MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2021

КОМЕНТАРІ • 314

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 роки тому +3

    Kishimba OYEEEEEEE umetishaaa

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 роки тому +20

    Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa

  • @Locker6996
    @Locker6996 3 роки тому +12

    Professor Kishimba... very smart😄

  • @fredricksteven2063
    @fredricksteven2063 3 роки тому +15

    Huyu mbunge ni great thinker!!!

  • @mariammwenda9719
    @mariammwenda9719 3 роки тому +13

    We baba una akili kubwa sana, may Almighty God protect you

  • @novathpanga8216
    @novathpanga8216 3 роки тому +8

    Ndiyo wabunge wanao hitajika,kishimba yuko vizuri sana anaongea point🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @anthonykondobole3962
    @anthonykondobole3962 3 роки тому +31

    Daahh, mzee shikamoo, mungu akulinde na corona

    • @itNeza
      @itNeza 3 роки тому

      Imekua Corona tena 🤣😂

    • @gracejohn886
      @gracejohn886 3 роки тому

      😁😁😁😁

    • @anthonykondobole3962
      @anthonykondobole3962 3 роки тому +1

      @@itNeza Amna kamanda watu kama hawa huwa wanakubwa na matatzo haraka kulko wale wa ndio kila hoja

  • @msafitv8663
    @msafitv8663 3 роки тому +16

    Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 3 роки тому +28

    Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 3 роки тому +36

    HAHAHAHAHAHAAA
    Huyu Mzee ni Hazina ya Taifa
    Nampenda sana
    Kwa Kujenga hoja

    • @fredymteule2092
      @fredymteule2092 3 роки тому +1

      I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂

    • @patrickzlee3345
      @patrickzlee3345 3 роки тому +1

      .....

    • @enockmwakyelu142
      @enockmwakyelu142 3 роки тому +1

      Nn

    • @enockmwakyelu142
      @enockmwakyelu142 3 роки тому +1

      @@fredymteule2092 s
      Try)

    • @godwindiana6288
      @godwindiana6288 3 роки тому +1

      Tunaomba serikali imuongezee Ulinzi

  • @jjborn8728
    @jjborn8728 3 роки тому +65

    Mheshimiwa unastahili kuitwa Mheshimiwa Mara Sabin tu nakupenda sana kishimba naomba like elfu moja

    • @janegofrey3143
      @janegofrey3143 3 роки тому +1

      Asante

    • @musasabu6969
      @musasabu6969 3 роки тому

      Anajuwa shida za watu hyu mzee

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 роки тому

      Kishimba unanifurahisha mnoooo ningekupa na namba yako ya cm ningekupigia uniambie nimpeleke wapi mwanangu kamaliza nimpeleke wapi màana naona ntapoteza hela yangu bure ?

  • @jorammpore9628
    @jorammpore9628 3 роки тому +11

    Huyu mheshimiwa anaongea vitu vya msingi sna 💪🏾💪🏾

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 3 роки тому +7

    safi sana mheshimiwa wewe unasemaga ukweli tu ila serikali imeweka pamba masikioni

  • @emmanuelfwillo6721
    @emmanuelfwillo6721 3 роки тому +2

    Hawa ndio vipaji maalum kama ulikuwa hujui. wale wa makaratasi achana nayo. KISHIMBA Big Up

  • @prosperkillas2398
    @prosperkillas2398 3 роки тому +18

    Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 3 роки тому +9

    Mh kishimba wewe kweli msomi sana nafikiri hapo bungeni mpo wachache sana...

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 роки тому +1

    Kishimba ana busara sana,Hana vijembe Wala malingalinga,ngombea uraisi mwaka 2025,kula yangu ipo

  • @josehaule9425
    @josehaule9425 3 роки тому +2

    Very wiser man, God bless you Mp

  • @eliasmtaki8518
    @eliasmtaki8518 3 роки тому +45

    Mtu wa akili za kawaida kumuelewa Mh Kishimba inabidi urudie kusikiliza mara 21.

