Maneno ya Sheikh Mkuu wa DSM Mbele ya Maaskofu, Awataka Waislam kujifunza kwa Wakatoliki Nidhamu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 вер 2021
  • Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

КОМЕНТАРІ • 153

  • @emmanuelbrassy4000
    @emmanuelbrassy4000 2 роки тому +7

    Vizuri sana sheikh umeongea ukweli na mungu akubariki sana.

  • @jaksonmayuyaemanuel4041
    @jaksonmayuyaemanuel4041 Рік тому +2

    Safi sana Tena sana uo ndio uzalendo wa ukweli ukisikia upendo na umoja ndio uo ongera sana shekhe Mwenyezi Mungu akulinde zaid na zaid

  • @godwinhaule6100
    @godwinhaule6100 Рік тому +2

    Nakupenda Tanzania yangu mungu tupe zaidi UPENDO na AMANI

  • @singanoatanasi1994
    @singanoatanasi1994 2 роки тому +7

    Hakuna ubaya juu ya hili shekhe umesema ukweli na kuzingatia taratibu safi

  • @mwabigabriel3053
    @mwabigabriel3053 2 роки тому +1

    Asante sana

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj 10 місяців тому

    The best and real man of God, hana mawaa huyu mtu,Allah will be with you.Amen.

  • @piuspanga864
    @piuspanga864 2 роки тому +3

    Asante sana Shekh Alhadj Musa Salum, mwwnyekiti wa Amani na maridhiano, wewe ni mkomavu sana katika imani

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620 10 місяців тому

    Amen amen MUNGU anafanya kazi balikiweni Sana

  • @festusngolo1405
    @festusngolo1405 2 роки тому

    Very nice cemina

  • @rubenharuni79
    @rubenharuni79 Рік тому +1

    huo ndiyo uwongozi sahihi sana ubarikiwe sana

  • @mwanamgenimwamzandi1941
    @mwanamgenimwamzandi1941 Рік тому +1

    Innalillah wainnailayhi raajiun allah atuifadhi kwa tuyatamkayo

  • @idrisasimba8501
    @idrisasimba8501 Рік тому +1

    Ameongea vizuri sana hata mtume( Saw ) aliingia mikataba ya maridhiano na ndugu zetu hao .

  • @kelvinkaijage3275
    @kelvinkaijage3275 2 роки тому +4

    Daima watanzani tudumishe aman na upendo

  • @SmilingBuoy-kb1yn
    @SmilingBuoy-kb1yn Місяць тому

    Ubarikiwe acha wengine wana ropoka.tu na kudharau imani ya mtu wanajiona eti wao niwema

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 Рік тому +2

    Dini si Kila mtu anaweza kuiwakilisha laiti Kama pangekuwa na uchaguzi wa waumini huyu asinge kuwa hata muadhini kwa nidhamu na uelewa alionao.

  • @rosetreffert6727
    @rosetreffert6727 2 роки тому +1

    Safi sheikhe maneno yenye kutia nguvu Sanaa

  • @mosesnyoni2759
    @mosesnyoni2759 Рік тому +1

    Nimependa,kuona mnaishi kwa ushilikiano,na kila mtu kuishi kwa imani yake,

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 2 роки тому +2

    😇🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @makara6671
    @makara6671 10 місяців тому

    Kabisa point

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 роки тому +2

    Raisi wa baraza la Maaskofu katoliki gerephasi nyaisonga ni kiongozi mwenye uwezo wa kujieleza ,hongera.sana baba

  • @raynoldlisanga8106
    @raynoldlisanga8106 2 роки тому +4

    Kiigizo chema ni mtume uwisilam bila elimu ni mtihani

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile7921 2 роки тому +1

    Ahsante Na Hongera Sheikh Mkuu wa Dar es salaam, Busara Na Hekima siku zote umekuwa imara

  • @elyhillary2000
    @elyhillary2000 2 роки тому +2

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @raphaelchua6478
    @raphaelchua6478 2 роки тому +1

    Amani ldumu milele Amina

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 роки тому

    Duh

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +2

    😅😅😅😅😅😆Waslm kma na waona 😆😆😅😅😅😅👌🏽

  • @hajihaji5296
    @hajihaji5296 Рік тому +1

    Huyu ni mnafkiki km mnafiki km wanafiki wengne

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Рік тому +1

    Yaaani....!!

