MFANYAKAZI KIWANDA MBIGIRI ADAIWA KUUAWA NA MLINZI, MASHUHUDA WAFUNGUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 жов 2023

КОМЕНТАРІ • 854

  • @mejalepeta7130
    @mejalepeta7130 9 місяців тому +5

    Poleni sana walio ufiwa hii ni unyenyesaji mbaya naomba sirikali yetu angalieni hii swala kwa makini kweli Kuna moja amesema walinzi wa nakunyua pombe na hii itakua ni kweli kwa sababu nini sababu ya kufitua risasi kwa raiya

  • @bensonpeter4692
    @bensonpeter4692 9 місяців тому +59

    "Mama/ Viongozi wakija hapa, wanaingia tu na kuondoka, hawatusikilizi wafanyakazi kero na utendaji kazi wetu" We will never get such a President again dada.,Labda Mungu aweke huruma dhidi yetu tena..Inauma sana Raisi anaenda ziara za kufungua mashule huko Singida, Znz Nk. Mtu una tume, Ngazi baraza, Ngazi wizara, Ngazi Mikoa, Ngazi Wilaya, Ngazi Halmashauri.,unaenda kufanya ziara za ajabu uaacha kusimamia mambo ya msingi yanayowakabiri wananchi wakoImagine wenye madaraka hapa Tanzania sahivi hawaogopi kitu chchote kwenye maamuzi!! #InaumaSana

    • @margarethhovokela2412
      @margarethhovokela2412 9 місяців тому +3

      Kwani ziara ya Rais na hayo yanayofanyika ni Rais aje asimame mlangoni kuwalinda?Hiyo hoja haina mashiko.Hoja ni viongozi wenu wa Wafanyakazi hawajafikisha hoja zenu mahali panapohitajika.Tumia busara kuwasilisha hoja yako ya Msingi.

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 9 місяців тому +2

      ​@@margarethhovokela2412acha kuongea pumba kama huelewi kitu kilichoandikwa na kuongelea funga domo lako buok

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 9 місяців тому +2

      Ngorongoro, Ngorongoro..mdogo mdogo yanasogea town...tutawaelewa wamasai

    • @bensonmasanja9862
      @bensonmasanja9862 9 місяців тому +4

      ​@@margarethhovokela2412Funga domo lako wewe Mnafiki mkubwa,huoni hata maumivu ya watanzania..Wale wanaomba msaada hawachekeshi.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 9 місяців тому +1

      Sssa Mamayetu Anahusika Nini Yeye Ndio Aliyemtuma Amuuwe Muwe Mnafikilia Kabla Yakusema.

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 9 місяців тому +8

    Jmn pole Kaka inaumwa jmn yaan ukiona mwanaume analia ujue kaumia Sana aise daah 😭😭😭 pole bro polen familia na jamaa marafiki mungu awatie nguvu mbele yke nyuma yetu amen🙏

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 9 місяців тому +8

    Huyu kiongozi kaongea kana kwamba si roho ya binadamu imeondoka! God is watching.

  • @noelypavementblocks6033
    @noelypavementblocks6033 9 місяців тому +21

    moyo wa kuu wa mkoa unaonekana hauna hata tone la huruma juu ya maisha ya mtu, na uhai wake, maana sijaona cha maana alichoongea, zaidi ya serikali na mabilioni ya mladi,

    • @mchumiajuani1993
      @mchumiajuani1993 9 місяців тому

      Bora angekaa kimya, nikama amehalalisha alichofanya huyo mlinzi

    • @hakiinakujaTanzania
      @hakiinakujaTanzania 9 місяців тому +1

      viongozi kama hawa hawafai kuongoza watu , wasiojali utu wa watu, MUNGU atusaidie sana, HAYATI MAGUFULI ALISEMA TUTAMKUMBUKA SANA Kweli aliona mbali sana, alikuwa anawaacha watu wa .............

    • @user-fw6fb6zp9v
      @user-fw6fb6zp9v 9 місяців тому

      Nothing

    • @kaliskaguzkalis4424
      @kaliskaguzkalis4424 9 місяців тому

      Maghufuli!

