КОМЕНТАРІ •

  • @florachogo243
    @florachogo243 4 місяці тому +13

    Mtumishi huyu anajielewa, hongera, watu wanajitoa ufahamu

  • @sultanalnaamani2156
    @sultanalnaamani2156 4 місяці тому +11

    Mchungaji Mungu akupe afya njema na umri mrefu
    Mzee wetu tunaomba nambari yako ya Cm ilituwetukiwasiliana kwa pamoja hakika nimependa mafundisho yako ni mazuri na ukweli sana upo vizuri
    Ahsante.

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 4 місяці тому +7

    Amina Mutumishi wa Bwana, karibu tena hapa kwetu IOWA STATE USA 🇺🇸.

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 4 місяці тому +5

    Tupate wapi tena watumishi wenye ufahamu wa Neno la Mungu kama na huu?
    Eh Mungu litakase kanisa lako, tuko hatarini.

  • @seacresthotel8998
    @seacresthotel8998 3 місяці тому +2

    💥💥💥💥👏👏👏MUNGU akubariki sana mchungaji

  • @arimazuri
    @arimazuri 2 місяці тому +1

    Uko sahihi baba Mungu akubariki sana mtumishi

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI 4 місяці тому +7

    MCHUNGAJI NAKUPENDA SANAA WEWE HUNAUONGO WALA UBABAISHAJI

  • @japhetmnyeta1076
    @japhetmnyeta1076 4 місяці тому +8

    Mchungaji Ume quolify,ni kweli ili Kujua MUNGU yupo lazima pawe na utaratibu na utaratibu ni sifa ya MUNGU WA mbinguni

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz 4 місяці тому +4

    Mchungaji hananja uko sahihi kabisaa.

  • @GADAUNEWS
    @GADAUNEWS 4 місяці тому +5

    Asante mtumish Mungu akubarik Hananja

  • @saimonbikulaofficial
    @saimonbikulaofficial 3 місяці тому +1

    Isee hananja tukupe makanisa yoye ya tz uyanyooshe mama unamafindisho yakweli unafundisha uhusiano kati ya mwanadamu na mungu God bless you

  • @alexiscirhuza
    @alexiscirhuza 3 місяці тому +1

    Asante sana baba kwa Mashauri Yako ambayo yana uhai. Mungu akupe maisha marefu

  • @ElibarikiMbando
    @ElibarikiMbando 6 годин тому

    barikiwa sana hananja;hua nakufuatilia saana

  • @ruthaloyce1012
    @ruthaloyce1012 4 місяці тому +2

    Sawa, Hananja kama Hananja!❤❤❤🌹🌹🌹chukua maua yakoo!

  • @user-uu8bd4vi9s
    @user-uu8bd4vi9s 4 місяці тому +14

    Mch umenyoka uko sahihi anae pinga hichi unacho sema akasome neno..Mungu akutie nguvu akulinde maisha yako yote.

    • @adronicoreveliano7151
      @adronicoreveliano7151 4 місяці тому

      Sure!

    • @adriannebatakanwa6904
      @adriannebatakanwa6904 4 місяці тому

      Kina Ezekiel hawakuchukuliwa katika Roho. Yohana akiwa kisiwa Patimo hakuchukuliwa na kuonyeshwa yatakayokuja? Usipotoshe watu japo si wote wanasema kweli lakini kuchukuliwa kupo tu. Omba neema ikuzukie.

    • @PatriciaAkena
      @PatriciaAkena 4 місяці тому

      Binadamu anpendi ukweli...nani anasugumunza na mungu kufuru kweli mungu bibilia inasema imani hati alitembea na mungu wapi hata musa mwenyewe..akumwona na kupenda bure

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 4 місяці тому

      Huyu mchungaji ni comedian wala hana wito wa Mungu ila alisoma theology tu. Kama hana muda wa kukaa magotini hawezi kutumiwa na Roho Mtakatifu.

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 4 місяці тому

      n​@@elishakayagwa9371wewe ndo komedian. Onyesha kwenye biblia mahali palipoandikwa kuna nabii aliyewahi kwenda mbinguni akakutana na Mungu, Mungu akamtembeza kwenye ufalme wake, kisha akarudi duniani.

  • @RockofLifeChurch
    @RockofLifeChurch 4 місяці тому +1

    Mungu ambariki Mchungaji Hannanja
    Watu wengi hawana misingi.

  • @IsackTheonest
    @IsackTheonest 4 місяці тому +1

    ❤Mungu akubariki mchg, ww ni mwanga wa vijana

  • @eliabrandy
    @eliabrandy 17 днів тому

    Nakukubali sn pastor chukua mataji

  • @priscakitambi8639
    @priscakitambi8639 Місяць тому

    Uko vzr sana Mch. Mi nakukubali sana

  • @twabwikemundela5770
    @twabwikemundela5770 4 місяці тому +1

    Amen mtumishi. Nimebarikiwa sana.

