Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa
Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani
Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu
I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂
Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.
Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr
Kishimba OYEEEEEEE umetishaaa
Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa
Professor Kishimba... very smart😄
Huyu mbunge ni great thinker!!!
We baba una akili kubwa sana, may Almighty God protect you
Ndiyo wabunge wanao hitajika,kishimba yuko vizuri sana anaongea point🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daahh, mzee shikamoo, mungu akulinde na corona
Imekua Corona tena 🤣😂
😁😁😁😁
@@itNeza Amna kamanda watu kama hawa huwa wanakubwa na matatzo haraka kulko wale wa ndio kila hoja
Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani
Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu
HAHAHAHAHAHAAA
Huyu Mzee ni Hazina ya Taifa
Nampenda sana
Kwa Kujenga hoja
I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂
.....
Nn
@@fredymteule2092 s
Try)
Tunaomba serikali imuongezee Ulinzi
Mheshimiwa unastahili kuitwa Mheshimiwa Mara Sabin tu nakupenda sana kishimba naomba like elfu moja
Asante
Anajuwa shida za watu hyu mzee
Kishimba unanifurahisha mnoooo ningekupa na namba yako ya cm ningekupigia uniambie nimpeleke wapi mwanangu kamaliza nimpeleke wapi màana naona ntapoteza hela yangu bure ?
Huyu mheshimiwa anaongea vitu vya msingi sna 💪🏾💪🏾
Safisana mzee
safi sana mheshimiwa wewe unasemaga ukweli tu ila serikali imeweka pamba masikioni
Hawa ndio vipaji maalum kama ulikuwa hujui. wale wa makaratasi achana nayo. KISHIMBA Big Up
Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.
Mh kishimba wewe kweli msomi sana nafikiri hapo bungeni mpo wachache sana...
Mzee ni darasa la Saba tuu SEMA ANA AKILI SANA.
Kishimba ana busara sana,Hana vijembe Wala malingalinga,ngombea uraisi mwaka 2025,kula yangu ipo
Very wiser man, God bless you Mp
Mtu wa akili za kawaida kumuelewa Mh Kishimba inabidi urudie kusikiliza mara 21.
saaaaana.Anachekesha lakini ni madini matupu.Hasa hilo la medical investment!
Huyu mtu ni potential sana
Hayo ndo matunda ya chama kimoja.point Le's
Aise jamaa huyu ni kifimbo
Yaani huyu mzee nimemwelewa sana,anaelewa ground ikoje,na anaongea facts tupu
anachekesha lakini anachoongea ni kweli kabisa
Fine
Hakika huyasemayo keep it up
Mheshimiwa Kishimba,ulikuwa wapi siku zote 🤣🤣🤣🤣..
My best MP of all time... big up
Huuu ni kama walaka kwa mataifa na watu wote...nzuri sana hii
Hoja ya mh.Kishimba ni nzuri na inahitaji fikra big up mbunge
Hongera Sana Mh:Humanness Kushona💪👏👏👏 Ni kweli Kabisa.
Aiseeeee ur so creative mzee mawazo mazito ya kujenga
Kama ningefundishwa na mwalimu kama huyu mzee darasani,
Walahi ningekuwa mbali sanaa
uyu mzee ni zaidi ya pro , na wapo wachache Tz, ni bonge la mtetezi , nafikiri ukimuweka pamoja marehemu ruge wangeweza kuwasha moto usiozimika.
Ruge alikuwa genius
Good Kashimba
huyu mzee angekua waziri waelimu alafu apewe uhuru wakubadili mambo nazani tungefika mhali
Kabsa
Namini
Ukwel
Hoja nzuri mheshimiwa mbunge wa kahama
Excellent
Hongera sana Mh.Kishimba.Mawazo yako ni mazuri sana zaidi ya Prof.
Genius 👏👏
The Best Kishimba
Nakupenda sana Kishimba my Icon!!
