Huyu mzee kaongee Bonge la point tena ya kiusalama ,, Unaenda china kukopa pesa , halafu wanatengeneza midoli 😢 mfanya biashara anatoa Usd 100,000 anapeleka china kupakia midoli , cash flow ya nchi inapungua … na inarudi kwao kwa kununua mdoli ambao mwezi mmoja umechakaa ,, shida ningekuwa raisi
Mheshimiwa Mzee Kishimba. Data za India zinazo itwa GENERIC MEDICINE IN ya kiwango ya juu. Serekali India 🇮🇳 imeruhusu viwanda ndogo zaidi ya kumi elfu au 10,000 Zina zo zalisha hapo. Bei ni aslimiya kumi tu ya thamani . Make in India 🇮🇳 ni mradi ulio anzishwa na PM NARENDRA MODI. TU FUATILIYE GENERIC MEDICINE FROM INDIA.
Mwigulu hata akiwa na PhD lakini akinaja kwenye kiutendaji unaweza kushangaa hizo PhD alizipataje. Hawo wanabiashara tele kwa njia kwahiyo watanganyika wafanyabiashara hawa wakina Mwigulu hawataki watanganyika wengine wasifanye biashara ili watakapo acha ubunge waendelee kuwatawala kiutumwa milele na watoto wao.
Toka nchi hii ipate uhuru sidhani kama tushawahi kupata waziri wa fedha kilaza kama huyu wa sasahivi,anawaminya wananchi kwa kuongeza kodi na tozo halafu anaenda kununua magari ya serikali ya kifahari😢😢,na sasa anakuja na fine ya Mill 15 kwa kutotoa receipt 😢, Umeongeza mabus yako ya ester na unanunua team za mpira kila kukucha kwa pesa za tozo, halafu ulivyokua wa ajabu sasa ukapandisha na nauli ya mabus bila ya sababu za Msingi 😢
Huyu kishimba serikali ingekuwa inapokea ushauri wake,Kuna mambo mengi yangebadilika.Hongera sana mheshimiwa akiri kubwa sana!!
Mzee kishimba anafaa kuwa waziri hata WA fedha
Huyu jamaaa anafikiria nje ya box akiwa ndani ya box
Nakupenda sana kishimba yani huwa unaongea point
Kuna mjinga anache kisenge kweli ,Mzee yupo sahihi sana shida hawajui watu wa chini wanavyoishi
Kishimba ni mbunge anamaona ya mbali sana
Kishimba akichangia mimi nataka spika Dk. Tulia awepo iliakimaliza mchango wake amtunuku huyu ni profesa Kishimba!
Safi sana.
Very intelligent God bless u
Huyu mzee kaongee Bonge la point tena ya kiusalama ,, Unaenda china kukopa pesa , halafu wanatengeneza midoli 😢 mfanya biashara anatoa Usd 100,000 anapeleka china kupakia midoli , cash flow ya nchi inapungua … na inarudi kwao kwa kununua mdoli ambao mwezi mmoja umechakaa ,, shida ningekuwa raisi
Acha tuisome namba kwa pamoja
Safi sana Mzee ushauri mzuri
Watakubania weeeee lakin ipo siku utakuwa waziri tuuu maana unamaono ya mbali
Mbunqe kishimba n Zaid ya wabunqe wasomi ata 10
Mh.Kshimba unaakli nyngi sana.
Uwa nakukubari sana profesa kishimba
Hayo CCM hawajui kuwa kuna maisha magumu mzee na watakupeleka kwenye maadili shauli yako
Kweli kabisa, serikali irudishe matumizi ya chloroquine. Hii mseto haiko that effective
Pole sana mbunge wa CCM , CCM ndo yako
Hizo ndiyo akili za mtu mzima anaejielewa
Kishimba Akili kubwa🔥🔥🔥🔥
Huyu mbunge achaguliwe tena na wananchi wake.
Mheshimiwa Mzee Kishimba.
Data za India zinazo itwa GENERIC MEDICINE IN ya kiwango ya juu. Serekali India 🇮🇳 imeruhusu viwanda ndogo zaidi ya kumi elfu au 10,000 Zina zo zalisha hapo. Bei ni aslimiya kumi tu ya thamani . Make in India 🇮🇳 ni mradi ulio anzishwa na PM NARENDRA MODI.
