiba #wifewadunia #kondeboy #YangaSC #simba #fistonmayele #azamtv #bahatibukuku #paulmakonda #raissamiasuluhuhassan - Спорт
Tunachukia kwa mihemko yetu tunakukubali Mwakinyo Mungu ajalie mambo yakuendee tunakuelewa hoja zako Zina mashiko Pambania Ndoto Yako Mungu akubariki unajuhudi nakukubali hujali kulaumiwa utafika mbali zaidi🎉🎉
Unatia aibu tu bora ungeacha tu kupigana unazingua sana mwamba
Akufirahishe wewe wakat Hela zake hajapata sema chombo Cha ngumi kiwe makini na ma present
Mashabiki wanatia hamasa hadi raha, bonge moja la support
Bongo wakikuona unamsimamo nia yao wakupoteze ila kaka pambana mungu yuko nawe champez wanataka kutuangusha hawataweza time mwakinyoo❤❤
Abongo wengi wanafanya vitu kwa sifa,mwisho wa siku wanakuja kulaumu na kuwa omba omba,huyo mwakinyo yupo kuangalia madirahi ya habadae ukipigwa ufe aki yako utahioata wapi?
Mungu akubaliki mwakingo championi watanzania
Weunaesema huelewi kipi ukielewi au ndio nyie mnaotaka kumpongeza mwakinyo? Kwa hilo mmeshafeli na mkanda keshachukua,hongera sana hassan mwakinyo
Mwakinyo ni bondia anayejuelewa sana. Mabondia wote waliobaki ni wapuuzi tu na njaa zinaweza kuwapoteza kabisa
Leteni bondia yoyote ata mlete figisu zenu atapigwa tu safi Mwakinyo bondia mwenye msimamo
Team mwakinyo tuna mtaka msouth Africa aliwatia aibu mabondia wa tz
Mwakinyooo fighter
Mwakinyo ndo bodia anayejielewa yeye haangalii watu watasemaje ila anaangalia masirahi yake yazigatiwe safi mwakinyo
Ndio masirahi mko vizur na mwakinyo
Sawa ila tunachokua tunaomba kwenye huu ujinga wake anaotufanyia ni kuturudishia viingilio vyetu tu bas mengne ayatuusu
Jamani nimechelewa ila ijayo iwe ya konde boy na mwakinyo ju ameiomba sana harmonaze nitakata basi kutoka kwetu Kenya Hadi bongo
❤❤❤tu no pamoja champez
Sasa hapo Ndio Mwakinyo kashinda Au 🤣🤣Yani kama Picha la kihindi🤣🤣
Kiukweli picha la kihindi
Hongera sana broo mafanikio ayaji tu lazima upitie mapito utafika mbali broo
Si mashabiki wa mwakinyo tunaamin uwezo wako
Braza wangu weni brucelee wakubali wakataeee dua nyingi nili kupigia
Hongera sana Brother Mwakinyo
Tanzania 🇹🇿🇹🇿 champion 1 tu Hassan mwakinyo Champez
Mungu akusimamie Kaka ufike malengo Kama unavojikubali endelea kujikubali
Mbana mwakinyo usisikilize Hao simamia hakiyako bro
😮😮
Pamoja kaka mwakinyo
Nakubali Sana kiba me naimba natumia jina diga boy TZ Song RAHA UA-cam please please naombo surpot UA-cam
Mnacho shindwa kujua kwamba mwakinyo hana kosa ira kuna viongozi ndio wanataka kumwalibia Aliomba rathi uringon na kupiiga simu lkn bado watu mnamlaumu mwakinyo yupo nasi jamani tumuombe min kam Mike nakupenda nakueshimu pia shabiki yako sana
mapambano ya mwakinyo ni maigizo TU hamna cha maana sasa hapo kashinda nini? au ni uchawi anatumia maama namuona mwepesi ngumi zake hazina power yaani ni michezo ya shule za msingi!!
Vituko TU hapa hakuna kitu huyo mwakinyo watu wa kupigana nao anawachagua yeye mwenyewe
Namkubali sana Mwakinyo Misimamo yake Itampa mafanikio sana
Lingeuza michungwa pale chalinze lisipotezee mda humu
🎉 dua sana mwakinyo kwa mkanda kubaki ata kama wapinzani hawataki
Atar sana
Safi mwokinyo nimefulai
Matako mwenyewe matako unasema mashabiki tunaona wanamferisha mwakinyo viongoziwangumi halafu unasema mashabiki kiufupi ukimponda mwakinyo ww tako
Mimi naelewa hili halikuwa pambano lilikuwa movie ya kichina
Karibu wewe
Nae anashangilia eti daah
Huu wizi Tu mwisho wa siku ngumi zitapoteza mvuto kuweni makini na mwakinyo lakini kama ni maslahi wapate inavyostahiki alafu ngumi za hivi mtu hajapigwa ngumi yeyote ya maana mnamaliza pambano sio vizuri mnaharibu mchezi wa ngumi
Mwakinyo makalio tu huyo anajiona mjanja kumbe fala tu kwanza anaogopa mabondia
South African boxer by the name 'Wellem" ndie dawa ya mwankiyo 😊😊
Kwakweli huyu jamaa mapambano yake nachelewaga kuyaelewa
😂😂😂
Mwakinyo ni pro sana, anaangalia stats zake kidunia sio ushabik wa kibongobongo tu kama bongo movie
Mwakinyo anajielewa sana to me naamin yupo sahihi maisha sio lazima uyaendeshe ukiwa na kaka au dada simama ww kama ww acha kulialia ww
T.K.O iko wapi hapo???!!! Acheni ujinga basi! Mwakinyo ahamie kwenye uigizaji wa filamu za vichekesho maana pambano hapo hakuna, ni vitimbi vitupu!!!!