  • @seifjuma4743
    @seifjuma4743 2 роки тому +2

    Eeeeee kak weee hujui kuwa hapa dunia ni miaka 60 ad 70 tu subir ss

  • @mfalmekima5318
    @mfalmekima5318 2 роки тому +11

    Njaa ni tatizo jamani Mungu atuepushe na unafik

  • @Faby_tv
    @Faby_tv Рік тому

    Daaaaah ebu jaribu kupitia comment zote utagundua kinachonisikitisha.

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman1838 Рік тому +1

    Duu uyu shekh vp jaman mbona mm sijakuelewa huyu nishekhe au ni padri watanzania

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV Місяць тому

    Haleluyaaa
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
    1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
    2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
    3=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee

  • @RichardAmosnkonje-pq9oh
    @RichardAmosnkonje-pq9oh 10 місяців тому

    Ndugu zangu waislam mungu tanae muomba ni mmoja tofauti ni dini tu hivyo wakristo na waslam wote ni wototo wa baba mmoja hivyo sijaona kosa kwa shehe hapo tupendane jamani

  • @sultanmussa2838
    @sultanmussa2838 Рік тому +1

    alicho kifanya bondia umeitwa MCHONGO yaani pesa tupuuuuu apo

  • @khamisseif9870
    @khamisseif9870 2 роки тому +1

    Mtihani

    • @fredlyimo1263
      @fredlyimo1263 2 роки тому +2

      Tatizo dini yetu inasema tu wasilamu ndo wa Allan wenu na mafundisho yenu yamefanya na kuweka akili zenu mipaka kiasi kwa mambo km hayo akilini zenu zinafika mwisho na kuanza kupungukiwa na amani na kuanza chuki

    • @fredlyimo1263
      @fredlyimo1263 2 роки тому +1

      Na mkumbuke akili za Mungu c za mwanadamu.

  • @magomakabanja4861
    @magomakabanja4861 2 роки тому +8

    Innalillahi wainailahi rajiiun sio sheikhe wala sio muumini wa kiislam kwa mujibu wa dini ya kiislam atae kua pamoja nao nae ni miongon mwake ? Acheni unafiki masheikhe

  • @yohanalukanga6263
    @yohanalukanga6263 Рік тому +1

    Sihaminigi hizi dini bali na mwamini mungu tu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Рік тому

      Siamini Kufuata Muhamad naamani kumwani Yesu Kristo tu

  • @josaphatlukwaro2378
    @josaphatlukwaro2378 3 дні тому

    Ukimsikiliza huyu shehe bila makasiriko utamuelewa

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 Рік тому +7

    HAWATAKUBALI MANASWALARA NA MAKAFIRI MPAKA MFUATE MILA YAO .. INNALILAH WAINAILAH RAJUN

    • @johnbosconagalau1586
      @johnbosconagalau1586 Рік тому

      Kichwa chako hakipo sawa wewe(chizi) kama hauna coment kaa kimya.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Рік тому

      kafir na Manaswara mamako alie halisha Mavi ukatoka wewe usie na akili

    • @geraldtarimo3210
      @geraldtarimo3210 Рік тому

      Nyani watampinga,lkn yupo sahihi

    • @ggelishachannel450
      @ggelishachannel450 Рік тому

      Roho mbaya tuu kwani sheikh kakosea Nini hapoo

    • @basammussa6774
      @basammussa6774 Рік тому

      Kilichotakiwa kuzingatiwa ni point anazo zungumza hapo, na sio kutukana bila kutafakari kwa kina

