Poleni wana familia. Na kwa Askari ambae amemuua raia sheria itafuata mkondo wake nasisi raia tunapaswa kufuata kanuni taratibu na sheria tunazowekewa makazini kwetu hili kuepusha malumbano yasiyo na faida Askari kashaambiwa aipaswi mfanyakazi yeyote wa kiwanda kuingia ndani bila kukamilika kimavazi baadhi wanatii wakitok wanatok na vifaa vyao baadh wanasema wanaacha ndani yann uache kifaa chako ikiwa unajua wazi bila icho kifaa utoweza kulusiwa kuingia? Ukikutana na m2 mweny busara atakuelewesha atakurusu uingie lakin kwasis wabongo yanakua ndo mazoea kila siku itakua muendelezo
Siku zote kaulimbiu yaichi tanzania niichi yaamani ila kwaili lililotokea TANZANIA kwasasa niichi yamanyanyaso naisiokuwa naaki maana polisi kauwa Shelia nae auwawe iyo ndoaki pole sana maleemu mungu akulinde
Poleni sana walio ufiwa hii ni unyenyesaji mbaya naomba sirikali yetu angalieni hii swala kwa makini kweli Kuna moja amesema walinzi wa nakunyua pombe na hii itakua ni kweli kwa sababu nini sababu ya kufitua risasi kwa raiya
Jamaa kaaga nyumbni,,naenda kupambana mke wangu narudi ,mke wake kamwambie kazi njema mme wangu,Familia yake inamkumbuka tangu atoke huko mkoani kwao hajarudi but to day inarudi maiti kwa maksudi tu 😢😢😢. . . Mungu tumuweke mbele sana hata ikitokea kama hivi Mungu atupokee kwa uziriv. .
Mbona?? Askari mlinzi anatoa wapi mamlaka ya kutumia silaha kwa wafanyakazi??tena kumbe ni jeuri tu kuonyesha wana uwezo wa kuua😢😢😢😢watanzania tukiwa kwenye nafasi ya mamlaka tunajiona miungu watu,hili ndo tatizo. Hii ni ajabu sana au mimi ndo sielewi taratibu za ulinzi
"Mama/ Viongozi wakija hapa, wanaingia tu na kuondoka, hawatusikilizi wafanyakazi kero na utendaji kazi wetu" We will never get such a President again dada.,Labda Mungu aweke huruma dhidi yetu tena..Inauma sana Raisi anaenda ziara za kufungua mashule huko Singida, Znz Nk. Mtu una tume, Ngazi baraza, Ngazi wizara, Ngazi Mikoa, Ngazi Wilaya, Ngazi Halmashauri.,unaenda kufanya ziara za ajabu uaacha kusimamia mambo ya msingi yanayowakabiri wananchi wakoImagine wenye madaraka hapa Tanzania sahivi hawaogopi kitu chchote kwenye maamuzi!! #InaumaSana
Kwani ziara ya Rais na hayo yanayofanyika ni Rais aje asimame mlangoni kuwalinda?Hiyo hoja haina mashiko.Hoja ni viongozi wenu wa Wafanyakazi hawajafikisha hoja zenu mahali panapohitajika.Tumia busara kuwasilisha hoja yako ya Msingi.
