LIVE: MAOMBI YA KUKUMBUKWA NA MUNGU // ASUBUHI YAKO YAJA
Вставка
- Опубліковано 26 вер 2023
- Zab 56:3
Siku ya hofu yangu nitakutumaini Wewe;
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Nani kama wewe muweza wa yote ee mungu funua akili yangu ipate kuelewa neno lako naiweka family yangu mikononi mwako wafunike kwa damu yako tuma malaika wa ulinzi katika jina la yesu wafiche wadogo zangu ubavuni mwako waepushe na adui shetani 🙏 god is good hallelujah
Naomba Baba unikumbuke na familia yangu usinipite Yesu kristo
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Najiunganisha na maombi pamoja na mafundisho haya Mungu unikumbumbuke maombi yangu ili cku yangu iwe kama nilivyoiombea, Asante Mungu
Mungu naomba uniongoze ktkt nyakti hiz Bwana naomba unifundishe kila SKU nikujue ww tu Bwana wastahili sifa na utukufu naomba asubuhi yangu ikawe yatofauti Yesu
Mungu wajua kuketi na kuondoka kwangu tena umelifaham wazo langu toka mwanzo🙏🏽🙏🏽🙏🏽 hakuna mwingine zaidi yako. Hakuna wa kulingana nawe🙏🏽🙏🏽 Matendo yako kwangu ya ajabu sana. Amen
Ameen mtumishi asb yangu inakuja
Amina na mim naomba Mungu anapo gusa wengini aniguse anijibu maombi yangu Amina
Eeeh Bwana tafadhali naomba uyakumbuke maombi yangu na unikumbuke mimi na familia yetu katika jina la Yesu Amen
Asante Mungu Kwa siku hii ya 27 ni Kwa Neema tuu Asante Yesu
Amen, sitabaki kama nilivyo bali nitavushwa na kuketishwa pamoja na wakuu. Asubuhi yangu yaja, tena haitakawia, no matter what, Ninavukaaa, Amen
🎉amen kwa jina lako Mungu napokea asubui yaja napokea Amani ,Baraka,Upendo asubui ikawe ya tofauti akika wewe ni Mungu muweza wa vyote peke ako wa stahili Matendo yako ni ya ajabu❤ Futa machozi yangu 😢 akuna mwingine wewe Mungu wa wastahili nijibu aja ya moyo wangu Mungu wangu
Mwenyezi Mungu naomba unisaidie nivuke hapa nione asubuhi yangu
Mungu tuteteye mungu wangu kwajili yadosier yetu yasafari shetani ameinuka sana kuziwa ila ninahimani mungu wangu utatutendea Mimi nafamilia yangu kwajili yasafari yetu
Napokea kufunguliwa mimi na familia yangu na kupata ulinzi wa Mungu katika jina la Yesu
Mimi nitasimama katika zamu yangu kwa uwezo wa Mungu katika jina la Yesu nipate kujjibiwa haja ya moyo wangu
❤❤ Asanteeee Muñgu Baba wa Mbinguni kutuamsha salaama najiungamsnisha katika mazabahu hii Mimi na familia yangu popote walipo Ñaamin Muñgu unawaona na omna ulinzi wako Ubarikiwe mtumishi wa Muñgu
Bwana naombq unifungue kimwili na kiroho,ufungue familia yang ,ndoto zang, kwa jina la Yesu kristo amina
Najiunganisha nami kwenye maombi haya kufunguliwa familia yangu uchumi wangu watoto wangu
Amen hakika nmepokea Kwa damu ya Yesu asubuhi yangu inakuja hakika najiungamanisha na hii madhabahu usiku huu amen 🙏🙏🙏
Ubarikiwe nabarikiwa Sana na maombi yako Muñgu awe nawe daima akulinde akuponye na kila kitu asanteeee Yesu
Najiunganisha na ibada hii mafundisho na maombi asubuhi hii ya Leo, nikabarikiwe ma Mungu akanitoe katika magumu ninayoyapitia na madeni niliyonayo, na changamoto nyingi ninazozipitia na watoto wangu. Kuna changamoto zinajirudia nashindwa kupiga hatua, naomba mungu akanione asubuhi ya Leo na kuniondolea magumu ninayopitia, nakataa magonjwa na mauti zote katika maisha yangu na watoto wangu, Amen
