MBUNGE AKERWA NA ZIARA ZA MAKONDA | MAKONDA ATIKISA BUNGE BALAA | ANAFANYA MAJUKUMU YASIO YAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 497

  • @JustinMelanie
    @JustinMelanie 7 місяців тому +14

    Mupongezeni Makonda kwa kazi nzuri anayofanya

  • @AishaMlowe
    @AishaMlowe 7 місяців тому +9

    Acheni kukaa ofsi fanyekazi wananchi wanateka munasaidiwa kuwa kazi ndio hivyouwaina fanya makonda ❤❤❤❤❤❤

  • @shaabannurdin5848
    @shaabannurdin5848 7 місяців тому +11

    Yaani una ongea wew aibu naskia mimi😅

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw 7 місяців тому +28

    Yote Kwa yote makonda anafanya kazi nzuri sana mungu ambariki sana

    • @fundimitambo4158
      @fundimitambo4158 7 місяців тому +2

      ila nilichojifunza hapa Watanzia wengi ni wanafiki
      sana aisee

    • @LagalaligalaHamisi
      @LagalaligalaHamisi 7 місяців тому +1

      Safi

    • @hamiduchingi2672
      @hamiduchingi2672 7 місяців тому

      Unafikili nikwanini yesu alikimbia naakawachia neo nitafufuka au nitaludi aligunduwa awa niviumbe shaifu nawanafki wanaangalia fulaha yaotu,MIMI nafikili sasa ndiowakati wanyie munao ogopeka,kwauchawi,kwaugnga,namengineyo,Wekeninguvu kumlinda uyo muheshimiwa kwasababu bado tunamuitaji Sana,sio munatusumbua majumbani usiku NK,tumieni izo nguvuzenu kumlinda Mh,wetu makondo,kwasababu hivita sio yawachawi Wala waganga Nivita yawaujumu uchumi Yawatumishi wazembe,Yawatumishi matapeli,Yawatumishi wanao jilimbikizia mali,NK,tunawaomba nyie waganga na wachawi Mumlinde Mh, makonda Natumaini sasaivi wenyepesa namali zao wanawasumbua Sana,kwaajili ya msimamo Wa Mh,makonda,

    • @EmanuelyEliya
      @EmanuelyEliya 7 місяців тому

      ❤❤❤

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 7 місяців тому

      Mimi ni mganga lakin mtu akinijia anatala kumuroga makonda nakula pesaro nitampatia dawa ya kufanya ampende zaidi makonda😅😅😅😅😅

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 6 місяців тому +4

    WEWE MAMA YANGU AU BINTI YANGU. ELEWA ZIARA YA MAKONDA SI YA MAKONDA NI MKUU, HIVYO UNAMKOSOA MKUU. TAFAKARI MAMA.

  • @tinkybellah6634
    @tinkybellah6634 7 місяців тому +12

    Kumbe kunawabunge kichwani hamna kitu akilini
    Dawa inawaingiaa vizuriiii aisee

  • @samwelngao3201
    @samwelngao3201 7 місяців тому +4

    Huyu Mbunge ni takataka sana yaan ni mwanamke asie kuwa na akili Fala huyuuu ko ulitaka makonda afike asifie ujinga wakati wananchi wanateseka

  • @OscarMlewa
    @OscarMlewa 7 місяців тому +17

    Sasa amfanyi majukimu yenu mlitaka makonda afanyeje muwe na haibu uwo uchonganishi makonda ubarikiwe kwa kaziyako na namgu akufikishe mbali Sana na pia uwe na moyo huwo huwo🎉

  • @Thejordanministry
    @Thejordanministry 7 місяців тому +3

    Msomi mzima kaongea kupinga anacho fanya Makonda kisha anamuunga Mkono Makonda na anamsifia dah ajatulia kabisa uyu Mbunge sio.

