Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
PART 3, PUTIN NI MBABE, URUSI NA MAREKANI NI MAFAHALI WAWILI, WAMEFANYA UHARIBIFU MKUBWA DUNIANI
Вставка
- Опубліковано 14 лип 2023
- TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA DUNIANI KOTE
Connect with Us| Tufolow
Twitter👉 / assenga_online
Instagrma👉 / assengaonline
Tiktok👉www.tiktok.com...
Telegram 👉 / assengaonline
REPORT TO US
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com
Mtu akiikashifu urusi tutaumana ohoo😮,
Siwezi kusaport mashoga
Ilove rusiia❤❤❤❤❤❤❤❤
Ahsante kwa maoni yako mazuri,kwa sisi tunaokuelewa.
Mzee kwaurusi nakataa hakunamtu asiejua kua NATO ndio washenzi dunia hii.....bg up Russia
wewe ni mtoto wa juzi hujui siasa wewe umelishwa matango pori
Safi sanaaaa,RUSSIA/PUTIN
Kwani NATO wanajihami nanani naupanuziwao hadiwa
Huna ulichoongea Putin sio muharifu umeongea pumba
Tumeshaingia tayali subili moto ukolee tu
Rusiia maliza mashoga wotee mungu akulinde
NATO wanatetea wanachoma qur an tukufu etiniuhuru wakujieleza lakini kuikashifu marekani nikosakubwasana niajabusana
Wanatetea mashoga kwani nawewe ni shoga?
Huyo mwakatobe yuko vizuri sana, sio kuna watu wengine wanaongelea ushabiki tu humu, hawajui kitu.
Jamaa mchambuzi mzuri
Mungu ibariki urusi
Mwalifu ni marekani Putin sio mwalifu Putin ni mpinga mashoga
Urusi maliza mashoga wote
Ukren alitaka ajiunge na bato kk wa alipo pewa hio nchi na mrudsi alisha ambiwa hamna kujiunga na nato
Punt pinga mashoga nyukilia
Vije tu
Urusi siyo mharifu
Wa bongo wengi wanaxhida ya. Akil hakna m2 mweupe anaewez kukutetea wewe tofaut na masrahi yake binafs cio NATO au RUSSIA nashangaa mnavyo watukn nato
Wewe ndio huna akili sisi wengine tunazo kwani urusi kavamia inchi gani unayoijua wewe au una maslahi na hela za mashoga
Mrudi syra alikua ansmsaidia raisi assad hakufanya vibaya wala acha uongo
Usifasadi wake na manyangau wake huyo nifala anae taka nato amletee vita karibu na puttib?
Sivyo. Urusi si Inchi mbaya kulingana na Inchi za NATO. Kuingiya Kwa Urusi katika Inchi mbalimbali ni kwa sababu za kuokowa Inchi hizo kwa Siasa mbaya za Wamagharibi. Urusi imeingiya Ukraine ni kwa sababu hizohizo za Siasa mbaya za Wamagharibi. Ukraine ni Inchi ili kuwa ni Njiya y’a Wamagharibi kuingiya Urusi. Mimi sihelewi kwa nini Watu wana penda kuilahumu Urusi zidi y’a Ukraine. Sisi wa Africans siyo Watu Wazuri. RUSSIA siyo DR.Congo. DRC ili subiri Rwanda kuivamiya, na leo hii DRC ime poteza Millioni y’a Watu, na Mali kuporwa hovyo. Sasa, Russia, ili wahi haraka saana kujibu mbinu za Wamagharibi huko Ukraine. NB: Russia iko sahihi kuivamiya Ukraine kwa njiya y’a kuji minha na Wamagharibi.
Kukisema urusi myonyaj kama America nisawa na ujui historia haya mataifa historia ya urusi na ukren Bora ukae kimya mchambuz
mwenzio ni mchambuzi wakimataifa ,wewe hata wa mtaani hujulikani
kwahy akiwa wakimataifa hakosei kilamtu anaangalia upande wake
NATO sio saw na PUTIN ww fala , NATO n marekan nd washenz usimshirikish Putin wach usenge
We mjinga unaongea nini we unapenda adui wako asogee awe jirani yako