  • @M7-Band
    @M7-Band 3 роки тому +22

    Yaani huyu mzee nimemwelewa sana,anaelewa ground ikoje,na anaongea facts tupu

  • @amanmwakyoma2263
    @amanmwakyoma2263 3 роки тому +1

    Hakika huyasemayo keep it up

  • @henryxavery1713
    @henryxavery1713 3 роки тому +5

    Mheshimiwa Kishimba,ulikuwa wapi siku zote 🤣🤣🤣🤣..

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 3 роки тому +1

    My best MP of all time... big up

  • @boniphacemihayo1591
    @boniphacemihayo1591 3 роки тому +1

    Huuu ni kama walaka kwa mataifa na watu wote...nzuri sana hii

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 3 роки тому

    Hoja ya mh.Kishimba ni nzuri na inahitaji fikra big up mbunge

  • @henryxavery1713
    @henryxavery1713 3 роки тому +1

    Hongera Sana Mh:Humanness Kushona💪👏👏👏 Ni kweli Kabisa.

  • @danielkyando6726
    @danielkyando6726 3 роки тому +2

    Aiseeeee ur so creative mzee mawazo mazito ya kujenga

  • @godlovemlinge2220
    @godlovemlinge2220 3 роки тому +3

    Kama ningefundishwa na mwalimu kama huyu mzee darasani,
    Walahi ningekuwa mbali sanaa

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 3 роки тому +7

    uyu mzee ni zaidi ya pro , na wapo wachache Tz, ni bonge la mtetezi , nafikiri ukimuweka pamoja marehemu ruge wangeweza kuwasha moto usiozimika.

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga3478 3 роки тому +1

    Good Kashimba

  • @fadhiliignusy3790
    @fadhiliignusy3790 3 роки тому +10

    huyu mzee angekua waziri waelimu alafu apewe uhuru wakubadili mambo nazani tungefika mhali

  • @yovithaobed5574
    @yovithaobed5574 3 роки тому +2

    Hoja nzuri mheshimiwa mbunge wa kahama

  • @theophilmalaba4048
    @theophilmalaba4048 3 роки тому +2

    Excellent

  • @bahatinzingula4309
    @bahatinzingula4309 3 роки тому

    Hongera sana Mh.Kishimba.Mawazo yako ni mazuri sana zaidi ya Prof.

  • @plasidodavid1487
    @plasidodavid1487 3 роки тому +3

    Genius 👏👏

  • @munampinda1888
    @munampinda1888 3 роки тому +3

    The Best Kishimba

  • @timbukwa9771
    @timbukwa9771 3 роки тому +1

    Nakupenda sana Kishimba my Icon!!

  • @sebamgalula2632
    @sebamgalula2632 3 роки тому +1

    Genious, 😊😊😊

  • @hawwahawwa9590
    @hawwahawwa9590 3 роки тому +1

    Wewe baba mungu akupee uhaii mkubwaa Maan nimepitiwa maishaa ya kijijini😭😭😭🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @msafitv8663
    @msafitv8663 3 роки тому +10

    Huyu Mbunge anaongea madini tupu

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 3 роки тому

    Hahaaahaahaaaaa..mzee namwelewa sana anacho pambania...anatamani tutoke kwenye nadharia twende kwenye vitendo upande wa elimu

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 3 роки тому +1

    Spika wetu naye ni Genius. Walio faulu watangazwe kwa pamoja, kusiwe na second selection

  • @kassimmurji2872
    @kassimmurji2872 3 роки тому

    Mheshimiwa unahofu namungu na mungu hakuachi atakulinda atakutetea na hatakuangusha kwa hoja zako zakutetea umaskini

  • @MrMandevu21
    @MrMandevu21 3 роки тому +4

    Respect mzee wangu

  • @mbarikiahamadjuma6824
    @mbarikiahamadjuma6824 3 роки тому

    Nakupa hongera kishimba, umetoa hoja/mchango mzuri na wakujenga

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs6361 3 роки тому +4

    Nampenda huyu ,ndugai kazi unayo

  • @trickyjosia4326
    @trickyjosia4326 3 роки тому +5

    Kweli nimeamini walio ishia darasa la saba wana akili sana kwahiyo jaribuni kusikiliza michango yao na kulifanyia kazi

