HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD...
    #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD
    #CREDITS: Wode Maya
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 201

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +14

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому +66

    Naombea watu wafanikiwe Ila nikimuona mtu mwenye Ngozi kama yangu amefanikiwa huwa namuunga mkono na kumuomba Mungu amzidishie Maana rangi nyingine wanaombeana saana na wanasaidiana

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 Рік тому +29

    Siku moja lazima na Mimi nifanikiwe💪...we need more of this constructive documentaries!

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 Рік тому +26

    Sijawahi tamani cha M2 lakin leo nimetamani maisha ya HAM,Mungu nipe na Mimi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan7660 Рік тому +15

    Makala kama hizi ni nzuri sana zinatuongezea juhudi ya kupambana asante sana

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 Рік тому +13

    Nimependa unavyo Ainisha mambo,
    _mana unaamsha hisia zilizopo ndani yangu_
    *Kikubwa ni kufanya kazi kwa malengo na kuwa wabunifu*❤

  • @NasmaSultani
    @NasmaSultani Рік тому +22

    Yaarb mie alien shinda maisha ni yule mwenye Mwisho MWEMA binadamu wote tuko sawa Masha'Allahah tumshukuru Muumba wa Mbingu na Ardh vitu hutafutwa na kwa muda mrefu na huweza kupotea ndan ya Dakika anae toa hai kwenye maut na anae toa maut kwenye hai n Muumba wa Mbigu na Ardh hapo ndo utajua binadam wote tuko sawa chochote hutokea muda wowote

    • @AhmedAli-uh2ft
      @AhmedAli-uh2ft Рік тому +1

      I lov u muslim❤

    • @NasmaSultani
      @NasmaSultani Рік тому +1

      @@AhmedAli-uh2ft Alhamdullah kwa Neema ya kua Waislamu

    • @husseinmtima6106
      @husseinmtima6106 Рік тому

      Maashalaah uko sahihiii

    • @NasmaSultani
      @NasmaSultani Рік тому

      @@husseinmtima6106 Allah atuepushe chochote kile ambacho utanunua kwa pesa bas hyo kitu siyo ghali ni rahis matajir wangekua tofaut na sisi tunao kula viazi mbona afya hawanunui au uhai waendelee ku enjoy Allah awatangulie wote wanao pesa ni kila kitu

    • @kaluluu2011
      @kaluluu2011 Рік тому

      Mimi najiuliza maana naona hapa mnanyongo kidgo na uyu bwana khamis. Mbona waarabu Wana utajiri mkubwa mno na mambo mengi wanafanya kutoa kama hamisi lkn .HAMUWAHUSISHI NA USHIRIKINA LKN KWA HAMIS TU. OH KAMA NI KWELI CYO USHIRIKINA AENDELEE YOTE YANINI JMN. AYO NI MAMBO YAKE NA MUNGU NA CYO WANADAMU JMN.KHAAAA

  • @baaomaryismail3113
    @baaomaryismail3113 Рік тому +11

    Maa shaa Allah Nimejifunza Kutoa ndo kila kitu

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 Місяць тому +1

    Mungu ambariki na sisi atupe tutoe tuwasaidie wanyonge

  • @jacklinemueni1336
    @jacklinemueni1336 Рік тому +6

    Mwenyezi Mungu akulinde kakangu , kuwa Na Moyo wakusaidia ❤🇰🇪🇰🇪

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Рік тому +2

    Jamani saidieni maskini, wagonjwa na wasiojiweza. Hivi vyote vya nini na chumba cha kulala ni kimoja unahitaji, choo moja, kiko moja, huko watoto hawana mashule, madeski, visutubu, madawa, and the list goes on on on.

  • @daudifungo5521
    @daudifungo5521 Рік тому +8

    BIG UP KWAKE KWAKE MUNGU HAMTUPI MJA WAKE
    "HARD WORK PAYS"

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Рік тому +4

    Mmmmmmh,kifo ni kibaya,maisha ni mafupi,mambo km haya Mungu angetupa kuishi miaka Mia 900 km akina IBRAHIMU

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 Рік тому +7

    Nakupenda Sana na sauti yako mzuri tunaweza sote

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Рік тому +2

    Hongera sana brother Khamis...Ikiwa na mm pia niko napambana kupata riziki nami nitafikia huko tu inshaAllah. Eeee mungu nijaalie nitimize ndoto zangu.

