MZEE MWENYEKITI ALIVYOWATOA JASHO WATUMISHI MBELE ya MAKONDA - WAPISHANA na KURUSHIANA MIPIRA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • MZEE MWENYEKITI ALIVYOWATOA JASHO WATUMISHI MBELE ya MAKONDA - WAPISHANA na KURUSHIANA MIPIRA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 134

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 місяці тому +13

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @romanshirima5883
    @romanshirima5883 4 місяці тому +35

    Kwani huyu makonda hana ndugu zake wanaofanana kiutendaji tuwape mikoa yote ya tanzania bwanaa❤ huyu ni mtu wa maana kabisa❤

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 4 місяці тому +3

      Tena wa maana haswa tunamuombea hata mama yake mzaa chema bila yeye tusinge mjua makonda au mwasemaj wangu wa faida

    • @kibabysaid6692
      @kibabysaid6692 4 місяці тому +1

      Kweli kabisaa

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 4 місяці тому +1

      Tupo watupe hata wilaya tu

    • @khadija5761
      @khadija5761 4 місяці тому

      Kabsaa ni mtu wa maana kabsa

    • @shenamtukufu1224
      @shenamtukufu1224 4 місяці тому

      Kabisa Yan rasta

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 4 місяці тому +11

    MH MAKONDA UTAPATA TABU SANA WENGINE WANAPATA KAZI KWA WAGANGA SIO AKILI ZA DARASANI ,

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 4 місяці тому +9

    YANI MWENYEKITI WA KIJIJI ANA AKILI KULIKO MKURUGENZI SI MAAJABU HAYA !

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 4 місяці тому +10

    Nakuombea kwa Mungu Shari zao ziwarudie mafisadi

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 4 місяці тому +10

    Makonda nakuombea sana,yaani una maadui wengi sana

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 4 місяці тому +1

      Umewaona wapi hao maadui zake

    • @farajaMezza-qn4be
      @farajaMezza-qn4be 4 місяці тому +2

      Maadui zake watakuwa watendaji wabovu tu ila wananchi wote wapendwa haki ni rafiki yetu

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 4 місяці тому

    Salamu nyingi Kwa Rais Samia pia namshukuru sana mungu pia nawashukuru wazazi wa Mh Makonda mungu awalinde sana mama Rais Asante Sana kwakutuletea mh makonda hana baya ana tusafishia nchi yetu Asante sana sana sana ❤

  • @BOYKAJONATHAN243
    @BOYKAJONATHAN243 4 місяці тому

    Future president of Tanzania ❤❤love you makonda I'm from congo DRC
    My country needed someone like you makonda

  • @mahijayusuph8186
    @mahijayusuph8186 4 місяці тому +2

    Walipe bei ya sasa hivi sio ile ya zamani tena

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 4 місяці тому +2

    Huyu Mwenyekiti wa Kijiji hana cha kupoteza. Ametendea haki kijiji chake

  • @teddymosha1376
    @teddymosha1376 4 місяці тому

    Mungu akulinde siku zote za maisha Yako

  • @AronJoseph-h8b
    @AronJoseph-h8b 3 місяці тому +1

    Baba kegan mungu akulinde tunakuombea maana umesababisha nmependa na mm niwe kiongozi na nkiwa kiongozi ntakua nafwata nyayo zako

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 4 місяці тому +3

    Tunakuombea mema mkuu Mungu akufunike kwa damu yake akihifadhi kwenye mbawa zake aukuepushe na mafisadi wotee

  • @BimamuosmanOsman
    @BimamuosmanOsman 3 місяці тому +1

    Rais Doctor mama Samia.mchungeni huyo mwenye kiting asije akauwawa ..mzee mwenye kiting ni nzee mwenye busara Sana hongera Sana Sana baba mwenye kiti ..makonda bro keep it up. Congratulations bro makonda &all. your team God will bless you 🙏.

  • @sylvesterdonald7441
    @sylvesterdonald7441 4 місяці тому +1

    Afisa biashara siyo competent,full stop.hii inatokana na kuwekana wekana kwenye nafasi,connection.