Ukiwa mlinzi getin umakin unahitajika sanaaa Yaan umakin wanhali ya juu Mimi nalinda ila naish na raia vizuri sanaaaa na ukiish vizur na hao watu utafaid sanaaa
Jmn pole Kaka inaumwa jmn yaan ukiona mwanaume analia ujue kaumia Sana aise daah 😭😭😭 pole bro polen familia na jamaa marafiki mungu awatie nguvu mbele yke nyuma yetu amen🙏
Wengine wanapanga maandamano kupinga vita vya Israel vs Palestine, wakati nchini kwetu na majirani kuna matukio ya kupinga..tuamke,tutoke kwenye utumwa
Mungu ni mwaminifu haya mateso na machozi ya watanzania wanao pambana kutafuta riziki zao na huku wanadulumia haki mpaka uhai wao Mungu atalipa sikumoja ile mjitu magu alisema itaishi kama mshetani sasa mtaelewa maana ya yale maneno yaani mafisadi, wanynyasaji na matapeli wote dhidi yawanyonge wa Taifa letu ndiyo hii, hapo kiongozi hata kwa uongo angesema tu haki yao ataishughulikiwa kisheri na marehemu atapata haki yake na familia itaangaliwa anao mamilioni ni bora kuliko uhai wa Mtanzania. Mfano angeqmbiwa mtoto wake ameuliwa chuoni au kazini halafu kiongozi wa hayo mzingira atamke hayo maneno angejiskiaje huyu baba jamani mpaka nimeogopa sana tunaishiwa wapi
Tunakazi kubwa sana Tanzania Hii ndio amani inayohamasishwa kilasiku naviongozi wetu.Ila mabomu na risasi zitarindima kwenye mikutano isiyo nafujo. Watafungwa watu wasio namakosa .Mungu tuone tena watanzania
Yaan mama yetu samia shugulika na hao askar magereza walevi wapate adhabu zao usiangalie na hao waliopoteza ndugu yao jaribu kuangalia familia mama najua ww mama asante ni unyama mbaya sana⁉️😭😭
Kwahiyo mkuu ndio umemaliza kuongea au imekatishwa maana sijasikia hatua kwa huyo aliyemuua raia kwa silaha ya moto huku mwenzie hana silaha wala si jambazi
moyo wa kuu wa mkoa unaonekana hauna hata tone la huruma juu ya maisha ya mtu, na uhai wake, maana sijaona cha maana alichoongea, zaidi ya serikali na mabilioni ya mladi,
viongozi kama hawa hawafai kuongoza watu , wasiojali utu wa watu, MUNGU atusaidie sana, HAYATI MAGUFULI ALISEMA TUTAMKUMBUKA SANA Kweli aliona mbali sana, alikuwa anawaacha watu wa .............
Mungu mrehemu JOHN JOSEPH MAGUFULI KAMA ALIKOSEA MAHALI MSAMEHE ILA ALIFANYA HAKI KWA WATU WAKO JAPO MAPUNGUFU YAPO ILA YULE HAKUWA RAISI ALIKUWA BABA KWA TAIFA ONA ASKARI WANAUA RAIA NA HAKUNA HAKI WANACHUKULIWA 😭😭😭😭😭
Kiongozi anaongea simple mno km hajafa mtu Hv mhe; Malima huyo angekufa angekuwa mwanao si ungegeuka mbogo hapo 😢kazi nyie viongozi mnajijali tu ndo maana hata ss wananchi hatuwapendi nchi yote kuanzia Mkuu wa nchi, kwanza muwe muwe na utu mjiulize kwa mnayofanya hivi ingekuwa ni mimi ndo nafanyiwa; Eeh Mungu fundisha Viongoz wakujue ww ulivo wa upendo.Ameen😢😢😢
Hii ndio Tanzania binafsi nakijua icho kiwanda hao walinzi kiukweli uwa nishida sana kwawafanyakazi ebu fikilia kiongozi anafika eneo la tukio anaanza kutengeneza maneno yakupoteza haki zawafanyakazi Ila mungu ipo siku atatujibu watanzania
Hivi jmn watanzania 😢wenzetu mbona mnakuwa makatili kias iki?? At Kenya Aiko hivii aisee ndo man wakenya uwa wako tayar kufaa kwa ajli,y haki.tena uwa askar uwa wanapigwa n wananch kwa mawe mm ningekuwa ndgu wa uyo marehemu nahakikisha uyo muuaj lazma nmtoe kafara at ya kunnua😢.uy mkuu wa mkoa anajielewa kwel ingekuwa n yye amefiwa je?
