MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лип 2024
  • Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
    INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
    FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
    Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
    Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

КОМЕНТАРІ • 7

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 9 днів тому +4

    Kanisa Katoliki ni taasisi ya kale zaidi ulimwenguni.. imebeba ustaarabu na historia kubwa. Ni kwa neema tu nimelelewa katika imani ya Kikatoliki. Namshukuru Mungu

  • @matinyahaule792
    @matinyahaule792 8 днів тому +2

    Baba Askofu nzigilwa unajua kutoka mafundisho.Hongera baba

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 9 днів тому +3

    Hongera sana Cardinal Rugambwa, "Mchungaji Mwema."

  • @emmanuelkema045
    @emmanuelkema045 7 днів тому +1

    Asante sanaaaa

  • @FrolenceRogath-fv6ku
    @FrolenceRogath-fv6ku 8 днів тому +1

    Mwenyez Mungu amjalie kadinari Rugambwa siku moja awe Baba mtakatifu

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 8 днів тому +2

    Hakika wewe ni mwalimu