DUA ya SHEIKH MKUU DSM Yawashangaza WATU, Aomba kwa JINA la YESU na MTUME, Ni kama SHAIRI...
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2020
- DUA ya SHEIKH MKUU DSM Yawashangaza WATU, Aomba kwa JINA la YESU na MTUME, Ni kama SHAIRI...
MGOMBEA URAIS (CCM) Dkt John Magufuli, ameendelea na kampeni zake katika jiji la Dar es Salaam, ambapo leo Oktoba 14, amefanya mkutano wake wa kampeni katika viwanja vya Tanganyika Pakers vilivyopo wilaya ya Kinondoni...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mungu hawafichi wanafik. Hafai huyu hata kusali nyuma yake
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُمْ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ
Tauba 113
اظن انه لم يرا هذه الاية
شترون اياة الله بثمن قليل
بلبسون الحق بلباطل
يقولون مالا يفعلون
اين علماءنا كي يخرونه من الظلمات الي االنور؟
لقد ضل سواء ااسبيل
سبحان الله!!!
nimeshindwa niseme nini .ALLAH ATUPE SUBIRA WAISLAM
Vumilia
kwani kakosea nn hapo? au uelewa wako ndo mdogo?
Kiuhalisia mtu mwislaam anapoomba na kusema "ashindwe kwa jina la yesu ni makosa. Kwa sababu kiimani waislaam tunaamini ni Mungu pekee ndio mtoa shari. Na hivyo kwa kupitia Mungu pekee mtu hawezi kupatwa na shari! Ila pia nikimuangalia shekhe, pengine ni mapenzi yake binafsi makubwa alionayo kwa raisi wetu na hivyo ili kuweka usawa na hasa ukizingatia dini ya raisi ni mkristo ndio maana akaomba katika mlengo huo. Sasa kama kakosea ama yuko sawa, sisi hatujui na wala si ni wenye kuhukumu! Ila Mungu peke yake ndio anaejua!
Safiiii
Ole wao wanaopindisha HAKI EEE MOLA WETU yote aliyoomba Shehe yawarudie AMEN
Amen
So that you are telling us Jesus should not be preached by Muslims go and read properly what quaran says about him
Amiiiiiiiiiiiiiin..... 🤝🏻 yarabil aalamin..
Subhannallah Allah, M/ Mungu anakuona na nia yako mbaya
@@silimahamza4866 Kwani mimi ndio sijaelewa au? Issa bin MARYAM katajwa lakini kwa baraka za Mtume MUHAMADI SAW TUNAKUOMBA EWE MOLA wetu. Aliyeombwa hapa ni MOLA wetu sasa ni kipi kakufuru? Issa bin MARYAM ni Mtume wa ALLAH lakini kwa baraka za Mtume MUHAMADI. Hajaombwa Issa hapa kaombwa MOLA wetu. Wenzetu wao wanaomba kwa Issa/Yesu. Tukiwa na mihemko tutashindwa kuwaongoza wenzetu
Inaaalillah wainnaa ilayhrrajiuun
Inna llillahi wainna illayhi rajiuun ama kweli huu ni mwisho wa dunia tutaona mengi
Tusiwe washabiki tuwe MAKINI katika kusikiliza.
ndio kazi ya Bakwata hiyo wanao kutangazieni mwezi
@@ziadasadiki8196 mamb ypo waz kabsa yan hpo katia haki na batili alaf kachanganya
We ziada inawezekana ht madrasa kujui huwa wanakaa vp ili wasome.hujitambui.hujielewi.ckia ww uislamu imekamilika hauna marekebisho.we unaona hy shekh wk yupo sawa????.poke Yk.ngoja tukuhurumie maana elimu ya dini imepitia miguuni.kwanza nijibu swali unaweza kumuombea dua muuza bang??au mchawi.??je dua hy itakubaliwa na Allah???.ukiona huna elimu kaa kimya .
Alhadi njaa ya tumbo umeamua kuipeleka kichwani umefeli sana pole mungu akuongoze mwalimu wangu
Shekhe hongera sana mathayo 10:33 itakutetea siku ya mwisho usisikilize maneno ya watu msikilize mungu
Kabisa
Askofu sheikh akiomba dua ya kipekee😂😂😂
Taira huyu.
Awo ndo mashk ubwabwa waliobaki hhhhh
Haogopi kufa?
Bakwata ifike mwisho sasa kazi kubwa kupoteza umma, tuamke
Kiongozi anaombea upande moja hahhah apana
MNAFIKITU HUYU SIYO SHEHE""
MAJANGA KWELI.