Mladi wa Billion 600 unathaman sana kuliko uhai wa mtu kweli thaman ya mtu ni utu wake mwenyewe nilitarajia kiongozi angekemea na kulaani kitendo hiki cha kinyama Lakin kiulain naona ameongelea maokoto ya mradi R.P Bro Msalimie Magufuri mwambie ndio sasa tunaanza kumuelewa so sad😢😢
Eee bwana yaani wewe mmoja tuu ndo nimeona umecoment mimi pia nimesikia thamani ya mradi tuu na sio thamani ya roho ya mtu inauma sana Mungu atuangalie wanyonge pia 🙏🙏🙏
mimi nina cho shukuru tangia mzee kaka yetu alipo tutoka sijawahi kuombea nchi tena kamwe bora niombe taifa lingine siyo ccm au niombee jiwe siyo ccm na mungu anisaidie nisije kusubutu kufanya thambi hii ya kuombea ccm mungu nisaidie sina maombi ya ccm mimi siwezi akuna kiumbe atakaye weza kuni lazimisha kuombea kitu ambacho nimekilani
Inatia huruma sana na wakae wakijua damu ya mtu uhai wa mtu hauendi bure na Mungu ameliona ilo .ata kama hawatamchukulia hatua uyo muuaji na wapambe wake ajue ya kwamba.damu ya uyo kijana italia malangoni mwa nyumba zao wakae wakijua ilo.Mungu hawezi kukaa kimya.😭😭😭
Tangu jpm atutoke serekali hii sielewi kabisa mauaji yamekuwa Kama kawaida hakuna hatua yeyote inachukuliwa tumeshakuwa Kama wanyama tuna uliwa hovyo serekali ipo kimya Ila mungu yupo atajibu rip jpm😭😭😭
Hii nchi za ovyo sana na WaTanzania ni wapumbavu sana mngechoma moto hicho kiwanda hili watie akili hawawezi kuua mtu au muwavizie huyo muuwaji na huyo mwanamke na nyie mumuuwe mlipe kisasi maana hamna viongozi wa kuwatetea si rais hamna mtu Tanzania ya mavi kunuka
@@kdloon2030 ona ulivyo na akili Za mavi kunuka mtu akiwakosoa unyama wenu amekuwa mrundi Kwa hiyo huo unyama na unyanyasaji wa hao wananchi ni sawa kwao ??? Mpuuzi wewe Mbwa na umewakuta huko WaTz ni wajinga ungewafanyia watu wa Arusha au Geita na ungeona wangefanya nini kama hao askari magereza wasingeuwawa na kiwanda kuchomwa
Yani sio bahati mbaya amefanya makusudi, kwa sababu kama walinzi wana siraha na wamefunzwa namna yakutumia siraha iweje wauwe,tatizo hamkagui hao walinzi wenu kama ivo wanavyokuwa wanakuja kwenye malindo usiku wamelewa apao kunakazi viongozi wa sehemu husika muwe makini sana sio tu mnakalia viti basi nyie mnajua kupokea mishahara wananchi wanateseka sihaki iyo. Wafanyakazi haswa wasio ajiliwa vibarua huwa wananyanyasika sana, kama yule alieng'atwa na mbwa kwa wachina amezungushwa mpaka basi kijana wawatu kabaki kilema kisa muwekezaji mchina selikali yetu muwe mnalia hili kwa wananchi wa hali ya chini wanateseka sana hawana bakuongelea tz yetu wote inabidi tupendane jamani.
Serikali kuweni makini fanyeni kazi nchi kama Brazil leo ingekuwa maandamano nchi yote kuuwawa kwa mtu mmoja kizembe hivo nimambo yahovyo sana wahuska mnazurula2 na vitambi vyenu .
Mnamtetea mama bule lkn mkumbuke mama ndiy mkuu wa nchi hatakam anawasaidiz lkn lkn lzm ajue utendaj kaz wa watu wake unaendaje, mfano ww mke au mume ulikua kwenyendoa bahat mbaya mke au mume akafaliki na tayal mkua na familia, baad ya kufalik mwenzako ukaoa au kuolewa mjue huyo uliemlet mal ya pili hawez kytunz familia yako ww Kama mzaz wa kwanza lazm Hilo mlitambue, Sasa ww ukitoka kazini tu unakul na kulal unasema watot wangu wako vizur kumbe hawali na wanapigika hasa kwahiy lzm upat mud wa kuzungumz na familia yako sio kusema msaidiz anatosha
Aya ndiyo anae imbaga ney wa mitego nchi hi bas2 kama.mtu kauwa ana baki kufany nini si akamatwe jela au nae anyongw2 😮 apo ndo una mkumbuka magufuli kwa kesi kama iyo mbona jamaa asinge pewa ata maji😭😭