Genious, 😊😊😊
Wewe baba mungu akupee uhaii mkubwaa Maan nimepitiwa maishaa ya kijijini😭😭😭🙆♀️🙆♀️
Huyu Mbunge anaongea madini tupu
Hahaaahaahaaaaa..mzee namwelewa sana anacho pambania...anatamani tutoke kwenye nadharia twende kwenye vitendo upande wa elimu
Spika wetu naye ni Genius. Walio faulu watangazwe kwa pamoja, kusiwe na second selection
Mheshimiwa unahofu namungu na mungu hakuachi atakulinda atakutetea na hatakuangusha kwa hoja zako zakutetea umaskini
Respect mzee wangu
Nakupa hongera kishimba, umetoa hoja/mchango mzuri na wakujenga
Nampenda huyu ,ndugai kazi unayo
Kweli nimeamini walio ishia darasa la saba wana akili sana kwahiyo jaribuni kusikiliza michango yao na kulifanyia kazi
Hii speech nimewasha feni lakini bado najipepea na shati. Dah
Huwa naEnjoy sana kumsikiliza huyu PROFESOR
Mnzee kwanzia umengia bungeni Leo nimekuelewa kwaniniii wanakuita professor 💪🏿💪🏽💪🏽💪🏽💪🏿💪🏿💪💪💪🏿💪🏿🔥🔥🔥
Namna iyo.... Ni upuuz unaenda shule unarudishwa kisa viatu ni vya blue au vyeupe..
Nampenda Sana kishimba wewe ndio mbunge wangu kwa Sasa.
sawakabisa👏👏👏💪💪
mbunge mwenye free mind ideas saf sana
Mh!!! Ati wa ugausigeli kesha enda 😂😂😂😂 Ndugai mkuda sana.
Anatema nondooo🔥🔥👌
Mzee wangu Kishimba duh 🙌🙌
Shikamoo baba unajuua sana Professor
Nimekupenda sana mbunge wa kahama
🌿 analokula huyu mzee hailimwi nchiii😆😀😀😀
mh raisi naomba huyu mzee umpe cheo Cha UWAZIRI
Mzee upovizuri Sana
Off course
Apewe na ulinzi Kabisa
Very practical
Nimemuelewa sana huyu Baba ukweli anafaa kuitwa Mheshimiwa
Great thinker
Genius
Hongera sana kwa hoja zinazoendana na uasilia was mtanzania, hizi ndo huja za msingi na zenye kueleweka
Ulongite hilooo myaaaa
Alongite unofu myaa
Ndaaaa mzeee wangu kila unachongea point tuuuu hongera sana
Huyu mzee atakuwa ni darasa la saba kwenye vyeti lakini kichwani ana PHD sasa mtasubili sana nyie mnaotaka vyeti. Shikamoo Mr Kishimba.
Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr
Mheshmiwa hongera sana 🇹🇿🤝
Ukimskliza huyu mh.had inatia huzuni sana anaongea point sana
Mheshimiwa shkamoo! Umeongea madini sn!
Huyu mzee ana hoja nzuri sana ,,lakini cha ajabu watabaki kusikiliza na kugonga meza tu ,,,mengi ameongea mazuri.
Mh aisee?
Uko vizuri kishimba
Huyu mzee ndo mbunge hayo ndomambo yakuzungumza bungeni siyo kusifusifu Safi Sana mzee
yupo vzr sana hakiri pana
Huyu angesoma angekuwa mjinga sana.
Na limu nazo, kila mwanafunzi aende na limu na zikifika zingine zinauzwa
tunao watu wenye mawazo mazuri sana hongera kishimba nakuelewa sana piga gaz
Great
Niceeee
Huyu Mzee shikamoo.
Inabidi ugombee uraisi mzee na ukabidhiwe nchi
😀😀😀GENIUS
Kishimbaaaaa
Where hapo Sasa track soti,😄😄
We really need ppl lyk you ❤️
Magufuli
Uko vzr
Huyu mzee ni kichwa sana pamoja kuwa na std v kichwani..huyu mzee ndo tajiri wa kwanza Tz kufungua Supermarkets ziliitwa imaleseko Dar & Mwz
Waooo!!!
Wewe mzee Mimi kuanzia leo na kutunuku cheti Cha uprofessor excellence
Huyu mzee MUNGU ampe maisha marefu anajua kujenga hoja
😂😂😂😂 Mwamba ni Muafrika kamili
🤣🤣🤣🤣 we mzee una jua kumaliza MB zetu yani toka nimeanza kuku sikiliza hauchoshi
Daah mzee anajua struggle za mtaa
In babalevo voice 😁🙌
Huyu mzee namkubali sana. Anazungumza kwa lugha inayoeleweka na kila mmoja.
Uyu baba ajawahi kukukea anaonge maisha ya mwananchi wa chini Walhalla sisi Wanamake tusio na wanaume tunapata shida sana
Tanzania hamtaki viatu vyeusi? 😂 😂
Mungu akubariki Mh Kishimba
Hakika we mzee ni hazina ya taifa hv tupate wapi watu kama hawa Mwenyezi Mungu hebu tusaindie xna
Mbunge makini sana