#PART2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 770

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 місяців тому +10

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @margrethamsechu7088
      @margrethamsechu7088 8 місяців тому

      Mwez ujao nakuja kutetea tunao ishu vizuri maana kila siku wanakujaga wenye matatizo

    • @FaridhaRashid
      @FaridhaRashid 8 місяців тому +2

      Shukurumung nasi tumeshashindwa

    • @FaridhaRashid
      @FaridhaRashid 8 місяців тому +1

      Kumina tatu ndogo mbona kunawengine wapo mwaka

    • @FaridhaRashid
      @FaridhaRashid 8 місяців тому

      Hajasema wote😢

    • @FaridhaRashid
      @FaridhaRashid 8 місяців тому

      Kilamtu nabahati yake

  • @jamilajamila183
    @jamilajamila183 8 місяців тому +16

    Pole sana jamni,, kweli changamoto zipo ,, na ukipata nyumba nzur kwelii shukuru san mabos hawafanani,,, ila mmi nasema Alhmdullillah 🤲nyumba niliyopo n nzur nainjoy

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn 8 місяців тому

      Ukiwa hujapitia shida huwez amini shida ya mwenzio kun dada hapa mzanzibar anateswa na wazanzibar wenzie kila siku anaambiwa ananuka asisishike kikombe asitumie atumie vile plastiki ndiyo vikombe vyake 😭 Ramadan amipika sambusa anapewa mbili tu tena hiyo mpaka daku au hamna kitu kabisa wanakula wao Tu tena wanamwambia hasa mpka umelize kazi mbwa hawa mungu atawalipa @zaninikikumbi

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 8 місяців тому +11

    Nasoma comment tu nikicheka SubhanaAllah nina mwaka wa 17 nimefanya nyumba tatu ya kwanza sauadia miaka 6 nyumba moja ,dubai nyumba ya kwanza miaka9 nikarud nyumbani nyumba ya mwisho yakuaga kazi miaka miwili alhamdulillah sijwahi kupata misuko suko hata kidogo

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 8 місяців тому +2

      Duh myaka yote hujafanikiwa siitakuwa umeisha zeeka sasa😂😂😂

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 8 місяців тому +2

      Alhamdulillah nimejijenga vzr wanangu wapo makazini Dubai Sio kazi za nyumbani alhamdulillah na kikubwa Zaid sijawahi kupata kazi ya mateso ,kama nimteso singekua nimekaa hivyo ,kazi zagulf ukipata pabaya huez kukaa zaida ya contack

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому +3

      ​@@pillyseleman8090hongera na mshukuru MOLA wako wengi wamishia kunyanyasika na wengine kufanywa vile hata vifo

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 8 місяців тому +2

      Khulka, maadili msimamo wako, dhamira yako ndiyo tafsiri ya maisha yako....hongera sana ukhuty, miaka 8 sijawahi badili nyumba allihamndulillah

    • @JanethJaneth-b5f
      @JanethJaneth-b5f 8 місяців тому

      ​@@fatmafatu1128Nami nilitaka kuuliza miaka yotee hiyoooo khaa kweli kunawatu washazoea kutumwa

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 8 місяців тому +47

    Tatizo lenu mnataka kufanya kazi za deiwaka kuzulula kwa sana. Hamtaki kutulia mfanye kilichowaleta. Mimi nina miaka 8 sina shida na boss wangu sijawai kubadilixha nyumba. Tamaa zimekuponza uliolewa iliumfilisi mzee wa watu tuxhawajua sana.

    • @KhadijaRamadhaniKillo
      @KhadijaRamadhaniKillo 8 місяців тому +21

      Wewe kwa sababu ulipokaa hupati shida hivyo huwezi kujua shida ni nini na hufikirii kwamba Kuna watu wapo na wanapata shida sio vzr

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 8 місяців тому +6

      Sasa sishasema wako sio wawote

    • @KhadijaRamadhaniKillo
      @KhadijaRamadhaniKillo 8 місяців тому +8

      Eeeh ndo ivyo kiukweli anachokiongea yupo sahihi kwenye upande wa wafanyakazi kutokupata haki zao baadhi Yao wanaishi vzr tuu lakini wengine wanapata tabu sana Hadi kupigwa wanapigwa😭

    • @belyseirakoze5371
      @belyseirakoze5371 8 місяців тому +9

      Kila mtu na bahati yake kama umejaliwa ma boss wazuri sio wote na kingin sio kila mwenye kufanya kazi za day works eti niwazururaji wengin wamekimbia kwasababu ya manyanyaso na mateso wengi wapo kwa kazi za inje ili kuokopa kurudi nyumbn na wengin hufanya kazi za halali wanapambana 😞🙏 sio kila mwenye kufanya kazi za inje eti ni mzururaji

