Kutoka UMASKINI wa kutupwa hadi kumiliki KAMPUNI kubwa ya FURNITURE, UPVC Windows, hii itakushangaza
Вставка
- Опубліковано 10 чер 2023
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Sns unachonifuraishaga uwa hukataz watu Ku mention redio station or taasisi unazo shindana nazo katika digital platform very professional Una kitu utafika mbali
Kitu nilichokipenda kwa huyu kaka .anashukurani sana.imagine watu waliomsaidia anawataja na majina na kuwashukuru kabisa.means anawakumbuka mno
Kumwangalia tu huyu kaka yuko humble ❤
Kabisa..very humble
Wajomba wanatubebaga sana kwa kweli
Huyu mkaka nimempenda kila kitu tuna shukuru Mungu
So touched
Very humble guy,Mungu akufanikishe zaidi, SNS you are the best👍siku moja na mimi nitahojiwa hapa
Honger kwa hatua bila kukata tamaa, honger kwa kuwa na ndg shangaz mamndg na mjomb wenye mioyo mizur, hata kama hawana kit ila wanakupa moyo na muongozo mzuri wengn hao watu mioy yao mibaya, mtt wa ndg yao lkn utataeswa mpk uhisi dunia hiafai, matusi na masimango yanayokatisha tamaa. Pongezi nying san ziende kwa hao ndugu zako kuna namna wamekutia moyo, wamekushika mkono na hawakuwa na kinyongo. Mama ni shujaa siku zote❤. Unaonekana haukuwa kijana mhuni mtukutu, yaan nidhamu pia inaweza kuwa ni njia ya mafanikio kama hamna nidham huwez pata watu sahihi ktk safari ya mafanikio vijana mchukue hiyo. Sio mnalia pesa hamna mmekaa tu pesa inatafutwa kwa nidhamu na uchapakazi na kutaka kujua vitu mbalimbali kutokuwa muoga wa kujifunza na kuthubutu.
Mungu ni mwema,kijana wa mwaka 1992 kupitia mambo mengi kiasi hiki ni upambanaj,tupo na vijana wa miaka ya 80 lkn bado wanaishi kwao..hongera sana kaka John
Duh 80 haiwzekan
@@MrNdanguza huamini au?? Kuna wa 77 bado anakaa kwa mamake..na kuna wa 79 bado anategemea wazaz..
@@masalakulwa7601 umenichekesha maisha haya sio poaaa
@@MrNdanguza unashangaa wa 80 😂😂kuna wa 70 wanaishi kwao maisha haya
Aise nimeipenda sn hiyo Mungu azidi kufungua milangi yako ya baraka na ulinzi wa damu ya Yesu Kristo ukawe juu yako 😍❤️ Ameen i love you so much
Afike mbali zaidi. Ana roho yake huyu ndugu
An Amazing story indeed...Yaani imebidi niwa Follow hawa.
Good Job SNS.
Love from 🇨🇦
Waooo hongera sana HC nitakutafuta nikimaliza ujenzi unitengenezee madirisha na milango soon inshallah tena ni huko huko kigamboni 🤝👏 Sky business diary hivi ndivyo tunaomba kiwe mtu akiongelea biashara yake na pia tuone kama hivi tunapata hamasa zaidi thanks a lot Sky umekipatia your the best 👍👌❤
From rugs to Riches; HONGERA SANA.
Big up Kijana John, na SNS 👏🏽 👏🏽 👏🏽 👏🏽
Love from Toronto 🇨🇦
waana s.n.s wa Congo mtie like zenu hapa 🇨🇩🇨🇩
Nakushukur bro umenitoa mbali ipo sku mwenyez mung atakulpa asant kak ....nakuaid stokuangusha daima katka fani uliyonipa bure bila chochote ninachokulpa 🙏🙏 na bado unanilpa dah ...one day yes kaka...Hanscana ..#Jeshi
Hongera sana! John na timu yako HC! Ni kwel umepambana sana kuwa hapo ulipo ni matokeo ya kutenda wema Kwa watu,tunazidi kukuombea ufike mbali na mafanikio zaidi!
nakumbuka 2021 nilikuwa na maonesho Maeneo ya kibada,nikafika ofisini kwako kukuomba sample za madirisha,bila Hata ya kunifahamu vzr... ulinipa zile sample zilinisaidia sana kwenye yale maonesho.
Hivyo Ulitatua shida yangu bila Hata kuomba malipo yeyote... Aisee ubarikiwe sana!
Dah Sns big up sana vipindi vizuri vinatufunza brother SKY GOD bless you
Siku moja na mimi nikutafute sky. Nahisi nina jambo ya kushare katika platform yako.. Kazi nzuri sana na MUNGU akubariki zaidi wengi tupite katika njia hizi.
Mtuache tu tuwazidishie mapenzi mama zetu maana na mimi ni mwanaume ila wengi wetu tunafeli sana sana kwenye masuala yakuwa present kwenye maisha ya watoto wetu.