  • @dorcasmruma9001
    @dorcasmruma9001 4 місяці тому +2

    Mungu akupe hekima zaid mheshimiwa makonda yaan unajua uongozi na ww ni mpakwa mafuta wa Bwana

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 4 місяці тому +1

    Dah aibu sana watendaji hawaelewi wanaongozaje sasa mbona kazi tunayo wananchi dah na Tanzania yote tupo Arusha😂😂😂😂

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 місяці тому +8

    Watanzania tunaibiwa sana nchi hii,makonda be blessed 🙏🙏🙏

  • @jacklineminja2022
    @jacklineminja2022 4 місяці тому +2

    Asante sana Makonda , asante Mungu pia mama Samia kwa kumleta mheshimiwa Arusha

  • @InnocentLeonard-gy1mn
    @InnocentLeonard-gy1mn 4 місяці тому +2

    Kumbe ndio maana watu wanaviburi kumbe wezi wa kod zetu madako yenu

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 місяці тому +2

    Makonda ungeteuliwa mkoa wa geita, ndiyo ufisadi kinoma,

  • @teddymosha1376
    @teddymosha1376 4 місяці тому

    Hakuna maadui Kwa jina la yesu mungu huko upande wako

  • @Saiddoti
    @Saiddoti 2 місяці тому

    Huyu mweshimiwa makonda nitamuomba MH.RAISI WAJAMUHURI YA MUNGANO TANZANIA MWAKA 2026 AMTEWE KUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MAANA ANACHAPAKAZI. KWA UADILIFU WANANCHI WANAWATAKA VIONGOZI KAMA HAYU MAKONDA

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 місяці тому +4

    Hivi hii nchi inamkuu wamko mmoja tu au mbona wengine siwasikii 😭😭😭

    • @JohnP-gl1ie
      @JohnP-gl1ie 4 місяці тому +1

      Wengine wanafanya kazi usiku wa ma8 tukiwa tumelala

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 місяці тому

      ​@@JohnP-gl1ie😂😂😂wachawi

    • @mashakabundala9955
      @mashakabundala9955 4 місяці тому

      Watakua safarini naona

    • @RachelNgalya
      @RachelNgalya 3 місяці тому

      ​@@JohnP-gl1iembona kuna mda makonda anafanya kazi adi usiku na anaonekana vipi wao wanafanyia sehemu ambazo hazina network Wala waandishi wa habari 😂😂😂😂😂

  • @emmanueljackxon9759
    @emmanueljackxon9759 4 місяці тому +1

    Ifke sehemu tuseme ukwel makonda unapga kazi hakuna kitu huwa naumia Kama hawa mafisadi hawajui wananchi wanaptia shida gani watu wanakufa,wanapoteza matumain katika maisha kisa hawa viongozi wanaojari masirahi Yao binafsi makonda huwa napenda kukufuatilia sana yan mm viongozi nao wakubari hapa Tanzania ni wawili tu kwa Sasa makonda na msukuma wa geita

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 4 місяці тому +1

    Hii arusha baadhi ya watumshi wazurumati ndo maana kila kukicha mabalaa hayaishi

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 4 місяці тому +2

    Keep it Makonda.

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 4 місяці тому +1

    Mwenyekiti , mzee yupo vizuri sana

  • @irenembise541
    @irenembise541 4 місяці тому +2

    Nacheka Kama mazuri 😃😃😃

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 3 місяці тому

    Pole makonda unakazi ngumu sana

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 4 місяці тому +1

    Kiukweli nchi hii inawezi wengi sana

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 4 місяці тому +1

    Hao chori kweli

  • @FrankGeorge-i1z
    @FrankGeorge-i1z 2 місяці тому

    KAZI NZURI MUNGU AKUPE MIAKA TUUU TUYAONE YARIYO JIFICHA NINGETAMANI UWE WAZIRI WA MAMBO YA NDANI

  • @BonifaceKikwembe
    @BonifaceKikwembe 20 днів тому

    Madonna ww machine elim yako imekukomboa ww pamoja na taiga kwa ujumla

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 3 місяці тому

    Katika serikali yetu viongozi ni wawili tu waziri silaa na makonda hao wengine mmmmmm