Mim nimefanya San Kaz za viwandani zile Kaz nizautumwa kwa hiyo inabidi kwavile unashida ukubaliane na Sheria zao Mara nying wafanyakaz hawafuati Sheria hizo mfano Kama huyo anajua kbis hairuhusiw kupita getin bila vitendea kz lkn mtu anaenda anatak aingie kwa nguvu nawakat tangaz pia mmeshawekewa mvutano unaanz Sasa hapo wafanyakaz wengine wanaingilia pale kunakua kuanavurugu kubwa ndima zile kz inatakiwa ufany kwamalengo ukishapat kimtaji Bora ujiajili
Kiukwer askar weng wanatumia uzoefu wakz sio uadirifu wao km askal ni walinz ktk jamii alafu akatumia silaha yake bila shelia achukuliwe hatua kwakua km askal yupo kwaajil ya nch alafu anaua je laia wafanye nikuleta uadui akafungwe na afie jela huyo
Siyo haki ambao hatujasoma hatuna haki pole sana mungu abaliki familia yako
Jamaaa analia kwauchungu sana poleni Sana nduguzangu
Poleni wana familia. Na kwa Askari ambae amemuua raia sheria itafuata mkondo wake nasisi raia tunapaswa kufuata kanuni taratibu na sheria tunazowekewa makazini kwetu hili kuepusha malumbano yasiyo na faida Askari kashaambiwa aipaswi mfanyakazi yeyote wa kiwanda kuingia ndani bila kukamilika kimavazi baadhi wanatii wakitok wanatok na vifaa vyao baadh wanasema wanaacha ndani yann uache kifaa chako ikiwa unajua wazi bila icho kifaa utoweza kulusiwa kuingia? Ukikutana na m2 mweny busara atakuelewesha atakurusu uingie lakin kwasis wabongo yanakua ndo mazoea kila siku itakua muendelezo
Siku zote kaulimbiu yaichi tanzania niichi yaamani ila kwaili lililotokea TANZANIA kwasasa niichi yamanyanyaso naisiokuwa naaki maana polisi kauwa Shelia nae auwawe iyo ndoaki pole sana maleemu mungu akulinde
Umetisha sana mi ladiayo naomba saport
1:57
Poleni sana walio ufiwa hii ni unyenyesaji mbaya naomba sirikali yetu angalieni hii swala kwa makini kweli Kuna moja amesema walinzi wa nakunyua pombe na hii itakua ni kweli kwa sababu nini sababu ya kufitua risasi kwa raiya
Hakikasijapendeshwa nahili
@@JoahNesi-m9qj
Jamaa kaaga nyumbni,,naenda kupambana mke wangu narudi ,mke wake kamwambie kazi njema mme wangu,Familia yake inamkumbuka tangu atoke huko mkoani kwao hajarudi but to day inarudi maiti kwa maksudi tu 😢😢😢. . . Mungu tumuweke mbele sana hata ikitokea kama hivi Mungu atupokee kwa uziriv. .
Mbona?? Askari mlinzi anatoa wapi mamlaka ya kutumia silaha kwa wafanyakazi??tena kumbe ni jeuri tu kuonyesha wana uwezo wa kuua😢😢😢😢watanzania tukiwa kwenye nafasi ya mamlaka tunajiona miungu watu,hili ndo tatizo.
Hii ni ajabu sana au mimi ndo sielewi taratibu za ulinzi
Daaaaahhh walinzi wamagetini nao shida, serikali jamani iwone raia wake wanavyoteseka
Kauli zao ndio zimemponza wanachukulia bunduki kama manati walichikitka wamekipata
Mungu wangu yaan siku ikifika Inauma sana.
Mh kumbe tz nako kuko ivyo acha niendelee Kupambana huku huku South Africa jurbug maana sioni Utofauti😢😢😢
😂😂😂😂usiogope
Yaani siku izi sehemu zote zinatisha
Duu
Duh jamani ????
H
Bro Malima leo umeniangusha, babaako hakuwa hivyo alikuwa na huruma sana. Kwanza ungekemea mauwaji ya raia. Duh pole sana leo umezingua sikutarajia
🎉😢😮❤
🎉😮🎉😢😂😮😅❤🎉😮 0:27 😅😊😢😂😮😊 0:33 ❤😂😢😂😢
😂🎉
😊
😮❤😅😂😂🎉
"Mama/ Viongozi wakija hapa, wanaingia tu na kuondoka, hawatusikilizi wafanyakazi kero na utendaji kazi wetu" We will never get such a President again dada.,Labda Mungu aweke huruma dhidi yetu tena..Inauma sana Raisi anaenda ziara za kufungua mashule huko Singida, Znz Nk. Mtu una tume, Ngazi baraza, Ngazi wizara, Ngazi Mikoa, Ngazi Wilaya, Ngazi Halmashauri.,unaenda kufanya ziara za ajabu uaacha kusimamia mambo ya msingi yanayowakabiri wananchi wakoImagine wenye madaraka hapa Tanzania sahivi hawaogopi kitu chchote kwenye maamuzi!! #InaumaSana
Kwani ziara ya Rais na hayo yanayofanyika ni Rais aje asimame mlangoni kuwalinda?Hiyo hoja haina mashiko.Hoja ni viongozi wenu wa Wafanyakazi hawajafikisha hoja zenu mahali panapohitajika.Tumia busara kuwasilisha hoja yako ya Msingi.
