Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu
Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.
Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.
Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi
Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza
Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote
Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.
Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.
YAANI VIONGOZI WA TANZANIA NI WAONEVU , WANYANYASAJI TENA WANAZAMBI SANAA. YAANI HAWAJALI KABISA BINAADAMU WENZAO. TANZANIAAAAA, HALAFU TUNAJISIFU ETI TUNA AMAAANI?😮
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Makonda hongera kwa bidii na kazi njema
Magufuli anerudi,that is very good
Makonda katika ubora wake 💯❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu
Makokonda anajibu amina kwakweli anabarikiwa sana
Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.
Makonda piga kazi baba mungu akubariki
Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.
Kweli😢
Nakuona ukifika mbali sana mkuu
Barikiwaa mkuuu
FANYA KAZI comrade MAKONDA!! Aisee nakutabiria mbali sana
Yesu wa Ekaristi aendelee kukuongoza
Sema kweli daima fitina kwako mwiko
O 5:11o 6:32ko
Pm
Ol
P
Okk😅 op
L😅
Halafu unakuta mpumbavu mmoja anasema makonda asiendelee kusikiliza watu. Safi sana Makondaaaa
Analiwa yule mama na mapaka
🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿@@mayaally2512
Makonda angalia mbele usiangalie pembeni kwanza Mtangulize Mungu, na umalize na Mungu hatakuacha 3:28
Yule mama namashakanae kama anafasi yoyote selekalini wamuondoe hafai kutumikia wana nchi mfungo nao wawe paka
Tuko pamoja apamdanie wananchi makonda oyee
Mama Samia huyu makonda ni mtu muhimu ktk Tanzania tunataka viongoz bora kama Makonda
Yupó poa xana
Kabisaa
Mungu akutunze kwa dumu ya Yesu
Mwenyekiti wa CCM uko vizuri
Safi sana baba
Hapo kazi tuu mtu wa Mungu.
Kaka makonda juwa watanzani Wana kuamini wasaidie wanyonge mungu atakuripa kwakira njambo
Nakushukuru mheshimiwa mwenezi C.P. makonda.maelezo Yako no darasa Bora.
Nakuombea kwa mwenyezi MUNGU akulinde sana mkuu ❤
Hongera makonda Kwa kazi nzuri unayoyafanya na mama
Safi sana
Hivi? Kama kiongozi anakataa kulipa watu pesa yao na ni mali ya sarekali sio ya mfuko wake, anakua na lengo gani kama sio rushwa.
Kiongozi bora sana
Mungu akusaidie mkuu utafika mbali. Upo kama magufuri mungu fundi kwakwer
Fundi kweli kweli anatoa analeta Allah akutunze
Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi
😊zero
Ila Makonda unawasikiliza watu san hogera kaka
Makonda weye noma aisee
Ukitaka kuamini hana uwezo,Mh Bashe ameshawataja viongozi wa juu wanaoweza kuingilia issue ya sukari yaani bei elekezi, ama kumshauri,hayupo
Makonda mungu akuzidishiye miyaka uzidi tu kuwateteya wanyonge
Serikari. Mngelitazama hili. Hao watendaji. Hawana kazi. Yoyote. Ila mwenye kiti wa mtaa ndio anathamani. Kubwa sana na. Anastahiri. Kupewa mshahara.
Safi Sana makonda.
I shoder how u u can cut down maize food but anyway congratulation makonda for what your doing god bless u
Hello 🤩❤❤❤❤❤❤
MUNGU akutunze mkuu 👏👏
Daaah!
Pole makonda utakiwa upewe mkoa wa tanzani
Mnawapangia watu walime nini kwani mnawajua mahitaji ya familia zao kweli hii siyo sawa.mnahisi kama angepandisha Mori km Masai kingetokea nini?
Ninachokiona mnazunguka mbuyu lkn kinachotutesa ni katiba leo hii chama kinafanya kazi ya serikali
Unafaa Kua Waziri Mkuu amini Kaka mm nakuombea San
Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza
Njaa izo
Makonda juuuu zaidi
Daaaah Makonda hana tofaut na Hatati maguful
🎉🎉
Makonda anafaa kuwa Rais kabisa
Hii Tanzania watu wanaumia sana kwa kuonewa sijui itaisha lini naona dawa ni Makonda Mungu akulinde Baba
Subili uchaguzi upite,kama utayaona hayo. Mwamba alikuwa magu2 wengine wanatuonesha viinimacho,wajisafishie njia,kuweni na macho jamani watanzania!
