Utacheka Ufe: Maneno ya mchungaji HANANJA kuhusu tozo, Serikali haina ela, shetani shemeji yako.
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Akizungumza katika mahojiano maalum na Gilly Bonny Tv Mchungaji Richard Hananja amesisitiza watanzania kulipa tozo na kodi kwani serikali haina fedha inategemea kodi na michango ya wananchi
Mchungaji! Kwa miradi Yako ulioanzisha ni lazima utetee hayo unayoyatetea coz unamaslai! Na hakuna mtanzania anaepinga izo tozo! Kinachotukatsha tamaa ni kuona tozo tunatoa,Kodi tunalipa,mikopo inakopwa, lakini hatuoni miradi mipya na hata viraka na viporo vya awamu ya Tano vimeshindikana kukamilika! Inakatisha tamaa Kwa kweli!
Ndugu yangu elewa kitu kimoja wanasiasa na VIONGOZI ni kitu kimoja....wapo tayari kukemea uovu mdogo wanaacha ule mkubwa unaofanya na wakubwa
We una mipango mzee lzm utetee
Huyu haelewi
Yani kodi.changizo.tozo.ada.bili.bima.kipaumbele mazao wakati wa mavuno.nk. lkn huyu mtoaji vyote hivyo akiugua Hana mdhamana kama hao wapokeaji. hata mkipanga foleni TRA kulipia Kodi Fulani akija yule mwenye V8 hakai foleni maana mwenye Bomba hapangi foleni.hata akikamatwa anaombwa mheshimiwa Kaa kwenye kiti lkn wewe mzalishaji hata kama gari yako Ina tairi kipara au unadhaniwa kosa utakila makofi mitama uko chini lkn unaambiwa Kaa chini kaachini na makofi juu.wakikuua wanasema chochote na hakuna wa kuwapinga
Mchg umesahau kwamba Mwigulu alishasema kuwa kutoa kodi ni taka usitake vinginevyo tukimbilie Burundi, leo unasema kuwa amesema anasikiliza maoni ya wadau🤔🤔
We unajipendekeza upewe kz na pesa na serekali Kodi zmekuwa nyingi ndo kilio Cha wananchi
Watu cyo hawataki kulipa kodi, isipokuwa kodi zimezidi kuwa nyingi mno, na viongozi wamekuwa wapigaji sn
Watu wanachohoji
1.Double tax
2.matumiz makubwa
Mh kwa kweli umepoteza dira,ukandamizaji sio kodi
Hiyo Safi Sana Mchungaji mstaafu,endelea kutoa elimu kwa maslahi ya taifa let.
sio kweli mzee kodi sio tozo,🤣🤣🤣😄
Mpuuzi kweli, kodi ni muhimu sio hizi ambazo zimewafanya wananchi wawe na msongo wa mawazo. Sema ukweli, unaogopa usifungiwe kanisa?
Basi,na,ka nisani,wawe,wanawakata,kodi
Sasa kibanda cha mlinzi kimejengwa kwa mln 11 huoni kwamba ni utafunwaji wahizo kodi na tozo zetu
Tunataka serikali ipunguze gharama za matumizi yake mawazir watumie gari za milioni 30 sio hyo ya gharama kubwa na wapunguze misafara mikubwa
Kodi sawa. Lakini kodi zinatumiwa vibaya. Hayo ma-V8 karibu kila kiongozi si matumizi sahihi za hizo kodi. Halafu kanuni za kodi zifuatwe. Ni kanuni gani inatumika kukata kodi toka mshahara? Unalipwa unakatwa kodi, mshahara unaingia Benki na unapotoa mshahara wako Benki unakatwa kodi, na ukienda kununulia kitu unakatwa kodi. Akili gani hiyo ya kodi?