  • @nelsonjr7795
    @nelsonjr7795 2 роки тому +1

    Njaa mbaya sana Hawa Wataweza kukubali hata Ushoga

    • @modernfarming5938
      @modernfarming5938 2 роки тому +2

      Utahira mlionao ni kwamba ulitaka ataje kanisa unalosali ww . Ebu ifike mahali akili ziwafunguke

    • @f.a6043
      @f.a6043 Рік тому

      Kwanza nikupe pole sana maana ushoga ni kazi ya ibilis shetani
      Hawa viongozi wa dini wanahubiri habari njema ya MWENYEZI MUNGU ya KRISTO YESU MKOMBOZI WETU ALIE MTAKATIFU WA WOTE wala hawana mawazo machafu kama hayo yako ya ibilisi lusufa kwahio anaetoa mawazo mabaya kama yakwako juu ya viongozi wa dini watu wa MUNGU
      nidhari kua hata ww mwenyewe nimtumwa wa hayo anayojaribu kubambikizia viongozi wa dini
      Mh. Sheikh ameongea kwa busara ya hali ya juu sana kwa namna ambayo sikudhania hata kidogo kweli kweli Sheikh yu nahekima kubwa sana
      MUNGU AWABARIKI WATU WAKE SANA!

    • @halimamnyati9311
      @halimamnyati9311 Рік тому

      Nikweli hii ss ni hatr tuombe mungu atujalie mwisho mwema

  • @ramadhanaldawiyya8659
    @ramadhanaldawiyya8659 2 роки тому

    Sadakta

  • @Othmansheby
    @Othmansheby Рік тому +1

    Mswiba innalillah wainnalilah rajiun

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Рік тому

      Mmm acheni fitina

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Рік тому

      Achana na chuki za wakoloni wa kiarabu na kizungu,cc ni waafrika na tunatakiwa kuishi kwa umoja kama huu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 9 місяців тому

    This is what l have been looking for before late John pombe makufuli deeth mwislim and cresianity are they one single africa not wait people culler first our culler then religious because African American calctur is out skin then religious because we have born in Africa land first respect of our africa calctur then our religious this is Tanzania unity. On our national Africa belong to our calctur on trable believe before religious

  • @siriakirojasi8243
    @siriakirojasi8243 2 роки тому +1

    Ambae hajaetewa.akaekimwa....umeongea.sahihi.kabisa

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 Рік тому

    (wamakana Muhamad abuu ahad) sasa huyo askofu umempa cheo ambacho hata bwana mtume swalallahu aleihi wa Salam hana, hiko cheo ulichompa askofu ndio kimenishangaza salamu haikunishangaza.

  • @saidmuhsin2446
    @saidmuhsin2446 2 роки тому +3

    Mhhh hatar!!Allah atulinde

  • @khadijamusa2838
    @khadijamusa2838 Рік тому +2

    Tulishaambiwa msijifananishe nao.subhana malikinas

    • @jeremiahpirminnyoni618
      @jeremiahpirminnyoni618 Рік тому

      Uliambiwa na nani? Na hao ni akina nani, soma vizuri kuruani usisikilize hadithi za mitaani.

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Рік тому

      Acha ukoloni wa Kiarabu wewe,usijifananishe na mwafrika mwenzio alafu ujifananishe na Mwaarabu au!!

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 Рік тому

    Huyo sio she no kafili mwenzenu laana kum

  • @atamotivetv8104
    @atamotivetv8104 Рік тому +1

    Kiukweli waislam mnaubaguzi Sana yan nimesoma comment du!!!

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Рік тому

      Wakoloni wa kizungu na Kiarabu walitugawa sana kifikra waafrika

  • @khamisikhalfan4720
    @khamisikhalfan4720 Рік тому

    Njaaaa hiii itatuua imani zetu kwa kweli

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Рік тому

      Umoja siyo njaa,achana na chuki tulizopandikiziwa na wakoloni wa kiarabu na kizungu.Huu ndo uafrika halisi

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Рік тому

    Amani ya Bwana iwe Nyani, Bwana yupo uyo?