JAMANI kasema Issa bin MARYAM wao wanamwita Yesu kwani kipi kina Rushwa hapo. Kasema kwa Baraka za Mtume Wetu MUHAMADI SAW tuna muomba Mwz MUNGU. Sasa kipi kipwa hapo hata angetajwa Nabii IBRAHIM MUSSA ADAM kikubwa hapo anayeombwa ni MWZ MUNGU tu kwa Baraka za Mtume. ACHENI USHABIKI, Darasani tutafeli tukipewa chemsha bongo kidogo tu HOI
@@ziadasadiki8196 ckia khs kuomba kuomba dua kuptia baraka za mtume Muhammad inafaa Ila haifai kuomba dua kwa kusema kwa jina LA yesu hlo limektazwa maana Allah anasema tumuombe kwa jina lake yy Allah ndy maana jambo lolote lile kuna bismillah rahmanir arrahiim
@@abdulazizmwipi9750 Aliyeombewa nani pale? Uislam ni Hekima na Busara. UTAWALA una hekima zake tuache . CHAMSINGI HAJAKUFURU HAKUNA ALIYEPEWA CHEO CHA ALLAH. UTAWALA NI BUSARA ISIKILIZE VIZURI UTAJUA UISLAM NI HEKIMA.
Ndio sisi sisi tukipewa Utawala mwaka mmoja tu AMANI INATOWEKA. Uislam ni hekima siyo Mihemko. Busara ni muhimu sana AMANI yetu TANZANIA ni jambo la Msingi sana. Wao wana DINI yao nami nina DINI YANGU. Muhimu kuomba kwa Jina la MOLA Wetu na kwa Baraka za Mtume wetu MUHAMADI SAW. Tusipandikizwe Mihemko kila mmoja wetu ashike DINI yake kwa MAGEGO Mtume wetu MUHAMADI SAW alishamaliza Hukumu ni ya ALLAH ndugu zangu. 🙏👏
@@ziadasadiki8196 nakuelewa ziada aliyeombewa pale ni rais kwan shekh hakushndwa kuomba dua kawaida bila kutaja jina la yesu maana hpo kaingiza shub hat na ujue ukhty ktk dini ya uislam kuna mipaka yke jmn shekh akubali kuwa kateleza hpo maana hta bakwata wenyew wamecktishwa na kitend cha shekh je we ambye una elim ya kuwazid hao viongzk was bakwata unamtetea
Allah atuongoze na atuepushe na upotevu
Mwenyeez mungu wewe unajua cha kumfanya huyu mtuu anae jiita ostadhi ya Allah tulipie kwa baya hili. Analo tufanyia waislam🤲🤲Amen
Amin rabi amin
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Mimi mkenya lakini nampenda viongozi watanzania wanavyofanya kampeni na amani kwa kuheshimu dini ya kila mmoja wao
Kwanza huyo kwa maneno yake si muislamu ,
Ameritadi Bila yet kujua sababu amenasibisha yes Ni mungu ingawa ajasema yesu mungu.
Kitendo Cha kisema washindwe Kean jina la yesu, na yesu kwetu si mungu,itikadi hi Ni ya wakrsto katika iman yao na wanamuomba yesu badala ya mungu.
Ajabu kwa mtu Kama huyu kuongea maneno haya na anajua fika mungu Ni yupi na yesu Ni Nani.
Aslimu upya huyu shekh na aimpasi kujishughulisha na Jambo lolote la dini mpaka atakapolejea upya.
Ameshirikisha
Subuhana allah . Mtihan huuu yaarab tupe mwisho mwema
Unaomba kwa jina la Yesu ili umfurahishe nani!!! Dah! Si ungesema tu unamuomba Mwenyezi Mungu. Mola anakuona wewe!!! Yarabbi tusameh na utustiri. Si ungesema tu kwa baraka lakini kwa jina tena!!!! Unafik.
Innalillah wainnaillaih rajiun
Ole ni ya Mungu pekee sio ya kibaraka kama shehe.
Nakumbuka siku moja jamaa moja aliyekuja kwangu kuomba msaada nimwazime laki 1 kuwa ana matatizo lkn kabla hajaomba alianza kunipa sifa zangu nilivyo na kuwasaidia watu na kumponda jamaa moja alikuwa rafiki yangu nakumbuka nilimpatia hiyo hela na hakurudisha mpaka leo na tumepishana sana kwa maneno kisa hiyo hela.
