HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD...
#THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD
#CREDITS: Wode Maya
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Wezi wengi asaiv
Naombea watu wafanikiwe Ila nikimuona mtu mwenye Ngozi kama yangu amefanikiwa huwa namuunga mkono na kumuomba Mungu amzidishie Maana rangi nyingine wanaombeana saana na wanasaidiana
Umenena vyema
Ɛ
Ɛ
Acha uwongo😊
Naombaa uniombee sana sana nifanikiwe
Fikira fupi
Siku moja lazima na Mimi nifanikiwe💪...we need more of this constructive documentaries!
Sijawahi tamani cha M2 lakin leo nimetamani maisha ya HAM,Mungu nipe na Mimi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Allahumma aamin
Makala kama hizi ni nzuri sana zinatuongezea juhudi ya kupambana asante sana
Nimependa unavyo Ainisha mambo,
_mana unaamsha hisia zilizopo ndani yangu_
*Kikubwa ni kufanya kazi kwa malengo na kuwa wabunifu*❤
Yaarb mie alien shinda maisha ni yule mwenye Mwisho MWEMA binadamu wote tuko sawa Masha'Allahah tumshukuru Muumba wa Mbingu na Ardh vitu hutafutwa na kwa muda mrefu na huweza kupotea ndan ya Dakika anae toa hai kwenye maut na anae toa maut kwenye hai n Muumba wa Mbigu na Ardh hapo ndo utajua binadam wote tuko sawa chochote hutokea muda wowote
I lov u muslim❤
@@AhmedAli-uh2ft Alhamdullah kwa Neema ya kua Waislamu
Maashalaah uko sahihiii
@@husseinmtima6106 Allah atuepushe chochote kile ambacho utanunua kwa pesa bas hyo kitu siyo ghali ni rahis matajir wangekua tofaut na sisi tunao kula viazi mbona afya hawanunui au uhai waendelee ku enjoy Allah awatangulie wote wanao pesa ni kila kitu
Mimi najiuliza maana naona hapa mnanyongo kidgo na uyu bwana khamis. Mbona waarabu Wana utajiri mkubwa mno na mambo mengi wanafanya kutoa kama hamisi lkn .HAMUWAHUSISHI NA USHIRIKINA LKN KWA HAMIS TU. OH KAMA NI KWELI CYO USHIRIKINA AENDELEE YOTE YANINI JMN. AYO NI MAMBO YAKE NA MUNGU NA CYO WANADAMU JMN.KHAAAA
Maa shaa Allah Nimejifunza Kutoa ndo kila kitu
Mungu ambariki na sisi atupe tutoe tuwasaidie wanyonge
Mwenyezi Mungu akulinde kakangu , kuwa Na Moyo wakusaidia ❤🇰🇪🇰🇪
Jamani saidieni maskini, wagonjwa na wasiojiweza. Hivi vyote vya nini na chumba cha kulala ni kimoja unahitaji, choo moja, kiko moja, huko watoto hawana mashule, madeski, visutubu, madawa, and the list goes on on on.
BIG UP KWAKE KWAKE MUNGU HAMTUPI MJA WAKE
"HARD WORK PAYS"
Mmmmmmh,kifo ni kibaya,maisha ni mafupi,mambo km haya Mungu angetupa kuishi miaka Mia 900 km akina IBRAHIMU
🤣🤣
Nakupenda Sana na sauti yako mzuri tunaweza sote
Hongera sana brother Khamis...Ikiwa na mm pia niko napambana kupata riziki nami nitafikia huko tu inshaAllah. Eeee mungu nijaalie nitimize ndoto zangu.
Inshaallah ❤️ from MALAWI
Global TV , Mr.Amin Ligonde nakubali sana sauti yako ina vidokezo vizuri aseee ,, nafuatilia sana makala unazotangaza
Dalili 1 kuuubwa sana ya kuwa ww ni maskini na utakufa maskini...ni kuchukia mafanikio ya mwenzio ukishajijua roho iyo unayo, ndugu. ww mpaka unakufa ...ukiambulia ni IST tena ya kununua mkononi ilotumika, 100%
Duuuh!!!!!
😂😂😂😂
AMEE AMEE , INSHALLAH , ONE DAY YES
Wewe huwezi kutoboa kwasababu huwa unamfira baba ako na unamtomba mama ako
Mungu amzidishie Umrii mrefu afya njema
Natamani mungu anipe hata billion 1🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🏻
Binadamu wote Sawa kabisa, utofauti wa maisha unatokana materials gani you have induced in your brain!
