@@songoroalamin3376wasifie lipi? Kuweka pembeni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020. Ya kipenzi cha wengi Magufuli, na kuanza kujifanyia yakwao kama kisasi kwa wananchi.
Tatizo, kuna mtu anadhani kuongoza taifa ni rahisi kama kuchimba viazi. Kama kuiongoza familia ya mke /Mme na watoto watu wanachemka. Leo mama yetu kafanya mengi na anaendlea kufanya anatokea mtu anajifanya haoni yaliyofanyika anaongelea eti mama anasafiri na ndege kubwa. Kwa hiyo alitaka atembee kwa miguu???
Tumekwishajenga Chato. Mikoa mingine tunajenga airstrips ili kuokoa hela. Kwa sasa vipaumbele vipo kwenye ujenzi wa SGR, mitambo ya kufua umeme katika bwawa la Mwl. Nyerere, uwanja wa ndege wa Msalato, na bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Chongoleani. Insh'Allah, panapo majaaliwa, tutajenga SGR ya Mtwara hadi Mbamba Bay na matawi yake kwenda Liganga na Mchuchuma, tutaboresha reli ya TAZARA, tutajenga bandari ya Mbegani Bay, tutatekeleza miradi ya uzalishaji wa LNG, bomba la gesi kwenda Mombasa na Uganda, mbolea itokanayo na gesi asilia, tutajenga viwanja vya mpira kwa ajili ya AFCON 2027, tutajenga daraja la Bagamoyo hadi Zanzibar, tutajenga kongani kubwa za viwanda za Disunyala na Kwala. Subiri ubwede, Mama hana udogo. Mwakani tumpe miaka mitano ya kuonesha uwezo wake ili tufaida matunda ya kazi zake njema za kukuza uchumi wetu. Naomba KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉.
Ni kweli kabisa ndugu anaombea ndege ingeungua moto jamani mama yetu kakosa nini ,mpaka kusubutu kuomba ivyo.jamani hakuna binadamu mwenye 100% kila binadamu anamapungufu yake.mtamkumbuka mama siku moja tumeshayaona nchi za watu.
Usiwe mjinga ww?sasa unataka Rais apande baiskeli? Kaa na chuki zako na zitakuua, bwege wee hii karne ya 21, nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uwezo wako wa kuchanganua mambo ktk karne hii ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia.
Viwanja vya ndege havina hadhi kabisa! Pesa zinatafunwa tu. Ila siku Rais anakuja utasikia sifa nyingi za pesa zimetolewa za miradi! Mama Mama Mama! Huku tukisikia mashule watoto wanakaa chini wanafunzi 1000! Unajiuliza Serikali ipo au wapo kwa majina???
Sio kweli kama yeye anawatendea watu mabaya mungu hawez kukupa hicho ulichosema kuzaa Kuna uchungu wake lakin fikiria huyu Rais mwanamke na kazaa lakin suala la ushoga kalinyamazia haongei Wala Sheria haitungwi wanatunga Sheria za kunyanyaswa Raia tu
Nini Sasa kimetokea? kumanyoko zako wewe.. Ina maana unaombea ndege iliyombeba rais ipatwe na hitilafu au? Mbwa wewe na hiyo TV yenu ya kinafiki.. shetani ibilisi laana wewe
Duwa na kuombeanaaa mazuri ni manufaaa kwa wotee…tumshukuruh Allaah kwa kuwaleeeteenii rais mwema mwenye upendoo na hurumaa…..Aangaliyeeeni nchi na watu wenu Alivyoo watengenezeyaaaa Zidii kuiyoombeyeeni Amani na manufaa idumuh kuinukaa na kutengeneyaaaa…..
ila managing director wa shirika la ndege alifanya Rwanda airways ikaleta faida kubwa sana Rwanda kwa Kagame. ila Magufuli alivomuomba na kurudi Tanzania, Matindi ktk uoongozi wake shirika linakula hasara kila leo, na sio sababu ya uendeshaji wake lakini ni viongozi kumpelekea vimemo kila leo na watu wao kwenda bure safari zao..shida kweli. kijana wa watu anapata shida sana
Acha umaskini wa kifikra, babaako kajenga uwanja wa ndege chato, ni ndege ipi zinatua sasa, kakamata meli ya uvuvi tumelipa mabilioni ya pesa sa hasara ni ipi hapo? You dont have to be bias.