  • @KhalphanSalumu
    @KhalphanSalumu 7 місяців тому +5

    Mzungumzaji, nywele zinamchanganya Mh Makonda anamchanganya

  • @IsayaBugoro-zj8nu
    @IsayaBugoro-zj8nu 7 місяців тому +10

    Nywele za marehemu wahindi

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 7 місяців тому +11

    Ndo mchukue mfano toka kwake sio kuka ofsini

  • @DavidMrisho-km2iz
    @DavidMrisho-km2iz 7 місяців тому +3

    Makonda aendelee na kazi yake wapo waotatuliwa kero zao kwahiyo sis tunamunga mkono

  • @YohanaMogope
    @YohanaMogope 7 місяців тому +2

    Mkishaga chaguliwa mnawasaliti wananchi kwataalifa yako MAKONDA ndoanaeweza kumsaidia RAISI kiukweli tunampongeza sana MAKONDA napia Tunamwombea sana lazima mwogope Ziara yake make nyie mmekuwa kimya mwenzenu amejitoa kumoyo mmoja kutusaidia wanyonge hata URAIS akigombea tunampa kabisaa natunataka Agombee MAKONDA 2025

  • @HawaMohamed-sk7sp
    @HawaMohamed-sk7sp 7 місяців тому +2

    Anachofanya makonda ndo mlitakiwa kufanya nyie akili huna we dada hovyo sana😂😂😂

  • @IbrahNdengo
    @IbrahNdengo 7 місяців тому +8

    Binafsi mh mwenezi Paul makonda piga kazi mbinguni tutatoa hesabu

  • @moyogems
    @moyogems 6 місяців тому +2

    Yamaza mh hLi ni mbaya sana tena sana mwacheni makonda ni kioo chenu arudia tena hali ni mbaya zinapigwa kila kona we we watu sio wazalendo kabisa waziri mkuu amezunguka ameona haya namshu,uru mh rais na ccm kumuweka makonda mpongezeni namsimkatishe tzmaa

  • @gatuna6
    @gatuna6 7 місяців тому +2

    Ukiona mbunge mbuke anali na makonda polisi wakamkague au taka kuru. Mamegeuza kazi ya ubunge kama kazi yake. Hawa ndiyo walio unga mkono bandari I uzee.

  • @MasterCappodhano
    @MasterCappodhano 3 місяці тому

    Makonda anafanya kazi nzuri sana hapo huyo mama anapinga mdomo bure tu

  • @shikuhata
    @shikuhata 7 місяців тому +2

    Nashukuru kwa mchangiaji

  • @PetroThomasMwandu
    @PetroThomasMwandu 7 місяців тому +5

    Hivi mnauwakika huyu dada ni mbunge???

  • @bouzartbc5641
    @bouzartbc5641 7 місяців тому +3

    Ntumieni namba za Paul Makonda nimtumie ela yangu ya akiba,

  • @barikisichone8574
    @barikisichone8574 7 місяців тому +1

    Uo mtego tunaelekeya uchaguzi alikuwa wp lakini at ivyo kwamda aliyo pewa mdg amefanya kazi nzuri Ila wamemcherewesha kazin

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 7 місяців тому +5

    Mmmmmmmh comment nyingi zinaonyesha hatuna uelewa"
    huyu mbunge yupo sahihi kwa wanaoelewa mfumo wa serikali.

    • @JoyceSarufu
      @JoyceSarufu 7 місяців тому

      Amna bhana wabunge hawajuw wajib waoooo

    • @mtpafrica
      @mtpafrica 7 місяців тому

      Daaah afadhari ww umeelewa wengi wetu wanampinga kumbe yupu sahihi

    • @EmmanuelMwanja-i3y
      @EmmanuelMwanja-i3y 7 місяців тому

      wewe ndo huelewi

    • @TashwillKaroolse
      @TashwillKaroolse 7 місяців тому

      Una akili?
      Nauliza hivi: una akili timamu ww?