Na alipokwenda kwa yule rafiki yangu tena akampa sifa kedekede na kunisema mm vibaya zaidi ya yale alioniambia kumhusu yule jamaa na hapo tena akamuomba laki 5 lkn akapewa 4 na hakurudisha alipodaiwa ilikuwa shughuli pevu mpaka mahakamani
Sasa swali langu sishangai kuona shehe anamsifia magufuli mbele yake nakumsema vbaya upinzani kwa kuwa sifa kubwa ya mbea ni hiyo sio shida kibaraka siku zikikuishia au ukija kudaiwa utazitapika mkunduni
Noo mungu anajua mioyo yet u na ndo anayo deal nayo
Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya
Yupo sawa kabisa Yesu Kristo ndio Mungu Muumba wa mbingu nanchi.. Imeandikwa kila kinywa kitakiri na kila goti litapigwa mbekezake.. Shehee Mungu wangu na akubariki na kwakumkiri kwako ikakumbukwe hata Siku ile kuu
Astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah wanatubuika. Ya Allah tuepushe na adhabu zako na watu wanaokufuru kama hawa. Amin
ALLAHUMA Ameen
Atuepushe sisi na amuhathibu yeye huyu mkulima wa dhambi..laana iwe juu yake kwa hizi duaa za kumtharirisha Muhumba wa vitu vyote na asiyekuwa na mshirika.. pesa kweli mtoto wa haramu wstu wanabadilisha mtindo wa dini kama mitindo ya nguo au Music?..dah hatari
HAJAKOSEA, NA KASEMA KWELI KABISA KAMA IPASAVYO NA QURAN. MUNGU HAJAMWEKA MBELE MTUME YOYOTE, ILA, WAMEKUJA KWA KUTANGULIANA. Hizi Ayya mbili ndio ushahidi..
2/136
قُولُوا آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ إِلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَمَا أُوتِيَ النَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
English
Say, [O believers], "We have believed in Allah and what has been revealed to us and what has been revealed to Abraham and Ishmael and Isaac and Jacob and the Descendants and what was given to Moses and Jesus and what was given to the prophets from their Lord. We make no distinction between any of them, and we are Muslims [in submission] to Him."
Swahili
Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa MUSA na ISA , na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
3/84
قُلْ آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
Sahih International
Say, "We have believed in Allah and in what was revealed to us and what was revealed to Abraham, Ishmael, Isaac, Jacob, and the Descendants, and in what was given to Moses and Jesus and to the prophets from their Lord. We make no distinction between any of them, and we are Muslims [submitting] to Him."
Swahili
Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
@@chakubanga1 mkipenda kitu mnabadilisha hata haya za dini zetu Wa Tz wakati.....haya hapo.mimi siendi tena na utonisikia tena sababu umesababisha niangalie Quran wakati nipo chooni. Tetea tu wewe na Mola.wako .
Inalillahi wa inna Illehirajiuun
Ukweli ni kwamba! Dua hii HAIPO! Na haijawahi KUWEPO! DUNIANI! Mpaka AKHERA!!! 😭😭
Uzuri kashasema dua yakipekee
Laana tullahi aleikum
HAJAKOSEA, NA KASEMA KWELI KABISA KAMA IPASAVYO NA QURAN. MUNGU HAJAMWEKA MBELE MTUME YOYOTE, ILA, WAMEKUJA KWA KUTANGULIANA. Hizi Ayya mbili ndio ushahidi..
2/136
قُولُوا آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ إِلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَمَا أُوتِيَ النَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
English
Say, [O believers], "We have believed in Allah and what has been revealed to us and what has been revealed to Abraham and Ishmael and Isaac and Jacob and the Descendants and what was given to Moses and Jesus and what was given to the prophets from their Lord. We make no distinction between any of them, and we are Muslims [in submission] to Him."
Swahili
Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa MUSA na ISA , na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
3/84
قُلْ آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
Sahih International
Say, "We have believed in Allah and in what was revealed to us and what was revealed to Abraham, Ishmael, Isaac, Jacob, and the Descendants, and in what was given to Moses and Jesus and to the prophets from their Lord. We make no distinction between any of them, and we are Muslims [submitting] to Him."
Swahili
Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
Hahaha
@@chakubanga1 usitupe ushahidi usioendana na alichokisema. .ili ukufuru lazima upitie vipengele 4 .kauli vitendo itikadi na shaka huyu kwa kauli yake anasema kwa jina la yesu washindwe na walegee hivi mtu akishindwa ni kwa jina la yesu au ni kwa uwezo wa Allah
Huyu shee anaijua kweli ajabagua mungu ampe kibali kwa jina la yesu kristo asante mungu kwa ostazi huyu mpe maisha marefu.
Mashekh wengine wako zaidi kwa maslahi ya kidunia....
Kwani angemuelekea Allah s.a kwa kuwa yeye ndie anaempa pumzi mpaka muda huu angekwama wapi.
