SABABU ZA PUTIN KUPIGANA PEKE YAKE UKRAINE BILA KUHITAJI MSAADA WA WASHIRIKA WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 чер 2023

КОМЕНТАРІ • 41

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Місяць тому

    Mbona umepotea mdogo wangu

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Місяць тому

    Yuko na mchina na mkorea na muiran nawengine wamejificha nyumba ya paziaa

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Місяць тому

    Haoo ni mashoga tu wasio jielewa wapige hao mashoga

  • @omarothman6608
    @omarothman6608 Рік тому +1

    Daah Russia kiboko mwakahuu mashoga wanaisoma namba😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kassim1262
    @kassim1262 Рік тому +1

    Atasaidiwa nanani kwamfano hao washirika wake anaowategemea rafiki wastor tu co kijeshi mchina hapeleki jeshi lake Ukraine kwasababu yeye mwenyewe yupo ktk foleni anasubiri zamu yake ifike ingizwe ulingoni na Taiwan India hawezi kupeleka jeshi kumsaidia Urusi kijeshi cos hawezi kumkera Uingereza Brazil sote tuelewa hapeleki jeshi lake kumsapot Urusi Iran pia kwambali labda Korea na Belarusi.

  • @duvaboy
    @duvaboy Рік тому +5

    swala ni kwamba hata nyinyi watangazaji hamjajua target ya putin ni ipi pale ukrain sio kwamba hawezi kumsambalatisha ukrain kwa masaa ya kuhesbu hapana..putini kuna kitu anataka kijae kwenye 18 zake..ukrain anasema yupo vitani lakin urusi anasema yupo kwenye oparesheni maalum na ndo mana anatumia vikundi vya kukodi

    • @angelomalimi2444
      @angelomalimi2444 Рік тому

      Liongo tu wewe tupe idadi ya warusi waliokufa ukrein na vifaru vilivyo haribiwa na magari unaongea ujinga tu Ulaya na marekani watu wao wanakula kuku kwa mlija warusi wanahofu duniani

    • @duvaboy
      @duvaboy Рік тому +2

      @@angelomalimi2444 😂😂😂 mazumbukuku shida pole sana braza..lakini kaa ukijua kua vita imo ndani ya ukrain sio urusi...na yameungana mataifa yasiyo pungua 30 ili wamtandike atoke wameshindwa ..na mwanaume kasimama peke yake haitaji msaada ..wewe unazijua kuku tu 😂😂😂

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 Рік тому

      ​@@angelomalimi2444Acha umama wewe

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t Місяць тому

      Mashoga utayajua yanajitekenya afu yanacheka yenyewe eti watu warekani wanakula kuku ,mbwa mkubwa wewe kama haujui kitu kaa kimya uyo mkuu wa nato mwenyewe anakiri kua urusi anazalisha silaha za kimkakati hatari mara tatu Zaid ya silaha za nato na ulaya yoote acha ujinga wewee Russia kwenye vita ni kama samaki akiwa kwenye maji urusi ana uwezo mkubwa saaaana kama haujui kamuulize Hitler aliishia wapi kama sio urusi hao mbwa wako wa ulaya walishakwenda na maji tulia kama ulivyo unyolewe na putini mbwa

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 Рік тому

    Kweli kabisa

  • @amos3202
    @amos3202 11 місяців тому

    B

  • @AbuuGalas-fl1ij
    @AbuuGalas-fl1ij Рік тому

    Broo leo nimekubali kutokana na habari yako

  • @MohammedKimweri-pp5op
    @MohammedKimweri-pp5op Рік тому +1

    Urusi ni taifa kubwa, ni nchi yenye eneo kubwa duniani na ni nchi inayo uthubutu na maamuzi yake

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Рік тому +1

    Putin anavunja records za Watangulizi wake km Vladimir Lenin,Leon Trotsky na Joseph Stalin na kuandika historia yake mwenyewe

  • @CitoFrancoise-kt4pg
    @CitoFrancoise-kt4pg Рік тому

    Kweli urusi ni shuja

  • @jimmyselejimmysele2821
    @jimmyselejimmysele2821 Рік тому

    🎉

  • @KolamuWabene
    @KolamuWabene 3 дні тому

    MUNGU tu mwenye uwezo wakupiga Putin hapa duniani lakini wanadamu au watawala WA dunia hii anawahona kama karatasi tu