    • @williammbuzimai5744
      @williammbuzimai5744 7 місяців тому

      @@JoyceSarufu hapo alikuwa anakazia kwamba makonda kayakuta madudu mengi sana yasiyotatuliwa na watumishi

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 6 місяців тому +1

    Huyu pumba maana hatahajuianachopinga, mama kakojoe ukalale. Humshawishi mtu hapa Makonda oyeeeee

  • @Ruyembe
    @Ruyembe 7 місяців тому +1

    Nashukuru UA-cam kwa kuweka tangazo lililositisha nisimsikilize huyu Long Colored Attached hair.

  • @geofreywayesu5638
    @geofreywayesu5638 7 місяців тому +5

    Uyu mbunge mbona haeleweki anachangia nini

    • @samwelngao3201
      @samwelngao3201 7 місяців тому

      Hilo ni tatizo ana kichwa kichafu huyuu

  • @isackrange2989
    @isackrange2989 7 місяців тому +5

    Dada huelewi unachokiongea huo ni wivu tu😂😂😂😂

  • @MohamedMjenga-i1w
    @MohamedMjenga-i1w 7 місяців тому +2

    Uyo mbunge wananchi walomchagua wamefeli

  • @NasraMohamedi-e8m
    @NasraMohamedi-e8m 7 місяців тому +1

    Sijui Jimbo lake lipo mkoa Gani ,,huenda anayake huko,,au katumwa? Makonda hafanyi hivyo for nothing,,,Wala hakurupuki kihivyo

  • @zainabumsafir1182
    @zainabumsafir1182 7 місяців тому +1

    Kama awafanyi kaz lazima yy afanye ww ongea kuhusu Jimbo lako ss tumeona katatua kero big up makonda Fanya kaz mung akusimamie

  • @TashwillKaroolse
    @TashwillKaroolse 7 місяців тому +1

    Huyu dada atakuwa yupo karibu sana na wapiga dili huko jimboni kwake
    Ukute Makonda kafukua uozo jimboni kwake kaharibu dili lao
    Serikali imfuatilie sio mtu mzuri huyu m'bunge
    Itakuwa kuna watu wa ovyo yupo karibu nao
    Yani wananchi wanadhulumiwa, wanateswa, wanauawa na kupewa majeraha makubwa na ulemavu na hakuna anaesikiliza kero zao moja kwa moja
    Yeye anakerekwa? Huyu kuna kitu anahusika nacho sio bure.
    Afatiliwe

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 7 місяців тому +1

    Wachagiliwa wa mzee maguuu,bila magu nyie mysingepita shukuruni,,,,mwacheni makonda afanye kazi yake

  • @HusseinKasambwa-gq6zf
    @HusseinKasambwa-gq6zf 7 місяців тому +1

    Aeleze mazur ya rais kama yap?mazuri nihayo anayofanya kutujali wanyonge,we mama nifisad wakuchunguze makonda tunamkubali hatutaki mazur zaid ya hayo anayofanya makonda,bila makonda CCM ingepotea muache makonda we mama

  • @luismchayano4796
    @luismchayano4796 7 місяців тому +1

    Kumbe kuna wabunge hawajielewi. Sasa hapo anampinga nn Mh. Makonda? Wakati yy mwenyewe anaunga mkondo kazi ya mwenezi. Kazi anayoifanya mwenezi nikufatilia uwajibikaji na utendaji wa waleule wa Mh. Rais.

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 7 місяців тому +1

    Kama sio kumpongeza makonda kwa anachofanya sasa tungejuaje km hao wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kua hawafanyi wajibu wao ????..
    Wewe umesema umeona mengi ktk ziara za makonda sasa km asengefanya hayo anayoyafanya ungejuaje ???
    Si Bora uwe km Mimi tu tujue sote hatujasoma wajinga kuliko kuchangia upumbavu

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 7 місяців тому +7

    Dada tulia dogo afanye kazi yake, anatekekeza majukumu ya chana na sio majukumu yako, anatutendea haki, umetumwa Wewe.