  • @magongwematinde5773
    @magongwematinde5773 3 роки тому +4

    Hii speech nimewasha feni lakini bado najipepea na shati. Dah

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 3 роки тому +3

    Huwa naEnjoy sana kumsikiliza huyu PROFESOR

  • @emmanuelmuhando1052
    @emmanuelmuhando1052 3 роки тому +2

    Mnzee kwanzia umengia bungeni Leo nimekuelewa kwaniniii wanakuita professor 💪🏿💪🏽💪🏽💪🏽💪🏿💪🏿💪💪💪🏿💪🏿🔥🔥🔥

  • @awesomevibes5847
    @awesomevibes5847 3 роки тому +4

    Namna iyo.... Ni upuuz unaenda shule unarudishwa kisa viatu ni vya blue au vyeupe..

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 3 роки тому +1

    Nampenda Sana kishimba wewe ndio mbunge wangu kwa Sasa.

  • @rajaburamadhani2986
    @rajaburamadhani2986 2 роки тому

    sawakabisa👏👏👏💪💪

  • @gipsonmwankobela2825
    @gipsonmwankobela2825 2 роки тому

    mbunge mwenye free mind ideas saf sana

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 3 роки тому +1

    Mh!!! Ati wa ugausigeli kesha enda 😂😂😂😂 Ndugai mkuda sana.

  • @ama7742
    @ama7742 3 роки тому +1

    Anatema nondooo🔥🔥👌

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 3 роки тому

    Mzee wangu Kishimba duh 🙌🙌

  • @monicakalinga8258
    @monicakalinga8258 3 роки тому +1

    Shikamoo baba unajuua sana Professor

  • @paschazianestorymatunda6490
    @paschazianestorymatunda6490 3 роки тому +1

    Nimekupenda sana mbunge wa kahama

  • @sebamgalula2632
    @sebamgalula2632 3 роки тому +1

    🌿 analokula huyu mzee hailimwi nchiii😆😀😀😀

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 роки тому +8

    mh raisi naomba huyu mzee umpe cheo Cha UWAZIRI

  • @rwelamira
    @rwelamira 3 роки тому

    Very practical

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546 3 роки тому +2

    Nimemuelewa sana huyu Baba ukweli anafaa kuitwa Mheshimiwa

  • @eligiusvitalis3504
    @eligiusvitalis3504 3 роки тому

    Great thinker

  • @hemedshalua2002
    @hemedshalua2002 3 роки тому +2

    Genius

  • @salumukimanzchana987
    @salumukimanzchana987 3 роки тому

    Hongera sana kwa hoja zinazoendana na uasilia was mtanzania, hizi ndo huja za msingi na zenye kueleweka

  • @kenedykihaga5416
    @kenedykihaga5416 3 роки тому +8

    Ulongite hilooo myaaaa

  • @saimonmakoye5009
    @saimonmakoye5009 3 роки тому

    Ndaaaa mzeee wangu kila unachongea point tuuuu hongera sana

  • @godfreygeofrey7804
    @godfreygeofrey7804 3 роки тому +1

    Huyu mzee atakuwa ni darasa la saba kwenye vyeti lakini kichwani ana PHD sasa mtasubili sana nyie mnaotaka vyeti. Shikamoo Mr Kishimba.

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 3 роки тому

    Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 3 роки тому

    Mheshmiwa hongera sana 🇹🇿🤝

  • @musasabu6969
    @musasabu6969 3 роки тому +1

    Ukimskliza huyu mh.had inatia huzuni sana anaongea point sana

  • @davidmagundu2285
    @davidmagundu2285 3 роки тому +3

    Mheshimiwa shkamoo! Umeongea madini sn!