  • @imanihussein9457
    @imanihussein9457 4 місяці тому +4

    hananja upo vzr

  • @hermannicholaus238
    @hermannicholaus238 4 місяці тому +4

    Njoo Moshi

  • @user-uy5zk4lj5w
    @user-uy5zk4lj5w 4 місяці тому

    HALELUYA, MCHUNGAJI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI WA NENO LA MUNGU KUPITIA BIBLIA TAKATIFU

  • @felisterjoshuamollel3930
    @felisterjoshuamollel3930 4 місяці тому

    Tunakukubali Sana mch. Hananja❤chukua maua yako 🎉🎉

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa 4 місяці тому

    Mchungaji wetue tupe number za sin Ili tuwe tunawasiliana.kwamana Wewe naona elim unayo kabisaa.allah akuifadhi akupe nguvu zakuteteya dini zote

  • @user-yq7yv5bb8j
    @user-yq7yv5bb8j Місяць тому

    Jaman mm nikimsiliza mch Hananja Roho inajaa amani tele.

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 3 місяці тому

    Hongera na endelea vivi hivi mch Hananja, ulaghai wa baadhi ya wachungaji wachumia tumbo kwa kuwahadaa watu wanyonge na wasio na ufahamu mzuri ktk makanisa yao! Watakasirika kweli kwa vile umezianika hadharani mbinu zao ovu za kupumbaza watu; hata mienendo yao imejaa chukizo! Jamii yetu inapata faida kwa kuamshwa kupitia mafundisho yako kwa muongozo wa bibilia takatifu.

  • @williamkadote305
    @williamkadote305 4 місяці тому

    Muchungaji kwakweli unaongea sahihi, Na uko Baba watoto, ❤Sasa Muchungaji kwanini ulimi yako kila mara inatoka inje ? Kwakweli sio ma sighs zakisasa ?

  • @MILEMBEMASUKE-ds2fx
    @MILEMBEMASUKE-ds2fx 4 місяці тому

    What a paster....🙏

  • @user-ty4ji9qm5r
    @user-ty4ji9qm5r 4 місяці тому

    Hongera sana Hananja

  • @hildaminja5148
    @hildaminja5148 4 місяці тому

    Asante sana. Unaweza kusaidia kizazi hiki

  • @user-tf4zb9fz1f
    @user-tf4zb9fz1f 4 місяці тому +1

    Mwacheni Mzee angee ukweri .

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel7862 3 місяці тому

    Ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO

  • @phineasmuriuki7353
    @phineasmuriuki7353 4 місяці тому

    Amesema ukweli kabisaa,i support the truth because the bible says you shall know the truth and the truth shall set you free

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 4 місяці тому +4

    Walokole wanauvuruga ukristo sanaa...

  • @user-wq4pl5dv6b
    @user-wq4pl5dv6b 4 місяці тому +3

    Mtume mohamed

  • @eliuschonjo7706
    @eliuschonjo7706 3 місяці тому

    Kucheza na akili za watu lazimaa uongezee uongoo !!! Ila hapo Kwa Mungu kuzungumzia uongo ni laana kubwa sana

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 3 місяці тому

    Amina mtumishi ananja 🙏

  • @DonatiMlay
    @DonatiMlay 4 місяці тому +1

    Huyu mchungaji anasema ukweli mtupu manabii wa uwongo kwa ajili ya kuwapora hela waliokosa maarifa.

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 4 місяці тому

    Hananja mungu akubariki sana kwakusema ukweli

  • @costantineevarist5110
    @costantineevarist5110 4 місяці тому

    Amina mchungaji..Aliyepaa Ni Yesu tu.Wengine ni hadithi tu za uongo

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 4 місяці тому

      Hata Mtume Muhammad mwenyewe alidanganya umma eti alipaa na Buraq😂

  • @japhetmnyeta1076
    @japhetmnyeta1076 4 місяці тому +2

    Hakuna roho ambayo itakua kwenye mwili ikamuona MUNGU na isitake kumrudia muumba wake Kwa uzuri aliokua Nao MUNGU thus why Mussa alipokwisha ona mgongo wa MUNGU alirudi na wazee wa Israel wakashangaa mng'ao na wakamkimbia

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 місяці тому +1

    Watu wanajiita manabii😢ni wa uongo 😢😢

  • @user-gt9zw9jk6w
    @user-gt9zw9jk6w 4 місяці тому

    Ubarikiwe sana

  • @user-ri8ch2hs3m
    @user-ri8ch2hs3m 4 місяці тому +5

    Waambie baba wafunguke

  • @leonardpeter153
    @leonardpeter153 3 місяці тому

    Shetani ni mjanja sana watu wanawaogopa sana manabii wachungaji wanatumia nafasi hiyo kuvutia sana kwao ,Mungu ana mipaka yote yanawezekana kwake yeye aaminiye biblia aiimpi Mungu mipaka