  • @Amageneousmedia
    @Amageneousmedia 4 місяці тому +2

    Dah Arusha wananyoooka bwana

  • @TajewuoMoseka
    @TajewuoMoseka 4 місяці тому +1

    Udhaifu wa CCM rushwa tupu

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 4 місяці тому +1

    Haya semeni tena unyanyasaji wa jisia

  • @عبداللهباحميد-ن4ق
    @عبداللهباحميد-ن4ق 3 місяці тому

    Kaka Makonda Kzi Unao MUNGU Akulinde Kwa Nguvu Zke Amin

  • @irenembise541
    @irenembise541 4 місяці тому +1

    Ofisa biashara 😃😃ameyatimba

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 4 місяці тому

    Chadema jimbo la arusha mwakani tunalichukua

  • @JanethMollel-wk5th
    @JanethMollel-wk5th 4 місяці тому +1

    Mbona imefananafanana na ya kwangu.

  • @JosephLymo-j8x
    @JosephLymo-j8x 3 місяці тому

    Anasita kwasababu anajua zinapatkana zaidi

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 4 місяці тому

    Yani hapo ni Arusha tuu. Vipi huko mikoa mingine? Kweli nchi hii haina watumishi ila wezi tuuu, Makonda wengine tuwapate wapi jamani??

  • @georgemwakalindile687
    @georgemwakalindile687 3 місяці тому

    Kwani Makonda hawezi amishwa kila baada ya miezi sita? Sita tu inatosha kila mkoa...kwa mikoa tulio nayo mbona baada ya miaka 10 hatuta angaika kumpa uraisi? Yani kwa mara ya kwanza rais atatoka kwenye cheo cha mkuu wa mkoa.....

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 3 місяці тому

    Makonda mtuletee huku kenya😅😅😅mtu wa maana kabisa

  • @JustinMkumbwa
    @JustinMkumbwa 4 місяці тому +1

    Mpaka mseme na mtasema

  • @obadiakimaro6375
    @obadiakimaro6375 4 місяці тому +1

    Mkonda viva, tunaomba Mama mh. Samian tupatie Makonda wengine 20 nchi iwe na nidhamu

  • @kareem1182
    @kareem1182 3 місяці тому

    Makonda makonda makonda
    Nimekuita mara 3

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 4 місяці тому

    Tatizo vyeo vya waganga wakienyeji ndio waga vinawasumbua viongozi nakumferisha rais.

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 3 місяці тому

    Natamani makonda Aje morogoro

  • @RosemaryJoshua-i1u
    @RosemaryJoshua-i1u 2 місяці тому

    mwanasheria apishana na mkonda

  • @jacksonkalabhaye
    @jacksonkalabhaye Місяць тому

    Makonda mungu akulinde

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 4 місяці тому

    kwa nini hao watendaji mafisadi na wababaishaji wasiachishwe kazi na wengine wapate ajira tuwaoneeee

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 4 місяці тому

    Keep going in the name of Jesus Christ Amen 🙏🙏🙏

  • @denismalembeka1871
    @denismalembeka1871 4 місяці тому

    Mama Samia wewe ni mungu tu ndie amekupa uwezo wakumchagua mtu muhimu Sasa ktk ufuatiliaji wa wezi na wadhumaji wa haki za raia wako wema

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 4 місяці тому +2

    Makonda nimtu nanusu

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 4 місяці тому

    Big up braza Manyigu umetisha wavimbishe manundu hao

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 4 місяці тому

    Yaani nisawa uwambiwe lete fimbo nikuchapie duh

  • @FanuelSira-pt7rv
    @FanuelSira-pt7rv 4 місяці тому

    Kwa mwendo huu arusha itanyooka vzr mungu akulinde makonda

  • @abubakarsaid7303
    @abubakarsaid7303 4 місяці тому

    Mtihani kwakweli 😂😂😂

  • @princhiuskalogosho1804
    @princhiuskalogosho1804 4 місяці тому

    Huyu Makonda ndo anatakiwa kuwa Rais wa Nchi ya Tanzania

  • @HamdanKiangio-mw5mc
    @HamdanKiangio-mw5mc 4 місяці тому

    Pole mkuu wa mkoa majukumu ni mazito pole mdogo wangu funga mshipi au funga kibwebwe funga zikaze maana hao ni maadui kwa wanachi na kwako pia mungu akubariki