Asubuhi hii iwe ya mafanikiwe kiuchumi komboa faamilia yangu amina
Amen wewe Ni mungu mweza yote baba rejesha vyote adui alibeba.najiunganisha na madhabahu haya amen
MUNGU. Najiunganisha Mimi Na Mamaangu Monica Bibi yangu baba naomba ukanene juu yao ukapite Kwenye Miyoyo yao uwaponye baba ugojwa unao wasumbua. Nijibu na Mimi ombi langu baba naomba mwanaume sahihi kwenye Maisha yangu baba😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ninajiunganisha na maombi haya nikafunguliwe mimina familia yangu amina pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina mwanangu Lillian apate mume sahihi pia uchumi
My morning is coming 🙌 Amen Amen Umri umeenda lakini Mungu tu Ndie anapeana baraka Thank you God 😊 🙏
Kwa Mungu hakuna umri mkubwa mkumbuke Ibrahim na sara
nakufata vizurisana bwana yesu akulinde kwenye mazabahu ili upate kutupatiya neno lakutujenga ili tupate kubadirika katika maisha yetu
Asante sana Mungu kwa imani na uvumilivu, najua asubuhi yangu inakuja, Amen
Najiunganisha na madhabahu .Damu ya Yesu ikanene juu ya watoto wangu,ndoa yangu na familia yangu.Naunganisha mtoto wa kwanza Evans ambaye ameingilia ulevi na madhabahu. damu ya Yesu ikamnenee
mungu nataka niaze na wew kila unaponipa pumzi lako oh bwana tends ajambo baba
Asante Mungu kwa siku hii yaleo kunijalia uzima na afya mimi ja familia yangu
Ameeni najiungamisha na maombi haya ya asubuhi naomba mungu ukanitowe katika vita yesu ukanipitishe kwenye magumu katika jina layesu
Mungu nakushukuru kwa uzima huu nilionao, ingawa napitia kwenye changamoto nyingi lakini najua nitashinda tu
Nimeguswa sana na masomo Yako naomba mungu anisaidie katika mahali nilipo
Bwana yesu asifiwe mutumishi wamungu naomba uniombee nafika mailing nakatatamaa sijuu kwanini nakatama
Amen amen amen,my morning is coming in Jesus name 🙏🏽
Naomba kuwa pamonja namungu nisiondoke Kwake,naakuwe pamonja nami mungu nisaindie
Asante Mungu kwa asubuhi yangu yaja yenye Baraka🙏🙏🙏
Najiungamanisha na Madhabahu hii, Ee Mungu ukayajue Maombi yangu yapokee na kuniponya , namkaribisha uwepo wa Roho Mtakatifu mahali hapa ,
Amen Mungu usinipite namie uniguse kupitia mazabao hii nione muujiza baba yangu
Pokea. Maombiii yangu baba. Umrii unaenda. Baba. Nahitaji kuwa na family. Kuwa. Na Mwenza wangu. Tuzae watoto 🙏🙏🙏
My morning is coming. In Jesus name 🙏🙏🙌
Amen amen my morning is coming in the name of Jesus Christ
My morning is coming in Jesus name Amen 🤲🤲🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Aijalishi nayapitia mangapi namini asubui yangu yaja eeh mungu usinipiti natembea na hi neno asubui yaja Amen😭😭🙏
Asante mtumishi wa mungu mahubiri yangu yanazidi kuinua imani yangu sikatii tamaa kamwe hata km napitia kwrnye magumu naaminimungu hataniacha Ubarikiwe
EE mungu wangu inua Imani yangu nikujue zaidi, niondolee aibu na fedhea iliyoko mbele yangu
Cku ya Leo ikawe ya baraka na mafanikio katika maisha yangu.muujiza mkubwa unitokee Leo hii katika jina la yesu
@Baba .Mungu unapowadhuru wengine Yesu wangu Naomba usinipite Naomba unitete .,
Najiunganish na madhabahu hi maombi yangu yakakumbukwe na hasubuhi yangu ifike kwa jina la yesu kristo
Baba Mungu nyoosha mkono wako unifute machozi ,nakuombaaaaà
Najiungamanisha Mungu na maombi niwezeshe kuzishinda dhambi.