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 Рік тому

    Nawaonya sana ssna viongozi wetu wa kikatoliki msijiingize kichwakichwa kwenye kundi la huyo mfiraji wa wake za waumini wke wasiojielewa mtatuudhi sana. Kazi kwenu.

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 2 роки тому

    😂😂😂mwisho shekhe umenichekesha

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 2 роки тому +2

    Huyushehe anatia was was muislamu wakweli hasemi hivyo mana diniyetu inatufuza hata mtume aliambiwa yeye anadini yake na wao wanadini yao.VIP awasifu.mjinga huyu shehe pesa

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Рік тому +1

    Huyu shek anatuaribia dini yetu jaman.. muft upo wap na unamwangalia tu na kumuacha

  • @user-tq7fo4tp2x
    @user-tq7fo4tp2x 10 місяців тому

    Bahasha inafanya kazi

  • @fadhilahaji7929
    @fadhilahaji7929 Рік тому

    So waislm hatujui nyinyi masheikhe wetu mkoje na jslimu wetu mbonahatukueleweni

  • @nathanieldaud3744
    @nathanieldaud3744 Рік тому

    mchapio wa nguvu eti amani ya Bwana iwe nyani, all in all umesema vizuri na ukweli huwaweka watu huru

  • @kiboshokibosho-ou6um
    @kiboshokibosho-ou6um 10 місяців тому

    Nchi yetu ni Amani tupu na upendo

  • @zainabujahshi6587
    @zainabujahshi6587 2 роки тому +4

    Sheikh unapoelekea siko...innalillahi wainnailahi raajioun.

    • @gideonibatangaki1317
      @gideonibatangaki1317 2 роки тому

      Nizamu aliyoisema muheshimu atakama amekosea nibinadamu.

    • @dapinitiative2451
      @dapinitiative2451 Рік тому

      Jifunze Kwa shehe wako! Upendo na umoja alionao Kwa dini zote! Huyu ndio kiongozi wa kweli!

  • @jenifagerald1822
    @jenifagerald1822 2 роки тому

    Shekhe umeongea vizur sana na ukweli mtupu 👏👏👏

  • @GilesKhamis
    @GilesKhamis 10 місяців тому

    Ukiona vya eleya, vimeundwa, na ukisikia yanayozungumzwa uwe mkini, kwasababu yanawezayakakujenga na yanawezayakakubomoa , tafakarini sana yanayoendelea hasa kuhusu mkataba wa BANDARI

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 Рік тому

    hii kwa wasomi inapatikana wapi? kwamaswahaba au kwa mtume kanza mungano wa dini mbali mbali maana kama mtuma alikatazwa na ikashuka sura ikimkataza mtu asiungane sasa hii nini? naomba fatwa kwa wasomi

  • @azzanalzakwani7474
    @azzanalzakwani7474 Рік тому

    Wakristo pia wamcheka

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Рік тому +3

    Kwni baba wa taifa alibagua dini wakati anatafta uhuru?acheni ubaguzi mungu ni mmoja na wote shia moja

  • @amourmaftah258
    @amourmaftah258 Рік тому +1

    Huyu na bakwata yote ni madhalimu ktk Uislam...walwahi ni mtihani mkubwa ALLAH anajua zaidi...SUB'HANALLAH.

    • @edwinmanji74
      @edwinmanji74 10 місяців тому

      We unamatatizo gani wewe,huyo anayeongea sio kiongozi wako mkuu wa dini?kibaya kipi hapo au wewe ndo unajua zaidi kuliko yeye?

    • @user-ci9lj2vq9n
      @user-ci9lj2vq9n Місяць тому

      Akili huna

    • @raulianraphael6853
      @raulianraphael6853 8 днів тому

      Mungu wetu n wa Upendo ndio maana hata mwizi akiiba Mwenyez Mungu hamuondolei pumzi nae akifanya Toba Asamehewa
      Sasa kama wewe una Mungu wa peke ako Mbinafsi tuambie

  • @saidmuhsin2446
    @saidmuhsin2446 2 роки тому

    .