@@margarethhovokela2412acha kuongea pumba kama huelewi kitu kilichoandikwa na kuongelea funga domo lako buok
Ngorongoro, Ngorongoro..mdogo mdogo yanasogea town...tutawaelewa wamasai
@@margarethhovokela2412Funga domo lako wewe Mnafiki mkubwa,huoni hata maumivu ya watanzania..Wale wanaomba msaada hawachekeshi.
Sssa Mamayetu Anahusika Nini Yeye Ndio Aliyemtuma Amuuwe Muwe Mnafikilia Kabla Yakusema.
Pole sana kbs tulikuwa na waza ni ukukwetu tu njo tuna faaka mungomo
Munguatusa idie😢
Ukiwa mlinzi getin umakin unahitajika sanaaa
Yaan umakin wanhali ya juu
Mimi nalinda ila naish na raia vizuri sanaaaa na ukiish vizur na hao watu utafaid sanaaa
Huyu kiongozi kaongea kana kwamba si roho ya binadamu imeondoka! God is watching.
Pole sanaa
Jmn pole Kaka inaumwa jmn yaan ukiona mwanaume analia ujue kaumia Sana aise daah 😭😭😭 pole bro polen familia na jamaa marafiki mungu awatie nguvu mbele yke nyuma yetu amen🙏
Poleni sana
Polenisa mungu azilaze mili ya malehem mali pema peponi amina
Wayahudi cha mtoto.polen sana
Wengine wanapanga maandamano kupinga vita vya Israel vs Palestine, wakati nchini kwetu na majirani kuna matukio ya kupinga..tuamke,tutoke kwenye utumwa
Poreni jaman
Mungu ni mwaminifu haya mateso na machozi ya watanzania wanao pambana kutafuta riziki zao na huku wanadulumia haki mpaka uhai wao Mungu atalipa sikumoja ile mjitu magu alisema itaishi kama mshetani sasa mtaelewa maana ya yale maneno yaani mafisadi, wanynyasaji na matapeli wote dhidi yawanyonge wa Taifa letu ndiyo hii, hapo kiongozi hata kwa uongo angesema tu haki yao ataishughulikiwa kisheri na marehemu atapata haki yake na familia itaangaliwa anao mamilioni ni bora kuliko uhai wa Mtanzania. Mfano angeqmbiwa mtoto wake ameuliwa chuoni au kazini halafu kiongozi wa hayo mzingira atamke hayo maneno angejiskiaje huyu baba jamani mpaka nimeogopa sana tunaishiwa wapi
pole cna kaka
Tunakazi kubwa sana Tanzania Hii ndio amani inayohamasishwa kilasiku naviongozi wetu.Ila mabomu na risasi zitarindima kwenye mikutano isiyo nafujo. Watafungwa watu wasio namakosa .Mungu tuone tena watanzania
M
Yaan mama yetu samia shugulika na hao askar magereza walevi wapate adhabu zao usiangalie na hao waliopoteza ndugu yao jaribu kuangalia familia mama najua ww mama asante ni unyama mbaya sana⁉️😭😭
Kwahiyo mkuu ndio umemaliza kuongea au imekatishwa maana sijasikia hatua kwa huyo aliyemuua raia kwa silaha ya moto huku mwenzie hana silaha wala si jambazi
Hata mimi nashangaa😮😮😮
Tunakoelekea ni kweusi ee mungu tupe mwanga zaidi tuone mbele.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina
Ongezeni juhudi za ku2juza new information ❤❤
moyo wa kuu wa mkoa unaonekana hauna hata tone la huruma juu ya maisha ya mtu, na uhai wake, maana sijaona cha maana alichoongea, zaidi ya serikali na mabilioni ya mladi,
Bora angekaa kimya, nikama amehalalisha alichofanya huyo mlinzi
viongozi kama hawa hawafai kuongoza watu , wasiojali utu wa watu, MUNGU atusaidie sana, HAYATI MAGUFULI ALISEMA TUTAMKUMBUKA SANA Kweli aliona mbali sana, alikuwa anawaacha watu wa .............
Nothing
Maghufuli!
