Ufugaji wa nguruwe kisasa.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 бер 2023
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our UA-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

КОМЕНТАРІ • 52

  • @ANTONIMAMSERI-jm1he
    @ANTONIMAMSERI-jm1he 2 місяці тому +6

    Nilikuwa najizuiq kucomment lakini nimeshindwa naomba niwaonyeshe tofauti ya marketing kutoka kwa masai modern farm owner na anayezungumza kutoka virutubisho vya kauda MARKETING its something else🎉🎉🎉🎉

  • @rozkiwale912
    @rozkiwale912 28 днів тому

    Hongera sana Masai kwa somo zuri kweli nimenufaika ubarikiwe sana sana

  • @GeorgeBwogi-ni2hd
    @GeorgeBwogi-ni2hd 2 місяці тому

    Tafadhali naomba kupewa namna ya kufika ktk shamba lenu kuona kazi nzuri mnayoifanya ili na mimi nikaanzishe ufugaji huko kwetu.
    Mungu aibariki sana hii kazi.

  • @sammngi
    @sammngi 2 місяці тому

    Asante kwa kipindi kizuri..nimegielimisha kweli..pokea salamu tuko Kenya

  • @antonioarmandoantonio6229
    @antonioarmandoantonio6229 Місяць тому

    Gostei muito, a vossa criação.

  • @felisternicholaus3281
    @felisternicholaus3281 26 днів тому

    Ubarikiwe sana

  • @user-if8uh3cp8s
    @user-if8uh3cp8s Місяць тому

    Kazi nzur

  • @sammyBSM2144
    @sammyBSM2144 Рік тому

    Asante sana ITV nmejifunza mengi

  • @rosemasashua4158
    @rosemasashua4158 9 місяців тому

    Wow Amazing

  • @jobkuloba4940
    @jobkuloba4940 11 місяців тому

    Kazi nzuri kaka niko kenya, niko njiani naomba kupata ngurue hati kenya.

  • @wambomatilda
    @wambomatilda Рік тому

    thanks for sharing

  • @leonardkipronongeywo3117
    @leonardkipronongeywo3117 Рік тому +4

    Niko Kenya nakutazama, Mimi pia ni Mkulima mdogo wa ngurruwe

    • @jonanderson4280
      @jonanderson4280 9 місяців тому +1

      Nguruwe (au wanyama wowote) hawalimwi, ila wanafugwa. Kwa hiyo wewe ni mfugaji na si mkulima.

    • @mutalemwabugeza1489
      @mutalemwabugeza1489 6 місяців тому +1

      Hahaha hapo ni lugha gongana. Wao Kenya wanasemaga mkulima wa nguruwe

  • @VeredianaKasaya-tn2ke
    @VeredianaKasaya-tn2ke 3 місяці тому

    Nimependa

  • @nyamachabobalange-yn5ho
    @nyamachabobalange-yn5ho 2 місяці тому

    Ndugu mfugaji,naomba kuuliza kuusu chakula cha nguruwe,,

  • @kennethmahenge7719
    @kennethmahenge7719 3 місяці тому +1

    nipo mbeya mnanisaidiaje kupata elimu zaid

  • @user-gu8fo6cv9z
    @user-gu8fo6cv9z 4 місяці тому

    Mtangazaji jaman, wacha aelezee

  • @leahmsangula3345
    @leahmsangula3345 10 місяців тому +1

    Mje Tanga pia

  • @DoreenChristopher-ro4vw
    @DoreenChristopher-ro4vw 27 днів тому

    😂😂😂😂ety nguruwe anavifaranga😂😂😂😂

  • @leahmsangula3345
    @leahmsangula3345 10 місяців тому

    Nimekukubali

  • @claudjohn
    @claudjohn Місяць тому

    Namba kuuliza kama unaanza kufuga NGURUWE unatakiwa uwe na badget ya shingapo

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa7838 Місяць тому

    TUNDUMA

  • @olivieriranzi6629
    @olivieriranzi6629 Рік тому

    Mufungue branch Burundi. Tunaitaji chakura bola cha mifugo

  • @user-go5gg4qc3v
    @user-go5gg4qc3v 9 місяців тому +1

    kufuga mifugo ni furusa

  • @jerrymcbride2230
    @jerrymcbride2230 Рік тому

    Mnauza wenye mimba?cross ,,am from Kenya!

