Sheikh mkuu wa Dar es Salaam,Alhad Mussa apigwa kalamu na BAKWATA,Sheikh Walid achukua nafasi yake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2023

КОМЕНТАРІ • 17

  • @rambazojournalist666
    @rambazojournalist666 Рік тому +3

    Hongera Sheikh Walid, Allah akusimamie na akuingoze katika kumtumikia yeye na waislamu kwa ujumla. Nakupenda kwa ajili ya Allah.

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 Рік тому

    MaaaaaaashaaaaAllaaaah. Mufti wetu kichwa sn. Ana nuru kubwa. Anaona mbali sn. Allahu akbar...

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Рік тому

    Masha Allah mwenyezi mungu amuongoze kwa kila zuri na kutatulia waialamu matatizo ayo in shaallah mwenyezi mungu atamuongoza

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 Рік тому +1

    ALLAH KARIM AKUONGOZE UTENDEE MANZURI NA HAKI KWA WATU WAKO.

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Рік тому +1

    ALHAMDULILLAH
    Shukrani pia kwa Sheikh Kiongozi wetu Mufti Mkuu wa Tanzania Kwa hakika tunajivunia uwepo wako Sheikh wetu
    Congratulations Sheikh Walid Alhady ALLAH Akuongoze Katika Kututumikia Waislamu na Umma wote Kwa Ujumla
    ALLAHU Akujahalie uwadilifu Uliotukuka ALLAHMMA AMIIN AMIIN AMIIN THUMA AMIIN.
    Tunakupenda Kwa Ajili ya ALLAH
    Na tunakuhakikishia Tupo pamoja Sheikh.

  • @abdulrahmanminjuma8649
    @abdulrahmanminjuma8649 Рік тому

    Maashaallah Maashaallah Maashaallah Allah awajaze kheri nuru na hekma Masheikh zetu inshallah.
    Tena awazidishie elimu inshallah.

  • @mariamuhady6257
    @mariamuhady6257 Рік тому +1

    Shk.walid ushauri wangu fanya mpango pale kichangani awepo imamu mpya badala yako!!!km umekubali ushaur wang nipe like zangu

    • @ahz6907
      @ahz6907 Рік тому

      Sawa ushauri ntaufanyia kazi.inshallah.

  • @suphiantwahiru6093
    @suphiantwahiru6093 Рік тому +1

    Ee alhamdulillah, alhamdulillah, alhamdulillah,

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 Рік тому

    Au Kama atakwenda kuyarelebisha mambo na kuwa mfano wa kuigwa kwa masheikh wengine basi ni kheir inshaallah

  • @ibrahimsaidi5068
    @ibrahimsaidi5068 Рік тому

    masha allha

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 Рік тому

    Binafsi Mimi sikupenda sheikh Walid awe katika hiyo nafasi alikua aendelee na majukumu yake sakata lao bakwata awaachie wenyewe

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Рік тому

    Nyie twendeni Tu Kama yote yanayo endelea ni Kwaajiri ya dini Sawa nakama yanayo endelea mnailenga dunia majibu mtayapata insha'Allah

  • @ibrahimsaidi5068
    @ibrahimsaidi5068 Рік тому +2

    sababu ya kusimamishwa ushekh wa mkoa wa dsm ni nini

    • @ahz6907
      @ahz6907 Рік тому +2

      Hajasimamishwa kaenguliwa yani sio sheikh mkuu wa mkoa dsm tena. Wewe kama ni muungwana sidhani kama utamfurahia yule alhad mussa.mazungumzo yake hayana busara wala hekima hakustahili kuwa pale.tena naona wamechelewa ilitakiwa aondolewe miaka kadhaa nyuma.

    • @fatmaamin3848
      @fatmaamin3848 Рік тому +3

      Mumeonesha udhaifu brand ya dkt mwaka ni bora kuliko Allah yatafakarini

    • @samahabdallahmohamed1135
      @samahabdallahmohamed1135 Рік тому

      Bora mmrmtoa jmn alikimua hatufai piten na mikoan mtumbue