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm 3 роки тому +5

    Huyu mzee ana hoja nzuri sana ,,lakini cha ajabu watabaki kusikiliza na kugonga meza tu ,,,mengi ameongea mazuri.

  • @ahmedyusuphkasili2115
    @ahmedyusuphkasili2115 2 роки тому

    Uko vizuri kishimba

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 роки тому

    Huyu mzee ndo mbunge hayo ndomambo yakuzungumza bungeni siyo kusifusifu Safi Sana mzee

  • @revelianalphonce8115
    @revelianalphonce8115 3 роки тому

    yupo vzr sana hakiri pana

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 3 роки тому +3

    Huyu angesoma angekuwa mjinga sana.

  • @ibrahimkitela8233
    @ibrahimkitela8233 3 роки тому +5

    Na limu nazo, kila mwanafunzi aende na limu na zikifika zingine zinauzwa

  • @dr_godfrey
    @dr_godfrey 3 роки тому

    tunao watu wenye mawazo mazuri sana hongera kishimba nakuelewa sana piga gaz

  • @nikokihaga8024
    @nikokihaga8024 2 роки тому

    Great

  • @fredrickmathias7242
    @fredrickmathias7242 3 роки тому +1

    Niceeee

  • @jeremiahzacharia7655
    @jeremiahzacharia7655 3 роки тому +5

    Huyu Mzee shikamoo.

  • @chumanondochuma8012
    @chumanondochuma8012 3 роки тому +1

    Inabidi ugombee uraisi mzee na ukabidhiwe nchi

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 3 роки тому +1

    😀😀😀GENIUS

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 3 роки тому +5

    Kishimbaaaaa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 2 роки тому +1

    Where hapo Sasa track soti,😄😄

  • @fridahmark5930
    @fridahmark5930 3 роки тому +2

    We really need ppl lyk you ❤️

  • @denisbuchard3718
    @denisbuchard3718 3 роки тому +1

    Huyu mzee ni kichwa sana pamoja kuwa na std v kichwani..huyu mzee ndo tajiri wa kwanza Tz kufungua Supermarkets ziliitwa imaleseko Dar & Mwz

  • @boazisanga746
    @boazisanga746 3 роки тому

    Wewe mzee Mimi kuanzia leo na kutunuku cheti Cha uprofessor excellence

  • @rashidkipingu7358
    @rashidkipingu7358 3 роки тому

    Huyu mzee MUNGU ampe maisha marefu anajua kujenga hoja

  • @lujenjejr3628
    @lujenjejr3628 3 роки тому

    😂😂😂😂 Mwamba ni Muafrika kamili

  • @vannyemmanuel5866
    @vannyemmanuel5866 3 роки тому

    🤣🤣🤣🤣 we mzee una jua kumaliza MB zetu yani toka nimeanza kuku sikiliza hauchoshi

  • @imchristian323
    @imchristian323 3 роки тому +1

    Daah mzee anajua struggle za mtaa

  • @vicentjames5691
    @vicentjames5691 3 роки тому +1

    In babalevo voice 😁🙌

  • @thekingcr7365
    @thekingcr7365 3 роки тому +1

    Huyu mzee namkubali sana. Anazungumza kwa lugha inayoeleweka na kila mmoja.

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Рік тому

      Uyu baba ajawahi kukukea anaonge maisha ya mwananchi wa chini Walhalla sisi Wanamake tusio na wanaume tunapata shida sana

  • @mediacare6744
    @mediacare6744 2 роки тому +1

    Tanzania hamtaki viatu vyeusi? 😂 😂

  • @aristidestibaijukasebastia5225
    @aristidestibaijukasebastia5225 3 роки тому

    Mungu akubariki Mh Kishimba

  • @bahatijohn3222
    @bahatijohn3222 3 роки тому

    Hakika we mzee ni hazina ya taifa hv tupate wapi watu kama hawa Mwenyezi Mungu hebu tusaindie xna

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 3 роки тому +3

    Mbunge makini sana