KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 211

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 місяців тому +8

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @Nagmah-gf4lp
    @Nagmah-gf4lp 8 місяців тому +4

    Makonda hongera kwa bidii na kazi njema

  • @RobbyMukonjero-rp5gt
    @RobbyMukonjero-rp5gt 8 місяців тому +3

    Magufuli anerudi,that is very good

  • @estellemwai5402
    @estellemwai5402 8 місяців тому +2

    Makonda katika ubora wake 💯❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 8 місяців тому +5

    Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 8 місяців тому +8

    Makokonda anajibu amina kwakweli anabarikiwa sana

    • @jumakubili1512
      @jumakubili1512 8 місяців тому +1

      Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.

  • @IsayaPaul-qq2li
    @IsayaPaul-qq2li 8 місяців тому +9

    Makonda piga kazi baba mungu akubariki

  • @JeremiahMwakanyamale
    @JeremiahMwakanyamale 8 місяців тому +3

    Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.

  • @ReginaldAplonary
    @ReginaldAplonary 8 місяців тому +7

    Nakuona ukifika mbali sana mkuu

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv 8 місяців тому +8

    Barikiwaa mkuuu

  • @robertnkaragano298
    @robertnkaragano298 8 місяців тому +4

    FANYA KAZI comrade MAKONDA!! Aisee nakutabiria mbali sana

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 8 місяців тому +5

    Yesu wa Ekaristi aendelee kukuongoza
    Sema kweli daima fitina kwako mwiko

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 8 місяців тому +7

    Halafu unakuta mpumbavu mmoja anasema makonda asiendelee kusikiliza watu. Safi sana Makondaaaa

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 8 місяців тому +1

      Analiwa yule mama na mapaka

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 8 місяців тому

      🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿​@@mayaally2512

    • @aminielabraham
      @aminielabraham 8 місяців тому +2

      Makonda angalia mbele usiangalie pembeni kwanza Mtangulize Mungu, na umalize na Mungu hatakuacha 3:28

    • @DicksonIgnas-pq1rj
      @DicksonIgnas-pq1rj 8 місяців тому +1

      Yule mama namashakanae kama anafasi yoyote selekalini wamuondoe hafai kutumikia wana nchi mfungo nao wawe paka

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 8 місяців тому +1

      Tuko pamoja apamdanie wananchi makonda oyee

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 8 місяців тому +7

    Mama Samia huyu makonda ni mtu muhimu ktk Tanzania tunataka viongoz bora kama Makonda

  • @clrarasekuza
    @clrarasekuza 3 місяці тому

    Mungu akutunze kwa dumu ya Yesu

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 місяці тому

    Mwenyekiti wa CCM uko vizuri

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy9265 8 місяців тому +6

    Safi sana baba

  • @TegemeaSanga-d6r
    @TegemeaSanga-d6r 8 місяців тому

    Hapo kazi tuu mtu wa Mungu.

  • @lucaschipanga4466
    @lucaschipanga4466 8 місяців тому +13

    Kaka makonda juwa watanzani Wana kuamini wasaidie wanyonge mungu atakuripa kwakira njambo

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 8 місяців тому

    Nakushukuru mheshimiwa mwenezi C.P. makonda.maelezo Yako no darasa Bora.

  • @aminielenock2050
    @aminielenock2050 8 місяців тому

    Nakuombea kwa mwenyezi MUNGU akulinde sana mkuu ❤

  • @SophiaSenkoro
    @SophiaSenkoro 8 місяців тому

    Hongera makonda Kwa kazi nzuri unayoyafanya na mama

  • @IbrahStaneliy-g7s
    @IbrahStaneliy-g7s 8 місяців тому

    Safi sana

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 8 місяців тому +7

    Hivi? Kama kiongozi anakataa kulipa watu pesa yao na ni mali ya sarekali sio ya mfuko wake, anakua na lengo gani kama sio rushwa.

  • @fuhuruffelix5682
    @fuhuruffelix5682 7 місяців тому

    Kiongozi bora sana

  • @MatridaBenny
    @MatridaBenny 8 місяців тому

    Mungu akusaidie mkuu utafika mbali. Upo kama magufuri mungu fundi kwakwer

    • @FadhilaMwidini
      @FadhilaMwidini 6 місяців тому

      Fundi kweli kweli anatoa analeta Allah akutunze

  • @godwimmkolomi8988
    @godwimmkolomi8988 7 місяців тому

    Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi

  • @allymmahmudhassan
    @allymmahmudhassan 5 місяців тому

    😊zero

  • @FadhilaMwidini
    @FadhilaMwidini 6 місяців тому +1

    Ila Makonda unawasikiliza watu san hogera kaka

  • @MkayulaDavid
    @MkayulaDavid 8 місяців тому +2

    Makonda weye noma aisee

  • @petermarco8656
    @petermarco8656 8 місяців тому +4

    Ukitaka kuamini hana uwezo,Mh Bashe ameshawataja viongozi wa juu wanaoweza kuingilia issue ya sukari yaani bei elekezi, ama kumshauri,hayupo

  • @ElizaMolle
    @ElizaMolle 7 місяців тому

    Makonda mungu akuzidishiye miyaka uzidi tu kuwateteya wanyonge

  • @LilyMwalugaja
    @LilyMwalugaja Місяць тому

    Serikari. Mngelitazama hili. Hao watendaji. Hawana kazi. Yoyote. Ila mwenye kiti wa mtaa ndio anathamani. Kubwa sana na. Anastahiri. Kupewa mshahara.