  • @archiefransis7172
    @archiefransis7172 7 місяців тому +5

    Huyu dada anang'ata na kupuliza ukiwa unaitazama hii video mwanzo utajikuta unamchukia akifika katikati unampenda akimaliza unamchukia hoja yake ni nzur ila hataki kutoa hukumu kwa wazembe wala pongezi kwa watenda kazi vizur nilitegemea mwishoni angesema ule usemi usemao mnyonge mnyongeni haki yake mpeni na sifa kuu angemwagia Makonda

    • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
      @JOHNKKULULINDA-pc6gy 6 місяців тому

      BABU, KWELI NI MWANADIPLOMASIA, WACHACHE WANAOFUATLIA MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO. NI KWELI KABISA HOJA YAKE KAMILI UNASHINDWA KUDAKA. HIVYO NI HOJA YA KUTUMWA SI YA KICHWANI MWAKE AMETUMWA.

  • @bahamemagembe7485
    @bahamemagembe7485 7 місяців тому +1

    Kwa mtu mwelewa huyu dada kannada vyema, kama kero nitasubiri mwenezi watu wangapi watasaidika, je mfumo wa haki atuna.mmekiri serikali kushindwa kusaidia wananchi?

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 7 місяців тому +1

    HIZO HAZIWAFIKII WALENGWA PESA ZINALIWA SERIKALI IKO KIMYA MUNGU YUPO ATATUPIGANIA MBONA HAMTOKI KWENDA KUTATUA KERO ZA WANCHI WANADHULUMIWA WANANYANYASIKA BILA MSAADA WA KIONGOZI YOYOTE BUNGE LA HOVYO KABISA HILI.

  • @mustaphahassani131
    @mustaphahassani131 7 місяців тому +2

    Huyu mbunge ni wa wapi mbona anaongea pumba

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika4943 7 місяців тому +1

    Yani apo mh. Makonda anawasaidia kazi zenu usilalamike mh. piga kazi ikibidi tembea jimboni ondoa kero ndogondogo zisisubir Mh. Rais

  • @MekitildaKitambi
    @MekitildaKitambi 7 місяців тому +4

    Mmmmmmm!!!!!!!! Umeona vibaya ss kusaidiwa? MUNGU anakuona na

  • @Mrugurudigitalsolutions
    @Mrugurudigitalsolutions 7 місяців тому +1

    Kumbe mnajuwa kuwa makonda amekuwa mkombozii sisi hatutaki mbwembwe tunataka kazi hivii mlishawahi kujiuliza kanini magufulii bado anaishi vichwani mwa wananchii wa tanzania, na africa kwa ujumlaa 😂😂😂😂😂

  • @williumteete2626
    @williumteete2626 7 місяців тому +8

    Makonda piga mlemle👉💪

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 7 місяців тому +3

      hao wanao pinga ndo mafisadi hasa kama hawamalizi kwa kuwa mafisad makonda piga humo humo

  • @ildephoncekalemera7758
    @ildephoncekalemera7758 7 місяців тому +7

    Asante sana makonda❤

  • @BarakaElnest-ox7pb
    @BarakaElnest-ox7pb 7 місяців тому +1

    Kama viongoz wa afrika ndo wenye akili za hv tunasafar ndefu ya kupata maendeleo vichwa vyetu ni vya kubebea nywele sio akili

  • @jafarimbaruku8746
    @jafarimbaruku8746 7 місяців тому +1

    Hili ni jipu,sasa kama wataule hawafanyi kazi ipasavyo,ebu acha Makonda afanye kazi nyie mmeshindwa kufanya kazi.

  • @Presenterramjtz
    @Presenterramjtz 7 місяців тому +1

    kwani nyie kipi kimewauma kama nyie mmmeshindwa kuona na kusikiliza kero za wananchi muacheni makonda wetu atatue changamoto maana wote mmnaoteuliwa ni wahujumu tuu hovyo hii inchi makurumbembe wengi sana upande wa viongozi aseee acheni mwenezi apige kazii

  • @carolihando6271
    @carolihando6271 7 місяців тому +1

    Hawafanyi chochote, je wewe unaona hiyo ndo sawa? Mbunge unaonaje wengi wafe kwa ajili ya mmoja au mmoja afe kwa wengi? Makonda oyeee!