Jamani walihama ukumbi wakawaita marefa wao na mc wao na waandishi wa habari za mtandaoni. Ndo maana hujaona azam tv'wala mc wasiwasi mwablambo. Yaani huyu mwakinyo mungu anamuona katuchezea mashabiki wa ngumi cheus na chekundu.
Kwa hali hiyo Mwakinyo ndio mwenyewe final say kwakua kila atakachoongea wanamsikiliza management nzima
Makamera Wa Bongo Bana! Et Video imechukuliwa kwa Mbaaali😅😅😅
Huyu wajina wangu kuna kamchezo hucheza ili kupiga pesa. Bondia Gani yeye ndo anachagua wakupigana nae na anamoanga kabisa mpaka malipo achukue kiasi Gani. Na kama bondia akikataa lazima litokee jambo aidha agome au atafute kisingizio ili tu kuharibu cv za watu
Mwakinyo ana kosa gani Sasa apo walaumu mapromota ambao wanania ya kumpoteza mwakinyo lakin naamin mwakinyo hawezi kupotea na mungu yupo ataendelea kusonga mbele
Kwahiyo hiyo pesa tayar kapewa? Mwakinyo aache ujanja sasa hizo ningumu au bonanza niwizi mtupu
Mwambaaaa nakukubalii😂😂
shabik unalipa kiingilio alafu mabondia wanatokea wote hawana matatizo yakiafya yaani wakofiti " et unaambiwa kunamtu mkubwa haonekani na ana ishu zote za mkanda ndiotunamtafuta kwenye cm lakn hatujafanikiwa kumpata " sasa unajiuliza maandalizi ya pambano kipindi chote hicho yako wapi? Kama sio uhuni? alaf unaenda kulala unapata taarifa pambano lilichezwa na wazamin wa matangazo ni tofaut na MC naye ni mwingine😂 " sasa unajiuliza tena inamaana huyo anasubiriwa aliona pesa zetu hazina maana ? anakuja mda anao utaka na uongozi wa ngumi unataka et kuwepo na mashabiki wa ngumi " nani atapenda ujinga huo
Wemechagua sikuyao sio
Duh
Mwankinyo kaonewa huruma tu
Tz 1
Mashabiki wa mwaninyo nao ni matako bondia kawazalilisha kutocheza kwa wakati anakuja kuhonga na kununua marefa wachezeshe uchochoroni. Ili apewe mkanda. Wao wanafrahia. Haya. Kama sio uchochoroni mzamini azam tv'yupo wapi??
Anachaguwa mabondia kwanini asiletewe bondia kweli
Harmoniz vipi
Waandaji wa kulaumiwa, hakika kuna shida katika mapambano ya mwakinyo, nadhani atetee huyo mkanda na bondia bora ili tujue uwezo wake mwakinyo
Pambano LA mchongo mashoga toka lini wakawa na msimamo zaidi ya maneno mengi
Dah kwa hili kuna cha kujiuliza kwakweli kwann ligailishwe aya apo apo licheZwe bila nembo ya mzamin hata mmoja dah bongo ni hatari
Jamani mwakinyo kama umerizika na kiwango chako na mashabiki zako wanakukubali tia saini. Kwenye bendera chuma tukupige hadi mashabiki wakukatae. Maana hao ndo mashoga zako wanakupamba uzidishe naneno. Timu kidugu hatunaga maneno ni kudunda tu.
