Mapadre Wazee Mbeya Wavunja Watu Mbavu kwa Vituko | Misa ya Shukrani kwa Uaskofu wa Askofu Musomba

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 гру 2021
  • Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

КОМЕНТАРІ • 36

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 2 роки тому +10

    Father wetu Zanzibar Father Mang'amba japo walikumwagia Tindi Kali lakini unaendelea kumtangaza Mungu.

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 2 роки тому +3

    Asante Baba Mwang'amba. Najua unamtumikia Mungu kwa moyo wako wote!!!

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 2 роки тому +8

    Padre wetu from Zanzibar,mwenye Imani thabiti ,pamoja na kumwagiwa tindikali anaendelea kumtumikia Mungu.asante Mungu

    • @oliverwabwire2836
      @oliverwabwire2836 2 роки тому +2

      😳😳😳 oh no, pole sana... Mungu amzidishie nguvu na udhabit 🙏

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 2 роки тому +1

      @@oliverwabwire2836 Asante! Kama uliwahi kusikia hii story ndiyo huyo unayemuona!

    • @neemataris3273
      @neemataris3273 11 місяців тому

      Aisee binadamu sisi mioyo yetu ina siri kubwa sasa nini hicho jamani Mungu atuhurumie na kutusamehe wadhambi sisi

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 5 днів тому +1

      ​@jovhata mm niliskia ila leo ndonamuona😢😢anafidelis2802

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 2 роки тому +7

    Mungu yupo kati yenu.Amina

  • @reginaandrew6891
    @reginaandrew6891 Рік тому +2

    Jamani binadamu! Kumbe ndivyo alifanyiwa! Pole sana Baba yangu. Mungu ambae hakuruhusu yawe waliyotamani wao hatakupungukia Daima. Yupo nawe hata milele

  • @furahambughi4977
    @furahambughi4977 2 роки тому +4

    Mungu awalinde mapadre wazee wetu hawa!!!

  • @igulampoki6312
    @igulampoki6312 3 місяці тому

    Padre Mwang'amba Mungu awatunze pamoja nautume wenu

  • @igulampoki6312
    @igulampoki6312 3 місяці тому

    Fr Mwashuya hongera nimekuona paroko wetu

  • @piusnkwale
    @piusnkwale 2 роки тому +3

    Pamwanya nkani.huyo ndio fr Ernest Mwashiuya.😄

  • @filbertstephano8038
    @filbertstephano8038 2 роки тому +1

    Mungu awabariki saana Mapadre wetu

  • @cecilialucas7655
    @cecilialucas7655 2 роки тому +5

    Mungu awalinde na kuwatunza katika utume wenu

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri7480 2 роки тому +2

    May God bless you guys

  • @harryvice77
    @harryvice77 2 роки тому

    Paroko kutoka Zanzibar Latisha sanah Yuko na vibe usipime

  • @a.k.lhumble1553
    @a.k.lhumble1553 2 роки тому +1

    Ni vizuri sana.

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 2 роки тому +1

    Furaha hii kwa nyuso zao Hadi rahaaa

  • @fredjoel1350
    @fredjoel1350 2 роки тому

    Pole sana mzee mwang'amba naona magaidi og walitaka kuondoa uhai wako wakashindwa!

    • @neemataris3273
      @neemataris3273 11 місяців тому

      Inasikitisha sana, Chukizo kubwa mbele za Mungu.

  • @igulampoki6312
    @igulampoki6312 3 місяці тому +1

    Pamwanya nhani

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 2 роки тому

    Baba yangu fr.Mwang'amba

  • @ruthmaina3122
    @ruthmaina3122 2 роки тому

    God bless you all

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri7480 2 роки тому +1

    Patrick muchiri UA-cam wishes you well

  • @evajohn5122
    @evajohn5122 2 роки тому +1

    Amen 🙏

  • @LuciaMwangambaku
    @LuciaMwangambaku Місяць тому

    🙏🙏🙏🎉🎉🎉

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 роки тому +2

    Katika maaskofu ambao wana uwezo wa kujieleza na nawakubali ni gerephas nyaisonga

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 2 роки тому +1

    ameee i

  • @a.k.lhumble1553
    @a.k.lhumble1553 2 роки тому

    Le prêtre Anselme Mwangamba qui a une foi solide, malgré qu'on lui avait versé sur lui (sur son corps), l'acide sulfurique . Pour le moment il continue à faire son travail à Zinzibar. Merci

  • @charleskimario1196
    @charleskimario1196 Рік тому

    Mzee ila hahitaji mike

  • @davidmartin2404
    @davidmartin2404 2 роки тому

    Mbona ameacha maiki sasa

  • @innocentchaba3385
    @innocentchaba3385 2 роки тому +1

    Askofu Augustine shao sio askofu mkuu, baba Aselmo please

  • @jchriss4269
    @jchriss4269 2 роки тому

    Pia kijana huyu ameunda bunduki mbeya.....
    ua-cam.com/video/dDBwWu_ANd4/v-deo.html