  • @kababa3017
    @kababa3017 7 місяців тому +1

    Rais ni kosa lake kwa kuteuwa bila kujari hao wateuliwa kama wanao uwezo wa kuendesha wizara hizo. Serikali na CCM wamelala usingizi mzigo na wakuwamusha ni Makonda.

  • @robertjoseph4196
    @robertjoseph4196 7 місяців тому +1

    Mpumbavu wew, una wivu wew! Makonda baba lao chapa kz km ulivyoaminiwa na rais baba makonda, Achana na hyo mnafki

  • @jumambarale699
    @jumambarale699 7 місяців тому +1

    Mpuuzi mmoja huwaga anataka upuuzi wake uonekane mwema
    Piga kazi makonda ....simamia kucha..,...

  • @eagleeyes4449
    @eagleeyes4449 7 місяців тому +1

    Sasa makonda kakosea wap?,mimi ninachomkubali makonda ukisemwasemwa ivi ndo wanampa chachu ya kupiga kazi more.

  • @AlexBathoromeo
    @AlexBathoromeo 7 місяців тому +1

    Ukiwa na upenz unaogemea sehemu moja huwez kumuelewa mchangia hoja huyu lkn km utasimama ktk haki na wajibu utabain kwamba huyu mbunge ana falsafa nzuri

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 7 місяців тому +2

    Makonda uko vinzur.huyo mbunge anaona vivu.kazi ambayo ana fanya makonda

    • @josephsiwila2397
      @josephsiwila2397 7 місяців тому

      Duh.....ndio uhakiki maandishishi yako vzr

  • @juliusmwaijumba3324
    @juliusmwaijumba3324 7 місяців тому +1

    Nyie si mnavicha madudu??? Mwacheni aumbue machafu kwani rais mwenyewe anasemaje???

  • @FerikoMpwage-c8y
    @FerikoMpwage-c8y 7 місяців тому +1

    Hahahaha mwacheni makondaaaaa afanyeeee kaziiii

  • @aminamwiru7605
    @aminamwiru7605 7 місяців тому +1

    Wewe ucmzuie makonda kila mtu ana kipaj chake hata wewe mwenyewe ukiita watu hawatakuwa weng kama ndg makonda wananchi wanajua mh rais amefanyakaz kubwa sana na huo ndio mpango kaz kwa sasa wa makonda😊😅

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 7 місяців тому +1

    Sasa kama mawaziri na wakuu wa mikoa na wakurugenzi hawafanyi kazi mnataka Makonda afanye nini ?
    Viongozi wa nchi hawatimizi wajibu wao sasa Makonda fanya kazi chapa kazi Makonda

  • @SalumRashid-um9wx
    @SalumRashid-um9wx 7 місяців тому +1

    Wenzake bungeni wanampinga daahh atar mama yetu mama samia suluhu hassan ndio rais yey anaona kila kitu kwnn yey hajaongea kwasababu anaona wananchi wanatatuliwa shida zao na yeye ndio anavotak na ndio maan akamchagua makonda aishi miaka mingi mama etu samia mama wa kizimkazi tunakupenda sana mama wananchi wako

  • @MasolarBadru
    @MasolarBadru 7 місяців тому +1

    Mbunge wa kuteuliwa hana machungu na wananchi huyo kenge, anasumbuliwa na wivu kwa kile anachokifanya Makonda kwa wananchi.