    • @aminagama510
      @aminagama510 6 місяців тому

      Mama aende huko wawekezaji wanawamaliza raia.kigoma mie simuelewagi hyu mkuu

  • @barakamsungu5260
    @barakamsungu5260 9 місяців тому +6

    Kwahiyo mkuu ndio umemaliza kuongea au imekatishwa maana sijasikia hatua kwa huyo aliyemuua raia kwa silaha ya moto huku mwenzie hana silaha wala si jambazi

  • @SophlaJackson-nt1nc
    @SophlaJackson-nt1nc 9 місяців тому +8

    Mh kumbe tz nako kuko ivyo acha niendelee Kupambana huku huku South Africa jurbug maana sioni Utofauti😢😢😢

  • @abdallahkaskas6168
    @abdallahkaskas6168 9 місяців тому +19

    KIONGOZ KAZUNGUMZA LAKINI BINAFSI SIJASIKIA KAMA WATACHUKULIWA HATUA ,MPAKA ANAMALIZA KUONGEA..😢😢SO SAD 😭

    • @user-mc7yi6yr9u
      @user-mc7yi6yr9u 9 місяців тому

      Jaman haki itenteke kwa wafanyakaz maaskari watatumariza mabadriko gan mbona sheria hafati mkondo

    • @allymanyika3502
      @allymanyika3502 9 місяців тому

      Hawawezi kuwachukulia hatua yoyote hao wauaji kwa sababu wote hao kabila moja nyani na ngedere,mwenyeenzi mungu amlaze mahali pema peponi kijana wetu

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 9 місяців тому +1

      Hivi jmn watanzania 😢wenzetu mbona mnakuwa makatili kias iki?? At Kenya Aiko hivii aisee ndo man wakenya uwa wako tayar kufaa kwa ajli,y haki.tena uwa askar uwa wanapigwa n wananch kwa mawe mm ningekuwa ndgu wa uyo marehemu nahakikisha uyo muuaj lazma nmtoe kafara at ya kunnua😢.uy mkuu wa mkoa anajielewa kwel ingekuwa n yye amefiwa je?

  • @Jackylmariam-qy6qe
    @Jackylmariam-qy6qe 9 місяців тому +17

    Jamani watoto wa kiume wanakula kwa tabu Mungu awasimamie

    • @monalisapeter4899
      @monalisapeter4899 9 місяців тому

      Inauma sana watoto wanajua baba yupo kazini kumbe baba anapitia magumu dah Mungu awalinde wanaume wote

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 9 місяців тому

      ​@@monalisapeter4899kweli😢😢

    • @maryndalu2236
      @maryndalu2236 9 місяців тому

      Amina

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 9 місяців тому +3

    Tunakazi kubwa sana Tanzania Hii ndio amani inayohamasishwa kilasiku naviongozi wetu.Ila mabomu na risasi zitarindima kwenye mikutano isiyo nafujo. Watafungwa watu wasio namakosa .Mungu tuone tena watanzania

  • @uswegesuper
    @uswegesuper 9 місяців тому +6

    Kiongozi anaongea simple mno km hajafa mtu Hv mhe; Malima huyo angekufa angekuwa mwanao si ungegeuka mbogo hapo 😢kazi nyie viongozi mnajijali tu ndo maana hata ss wananchi hatuwapendi nchi yote kuanzia Mkuu wa nchi, kwanza muwe muwe na utu mjiulize kwa mnayofanya hivi ingekuwa ni mimi ndo nafanyiwa; Eeh Mungu fundisha Viongoz wakujue ww ulivo wa upendo.Ameen😢😢😢

  • @gracejohn5894
    @gracejohn5894 9 місяців тому +5

    Mmeua baba wa familia anaotegemewa na watu nyuma yake, Ee Mungu tuhurumie😭😭😭😭😭🙌

  • @samwelombeni6850
    @samwelombeni6850 9 місяців тому +8

    Nimesikitishwa Sana kuona kiongozi anaongea Jambo lingine na mashuhuda wanazungumza kitu kingine; NAOMBA NIISHIE HAPA;😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-lw9if8zr8u
    @user-lw9if8zr8u 9 місяців тому +7

    Hii ndio Tanzania binafsi nakijua icho kiwanda hao walinzi kiukweli uwa nishida sana kwawafanyakazi ebu fikilia kiongozi anafika eneo la tukio anaanza kutengeneza maneno yakupoteza haki zawafanyakazi Ila mungu ipo siku atatujibu watanzania

  • @moosafii-rz8je
    @moosafii-rz8je 5 місяців тому +1

    Umetisha sana mi ladiayo naomba saport

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039 9 місяців тому +7

    Mungu akusamehe magufuli kule uliko kama kunasehemu ulikosea😭😭😭

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 9 місяців тому

    Bro Malima leo umeniangusha, babaako hakuwa hivyo alikuwa na huruma sana. Kwanza ungekemea mauwaji ya raia. Duh pole sana leo umezingua sikutarajia

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 9 місяців тому +16

    Acheni kuchukulia kila kitu kirahisi. Kumbukeni hayo ni maisha ya mtu yamepotea.