Alhaqu yaaluu
Hiii Nini hiiiiiiiiiiiiiiiii Sasa hivi ni VITU VIPYA katika ubovu wake ulio wa VIWANGO VYA juu katika mazingira mabovu kabisa hiiii ni so sad and great shampoo if not shameful
Hapigani kwa mihemko ya watu anaangalia sheria ina semaje sio boya kama mabondia wenu mbuzi nyie
Kwani umelazimishwa kumuangalia tukufungie ww kuangalia tuone utafulai pimbiww
Mtan wangu mwakinyo ninakuamini songa mbele kamanda wenye vijicho wakajinyonge
ukisimamia hhaki yako ni bora sana
Mwakinyo hataki janja janja kama wale wengine wakipewa ata lack 3 wanapigana😅
Aibu
Kwani kulikua na ngumi au kulikua na makubaliano tu hapa. Mbona km ibabaishaji. Maana cjaona ngumi apo walopigana. Imekua sawa na mtu na dem wake. Wakat dem anajarib kukataa kudo kisha akaachia nyama
Kabisa hamna ngumi hapo
Chochote unachokifanya kwaajili ya future yako kifanye kwa usahihi haijalishi unazomewa na wangap, hata kama una mashabiki wawili haohao wanakutosha mtu huna hata uhakika wa kula unatukana watu mitandaoni sometimes tujifunze kuzuia hasira zetu za kipumbavu mwana ana watu watu wachache ila maisha mazuri kuna mabondia viwanja vinajaa ila wana njaa kali tujifunze kusimama kuwatetea wanamichezo wetu kwenye stahiki zao
Koo hii gem ilichezwa siku ileike au lini..na kwanini
Safi ndugu yangu
Jama ako sawa lkn shoulder imembwaga ame tupa ngumi akashituka bega
Champenz 🏆
KUWENI WAKWELI MWAKINYO MWENYEWE PIA AJUI KAMA KASHINDA HILI PAMBANO
Mwakinyo kuna siri kubwa anaijua TPBRC
Maisha na Mafanikio ya mtu ni Siri yake!
Daah,pambano la mchongo
Mwakinyo naye hiyo style yake jaman Sio usanii
mbona watu hakuna
Mkanda lazima tuubebe hao wanao mrudisha nyuma nangoja wageuke😅
Mwakinyo alivaa sket au macho yangu jamani
Leo mm nime shika number one
Number one ya nyoko upumbavu nao unataka 2upongeze
@@KassimSaid-vp4zzunamtafuta mtu wa kukufila basi Pele lime pata kucha
Mwakinyo afungiwe bonding gani mbabaishaji !
Bado harmonize
Jamani mwakinyo ni ki hekesho bora nilienda kulala
Kinacho chaguliwa na mungu hata uweke chuki vipi kitaendelea kusimama ila ndugu zangu wa tz tuache roho mbaya
Poorly video shooting,too far "hii ni bangi na njaa,Hamna ngumi hapa
Dug haya bana
Pumbavu nani afungiwe Ulizani Mwakinyo kama mabondia wenu labda wafungiwe chama cha ngumi
Ndio inavy takiwa bondia uweh naa msimam
Hamonaizi kama umechoka kuimba basi kama unavipesa vyako nenda kwenu kanunuwe heka ya mikorosho ulime usije kumtefutiya kesi hasani mwakinyo kwa wazazi wako nenda kalime korosho
Mapambano ya jamaa yanaishaga kimaajab ajabu. Unashangaa tu refa ananyoosha mikono pambano limekwisha.
All the way from Tanzania 😂 pambano limefanyika Tanzania sio ?
Huyo nikiazi tu hana lolote maneno mengi ngumi ajue atahamonazi akimkazia anamfua huyo kuzi
😂😂😂😂Matak yak
Nenda ww mbon una taj mwenzio et hoo hamoz nenda ww kenge ww
ila Hormonize!😅😅😅
Ngumi unajua ilaa mabondia wako bdo cjawaelewa baba hassain Soo kwel weee champion of the national Tz half mapmbn yko ayakosi vikwazo vp kaka
Hakuna pambano hapo wizi mtupu ngumi zenyewe sasa mmhhhhhh! .
Tatizo jeuli za mwakinyo.amuombe lazi kaka ake.asisingizie bosi zayumba,azam nao?
Hakika , Hassan kuna watu ana wakosea mahala fulani aombe radhi kwa siri siri au hadharani, pia apunguze mdomo, ni bondia mzuri lakini dharau nyingi, sasa jana ana omba radhi watu kwa kuwa lazimisha ndio nini?
Ukisema naomba radhi kwa kuchelewa pambano halafu, msiondoke jamani mi nime jiandaa kwa ajili yenu, kwani watu walikuja hapo ukumbini bure?
Hv ilipambano la lini??
Hawa waandaaji niwasenge yaani waliamua kutafuta muda wao wakati pesa zetu tulilipa nahawakupigana siku iyo
Watu inabidi waelewe mwakinyo hana makosa bali mabosi zetu wa hovyo
Pambano zuri,ni ubora wa picha ndo tatizo
Tanzania chikii ndoo zinatusumbuwa
Mwakinyo siyo Bondoia wanamletea mabondia viazi tu
Mwakinyo mzuka mwingi
Pambano la mchongo msituwekee
Sasa ndio ngum gani iliyochezwa nawauliza nyie timu mwakinyo