  • @pyeremsafiri
    @pyeremsafiri 6 місяців тому

    Global TV , Mr.Amin Ligonde nakubali sana sauti yako ina vidokezo vizuri aseee ,, nafuatilia sana makala unazotangaza

  • @geofreyg.mtensa4559
    @geofreyg.mtensa4559 Рік тому +10

    Dalili 1 kuuubwa sana ya kuwa ww ni maskini na utakufa maskini...ni kuchukia mafanikio ya mwenzio ukishajijua roho iyo unayo, ndugu. ww mpaka unakufa ...ukiambulia ni IST tena ya kununua mkononi ilotumika, 100%

  • @tonykidimwastv5608
    @tonykidimwastv5608 Рік тому +1

    AMEE AMEE , INSHALLAH , ONE DAY YES

    • @nurunswebe4203
      @nurunswebe4203 11 місяців тому

      Wewe huwezi kutoboa kwasababu huwa unamfira baba ako na unamtomba mama ako

  • @khamissaid5525
    @khamissaid5525 8 місяців тому +1

    Mungu amzidishie Umrii mrefu afya njema

  • @RonnyReena-z2e
    @RonnyReena-z2e 8 місяців тому +3

    Natamani mungu anipe hata billion 1🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🏻

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 7 місяців тому

    Binadamu wote Sawa kabisa, utofauti wa maisha unatokana materials gani you have induced in your brain!

  • @SwaiSaid-ho1rs
    @SwaiSaid-ho1rs Рік тому +1

    Mungu mwenyewe hadi akunyoshee mkono

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz7071 Рік тому +7

    Kama n utajiri wakutoka kwa Mungu hongera kwake. Ila kama n wakishetani apambane tu maana dunian tunapita😂😂

  • @nguddajrjoseph1197
    @nguddajrjoseph1197 3 місяці тому

    Me nimeiona makala hii kwnye page ya Wode Maya, kabla hahaha, asante wa uhariri mzuri, tunajiifunza kitu

  • @marcksonmleka4908
    @marcksonmleka4908 Рік тому +2

    Ni sawa nakushangaa utajiri wa RIDHIWANI KIKWETE

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 7 місяців тому

      Huyo sio tajiri Ni fisadi, Siasa ikibadilika tu fukara!

  • @kwizeralajoie3619
    @kwizeralajoie3619 Рік тому +6

    Congratulations amis 💪

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Рік тому +2

    Mashalah,,mungu ambariki zaidi,,na sisi pia atubariki zaidi

  • @frankangira7909
    @frankangira7909 7 місяців тому

    Sema msimuliaji anavijembe,,! Ila big up bro umenipatia moyo wa kuendelea kupambana

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Рік тому +10

    Nispolike Kwa ujumbe huuu Ntakuwa na Asili ya kichawi😄

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Рік тому +5

    Harafu wala hana chawa kumbe kuna watu wana ishia na kuishia 👏🙌😃🏃

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Рік тому

      Hawa ndio matajir sio wale wanajionesha

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому +1

      ​@@malak-lz6kxTanzania mtu ana hela ya kula anaitwa tajiri sasa hata maana ya tajiri inakosewa adabu

    • @mwaramimwarami1479
      @mwaramimwarami1479 Рік тому

      ​@@fahadfaraj6474Hahahaha "hata maana ya Tajiri inakosewa adabu"

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому +1

      @@mwaramimwarami1479 upuuzi sana yani leo kuna watu wanaonekana wanahela kumbe dah nahisi kina bakharesa Hua wanacheka sana

    • @joshuakusena707
      @joshuakusena707 Рік тому

      Mtangazaji ni mtu wa mtwara au lindi

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 Рік тому +1

    Masha Allah

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh568 Рік тому +6

    Msimuliaji unajua kuturusha roho na kutusimanga...daah🤣🤣ooiiii weee.... iko siku ntakuwa tajiri tuu...