  • @tommytouchtz
    @tommytouchtz 9 місяців тому +1

    Mungu mrehemu JOHN JOSEPH MAGUFULI KAMA ALIKOSEA MAHALI MSAMEHE ILA ALIFANYA HAKI KWA WATU WAKO JAPO MAPUNGUFU YAPO ILA YULE HAKUWA RAISI ALIKUWA BABA KWA TAIFA ONA ASKARI WANAUA RAIA NA HAKUNA HAKI WANACHUKULIWA 😭😭😭😭😭

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 6 місяців тому +1

    Nchi ilipewa heshima barani Africa, ila leo ubovu wa serekali, pili heshima kuisha, leo nchi hii imegeuka: usa, Burundi na Rwanda...

  • @user-kq4by2vd4q
    @user-kq4by2vd4q 8 місяців тому +1

    Tatizo sisi raia watanzania wajuaji hatupendi kifuwata sheria namatusi lkn kwenye maelezo mnayotoaga hamjisemi nyinyi mliwaambia nini hao askari hii kazi ya askari ngumu sana sanaaa serikali iyangalie upande wapili

  • @EdwardMbatilo-mk1ko
    @EdwardMbatilo-mk1ko 7 місяців тому +3

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina

  • @HappyHummingBird-je7ip
    @HappyHummingBird-je7ip 6 місяців тому +1

    Siyo haki ambao hatujasoma hatuna haki pole sana mungu abaliki familia yako

  • @ReinaRanju
    @ReinaRanju 6 днів тому

    Duh Atari sana kwa Wana inchi wenzetu ila atushangai Ali ya ichi kujaribika sisi ni wakurea watot tokarini tukaweza kuendesha tanzania

  • @joachimjohn1651
    @joachimjohn1651 9 місяців тому +1

    Angelikua ameuliwa Mlinzi wao, hakika huyo kijan asinge Acha hapo, ila sasa mlinzi ameua mfanyakazi, wameongea simple tu.
    R.I.P JPM

  • @user-kf7fo8ce1m
    @user-kf7fo8ce1m 7 місяців тому +1

    Daaaaahhh walinzi wamagetini nao shida, serikali jamani iwone raia wake wanavyoteseka

  • @AffectionateChess-ph3gp
    @AffectionateChess-ph3gp 6 місяців тому

    Ongezeni juhudi za ku2juza new information ❤❤

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 9 місяців тому +3

    Watu wana roho mbaya sana
    Unaua binadam mwenzako kirahisi hivyo

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i 9 місяців тому +2

      Ukizingatia na yeye ni kijakazi tu jamani

  • @annajohn3377
    @annajohn3377 9 місяців тому +1

    Mim nimefanya San Kaz za viwandani zile Kaz nizautumwa kwa hiyo inabidi kwavile unashida ukubaliane na Sheria zao Mara nying wafanyakaz hawafuati Sheria hizo mfano Kama huyo anajua kbis hairuhusiw kupita getin bila vitendea kz lkn mtu anaenda anatak aingie kwa nguvu nawakat tangaz pia mmeshawekewa mvutano unaanz Sasa hapo wafanyakaz wengine wanaingilia pale kunakua kuanavurugu kubwa ndima zile kz inatakiwa ufany kwamalengo ukishapat kimtaji Bora ujiajili

  • @user-ro3by5kn3y
    @user-ro3by5kn3y 8 місяців тому +1

    Mungu ailaze roho ya marehemu peponi

  • @cleopatrahenry7541
    @cleopatrahenry7541 9 місяців тому

    Mungu ni mwaminifu haya mateso na machozi ya watanzania wanao pambana kutafuta riziki zao na huku wanadulumia haki mpaka uhai wao Mungu atalipa sikumoja ile mjitu magu alisema itaishi kama mshetani sasa mtaelewa maana ya yale maneno yaani mafisadi, wanynyasaji na matapeli wote dhidi yawanyonge wa Taifa letu ndiyo hii, hapo kiongozi hata kwa uongo angesema tu haki yao ataishughulikiwa kisheri na marehemu atapata haki yake na familia itaangaliwa anao mamilioni ni bora kuliko uhai wa Mtanzania. Mfano angeqmbiwa mtoto wake ameuliwa chuoni au kazini halafu kiongozi wa hayo mzingira atamke hayo maneno angejiskiaje huyu baba jamani mpaka nimeogopa sana tunaishiwa wapi