    • @kijitamfyomi5598
      @kijitamfyomi5598 2 роки тому

      Kwa hiyo sisi waislamu hatuna nidhamu kwa mtume wetu Muhammad sw hatuna nidhamu kwa maswahaba hatuna nidhamu kwa wanawachuoni wa kiislamu hii kauli tunamuomba mufti amwambie huyu sheikh Alhady awaombe radhi waislamu co kauli njema

  • @abdallahkawambwa2666
    @abdallahkawambwa2666 Рік тому

    Shekh hatakama umesoma kwahilo hapana nahau wala sarfa

  • @salhabashir8280
    @salhabashir8280 Рік тому

    Huyu ndio shekh wakupigwa mjinga sana yeye dunia tuu

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 Рік тому

      Wewe ndo mjingaa Yani huerewi lolote tunajemga nyumba oja tambuwa ivoo tofautu ni matilio ola nyumbaa ni ilelie hii ndo busaraa ya dino sijuio umenierewa labda mikuulize pengine huna erimu ya kutoshaa je umesoma dino IRA huna erimu ya Shure e Hilo ndo tatizooo sikulaumu

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Рік тому

      Acha ukoloni wa Kiarabu

  • @jumajuma7413
    @jumajuma7413 Рік тому

    walaatardhankal lyahudu walannaswara hatta Titania millatahu

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Рік тому

      Andika kiswahili,usituandikie lugha za kikoloni hapa

  • @hajihaji5296
    @hajihaji5296 Рік тому

    Sheikh wa mchongo tubia kwa Allah hwenda Allah akakuongoz

  • @ansfriedmsimbe9509
    @ansfriedmsimbe9509 2 роки тому

    No, wisdom.

  • @erastoernest909
    @erastoernest909 Рік тому

    👏👏🙏

  • @lumumbasankara6388
    @lumumbasankara6388 Рік тому

    Sijawahi ona shekh wa ovyo kuwahi kutokea kama huyu

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 Рік тому

      Wewe huna erimu kwanza hujui lolote kichwani umesoni din tu huna erimu darasani tambuwa kuwa mungu ni wetu sote sote tunajemga nyumba Moja tofautu ni matilio kira mmoja na Imani yake Imani sio uadui maskini pore ndo ulifunzwa ivoo kuamini ivoo tambuwa kuwa hatubaguani Kwa Imani wars dino ya Fulani sisi ni viumbe wamungu tunwachia mungu hukumu zetu harafu waweza kuwa mi mzima harafu huna akili usimwaminishe mtu unachoamini wewe ndo mama Nyerere alikataaa udini ndan ya ncho yetu akatupa uhuru wakuabudu vote akili huna una udini Yu ndayake kifunze wewewisram feli

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Рік тому

    Kama umeona la kujifunza basi wafuate wewe unadhani uislam upo kwaajili ya Dunia!!?? Uislam haufungamani na upuuzi... Kasome Dini.

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Рік тому

    Waislam mmeniangusha jamani,,, kama kweli dini yenu ni safi kwa nini hamna Upendo??? Kwa comments zenu tu mngekuwa na uwezo mngemsaidia Israel kufanya kazi,,, ila hakuna shida tunawapenda tu maana sisi sote ni wa Mungu

  • @AbuKhayrati
    @AbuKhayrati Рік тому +2

    kuna udugu gan baina wasilamu na manaswara

  • @soudia9084
    @soudia9084 Рік тому

    Sasa nimefahamu kwanini dr Mwaka kasema anataka Mufti atoe talaka sio wewe.

  • @rayahaji800
    @rayahaji800 Рік тому +4

    Innalilah wainna ilaih raajighuni uislam wako sheikh unatutia wasi wasi

  • @FatmaJumanne-mi2et
    @FatmaJumanne-mi2et 10 місяців тому

    Sheheh wewe ni mfano wakuingwa

  • @abdulswalehe6959
    @abdulswalehe6959 Рік тому

    Wewe shekhe alihadi naww nikafilikamawao

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 Рік тому

      Hata weeye ni kafili hivyo hivyo.tena zaidi ya huyo unayemtusi.

