MCHUNGAJI HANANJA AMPA ONYO MASANJA KUISHI NA MWANAMKE MSALITI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2022
  • HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIZUNGUMZIA KUHUSU KUOA NDOA ZA MITALA KWA WAKRISTO BA WASIO WAKRISTO

КОМЕНТАРІ • 96

  • @mariamukijuu2893
    @mariamukijuu2893 Рік тому +12

    oya mwenye ndevu agonge like hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @leahpeter6556
    @leahpeter6556 Рік тому +3

    Thank you so much Pastor!! this is sooooo true, no man can leave a woman( wife) to another and still the other woman who is taken by this man thinks she is loved more than the first woman!!never!!

  • @berthabahati7329
    @berthabahati7329 Рік тому +1

    Duu umeongea poeti bb mungu akubarik sn na akujalie uishi maisha maref

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia 3 місяці тому

    Amen amen mchungaji sichoki kukoment

  • @paskalmaganga9225
    @paskalmaganga9225 Рік тому +1

    Dah kweli we unasema kweli kabisa Mwenyezi Mungu akuongoze uzidi kusema kweli🙏🏻

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia 3 місяці тому

    Amina

  • @huldakirururu8950
    @huldakirururu8950 Рік тому +2

    Barikiwa mchungaji ,umesema ukweli wachungaji njaaa wamevunja ndoa nyingi sana.

  • @jumakataka81
    @jumakataka81 Рік тому

    Niko Kenya nakuhuga mokono amina ❤

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 Рік тому +2

    Mchungaji umenikosha ndo ndoa za huku loliondo Mungu akutunze endelea kutupa dozi nakukubali kweli

  • @Chris-in1vc
    @Chris-in1vc 6 місяців тому

    Daaa ubarikiwe sana mchungaj

  • @leticiamapunda3324
    @leticiamapunda3324 Рік тому +4

    Mchungaji neno limenibariki ubarikiwe

  • @irambonaeddy5453
    @irambonaeddy5453 Рік тому +5

    Hawa wachungaji ndiyo wanaleta shida,kwakuwafariji makahaba nawazinzi.unasema kweli Baba

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 Рік тому

    Amen 🙏🙏 baba mungu akubariki

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 Рік тому

    Safiiii Mchungaji. Barikiwa

  • @subirasimbeye8531
    @subirasimbeye8531 Рік тому +4

    Kwa kweli umenena mchungaji

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia 3 місяці тому

    Ameeen

  • @Tito-dc6vy
    @Tito-dc6vy 7 місяців тому

    Eti.mwenye.ndevu.hahahahaha.barikiwa.sana.postor

  • @priscawilliam1983
    @priscawilliam1983 Рік тому

    Mch. Naguswa nauushauri wako Sana Ndoa yangu imengiliawa na Ndugu Mumewangu hanielewi

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 Рік тому +2

    Kweli Baba unaongea point tupu

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 Рік тому +1

    Good Sana Elimu kubwa.

  • @hatibuexauty4024
    @hatibuexauty4024 Рік тому

    Ubarikiwe Xana mtumishi..

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 Рік тому

    Barikiwa sana mch:.

  • @solomonmpuluma6616
    @solomonmpuluma6616 Рік тому

    Wewe pastor ni nomaaaa

  • @stellakatega4910
    @stellakatega4910 Рік тому +3

    Mungu akutumze unawapa ukweli yameshatukuta okoa kizazi kijacho baba

  • @neemanicodemo4269
    @neemanicodemo4269 Рік тому +1

    That is the point pastor, God bless you!!! Ameen

  • @oiiii3898
    @oiiii3898 Рік тому

    Amen

  • @joykachwele2638
    @joykachwele2638 Рік тому +1

    kichwa mbuzi....kwingine nyau anhanhaaaaa

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia 3 місяці тому

    😂😂😂pesa izi

  • @hagaingabo3435
    @hagaingabo3435 Рік тому

    Hahaha kweli pasta

  • @bakarymgunda1419
    @bakarymgunda1419 Рік тому +1

    Namuelewa Sana huyu mchungaji

  • @janethjeremiah2547
    @janethjeremiah2547 Рік тому +1

    Et kama marejesho😂😂😂

  • @michaelbennady223
    @michaelbennady223 Рік тому +1

    Nimekuelewa mchungan

  • @BenderaRulenge-er7wx
    @BenderaRulenge-er7wx 9 місяців тому

    Mimi baba yangu alikuwa na wanawake 2 amefariki akiwa na umri wa miaka 108, lakini nimezaliwa mpaka nimeoa mwanamke sijawahi kuona ugomvi wanagombana na sikujua kama kuoa wanawake wengi ni kosa.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Рік тому

