Hakuna kitu cha maana kinachomfurahisha mwanaume kutoka kwa mkewe kama heshima,kumbukeni heshima si utumwa,funzo nzuri sana hongera kwa wahusika,wakenya mpo❤❤❤
Woooow nimempenda victoria bure,ilaaa ctovunja heshima kwa mume wangu nitahakikishaa nafanya yote yanayohitajika katk ndoa.Mdada wa kazi kwangu hapana,maelezo tosha anayo victoria.Mwanandoa yeye hebu mfwatilie vick maelezo yake❤❤❤
Nimejifunza kitu maskini vle uaga naforce mapenzi bila mafanikio bora nikae lwa kutulia mume atakuja mwenyewe❤❤❤Asante kaka KELVIN KHAN❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉
@@Dontatv255Kevin hongera sana kwa kazi nzuri ila ushauri tu jitahidi kuwa makini kwenye movie zako matamshi yanapishana na reactions za midomo pia ukiweka english subtitles utafika mbali zaidi
Ndoa nyingi zinavunjika kwa sbbu ya uzinifu. Watu wanazini ndio wanaoana. Na yyte anaezini hata km anazini na mmoja tu wkt hajamuoa huitwa mzinifu na mzinifu yyte haachi hata akioa/akiolewa. Na ndoa ya mzinifu yyte hua haina barka ndio mana haidumu na ikidumu hua na majuto mengi/inaoumulia gas.
Asilimia mia ya wakaka wanapenda kuoa wadada wazuri wenye makalio kwajili ya kujishow off. Akifika ndani ndani anapata karaa km hizi. Uzuri wa mwanamke ni tabia. Wapi like zangu😊
Asante kaka kelvnn unafundisha sana japo sisi ndio hao ambao tunafanya izo kazi na kuhudumiya waume zawatu wake wao niwakujilemba nakutoka ila naomba mjifunze sana kupitiya mafunzo ya kaka kervvynn
TIZAMA SERIES YETU MPYA HAPA BONYEZA LINK HII ua-cam.com/video/V7IXrzvKkAM/v-deo.html
0pnmko
Blood
Mo
Mi9
1:20 1:21 @@NeemaMhinda-ki7pd
Kuy
5:04
Daaah wanawake kwa sas tunaoa imurad tu🎉
Hakuna kitu cha maana kinachomfurahisha mwanaume kutoka kwa mkewe kama heshima,kumbukeni heshima si utumwa,funzo nzuri sana hongera kwa wahusika,wakenya mpo❤❤❤
Mwana dada wamahana sana huyo m
Muhooe huyo
Mimi kutoka Kena 16:58
Kupitia move zako nimejifunza kuwa mke Bora kwa mme wangu❤️
Ubarikiwe Kwa kujifunza Mimi pia yaani kelele ya kwanza Kwa wahehe wakeeeee
😅😅😅father Bernard tukitembeagq na mabek3 ndoo mnalalamika ❤😂apo chapa ilaleee
Barikiwa sana kaka
Asante kaka
Mh bado huja SEMA 😂😂
Asante sana Mr Kevin acha sasa ningoje mke wangu aje kwa mawaidha yako naku watch kutoka Nairobi Kenya.
Wow love u so much movie jamn iringa ni kweli kabisa tuna heshima kelvin nice job ❤❤
Akh cjaoleka ila nimejifunza mengi kupitia hii movie asant sana kaka mungu akubariki nakupenda bure❤❤❤
Duu
Asante sana kelvin ni mafundisho mazuri sana na vijana wengefwatilia vipindi hivi vina msaada mkubwa sana
ua-cam.com/video/2D7qNJwlenk/v-deo.htmlsi=8hg05b8azPzwuW_8
LEO IMETOKA SERIES YETU MPYA YA MAPENZI INAITWA - VAMPIRE LOVE ❤ bonyeza link kuitizama
Woooow nimempenda victoria bure,ilaaa ctovunja heshima kwa mume wangu nitahakikishaa nafanya yote yanayohitajika katk ndoa.Mdada wa kazi kwangu hapana,maelezo tosha anayo victoria.Mwanandoa yeye hebu mfwatilie vick maelezo yake❤❤❤
Ilo ni funzo kwa Wana ndoa ,musimwachie mfanyikazi kazi za ndani zote,❤❤❤
Funzo wanawake wawati wanaume zao nasi wasiwachie majukumu wafanyakazi wa ndani
@@Mpakauseme yes
Congrats kevoh
Ongera Kelvin kw kaz nzr na yenye mafunzo❤❤Mna sisi wanawake mda mwengne tunajisahau kiukwl 😢 Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰🥰
Ni kweli
Ni kweli
😢waoo ilo sisi wanawak mda mwingin tunavhukulian mabwan daahn
Mm hata niwee ninafanya kazi office siwezi andikaa mufinyii wa kazi za ndani ila muko Vizuri much love from kenya 🇰🇪
Napenda sana movie zako Kelvin zinafundisha kiukweli
Mafunzo mazuri daktari Kelvin keep it up.congratulation 👏👏👏👏👏👏👏
Hi
Umegusa maisha niliyopitia Kevin,dah, hakika nimejifunza kutoka kwako,,big up.