  • @LizenMaker
    @LizenMaker 9 місяців тому +4

    Bora kuishi polini na wanyama kuliko binadamu

  • @JailosPhilbert-vd5is
    @JailosPhilbert-vd5is 9 місяців тому +3

    Inatia huruma sana na wakae wakijua damu ya mtu uhai wa mtu hauendi bure na Mungu ameliona ilo .ata kama hawatamchukulia hatua uyo muuaji na wapambe wake ajue ya kwamba.damu ya uyo kijana italia malangoni mwa nyumba zao wakae wakijua ilo.Mungu hawezi kukaa kimya.😭😭😭

  • @JohnMachiya
    @JohnMachiya 12 днів тому

    Ukiwa mlinzi getin umakin unahitajika sanaaa
    Yaan umakin wanhali ya juu
    Mimi nalinda ila naish na raia vizuri sanaaaa na ukiish vizur na hao watu utafaid sanaaa

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 9 місяців тому +10

    R.I.P 💔😭😭Poleni sana, Tz bwana kiongozi sijamuelewa hata kidogo anatafuna maneno 😏😏uyo aliyemuua mwenzake Sheria ifuate mkondo wake

  • @kelvindagine9571
    @kelvindagine9571 9 місяців тому +4

    Jamaa kaaga nyumbni,,naenda kupambana mke wangu narudi ,mke wake kamwambie kazi njema mme wangu,Familia yake inamkumbuka tangu atoke huko mkoani kwao hajarudi but to day inarudi maiti kwa maksudi tu 😢😢😢. . . Mungu tumuweke mbele sana hata ikitokea kama hivi Mungu atupokee kwa uziriv. .

  • @MasanjaSamola
    @MasanjaSamola Місяць тому +1

    Mbona tanzania tuna ikosesha amani tuacheni jaman

  • @christopherbota9393
    @christopherbota9393 8 місяців тому

    Tunakoelekea ni kweusi ee mungu tupe mwanga zaidi tuone mbele.

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 9 місяців тому +2

    Wayahudi cha mtoto.polen sana

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 9 місяців тому

      Wengine wanapanga maandamano kupinga vita vya Israel vs Palestine, wakati nchini kwetu na majirani kuna matukio ya kupinga..tuamke,tutoke kwenye utumwa

  • @user-ch7le4nq3o
    @user-ch7le4nq3o 9 місяців тому +1

    Kwa maelezo ya wana nchi inaonekana hao wana nchi ndio wana shida kwasababu hadi mtu afikie kusema wanasema hakuna risasi wapige wajue risasi ipo, kifupi kulikuwa na mazozano makubwa, pia askali waliona wanaweza kuzidiwa na wananchi, hakika kazi ya uaskari ni kubwa na inachukiwa, yaan mtu katoka huko anataka kujifanya mwamba apite bila kutimiza vigezo, mmh yaani angemuomba kiutalatibu au angeazima vya mwenzake aendw asain achukue na vitu vyake kisha amludishie rafiki yake, vitu alivyo azima, pale kusinge tokea yote hayo, wananchi ni wabaya sana wanajiitaga wananchi wenye hasira kari na askari ange zubaa huwenda yeye ndio angeuriwa.

    • @user-sb8cc7cy2f
      @user-sb8cc7cy2f 9 місяців тому

      kuma la mama ako mzazi,kwhy kumbe naww mchaw kama hao wachaw wengn sasa alichokifny huy askari umeon nisaw hiv unajua mafunzo ya silaha najins yakuitumia ww? Utakufa kifo kibaya msenge maji ww

    • @user-sb8cc7cy2f
      @user-sb8cc7cy2f 9 місяців тому

      Angekufa baba ako ungeongea huo utumbo unao uongea!!af nmeamin nyie watu mnaofilwa shahaw za mkundu zinawapand hadi vchwani mnachanganyikiw

  • @ndennkya9554
    @ndennkya9554 9 місяців тому +2

    Alieua kwa upanga na yeye auwawe kwa upanga jino kwa jino ushaur wangu ndo huo2 basii

  • @thomastarimo
    @thomastarimo 9 місяців тому

    mimi nina cho shukuru tangia mzee kaka yetu alipo tutoka sijawahi kuombea nchi tena kamwe bora niombe taifa lingine siyo ccm au niombee jiwe siyo ccm na mungu anisaidie nisije kusubutu kufanya thambi hii ya kuombea ccm mungu nisaidie sina maombi ya ccm mimi siwezi akuna kiumbe atakaye weza kuni lazimisha kuombea kitu ambacho nimekilani

  • @AshirafuMajid
    @AshirafuMajid 2 місяці тому

    Kwani mkuu sheria inasemaje, na askari wamefundishw nin, na ukisema selikali imewekeza pesa nying, unakosea jali kwanza usalam wa binadam , je kama ungekuta uyo melehemu ndugu yako ungeongea hivo kilaisi, atujakuelewa mkuu.