Najiungamanisha na madhabahu hii Asante Yesu kristo
Najiunganisha na mafundisho na maombi ya asubuhi hii ya leo.mungu Niko pamoja na wewe Kwa Kila hatua.mungu niponye nifungue sikia kilio changu.mungu nisaidie
Naomba nijue maombi iletayo mtabibu nifundishe mtumishi wa Mungu.najiunga leo
My morning is coming i believe my father ❤❤
Najiugamanisha maombi asubuhi hii naomba mungu unisaidie niweze kukujua neno lako na nimalize siku hii ya Leo salama asante mungu Kwa kunifikisha mm na watoto wangu na family yangu asante mungu Kwa Neema yako 🤲🙏🙏🙏🙏🙏
N@jiunganisha na maombi pamoja na mafundisho mungu kumbuka maombi Yang
Eee, Mungu wa Mazabao ya SIRI ZA BIBLIA naomba uniokowe unitowe katika mateso
Nko ndan ya madhabahu mm na familia YANGU in JESUS MIGHT NAME
Na muonba mungu usiku muchana akainikoboe nadamu iliyo mwangika musalabani hakumwangika bure pale msalambani ili kutusafisha Dhabi zetu amen
Namshuru sana Mungu Kwa namna anavyokuongoza na jinsi anavyozudi kujinua juu yetu maana hata sasa anatenda kwetu aminaa
Amina MUNGU anapobariki wengine NAMI anikumbuke awabariki pia nanyi nyote umu ndani Asante pasta innocent.mimi ni mgeni odi umu ndani
Naomba tumwombee mwanangu uponyaji anaenda hospitali leo kutibiwa BWANA YESU AMPONYE
Ombea mzee wangu abadilike akue mkristo kamili
Najiunganisha na. Maombi haya Pamoja na mafundisho Haya MUNGU ukanikumbuke na mimi. Asubhi hii ya Leo naomba ukanijibu na maombi yangu were Bwana 🙏🙏
Hakika hufananishwi na chochote BWANA. 🙋🙋🙋🙋Utabaki kuwa Mungu Maishani Mwangu. 🙌🙌🙌.
Najiungamisha na madhabahu ya siri za bibLia Mkono wa Mungu na damu ya yesu ikanibariki katika kazi yang niweze kuongezewa mshhara,familia yang ikawe na furha wazazi wang awajalie afya njema na upendo utamalaki kweny maisha yao ,wadog zangu shulen wawe vichwa wasiwe mkia mpenz wang mungu amjlie katika biashara zake amuongezeh kipato zaid ya kile anachopata sasa mwenyez mungu aniponyee ugonjwa unaonisumbua kwan unanikosesha @mani Eee mungu kanijalie ,kanibariki kabla ya Mwaka huu kuisha 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Amen
Asubuhi yangu inakuja ,my morning is coming in name of Jesus 🙏🙏Amen🙌🙌🙏🙏🙏
Kila kitu kigumuvktkt maisha yangu Asubuhi Yangu inakuja Asante Mungu asubuhi Yangu inakuja
Najiunganisha na mathabau ya mungu mimi na watoto wangu wote mungu tusaidie pamoja na kakangu
Najifungamanisha na maombihaya eemungu ukayasikie maombiyangu nisaidie mungu
Amina mtumishi wa mungu naomba mungu akaingilie katika magumu ninayopitia
Baba iyi mafundisho ni yangu naomba munisaidiye sana na maobi yenu aksanti bwana yesu asifiwe
Najiunganisha kwenye maombi yangu ya Leo naomba mwanangu Lillian apate mume sahihi pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina
Ubarikwe mtumishi wa Mungu naendelea kukutumani Mungu Wangu
Asante mungu kwa kunifungua katika kifungo kwa naiona nuru kwenye giza nene
Najiungamanisha na maombi haya damu ya yesu inifunike na baraka zake zinimminikie
Nikumbukea hasubuh ya Leo kweny maisha yangu na biashara yangu
Asante mungu asubuhi yangu yaja yenye balaka amen
Naomba mungu anikumbuke mm na familia yangu
Nashukuru sana kwakujifuz mtumishi niombee namm naitaji Mungu akah kwenye maisha yangu
Najiugamaisha na MAOMBI pamoja na mafundisho haya MUNGU
My Morning is coming in Jesus amen.
