"Sasa wewe njoo na tai na Cheti cha Degree halafu nikupe hela zangu'' kISHIMBA vs MWIGULU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 чер 2023
  • KISHIMBA AMCHANA MWIGULU, ATOA TAHADHARI, "WAONDOE HUO UOGA, WANAOGOPA NINI?"
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
    ⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
    list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
    ⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
    v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
    ⚫️ SIASA : • Video
    Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
    ngasamedia@gmail.com
    WhatsApp: +255 716909567
    Call us : +255 716909567
    thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
    #sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv

КОМЕНТАРІ • 63

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Рік тому +8

    Vyeti na hio PHD nyingi ukigonga ndani zinatoa MWANGWI YAANI ZIKO TUPU ,😂😂😂😂

  • @yadidehaule6399
    @yadidehaule6399 Рік тому +9

    Huyu Mbunge awe anaongezewa Muda akiwa anatoa hoja.

  • @masungajp1
    @masungajp1 Рік тому +17

    This man is super GENIUS. Lazima tutumie vichwa hivi kabla havijaondoka duniani.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Рік тому +5

    Mwigulu anafanya nini bungeni empty box kabisaaa😢

  • @jacksonzeno1447
    @jacksonzeno1447 Рік тому +4

    Kua na Elimu sio kua na hela. Hao wenye vyeti hawawezi ku raise hela.

  • @hamzamfyagidzi6344
    @hamzamfyagidzi6344 Рік тому +4

    Kishimba safi sana
    Akili nyingi

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Рік тому +5

    Huyu jamaa Safi sana. Akili kubwa!

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 Рік тому +1

    Royal brother!! I salute you!!

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Рік тому +10

    Kumbe huyu ndio kishimba wa kakahama 🙌❤️

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 Рік тому +9

    Ni kwanini Rais haoni kama mwigulu ni shida jamani?

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Рік тому +3

    Kishimba mpina ndio wenye akili sio Hawa wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas tuu

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Рік тому +9

    Mtangaika sana bila mama kumtumbua mwiguru hatutakuwa salaama wizara ya fedha ni kubwa anatakiwa mtu mwenye Elimu kubwa na maono yule jamaa vyeti tu vya kununua kutoka udsm hpo wanahonga mwalimu pale akili ndogo inatakiwa mtu makini kuongoza wizara ya fedha

    • @user-uy2dk2yv2c
      @user-uy2dk2yv2c Рік тому +1

      Bro wasomi wengi Ni majizi tena majambazi wakubwa

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому +1

      tatizo watanzania hamna uelewa mwigulu hawezi kufanya kitu bila rais kwahiyo huyo mama enu ndio anamtuma afanye hivo ndio maana unaona hawatumbui makamba na mwigulu wabaya kupitia nguvu yavrais nasio wao hata akiwatoa hao akaleta wengine halafu yeye ndio ana wamrisha wafanye hayo hakuna kitakacho badilika

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому

      @@user-uy2dk2yv2c kabsa ndugu

  • @damianmachira7535
    @damianmachira7535 Рік тому +4

    Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 Рік тому

    Manful!!!✊✌️

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Рік тому +2

    Me sijui vigezo binavyo mpa mtu uwaziri au naibu waziri..nashindwa kuamini huyu jamaa anakosaje huo uwaziriii...yaani akili nyingi hivi bado hamtaki kuzitumiaa..

  • @erickkimaro9190
    @erickkimaro9190 Місяць тому

    Sijui kwanini hakupewa wizara ya fedha.

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 Місяць тому

    ❤❤❤

  • @matindesamson7648
    @matindesamson7648 Рік тому

    Kishimba your smart.wafundishe hao. Wanajua ila ni wahuni

  • @stevesungura6789
    @stevesungura6789 Рік тому +2

    Kuna siku tutamwelewa tu!

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 9 місяців тому

    Safi kaka ❤❤❤

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Рік тому +5

    Mh kishimba upo sahihi utafikili kuna viongozi wanajitoa akili. Vitu vya kawaida sana hata hao wazungu wana nguvu sababu ya akiba ya dhahabu.

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Рік тому

    Mbunge mwenye bongo inayochambua mambo kisawasawa

  • @piusthomas624
    @piusthomas624 Рік тому

    Wazir wa fedha anazingua

  • @godfreymwendawila
    @godfreymwendawila Рік тому +3

    Mi najua wabunge sahihi hawazidi kumi hapo bungeni wengine wote ni wezi tu

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Рік тому

      Mzee kishimba Kibera -; Kuna baadhi ya mambo anabidi awakubali tu wavaa tai
      Kuna tofauti kubwa ktk kuendesha Private Company na Public Company
      Kampuni za Umma ambazo Sheria za uendeshaji na Umaliki Mitaji zinaruhusu
      Kuuza hisa hata kwa Aliye Nje
      ya Company lazima hiyo Mitaji ilindwe
      Na Wasomi (wanataaluma )
      Maana Si Kila Mwenye Mtaji ana Uwezo wa Kuwa Mwendesha Jambo
      Na Kanuni inasema -; ili Kampuni ifanye vyema kibiashara inahitaji vitu vikuu v 2
      Kwanza Sheria Nzuri za uendeshaji
      Pili Msimamizi Mzuri Mwenye weledi na Kipaji Hapa kwenye
      Weledi namaanisha pamoja na Taaluma
      Pia Maana logical
      Pekee haitatosheleza
      Kila Eneo wakati wa kutekeleza majukumu

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Рік тому

      Siyo wezi Ila uwezo wa kufikiri mdogo! Na watawala wanapenda Sana wabunge vilaza ili waweze kuiburuza Ichi vizuri!