  • @AbuKhayrati
    @AbuKhayrati Рік тому +1

    uyu siyo shekh uyu ni mukalti

  • @binbadru8408
    @binbadru8408 Рік тому +1

    Shehe hamjielewi,msibabmkubwa huu

  • @harsoshelezi4658
    @harsoshelezi4658 Рік тому +1

    ndiyo maana unapopolewa na waumini kwa tabia zako za undumakuwili

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 2 роки тому +2

    Shehe umewakosea wakristo wa madhehebu mengine unapodai kanisa katoliki ndio kanisa halisi linaloonyesha ukristo wa kweli kweli!

  • @kassimmussa8015
    @kassimmussa8015 2 роки тому +2

    Yani namuhisi kabisa anatamani awe askofu leo hii dah shida jamani.Allah ilinde dini yako tunaowategemea kama viongozi wadini yakiislamu nawao wanatamani nakuhusudu vyeo vyajuu katika dini nyengine.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Рік тому

    Kwenda Kwako Ni Sawa Kwasababu Apo Iko Msuguano Wa Dini Kubali Wito Toa Neno Washike Neno Siku Bola Uvune Wafuasi Kutoka Ndani Apo Apo Kwenda Apo Ni Sawa Kusalimia Pia Ni Sawa Kuwapongeza Ni Sawa Lakini Ndani Yake Utawapa Neno Ambalo Upande Wa Pili Akuna Wanaozani Kwenda Apo Kusalimia Sio Sawa Ao Awajui Imani Wanachojua Malumbano Bila Ukweli

  • @mwamedypwemu6117
    @mwamedypwemu6117 Рік тому

    msiba; mkubwa yan wakristo wanampinga allah na wanamkubali yes nabii issa nawe waunga mkono kwa wakristoo daa msiba mkubwa san yule anae kufa so muslam na akamkana mungu wa kwel na mtume wake uyoo ayupo saw ndo uyoo sufiiiiii wa mkoa

  • @hamisimkima117
    @hamisimkima117 2 роки тому

    Unawaita Ndugu zako Haliakua ili Uwe Mkristo 👈 lazma Umkatae Allah Umkatae Mtume Muhammad sw uikatae Qur'an hapo ndipo Utaitwa Mkristo 👈 vp! Ww kama ni Muislam kweli ulietamka shahada Alafu ukawasifu hao na kuwaita Ndugu zako!?? Wa idhaja a l,munafiqun pindi watakapo kujia Wanafk Utasikia Wakisema sisi tuna shuhudia kua wewe ni Mtume kumbe hao ndio Wanafk Allah anawajua Vizur

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 роки тому +2

      Tatizo una akili ndogo sana , kwenye nchi hii sisi sote ni ndugu ndio maana tunaishi safii kwa Upendo na amani bila kujali tofauti zetu za kiimani, kikabika nk ,hutaki ondoka katafute nchi yako

  • @kassimmussa8015
    @kassimmussa8015 2 роки тому

    Tunawasaidia kwanguvu zetu najuhudi zote makafiri kwani ameambiwa kwamba waambie ewe.Muhamad wao wana dini yao nawewe una dini yako leo shekhe anasema kajifunza kwawatu ambao hawaitakii mema dini yake😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @titosilayo7550
      @titosilayo7550 Рік тому

      Huo niuongo

    • @f.a6043
      @f.a6043 Рік тому

      Ww mwenyewe kwanza hapo naona umeridhika na yale Mh. Sheikh alioyasema na una cheka😂😂😂🤣🤣🤣 kabisa peace and love usimkosee kiongozi wako mheshim
      Mengine muachie MWENYEWEZI MUNGU yeye ndie ajuae mambo yote

    • @titosilayo7550
      @titosilayo7550 Рік тому

      Saw ,

    • @greysonmheni5176
      @greysonmheni5176 Рік тому

      Makofi kwa shekhe tafadhali

    • @titosilayo7550
      @titosilayo7550 Рік тому

      @@greysonmheni5176 🤝