Pumbavu. Mbona hakuna ajabu lolote zaidi ya mingoma. Miswahili kwa kupenda ngoma na kuabudiwa. Wenzenu walishaachana na upuuzi huu nyie mmeushikilia. Shame on this channel. Sitaifungua tena. Ni wavivu wa kufikiri.
Maajabu gani acheni wanga mungu mlinde mkuu wetu
Huyo Mzee anamusujudia binadam mwenzake ama kweli huu utafutaji wa vyeo utatufikisha kubaya
Allah akuhifadhi
Chadema
Mungu akulinde mama yetu kipenzi
Kuna nini cha ajabu
Sijaona kitu muache uongo
Kwani Tanzania hatuna ndege ya Raisi?
hayo maajabu ni gani mbona nimengoja kuona cjaona
Nilichokiona mimi Rais hajawapa Mkono wenyeji wake waliompokea hiyo sio kawaida labda ndio jambo la kustaajabisha hapo!
Shockup za tairi za mbele kwisha kazi😮😮😅
Mbona wananchi kiduchu kwenye mapokezeki ya rais au mwigulu nchemba amewahamishia Burundi??!
😂
huenda wako burundi, maana msomi asiyejitambua
Mlishazoea kulipwa ili mkajaze uwanja.Hakuna hela za kuchezea hapa
Watu ni wengi karema ndo haijatengwa vizuri.
Admin uwe unapanda ndege mara moja moja upunguze ushamba
❤❤❤
Maajabu gani yako hapo sasa , unatumalizis bando kwa upuuzi
Peleka usenge mbali kwani aliosema ndege iungue ndo imeungua unavosema awekwe ndani
Rais kwann unitumie barabara ukaona wananchi ukasikiliza kero zao sasa Kwa ndge kweli ungefanya kama Jpm
Hawezi, anakula bata tu
Ndege imetelekezwa kufanyiwa Service!
Hawana Hela🤣🤣
Hakuna hata watu na hao waliokuja wote hawaptaki hapo wanashangaa ndege tu
Sfieni hata jambo moja jema hao waliopo sisimizi? Mchovu wa fikra MAMA chapa kazi wanakung'arisha tu na husda zao
@@songoroalamin3376wasifie lipi? Kuweka pembeni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020. Ya kipenzi cha wengi Magufuli, na kuanza kujifanyia yakwao kama kisasi kwa wananchi.
Ahh wap
Maajabu gani
Asa kuna maajabu gani? acha ushamba
Hii ni tv ya kinafiki haifai hata kuangalia
Kama unaona lahis fanya ya kwako tuone
FISIEMU Watu wamewachoka Mno
Mama yupo vizuri sana, 2025 atapita kwa kishindo kikubwa san. Mambo alofanya makubwa within a short time.
#NONSENSE
Tatizo, kuna mtu anadhani kuongoza taifa ni rahisi kama kuchimba viazi. Kama kuiongoza familia ya mke /Mme na watoto watu wanachemka. Leo mama yetu kafanya mengi na anaendlea kufanya anatokea mtu anajifanya haoni yaliyofanyika anaongelea eti mama anasafiri na ndege kubwa. Kwa hiyo alitaka atembee kwa miguu???
ovyooo
😂😂😂yapi
no comment napita tu
Ndegee shokap ya mbelee imekufaa
Jengeni viwanja vya ndege mikoa yote khaa huu uwanja au airstrip
Kwa abiria gani??
Tumekwishajenga Chato. Mikoa mingine tunajenga airstrips ili kuokoa hela. Kwa sasa vipaumbele vipo kwenye ujenzi wa SGR, mitambo ya kufua umeme katika bwawa la Mwl. Nyerere, uwanja wa ndege wa Msalato, na bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Chongoleani.