Uuuuuuh pole eee
Kijana mkarimu nimejifunza mazuri kutoka kwako from kenya
Wewe ni muigizaji
Umetisha Sana bro,wanawake walioko kwenye ndoa kuleni chuma hicho😍😍
Hahahha
Chuma kizito tna
😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Nimejifunza kitu maskini vle uaga naforce mapenzi bila mafanikio bora nikae lwa kutulia mume atakuja mwenyewe❤❤❤Asante kaka KELVIN KHAN❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉
Kupitia hii movie nimejifunza kumtii mme Wang kelvin hongera Kwa kazi nzur inatufundisha wanawake uwa watiifu Kwa waume zetu❤
Ashante sana tumepata funzo. Much love from Kenya
Ujumbe umetufikia ❤ lv story I want part 2
Safii sana Kelvin...Alikuletea mwenyewe mke sahihi...Mpuzi sana Wanawake wasiojua majukumu yao wanavunja wenyewe ndoa zao kwa mikono yao
Nimejifunza kitu kupitia hii movies kweli mbarikiwe wote ❤❤❤❤😊
Be blessed l have learned something
Hongera Kevin kwa kazi zuri kutoka Kenya 🇰🇪
wew
Hongera kwa nzur wanawake wengi wanajisahau sana wanapopata wadada wa kazi
Nimejifunza mengi kupitia hii stry...Mungu awabariki sana nyote mulioshiriki❤❤❤
Nimekipenda sana inafundish
Kaz nzur Kaka ❤️❤️ mungu aenderee kukuweka nimejifunza kitu kptia muvi hii ❤️❤️
Nmeipenda kazi yako kelvin ❤.
Wanawake tupate somo apa.
Asante kwa uwepo wako.
Oya kaka Kuna k2 nimejfunza umetishaa
Kwa kweli wanawake tujitambue
poa asante na we
Hi
P
Woooow kazi nzuri mungu azidi kuwabariki
Very educated movie for marriages... congratulations Kevin
A
Dada
Indeed.... it's a very educative movie
Daaah nimefurahi sana heshima ya huyo dada wa kazi ❤❤
Duh
hongera sana jaman mko vizur kutunga movie
Congratulations my dear kaka mungu akufikishe mbali kwa mafunzo yako
Yaan Kama ingekuwa tuzo Bora ya filamu hii ningeipa tuzo ni kazi nzur sanaaa
Kevin pongezi sana bro Kwa kazi nzuri much love from Kenya ❤️❤️❤️
Baba
Nakubarii kaka kwa kazi nzuri. Mungu azidi kukupa maono ya kufundisha zaidi.