TU FUATILIYE GENERIC MEDICINE FROM INDIA.
Mwigulu hata akiwa na PhD lakini akinaja kwenye kiutendaji unaweza kushangaa hizo PhD alizipataje. Hawo wanabiashara tele kwa njia kwahiyo watanganyika wafanyabiashara hawa wakina Mwigulu hawataki watanganyika wengine wasifanye biashara ili watakapo acha ubunge waendelee kuwatawala kiutumwa milele na watoto wao.
Great minds!Hebu chunguza mawazo yn michango ya mbunge huyu analysis yake ni madini matupu!Kwa nini wasipewe nafasi ya ku execute?
Waacheni watuuwe wabaki wao tra
Tanzania ni nchi pekee ina biadamu waoga kuliko binadam wote
Kwa woga huenda kicheko kwa Shujaa huenda kilio. Sasa apo chaguwa!
Unamaono yako2 mzee achana nawasaliti akina msukuma
Kishimba oyeeeee huyu jamaa anakili sana
Yaani kwanini Rais Samia hamuonagi huyu bb kuwa waziri? Ana akili km za wabunge 10 hivi mama huyu alikotoka hawatakaa wamwachie kwenye ubunge
Huyu baba Kishimba akili yake inaweza kuliokoa taifa hili endapo mchango wake utazingatiwa.
Akili kubwa mno
MH. Kishimba nilidhani hata KIKOKOTOO atagusia kwa hekima zake na UTETEZI kwa masuala muhimu hasa HAKI.
Kumbe AKILI na Elimu ni vitu tofauti
Mzeee hadi usemee nastaafuu tofauti na hapo hatuna mwingine Kahama
Sijui kama watu wanakuelewa ,huwa ww ndie unae takiwa kuwa profesa
Hata bandari watakusanya na kuondoka nazo. BRT watakusanya na kuondoka nazo. Wanapunguza mzunguko wa fedha kwenye uchumi.
Mwigulu pamoja na wabunge wengi wanadhani millions 15 ni hela ya chai, hawatambui hali halisi ilivyo uraiani
Hakika akili ni nywele
Sasa ungekua wewe mwananchi unambiwa bei ya lisiti 100,000 bila lisiti 90,000 utachagua nini
Toka nchi hii ipate uhuru sidhani kama tushawahi kupata waziri wa fedha kilaza kama huyu wa sasahivi,anawaminya wananchi kwa kuongeza kodi na tozo halafu anaenda kununua magari ya serikali ya kifahari😢😢,na sasa anakuja na fine ya Mill 15 kwa kutotoa receipt 😢,
Umeongeza mabus yako ya ester na unanunua team za mpira kila kukucha kwa pesa za tozo, halafu ulivyokua wa ajabu sasa ukapandisha na nauli ya mabus bila ya sababu za Msingi 😢
Akiri ya kuzariwa ni zaidi ya kusomea
Hata usimpongeze huyo mwizi tu
Serikali chueni mawazi hayo ya kishimba
kwani atuwezi kuishi kama dubai mmk
Yan watawala wanawaza kuwala wenza kila kila bajet
Cloroqween ni mzuri kuliko mseto
Kuna vitu ili kulinda Cash,, lazima viondolewe importation yake… huwezi peleka pesa china kununua Toi za wato ,, na huku una veta …
Mtu kama huyu hawawezi kumpa nafasi ya muamuzi wa mwisho kwakuwa ........
Kwakua kawazdi akili
Kumbe Mimi ni Ng'ombe wa serikali duuh!🤭🤭🤭🤭
😂😂😂😂
Yanileo mmeongea ukweri sisinikamangombe wanainchi
Huyu Baba nimuwakirishi wawananchi kweli
Uwa nakukubari sana profesa kishimba
Sasa ungekua wewe mwananchi unambiwa bei ya lisiti 100,000 bila lisiti 90,000 utachagua nini
Sasa ungekua wewe mwananchi unambiwa bei ya lisiti 100,000 bila lisiti 90,000 utachagua nini
Sasa ungekua wewe mwananchi unambiwa bei ya lisiti 100,000 bila lisiti 90,000 utachagua nini