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam3713 9 місяців тому +1

    Mienilosema kuwa mheshimiwa All happ atolewekopy

  • @user-ly6qc3nh7c
    @user-ly6qc3nh7c 7 місяців тому

    Aya maviongoz ya ovyo yenyewe yanakula kwa uraisi alaf wanaona watu wanaopoteza maisha kwa uzembe wao waona ni kawaida mungu yupo

  • @FrankDeo-xu7zw
    @FrankDeo-xu7zw 8 місяців тому

    Mungu atusaidie sana jamani 😢 mwanaume unaaga kwa mkeo unaenda kazini watoto wanakuaga baba utuletee chocolate 🍫 nakumbe unaenda kupigwa risasi😢 daah..!!!

  • @ZumrathWande
    @ZumrathWande 9 місяців тому

    Huyo askari sheria ichukue mkondo. Jamani,kwakweli viongozi wa juu watembelee viwandani na wakifika wazungumze na wafanyakazi tena wote mana kuna changamoto yingi sana viwandani haswa viwanda vinavyofanya kazi za mashambani,tena mkoa huu huu wa Morogoro.

  • @simulizizakwelinamikasa
    @simulizizakwelinamikasa 8 місяців тому

    Jamaaa analia kwauchungu sana poleni Sana nduguzangu

  • @user-rm9tc4ul7g
    @user-rm9tc4ul7g 6 місяців тому

    Poleni wana familia. Na kwa Askari ambae amemuua raia sheria itafuata mkondo wake nasisi raia tunapaswa kufuata kanuni taratibu na sheria tunazowekewa makazini kwetu hili kuepusha malumbano yasiyo na faida Askari kashaambiwa aipaswi mfanyakazi yeyote wa kiwanda kuingia ndani bila kukamilika kimavazi baadhi wanatii wakitok wanatok na vifaa vyao baadh wanasema wanaacha ndani yann uache kifaa chako ikiwa unajua wazi bila icho kifaa utoweza kulusiwa kuingia? Ukikutana na m2 mweny busara atakuelewesha atakurusu uingie lakin kwasis wabongo yanakua ndo mazoea kila siku itakua muendelezo

  • @ChachaIgobelo
    @ChachaIgobelo 4 дні тому

    Existing...moving...zauchi

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 9 місяців тому +1

    Unasemaje kuhusu aliyeuwawa au muhimu ni mradi wa garama.?uhai wa mtu una thamani ya pesa?weka utu mbele mali ni matokeo.

  • @user-xo6sk2yw7j
    @user-xo6sk2yw7j 9 місяців тому +1

    ingekua uyo jamaa alie kufa nduguyangu mimi walai uyo askari nayeye angekufa

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 9 місяців тому

    Mbona?? Askari mlinzi anatoa wapi mamlaka ya kutumia silaha kwa wafanyakazi??tena kumbe ni jeuri tu kuonyesha wana uwezo wa kuua😢😢😢😢watanzania tukiwa kwenye nafasi ya mamlaka tunajiona miungu watu,hili ndo tatizo.
    Hii ni ajabu sana au mimi ndo sielewi taratibu za ulinzi

  • @shukranitawa4668
    @shukranitawa4668 9 місяців тому

    Mkuu wa mkoa unawaza uwekezaji tu Duh. Kama kuna kundi la Askari wana maisha duni ni Magereza hivi WAMECHANYIKIWA na maisha ikitokea tukio usije jichanganya WATAKUUWA mjifunze KUCHUKUA TAHADHARI madishi yame YUMBA. R. I. P

    • @janengowi-lt9gu
      @janengowi-lt9gu 9 місяців тому

      Eti kusukumana kwa bahati mbaya amefariki sukumwa wewe kama mtafariki

  • @franciseliya3632
    @franciseliya3632 9 місяців тому

    Acha siasa mkuu wa mkoa. Mtampigaje risasi raia wa watuuu. Afu mpo tuu RIP magufuri

  • @IreneHassani
    @IreneHassani 8 місяців тому

    Hii ndio TZ na serkali yake duuh polen sana ndugu na jamaa wa marehem mungu awapatie nguvu na tuzidi kumuombea lkn hii serkali yetu hii mmh

  • @GracieTyno
    @GracieTyno 9 місяців тому +5

    Mwanaume akilia jamani dah!!.😭💔

  • @saamiaabdallah2160
    @saamiaabdallah2160 6 місяців тому

    Innalillah wainna ilayhi rajiiun
    Allah akupe kauli thabit shemeji yangu

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 9 місяців тому

    Sióni kama mkuu wa mkoa kama kasema kwa uchungu, kama vile haijatokea kitu chenye huzuni, wakati wampendao wana huzuni kubwa sana. Ajifunze kuzungumza vizuri.