  • @zainabumohamedy6988
    @zainabumohamedy6988 3 місяці тому

    Safi Sana makonda.

  • @IsaiahWanjala-wg5tv
    @IsaiahWanjala-wg5tv 16 днів тому

    I shoder how u u can cut down maize food but anyway congratulation makonda for what your doing god bless u

  • @IsiraeliMolly-o3z
    @IsiraeliMolly-o3z 7 місяців тому

    Hello 🤩❤❤❤❤❤❤

  • @syliveriuszaverius2347
    @syliveriuszaverius2347 4 місяці тому

    MUNGU akutunze mkuu 👏👏

  • @belafontesteven5144
    @belafontesteven5144 8 місяців тому

    Daaah!

  • @NemerikaIekoko
    @NemerikaIekoko 4 місяці тому +1

    Pole makonda utakiwa upewe mkoa wa tanzani

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 8 місяців тому +3

    Mnawapangia watu walime nini kwani mnawajua mahitaji ya familia zao kweli hii siyo sawa.mnahisi kama angepandisha Mori km Masai kingetokea nini?

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 7 місяців тому

    Ninachokiona mnazunguka mbuyu lkn kinachotutesa ni katiba leo hii chama kinafanya kazi ya serikali

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px 8 місяців тому +2

    Unafaa Kua Waziri Mkuu amini Kaka mm nakuombea San

  • @franktibwita228
    @franktibwita228 8 місяців тому +2

    Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 місяців тому

    Makonda juuuu zaidi

  • @RobertKatende-l6w
    @RobertKatende-l6w 8 місяців тому

    Daaaah Makonda hana tofaut na Hatati maguful

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 8 місяців тому +1

    🎉🎉

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 8 місяців тому +2

    Makonda anafaa kuwa Rais kabisa

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 8 місяців тому

    Hii Tanzania watu wanaumia sana kwa kuonewa sijui itaisha lini naona dawa ni Makonda Mungu akulinde Baba

    • @JeremiahMwakanyamale
      @JeremiahMwakanyamale 8 місяців тому +1

      Subili uchaguzi upite,kama utayaona hayo. Mwamba alikuwa magu2 wengine wanatuonesha viinimacho,wajisafishie njia,kuweni na macho jamani watanzania!

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 8 місяців тому +2

    Makonda 🙏🙏

  • @petermarco8656
    @petermarco8656 8 місяців тому +2

    Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote

  • @StellaGurusya
    @StellaGurusya 8 місяців тому +2

    Naomben jaman namba za makonda Mimi pia nimsitaaf

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 8 місяців тому

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 8 місяців тому +1

    Mwenyekiti ni mtu mzur mana ni mkweli tena wnafyeka adi nyumba

  • @EmmanuelGabriel-xq5ym
    @EmmanuelGabriel-xq5ym 5 місяців тому

    Makonda nimekukubali.nmekutabiria mbali sana unasaidia wana nchi

  • @DanielSamatembo-ks3vl
    @DanielSamatembo-ks3vl 6 місяців тому +1

    Viongoz hawana akli ao

  • @KafugeFrancis-be8qp
    @KafugeFrancis-be8qp 8 місяців тому +3

    Piga kazi mwenezi

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 8 місяців тому

    Asante mkurugezi wewe ni kiongozi wawanachi

  • @MurulaAhmadi
    @MurulaAhmadi 4 місяці тому

    NARUDIA TENA MHESHIMIWA MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPEMAISHAMAREF

  • @petermbuma9056
    @petermbuma9056 8 місяців тому +3

    makonda umelalamikiwa sana na wananchi je hizo kero mnazitatua???au mnafanya mambo kisiasa???

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 8 місяців тому

    Makonda twanga kazi

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg 8 місяців тому

    Mungu mlinde makonda

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 8 місяців тому

    Ndg Watumishi na watalaam hawaheshimu viongozi wa chama .

  • @athanassimbila2603
    @athanassimbila2603 8 місяців тому

    MATENDA AKITENDEWA HUONA KAONEWA .ANGALIENI SANA....