Tusihofie viumbe wenzetu kwa ajili ya madaraka.... Hakika wakati mwengine tunahafilika mpaka siku ya mauti ikifika ndio tunakuwa na majuto ambayo hayatomsaidia kiumbe yeyote....Yote hiyo inatokana kwa kutokuisoma dini na kuifahamu kiundani zaidi.
sishangai kwakuwa Bakwata ndio Tawi lao
Wewe sheihk ndie ulikua unakataza viongozi wa dini wasi ingilie siasa hili ww ukapigie kampeni magu. Mwambie afungue masheihk wenzako sio unapiga maombi siasi hayata jibiwa
👍
Inna Lillahi Wainna ilaihi raajiun!!!
Haya mnavyomsemaga mzee yusuph maskini haya na hayo je?😁
EE mungu tupe moyo wa shukurani ktk matendo yako tusiwahuzunishe wajumbe wako wala wewe muumba watu amina
Innalillahi wainna ilayhi raajiun, Duh unamuombea Kafiri azidi kutumaliza Waislam au Sio
Inna lillah wainna ilahi raj'un
Innalillah wainnailaih rajwn.....
Acha unafiki Mungu angeamua kudeal na maovu yako Ungekuwa na uzima mpaka wa kutazama video za youtube?
Innalillahi wainnailaihi raajun,shekh ,Ilunga Allah amrehem aliyasema enzi za uhaiwake,,,ukumbi wa jubilee ,,,,,viongozi wetu hadi Leo hawajitambui,
Allah (S.A) aliwaona wanafk km hawa na akawapiga mihuri kwenye nyoyo zao, Laanatullah.
Astaghfirullah, Astaghfirullah, Aibu, kila moja aombe dua kutokana na dini yake, kwahivy mufti wetu anadini mbili??????????
Ni msiba kwa waisilam tanzaniya hatuna kiongozi wa waisilam na atae weza kuuteteya uisilam inauma sana.😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyo ameakilisha MAOMBI ya waisilam na wakristu jamani badala ya kwenda watu wawili ,amewakilisha mtu mmoja,tusiwe watu wa kuhukumu
tena kamuweka yesu mbele mtume mohamad nyuma,,,,,,,, yaani yesu kwanza
@@sundaymakungu2500 nyinyi mnapata tabu ya kuhukumu mwachieni,MWENYE Kazi Ya Kuhukumu,Ahukumu Ambaye ni MWENYEZI MUNGU.Alafu Shekhe kawawakilisha Wakristu Pia,sababu angeenda mchungaji asingeweza kuzungumza kwa Dini ya kiislamu,ndo maana kaenda shekhe,ili azungumze kwa pande zote mbili,sasa nyinyi tatizo lenu ni lipi,kutajwa kwa YESU KRISTU,( ISSA BIN MARIAMU), AU Nini ? Na kama mmeona kakosea basi subirini Muone kama SALA Na MAOMBI Yake hayatasikilizwa,Na MWENYEZI MUNGU. Na sio kutoa mapovu kama nyinyi wajuzi wa MAOMBI .
Halafu huyu ndie ati atutangazia Mwezi, ni kweli Allah Ametuelekeza kuwafuata viongozi wetu wa dini ya Uislam lkn c kama huyu Mpotofu
Cjawahi kufuata mwezi wa nchi yoyote mpaka tuone hapa ama tutangaziwe na wao lkn In Sha Allah mara hii mpaka niuone kwa jicho langu c kutangaziwa na walaanifu Kama hawa
Mashekhe wa Bakwatwa hao
@@salumhamad4099 hawa si mashekhe wa Bakwata na makuhani wa Kupakatwa 💪💪😁😁😂
Ikiwa Itikadi yake kama hiyo anadhamana gani ya kuwatangazia watu Mwenzi, lakini Masheikh wetu walio enda kusoma Mabrui, Itikadi zao ni zakuunga unga tu
Laailaha illa Allah,,,
Inalillahi waina ilahi rajiuuun. Enyi mashehe hemu jieleweni kesho kwa Allah mutakwenda kuulixwaaa
Inalillah Waina llayh Rajiun
Shekh upo sawa kabisa mgufuli yy ayupo kanisan wala msikitini
@@user-jk5ir4ke3z dah nlidhan una jina la kikiristo lkn jina la khadija alf unasema sawa mhh
Unajua lmani ni ww mwenyewe tu
@@user-jk5ir4ke3z Haiswiii kisheria amekosea,, Ni shiriki kuomba kwa jina lolote isipokuwa la ALLAH,
@@zuheraaziz9343 hao wachumia tumbo Zuhera waache tu
Inalilah wa Inalilah Rajuun😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Njaa sio poa uyu ni unafiqi wa khali ya juu Allah akulani hufai kua sheikh Mshenzi wewe subiri fimbo ya Allah
Sheikh Mtihani sana Unajinasibisha. Unamtanguliza Mtume issa wakati Rasollah wallah ndio Muombezi wetu siku ya kiama. Kwa uchache wa elimu unaona Makosa mengi Allah Atujaalie nyoyo za kumpenda mtume muhhamad s.w.a
Yesu ni Yeye na Yule Yule.....Anapendwa na Watu wote kama Mtume wanamtaja Wakristo vinywani mwao.... Upo sawa Kristo akutunze Shehe....