  • @user-su2ie1sz9s
    @user-su2ie1sz9s 8 місяців тому

    😭😭😭 msituleteee bahati mbaya kwenye maisha nyie wasenge manina mmeuwa alafu mnasema bahati mbaya 😭😭😭😭 huyo mlinzi huyo mlinzi acha nikae kimya

  • @antonynzalalila3180
    @antonynzalalila3180 9 місяців тому

    nmependa kusema ukweli Viongozi huwa hamuwapi nafasi wafanyakzi na kuwasikiliiza changamoto zao, zaidi viongozi wakija katika mazingira ya kazi hasa katika sekta binafsi ni kuonana na uongozi na kuondoka na hawajui changamoto za wafanyakazi. Naomba viongozi wa serikali wazingatie =haki za wafanyakazi pia na sio hao wawekezaji wa viwanda tu. INAUMA SANA KUONA WATU WAKITESEKA NA HAKUNA LINALO FANYIKA KWA WAWEKEZAJI, Mfano mzuri wilaya ya mufindi - Mgololo

  • @user-el4ig4om5j
    @user-el4ig4om5j 7 місяців тому +1

    Huyo Mlinzi Achukuliwe Hatua za Kishelia. Poleni sana Ndugu Zangu.

  • @JanvierMunyaga-pd9es
    @JanvierMunyaga-pd9es 8 місяців тому

    Pole sana kbs tulikuwa na waza ni ukukwetu tu njo tuna faaka mungomo

  • @WinfridaZakayo-mj7co
    @WinfridaZakayo-mj7co 9 місяців тому +1

    Some times watu wanakuaga na dharau Kwa walinzi ona Sasa kilichotokea mlinzi sawa kafundishwa ila na yeye ni binadamu watu wanakera

    • @poullydaudi5884
      @poullydaudi5884 9 місяців тому

      Wewe una akili Ata kidogo sizani kama ulishaenda leba

  • @NairahEmmanuely
    @NairahEmmanuely 4 місяці тому +1

    Munguatusa idie😢

  • @MathewLeonard-n2b
    @MathewLeonard-n2b 28 днів тому

    Taitizo walinzi hawajui majukumu Yao hao ndo shida kamata wote weka ndan na mhusika wa mauaji Sheria itumike

  • @KIPUDA2023
    @KIPUDA2023 9 місяців тому +1

    Na hatua hamuta chukua mana serikal ni yenu mtu anakufa kama ng'ombe ninyi mnakunywa bia kwa kuku

  • @DM_15
    @DM_15 9 місяців тому

    Kaz zaselikali zinataka moyo kunawtu.wakiwa.selikalini hujiona waondiotop watukama hao usiombe upishanenae kimtazamo baba utajuta niwashuhulikiaji wazuri sana

  • @Dalalimapesa-xp9ed
    @Dalalimapesa-xp9ed 9 місяців тому +1

    Raia tunaonewa sana kisa vyeo vyao sheria ichukuwe mkondo wake.

  • @roseignas1881
    @roseignas1881 9 місяців тому +8

    Kweli utu kwa watu wa wanyonge ulishazikwa. Huwezi kutoa kauli hiyo juu ya kifo cha binadamu. Tena hakuwa na silaha yeyote.

    • @esikirajuma
      @esikirajuma 8 місяців тому

      Afunguriwe mashitaka

  • @user-sc8un9qh3t
    @user-sc8un9qh3t 8 місяців тому +1

    Kiukwer askar weng wanatumia uzoefu wakz sio uadirifu wao km askal ni walinz ktk jamii alafu akatumia silaha yake bila shelia achukuliwe hatua kwakua km askal yupo kwaajil ya nch alafu anaua je laia wafanye nikuleta uadui akafungwe na afie jela huyo

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 9 місяців тому

    WEWE MKUU WA MKOA NIWA OVYO SANA UNAUTUMIA UONGOZI WAKO VIBAYA SASA WAONGEA NN😢😢 SIJAPENDA

  • @emanuelmassawe1984
    @emanuelmassawe1984 9 місяців тому

    Raisi hafai hana muda na wananchi kw ushauri mama simamisha msafara wako uongee na wananchi kama marehemu makufuli alivyotumia muda mwingi wa kusema na wananchi