Insh'Allah, panapo majaaliwa, tutajenga SGR ya Mtwara hadi Mbamba Bay na matawi yake kwenda Liganga na Mchuchuma, tutaboresha reli ya TAZARA, tutajenga bandari ya Mbegani Bay, tutatekeleza miradi ya uzalishaji wa LNG, bomba la gesi kwenda Mombasa na Uganda, mbolea itokanayo na gesi asilia, tutajenga viwanja vya mpira kwa ajili ya AFCON 2027, tutajenga daraja la Bagamoyo hadi Zanzibar, tutajenga kongani kubwa za viwanda za Disunyala na Kwala.
Subiri ubwede, Mama hana udogo. Mwakani tumpe miaka mitano ya kuonesha uwezo wake ili tufaida matunda ya kazi zake njema za kukuza uchumi wetu. Naomba KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉.
Hivi kila Raisi akitoka safari ya nje anapokewa kwq shangwe?
Mmmh balozi wa Shina😂🤣🧐🤣🥹
Waandishi wengi wetu wa habari wa siku hizi ni wa hovyo tena hovyo sana
Mbona hakuna Jipya? Afu watu wachache Ivo
😅
Ukiona mti anasema hivyo jua hana furaha wala imani na uongoz
Sasa unataka watu wajae uwanja wa ndege una siri gani na hao watu si kuna sehemu atakutana na wanainchi ataongea nao
Magufuli bhana
Mnapendaga shida bila sababu, unashabikia vitu vya kishetani, unaombea ndege ingeungua ili iweje? Watu kama hao ni kuwasweka ndani ili liwe fundisho.
Ni kweli kabisa ndugu anaombea ndege ingeungua moto jamani mama yetu kakosa nini ,mpaka kusubutu kuomba ivyo.jamani hakuna binadamu mwenye 100% kila binadamu anamapungufu yake.mtamkumbuka mama siku moja tumeshayaona nchi za watu.
😂sukuma ndani
Nilifikiri Imeanguka ikawaka, kumbe ipo
Wananchi wapo nje ya uwanja awalusiwi kuingia wotee
Ama kweli Elimu UCHUMI BADO SAANA AFRIKA.
Gwanghana nulukubi
Hii ndege ikitoka dar to mwanza inakula mafuta ya million 5, nenda irudi?
Usiwe mjinga ww?sasa unataka Rais apande baiskeli? Kaa na chuki zako na zitakuua, bwege wee hii karne ya 21, nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uwezo wako wa kuchanganua mambo ktk karne hii ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia.
Viwanja vya ndege havina hadhi kabisa! Pesa zinatafunwa tu.
Ila siku Rais anakuja utasikia sifa nyingi za pesa zimetolewa za miradi! Mama Mama Mama!
Huku tukisikia mashule watoto wanakaa chini wanafunzi 1000!
Unajiuliza Serikali ipo au wapo kwa majina???
Mikopo na mitozo tu kuoga aaanha😂😂😂
😢😢😢
Nini
Maajabu hapa ni kitu gani?
Honestly, sijaona ajabu lolote mimi unless otherwise wewe mwandishi useme ni nini cha ajabu hapo
Wee mwandishi habari uchwara!
majabu gani njinga kama una content wacha kudanganya watu
Maajabu yapi aasa ? Hii TV haina tofauti na TBC
Hiloooo limeingizwa choo cha kike, ni biasharaa
Mtandao wenu umekosa habari wezi wakubwa kuku nyie.