Mama aende huko wawekezaji wanawamaliza raia.kigoma mie simuelewagi hyu mkuu
Walinz kuwen makin sanaaaa mtafungwa muishe😢😢😢😢
Nimesikitishwa Sana kuona kiongozi anaongea Jambo lingine na mashuhuda wanazungumza kitu kingine; NAOMBA NIISHIE HAPA;😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kiongoz kaongea ut...mbo tu
Existing...moving...zauchi
Mungu akusamehe magufuli kule uliko kama kunasehemu ulikosea😭😭😭
😢😢
Mungu mrehemu JOHN JOSEPH MAGUFULI KAMA ALIKOSEA MAHALI MSAMEHE ILA ALIFANYA HAKI KWA WATU WAKO JAPO MAPUNGUFU YAPO ILA YULE HAKUWA RAISI ALIKUWA BABA KWA TAIFA ONA ASKARI WANAUA RAIA NA HAKUNA HAKI WANACHUKULIWA 😭😭😭😭😭
Inaumaa sanaaa😢
Bora kuishi polini na wanyama kuliko binadamu
Duu mungu amuhifazi mahala peponi amen
Mmeua baba wa familia anaotegemewa na watu nyuma yake, Ee Mungu tuhurumie😭😭😭😭😭🙌
Da polenta sana
Kiongozi anaongea simple mno km hajafa mtu Hv mhe; Malima huyo angekufa angekuwa mwanao si ungegeuka mbogo hapo 😢kazi nyie viongozi mnajijali tu ndo maana hata ss wananchi hatuwapendi nchi yote kuanzia Mkuu wa nchi, kwanza muwe muwe na utu mjiulize kwa mnayofanya hivi ingekuwa ni mimi ndo nafanyiwa; Eeh Mungu fundisha Viongoz wakujue ww ulivo wa upendo.Ameen😢😢😢
Tuliipenda wenyewe😂😂😂 acha tu Tuishi nayo
Jamani watoto wa kiume wanakula kwa tabu Mungu awasimamie
Inauma sana watoto wanajua baba yupo kazini kumbe baba anapitia magumu dah Mungu awalinde wanaume wote
@@monalisapeter4899kweli😢😢
Amina
were is your redio programiz fhhek
Hii ndio Tanzania binafsi nakijua icho kiwanda hao walinzi kiukweli uwa nishida sana kwawafanyakazi ebu fikilia kiongozi anafika eneo la tukio anaanza kutengeneza maneno yakupoteza haki zawafanyakazi Ila mungu ipo siku atatujibu watanzania
Good bless you
Acheni kuchukulia kila kitu kirahisi. Kumbukeni hayo ni maisha ya mtu yamepotea.
Poleni sana wafanyikazii wakampuni
KIONGOZ KAZUNGUMZA LAKINI BINAFSI SIJASIKIA KAMA WATACHUKULIWA HATUA ,MPAKA ANAMALIZA KUONGEA..😢😢SO SAD 😭
Jaman haki itenteke kwa wafanyakaz maaskari watatumariza mabadriko gan mbona sheria hafati mkondo
Hawawezi kuwachukulia hatua yoyote hao wauaji kwa sababu wote hao kabila moja nyani na ngedere,mwenyeenzi mungu amlaze mahali pema peponi kijana wetu
Hivi jmn watanzania 😢wenzetu mbona mnakuwa makatili kias iki?? At Kenya Aiko hivii aisee ndo man wakenya uwa wako tayar kufaa kwa ajli,y haki.tena uwa askar uwa wanapigwa n wananch kwa mawe mm ningekuwa ndgu wa uyo marehemu nahakikisha uyo muuaj lazma nmtoe kafara at ya kunnua😢.uy mkuu wa mkoa anajielewa kwel ingekuwa n yye amefiwa je?
Jamzni mungu umlaze mahalipema Amen
Mladi wa Billion 600 unathaman sana kuliko uhai wa mtu kweli thaman ya mtu ni utu wake mwenyewe nilitarajia kiongozi angekemea na kulaani kitendo hiki cha kinyama Lakin kiulain naona ameongelea maokoto ya mradi R.P Bro Msalimie Magufuri mwambie ndio sasa tunaanza kumuelewa so sad😢😢
Eee bwana yaani wewe mmoja tuu ndo nimeona umecoment mimi pia nimesikia thamani ya mradi tuu na sio thamani ya roho ya mtu inauma sana Mungu atuangalie wanyonge pia 🙏🙏🙏
Huyu kiongozi hafai kuwa kiongozi hata kidogo badala akemee anafurahia mtu kuuwawa na hawa wapuuzi?wewe kiongozi hufaiii hufaiii.
