PADRE ALIYEMLEA FR.CHESCO AELEZA MAZITO,ALIKIMBIZA MWENGE KITAIFA,VIPAJI LUKUKI
Вставка
- Опубліковано 26 сер 2022
- Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...
Asante Fr.kwa mahubiri mazuri yaliyo jaa hekima busara za ki Mungu ucheshi na wosia mzuri kwa Baba Chesco.Hakika umetushibisha na sisi tulioko huku Lushoto.
( FR. Padre AllYEMLEA CHESCO)
THANK YOUR SO MUCH FOR HELPING African a country s
AND ALL WORLD.
WE THANK YOU FOR THE LORD GOD BLESSING YOUR IN AFRICAN.
THANKS.
Fr. Asante sana kwa maubiri mazuri ya yaliyojaa furaha
Fr. Vicente
Fr ameongea neno zito sana.... kila mmoja anaguswa kwa sehem yake... inatafakarisha sanaa
Padre ni mhubiri mzuri unayeweza kumsikiliza bila kuchoka. Amehubiri vizuri. Hongera tena Pd. Chesco!
Hakika Padre Chesco walikuja nyuma ya kina Padre Onesphory Kayombo
Padre umehubiri vyema, na umemtaja kaka Yangu marehem Padre Onesphory Kayombo mlie kuwa nae shirikani hapo manyoni.
TYK
Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
3=Maombi ya vita vya kiroho
Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
Pad tumekusikia
Huyu baba mcheshi......