  • @J_Pabloescobar0806
    @J_Pabloescobar0806 9 місяців тому

    We mtangazaji bora sana ❤🎉

  • @jhecfoundationtanzania2891
    @jhecfoundationtanzania2891 Рік тому +6

    Mafanikio Yana siri kubwa

  • @ElishaMwashiuya-rz4dn
    @ElishaMwashiuya-rz4dn Рік тому

    Eeeeee, mungu nikumbuke NISAMEHE kwakutamani, naomba nipe na Mimi ili nisiendelee kukukosea kwakutamani amina

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Рік тому +1

    Ongera Sana mdogoangu kwa mafanikio

  • @nellyhortensia2407
    @nellyhortensia2407 Рік тому +1

    kapewa umepewa, period

  • @deogratiussangawe5861
    @deogratiussangawe5861 Рік тому +5

    Credit kwa @WODE MAYA

  • @samweljamez7779
    @samweljamez7779 Рік тому +3

    muwe mna acknowledge source,mnapo copy content..........!!

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 7 місяців тому

    Inshaallah nasie ipo siku tutatoka

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 Рік тому +5

    Hata Tanzania wapo wenye hela Zaid ya mo lakin hawajioneshi

    • @saidsalum6101
      @saidsalum6101 Рік тому

      Hapa tanzania wengi wao wanautajiri wa mafisadi

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 7 місяців тому +1

      Pesa sio utajiri, mfumo wa kukupeleka kwenye utajiri unapowekeza mashamba majumba viwanda nk ndo utajiri!

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Рік тому +3

    Wode Maya njoo uchukue pesa zako uku 😂😂 home sweet home masaka uganda

    • @jaysonbosco
      @jaysonbosco Рік тому

      Alaali asooke akomewo e Masaka😀

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 Рік тому

    Jamaa anayesumbuliwa yuko vizuri

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 7 місяців тому

    Umenipa moyo broo kupanba one day yes

  • @Sage-o4q
    @Sage-o4q Рік тому +2

    Sasa mtu kasoma kaboja international school hiyo sini IST ya TANZANIA PALE MASAKI......afu useme kalelewa kawaida....kaboja sio ya mchezooo....huyu wakishua kitambo tu.

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 Рік тому

    Dah...

  • @OJAMBO
    @OJAMBO 7 місяців тому

    Hongereni @global ila kama hajawaambia kuwa ni mwaajirwa wa mama janet museveni mmhoji tena

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Рік тому +3

    Nimecheka eti nguo zinatundikwa kwenyekamba kama zikobuchani😂😂😂😂😂

  • @king-size8114
    @king-size8114 Рік тому

    Mashallah

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz Рік тому +1

    Hatar sana sijui niandike nn

  • @allyhamic1255
    @allyhamic1255 Рік тому +1

    Nimempenda mtangazaji bwana weew.....

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 Рік тому

    Ngoja na mm nipambane one day nami watu wasimuliwe makubwa yangu!!

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Рік тому +4

    Mwijaku Soma Hiyo, 'Hapa Ni Wapi' 😁.

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Рік тому +1

    Asa huyo si Kigundu. Ni Mzee wa Baraka!

  • @nelsonchristian1555
    @nelsonchristian1555 Рік тому +1

    Kibongo bongo

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Рік тому

    Safi tatizo la matajiri wa bongo wamekaa kujificha na kukimbilia biashara za watu wa chini kuuza juice mandazi wanashindwa kujenga maeneo makubwa na kuyabadilisha

  • @desmond-87
    @desmond-87 Рік тому

    Gold from Congo

  • @SospitaKabaka
    @SospitaKabaka 7 місяців тому

    Acheni uongo mabigwa wa kujifariji et mungu atanisaidia kama huyu mshkaji uongo mafanikio hayaji hiv lazima uumie dingii

  • @HunguZambia
    @HunguZambia 8 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 7 місяців тому