  • @madam-florensialutego
    @madam-florensialutego 8 місяців тому

    Namuona Rais wa mwaka elfu 2031

  • @ExplasiaNgasoma
    @ExplasiaNgasoma 8 місяців тому

    Uje na mkoa wa DSM tunateseka

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv 6 місяців тому

    Mwamba sana

  • @TengoElias
    @TengoElias 2 місяці тому

    🎉😢😢❤

  • @kgmbara3109
    @kgmbara3109 8 місяців тому +1

    Kama namwona rais makonda

  • @ChezamPilla-z6t
    @ChezamPilla-z6t 8 місяців тому +1

    Ccm Ina madudu sana piga kazi makonda

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 8 місяців тому +1

    Tatizo ni serikali inataka kutawala chama tatizo ni serikali

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 8 місяців тому

    Awajato hongo awaviongozi bana dah

  • @lizybabymgaywa8035
    @lizybabymgaywa8035 8 місяців тому

    Yaani hii nchi jamani Sasa hivi watu wanafanya kampeni, lkn sisi hatujui

    • @JeremiahMwakanyamale
      @JeremiahMwakanyamale 8 місяців тому

      Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 8 місяців тому

    Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 місяці тому

    Mkuu wa wilaya ana sauti ya mahaba

  • @GraceMaro-wz4bu
    @GraceMaro-wz4bu 4 місяці тому

    Mtetezi wa wanyonge

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 5 місяців тому

    Sasa makonda malizia basi sh ngapi hiyo fidia, maana huo ni mgogoro mwengine

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 8 місяців тому +1

    Mpaka nyumbani kwake

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 місяців тому +2

    Zambi kubwa sana kuharbu chakula hiyo ni laana

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 5 місяців тому

    Baada ya Arusha nimerejea kufatilia yote hadi dar makonda nimeona utakuwa rais baadae

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 8 місяців тому +1

    Sasa kunausiana Nini? Nakufyeka mazao mnaingiza siasa uonijinga

  • @MurulaAhmadi
    @MurulaAhmadi 4 місяці тому

    MIKUU WA MKOA ARUSHA MAKONDA MUNGU MAONO YA HEKIMA KWA KUTUA MATATIZO YA WANANCHI KWA UTURIVU MWENYEZI MUNGU AIBARIKI KHEKIMA ZAKO

  • @VeronickaAdam-jn4rn
    @VeronickaAdam-jn4rn 8 місяців тому

    Makonda pambana na hao watu mafisad jaman

  • @monicamwita7865
    @monicamwita7865 8 місяців тому

    Tunaomba namba ya Makonda

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 8 місяців тому

    💔😪😪

  • @estarmara173
    @estarmara173 8 місяців тому

    Tunaomba huyuuu miaka kumi ijayoo

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 5 місяців тому

    Mkuu wa mkoa mzima kaongea uongo kazi yake huyo rushwa tuu

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 8 місяців тому

    Nsimbo ni tatizo

  • @salomepastory-kn1kh
    @salomepastory-kn1kh 8 місяців тому

    Hayo mahindi ata Mimi yaliniuma aisee

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege3747 8 місяців тому

    Mungu akutunze baba wewe.Namkumbuka Magufuli pia alituruhusu wanyonge kutoa hoja zetu kama unavyofanya.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 8 місяців тому +1

    YAANI VIONGOZI WA TANZANIA NI WAONEVU , WANYANYASAJI TENA WANAZAMBI SANAA. YAANI HAWAJALI KABISA BINAADAMU WENZAO. TANZANIAAAAA, HALAFU TUNAJISIFU ETI TUNA AMAAANI?😮

  • @zainabumohamedy6988
    @zainabumohamedy6988 3 місяці тому

    Una akili nyingi

  • @meshack3266
    @meshack3266 8 місяців тому +3

    Kweli makonda unatisha mpaka wanakuita mwechimiwa mwenyeshiii

    • @edisonpeter3894
      @edisonpeter3894 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 8 місяців тому

      Wallah watu wanatetemeka hadi kutaja maneno wanajitafuna vikngozi. Makonda oyeeee 🤛🤛🤛🤛

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 8 місяців тому

    😅😅Tunaenjoy sana kua na watu kama.jpm wasiwasi wetu wasije wakakupeperusha kama Baba etu JPM

  • @StellaGurusya
    @StellaGurusya 8 місяців тому

    Jamn nisaidie namba za makonda

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 8 місяців тому +1

    Makonda piga kazi

  • @rehemanziku4962
    @rehemanziku4962 8 місяців тому

    MUNGU akutunze baba makonda uishi miaka mingi

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 8 місяців тому

    Jamaa ana akili sana na busara mingi

  • @DanyNgailo
    @DanyNgailo 8 місяців тому

    Hiyo hatar san sijuw kam mtendaji anaakir

  • @gefreymtalo5613
    @gefreymtalo5613 8 місяців тому

    Kama eneo ni la mtu alipwe hilo eneo Lao ili liwe la manispa kwa ujenzi
    Wa huo mji

  • @AbdoniSambi-g8p
    @AbdoniSambi-g8p 8 місяців тому

    Duu atar