Huu mkasi mkali Doble taxestion
Matope kabisa halafu eti wasomi 🚮🚮
Mtangazj kaishia kushika mic
HAKUNA atakayetujengea nchi hii kama sio sisi wenyewe
Na sio kujenga nchi kwa mitozo ya kipuuzi hivi. ukatwe tozo na kodi kwenye mshahara mmoja ni haki? Uliona wapi na wewe? Au huna ajira unaranda tu mtaani?
Kama Yesu Kristo alilipa Kodi mbona makanisa hayalipi Kodi,?? Na kipindi cha serkali ya kikwete mlikuja juu baada ya kuwataka mlipe kodi
Hakuna mtu asiyetaka kulipa kodi kwa kile ulichofanya. Tatizo ni utitiri wa kodi.
Hata kanisani. Kunapokuwa na utitiri wa sadaka katika ibada ni kikwazo kwa waumini.
Watu waishauri serikali ili kuboresha UBUNIFU wake wa Kodi
Hongera kwa kutumwa, ila kumbuka huu ulimwengu ni dhambi tupu.
Hongera Sana Baba Mchungaji
Tanzania buana ukisifia ndo unaonekana mzalendo kosoa uone ko mi simshangai mchungaji hapo analinda miladi yake
Mwigulu chemba,litimu lake lifungwe tu,anatumia Tozo kuleta wabrazili
Unaongea ya hovyo hta hvyo vtuovyako vya wtotoytma nivyamchongo w maclahi bnfsi
Mchungaji clip yako moja unasema ukristo ni. neno la utani yesu hakuacha ukristo aliacha wanafunzi sasa hapo nakusikia unautaja
HAHAHA hii ndo tz
Hananja hakuna mtu anabisha kulipa Kodi watu wanaumia Sana Kodi nyingi miradi hakuna kifupi inaingia ktk mifuko yao
Hakipinga hiyo miradi ya mchugaji maana yake atalipa Kodi mbalimbali
Mchungaji maneno yako daah
Hananja kodi inayolipwa ikifanya kazi sawasawa bila kuiujumu kodi hakuna mtu anapinga ila kodi ikilipwa alafu ukasikia Kuna wizi wa pesa apo ndipo panauma pili matumizi ya kodi kwa serikali ni makubwa mnoooo
Wewe umeshiba unajipendekeza tu
Wewe Subiri kupewa hela kidogo na waziri wa fedha naona Una njaa
Kodi ni lazima ila mtu mshahara umekatwa kodi ukiweka benki unakatwa ukimtumia mzazi utakatwa na anayepokea anakatwa kwa hela ipi acheni kuuwa wanyonge mbona mishahara ya wakubwa hawakatwi
Kodi ni msingi wa maendeleo.
Lakini kodi iangaliwe inalipwaje na kwa watu wenye kiwango gani cha maisha.
Kodi ni kishawishi cha kumshawishi mtu kufanyakazi.
Kodi ikimzingira mwanadamu masikini ni kumpa mzigo usiobebeka.
Ziko njia za kumpunguzia mwananchi kodi
Ni kutumia rasimali asili za nchi hii.
Kodi ikizidi ni kero
Nilikuwa nakufatilia Sana lakini kwanzia Leo wewe kumbe ni kichwa cha ........
Mchungaji Amesema amestaafu mapema. Unajua aliona kuna fursa mtaani ya kupata pesa kuliko madhabahuni, akaona aingie mtaani nae asake tonge. Sasa akijiinua kupinga tozo ataumizwa na miradi yake kufungiwa. sasa kama CCM walivyo na ndivyo mchungaji nae alivyo. Hawana huruma na Watanzania, mchungaji kwa ndani moyoni najua anaumia lakini anafunika kombe mwanaharam apite! Tumewaona wengi kama Hawa! Ni Mungu tu atufungue ufahamu wananchi tujitetee wenyewe.
Huyu hakistaafu Bali alifukuzwa na kanisa
Kodi...unaenda kujenga kibanda Cha milioni kuminamoja....zitafutwe namna ya usimamizi mzuri kwenye hizo kodi
Hatukatai ila tunaumizwa na wanao iba
Haha dah
Hananja asante
Watu tunataka kujua BIASHARA MOJA INATOZWA KODI NGAAAPI ?