  • @user-tr2mf3hp5s
    @user-tr2mf3hp5s 4 місяці тому

    Nakukubali sana mzee wng

  • @littlelunie.7653
    @littlelunie.7653 4 місяці тому +1

    Waambie na daniel alionyeshwa hakwenda mbinguni

  • @SifaelMpagike-gt1gz
    @SifaelMpagike-gt1gz 4 місяці тому

    Amen

  • @danielchaulema1670
    @danielchaulema1670 3 місяці тому

    Watu wangu huangamia kwakukosa maarifa

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 4 місяці тому

    Mungu akulinde

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 4 місяці тому

    Nakukubali sana baba

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e 4 місяці тому

    ❤😂 Amina kabisa true pst 🙏

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 4 місяці тому

    Hongera

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 4 місяці тому +1

    Bado mitume ya Kinyakyusa😂😂😂

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9l 3 місяці тому

    Halafu huyo wa Arusha anajiita nabii mkuu,tofauti na maandiko maana kwa mjibu wa maandiko alie mkuu ni mmoja tu

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 4 місяці тому

    Haaa kweli kama unawaza sanaa unaweza ota kweri wanakufuru

  • @kwamnkurumah8574
    @kwamnkurumah8574 4 місяці тому

    Mchungaji hyu Nina mkubali Sana aise upo sahihi Nikipa mkubwa wao

  • @user-cd9nk8yz2h
    @user-cd9nk8yz2h 4 місяці тому

    Binadamu mpaka akufe mara moja tuu ndio aende kwa mungu mbiguni

  • @user-tl5oz3ws9m
    @user-tl5oz3ws9m 4 місяці тому

    Ukosawa sana badili muelekeo uokoke ukweli wote unaujuwa

  • @stephenlembo8986
    @stephenlembo8986 4 місяці тому

    Yesu hakuleta dini alileta wokovu.

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂 asante kwa kuwaumbuwa wenzako wako kibiashara tu kuendesha maisha na watu hawana akili wanafata mkumbo tu

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 4 місяці тому +3

    Upo sahihi Mtumishi

  • @suzydeusy1405
    @suzydeusy1405 3 місяці тому

    Hamna mtu atamwona Mungu akiwa kwenye mwili huu

  • @pcctMadale
    @pcctMadale 4 місяці тому +1

    PASTOR HANANJA UKO SAHIHI KABISA,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KWENDA MBINGUNI KUONGEA NA MUNGU,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KUONANA NA MUNGU NA AKAWA SALAMA!HATA MUSA HAKUWEZA!

    • @Kamkono
      @Kamkono 4 місяці тому

      Henoko ?

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 4 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 4 місяці тому +2

    Ila kwenye biblia unawazidi sana kuijua! Wachungaji wengi wengi unawapiga fimbo!

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 4 місяці тому +1

      Hata hao wengine wanajua, ila wanaitumia vibaya ili kufanikisha malengo yao ya hovyo😢😢😢

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 4 місяці тому

    Usihangaishwe nao Mchungaji

  • @japhetmnyeta1076
    @japhetmnyeta1076 4 місяці тому +2

    MUNGU si mchezo wazee

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 4 місяці тому

    We mzee Uislam umesha ujua achana na Hao matapeli

  • @user-hh1cx5xn8n
    @user-hh1cx5xn8n 3 місяці тому

    Unaongea ukwelii unwell unadumu binandamu hawataki kweli

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 3 місяці тому

    Watu wanaenda kuzimu na mbinguni yaani sana Tena shida saana hii inatisha mpaka unajiuliza hii ni nini

  • @lukamwinuka2957
    @lukamwinuka2957 4 місяці тому

    Wambie hao wanaenda kuxim wanasema Kwa Mungu

  • @davidmapugilo5283
    @davidmapugilo5283 4 місяці тому +1

    Ufahamu, ufahamu, ufahamu, never speak of things you do not know

  • @Zaka-hv9ui
    @Zaka-hv9ui 3 місяці тому

    Wewe ni mkweli mch Hananja

  • @bettmutahi1346
    @bettmutahi1346 4 місяці тому

    Urealy do have a problem

  • @gilbertmaganga9370
    @gilbertmaganga9370 4 місяці тому

    Huyu namuelewa sana msema kweli

  • @user-fh1vu5xk3j
    @user-fh1vu5xk3j 4 місяці тому

    Wengi tunakuelewa,

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 4 місяці тому

    Na tracksuit yangu😂😂😂

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 4 місяці тому

    Pastor anajua mpk ndumu....Yani hua wanipunga xna bro...

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa 4 місяці тому

    Sante paster wetu!!!wewe sahihi kabisa.waaambiye awo waache kupoteza Watu.

