MAOMBI YA KUOMBA KAMA UMEPOTEZA NGUVU ZA KUOMBA - Innocent Morris
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- MAOMBI YA KUOMBA KAMA UMEPOTEZA NGUVU ZA KUOMBA - Innocent Morris
Haya ni maombi maalum kwa mtu ambaye amepoteza nguvu ya kuomba, haya ni maombi maalum kwa mtu aliyepoteza kiu ya kuomba. Baada ya kuomba maombi haya utapokea nguvu mpya atakayokupeleka viwango vingine vya maombi.
Ubarikiwe sana.
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
UA-cam Link:
/ holyspiritconnect
Emungu naomba uniondoleye vitu vibaya kwenye moyo wangu wakati wamaombi amen🙏
Ameen ameeen
Bwana huwapa Nguvu wa zimiayo bwana yesu naomba Nguvu Mpya bwaba yesu nipatie Nguvu Mpya bwana achilia Nguvu nguvu Mpya kwenye maisha yangu nasimamia na msitar wa wa ISAYA 40. 29 ebwana huwapa Nguvu wale wazimiayo bwna naomba Nipe mtu sahihi Nipe baba Mume sahihi kwenye maisha yanguuu🙏🏼🙏🏼
Bwana Yesu naomba uniondoleee mawazo mabaya wakat wa maombi
Ameen ameeen
Ee Mungu niondoshee mawazo na unipe nguvu wakati wa kuomba na kusoma neno lako. Amina.
Napokea nguvu za maombi, kusoma neno la Mungu katika Jina la Yesu. Mwana Yesu achilia bubugiko ndani yangu kwa jina la Yesu Kristo. AMEN.
Mungu naomba unipe nguvu ya kuomba,kusoma neno lako, kufunga na kuomba
Wakati sahihi kabisa kuona maombi haya, Mungu anasema, tumsikilizeni yeye. Mtumishi Ahsante 🙏🏾
Ameen
Balikiwa mt
Amen ubarikiwe na Mimi nimebarikiww na nimebadilika nimekua na hamu ya kusali Kuanzia sasa
Na mimi naomba bwanaa Yesu niwe na kiu na wewe niweze kuomba bila kuchoka
Amen bwana nipee nguvu mpya
Nilikosa nguvu za kuomba wakati mume wangu alinifukiza na kuninyanganya kila kitu Hadi watoto, mniombee mungu anipee nguvu mpya ya kuomba ili nidai ndoa yangu kwa maombi
Ee yesu niokoe na vita iliyo juu yangu Amen🙏🙏🙏🙏🙏
Niko na shida Mungu anipe Power 🇩🇪
Asante Bwana Yesu kwakunijaza katika nguvu zamambi ndani yangu Mungu akubariki Mutumishi wa Mungu nimebarikia na nimepokea🔥🔥
Amen naomba nguvu mpya nguvu mpya in jesus name🙌
Mungu naomba nipe nguvu ya moyo mpya, juu yangu ya kuomba kupita kawaida
Mungu niongesee nguvu za kuomba nakusoma neno la lako katika jina la Yesu kristo
Ameen
Mungu.nisaidie nirudishie nguvu ya maombi ndani yangu
Mungu niongezeee nguvu na mm katika imani
Bwana YESU KRISTO naomba unitakase Kwa Jicho lako la huruma
Ameen
Mungu wa rehema nitazame kwa jicho lako la huruma. Bwana nikumbuke
Ameen mtumishi Mungu akubariki kwa maombi
Hallelujah hallelujah hallelujah 🙏 and Mungu naomba unipe nguvu ya kuomba na kusoma neno lako bila kuchoka 😢 katika Jina la Yesu kristo aliye juu mbinguni Amen 🙏
Ameen
Napokea nguvu ya maombi ndan yangu kwa jina la yesu
Mungu niongezee nguvu mpya kuomba
Mungu akubariki nawemutumishi wamungu
Naomba mungu anitoshe uzaifu ndani ya moyo wangu
Aleluya, Aleluya, yesunibwana
Asante Mungu kwa kunipa Nguvu mpya ya kuomba 🙏🙏 Glory be to God 🙏🙏
Ameen ameeen
@@holyspiritconnect Ameen 🙏🙏
Napokea nguvu mpya katika jina la yesu Kristi
Bwana yesu naomba niwe na kiuuu ya kuomba
Mungu naomba niongezee nguvu ya kuomba
Amen! Neema niyoipata hapa iendelee kuwa na uwepo ndani mwangu.
Ameen ameeen
Amina nimejiambatanisha nimeuona munguso wa mungu
Asante sana Mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana 🙏
Mungu naomba uniongezee nguvu mpya ya kuomba,kusoma na kushinda majaribu
Amen Mungu wetu anatupatiya nguvu
Bwana yesu naomba nguvu mpyawakati wamaombi
Amen. Powerful prayers 🔥🔥🔥
👏👏👏👏
Be blessed
Mungu nipe nguvu mpya moyoni nimesinia Amen Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Ameen
Naomba mungu patient mume wangu nguvu mupyandani yke
I receive
Ameen! Napokea kwa jina la Yesu Kristo Ee BWANA YESU nisaidie 🙏
Ameen
Period yangu ilikua ajatoka miezi miwili ila jana usiku nienda kujisaidia nikaiona namshukuru mungu wa arise and shine
Amen napokea nguvu mpya ya kuomba nakusoma neno la Mungu ubarikiwe mtumishi nmepata kitu kpya🤗❤
❤
❤❤❤😂😂
Mungu
No
Ahsante mtumishi kwa maombi haya kwangu yamekuja kwa wakati muafaka Mungu akubariki sana
Ameen ameeen
MUNGU niongezee Nguvu za kueza kuomba, Nguvu yakusoma nenolako, Nguvu yakuweza kufunga Nguvu yakuweza kuyafana mapenziyako.amen
Asante mtumish wa Mungu kwa haya maombi yamenifungua Amen 🙏🙏🙏🙏
Ameen
Amen 🙏 nimepokea nguvu yakuomba na kusoma neno la MUNGU mtumishi uongezwe miaka mingi hapa duniani ubarikiwe sana mtumishi
Aminaaaaaa mtumishi wa munguakibariki kwa sala ya kutubu maana toba iimetufungua tumekuwa huru tuna nguvu ya roho wa mungu ina kuwa juu ya kila alie amini yesu kuwa mokozi wa maisha ya wanadamu mungu akubariki sanaaaaa Amina.