  • @AishFesito
    @AishFesito 7 місяців тому +1

    Sisi wananchi tunampongeza makonda amejua changamoto za wananchi msimuchukie makonda

  • @lewissvictor8930
    @lewissvictor8930 7 місяців тому +2

    Ko wewe ulitaka asitatue katatizo ya wananchi we umekosa hoja makonda ooooyyyyyyeeeee

  • @Samson-fk2no
    @Samson-fk2no 7 місяців тому +1

    Yaan wwe ujielewi wwe Ani kama yanakaa matumbo ofisn ayafanyi Kaz unategemea Nini kweel watu wema hupigwa mawe yanataka yabak majini tuu

  • @emmanuelpeter5686
    @emmanuelpeter5686 7 місяців тому +1

    Naona wachangiaji hamjamwelewa huyo mbunge ameongea vitu vya maana Sana Ila taarifa kaharibu.

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 7 місяців тому +1

    Kiongozi yeyote anayemchukia makonda achunguzwe yaweza kuwa fisadi hau jizi la mali za umma

  • @GodwinPeter-gb4gp
    @GodwinPeter-gb4gp 7 місяців тому +1

    Huyu mmama wawap na amepataje madaraka jamani tuwe makini sana kuwapa vyeo hawa watu makonda daima yupo sawah kabisa wale wa milembe lazima wamchukie

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 7 місяців тому +3

    Uyo.mbunge.msenge.makonda.anatusaidia.wananchii

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 7 місяців тому

    Ziara ya Makonda ni Ramani aliotengeneza kuonyesha ubovu uko wapi. Na nini Mhe Rais afanye kutokana na Ramani hiyo. Hongera Makonda, aliechukia kazi uliofanya ni Mzayuni huyo, sababu wananchi wengi waliumizwa.

  • @EliasPaul-qs2ib
    @EliasPaul-qs2ib 7 місяців тому +1

    Hata makonda alimwamini, hivi huyu mbunge mchwara ni wa jimbo gani? Au ni wa viti maalumu

  • @jilatushija8369
    @jilatushija8369 7 місяців тому +1

    Dada unaongea utumbo mmeshindwa kutatua changamotoo za wananchi mnakula kodi zetu

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 7 місяців тому +1

    Hawawajibiki sasa kule chini wapi? Kwani wewe upo juu au chini

  • @katondostudio652
    @katondostudio652 7 місяців тому +1

    Huyu n8fisadi balaa makonda endelea kuwahaibisha tu. Tuko nyuma yako

  • @JohnMngande-b8t
    @JohnMngande-b8t 7 місяців тому +1

    Nyie kazi yenu kutaja jana samia samia kama amfanyi kazi yeye afanyaje huo ni wivu tu unakusumbua una hoja wewe

  • @HamsiHusna-nf3vg
    @HamsiHusna-nf3vg 7 місяців тому +1

    Ss kwahiyo kero za wananchi nani azitatue na hao wakuu wa mikoa wanashindwa majukum yao makonda anafanya kaz nzur

  • @Bigboy-m2e
    @Bigboy-m2e 7 місяців тому +1

    Huyu co mbunge mwenye kujielewa analialibu bunge 2 kama me lais ata bungeni aji ana oja za msingi

  • @hajjiramso1937
    @hajjiramso1937 7 місяців тому +1

    Wakuu wamikoa wameelememewa na kero za wananchi....ila mweshimiwa uko vzur

  • @MaryShekifu
    @MaryShekifu 7 місяців тому +3

    Kama ndio wasimsmiz mbn wananchi wanaonewa hamtatui mwachen makonda apige kazii

  • @danielyombage3983
    @danielyombage3983 7 місяців тому +1

    Hawa wabunge wa viti maalumu hawana umuhimu wowote wanakula tu kodi za wananchi wanaenda sinzia tu

  • @Somoeomarysaid
    @Somoeomarysaid 7 місяців тому +1

    Sasa hao unaowataja wengi wamuaribia rais sasa wewe ulitakaje? Makonda oyeeeeee

  • @RadhiaIssa-f4y
    @RadhiaIssa-f4y 7 місяців тому +1

    Anafanya majukum yasiyo yake lakini anavumbua mengi. Kifupi anawaumbua.