  • @AnthonyAnatory
    @AnthonyAnatory 4 місяці тому

    Kabisa wasanii hao wanaangalia maokoto

  • @ChejoBuchejo-mm8bb
    @ChejoBuchejo-mm8bb 4 місяці тому

    Tz ni nchi ya watu wajinga sana ,,,yani tumejazwa uwoga tukawa mazuzu kabisa.....BORA NIWE NARUDI MASKANI KUTAMBIKA ,,,,,Asante mtumishi kusema UKWELI unaopotoshwa

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n 4 місяці тому +2

    Sasa kama wanafunzi wa yesu walikua na wake mbona nyie wengine mnawambia msiowe?

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 4 місяці тому +1

      Hilo swali huyu halimuhusu anamke na watoto na haamini Hilo la kutokuowa maana kuto kuowa ni Sheria ya warumi

  • @user-cf9tt4vg9e
    @user-cf9tt4vg9e 3 місяці тому

    UWO NI KWELI KABISA

  • @EvanceBoy1997
    @EvanceBoy1997 4 місяці тому

    Unaongea unbelievable yule ni tapeli 😅😅😅

  • @JulianMakondo
    @JulianMakondo 4 місяці тому

    Sema watu wasimchukulie Mungu kikawaida , kusema ukweli Mungu anatisha na mwanadamu akimwona Mungu katika mwili huu wa damu na nyamu huyo mwanadamu hawezi kuishi , maana hata tuwe wasafi vipi Kwa utukufu Mungu alio nao tukimwona Kwa macho tu ya damu na nyama tunakufa

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u 4 місяці тому

      Na vile watu tumechanganywa ni hizo ushuhuda za walio enda mbinguni na kuzimu, au Mungu aliwachukua ili waje watufundishe jinsi kuzimu inavyotisha

  • @saidiathumani6443
    @saidiathumani6443 4 місяці тому

    Mafarisayo walishindwa kumwelewa yesu vilevile kwa sababu ya ufahamu tangulizi ndani yao. Muumba ni sauti na anasikika kupitia mmoja aliemchagua, ni vigumu sana kumuelewa muumba kama huna unyenyekevu. Hata hivyo wapo waliokusudiwa ndio wanaoelewa kuwa muumba anafanya kazi na wale wampendao, aliowakusudia hata kabla ya chochote kuumbwa!!

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 4 місяці тому

    Ukristo ni dini ya maokoto

  • @georgiakiluvia8029
    @georgiakiluvia8029 3 місяці тому

    P

  • @frankanyandwilemwakatika1059
    @frankanyandwilemwakatika1059 4 місяці тому +1

    Mungu atusaidie kuelewa maandiko na sababu ya kuja Yesu
    23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
    Yohana 4:23
    24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
    Yohana 4:24
    Tuache kufikiri kimwili Mungu anaongea na watu wake mpaka sasa ukiona haongei na wewe jichunguze mwenendo wako

  • @rosejefwa9806
    @rosejefwa9806 4 місяці тому

    Sasa hao wazee wanakuja kukupakamafu wanakuwa wameyatowa wapii wanakiwanda?

  • @user-fh1vu5xk3j
    @user-fh1vu5xk3j 4 місяці тому

    Waelewa tunakuelewa

  • @saidali-xv8yh
    @saidali-xv8yh 4 місяці тому

    Hameni huko dini ya ukristo siya dini wapagani ndiyo wemekuiteni wakristo siyo Mungu wala yesu hakutmwa kwenu bali katumwa kwa wana wa israel.

    • @Asana-wi7yj
      @Asana-wi7yj 4 місяці тому

      Unahitaji kuelekezwa aliowaijilia hawakumpokea

  • @ProspertRubura
    @ProspertRubura 4 місяці тому +1

    Iyo nikweli baba sema kweli

    • @sirajally8356
      @sirajally8356 4 місяці тому

      ukweli nikwamba una simama naukweli wana haribu baibo nimatapeli sana

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 4 місяці тому

    😂😂 ndumu haijaisha vizuri

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 4 місяці тому

    Hananja vunambavu

  • @user-zu5ee3qe6u
    @user-zu5ee3qe6u 4 місяці тому +1

    Hao hao pia wanasoma biblia iyo iyo mchungaji😢sasa itakuaje kufuru😂😂😂

  • @florah-jw9wk
    @florah-jw9wk 4 місяці тому +1

    Mchungaji unaongea kweli

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 місяці тому

    Unachosema Hananja kweli kabisa wachungaji wengi ni wasaka tonge la wajinga ndiyo waliwao hasa wanawake wanakombwa haswaaa

    • @Kamkono
      @Kamkono 4 місяці тому

      Hananja mwenyewe ameajiriwa na K.K.K.T Hana uwezo wa kumtafuta MUNGU asiye mjua .