    Mchungaji hananja naomba
    Namba yako ya simu

  • @fridasolomon6512
    @fridasolomon6512 Рік тому +1

    Hahahaha mitamba 🤣🤣🤣

  • @annangosso6680
    @annangosso6680 Рік тому +2

    Wazinzi watupu😂

  • @sampeopletz1255
    @sampeopletz1255 Рік тому +5

    Kwahyo hata mchungaji nae pia kaolewa kwa kupenda hela tamaa 🤣🤣🤣🤣

  • @Peaceman-S
    @Peaceman-S Рік тому

    Malaki 2;16

  • @uriogilbert
    @uriogilbert Рік тому

    U 6 06

  • @uriogilbert
    @uriogilbert Рік тому

    U 7 06

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Рік тому

    Parachichiiiiiiiiiiiii

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Рік тому

    Km unavyoona kuna wanaooa mmoja na wakakosa upendo kwa wtto wao ujue nakuna wenye wake mpaka 4 wanaupendo na wtto wao.

  • @solomonmpuluma6616
    @solomonmpuluma6616 Рік тому

    Mbuzi na nyau 😀😁😂

  • @hildamhina5305
    @hildamhina5305 Рік тому

    Hahahaha wambie hao

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Рік тому

    Kufahamiana kwa njia gani

  • @soudia9084
    @soudia9084 Рік тому

    Kwanini hamzungumzi na wakatoliki nao wakaoa pia.

  • @emmysam1510
    @emmysam1510 Рік тому

    Kuna mzazi na mzalishaji

  • @ismailmsisa6362
    @ismailmsisa6362 Рік тому +2

    Kwani mwanaume ana period? Mimi nnavyojua mwanaume ni mmiliki nandio mwenye maamuzi nandio anaechagua kuoa idadi ya wanawake awatakao

    • @lutufyodixon9997
      @lutufyodixon9997 Рік тому

      Biblia haijawahi kusema tuwe na mke mmoja tu
      Haijawahi kukataza

    • @rayaali7551
      @rayaali7551 Рік тому

      WACHUNGAJI KUKATAZA WENZENU WASIOWE WAKE IDADI ILIYO AMBRISHWA NA MWENYEEZI MUNGU. ILA NYIE MUNAFUGA WANAWAKE WANJE NA NYUMBA KUWAPANGIA NA WATOTO WANJE KIBAOO. UKAR NA MKE MMOJA KWANI MAMAYAKO ? KWAHIVYO. MUNAONA BORA UZINZI ? HIYO NI AMBRI YA MWENYEEZI MUNGU NA KILA KILICHO AMBRISHWA NA ALLAAH. UJUWE KINA MAANA YAKE NA THAMANI YAKE. KWAHILO MCHUNGAJI KWA LEOO SI JA KU SUPPORT

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 6 місяців тому

      Soma biblia bwana mke mmoja mpaka Kofi lakini unaweza kumuqcha mkeo kama muasherati lakini mwanaume akiishi na mwanamke mwingine anazini bure na mwanamke hivo hivo

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 10 місяців тому

    Sio kweli wapi biblia imesema make moja

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 Рік тому

    Sijasikia ilo onyo lamasanja😁

    • @olicej7837
      @olicej7837 Рік тому

      Kichwa cha habariii kingine na maneno mengne 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Mariah_1293
    @Mariah_1293 Рік тому

    Wazalishaji 🤣🤣🤣🤣mko wapi

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 Рік тому

    Ndoa za bandika bandua

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Рік тому

    Unaandikisha mke mmoja ukioa wapili ukapimwe akili lkn unaandikisha mmoja unazini na mia moja.....

    • @ledynanciajuma6390
      @ledynanciajuma6390 Рік тому

      Kabla ya kumuoa wa pili c utakuwa umemtaman na kuzini afu ndo ndoa wote ni uzinifu baba

    • @expert5898
      @expert5898 Рік тому

      Yote makosa

    • @expert5898
      @expert5898 Рік тому +1

      Hata uoe wanawake 10000 usidhani ndio utatosheka.