  • @stafordfelician3050
    @stafordfelician3050 7 місяців тому +1

    Je kama hawafanyi kaz na makonda ataeleza nn kwenye machafuko? Nan atamsikiliza?

  • @mashimbaalloyce1916
    @mashimbaalloyce1916 7 місяців тому +1

    Wewe uko upande gani Sasa unadhani wananchi tunachotaka ni uwajibikaji

  • @BarakaWicklifu
    @BarakaWicklifu 7 місяців тому +1

    Yaaan me hata huyu Mbunge sijamwelewa Sasa makonda kutatua changamoto Kuna tatizo gani nn Maan ya Kiongoz angekuwa hafanyi kilicho mpeleka basi Rais ndo Alimutuma.

  • @HawaBakari-u6q
    @HawaBakari-u6q 7 місяців тому +1

    Yan sisi huku tunajua makonda ndo rais ajae sasa usituvuruge mafile

  • @JohnTanzanite-rq9bj
    @JohnTanzanite-rq9bj 7 місяців тому +1

    Yule munaemwita raisi nikivuli tuu dada labda tukwambie hivo

  • @JeniphaEdward-w2b
    @JeniphaEdward-w2b 7 місяців тому +1

    Shida wivu narohombaya simlikuwa mmeka amtatatua kelo

  • @DaudiKibina
    @DaudiKibina 6 місяців тому +1

    Ningekuwa bungeni ningekujibu mama yangu maana sijui uko upande gani

  • @mosesmdemwa5665
    @mosesmdemwa5665 7 місяців тому +1

    Hivi mh humuogopi Mungu? Huo ndiyo ukweli Hali ni yeye weweeeee

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 3 місяці тому +1

    Hili lishetani vipi jamani we mama ni mshenzi na minywele yako

  • @sarasteven4070
    @sarasteven4070 7 місяців тому +8

    Makonda oyeeeee!! Piga kazi Mtumishi wa BWANA.

    • @KibibiShetui
      @KibibiShetui 7 місяців тому +3

      Walikuwapi wasiwasaidie wananchi hadi Makonda afike ndo wananchi wasaidiwe. Ina maana walikuwa hao wakurugezi na wakuu wa mikoa na wawilaya hawajui wajibu wao. Acha kijana afanye kazi

  • @PeterJanuary-b1f
    @PeterJanuary-b1f Місяць тому

    Acha kuweka mambo yawe magumu unanzingua sisi tuna mweshim rc wetuu doct samia suluu asanii

  • @kilalikanestory3635
    @kilalikanestory3635 7 місяців тому +1

    Makonda nenda kamfanyie uchunguzi huyo dada ni fisadi huyo

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 7 місяців тому +1

    Wewe umechanganyikiwa Makonda ndo kila kitu kwa sasa kuwaumbua.nyie mmejawa na wizi wizi.

  • @Bongovillagex
    @Bongovillagex 7 місяців тому +1

    Kazi zenu kwenye majimbo mnasaidiwa na makonda ,,,piga kazi

  • @NuruBene
    @NuruBene 7 місяців тому +1

    Akika uyo sijui mbunge wanach wke wamepta asala kubwa akuna kitu apo porojo tu makonda woyeeee dkt Samia woyeeee uyo antakiwa ajtafkali kma ubunge aliyechguliwa bc ktumwa na kzi iyo aiwezi arud shamba kulima mana anaonge vtu avierewk makonda chap kzi mama amekuamin sana CCM woyeeee?

  • @mhanalevi2886
    @mhanalevi2886 7 місяців тому +1

    Ungepongeza2 sasa kero za miaka5 iliyopita ndo zinatatuliwa hao wasaidiz walikua wapi

  • @rahma6189
    @rahma6189 7 місяців тому +1

    Wewe hujielewi kwahio mnataka mshibetu msitatue kero

  • @nuranzubail8134
    @nuranzubail8134 7 місяців тому +2

    Sijaelewa, anasema ameenda kutatua kero badala