Mm naona ungeachana na izo Mambo za Kodi mzee kwakua kwasasa wananchi tulio wengi tunajitambua
Mchungaji maneno yako yamenifurahisha sana .
Aliyeshiba hamtambui mwenye njaa. Ukishangaa ya Musa unayaona ya firauni. Umesahau ile mikate na samaki ulikula Yesu alinunua wapi. Ile pesa Yesu alilipia Kodi alipata wapi? Yesu alisoma wapi? Pesa ni chanzo cha maovu. Yesu hakuhubiri Kodi . Wa michongo
maada hii umejichomeka
Tatizo tozo za wawekezaji hatuambiwa
Mch wewe ongea ukweli
Watanzania tunalipa kadi lakini matumizi ni mabaya
Shida ni tizo zinalipwa halafu wanakula viongozi
Hatukatai kulipa kodi wala kukatwa tozo bali shida nivile baazi ya watumishi wauma tulio wapa zamana yakuzisimamia hizo kodizetu sio waaminifu yaani inauma kuona tuna umia halafu wanufaika ni wachache
Napenda sana hutuba zaka zinaukweli sana juu ya maisha ya watu Mungu akubariki kwa huduma bara
We Mzee Wacha Kuimba Talabu Nawewe Umezeeka Mdomo2 Kwani Tanzania Ni Taifa Langapi Duniani Kwa Vitega Uchumi Kwanza Ulipaswa Utaje Lasilimali Zote Na Asala Zake Ndipo Useme Unachosema Habari Ya Kaisali Walikua Watu Wachache Na Uchumi Wao Uliluusu Kodi Nisawa Lakini Usipitilize Kiwango Kwasababu Taifa Liko Na Vitu Vingi
Wachungaji mambo mengine hayahitaji biblia wananch wanateseka unataka atasadaka usizione
Tatzo kodi zaenda matumbo ya watu
Bila shaka wewe una kadi ya chamadola
Tatzo je kodi znafanya kilichokusdiwa au znaliwa afu mtu anaambiwa apishe uchunguzi
Mchungaji upo vizuri sana Kodi ni muhimu kwa maendeleo na ustawi wa watanzania wote bila Kodi hatuwezi kusonga mbele
Kodi ni sahihi Ila iyo tozo ndo Tatizo ndugu mchungaji
Huyu mzee Hananja kuna kitu haelewi kuna Madini mengi nchini mbona huyasemi co kila kitu kikatwe bc kumbe watoto wanasoma bure kiuongo mana tozo zibazidi sasa hiyo bure hp iko wapi.?naye anaongea sn bila breck jamani mmh
Akamwambia petro nenda baharini rusha ndoano samaki wa kwanza azukae chukua shekeli ulipe kwaajili yetu mwili matayo hakuisahau hii maneno
Huyu Kawa mtumwa wa SERIKALI hawezi kuongea tena yampasayo kutetea wananchi wake ndio shida ya njaaa na watu ambao tunawaona wanaweza kusema na SERIKALI ikabadili sasa SERIKALI huwalenga na kuwakamata kuwalambisha michuzi akili zinahamia tumboni
Duuh,mchungaji mh....ni huyu.ni hatari.hata maneno yake tu hatari
huyu sio mchungaji kwanza
Mchungaji, naomba namba yako kwa ushauri binafsi .
Watu wanataka tuwe kama Singapore bila kujua kwamba hao walijitoa sana. Tozo ikiendelea kwa miaka 20 tuatafika mbali sana. Kusimamia, kurekebisha ni muhimu lakini kufuta hapana.