Nilichoona chaajabu ni watu 77 wanampokea nanii laisi wa katiba
😅
Kwani huyo uliyekuwa unamwabudu si ni katiba hiyohiyo, acha chuki@ ujinga
Mbona wengi unataka watu gani,toa hoja
Mambo mengine ni ujinga mtupu vielelezo vya ovyo mnabidi mfungiwe
Aaaaa,biashara...asinge andika kichwa cha habari chenye kiki,usingefungua...wewe ndo lishamba
Sirikali ya tz ??nunueni ndege ya urusia ya kubeba ma raisi nawatumishi wasirikali iwe mawaziri au wakubwa wa sirikali ni onyo yangu
Ile ndege ya raisi aliyonunua mkapa imeenda wapi
Ukimuombea mwenzio mabaya yanaweza yakaaza kutokea kwako
Sio kweli kama yeye anawatendea watu mabaya mungu hawez kukupa hicho ulichosema kuzaa Kuna uchungu wake lakin fikiria huyu Rais mwanamke na kazaa lakin suala la ushoga kalinyamazia haongei Wala Sheria haitungwi wanatunga Sheria za kunyanyaswa Raia tu
Kwa hiyo wengi huyo hatumuombei mazury maaana hawez kuongoza lakin anajifanya anaweza
Nini Sasa kimetokea? kumanyoko zako wewe.. Ina maana unaombea ndege iliyombeba rais ipatwe na hitilafu au? Mbwa wewe na hiyo TV yenu ya kinafiki.. shetani ibilisi laana wewe
😂
Ndege kubwa hivi isingefaa kwenda huko katavi.
Ndio ndege inayokuja katavi toka inunuliwe
Unataka iende wapi?au kativi sio Tanzania?
Duwa na kuombeanaaa mazuri ni manufaaa kwa wotee…tumshukuruh Allaah kwa kuwaleeeteenii rais mwema mwenye upendoo na hurumaa…..Aangaliyeeeni nchi na watu wenu Alivyoo watengenezeyaaaa Zidii kuiyoombeyeeni Amani na manufaa idumuh kuinukaa na kutengeneyaaaa…..
Shule uliyosoma itakuwa ya ....
@@faridahalwaily85 wanajuwa wapi hao manaswara Dada yangu?
ila managing director wa shirika la ndege alifanya Rwanda airways ikaleta faida kubwa sana Rwanda kwa Kagame. ila Magufuli alivomuomba na kurudi Tanzania, Matindi ktk uoongozi wake shirika linakula hasara kila leo, na sio sababu ya uendeshaji wake lakini ni viongozi kumpelekea vimemo kila leo na watu wao kwenda bure safari zao..shida kweli. kijana wa watu anapata shida sana
What is strange there?
@@WilsonLuchwele you right i see nothing strange..the title is just misleading..i was just addijng my comment as far as the corporation is concerned
RAIS FEKI WAMCHONGO 😅😅wa katiba
Kuwa ww, fala wee, kamrudishe basi huyo godfaza wako
Nilijua ndege imeungua kidogo nifuraiiiii
Haaaaa
Utasubiri sana yupo na Allah huyo
Bwege kweli, fanya Kaz, pambana kutafuta Pesa hakuna Rais wa kukuletea Pesa nyumbani
Mchawi nn
Ufurahie nini?
Maajabu gani kenge wewe
NDEGE YOTE HII KWA RAIS TUU NA WATU WAKE KWA NINI ASITAFUTIWE NDEGE NDOGO TUKAPUNGUZA MATUMIZI
Upungize Matumiz kwan Hiyo pesa Inakuus!?.😊
Kwana Unafaham NENO RAIS?
Acha umaskini wa kifikra, babaako kajenga uwanja wa ndege chato, ni ndege ipi zinatua sasa, kakamata meli ya uvuvi tumelipa mabilioni ya pesa sa hasara ni ipi hapo? You dont have to be bias.
I am blocking you
Mbona madguard ya mbele imekatika😂😂
Maajabu yako wapi hapo? Kuna youtuber wengine washamba kweli unazania nitafungu tene nani zako sorry
Pumbavu. Mbona hakuna ajabu lolote zaidi ya mingoma. Miswahili kwa kupenda ngoma na kuabudiwa. Wenzenu walishaachana na upuuzi huu nyie mmeushikilia. Shame on this channel. Sitaifungua tena. Ni wavivu wa kufikiri.