  • @najimmaalim976
    @najimmaalim976 Рік тому

    Hawezi kutaka msaada kwasababu hadi sasa urusi hajatumia jeshi lake anatumia asikari wakukod kwaio hakuna shida anayopata urusi ikibid atafanya ivo

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 10 місяців тому

    Amehitaj msaada ila marekani imezitishia nchi zitakazo mssaidia zitakiona cha moto

  • @saidamour877
    @saidamour877 Рік тому

    hamna kitu

  • @user-tl7vy6rt3g
    @user-tl7vy6rt3g Рік тому

    putin juuuu

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Рік тому

    Halaa Putin 😊

  • @toyimwamedi6460
    @toyimwamedi6460 Рік тому +1

    Awapige baba .wanarohombaya.putine wapige baba

  • @wadudi2741
    @wadudi2741 Місяць тому

    Sijakusukia mudamrefu

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 11 місяців тому

    Na aliyosema sasa hivi yametimia...nchi za NATO zinataka mzozo uishe!

  • @irovyairovya2333
    @irovyairovya2333 Рік тому +2

    Hakuna nchi aggressive kwa vita duniani kama urusi

    • @angelomalimi2444
      @angelomalimi2444 Рік тому

      Imeshindwa vita urusi mwaka mzima anahangaika

    • @michaeldjunior1023
      @michaeldjunior1023 Рік тому +1

      How about US

    • @irovyairovya2333
      @irovyairovya2333 Рік тому

      @@angelomalimi2444 anahangaika na nani? Na uyo anaehangaika nae kati yao nani anabondwa?

    • @irovyairovya2333
      @irovyairovya2333 Рік тому

      @@michaeldjunior1023 US stori tu anavamiaga weak countries kama oraq libya yemen, afghanstan na bado anachangia na washirika

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Рік тому +1

    Putin anatakiwa kufahamu ezi za ujerumani hakupigana namataifa mengi kiasi hicho akubali usaidizi tuimalize vita

    • @Beautiful-Place
      @Beautiful-Place Рік тому

      Akubali nini na usikute hataki kumaliza vita ili Ulaya na marekani waendelee kuteseka huku anamega maeneo ya Ukraine! Unajua unapopigana pekeyako alafu ukawa na nguvu kushinda adui yako unampiga unavyotaka Kama anapesa mfukoni hizo ukizitaka unachukuwa tuu! Lakini ukiwa na wasaidizi watakwambia ebu muache twende amepigika.

    • @asantembise6
      @asantembise6 Рік тому

      Huyu kiumbe nikatika watu ambao namuombea sanaa miaka mingi katika uhai wnguuu...mungu amlindee

    • @drankoiddy1953
      @drankoiddy1953 Рік тому

      @@asantembise6ebwana eeeh!! Tuko pa1 ktk hyo Dua

  • @user-os5yj5no9w
    @user-os5yj5no9w Рік тому

    Uongo mtupu hadi sasa ameshashindwa. Na ameshindwa. Ukilipua gesi ndani huku akiwa na wewe upo NDANI ni uwendawazimu. Kwahiyo Hawezi kufanya hivyo.

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t Місяць тому

      Lete wewe ukweli nyie ndio mlioolewa na mashoga wenzenu uko wa marekani ,mbwa wewe shabaha ya urusi sio ukreni shabaha ya urusi ni nato na marekani acha ujinga ndio mana anawapiga mdogo mdogo bila ata kutumia nguvu kubwa wakati huo mataifa Yako yoote ya mashoga ya ulaya na marekani yanajikanyaga pale ukreini wanapigika kweli kweli Tena wanachaniana kupigana na nchi Moja na bado wanashindwa hivi hili nalo linahitaji degree mbwa wewee kaolewe nao kama vipi sisi wanaume wa shoka tutasimama na Russia na putini mpaka mwisho

  • @kassim1262
    @kassim1262 Рік тому +1

    Atasaidiwa nanani kwamfano hao washirika wake anaowategemea rafiki wastor tu co kijeshi mchina hapeleki jeshi lake Ukraine kwasababu yeye mwenyewe yupo ktk foleni anasubiri zamu yake ifike ingizwe ulingoni na Taiwan India hawezi kupeleka jeshi kumsaidia Urusi kijeshi cos hawezi kumkera Uingereza Brazil sote tuelewa hapeleki jeshi lake kumsapot Urusi Iran pia kwambali labda Korea na Belarusi.

  • @abuuloti-zf6pu
    @abuuloti-zf6pu Рік тому

    Avulumishe nyuklia maghalibi wanamsadia ukrein wapo weng sana