  • @wencesmarc6847
    @wencesmarc6847 Рік тому

    Hiyo story ya masanja iko wapi mmekua wajanja au ni ujinga huo Aya mwisho Leo kufatilia story za mabango kama haya

    • @joyceshile8837
      @joyceshile8837 Рік тому

      YAANI, huyo aliepost na KATIBU WA MASANJA MAREHEMU WOTE NI MOTONIII.

    • @wencesmarc6847
      @wencesmarc6847 Рік тому

      Hakika maana wametenda dhambi ya uongo kujipatia hela kwetu

  • @francisdavidmwakalinga3202
    @francisdavidmwakalinga3202 Рік тому

    Kichwa cha habari kingine story nyingine kenge nyie

  • @sampeopletz1255
    @sampeopletz1255 Рік тому +2

    Mitamba hiyo duuh

  • @siloomar7699
    @siloomar7699 Рік тому +2

    Mke mmoja hatoshi

    • @mussajijim574
      @mussajijim574 Рік тому +1

      Acha usenge ww

    • @siloomar7699
      @siloomar7699 Рік тому

      @@mussajijim574 Ah sasa msenge ww au mm

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Рік тому

      Ndio maana mchungaji kasema nenda huko wanakoruhusu hajamumunya maneno!

    • @restitutanjau2585
      @restitutanjau2585 Рік тому

      Wanatosha wangapi

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Рік тому +1

      Siku unayokufa ndio fainali ya ima mke mmoja anatosha au hakukutosha. Kheri ya muisilam si mnafik unaoa mpaka wanne na wote wanakurithi kuliko wakiristo unaoa mmoja unazini na mia moja na wote ukifa wakizuka wanarithi. Ssa si uchochezi wa zinaa huu?

  • @Roym97
    @Roym97 Рік тому +1

    🤣🤣🤣 ni Night kilabu

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Рік тому

    Kwa nini maparachichi jamani😆😆

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +1

    Nakubaliana na wewe mchungaji tatzo waislam wa kiafrica kwenye dini wanaona suala la kuongeza mke Tu ndo dini ili Hali hao waarabu wako na mke mmoja na wanawe

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Рік тому

      Na nyie makafiri kuzini mkazaa ovyo ndio mnaona dini???

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Рік тому

      Uisilam upo wazi oa mpaka 4 ili usije ukazini ukarithisha wasiostahili. Unakuta kwa mtizamo unakataza kuhangaika hali wanajua wazi w'me wote si swa.
      Ukiristo unajua km mke mmoja hatoshi lkn unakuozesha mmoja ili uzini na unaowajua ww na wanakuhakikishia ukifa wakija watakurithi. Maana unachochea uzinzi zaidi.

    • @shukurusyriack3504
      @shukurusyriack3504 Рік тому

      @@alhamdulillah5796 wewe ndio kafiri mpuuzi Nini Kwan Kwan na ninyi mnasali vitu Gani mashetani tuu

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Рік тому +1

    Mnawasoma kina Suleimani ni uisilam uo nyie mnasema mila zao. Wkt kila umma Allah aliruhusu wake wa kuoa. Ibrahim alioa 2 na wapo wengi tu walooa zaidi ya mmoja. Ssa mke mmoja mmepata wapi na Yesu hajaoa?

    • @annangosso6680
      @annangosso6680 Рік тому

      We naye chefu

    • @meshackmtambulo6580
      @meshackmtambulo6580 Рік тому

      Oa kama suleiman ukipenda sisi hatuko tayali wewe pambana na iman yako

    • @elishamcosta8034
      @elishamcosta8034 Рік тому

      Kabla ya mohammad hapakuwa na Uislam

    • @ismailmohamed9440
      @ismailmohamed9440 Рік тому +1

      We Baki na mke mmoja kama mama yako. Mwanaume mwenye akili timamu lazima uwe na mke zaidi ya mmoja.

  • @expert5898
    @expert5898 Рік тому

    Mbona mnaandika vichwa vya habari vya uongo? Mnadhani kwa kufanya hivyo mtapata subscribers?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Рік тому

      Tunataka watu wakoment Kama ulivyofanya wewe

    • @expert5898
      @expert5898 Рік тому

      @@SIMULIZIZONE ili iweje?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Рік тому

      @@expert5898 nitatengeneza video kukuelekeza ili siku ukija kuamua kuwa UA-camr uelewe

    • @expert5898
      @expert5898 Рік тому

      @@SIMULIZIZONE sawa

    • @expert5898
      @expert5898 Рік тому

      @@SIMULIZIZONE kwahiyo ni bora upate comment ya mara moja kuliko kupata subscriber?