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 9 місяців тому

    Huyo kiongozi anatafuna ulimi kama hana Familia vile,naona hapo hakuna hatua zozote zaidi Familia imtafutie namna huyo muhusika.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 9 місяців тому +17

    Yani sio bahati mbaya amefanya makusudi, kwa sababu kama walinzi wana siraha na wamefunzwa namna yakutumia siraha iweje wauwe,tatizo hamkagui hao walinzi wenu kama ivo wanavyokuwa wanakuja kwenye malindo usiku wamelewa apao kunakazi viongozi wa sehemu husika muwe makini sana sio tu mnakalia viti basi nyie mnajua kupokea mishahara wananchi wanateseka sihaki iyo. Wafanyakazi haswa wasio ajiliwa vibarua huwa wananyanyasika sana, kama yule alieng'atwa na mbwa kwa wachina amezungushwa mpaka basi kijana wawatu kabaki kilema kisa muwekezaji mchina selikali yetu muwe mnalia hili kwa wananchi wa hali ya chini wanateseka sana hawana bakuongelea tz yetu wote inabidi tupendane jamani.

    • @user-eq4hs7xq8u
      @user-eq4hs7xq8u 9 місяців тому +2

      Serikali kuweni makini fanyeni kazi nchi kama Brazil leo ingekuwa maandamano nchi yote kuuwawa kwa mtu mmoja kizembe hivo nimambo yahovyo sana wahuska mnazurula2 na vitambi vyenu .

    • @senikomanya7223
      @senikomanya7223 9 місяців тому +1

      Mnamtetea mama bule lkn mkumbuke mama ndiy mkuu wa nchi hatakam anawasaidiz lkn lkn lzm ajue utendaj kaz wa watu wake unaendaje, mfano ww mke au mume ulikua kwenyendoa bahat mbaya mke au mume akafaliki na tayal mkua na familia, baad ya kufalik mwenzako ukaoa au kuolewa mjue huyo uliemlet mal ya pili hawez kytunz familia yako ww Kama mzaz wa kwanza lazm Hilo mlitambue, Sasa ww ukitoka kazini tu unakul na kulal unasema watot wangu wako vizur kumbe hawali na wanapigika hasa kwahiy lzm upat mud wa kuzungumz na familia yako sio kusema msaidiz anatosha

    • @user-zg1zf7er3c
      @user-zg1zf7er3c 9 місяців тому

      Du hawo walix majambazi

    • @petrogisni8379
      @petrogisni8379 8 місяців тому

      Video laifu

  • @isakwisamwalukasa
    @isakwisamwalukasa 7 місяців тому

    Sasa kama mladi hatakiwi kukosa ulinzi ndo tuwe na ulinzi kama huu inasikitisha sana je alicho kufanya askari ni sawa mama samia tusaidie watanzania maana kuna meli nyingi sana kwenye nnchi yetu kuhusu maskali hawatundei haki

  • @AshirafuMajid
    @AshirafuMajid 2 місяці тому +1

    chukueni askali wote wa iyo kiwanda peleka Congo wakalinde aman , unapigana na mtu ana ata silaa kwel😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 9 місяців тому +7

    Duh hatari sana😢.

  • @neamusic2601
    @neamusic2601 9 місяців тому

    Hakuna Imani hapo kila ajiswalie anavyojua ...

  • @Mafunyanz-o2z
    @Mafunyanz-o2z 22 години тому

    Poleni sanaaaaaaa

  • @sd-lesavoirdedeli2709
    @sd-lesavoirdedeli2709 9 місяців тому

    Poleni sana ndugu wafiwa

  • @SMARTVICE
    @SMARTVICE 2 місяці тому

    Mungu ailaze roho ya marehemu

  • @omaryomary8547
    @omaryomary8547 8 місяців тому

    Hawa walinzi walofanya tukio nashauri wachukuliwe hatua Kali kwa mujibu wa Sheria kwani wameshindwa kufata maadili ya kaZi na kuua bila kua na sababu maalumu

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 9 місяців тому

    Hii inchi ngumu sana mmewapa mamlaka sana maasikali mpk laia tunakosa amani tunashindwa kuishi kwa amani kwenye inchi yetu

  • @user-rh1mk6uv6o
    @user-rh1mk6uv6o 5 місяців тому

    Mungu ailaze loho ya malehemu mahali pema pema

  • @StevenLindi
    @StevenLindi 7 місяців тому

    Tanzania atuna uongozi wengi niwanafiki .nduguyetu amepoteza Maisha unafikilia kunahatua itachukuliwa zaidi ya kuongea upuuzitu..