Waoo kazi nzuri sana bro MUNGU aendee kukubariki na kipaji chako
Asante sana
Kasi mzuri kabisa keveni
Nimechelewa lakin sichoki kufuatilia donta tv siezi maliza siku bila kuona movie zenu nzuri ❤
Asante sana
@@Dontatv255Kevin hongera sana kwa kazi nzuri ila ushauri tu jitahidi kuwa makini kwenye movie zako matamshi yanapishana na reactions za midomo pia ukiweka english subtitles utafika mbali zaidi
Ongera sana kwani wanawake waliumbika kitofauti kunawale wanajuwa jukumu ya mwanamuke yawengine hawaja elewa bado ni asante Joël from congo
Woooow...thank you Kelvin for such a good lesson
Asant San kelvn hitor zako nzur San ngoj nimesubir mke mzr
Pongezi qwa kazi nzuri Kelvin I am Elly watching from kenya
Hi
Wanawake tupate funzo hapo congratulations Mr Kevin keep up the good work
Watching from saudia arabia, thank you for your story kevo
Kevo ongeraa🎉🎉
Pongezi kwa kazi nzuri,, teaching this perishing generation good morals🎉
Chagua sanamu lako tukaliweke wap kelven 👏👏👏👏🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Daaah ni hakika kabisa kaka, sema ningeweza kupata mawasiliano yako ingekuwa vizuri sana na ningefurahi mno
Ametufanya tuwe na adabu sisi tunaofanya hayo 😂😂😂😂😂
Vicky Yuko na adabu za Hali ya juu nimempenda buure❤❤
waoooooooooh wanaume Muko wapi munapendaga wa dada warembo sana munaona je iyi vidéo Sisi wabaya tunamiliki Vitu n'a penda iyo kitu
nimeielewaa sana hii broo kazi nzuri unayoifanya mungu azidikukukuinua 💖💖💖
Ata mim nimejfunza 11:53
Hongera Allaah akuongoze🤲
Hongera sana Kev kazi nzur Vic nimekupenda mhehe wangu❤
kelvin hongera sana upo vizur kwenye kaz yako ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera sana Mtunzi kwa kazi nzuri sana na fundisho kubwa sana kuhusu mahusiano 🎉
Ladies hope tumesoma kitu hapo let's take our responsibilities to avoid this Kelvin umetufunza mengi sana
Yeap tumejufunz kitu🥰💯👏
Ee!funzo mhimu kwa wanawake wote big up kevin.
Kelvin nimekuelewaaa kwa uzuri sana pamoja na victoria'haya wanawake jamiii ya mke wa kelvin kaziiii mmeionaaa??? Jifunzenii hapa ❤❤❤❤❤❤
Such a kind of a man she deserve congratulations Kevin.
My name is John we are going to the job 😁
May God bless your talent 🙏🙏🙏
Wonderful story .educating one expecially to our young souls .nice job
❤❤❤❤❤❤❤❤
Naomba kuwe na utaratibu mzuri wa kuachia kazi zenu,
Nzuri n inafunza sana hongera kwako mtunzi❤
🙆🙆🙆 tunajusahau sana mungu tusaidie
Good boss men good house girl bad women of your boss god bless you brother and house girl umefunzwa kwenu mama wee dada sio mke ni mshenz wa mtaa
Aky nimependa heshima ya mfanyikazi ❤ mashallah 💕 congratulations Kevin ❤😂.
Much love Kevin una mafunzo mazuri❤
Cģþźñçéz2
Cģþźñçéz2
Daaaah bonge la somo kwa wausika kaz nzur❤
Educative movie to the generation today... Congrats namesake
Duuuu jaman tuwe tunaangalia wanawake wakuowa check huy jamaaa anavyohangaika uzur wa mwanamke tabia bwan anawez kuwe mzur kwasula lakin tabia hamn kituuu
Mamb
Nimeipenda kazi yako Kelvin wanawake tupate somo
Imenigusa sana japo bado sijaolewa Mungu nipe moyo wa upendo kwa mume wangu wa badae ❤ i wiish nitamsamini sana
Wasema tu
Maisha ya ndoa ya wiki za mwanzo ni mazuri subir mfikie mwez tu ndo utaelewa mm ndoa
🤣🤣
Married Womens It's my Sincere hope that You've learned a lot.Mke HATAFUTWI,MKE ANAJILETA TU NATURALLY Na Atakuwa Wife Material.
Wise comment, congrats for that
@@josephstephen2047😂😂😂😂
Daaah kaka wewe ni mwalimu bora sana umetoa funzo adhimu sana katika hii movie broo big up
Funzo nzuri kwa wanawake kama hao,, victoria congrats
Mtanisamee jina nimekosea baada ya kumwita Kevin imejiandika kefi😂😂😂😂😂😂❤
Ndoa nyingi zinavunjika kwa sbbu ya uzinifu. Watu wanazini ndio wanaoana. Na yyte anaezini hata km anazini na mmoja tu wkt hajamuoa huitwa mzinifu na mzinifu yyte haachi hata akioa/akiolewa. Na ndoa ya mzinifu yyte hua haina barka ndio mana haidumu na ikidumu hua na majuto mengi/inaoumulia gas.