Tozo ikitozwa miaka20 inamaana viongozi wa serikali na na viongozi wa ccm kila mmoja atakua ana miliki ndege yake binafsi,
Hakuna aliekataa kulipa kodi,lakini ujue kila jambo lazima liwe na kiasi,hii kodi ya mwigulu,inatozwa kupitiliza,miundo mbinu ya kutafuta pesa sio rafiki,na maisha hayapo kama viongozi wa serikali wanavyo yaona,huwezi kununua gari za milioni500 wakati unatakiwa kubana matumizi,serikali imehamia dodoma,lakini mawziri wanalala dar,huo ni upumbavu wa viongozi serikalini,wanatutoza kodi halafu hizo pesa wanazitumia kwa manufaa ya familia zao.
@@isaacsengunda3099 Mapungufu hurekebishwa, hata magari ya viongozi hubadilishwa, hiyo isizuie jambo letu jema. Mazuri yanayofanyika ni mengi ukifanya utafiti, na tunaweza kufanya makubwa kama tukipendekeza mambo ya kufanya kupitia wawakilishi wetu. Hii ni harambee ya namna yake ambayo Afrika wameanza kuitumia kwa mafanikio, na ni kujitoa na mipango mizuri ndicho kilichowatoa wenzetu huko ulaya na asia.
@@petersilas4234 kwa wanufaika wote na systerm hio,nilazima waunge mkono kwakua kupitia humo nao maisha yao yakua mazuri,kimsingi hakuna anaekataa kulipa,ila kama akili ikiwaza vizuri kumbuka miaka mitano ya magu,halafu rudisha awamu3 ambapo ni miaka30,na aina ya kodi zilizokusanywa,halafu linganisha miaka mitano ya magu na yaliofanyika,kwa sasa uingo ni mwingi,na pesa zinapatikana na zinaliwa na wao wanatunga majina ya huo ukusanyaji,halafu nyienaookota makombo mnawasifia na kuunga mkono upumbavu huo,hivi mimi nikimtumia mama yangu hela kwa sim,nikakatwa huku kuna sababu gani ya yeye kwenda kukatwa huko?
Lakini chawa mnaita tuko kwenye harambe,na zile hela zinaitwa zimejenga madarasa,lakini zile za uviko nazo zimejenga madarasa,je mchanganuo wake ukoje,na CAG anasema pesa zimepotelea kusiko julikana,magu aliwapa wananchi wepesi wakufanya kazi za kuwapatia kipato,ninyi mebana wananchi kila kona,halafu mnataka tozo kubwa,hio tabia ni mbaya sana kwa viongozi,siku ileile aliosema na kufafanua hizo tozo,watanzania walitoa na ushauri lakini viongozi wakasema waende wakaishi burundi,hio ni akili ya kijinga kuliko hata ya mjinga alikosa shule,,
@@isaacsengunda3099 Magufuli alifanya sehemu yake, ila pia aliacha deni kubwa ambalo linaendelea kulipwa. Sehemu kubwa ya miradi aliyoianzisha Magufuli inafanyika na kulipwa na serikali ya sasa. Kwa vile serikali ni ileile hakuna shida. Hayo mapungufu ya tozo yatafanyiwa kazi, subiri bunge.Kama tunataka maendeleo ya haraka njia mojawapo ni hiyo. Zitakapoingizwa kwenye sekta ya kilimo tutaona pia mabadiliko makubwa.
Zimezidi kila pahala
Mwaisa
Nikweli kodi nimuhimu lkn iwe harali.....!!!!!
Mchungaji usitetee tozo zimekua nyingi mno.
Mchungaji Hananja Anastahili Udaktari wa Heshima kwa falsafa zake zinazoibua fikra ya kina🤔
Mi nakuona unamana kumbe we msenge...
Unaongea mno,mtu mzima jamani huoni vibaya,haya bwana mungu anaona,hananja wewe,
Anaongea lkn haongei pumba ujue. Maneno mengi anayoongea yanaukweli ndani yake. Kama una umri mdogo kuliko yeye unapaswa kumuomba radhi na Mungi akubariki.
Kodi muhimu lkn kiwango kiwe rafiki
Type andiko la yesu alilipa kodi kitabu Gani?