Amina
Waislam tuwanapenda mitume wote. Lakini nionavyo mimi dua kama hio haifai, WALLAHU AALAM.
HAJAKOSEA, NA KASEMA KWELI KABISA KAMA IPASAVYO NA QURAN. MUNGU HAJAMWEKA MBELE MTUME YOYOTE, ILA, WAMEKUJA KWA KUTANGULIANA. Hizi Ayya mbili ndio ushahidi..
2/136
قُولُوا آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ إِلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَمَا أُوتِيَ النَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
English
Say, [O believers], "We have believed in Allah and what has been revealed to us and what has been revealed to Abraham and Ishmael and Isaac and Jacob and the Descendants and what was given to Moses and Jesus and what was given to the prophets from their Lord. We make no distinction between any of them, and we are Muslims [in submission] to Him."
Swahili
Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa MUSA na ISA , na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
3/84
قُلْ آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
Sahih International
Say, "We have believed in Allah and in what was revealed to us and what was revealed to Abraham, Ishmael, Isaac, Jacob, and the Descendants, and in what was given to Moses and Jesus and to the prophets from their Lord. We make no distinction between any of them, and we are Muslims [submitting] to Him."
Swahili
Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
Ahsante. Jazakallah kheir. Allah atujaalie kila la kheir na atuongoze kwenye njia sahih. Amin Ya Rabil Al Alamin. 🤲
@@chakubanga1 hivi hii aya ulioitoa hapa ndo dalili ya kutaka kutuambia ndio dalili ya hichi alofanya huyu. Hivi hujui km njia zetu na zao ni tofauti? Na huoni kumuweka reheni mtume ni kosa kwa wasompenda mtume na ni ipi faida ya hapo inayopatikana zaidi kwa Sie waislam
Dooh Subhanallah kuipenda dunia ni kichwa cha kila Makosa
Huyu kweli nikiongozi wa kiislam tz poleni sana ndio tuna sema yoyote alie tumbukia ktk uzushi basi ukaribu wake na Ukafiri auko mbali
Hashim ahsante.tuombee dua.
Usipotee ukatenda dhambi bure chunga akili yako
Thanks Shee...hiii ndo tz safiiii
Rahana tullah
HAJAKOSEA, NA KASEMA KWELI KABISA KAMA IPASAVYO NA QURAN. MUNGU HAJAMWEKA MBELE MTUME YOYOTE, ILA, WAMEKUJA KWA KUTANGULIANA. Hizi Ayya mbili ndio ushahidi..
2/136
قُولُوا آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ إِلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَمَا أُوتِيَ النَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
English
Say, [O believers], "We have believed in Allah and what has been revealed to us and what has been revealed to Abraham and Ishmael and Isaac and Jacob and the Descendants and what was given to Moses and Jesus and what was given to the prophets from their Lord. We make no distinction between any of them, and we are Muslims [in submission] to Him."
Swahili
Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa MUSA na ISA , na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
3/84
قُلْ آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِن رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
Sahih International
Say, "We have believed in Allah and in what was revealed to us and what was revealed to Abraham, Ishmael, Isaac, Jacob, and the Descendants, and in what was given to Moses and Jesus and to the prophets from their Lord. We make no distinction between any of them, and we are Muslims [submitting] to Him."
Swahili
Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
Angalia dua alivyoiomba kuamini mitume na vitabu vyao ni haki ila hakuna dua ata shekhe mmoja wa kijamii aliewahi kuomba mwanzo akamtanguliza yesu
Inshallah Allah hatomuhifadhi huyo na wewe mwenyewe Allah akupe la kukupa mashekhe wanafiki nyinyi
mumewaweka mashekhe ndani na wewe mnafiki shekhe gani wewe Mungu akulaani kwa ushirikina wako hasfu wahed
yani mnafki kupitiliza
Namkumbuka kwaher shekhe ilunga mungu amuweke mahala pema pepon tuyashuhudia yale ukioyasimamia leo tuyaona kwa macho yetu
Shkh umeritadi...sefle wahed
Na 'Allah anayo majina mazuri basi ombeni kwa majina hyo'..Subuhanallah sheikh anaomba kwa jina la Yesu
NDIYO ANAAMINI YESU ANAYO NGUVU
Vya MUNGU mpeni MUNGU vya kaisari mpeni kaisari
Bal tuu'sirunal hayaatad dunyaa, suratul Al-a'laa aya ya 16_ Lakini ninyi mnapenda zaidi maisha ya dunia. Hii aya inamuhusu
Ahsante kaka.