  • @DenisMafie-lc7io
    @DenisMafie-lc7io 4 місяці тому

    Kweli mama Samia ajakosea kukuteta arusha mungu akutumze

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 4 місяці тому

    Ht wakuwinde je lkn mungu alie juu ndo mlinzi wako sibidam

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 4 місяці тому

    Huwa wanataka wawape pakujifichia, hivi vyama

  • @BonifacseverianOfficial
    @BonifacseverianOfficial 4 місяці тому

    Mdogo wake na makonda aji achukue mkoa wa kigoma

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 4 місяці тому

    Makonda unafaa nafasi ya uwaziri wa ardhi au PM

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 4 місяці тому

    MH MAKONDA UTAPATA TABU SANA WENGINE WANAPATA KAZI KWA WAGANGA SIO AKILI ZA DARASANI ,

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 4 місяці тому

    Wakurugenzi kuvaa mapete ni uchawi au maana hata wa jiji anazo za kutosha

  • @SeifMboton-gi3vz
    @SeifMboton-gi3vz 4 місяці тому

    ww brathar unatakiwa kua mkuu wanch kikwel upo vema mungu akulinde San akuipushe nawatu wabaya dunian linguine kama kunauwezekano kwann nawangune watumishi wasiwe kama uyo mungu anakuona San ww atakulinda na wasiokukibal

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 4 місяці тому

      Wakti unakuja uhai ukiwepo,, hata hayati Magufuli alipitia sehemu mbalimbli mpaka akaitwa mbwa mwisho wa yote alikuwa Mkuu wa nchi,, hata Yusufu alikaa sana mpaka siku ya kuinuliwa ilipofika,, kama tunaona kwa macho ya nyama anatufaa basi tumuombe Mungu wakati ukifika amfanye kuwa mkuu wa nchi

  • @jacksonmagola1824
    @jacksonmagola1824 4 місяці тому

    Uyu mwenyekiti namjuwa ni nomaa

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 4 місяці тому

    MUNGU yupo na makonda mtu wa maana kabisa

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 4 місяці тому

    Kapiga kweli hela huyo, mpige chini huyo

  • @princhiuskalogosho1804
    @princhiuskalogosho1804 4 місяці тому

    JPM tunaomba afufuke

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 4 місяці тому

    Makondo fanya kazi baba!

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 4 місяці тому

    Makona hamia chadema tukupe uwaziri mkuu 2025 mwezi wa 11

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 4 місяці тому

    Huyu mzee alindwe

  • @peterkabeke362
    @peterkabeke362 4 місяці тому +1

    MAKONDA

  • @Muheramaneva
    @Muheramaneva 4 місяці тому

    Maiki yamoto😂😂😂

  • @ChristopherMgoli
    @ChristopherMgoli 4 місяці тому

    Kimewaka

  • @JamesLekeni
    @JamesLekeni 4 місяці тому

    Fukuza

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 4 місяці тому

    Huyo Ded kamuongopea RC

  • @lululivingstone8298
    @lululivingstone8298 4 місяці тому

    Umenipata

  • @NaomiAlute
    @NaomiAlute 4 місяці тому

    Makonda mungu akuweke

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 4 місяці тому

    Watanyooka tu mh

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 4 місяці тому

    Makonda makonda ❤❤❤❤

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 4 місяці тому

    Milioni 7 kwamwezi bado wananchi hawapew kitu wizi mtupu

    • @samweli7985
      @samweli7985 4 місяці тому +3

      Siyo miliyoni 7, ni miliyoni 28. Kwamwezi ni milioni 7, kwawiki

    • @fredrickkomba7545
      @fredrickkomba7545 3 місяці тому

      Iyo mil 7 n Jmos Moja Ya wiki sio Kwa Wiki 4

  • @RaphaeliSamweri
    @RaphaeliSamweri 4 місяці тому

    Piga spana mbaka wanyooke

  • @mwalimulossilamsuya1944
    @mwalimulossilamsuya1944 4 місяці тому +2

    MIMI NAONA KWA UELEWA WANGU MDOGO KUNA SHIDA HAPA....NA NI BORA MASWALI LENGINE YASIJIBIWE KWANI YANAWEZA KUZAA MKANGANYIKO..HALAFU HII KITU INAJENGA UADUI MKUBWA KATI YA WANANCHI NA WATUMISHI..HII MAMBO KIUTENDAJI SIO SAWA ILA KISIASA NI SAWA...