Ameen
Munguakubarinawemutumishiwamungu
Asante sana mtumishi wa Bwana kwa somo hili,Mungu akubariki ,hakika mie nilikuwa nimeximia moyo na kukata tamaa.kwa jina la Yesu nimerejeshewa nguvu ya maombi
Mungu niwezeshe nipate nguvu yaa maombi ni si Ombersley kawaida kwa jina la yesu amen 🙏
Ahsante sana mtumishi kwa kunizindua , Roho mtakatifu amenielekeza kukutana na wewe leo, barikiwa sana.
Amina nimebarikiwa
Amen. Nasikuzamombi nikiwa saudia Asate sana mtumi shi wamungu. Kwa maombi y'ako mm ni mukenya. Ann. lngabi. Amen 🙏🙏🙏🇰🇪
Asante Mungu kwa kunipa nguvu ndani yangu ya kuweza kuomba muda na wakati kama huu Amina🙏🏿
Mungu nisaidie
Mungu baba nakuomba ukapigane na maadui zangu uwalinde watoto wangu nibariki nipate mtoto wa kiume
Bwana yesu unipe nguvu mpa kwa huu wakati moyo.wangu umezimia bwana yesu naomba uniongezee nguvu bwana yesu ni nko hapa mwanao nipe nguvu mpya yq kuomba asnte bwanq yesu kwa maana hautaniacha
Amen Mungu anikumbuke😢😢
Naomba mungu akombane namaduizangu
Ameeen MUNGU ni kumbuke na mimi uniongezeee nguvu ni kujue zaidi na kuomba zaidi na kusoma neno zaidi MUNGU akubariki sanaa mtumishi wa MUNGU
amen
Mungu naomba unipe nguvu ya kuomba juu ya watoto wangu ameen
Amina ubarikiwe
Ameen barikiwa baba
Mungu nipe guvu mpya,imagine kila wakati na zoea kuomba,,doa inaaza kutigika...kama Sasa atuna amani,,,NAMI nakoza guvu ya maombi,,,,,niombeee am monicah
Tutakuombea dada Monica. Mungu akupe haja ya moyo wako katika jina la Yesu Kristo
Mungu wangu na akubariki sana.Nimepokea nguvu ya maombi na kusoma neno 🙏
Zidi kuomba zaid zaid hapo ujue kuna vita na adui anakurudisha nyuma ili usiombe,ss ww kazna kuomba zaid itafika wakti adui atashindwa na amani ya ndoa yko itarudi
Mungu anipe nguvu Mimi nafamilia yangu kuombea itaji yetu yasafari
Mungu baba warehema ulinde familiyanguukinge nanguvu zagiza hazina malaka utulinde mú
Amina❤
Mungu naomba unipe nguvuya maomb katika jina la yesu
Bwana Yesu naomba nguvu ya kuomba juu ya bint yangu anapitia changamoto ya kiafya
Bwana Yesu naomba unirejeshee nguvu za kuomba kuona mono yangu kama ulivyoniumba
Nijo dhaifu bwana yesu nipee nguvu mpya Sasa hivi 🙏🙏🙏
Mungu asante naomba unipe mtu sahihi wa kz dukan kwangu.
Upo wap dada
Naomba unipe nguvu mpya ya kuomba Yesu
Ameen
Amen mungu niwezeshe nipate nguvu mpya ya kufunga na kuomba
Mtumishi wa Mungu Amina 🤲🙏
Mtumishi mungu akubariki
Asante migu wangu
❤❤ameeeeen napokea nguvu mpya yakuomba
Ameen
Napokea Nguvu mpya Bwana yesu. Asante
Amina baba kwajin la yes napokea
Ameen
Ubalikiwe sana
AMINA SANA SANA MTUMISHI
NABARIKIWA SANA SANA NA MAOMBI NA NENO AMBALO BABA ANAACHILIA KUPITIA KINYWA CHAKO
Ameen ameeen ameeen
Ubarikiwe pia
Amen
🙏🙏🙏
Mungu naomba roho yakuomba juu ya watoto wangu.
Mungu nipatie nguvu ya kuweza kuomba 🙏🏼
Amen Amen Mungu ni mwaminifu.
Hakika ni mwaminifu sana
Amina
Napokea nguvu mpya katika jina la Yesu
Ameen
Asante mungu kuniludishia nguvu ya kumba
Amen napokea nguvu mpya ya kuomba
Mungu naomba niumbie moyo safi
Mungu naomba unipe nguvu za kuomba nimepoteza Eee mungu nisaidie
Ubarikiwe
Mungu niongezee nguvu yakuomba
Amen, ❤❤❤❤❤
Amen Amen Amen
Naami amen