Amin🙏🏿
Kweli dunia imekwisha....
Mashekhe njaa hao kwa jina la yesu tangu lini
Ww ndo hujui k2 mamuma mkubbwa mtume mwenyewe kamtaja yesu kuwa yy ndo ishala yakiyama kwann mtume hakusema mm ndo ishala lakn akamtaja yesu soma usikimbilie kupga makelele wakati hujui lolote
Amen, sheh tuko pamoja kwa maombi mazuri, mungu àkuepushe na wabaya wako
Sheikh wa wakristo huyo sio wa waislamu
Allah atulinde na fitna za dunia
Hajielew tena uyu duh subhanallah Mungu anakujua dhamira yako shekh askofu 😂
Huyu ni mbwa mkubwa sio SHEIKH
Shekh askofu hahaas
Kashaomba dua , hayo mabaya mnayomtakia yatawarudia ninyi,
... Hayo yanayomtokea ndio yanamtokea yeye tayari na si sisi. Uislamu ni dini yake Allah. Sote tunaifuata kwa msingi na kanuni zake Allah pekee kwa mujibu ya mafundisho sahihi ya Mtume na si vinginevyo. Allah ataendelea kumdhalilisha yeye, aendelee tu kuomba dua zake kwa Jina la yesu... Hakuna kanuni hiyo ndani ya uislamu. Facts 💯
Kwn aliposema hio kauli alikua hajielewi au amesema hvyo kwa akili yke timamu v8 simchezo ww
Daaah mapenzi ya Dunia shekhe ana mkufulu mungu daaah kwa Jina LA yesu ni hatari
Nduguzagu waislam nawaombeni musiende kuswali katika misikiti ya bakwata ni kumshirikisha mungu
Ukubali ukatae Yesu ndio mwanzo ndio mwisho wengine wote watahukumiwa na yeye Yesu na taratibu tumeanza kuelewana
Yesu ndye mkubw was manabii wote walikuw watangulizi wake.
Inalilahii wainailaihii rajiunii masakini hajuii alitendaloo mungu amtabahishe huyuu kwakwelii
Tuambie wewe unayejua kakosea wapi?
@@J4UPro yapi waulize hao
Na laana zimfikee huyu jahili wa kiislamu
Subhanah allah
Hapa shekh hajakosea ameomba dua kwa Isa masikh sio yesu
Njaa mbaya sana sasa mtume kafundisha dua hizo lini?
Haimpasi shekhe kama huyu kusema "washindwe kwa jina la yesu"
Kauli yake hii ni nzito sana kwasababu ya mambo mawili:-
1. Tukiwa na ombi lolote tunatakiwa kumuelekea allah na sio kiumbe na yeye alipaswa kusema "washindwe kwa jina la allah" kwani allah ndio muumba wetu.
Na wala hatakiwi kusema hata washindwe kwa jina la muhammad na wote tunajua kwa mtume wetu kipenzi ndio bwana wa mitume wote.
Sasa ikiwa haitakiwi kusema kwa jina la muhammad basi kwa jina la yesu ndio haitakiwi zaidi.
2. Hio sentensi inaonesha kama kuridhia kwake kwa dini ya kikristo. Lakini allah hakuiridhia dini ya kikristo bali kairidhia dini ya kiislamu pindi aliposema kati sura ya 5 aya ya 3 "na nimekuridhieni UISLAMU uwe ndiyo Dini".
Namuomba allah atuongoe katika njia iliosahihi آمين.
Salamu zangu kwa waislamu wote ulimwenguni
Uko sahihi
Je niulize 'Si amekufuru huyu'
Haki ya Allah kampa kiumbe kufurahisha viumbe
Hawa wanaona aubu kumtaja Allah mbele ya mabosi wao
@@rashidjumamohamed3437 Dah shekhe kajikanyaga jmn yallaaa
Njaa mbaya
Wote nimitume yamwenyezi mungu
Subhana llah kweli maneno yake utakuja kuulizwa cku ya kiama
Makafiri wanaitikia Amin ya Askofu Alhadi kwakuwa wamekuwa radhi naye kwa vile ashakubali mila yao.
Njaa tu hivyoooo inakusumbua Allah atakupa stahiki yako mwehu mkubwaaa ww
Hivinyinyi hua mnatukana viongozi wenu wadini????yawezekana amekoseatu mbona hamna hekima ya mungu basi???????mtu akiwa kiongozi sio amekua malaika jamani!!!!!kuweni na nidham basi
Kwa nabii issa ni nani??sindo yesu
Aliye mkamilifu Mbele za Mungu na awe wa kwanza kumrushia jiwe.