Mashaallah tunashukuru sky moja ya interview kali ya mwaka na kweli vijana wanakuaga ubinafsi sanaa kwenye kumuelekeza mwenzio kwenye suala la kujifunza hawakubali kumuelekeza mtu
I usually don't watch such long interviews, buy this one Is worth it. the guy is so inspiring. hongera sana brother John. uta fika mbali sana given even his attitude toward life.
Me too but this one loh! God is good.
Tunataka vitu kama hivi sky, hii ni kizazi sana. Good job bro.
Napenda Sana interview za aina hii, SNS is the best above all online media.
💯%
He s so humble.god bless you brother
Jaman UA-cam naomben muongeze Mara za Kulike zifike hata 100....! Nimependa mnoo hii interview! So many things to learn here.. Asante mnoo Kaka mtangazaji kwa kurusha hii interview.. Asante kwa kukutana na huyu Kaka Kwa Ajili yetu.. Thank you so much Kaka
Kinacho fanya Nisitkate taama ni kwamba hakuna alie lala na akaamka ni Tajili kila mafanikio yana processes zake maumivu ,uvumilivu ,discipline
Yes
Leo imenibidi nicomment tena, John nimesikiliza interview nyingi ila ya kwako iko real sana, kila kitu kina ukweli ndani yake,Mungu wa mbinguni atakufikisha mbali sana. Hata mimi nitakupa kazi.
Mimi binafsi nimependa historia yake inakupa motisha yakufanya kazi bila kukata tamaa
Mwenyezi Mungu humpa mtu kwa jitihada zake. Mwenyezi Mungu akujaalie zaidi sana sana.
Maisha bhana ni experience tu na uthubutu na kuheshimu pesa unayoipata..bro alikuwa na 5m na akalala chini..kujifunza kila ukionacho ,kujaribu vitu tofauti..na hakuna mafanikio bila kupita humo..asante bro John .
The boy is wiser
Kuhusu imani kwa kweli una imani sana, nimelichukua hilo kutoka kwako.
You really lion on the jungle salute. You really admire every younger listening your story l love can't stop to watch you .
Very humble man🤌🏾 Mwenyezi Mungu azidi kumzidishia kwa kweli🙏
Wenye story tuko weng congrats bro god bless you
Tuwasiliane Dayana. info@snstz.com
Huyu kaka yupo humble sana, ndio maana anafanikiwa
Hongera sn John hakika Mungu ni muaminifu sn.
Uyu mkaka ajui kulalamika najifunza kitu kwako🥰🥰🥰🥰
Hongera sana dogo Yesu azidi kukuinua❤
Wa kwanza leo likes zangu pls
HONGERA SANA BIG BRO BADO TUKO NYUMA YAKO TUNAPUSH HC IFIKE MBALI ZAID YA HAPA 🙏🙏
Very inspiration big up young man for your success
my best motivation speaker Joel Nanauka ❤❤❤ thanks so much bro kwaku tuamasisha jisi yaku tafuta hela 🙏 sio kila kazi niakuzarau.
Well done John. You are blessed 🙌 😇. Congratulations 🎊 👏 💐
Hongera sana. Mama yupo? Mungu ni mwema sana . Kama yupo mtunze sana sana.
Uyu jama ni master mind
Kuna wadogo zangu ambao tuko nao hapa tunasaidiana. Huyu jamaa ana upendo sana
Real definition of a fighter🫡
Very nice story, Mdogo wangu unajituma sana, Mungu amekuweka no kukufikisha hapo usiache kumwabudu na kimsifu yeye pekee.
Hongera Mr John ninandoto kama yako na nishaanza kumchukua hatua but bado Niko local Sana ninahitaji kuendelea kujifunza kutoka kwako SNS naomba connection na John
Real inspirational journey iko hapa 🎉 Big up sana John
THE POWER OF DECISION MAKING
Yuko very humble na pia anaonekana ana hofu ya Mungu
Ndio nina Hofu ya Mungu nashukuru 🙏
Hongera sana John Mfinanga. Humble background. Keep Up The Good Work
Obrigado 🙏pela Educação 🇲🇿
Kila kitu kinawezekana vijana wenzangu msione aibu kuanza kukimbiza ndoto zetu. kuwaza watu watasemaje watu watanionaje haitotusaidia kufikia malengo yetu amka sasa pambana
Point
VERY SMART JOHN..I FEEL GRATEFUL
Mstarabu kwa bravo umejipata
Kazi nzuri sana.Hiyo bidii ya utafutaji ni funzo kwangu,nimeipenda.Kukata tamaa katika utafutaji hakutakiwi.
Everything is possible under the sun,noted bro...congratulations John umejua kuni ispire to the highest level
Kazi nzuri sana,,,! Mungu akubariki John
Hongera sana bro. Hakika Mungu hamtupi mja wake. Kwa maelezo yako tunajifunza kutokukata tamaa kwa namna yoyote ile.