mimi nina cho shukuru tangia mzee kaka yetu alipo tutoka sijawahi kuombea nchi tena kamwe bora niombe taifa lingine siyo ccm au niombee jiwe siyo ccm na mungu anisaidie nisije kusubutu kufanya thambi hii ya kuombea ccm mungu nisaidie sina maombi ya ccm mimi siwezi akuna kiumbe atakaye weza kuni lazimisha kuombea kitu ambacho nimekilani
Inatia huruma sana na wakae wakijua damu ya mtu uhai wa mtu hauendi bure na Mungu ameliona ilo .ata kama hawatamchukulia hatua uyo muuaji na wapambe wake ajue ya kwamba.damu ya uyo kijana italia malangoni mwa nyumba zao wakae wakijua ilo.Mungu hawezi kukaa kimya.😭😭😭
Pollen Sana kama an mungu awatie nguvu sanaaa
R.I.P 💔😭😭Poleni sana, Tz bwana kiongozi sijamuelewa hata kidogo anatafuna maneno 😏😏uyo aliyemuua mwenzake Sheria ifuate mkondo wake
Mimi ndo kabisaa
Mungu ailaze loho ya malehemu mahali pema pema
Duh hatari sana😢.
Mama samia angalia hili na siyo hili tuuu hapa kunachangamoto kubwa kwenye hili taifa alafu hawa viongozi hawana nidham
Mwanaume akilia jamani dah!!.😭💔
Lo sijapenda kumbe huyu ,mhhhh😢😢😢
Tangu jpm atutoke serekali hii sielewi kabisa mauaji yamekuwa Kama kawaida hakuna hatua yeyote inachukuliwa tumeshakuwa Kama wanyama tuna uliwa hovyo serekali ipo kimya Ila mungu yupo atajibu rip jpm😭😭😭
Kweli kabisa mungu akutangulie kwa kila jambo
Poleni Sana kwa msiba
Rip my president Magufuli we will mic u😭
We nawe..utafikiri nchi ilikua kama peponi.hata ndugu zako walokufa huna uchungu nao kama hivyo.poor brain.
@@hijazhija316 we ndo poor brain kila mtu anahaki ya kuongeaa😢
@@hijazhija316mjinga miubwa😢😢wee ndo kama wale hamas wa palestina
Innalillah wainna ilayhi rajiiun
Allah akupe kauli thabit shemeji yangu
Hii nchi za ovyo sana na WaTanzania ni wapumbavu sana mngechoma moto hicho kiwanda hili watie akili hawawezi kuua mtu au muwavizie huyo muuwaji na huyo mwanamke na nyie mumuuwe mlipe kisasi maana hamna viongozi wa kuwatetea si rais hamna mtu Tanzania ya mavi kunuka
Nyie warundi mbona mwauwana kila siku na vita haishi,mwaangamizana wenyewe kwa wenyewe.
@@kdloon2030 ona ulivyo na akili Za mavi kunuka mtu akiwakosoa unyama wenu amekuwa mrundi Kwa hiyo huo unyama na unyanyasaji wa hao wananchi ni sawa kwao ??? Mpuuzi wewe Mbwa na umewakuta huko WaTz ni wajinga ungewafanyia watu wa Arusha au Geita na ungeona wangefanya nini kama hao askari magereza wasingeuwawa na kiwanda kuchomwa
Kweli kabisa😢😢😢
Shika huyo polise tia ndani na auliwe kama alivyouwa
Upole usio na tija..!! Hayo ni matokeo ya kutotii amri halali !! Kuna ujinga mahali fulani. Hawa wakihojiwa na tume watainga chaka.
Aya maviongoz ya ovyo yenyewe yanakula kwa uraisi alaf wanaona watu wanaopoteza maisha kwa uzembe wao waona ni kawaida mungu yupo
Kweli utu kwa watu wa wanyonge ulishazikwa. Huwezi kutoa kauli hiyo juu ya kifo cha binadamu. Tena hakuwa na silaha yeyote.
Afunguriwe mashitaka
Matokeo form
Yani sio bahati mbaya amefanya makusudi, kwa sababu kama walinzi wana siraha na wamefunzwa namna yakutumia siraha iweje wauwe,tatizo hamkagui hao walinzi wenu kama ivo wanavyokuwa wanakuja kwenye malindo usiku wamelewa apao kunakazi viongozi wa sehemu husika muwe makini sana sio tu mnakalia viti basi nyie mnajua kupokea mishahara wananchi wanateseka sihaki iyo. Wafanyakazi haswa wasio ajiliwa vibarua huwa wananyanyasika sana, kama yule alieng'atwa na mbwa kwa wachina amezungushwa mpaka basi kijana wawatu kabaki kilema kisa muwekezaji mchina selikali yetu muwe mnalia hili kwa wananchi wa hali ya chini wanateseka sana hawana bakuongelea tz yetu wote inabidi tupendane jamani.