Makonda 🙏🙏
Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote
Kwa upande wako unaona hao watu hawasaidiwi
Ukiona huwez kutoa coment acha
Naomben jaman namba za makonda Mimi pia nimsitaaf
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mwenyekiti ni mtu mzur mana ni mkweli tena wnafyeka adi nyumba
Makonda nimekukubali.nmekutabiria mbali sana unasaidia wana nchi
Viongoz hawana akli ao
Piga kazi mwenezi
Asante mkurugezi wewe ni kiongozi wawanachi
NARUDIA TENA MHESHIMIWA MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPEMAISHAMAREF
makonda umelalamikiwa sana na wananchi je hizo kero mnazitatua???au mnafanya mambo kisiasa???
Mkuu viinimachooo!!2
Makonda twanga kazi
Mungu mlinde makonda
Ndg Watumishi na watalaam hawaheshimu viongozi wa chama .
MATENDA AKITENDEWA HUONA KAONEWA .ANGALIENI SANA....
Namuona Rais wa mwaka elfu 2031
Uje na mkoa wa DSM tunateseka
Mwamba sana
🎉😢😢❤
Kama namwona rais makonda
Ccm Ina madudu sana piga kazi makonda
Tatizo ni serikali inataka kutawala chama tatizo ni serikali
Awajato hongo awaviongozi bana dah
Yaani hii nchi jamani Sasa hivi watu wanafanya kampeni, lkn sisi hatujui
Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.
Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.
Mkuu wa wilaya ana sauti ya mahaba
Mtetezi wa wanyonge
Sasa makonda malizia basi sh ngapi hiyo fidia, maana huo ni mgogoro mwengine
Mpaka nyumbani kwake
Zambi kubwa sana kuharbu chakula hiyo ni laana
Baada ya Arusha nimerejea kufatilia yote hadi dar makonda nimeona utakuwa rais baadae
Sasa kunausiana Nini? Nakufyeka mazao mnaingiza siasa uonijinga
MIKUU WA MKOA ARUSHA MAKONDA MUNGU MAONO YA HEKIMA KWA KUTUA MATATIZO YA WANANCHI KWA UTURIVU MWENYEZI MUNGU AIBARIKI KHEKIMA ZAKO
Makonda pambana na hao watu mafisad jaman
Tunaomba namba ya Makonda
💔😪😪
Tunaomba huyuuu miaka kumi ijayoo
Mkuu wa mkoa mzima kaongea uongo kazi yake huyo rushwa tuu
Nsimbo ni tatizo
Hayo mahindi ata Mimi yaliniuma aisee
Mungu akutunze baba wewe.Namkumbuka Magufuli pia alituruhusu wanyonge kutoa hoja zetu kama unavyofanya.
YAANI VIONGOZI WA TANZANIA NI WAONEVU , WANYANYASAJI TENA WANAZAMBI SANAA. YAANI HAWAJALI KABISA BINAADAMU WENZAO. TANZANIAAAAA, HALAFU TUNAJISIFU ETI TUNA AMAAANI?😮
Una akili nyingi
Kweli makonda unatisha mpaka wanakuita mwechimiwa mwenyeshiii
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wallah watu wanatetemeka hadi kutaja maneno wanajitafuna vikngozi. Makonda oyeeee 🤛🤛🤛🤛
😅😅Tunaenjoy sana kua na watu kama.jpm wasiwasi wetu wasije wakakupeperusha kama Baba etu JPM
Jamn nisaidie namba za makonda
Makonda piga kazi
MUNGU akutunze baba makonda uishi miaka mingi
Jamaa ana akili sana na busara mingi
Hiyo hatar san sijuw kam mtendaji anaakir
Kama eneo ni la mtu alipwe hilo eneo Lao ili liwe la manispa kwa ujenzi
Wa huo mji
Duu atar