Aliye mkamilifu Mbele za Mungu na awe wa kwanza kumrushia jiwe.
Huioni pepo ww acha kumkashifu JESUS is lord
Maslai ya tumbo
Binafsi nimemuelewasana Huyu Sheikh ana hekimasana pia najitambuasana nimetiwa Moyo na Dua hii Ushindiiiii ni lazima Ccm Oyeeee Mora akupe maisha malefusana Sheikh wangu.
Innalillah wainna ilah rajiun
Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun. Huyu kweli ni msomi wa dini au kanjanja.
Mbona anatetemeka, wewe mjinga sana Allah anakuona.
Sindo umoja wakizushi huo
Shekh twajua njaa hiyo inayokusababisha ukufuru innalillah wainna ilyhi raajiuun
hapo kakosea nn?
Shehe nimekuelewa wewe unajielewa sana shehe ubarikiwe
Mnafiki mkubwa shehe Ubwabwa
🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆😂din yetu imeingiliwa na vibaraka
Dawa yake ipo
eee mungu tunusuru huu mtihani kwel
@@subrasalim8927 kuna muislam asiyejua kuwa BAKWATA ni chombo cha Dola?watumishi wake lazima wawe Agent wa wambea.nani hajui hilo?nawaonea huruma wale wanao jipoteza kipindi cha mwezi muwandamo na siku ya Arafa
Kama wewe usiyejitambua
@@ibnhassan9980 ipo Yesu anaokoa ndo dawa
Shekhe mungu akusamehe kwa ďua yako muombe mola wako msamaha
Jamani njaa mbaya uyu baba Kesha potea masikin
EE MUNGU NJAAA SIO RAFIKI UYU SHETANI ANAYE JIITA MUISLAM ILA TUMBO MBELE KAMA MIMBA
🤣🤣🤣
Huyo ni mpakwa mafuta wa Mungu anachokibariki kinabarikiwa na anachokilaani kinalaaniwa
Nilijuwa tu mtamsemea mabaya
@@mariamm2724 sisi ndio watanzania aidha kupinga au kuliza yote yetu sisi watz,,kila mmoja katafasiri kimpango wake ajue n Mola pekee je kakosea wapi? Usishangae dada sisi ndio watz anaelaumu hajui anajua hasemi
@@jumachilundajr4853 kweli aisee kila kitu kukosoa tu hao ndoo watz
KWA HABARI YA KUKIRI KUWA YESU NI MUNGU, HILO HATA MSIWE NA SHAKA, ZUNGUKEN, TEMBEEN, TUKANEN, LAKN KUNA SIKU MTAKIRI YA KUWA YESU NDIYE MUNGU. HATA MUHAMAD ANALIJUA HILO.
Kama yesu ni mungu alikua wapi wakati mama yake anazaliwa? km yesu ni mungu mbona hii dunia kaikuta? Km yesu ni mungu mbona kulikua na watu kabla yake? Km yesu ni mungu mbona kafanana na binaadam kwanini asiwe na umbo lake tofauti kaa ufikiri
@@abdulqareemseif9050 haya maswali yote kayajib YESU (MUNGU) kwenye vitab vinne vya injili ukisoma biblia
Mungu kafa ana miaka 33
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Hata baba yako kampita umri
@@almassylivester4691 nijibie ww wapi yesu kasema yy km kaumba
@@rashidjumamohamed3437 Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, MUNGU MKUU na Mwokozi wetu;
Mungu Alishasema Jina Lenye Nguvu YESU Waminio Na Wasioamini Wanalitaja
Lazima watu wajue kuwa Yesu Ni Bwana na mwokozi wa maisha yao
Kweli na amina
Matendo 5:31) Hakuja kukuokoa wewe, na husitegemee. Waisrael peke yao. Ufunuo 21:13)
Lazima watu wajue km makafiri na wanafiki ndivyo wanavyompigania Yesu mtu awe bwana na muokozi wa maisha yao. Hasbunallahu waniimal wakiil. Allah atuepushe na ukafiri na unafik, Amiin.
@@alhamdulillah5796 Yesu hapiganiwa anajipigania mwenyewe ewe mtoto wa kambo wewe
@@alhamdulillah5796 makafiri! Hiyo simu na youtube unayotumia imetoka kwa makafiri sasa itupe hiyo simu yako na ifunge youtube yako kwani ni haramu
hiyo inamanisha watanzania hatuna ubaguzi wa dini ndo maana kaomba kwa jina la YESU hayo ndo matunda ya rais wetu kipenzi cha watanzania JOHN POMBE MAGUFULI
Njaaa kali huyo Sheikh mnafiki asitubabaishe sie
@@ukhtyalpha1344 wewe @Ukhty Alpha acha kuropoka hem kasome kwnzaa
Astaghfiruallah😭😭
Acha unafiki kwani wewe ni mkamilifu mbele za Mungu?