Serikali kuweni makini fanyeni kazi nchi kama Brazil leo ingekuwa maandamano nchi yote kuuwawa kwa mtu mmoja kizembe hivo nimambo yahovyo sana wahuska mnazurula2 na vitambi vyenu .
Mnamtetea mama bule lkn mkumbuke mama ndiy mkuu wa nchi hatakam anawasaidiz lkn lkn lzm ajue utendaj kaz wa watu wake unaendaje, mfano ww mke au mume ulikua kwenyendoa bahat mbaya mke au mume akafaliki na tayal mkua na familia, baad ya kufalik mwenzako ukaoa au kuolewa mjue huyo uliemlet mal ya pili hawez kytunz familia yako ww Kama mzaz wa kwanza lazm Hilo mlitambue, Sasa ww ukitoka kazini tu unakul na kulal unasema watot wangu wako vizur kumbe hawali na wanapigika hasa kwahiy lzm upat mud wa kuzungumz na familia yako sio kusema msaidiz anatosha
Du hawo walix majambazi
Video laifu
Pole saan apumzike kwa amn
Innalillah wainna ilayh rajiun😢
Angekuwepo mzee magu kaz hawana wote
Aya ndiyo anae imbaga ney wa mitego nchi hi bas2 kama.mtu kauwa ana baki kufany nini si akamatwe jela au nae anyongw2 😮 apo ndo una mkumbuka magufuli kwa kesi kama iyo mbona jamaa asinge pewa ata maji😭😭
Mungu atusaidie
Poleniii. Sanaaaa
Poleni sanaaaaaaa
Mmmh poleni jman
Poleni.sana
Mim nimefanya San Kaz za viwandani zile Kaz nizautumwa kwa hiyo inabidi kwavile unashida ukubaliane na Sheria zao Mara nying wafanyakaz hawafuati Sheria hizo mfano Kama huyo anajua kbis hairuhusiw kupita getin bila vitendea kz lkn mtu anaenda anatak aingie kwa nguvu nawakat tangaz pia mmeshawekewa mvutano unaanz Sasa hapo wafanyakaz wengine wanaingilia pale kunakua kuanavurugu kubwa ndima zile kz inatakiwa ufany kwamalengo ukishapat kimtaji Bora ujiajili
we nimlinz , unakili za usiku
Baraka
😢Ais inaumiz sana huo amesababish kif kw msamah Zaid akatw mkon w kulia had avuw na nguo y selikar kw maan him n kuchafua inch yetu
Poleni sana ndugu zangu
Mungu ailaze roho ya marehemu
Bwana yesu tutetee eti tutangalia
Mungu wangu🎉🎉🎉
Kiukwer askar weng wanatumia uzoefu wakz sio uadirifu wao km askal ni walinz ktk jamii alafu akatumia silaha yake bila shelia achukuliwe hatua kwakua km askal yupo kwaajil ya nch alafu anaua je laia wafanye nikuleta uadui akafungwe na afie jela huyo
Mamaa kwa hil tuone kama kazi waweza kwan n uvunjifu wa aman
Duh Atari sana kwa Wana inchi wenzetu ila atushangai Ali ya ichi kujaribika sisi ni wakurea watot tokarini tukaweza kuendesha tanzania
Du! Inasononesha Sana izisheria mkononi jaman zichukuliwe na atua mlisifumbiwe macho I we zahili kabisa kwakuamuliwa ipatikane Aki
Bado mpambane kukabiliana na majambazi ninyi mnatuulia wachapa kaz why😢😢😢😢
Daaah walinz wanatumia vby silaha zao
Katorik kwaya Asante yesu
Kweli askari anamuuwa raiya hadharani ni kitendo kibaya sana uchunguzi ifanyike ijulikane nan imwenyehaki
Mungu ailaze roho ya marehemu peponi
Pole kwa waliofiwa😢😢
Goood❣️
Inaumaa jmn,inallilaah wainallaah warajuuun
Poleni sana ndugu wafiwa
Inauma sana poleni kwa hillo
😢😢😢😢Jaman mbona mtukio ayaish tanzania