    Kwa utafiti wangu mdogo hawa jamaa wanaozaliwa tarehe 1, 10, 19, 28 wengi ni matajiri sijui kwann? Mfano Bill gate 28, Elon musk 10, Aliko Dangote 10, Jack Ma 10 nk na huyu pia tarehe 10

  • @RonnyReena-z2e
    @RonnyReena-z2e 8 місяців тому

    6:25 mungu tupe na sisi

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Рік тому +1

    Leyo niwakwanza naomba nauwa yenu jamaa nimwamba tena mwamba wadhahabu jamani tutafute hela maisha mazuri yapo Africa jamani hamshtuki manyanghau yanatoka kwao maskini wakija Africa wanaondoka wakiwa nimatajiri hamshtuki hem zindukeni

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Рік тому

    Siku na angalia kwenye maya channel liwaza sana ,Toka magethoni,

  • @KhadijaAliMohd-rn6mn
    @KhadijaAliMohd-rn6mn Рік тому +2

    Dooh Jamaa Kachafuka Kwa Mtonyo Kinomaaa Ana Mkwanja Mrefu Sana

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 Рік тому +4

    Huyu aliyeturoga kuwa ati binaadamu wote sawa ni mwalimu 😅😅😅

  • @SalimaJuma-tx8fv
    @SalimaJuma-tx8fv Рік тому

    Jamaa upo vzuri Kwa kusimulia

  • @SophiaKassim-pn9wb
    @SophiaKassim-pn9wb 4 місяці тому

    Binadamu ni sawa kimaumbile sio Kwa kipato usipotoshe watu

  • @saidanassoro7885
    @saidanassoro7885 Рік тому +5

    Diamond haiingii kabsa bado mtoto kwa ham

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Рік тому

      Acha kufananisha watu kapuku na wenye fedha zao😅😅😅

    • @fraitmgala5966
      @fraitmgala5966 Рік тому +1

      😂😂😂 Bro amejenga uwanja wa dola million 89 kawapa serikali bure unaitwa nakivubo war memorial stadium

    • @shaffihsiraji3141
      @shaffihsiraji3141 Рік тому

      Sio Diamond waungane na wasanii unaowataka wa hapa bongo hawaingii hapo

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Рік тому

    Yani global tv mnamtegea wode maya?

  • @RichardMbwelwa-xk3tm
    @RichardMbwelwa-xk3tm Рік тому

    Ana hela sawa na Dr Dre duh

  • @ShawnBeatz
    @ShawnBeatz Рік тому

    toeni credit kwa channel ya WODE MAYA kwakutumia video clips zake, anaweza kuwa report video ikashushwa brother

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan 5 місяців тому

    Jmn na mm nijengee nyumb yakawida tuu wakae wazaziwangu

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Рік тому +3

    Sema ww huna pesa ila kuna watu wanazo pesa

  • @emmanueljoseph6171
    @emmanueljoseph6171 Рік тому +3

    Ila kwenye utajiri kuna siri kubwa sana,

    • @afyabora3207
      @afyabora3207 Рік тому +3

      Ni kweli ila usifocus humo , focus kwa kujituma ufikie mbali

    • @jumannenyabuge83
      @jumannenyabuge83 Рік тому

      Mbona huwazi kwenye umasikini kuna siri kubwa sana?

    • @geofreyg.mtensa4559
      @geofreyg.mtensa4559 Рік тому +2

      Siri kubwa ni nidhamu ya pesa na watu waliokuzunguka, yaani watu wako ni wa ainga gani...? basi umemaliza ...

    • @emmanueljoseph6171
      @emmanueljoseph6171 Рік тому

      Utajiri mwingine ni wa masharti mengi,si mmejionea wengi wanaua albino ili watumie viungo vyake kupata utajiri? ndo maana nilisema kwenye Utajiri kuna siri nzito ingawa si kwa wote

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 7 місяців тому

      Fanya research Kwanza, usiaminishwe tu kuwa kila tajiri anatoa kafara utakufa masikini !

