Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Aeleza Wazi Alivyoukosa Upadre, Wanamsingizia Mke Wangu, Maaskofu Wacheka

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2022
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GZCvnqJ2KPf...
    Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

КОМЕНТАРІ • 62

  • @danielekisinza537
    @danielekisinza537 Рік тому +4

    Ahsante sana CDF Mstaafu, speech yako nzuri sana. Hongera

  • @makaso1475
    @makaso1475 Рік тому +2

    Hongela sana Bado Mungu anakutumia bado Kumtukuza na. Kuitangaza Neno la Mungu .❤

  • @ngubwene
    @ngubwene Рік тому +7

    Yaani Hekima ya Mungu imejaa hapa ... Retired General Mabeyo. Mungu aendelee kukupa utumishi mwema wa kiroho na wa kidunia

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Рік тому +3

    Baba Mabeyo wewe ni mfano wa kuigwa asante Sana Kwa utume tunakukumbuka 2008 mwenyekiti Wa kamati ya ujenzi Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea Mungu azidi kukulinda pamoja na familia yako. Asanteni Sana Mababa Kwa utume Mungu awabariki Sana.

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 Рік тому +3

    Ubarikiwe baba, mabeyo, mkuu wa majeshi msitaafu, una busara na hekima kubwa

  • @ibutilehyila9146
    @ibutilehyila9146 Рік тому +8

    Duh!!! Mstaafu General Mabeyo kila nikikuangalia kwa utumishi wako uliotukuka sikumalizi maana uzuri wako umetamalaki kila Mahali,
    MAY THE ALMIGHTY GOD BLESS U DADY, AMEN!!!!!

  • @isayarozeck7512
    @isayarozeck7512 Рік тому +2

    Mungu atukuzwe kwa Kiongozi huyu mkubwa mstaafu katika Jeshi. 2017-2022. Pamoja na kwamba wengi watumishi wa TPDF huwa na kiburi na majivuno lakini Yeye Bado alibaki katika Imani yake na kastaafu katika imani ileile. God bless Venance Mabeyo

  • @daudimartine7364
    @daudimartine7364 Рік тому +2

    Hongera saana kwa kupata tuzo hiyo Mungu akubariki sana na akuongezee maisha yenye baraka

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 Рік тому +3

    Baba V. Mabeyo Mungu azidi kukubariki sana. Wewe kweli umekuwa mwanga na chumvi kwa watu wote.

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Рік тому +2

    Ndugu mabeo alijua Kuna maisha menginee baada ya kazi yake God blease too

  • @eddyjosephmagenge9446
    @eddyjosephmagenge9446 Рік тому +3

    Hongera sana baba V. Mabeyo kwa maneno yaliyojaa hekima ya kimungu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Рік тому +7

    Yani nampenda Sana uyu baba???🙏🙏🙏🙏 Mwenyezi mungu ampe maisha marefu tena yenye fraha🙏🙏

  • @mlulamsiliwa7123
    @mlulamsiliwa7123 Рік тому +2

    Mabeyo as a team sana Kwa uliyoyafanya Kwa nchi yako

  • @alexissebuhura8040
    @alexissebuhura8040 4 місяці тому +1

    Kweli nampenda uyu baba. Mungu akulinde na akujalie.

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 8 місяців тому +1

    Ubarikiwe sana na upendo wa Mungu

  • @user-sn8jd3ub1l
    @user-sn8jd3ub1l Рік тому +3

    Oooooh my dad God bless you ❤

  • @MathiasMakiluly
    @MathiasMakiluly Рік тому +2

    Nimara chache kupata watu kaliba ya Mabeo mungu ampe uhai mrefu

  • @amanimwandele
    @amanimwandele Рік тому +2

    Nimekupenda mabeyo

  • @lusiuskinikuli2276
    @lusiuskinikuli2276 Рік тому +3

    I love u mabeyo kama yule baba,

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Рік тому +2

    Yaan huyu mstaafu sichoki kumwangalia na kumsikiliza. Mungu amtunze

  • @anordstephan611
    @anordstephan611 Рік тому +2

    Amina Sana na mungu awabariki

  • @salvatorymogesi6476
    @salvatorymogesi6476 Рік тому +3

    Hongera sana Baba kwa Utume wako kwenye Utume wa Walei. Mungu wetu aendelee kukubariki 🙏🙏🙏

  • @HabakukiMajogoro-uf1cy
    @HabakukiMajogoro-uf1cy Рік тому +3

    Kumbe hekima hizi na busara,ulizonazo ni roho mtakatifu juu Yako mabeyo,MUNGU akulinde sana.

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 Рік тому +7

    Mungu azidi kumpa moyo huwo huwo mabeyo wetu

  • @peterclavery9989
    @peterclavery9989 Рік тому +1

    Mungu aendelee kukutunza.

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi7607 Рік тому +2

    Mungu wabariki wanasibginda wote popote mlilipo

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 Рік тому +4

    Jembe sana huyu jamaa namkubali mno kama mwendazake Yan

  • @rwelamira
    @rwelamira Рік тому +8

    Na awe Rais Wa Nchi yetu huyu

  • @abdulazizmmbaga2570
    @abdulazizmmbaga2570 Рік тому +4

    Mungu akupe maisha marefu baba mabeyo

  • @julianaswai7846
    @julianaswai7846 Рік тому +3

    Bab mabeo wewunafaa kuongozahii nchi yetu Tanzania. Ikifikaa 2025 kachukuee Form y kugombea urais . Naamini utapat kwa kishindokikubwa. Unahof y Mungu. Naamini kila kitu utakachokiongea utamtanguliz Mung kama k ipenzi cha wanyonge jpm

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 11 місяців тому +2

    Hata sisi tumekuelewa mzee mabeyo amani imekujaa moyoni mwako na amani imekutawala wewe ni mzalendo wa kweli hutopenda kanisa lako katoliki kutugawa

  • @pietrusjumbe107
    @pietrusjumbe107 Рік тому +3

    Hongera mgeni rasmi

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn Рік тому +1

      Hongera na pongezi sana mkuu. Unatuheshimisha sana wastaafu pia unaendelea kuliheshimisha Taifa na JWTZ. Mungu akubariki sana.