    • @cosmaswilliam3805
      @cosmaswilliam3805 Рік тому

      Bunge Ni la ajabu sana

  • @edsonjrtz7676
    @edsonjrtz7676 Рік тому

    Tatizo wasomi yy anamiliki vyeti tu na kuhusu kutafta ela hmn imani yangu tokeapo mtu ambae hana elimu kubwa ndie anae weza kutafuta na kubarance mm matajili wengi naona ambao hawaja soma

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 8 місяців тому

    Hili bunge la mazuzu kazi kupiga makofi miaka yote kishimba anasema hakuna hatua ...

  • @bozbun3994
    @bozbun3994 10 місяців тому

    Huyu ndo alitakiwa kuwa waziri ..ila Cha ajabu uwaziri wanapewa vilaza

  • @kikotimedia6638
    @kikotimedia6638 Рік тому

    Akili kubwa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Рік тому

    Kishimba katika ubora wake.

  • @MarandaIhonde-qe6df
    @MarandaIhonde-qe6df Рік тому

    Iyo wizara ina shida

  • @matindesamson7648
    @matindesamson7648 Рік тому

    Hao ni wezu mzee

  • @kondewra
    @kondewra Рік тому

    Wape ushauri... Mzee

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Рік тому

    😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 Рік тому

    Kuna akili za kuzaliwa huyu anazitumiaga vizuri mnoo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Рік тому +1

    This man explains.boder of education and saycologe
    Different there that it shows how education works but saycologe sense umanbeng born with it always sense action then goes on his brain thinking choose and came with it on resption voice it ather sense goes on choose point sense of right answer
    This man is big brain has saycologe sense big capacity of netrow thing from.peaple who undermine peaple who are not educate but forgot education is matiriol fomuler but saycologe sense umanbeng born with it but different capacity

  • @user-ek3zk4bx5j
    @user-ek3zk4bx5j Рік тому

    Duu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Рік тому

    Mwigula kiukweli hajitambuai mweee

  • @user-th9to6yt9y
    @user-th9to6yt9y Рік тому +1

    Asipate uwaziri atakula kiapo na mdomo ataufunga ili aitetee serikali

  • @volcaremigius6881
    @volcaremigius6881 Рік тому

    Agombee Uraisi kura yangu ameshapata

  • @Laajo1994
    @Laajo1994 Рік тому

    sasa mtu ana degree na phd lkn ndio anategemea serikali impe mshahara na asipopewa hana akili ya kuvumbuwa kitu chochote kiufupi degree na phd ujinga tu

  • @shukurudavid4369
    @shukurudavid4369 Рік тому

    Kahama miundo mbinu mibovu sana

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Рік тому

    Kishimba.akili.kubwa.unafaa.kuwa.waziri.mkuu.shida.ccm.mna.roho.mbaya

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Рік тому

    Huyo ndo kishimba kipaji Cha Tanzania erimu Nini bana wezi kabisa wasomi wetu ndo wameirudisha nyumba nchii yetu erimu kiazi Hawana hojaaa kabisaaa ni vyetu ndo vinawrinda

  • @jonaskabonda741
    @jonaskabonda741 Рік тому +1

    Kishimba wewe una PhD

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому +1

    Kishimba unayosema ukweli mtupu hiyo misomi ndiyo mijizi haswa angalia inavyouza bandari zote mpakhatimayehatimaye3wstatuuza sisi wenyewe tutamkunbuka magufuli daima

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Рік тому +3

    Bunge lote mwenye kujielewa ni huyo Mzee tu wengine niwasaka tonge viva kishimba

  • @josephmayenga4615
    @josephmayenga4615 Рік тому +1

    Wasukuma Mungu ametuteua kuwasaidia wajuaji na PhD zao chukua elimu hizo zitawasaidia

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu2572 Рік тому +1

    Na hapo mimi ndipo ninapo pata kigugumizi dhahabu ina chimbwa na watanzania halafu saa hiyo hiyo unasikia mama kaenda kukopa. Na mzungu anaona ajabu sana akienda mitandao mingine anaona hii nchi iliyokuja kukopa kwenye uzaji wa dhahabu ipo kwenye uzaaji wa Almasi ipo kwenye uzaaji wa chuma ipo kwenye uzaaji wa shaba ipo kwenye uzaaji wa tanzanite hayo madini duniani yapo tanzania. Mito ya maji ipo mingi. Maziwa na mabwawa yapo Bahari ya hindi tu nayo. Bandari yetu ikisimamiwa vizuri na jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ. Kibiashara bandari inaweze kusimamia bajeti ya nchi. Siyo wawekezaji wawekezaji matapeli tu wamekuja kunyakua mali za watanzania masiki vile vile hata hao viongozi watakuwa na masilahi yao humo yaani mgao wa bandari wakipewa Wa wekezaji mali ya wengi itaanza kuliwa na wachache.

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Рік тому

    Mwigulu ma tai yeke.

  • @damianmachira7535
    @damianmachira7535 Рік тому

    Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..

  • @user-rg7tx2cc1l
    @user-rg7tx2cc1l Рік тому

    ❤❤❤