Peke ako ndo mkamilifu
Astaghfirullah mmaana yake anaomba tusamehewe kwa ujinga huo wa viongozi wa dini, hai husiani na ukamilifu Bora uelewe kwanza.
tariq hilal:- mwambie huyo J urassa aelewe au labda itakua uyo shehe alifinyanga uislam mjomba ake maana simuelew anajifanya yeye ndo amekamilika ah....
Amina, MUNGU NI MWEMA
Hatuombi dua kwaniaba ya mitume, shenzi wewe lana za Allah zikushukie wewe, Maghufuli na ccm wote, Amiin
Huwezi kumwelekeza Mungu jambo la kufanya. Anaweza kuamua kumsamehe na pepo akaiona vzr tu sasa sijui utateseka sana kuona Mungu kamrehemu kiumbe wake?
Ushindwe kwa Nina LA yesu
@@jurassa9588 Akirudi kwa Allah atasamehewa ila maghufuli, ccm na huyu sheikh ni washenzi tu sioni kuwa ni watenda haki Laana ziwe juu yao, amiin
@@rachelnelson4032 wewe yesu ni mtume wa Allah na mie nampenda na sio Mungu. Maghufuli na washenzi wenziwe walaaniwe na Allah , amiin
Wewe sio Sheikh ni muhuni tu na wenzako usilete kufuru na shirki pumbavu mkubwa ww
Muhuni kwa kuwa kalitaja jina la yesu eeeh
@@phillipmsamire937 Yesu alikuwa muislamu kwahiyo sio sababu sababu ni kuomba kwa jina la Yesu au Muhammad SAW, mtu unaomba kwa Mungu mwenyewe sio kwa watu aliowaumba ambao wao wenyewe wanamtegemea Mungu. Kwahiyo kwetu sisi waislamu ni kufru hiyo na kwa yeyote anaeamini Mungu ni mmoja tu peke yake na wala hana mshirika....na hiyo ndio maana yake...
@@phillipmsamire937 akiri yake imeziba
Huyu kalaanika.
@@phillipmsamire937 huyu kalaanika
Dua la kuku hilo halimpati mwewe
Dah subhanallah
kura kwa lissu
Mafuriko yote yaliyotokea Jana, wewe bado wauza dini kwa njaa yako iliyokua haimaliziki? Huyu Sheikh au Sheha? 🍗🍗🍗🍗🍞🍞🍞🥪🥪🥪🍔🍔🍔🎤🎤🎤🎸🎸🎸
Mafuriko hayajawepo kabla ya magu kuwa madarakani
Shekhaaaa
Shehena huyo
@@ukhtyalpha1344 kumbe upo naona kimya sijaona vitu vyako
Mungu ni mmoja
MIMI NAFIKIRI SHEKHE KWA ULIMI WAKE AMEDHAMIRIA DUA HIYO YA KEPEKEE KWA MASLAHI TU YAKE YA DUNIA (NJAA) NA SI LOLOTE SI CHOCHOTE ILI AMFURAHISHE ALIYE MBELE YAKE ILA MOYONI MWAKE ANAJUA FIKA HAKUNA DUA KAMA HIYO NA ANAWAOMBEA MASHEHE WAFUNGULIWE MAGEREZANI. NA NDIO MAANA IKABIDI ASOME DUA YA KIPEKEE.
Wallah wewe unajiita shekh mngu atakuhukumu kwa maneno yako hayo duh?njaa mbaya sana ila kumbuka haya nimaisha tu akhera inakuongoja
Jamani....linaloendelea hapo ni utimilifu wa bibilia
Ufirauni huu upo mwishoni na naamin MUNGU anajibu maombi IPO siku Uhuru Wa weng utajibiwa japo utachelewa ishahllah
Hawatakua radhi mayahud na manasar mpaka mfuate mila.zao inshallah na ww tunakuombea mwisho mbaya allah akutie motoni
Shekh huyu hajitambui hata kidogo .pesa zitampeleka pabaya.Hakuna mchamungu yeyote anayeshughulika na siasa.wewe babu hayo unayoyafanya ni laana ya mw/mungu. Hapa shaka utakuja juta Siku ya khiyama.
Na yule askofu alienda kuandamana Tundu lisu wakati anaenda mlandizi unamuongelea vipi ? We kaa Kimia shika yako