Mungu mwenyewe hadi akunyoshee mkono
Kama n utajiri wakutoka kwa Mungu hongera kwake. Ila kama n wakishetani apambane tu maana dunian tunapita😂😂
Me nimeiona makala hii kwnye page ya Wode Maya, kabla hahaha, asante wa uhariri mzuri, tunajiifunza kitu
Ni sawa nakushangaa utajiri wa RIDHIWANI KIKWETE
Huyo sio tajiri Ni fisadi, Siasa ikibadilika tu fukara!
Congratulations amis 💪
Mashalah,,mungu ambariki zaidi,,na sisi pia atubariki zaidi
Sema msimuliaji anavijembe,,! Ila big up bro umenipatia moyo wa kuendelea kupambana
Nispolike Kwa ujumbe huuu Ntakuwa na Asili ya kichawi😄
😂😂😂😂
😅😅😅😊
Harafu wala hana chawa kumbe kuna watu wana ishia na kuishia 👏🙌😃🏃
Hawa ndio matajir sio wale wanajionesha
@@malak-lz6kxTanzania mtu ana hela ya kula anaitwa tajiri sasa hata maana ya tajiri inakosewa adabu
@@fahadfaraj6474Hahahaha "hata maana ya Tajiri inakosewa adabu"
@@mwaramimwarami1479 upuuzi sana yani leo kuna watu wanaonekana wanahela kumbe dah nahisi kina bakharesa Hua wanacheka sana
Mtangazaji ni mtu wa mtwara au lindi
Masha Allah
Msimuliaji unajua kuturusha roho na kutusimanga...daah🤣🤣ooiiii weee.... iko siku ntakuwa tajiri tuu...
Yaaani 😂😂😂😂
We mtangazaji bora sana ❤🎉
Mafanikio Yana siri kubwa
Eeeeee, mungu nikumbuke NISAMEHE kwakutamani, naomba nipe na Mimi ili nisiendelee kukukosea kwakutamani amina
Ongera Sana mdogoangu kwa mafanikio
kapewa umepewa, period
Credit kwa @WODE MAYA
Nami nimemuona
muwe mna acknowledge source,mnapo copy content..........!!
Inshaallah nasie ipo siku tutatoka
Hata Tanzania wapo wenye hela Zaid ya mo lakin hawajioneshi
Hapa tanzania wengi wao wanautajiri wa mafisadi
Pesa sio utajiri, mfumo wa kukupeleka kwenye utajiri unapowekeza mashamba majumba viwanda nk ndo utajiri!
Wode Maya njoo uchukue pesa zako uku 😂😂 home sweet home masaka uganda
Alaali asooke akomewo e Masaka😀
Jamaa anayesumbuliwa yuko vizuri
Umenipa moyo broo kupanba one day yes
Sasa mtu kasoma kaboja international school hiyo sini IST ya TANZANIA PALE MASAKI......afu useme kalelewa kawaida....kaboja sio ya mchezooo....huyu wakishua kitambo tu.
Dah...
Hongereni @global ila kama hajawaambia kuwa ni mwaajirwa wa mama janet museveni mmhoji tena
Nimecheka eti nguo zinatundikwa kwenyekamba kama zikobuchani😂😂😂😂😂
Mashallah
Hatar sana sijui niandike nn
Nimempenda mtangazaji bwana weew.....
Anatangaza vizuri mno
Ngoja na mm nipambane one day nami watu wasimuliwe makubwa yangu!!
Mwijaku Soma Hiyo, 'Hapa Ni Wapi' 😁.
Asa huyo si Kigundu. Ni Mzee wa Baraka!
Kibongo bongo
Safi tatizo la matajiri wa bongo wamekaa kujificha na kukimbilia biashara za watu wa chini kuuza juice mandazi wanashindwa kujenga maeneo makubwa na kuyabadilisha
Gold from Congo
Acheni uongo mabigwa wa kujifariji et mungu atanisaidia kama huyu mshkaji uongo mafanikio hayaji hiv lazima uumie dingii
❤❤❤❤❤❤
Kwa utafiti wangu mdogo hawa jamaa wanaozaliwa tarehe 1, 10, 19, 28 wengi ni matajiri sijui kwann? Mfano Bill gate 28, Elon musk 10, Aliko Dangote 10, Jack Ma 10 nk na huyu pia tarehe 10
6:25 mungu tupe na sisi
Leyo niwakwanza naomba nauwa yenu jamaa nimwamba tena mwamba wadhahabu jamani tutafute hela maisha mazuri yapo Africa jamani hamshtuki manyanghau yanatoka kwao maskini wakija Africa wanaondoka wakiwa nimatajiri hamshtuki hem zindukeni
Siku na angalia kwenye maya channel liwaza sana ,Toka magethoni,
Dooh Jamaa Kachafuka Kwa Mtonyo Kinomaaa Ana Mkwanja Mrefu Sana
Mali za MUSEVENI asiwadanganye
@@edwardmkwelele nawewe kamuombe mseveni
@@edwardmkweleletafuta Hela acha kujidanganya😂😂😂
Huyu aliyeturoga kuwa ati binaadamu wote sawa ni mwalimu 😅😅😅
Jamaa upo vzuri Kwa kusimulia
Binadamu ni sawa kimaumbile sio Kwa kipato usipotoshe watu
Diamond haiingii kabsa bado mtoto kwa ham
Acha kufananisha watu kapuku na wenye fedha zao😅😅😅
😂😂😂 Bro amejenga uwanja wa dola million 89 kawapa serikali bure unaitwa nakivubo war memorial stadium
Sio Diamond waungane na wasanii unaowataka wa hapa bongo hawaingii hapo
Yani global tv mnamtegea wode maya?