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 6 місяців тому

    Toeni hao walinzi ...bora kampuni kulinda kuliko hao walinzi wa serikali..

  • @timopanga5286
    @timopanga5286 9 місяців тому +4

    Tangu jpm atutoke serekali hii sielewi kabisa mauaji yamekuwa Kama kawaida hakuna hatua yeyote inachukuliwa tumeshakuwa Kama wanyama tuna uliwa hovyo serekali ipo kimya Ila mungu yupo atajibu rip jpm😭😭😭

    • @safinamdingi7912
      @safinamdingi7912 9 місяців тому

      Kweli kabisa mungu akutangulie kwa kila jambo

  • @johnmilly2737
    @johnmilly2737 9 місяців тому

    Hivi wewe kiongozi mkuu wa mkoa umesoma kweli kuhusu maendeleo ya jamii au umepewa uongozi kwa kuhonga, yaan wewe ndo tunakutegemea utoe neno la kuwapa moyo wafanyakazi kumbe unatoa utopolo tu, yaan mradi wa mabilioni uthamanishe na uhai wa mtu, aise dunia imeisha ni yesu arudi tu maana tunakoelekea hakuna haki kabisa

  • @AmaniChalale
    @AmaniChalale 9 місяців тому

    Hivi sisi watanzania wa chini tutasaidiwa na nani? Watu wanaonewa namna hii? Utasema watu wote Hawa waongoo? Viongozi wa nchi ya Tanzania, watanzania wamewakosea Nini? Uwiiiiiii inaumaaaa, mungu atusaidie

  • @inosentitesha8494
    @inosentitesha8494 9 місяців тому +1

    Jamaan hi Tanzania nlishasema 90% za walinz au police hawanaga elimu ni wale walio feli shuleni kwaiyo lazima wawe wanafanya mambo mepesi tu kua magumu

    • @praygodjohn5221
      @praygodjohn5221 9 місяців тому

      Ongea point nyingine hiyo ya Elimu utachekwa labda waimarishe tu weledi wa kazi na majukumu yao Ila Kuna watu Wana Elimu huko kuliko ww Cha muhimu wafundishwe zaidi nafasi zao WAKIWA kazini

    • @inosentitesha8494
      @inosentitesha8494 9 місяців тому

      @@praygodjohn5221 kama walienda jkt si walifunzwa weledi unataka wafundishwe kwa Mara ya ngapi kama na wew sio unaongea matope hakuna mlinzi alie nizidi elimu apo wote wana uelewa mdogo kama wew

    • @dastanfussy4898
      @dastanfussy4898 9 місяців тому

      Una elimu gani?

  • @user-wr5ee7gc7c
    @user-wr5ee7gc7c 9 місяців тому

    Eeeeeeh Mungu ,Hii ni nini jamani,uhai wa mtu kupotea kimzahazaha,eeeh Mungu tusaidie binadamu dah

  • @thomastarimo
    @thomastarimo 9 місяців тому

    yani hii nchi sijuhi inakoelekea hii inakuje mijitu aina weledi wa kazi ila hii damu ya huyu mwanachi huu yu italipwa na mungu mijitu ina agiriwa aina elimu ina lewa hovyo tuta mkumbuka kaka jipm. kama alivyo sema

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 9 місяців тому

    Angekuwepo mzee magu kaz hawana wote

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz 9 місяців тому +1

    Kwahiyo na huyo aliyekufa anasaidiwaje? wewe ukiwa kama kiongozi sijaona point ya maana hapa ni umeongea pumba tu

  • @user-et2ci1rl1y
    @user-et2ci1rl1y 9 місяців тому

    Kweli askari anamuuwa raiya hadharani ni kitendo kibaya sana uchunguzi ifanyike ijulikane nan imwenyehaki

  • @user-ms8cn1px2d
    @user-ms8cn1px2d 7 місяців тому

    Pole saan apumzike kwa amn

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 7 місяців тому

    Uwekezaji kwenye maisha ya mtu inchi ya hovyo sana

  • @Linyasa03
    @Linyasa03 9 місяців тому

    Naomba afe na yeye apigwa risasi mjinga sana UYO jamaa ningekua mm mwenye familia UYO jamaa lazima kingeeleweka

  • @JeremiasikilianiJeremiasikilia
    @JeremiasikilianiJeremiasikilia 3 місяці тому

    This is very sad, very sorry all relatives and friends in general rest in peace