    • @salvatoryboniface1089
      @salvatoryboniface1089 4 місяці тому +3

      Ndyo walewaleeeeee

    • @richardmbasha1411
      @richardmbasha1411 4 місяці тому

      Makonda yupo kwa kazi moja tu, KUDHOOFISHA NGUVU YA UPINZANI ARUSHA.. kupitia hadhira hizi na kujifanya anasikiliza kero za wananchi... anayetengeneza matatizo yooote haya ni nyumba ya mama yake iliyomuqeka yeye kwenye madaraka "SYSTEM"
      CCM wanatafuta huruma ya wananchi kupiti technique hii ya kuwasikiza matatizo yao.. na kwa sababu tuna wananchi ambao wengi wetu hatuna "reasoning capacity" yaani uelewa wetu wa kutanzua mambo ni mdogo sana.. mitu ambacho serekali ya CCM inatumia kuendelea kuiba akili zetu..
      MAKONDA hawezi kua sukari baharini, haka ni kamchezo tu..
      Our most illiterate people with no better reasoning abilities to matters concerning individual and national developments have become the play ground for a cunning political tricks...

    • @iddyjohn1032
      @iddyjohn1032 4 місяці тому +5

      Wewe kujitambua, mtumishi wa umma anafanya kazi yake kwa muijibu wa katiba, habari ya usiri ni mambo ya Usalama na sera ya Usalama ni kitu kingine,kwa hiyo mkurugenzi asiulizwe kuhusu mipango ya eneo lake,miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yetu,??!wewe ukachunguzwe

    • @iddyjohn1032
      @iddyjohn1032 4 місяці тому +1

      Inawezekana wewe ni fisadi moja wapo

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 4 місяці тому +2

      Ndio waambiwe hadharani na ss wananchi tujue nini kinaendelea na ss tufanye nini na nini haki yetu

  • @LameckLameck-v9r
    @LameckLameck-v9r 4 місяці тому +1

    Kwann wakurugenzi wengi ni wanawake kuna siri gani hapo

    • @alexrwezaula8857
      @alexrwezaula8857 4 місяці тому +1

      Apo mama ndo anapo kosea kutaka haki sawa nisawaa ni mama zetu ila Kuna sekta ahh bado mama ana taka tuwe sawa ila sio kwei

  • @muhammedkaku9972
    @muhammedkaku9972 4 місяці тому

    asalam aleykum warahamatullah wabarakatuh kwanza tumshukuru sana mwenyezi mungu kumpa uono wa kumrudisha makonda kwenye uongozi tunaomba mungu amrinde na watu wenye mioyo ya kishetani kuua wenzao pale wanapo sismamia haki za wanyonge ombi langu kwa rais rudisha Ali Hapi kwenye ukuu wa mkoa akasimamie haki za wanyonge km makonda hawa vijana ni majembe kweli kweli Samia mama yangu wewe na marehemu magufuri muliwateua hawa vijana hamukukosea kbs

  • @teddymosha1376
    @teddymosha1376 4 місяці тому +1

    Asante makondo

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 4 місяці тому

    Huyo dada atakoma 😅😅😅😅

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 4 місяці тому

    Aina hii ya utawela ni mpya duniani. Hivi huyu bwana hana vikao na wafanyakazi wake. Hivi mkuu wa mkoa na watumishi wake si kitu kimoja. Mnaanika udhaifu wa serikali yenu.

    • @sylvesterdonald7441
      @sylvesterdonald7441 4 місяці тому +5

      Ona hili nalo

    • @mwinukafundibombanjombe
      @mwinukafundibombanjombe 4 місяці тому +2

      Rais alishasema waje watusikilize Kama huna shida huwezi elewa sisi tuliochukuliwa maeneo kwa fidia ndogo kwa dhurma ndio tunaelewa faid ya hapo, nataman hata anguwepo njombe.

    • @hamisimwinzagu6624
      @hamisimwinzagu6624 4 місяці тому +1

      Ivi unakielewa kinachofanyika au we ndio walewale

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 4 місяці тому +1

      Ndio nyie wote wala rushwaaa

    • @bockerNyarusahi
      @bockerNyarusahi 4 місяці тому +1

      We haujielewi