Elewa mkuu kodi ni muhimu ila tunazolipa nizawatu au zinaenda kwenye akiba ya kununua kura zetu badae sisi watanzania tunaendeshwa na mikopo weka wazi acha kunikera mtumishi nitajaongea utumbo ujione upo uchi
Mnawaona Mawaziri tu mbona mamea na wakueugenzi nao hamuwaoni? Mamea magari ya fahari wanayatumia kwenda wapi?
Sio WENGI wanaojielezea na kutaja anatokea kanisa gani
Muda utazungumza si kitambo
Hakuna mtu ambae amesema hataki kulipa kod kinacho lalamikiwa nikuongeza kod zingine kwenye miamala ya kibenk Na cm
We unatetea miradi yako ndio maana unaongea sana, sema ukweli hapo kama tutakusikia tena au kuendelea kumiliki hiyo miradi yako, Pr wa Mchongo
SAWA.
Kwani aliesema sadaka tutoe hela ni nani
Maana wakina Abraham walitoa mifugo
Mpaka akataka kumtoa mwanae
Sasa nani aliesema tutoe hela
Hatukatai kulipa kadi we mshara wa laki 3 kodi mamilion ya waishimiwa free kweli!!!
We pia ni Mwana siasa, nilikuwaga nakufatillia ila kuanzia leo ukiona nimefungua vdio yako niite mbwa
Wewe una mipango mzee lzm utetee
Wachungaji kama ww mmmmh.
Mbona maneno yake Kama sio mchungaji, mbona Kama wale wanaotangaza promo mtaani, watanzania tuangalie Sio Kila mtu anaepiga polojo Ni wakumuqmini uyu ananja bule kabisa
MNALINDA MASRAI YA MAKAMPUNI KWA KUUMIZA WATU WENU
Wewe unatumika acha mbwembwe, tuna vyanzo vingi vya kupata pesa sio kubana watu wa chini, wewe unachokifanya unatetea miradi yao
Watu kama wewe ni wachache lazima wananchi kulipa kodi ni muhimu bira tutawekwa nchi maskini duniani
Issue ni kwamba yeye anayo miradi isiyo lipa kodi na hivyo yeye Leo analipa tozo tu kwa sababu biashara yake hailipi Kodi, na kwa yule mlipa Kodi hawezi muelewa huyo mchugaji anachoongea, na hivyo NGO zilipe Kodi ili tuwe na usawa hata kwenye tozo
Mpaka hapo sisi ni masikini wa karibu na mwisho, sasa tuwe masikini mara ngapi?
5:27 😁🏋️♂️
Ila wewe mungu ana kuona
Rev. Hananja wewe kiboko Yao. Maana kipaji cha uhamadishaji umejaliwa. Asiyekuelewa kuhusu Kodi na tozo basi ajaribu kuliona. Kila mbuzi hula kadiri ya urefu wa lamba yake. Ujanjaujanja hapo.
Sikweli kwamba serikari haina hera..hatusikii bandar, madini, vimekwenda wapi, mfumo uliopo lila kitu kinalipiwa kodi hadi kiberiti na sindano ya kushonewa nnaona mchungaji unaongea juju sana..
Tulijua kuna watu mulisha pangwa kutuzuga.ila Sawa tutakutana kwa good.na kawaambie sisi atulalamikii kod.tunapouliza matumizi yake majibu tunayo jibiwa hayana kichwa wala miguu.nyoko kweli 😏😏😏
Duh ugali jero mboga kwako,Hotel ya vijana wa mchungaji,duhhh,this is total confussion😭😭😭😭
Ahahahaha
Huyo Mbwa yupo na chuki na wa Zanzibar hususani waislam hana tofauti na Mbwa mwenzake Lukuvi.
Mbwa baba yako
Mtazamo huo sikio halizidi kichwa mguu sio mkono tembelea pua utafika unampenda mkeo vaa Dela lake uende mtaani
😁😂😂😂