Inamafunzo ndani yake, watu wanajisahau saña wadada wa siku hizi
Kazi nzuri sana, keep up. Tunahitaji watu kama nyie kwenye jamii
Oooo wao nimeipenda hiiii move naomba wanake wabadilike oy naomba sehemu ya 9 move ipo good lot
Waow Kelvin..kazi nzuri sana .. Nimeipenda 🔥🥰🤗🤗
Such a wonderful educating story,,,,congrats
Kazi nzuri nimejifinza mengi kupitia hii Story, kazi sana ✍️, Hongera muandishi
Okey kazi nzurii
Kasi mzuri wanawake wajufunze Mimi ni mu kenya. Nakupenda muno. Kwa mafnzo bora
Unasumbuka sana KBS ndodunia hiyo mzunguko ila hayo ni ushauri mzuri sana😊🎉
Yanayoigizwa yapo hii movie ina funzo kubwa sana kwa ss wanawake tuwen makin na ndoa ❤
Asilimia mia ya wakaka wanapenda kuoa wadada wazuri wenye makalio kwajili ya kujishow off. Akifika ndani ndani anapata karaa km hizi. Uzuri wa mwanamke ni tabia. Wapi like zangu😊
Assassin
Mwanamukekiwererewere
Umegonga penyewe tena hawana faida karaha tu ndani ya nyumba
Hizi like munzaoomba munapelekaga wapi muniambie
Chukua hio ushasema dear
Thanks broo kelvin nimejifunza apa much love ❤️ from Kenya
Keep up broh Kevin much love from Kenya 🇰🇪
Nimekuwa shule kwa hii movies
Wahehe wenzangu wote mnyoshee mikono juu jomoni❤❤😂😂
Tupo hapa
Katuwakilisha vzr
Kevin katisha hata Mimi Sasa natafuta mhehe Tena nakwenfa huko huko iringa
😂tupo hapaa😂
✋✋✋✋✋
MashaaAllah Funxo kibao ❤congratulations kervin na your crew
kiukweri iro ni darasa tosha,mungu akuongezee kipaji Kevin
Kweli nimeyashika nimafudisho bora❤edeleahivyokaka Kevin
Mke au mume mazuri hatafutwi hujileta so my time is always right lesson learned point taken incredible job bro
Victoria ana adabu kama waganda duuu thx for educative movie concerning how to respect our husbands and responsibilities to marriage women
Mafunzo mazuri,asante san🙏
Asante sana 🙌
Nipeeni Mke Mtanzania Nioe, Napenda sana kiswahili yenyu
Mm hap nipo
Nipo mm
Toa namba wakutaft
Umpeleke huko kwenye vita
Karibu unakaribishwa tuu tanzania
Broo Calvin Tisha sanaaaaaaa😄😄😄unaakili kama zangu well part plaid 🤟plus Vick 🔥🔥🔥
Nice job
Kelvin mungu abariki kipawa chako ❤love so much😊
A good lesson to all ladies who got no time for their men
mamb vp
That's a good lesson for women I thank you so much and God bless t
your talent
Congrats kelvin.agood lesson keepu it up
Asante kaka kelvnn unafundisha sana japo sisi ndio hao ambao tunafanya izo kazi na kuhudumiya waume zawatu wake wao niwakujilemba nakutoka ila naomba mjifunze sana kupitiya mafunzo ya kaka kervvynn
Asante sana kaka nimejifunza mengi kupitia movie zako mungu akubariki🙏
Wow! Good advice, congratulations and keep it up, thank you so much brow from Kenya
Nimefurahi kweli kweli😂😂❤❤❤Wakenya wenzangu mpooo?
Tupo Tena sana,,,thumbs up👍
Mwanamke ambae hajajifunza kitu hapa.. Hawezi kujifunza sehem nyingine yyte ile.. Mm nasema.. Honger sana brother
Hongera saaan Kevin Kaz nzur MUNGU akubariki 🎉🎉🎉
Kelvin asante sana kwa movie zako wazidi kunichanua akili my ❤❤❤
Asante sana 🙌
@@Dontatv255 move nzuri kwakweli inamafunzo hongereni
Nakupenda buree😂kakangu ni kweli wanawake tuwatunze wauwe wetu jamani
Weeee ni waume zetu sio wauwee😁😁😁😁😁
@@ZulfahAbdillah-fd5gq 😃😃 jamani binadamu hayuko kamili ndugu
@@cellcelll2151 usijaleeeee shogaleeee😄😄😄😄😄😄
@@ZulfahAbdillah-fd5gq wanikosoa mwenzio
@@cellcelll2151 usijal bhana ni utani too mamii please usikasirike bhana
Hongera sana kelvin kwa mafunzo mazur