MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA
Вставка
- Опубліковано 1 лип 2024
- Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...
Kanisa Katoliki ni taasisi ya kale zaidi ulimwenguni.. imebeba ustaarabu na historia kubwa. Ni kwa neema tu nimelelewa katika imani ya Kikatoliki. Namshukuru Mungu
Baba Askofu nzigilwa unajua kutoka mafundisho.Hongera baba
Hongera sana Cardinal Rugambwa, "Mchungaji Mwema."
Asante sanaaaa
Mwenyez Mungu amjalie kadinari Rugambwa siku moja awe Baba mtakatifu
Amina!
Hakika wewe ni mwalimu