Amen Mungu nikumbuke mimi nauzaowatumbo langu watoto wangu wapata wabwana wapate mandowa kwadamu yesu wapate visa sa Canada na esthere apate cotrat yafasianafanyiya kazii Tunaitajimusaada yamaombi Mungu a bariki kazi yamikono yangu
My morning is coming. Asante yesu
Mungu akubariki mtumishi unanena niliyopitia kweli yesu ndio njia pekee
Napokea asubuhi yangu iliyo njema kwa jina la Yesu Kristo
Naamini asubuhi yangu yaja yenye neema na baraka tele, Amen 🙏
Naomba kibali Cha kazi Cha uzao wangu mungu nikubuke kila aibu basi mungu niogoze wewe mungu wangu nikunuke siku ya leo
Amen najiugamanisha mm na watoto wangu kwa damu yayesu kristo wanazareti alie hai MUNGU nikubuke na mm na familia yangu kupitia huduma ya leo Aminaaaaa
Mungu anatenda
Najiungamanisha Baba usininipite unapozuru ŵengine ktk family uchumi nakukujua zaidi ndio kiu yangu kuu
Yesu nisahidiye miminauzao watumbolangu yesu wangu patiya watoto mandowa wapemavisa y’a Canada naesther visa y’a ubeljiji nakuomba yesu tusaidiye saidiauzaowatumbo langu
Najiungamanisha na Maombi haya asubuhi hii🙏
Najiunganisha na maombi haya mafundisho haya mungu akumbuke maombi yangu ili asubuhi hii ikawe na utukufu wa mungu naelekea kwenye biashara yangu na mengine yote afungue
Thanks Jesus am keep holding and waiting for my morning 🙏🙏
Asade...mutu..wa.mungu..tunashukuru kwakutuombea..nakujuwaumri..wangu..lakini.asubuhi.yangu.inakuja..nàupokea.huo.mujija..
Kùpiti damu.ya yesu...ninapokea...saaaaaaaanahuo..muujiza. 45:06 45:08 45:08
Ee Mwenyezi Mungu nikumbuke na Mimi niweze kupata ndoa nipate mwenza wa maisha
Nimtumainia yeye na zidi kusema asante yesu kwayote amina
Mungu,anitangulie iliniweze kupata fungu ilinitoe niweze kufunguliwa maana mangumu nimengi sana ili niziweze kuokolewa mawimbi ninayomengi sana asante yesu
Amen 🙏 naamin asubh yangu inakuja 🙌
Nakushukuru mungu wangu kila tuamkapo bwana unatupa nguvu mpya na kutupa mafundisho mazuri ya kututia nguvu tuamkapo
Naunganisha biashara yangu asubh hii ya leo nakukabidhi baba naomba uridhi wako kwajili ya kunipatia wateja baba 🙏🙏naomba. Kibali chako chakukutanishwa na watu sahihi