  • @donkaloza6985
    @donkaloza6985 Рік тому +2

    USAWA WA BINADAM UNAKAMILIKA KWENYE KIFO TU ILA MAISHA YA DUNIANI HATUWEZ KUWA SAWA ILA HATA UMILIKI KILA KITU DUNIANI LAKN UKIFA HUNA TOFAUT NA MWINGINE🙏

  • @VailetyJoelly
    @VailetyJoelly 7 місяців тому

    😢😢😢😢

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 25 днів тому

    Basi atatokea mtu atakwambia DIAMOND wa Tz yupo juu kuliko yeye. 😂

  • @jafarimussa3694
    @jafarimussa3694 7 місяців тому

    Mh kujibanza stoo

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Рік тому +1

    Mwamba huyu apa hamisi kigundu

  • @AkibuMzamilu
    @AkibuMzamilu 16 днів тому

    Wacha sisi tuwsindikize

  • @adammodesto6626
    @adammodesto6626 Рік тому

    Mtangazaji katisha

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Рік тому +2

    Mpeni credit Wode Maya@Wode Maya

  • @petzoojac8683
    @petzoojac8683 Рік тому +3

    HUYU NARRATOR AMENIKOSHA

  • @topnotchtz8086
    @topnotchtz8086 Рік тому +2

    global toeni huyu mtangazaji

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Рік тому

    Amini LIKONDE mghana Mayer anakutafuta huku

  • @ThomasEmmanuel-lm3uh
    @ThomasEmmanuel-lm3uh Рік тому

    Mwamba kajipata haswaaaaaaa

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh568 Рік тому +2

    Kwanza kashaoa tuanzie hapo mtangazaji afu mbele ntakuomba unipatie namba zake tuu...mengine niachie mwenyewe🤣🤣🤣🤣

    • @rezegerezege691
      @rezegerezege691 Рік тому

      😂 😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri kiukweli

    • @bayernsulesh568
      @bayernsulesh568 Рік тому

      @@rezegerezege691eenhe.. yani anipe namba tuuu...ntamalizana nae mwenyewe🤣🤣🤣🤣

    • @costantineenock5323
      @costantineenock5323 Рік тому

      😂😂😂😂 unataka kutuletea shemeji

    • @bayernsulesh568
      @bayernsulesh568 Рік тому

      @@costantineenock5323 we kwani hutaki kuwa na shemeji tajiri...Acha tuchangamkie fursa🤣🤣

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 7 місяців тому

    Yani we acha uyu jamaaa mala nyingi nikienda Uganda lzma nione mijengo yake kila kona

  • @shabanilugi5858
    @shabanilugi5858 Рік тому +1

    Nampa mauwa yake

  • @charlesyapuka4992
    @charlesyapuka4992 Рік тому +1

    Mwambie Godlove wa TKTOK aje aone

  • @shadiidinyo1657
    @shadiidinyo1657 Рік тому +2

    Copyright infringers, @wodemaya

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Рік тому +3

    Mtangazaji unazinguaa xaaana Yan tunakusikiliza alaf unatuponda we viii ww hujui ss ndo wateja wako ww type content sio mipashoo

    • @EsupatLaiser
      @EsupatLaiser 3 місяці тому

      Anatia hasira ya kupambana Wala hapondi😂😂

  • @AthumanSembua
    @AthumanSembua 7 місяців тому

    8:50 🥴🥴

  • @aimtongazakayo7906
    @aimtongazakayo7906 Рік тому

    Ndomana vidole vya mikono havilingani

  • @tinomangi6487
    @tinomangi6487 Рік тому +1

    Hawa ndio wale kina hushpappi na waganda wengi ni matapeli wa mitandaoni

    • @MuviisTV
      @MuviisTV Рік тому

      Jipe moyo kila utajiri mtu kapata kwa utapeli

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Рік тому +2

    Duuuuuuu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Wengine bongo Apo wanajita matajiri kina Godlove wanacheza na kujipakazia utajiri 😂😂😂

  • @fraitmgala5966
    @fraitmgala5966 Рік тому +1

    Mapambano hayana mwisho

  • @aimtongazakayo7906
    @aimtongazakayo7906 Рік тому

    Mtangazaji mbona😂😂😂😂

  • @gachalovetz260
    @gachalovetz260 Рік тому +4

    Kaka moo ana dollar billion 2.3