UMEME WA HAJA NDOGO (MKOJO) / UNAWASHA TAA NA KUCHAJI SIMU | MSWAHILI
Вставка
- Опубліковано 26 лют 2023
- UMEME WA HAJA NDOGO (MKOJO) / UNAWASHA TAA NA KUCHAJI SIMU | MSWAHILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Safi sana kipaji kiendelezwe nakuombea mafanikio mwanangu big up
Geneous
Tunashukuru kwakipindiki hiki nimpongeze kijana mwenzangu kwaubunifu wake Ila tupo vijana wengi tunafanya ubunifu wenye tija kwa Taifa lakini hatuonekani
Huo wivu sasa
Ila maneno mengi mno dogo
Nlijua AC kumbe DC kazi rahis kwa mafundi wenzio
Anaitaji kujifunza amejitaidi Sana kuficha ukweli ok acha tusimwalibie ni time yake
Jamaa muongeaji sana
Noumaaa saàna 💯🔥 umetisha saàna
ubunifu sio siasa kijana maneno mengii uhalisia ziro
uongo mwingi ktk ubunifu wko tokalini kisakiti kizalishe umeme kwenye hilo bomba umeweka betrindogo za redio kama tulivo wekaga zamani chooni tukapata umeme
Tushushe tumefika uongo mwingii
Jamaaa, mkweli sana Kasema kasoro refrigerator tu
Waafrika wana taaluma lakini hawapati ufadhilii kutoka kwa serikali zetu. Laiti serikali zetu zingeweka maanani kutunza taaluma hizi ili kuinua uchumi na kuendeleza hali za maisha ya wenyeji. Lakini serikali zetu zinakosa nia za kuendeleza nchi ila tu kujifaidi wenyewe.
Daah
#MSWAHILI Hii angekuwepo mswahili halisi Zembwela hapo kwenye MIC
Unatumia misumari migumu sana kupitiaha umeme
Anahitajika kusoma ili ajue kanuni ili ielewele.
Wow hii nzuri
Nmh mbona mbona
PONGEZI....SANA .NA ANGALIA SANA ,WALE WENYE WIVU ,WASIKUKATISHE NDOTO YAKO....
Cha Abu utacjia amekamatwa na kuhojiwa bdara ya kuendelezwa na kupewa nguvu na selikali
Electrolysis hiyo, mkojo ni electrolyte .....ila ameenda beyond, gud job 🤝
Hongera kijana usiwajali wanaokubeza
Aise naona ingemua mm ntaanzisha huduma ya haja ndogo Tena barabarani ili nupaye lita kwa wingi afuu aanzishe kugawa umeme. 😀😀😀😀
Nchi zingine huyu Mara moja hupelekwa veta na kifaa chake kuboreshwa Kwa jina lake na kuuzwa Kwa bei nafuu
Harafu anaongea sana huyu jamaa na maneno mengi pointless anaboa wasikilizaji
Huna unachojua zaidi ya lawama, hebu tuonyeshe haraka hicho unachojua au ukichobuni wewe., Kwani huyu kijana kaja na kitu adimu na wenye mahitaji huko kusiko umeme wanahitaji maelezo fasaha.
Haaaaaa ni zaidi ya mswaili misifa😛😛😣
Hanaongea sana haereweki
Dipent volt,ndio nini
Nahisha kumwanga mikojo yangu tena😂😂😂😂
Viongoz tunaomba mumuengezè nguvu huyu dogo maana ni lulu kwetu
Mkojo huo haunuki jamani
So what kama unanuka? Kwani wewe ukikojoa huwa unahisije! Yaani akili kubwa inawaza mambo makubwa, ndogo inawaza harufu ya mkojo.
🎉
Duh jama anakipaji lakini mimi najiuliza kama mkojo unatowa umeme wakuchaji sim kama angekuwa anatumia mavi sindio angewashia mtaa mzima😄