I will come and look for young man, very inspiring story.
Hongera Sana Kaka naomba na me unifundishe
Nimefurahi kuona unafata ushauri wangu juu ya kuonyesha vitu na mazingira ya watu unaowaoji ili kuinspire Vijana kwa kuona kuliko kusikia story zao tu.nimefurahi kwa ilo.
Watu wanakuwa wanataman kuona unajo kioji na ofisi za watu ktk hichi kipindi.ongera Sana
Hongera sana John. Na kwa hili utafika mbali sana. Ila nakuomba umsamehe Baba yako mzazi kwa kua na wewe ni mwanaume na hujui kilimkuta nini mpaka akawa haeleweki na alikua mfanyabiashara mkubwa kama ulivyotangulia kusema. So na wewe pia huwezi kua na uhakika utakutana na yapi. Nimekupenda sana na naomba tu usimkumbuke tena Mkuu kwa kumlaumu kwani Mungu alivyotuambia tumheshimu Bb na Mm tupate miaka mingi na heri Duniani hakusema kama asipokulea au akiwa mlevi. Alisema tu WAHESHIMU akaondoka bila ufafanuzi.
Safi sana kijana,Mungu akuwezeshe zaidi
Hongera Sana. Hii inahuisha mioyo ya watu wengi hasa wanaojitafuta. Mungu aendelee kukuinua na kupitia hii interview vijana wengi wakajipate
Congratulations John,napenda kujifunza sana.upendo kutoka Kenya🙏
Sns katika vipidi vyako hivyi ndio vipindi bora zaidi tena kwa vijaana sio utatafuta vipindi vya udaku. Hapa ukidikiliza hata Mb zkiisha uumii. Tafuta vijana kma hawa please 🙏 . Nipo 🇬🇧 but nimependa sanaaaaaaaaaa .
Mwenyezi Mungu azidi kukupigania ufike mbali sana.
John: ustaarabu, kumtegemea Mungu, kushukuru kwa kila jambo, hana wivu, mavazi na nywele style ya kistaarabu.
Story ina uhalisia sana sanaaaaaa, Mungu aendelee kumbariki yeye na nyie sns mpate watu wenye uhalisia zaidi kama huyu
I bless God for you John.
Nyc coverage Sky (sns).❤❤❤
Jamaa kataja namshukuru Mungu kwakaribu kila sentences, and i like it so much. Let praise the almighty y'all.
Sky tunajifunza mengiii sana100🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Very humble broo keep it up john
Hongera sana broo Mungu ni mwema kila wakati Ameen
very inspirational ,,keep it up,,one day even me i will testify✊🤝
Mungu azidi kukubariki kaka unajielewa sana tena sana kwani sio rahisi unajituma
Safi sana milango makabati sh ngapi
Kaka unani inspire sana Mungu aendelee kukusimamia
Very inspiring 👏🏼 👏🏼👏🏼
THE POWER OF STARTING SMALL BUT AIMING HIGH
Legend joel nanauka forever ❤
Woow, very humble man
Hongera sana bro. Mungu azidi kukubariki
thankx somuch
Nice interview
Nimepata moyo
Hongera kaka wewe ni shujaa😍😍
Mahojiano ni mazuri sana lakini mwandishi kuna vitu unapaswa kuvifanya haswa unapomfanya mahojiano na mtu. Natumai kuna maswali ya msingi ili kuendelea kuijenga taaluma yako ya uandishi.
Vyema litambulike neno "umasikini wa kutupwa"
Likishadadavuliwa neno hilo ndio tunaweza kupata tafsiri kamili ya mahojiano haya.
Huyu dogo ni mpambanaji na si kwamba alikuwa maskini wa kutupwa kwasababu alikuwa na mdhamini ambaye ni mama mdogo ukilinganisha na wale ambao walisaidiwa na watubaki.
Mahojiano ni mazuri sana yanavutia lakini ni aibu kutumia neno "nilikuwa masikini wa kutupwa" au aidha anaendelea kujitangaza kibiashara.
Kiufupi ni mpambanaji na hongera kwake.
Sasa wataka aseme alikua tajiri... unaona tunapomkosea MUNGU...kama huna kuwa muwazi kbsa ndo MUNGU atakupambania mwamba
Hapo kwenye sijawai kuwa na kwetu mwanangu kama Mimi vile💪💪
Very inspirational....bdw kaka mzuri hatari
Hongera sana john🎉🎉🎉🎉
Very intelligent kaka
Thanks alot aim feel greatfuly one day I will reach my goals
Hongera sana! 🙌🏾
Bravo Mr. John
Hongera sana Kwa kazi nzuri.Mungu akubariki yeremia33.3
Wafinanga oyeeeeee.Hongera sana kijana
Hongera mdogo wangu mola akubariki
Good Man
Mungu akuimarishe John