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Рік тому +1

    ASAASANTE MUNGU WETU ASANTE sana wanasingida.
    ASANTE SANA WAHASHAMU
    Maskofu WETU. MH.RAIS WA BARAZA NA NAIBU RAIS NA WAAMINI WOTE.MKUU WA MAJESHI MSTAAFU WALEI WA KIKE NA UGENI WOTE WA SERIKALI KARIBUNI SINGIDA.ASANTENI SANA KWA KUSHIRIKI MIAKA 50 JUBILEI YA DHAHABU:

  • @victoriakiwanuka5428
    @victoriakiwanuka5428 Рік тому +4

    Thank you General for the word of Wisdom 🙏🙏

  • @geraldeliona7657
    @geraldeliona7657 Рік тому +2

    General mtu makini sana

  • @alfredatembi6697
    @alfredatembi6697 Рік тому +2

    Wana Singinda hoyeee. Jamani Kuna is nini hapo Singinda? Nakumbuka hata Mhesimiwa Makhufuli katika uhai wake akiwasifu sana Wana Singinda.Na someone invite me. Kishwahili safi --Wadugu Watanzania.

  • @oceanviewhillpark6491
    @oceanviewhillpark6491 Рік тому +2

    Dah! CDF mnyenyekevu sana.

  • @isacknanyaro-tg2xh
    @isacknanyaro-tg2xh Рік тому +3

    Kwann jamani watu kama hawa wasipewe kuwa rais wa nchi yetu?

  • @joeljoseph2360
    @joeljoseph2360 8 місяців тому

    #👏👏👏

  • @AshaBay-xg7wp
    @AshaBay-xg7wp 3 місяці тому +1

    Wito wako ilikuwa ndoa

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 11 місяців тому

    Nilikumisi sana

  • @daudimazengo7772
    @daudimazengo7772 Рік тому +2

    Safi Sana. Ila Askofu kapitiwa kidogo hakuna dini ya Katokiki.
    Katokiki ni dhehebu ndani ya dini ya Kikristu

    • @danieltemba6700
      @danieltemba6700 Рік тому +4

      Hajapitiwa ndugu. Ndivyo ilivyo Dini Katoliki yaani dini ya watu wote. Askofu hajakosea. Ukisikiliza kiapo cha Askofu kukiri imani kabla ya kusimikwa utaelewa.

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 Рік тому +2

      Siyo katokiki ni katoliki. Maana yake ya wote.hii ndio dini ya wakristo wote. Wale wengine wamejitenga tu hao ndio madhehebu

  • @cinterproductscinterproduc8606

    🎉🎉

  • @saimalunde4002
    @saimalunde4002 Рік тому

    Hata marehemu baba Yangu huwa anasema kipindi hicho kamaliza form six mkwawa high school alijaza form kuwa mwalimu Lkn alipopelekwa jkt msange kwa mujibu wa sheria habari ya kwenda vitani ilimkuta huko kwahyo ndoto yakuwa mwalimu iksishia pale akawa mwanajeshi na alistaafu akiwa canal nimeidikiliza hi nikacheka tyu 😀😀

  • @danielekisinza537
    @danielekisinza537 Рік тому +2

    Huu ni utume uliotukuka

  • @kananipius2649
    @kananipius2649 Рік тому

    The next commander in chief 2030? I don't know.

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni Рік тому

    Natamani ungekuwepo mh Rais ajae

  • @mohamedjoseph8542
    @mohamedjoseph8542 Рік тому +1

    👏👏

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Рік тому +1

    2025

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 2 місяці тому

    sasa mbona katika nafasi za ajira za jeshi la polisi wanataka shahada ya elimu ya kiisilam .sasa nchi yetu inataka kuwashitaki waisilam au kunanini pale serikali inaanza kuajiri kwa misingi ya dini je? Watanzania tunaelekea wapi.

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 Рік тому +1

    Hapa Kuna mtu

  • @andrewdukho8795
    @andrewdukho8795 Рік тому +3

    Anaongea kama mwendazake

  • @jacquelinekahamba7872
    @jacquelinekahamba7872 Рік тому

    teh teh teh

    • @williammkenda5879
      @williammkenda5879 Рік тому +1

      Mh Mabeo Mungu akubariki kwa maneno ya baraka,,,,, kweli umetoka mbal mkuu

    • @teresiandimbo852
      @teresiandimbo852 Рік тому +1

      Mungu akuongezee miaka mingi Na Mungu ikikupendeza tunaomba awe Rais wa nchi yetu Mungu tusaidie tunamuombea kwa unynyekevu.

    • @stantonemgao3771
      @stantonemgao3771 Рік тому +1

      Lijenje jamani alikosa nini na yuko wapi?

    • @charlestembele7787
      @charlestembele7787 Рік тому +1

      Sijawahi acha kukupendaaa Kwa kumbukumbu tu ili nisikusahau tamwita MWANANGU jina mabeyo yan ulifana sana kuitwa mkuu wa majeshi MUNGU amuongoze na aliye kurithi

  • @benswai8099
    @benswai8099 Рік тому

    Baba askofu hao viongozi wa Chama ni kina nani na ni chama gani? Hizi dini na siasa zinakwaza waumini kwa kweli