Ana hela sawa na Dr Dre duh
toeni credit kwa channel ya WODE MAYA kwakutumia video clips zake, anaweza kuwa report video ikashushwa brother
Jmn na mm nijengee nyumb yakawida tuu wakae wazaziwangu
Sema ww huna pesa ila kuna watu wanazo pesa
Ila kwenye utajiri kuna siri kubwa sana,
Ni kweli ila usifocus humo , focus kwa kujituma ufikie mbali
Mbona huwazi kwenye umasikini kuna siri kubwa sana?
Siri kubwa ni nidhamu ya pesa na watu waliokuzunguka, yaani watu wako ni wa ainga gani...? basi umemaliza ...
Utajiri mwingine ni wa masharti mengi,si mmejionea wengi wanaua albino ili watumie viungo vyake kupata utajiri? ndo maana nilisema kwenye Utajiri kuna siri nzito ingawa si kwa wote
Fanya research Kwanza, usiaminishwe tu kuwa kila tajiri anatoa kafara utakufa masikini !
USAWA WA BINADAM UNAKAMILIKA KWENYE KIFO TU ILA MAISHA YA DUNIANI HATUWEZ KUWA SAWA ILA HATA UMILIKI KILA KITU DUNIANI LAKN UKIFA HUNA TOFAUT NA MWINGINE🙏
Kuijenga saikolojia juu ya mafanikio pia ni muhimu
Mawazo ya masikini
😢😢😢😢
Basi atatokea mtu atakwambia DIAMOND wa Tz yupo juu kuliko yeye. 😂
Mh kujibanza stoo
Mwamba huyu apa hamisi kigundu
Wacha sisi tuwsindikize
Mtangazaji katisha
Mpeni credit Wode Maya@Wode Maya
And they present it kama vile yao🤣
Wauni hawa
HUYU NARRATOR AMENIKOSHA
Narrator muongo
global toeni huyu mtangazaji
Amini LIKONDE mghana Mayer anakutafuta huku
Mwamba kajipata haswaaaaaaa
Kwanza kashaoa tuanzie hapo mtangazaji afu mbele ntakuomba unipatie namba zake tuu...mengine niachie mwenyewe🤣🤣🤣🤣
😂 😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri kiukweli
@@rezegerezege691eenhe.. yani anipe namba tuuu...ntamalizana nae mwenyewe🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 unataka kutuletea shemeji
@@costantineenock5323 we kwani hutaki kuwa na shemeji tajiri...Acha tuchangamkie fursa🤣🤣
Yani we acha uyu jamaaa mala nyingi nikienda Uganda lzma nione mijengo yake kila kona
Nampa mauwa yake
Mwambie Godlove wa TKTOK aje aone
Copyright infringers, @wodemaya
Mtangazaji unazinguaa xaaana Yan tunakusikiliza alaf unatuponda we viii ww hujui ss ndo wateja wako ww type content sio mipashoo
Anatia hasira ya kupambana Wala hapondi😂😂
8:50 🥴🥴
Ndomana vidole vya mikono havilingani
Hawa ndio wale kina hushpappi na waganda wengi ni matapeli wa mitandaoni
Jipe moyo kila utajiri mtu kapata kwa utapeli
Duuuuuuu
Wengine bongo Apo wanajita matajiri kina Godlove wanacheza na kujipakazia utajiri 😂😂😂
😅😅😅😅😅
Mapambano hayana mwisho
Mtangazaji mbona😂😂😂😂
Kaka moo ana dollar billion 2.3
Muombee saana azid kufanikiwa
Nope! ni $ 1.5 billion
Mo ana Dollar billion 1.5