  • @priscusleodegardsambonanga6167
    @priscusleodegardsambonanga6167 7 місяців тому

    Utuwezeshe kupata pure breed ili tufanye uzalishaji

  • @user-bg3jj5nw1b
    @user-bg3jj5nw1b Місяць тому

    Weka namba ya sm ili tuweze kupata elimu zaidi

  • @user-fq2zr9lf1j
    @user-fq2zr9lf1j 11 місяців тому

    Natamani kujua bei jamani

  • @joycemabena9981
    @joycemabena9981 5 місяців тому

    tunaomba .namba zenu

  • @priscusleodegardsambonanga6167
    @priscusleodegardsambonanga6167 7 місяців тому

    Je nikitumia cayodice nitaweka madini mengine?

  • @sammyBSM2144
    @sammyBSM2144 Рік тому +2

    Kuhusu mtaji wakuanzia Tumetishwa sana yani 5m haitoshi na hata ukiwa na 10m uwe tayari umeshaweka miundombinu yote imekamilika kwa mfano mabanda,maji na vitu vingine muhimu... daaah ufugaji tena kwasisi vijana tusio na mtaji mkubwa ni mgumu sana

    • @kibaniosilaa436
      @kibaniosilaa436 6 місяців тому

      Achana nae huyu anataka awe peke yake mchoyo huyu

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 Місяць тому

      Usikate tamaa unaweza Jenga banda la kawaida nakununua vitoto viwili tu nakuanza ufugaji utaboresha ukianza kuuza

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 28 днів тому

      Fanya unachokiweza mkuu, sio lazima uige kunya kwa tembo

    • @annajohn3377
      @annajohn3377 6 днів тому

      Mtangazaji unamkatisha malezo

  • @ExaudMwemutsi-fz1qv
    @ExaudMwemutsi-fz1qv Рік тому

    Vipi Mbeya tunawapataje?

  • @FidelisMalile-zq1kj
    @FidelisMalile-zq1kj Рік тому

    Je kitoto Cha nguruwe ni Bei gani

  • @user-fq2zr9lf1j
    @user-fq2zr9lf1j 11 місяців тому

    Bei zikoje vitoto

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 9 місяців тому

    Huyu masai ataki mfuge😂 aiwezekan anakatisha tamaa hivi yaan M 5 anasema km mtaji mdogo atukushauli ufuge mh

  • @josephdeogratius3616
    @josephdeogratius3616 4 місяці тому

    Huyu mtangazaji anarukaruka maswali

  • @kelvinshirima8847
    @kelvinshirima8847 Рік тому

    Mna patikana wap mim na fuga hawa wakawaida hawa tembei kabsaa awo juro beigani miezi miwili

  • @aminswai8165
    @aminswai8165 Рік тому +1

    Naomba mfungue branch musoma tupate chakula na mbegu hizo

    • @philipphanuel9558
      @philipphanuel9558 Рік тому

      Huyu jamaa hajui kujieleza. Sijui anatuficha Nini hata afunguki

    • @adriankibona1994
      @adriankibona1994 5 місяців тому

      Mnaweza kumpelekea TRA maana tz shida nyingi. Mtangazaji ni kama hajui anachotaka

    • @annajohn3377
      @annajohn3377 6 днів тому

      Kazi hii alikua anaiweza lupaya

  • @emmansabu9300
    @emmansabu9300 4 місяці тому

    Interviewer is boooooring
    Si utulie tusikilizeee 😡
    Watangazaji wa certificate hawa 😏

  • @alphoncelondo6586
    @alphoncelondo6586 Рік тому

    Hi bro. Masai bei ya kutokana na Aina ya nguruwe ni SHS. Ngapi Kwa nguruwe mmoja

  • @diclarekimaro1525
    @diclarekimaro1525 11 місяців тому

    Naomba kuuliza kuna sababu gani ya kuwa puguza mikia ikawa midogo hivyo?

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 28 днів тому

      Wakue haraka mkuu, ni kama unavyomnyonyoa kuku manyoya.

  • @emmanuelngonela7909
    @emmanuelngonela7909 Рік тому

    Nimefurahishwa sana na kipindi hiki,naomba kujua kinarushwa siku gani na saa ngapi?

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa6515 3 місяці тому

    Naomba no ya grp la wasap