    • @KhadijaRamadhaniKillo
      @KhadijaRamadhaniKillo 8 місяців тому

      @@belyseirakoze5371 kabisa hujakosea na watu wanakosa haki zao jaman nawashangaa watu wanawatetea waarabu kama ndugu zao khaa

  • @AnnaRobert-q3q
    @AnnaRobert-q3q 8 місяців тому +3

    Pole Sana kipenzi mungu akulinde Kwanza nakupa pole mwanamke shujaa napia nakupatia ongera Sana kwakuolewa uko urudi kwa mumewe ukiwa alali kitaifa Mimi mwenye nilipita uko jera omani lra nili kaa siku mojatu nililala vizuri nakula kizuri adinikarudi Tanzania

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 14 днів тому +1

    Pooe sna dadaetu allah akuoe subra 😩 n sisi tuombe mungu aturidhishe n kidogo chetu n tuwe n wenye subra❤

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 2 місяці тому +3

    Mtangazaji unasauti ya mamlaka Mungu akubariki Sana

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 8 місяців тому +7

    Duh Mungu anipe moyo wakuridhika na vidogo nnavyopewa na mme wangu amiin ya Allah

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 8 місяців тому +14

    Omani ni nchi nzuri sana watu wanatoroka wanaishi magetoni 😂😂😂😂

    • @RehamAlmamari
      @RehamAlmamari 8 місяців тому

      Mmmmh

    • @jasminmohagthari3730
      @jasminmohagthari3730 8 місяців тому +3

      Sio oman tuu kila nchi ilo lipo ila ukidakwa una bahati na bora uko mageton kuliko ubaloz ila sasa hakikisha kila unapoenda umebeba kibunda chako mana ukidakwa safari sasa ole wako ela ziwe mageton zitakuwa sadaka😁😁

    • @sikudhanimoshi6967
      @sikudhanimoshi6967 8 місяців тому +2

      Tena wengi wanaishi tu kwenye mageto 😂😂

    • @HabibaHussein-vb1ir
      @HabibaHussein-vb1ir 8 місяців тому +1

      Ayajakukuta tulia ww

    • @KhadijaMasoud-m6u
      @KhadijaMasoud-m6u 8 місяців тому

      Sio wote lkn wengine wanavumiliya lkn wanapata shida tu

  • @RitbayRitbay
    @RitbayRitbay 8 місяців тому +33

    Jamani hyu hajatesw oman kateswa na waafrika wezake wenye njaa zao kama kawaida yenu afrika pesa mnaipenda kuliko ubinadamu.

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 8 місяців тому +2

      Kwani wewe sio mwafirica ni mwarabu koko au nani

    • @RahmaKasawa-cn2dt
      @RahmaKasawa-cn2dt 8 місяців тому +1

      Wee nae na kiswahili chote hichi utatumbia mwarabu aaah kudadeqi zako😅😅

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 8 місяців тому

      Ww mzungu hodari mzungu unajua kiswahili vzuri

    • @naymamoses3436
      @naymamoses3436 8 місяців тому

      Asalaam alykum sisi

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 8 місяців тому

      @@Rizikialiamechannel763 snaa shukran

  • @SalhaSaleh-cf8tw
    @SalhaSaleh-cf8tw 8 місяців тому +17

    Mkienda nchi za watu muwe na adabu

    • @zaneenbeauty
      @zaneenbeauty 8 місяців тому +3

      Hana ADABU babako mbwa wewe

    • @mamymamiza2924
      @mamymamiza2924 8 місяців тому

      Cjui nacheka nini wewe ni mwehu kwakweli😂

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 8 місяців тому +3

      Tatizo baadhi yao wana shindwa kuheshimu mamlaka ya watu, na kufanya wapendavyo, kuishi na binadamu wenye yahitaji uelewa wakina, ukijitya mjuwaji utajuta

    • @HumoudAlbahry
      @HumoudAlbahry 8 місяців тому

      😂😂

    • @morogor90
      @morogor90 8 місяців тому

      Aliokwambia awana adabu nani kama ujawai kutoka kutafuta uwez kuelew na kama upo uko na unaishi vizur shukur mungu

  • @jasminmohagthari3730
    @jasminmohagthari3730 8 місяців тому +18

    ATA KAMA UYU DADA ANA MAPUNGUFU YAKE ILA YOTE NI SAWA LAKIN KIUHALISIA UBALOZ WA OMAN WOTE UNAIHITAJI MSASA SEREKAL UANGALIE KWA JICHO LA PILI KIUKWELI SHIDA YAKO WANAIGEUZA FULSA NA USIPOENDA NAO SAWA WAKALA CHOCHOTE LAZIMA USOTE😢😢

    • @dadamuebrania1539
      @dadamuebrania1539 8 місяців тому +2

      Hili nalo neno

    • @فيصلالصائغ-و1ث
      @فيصلالصائغ-و1ث 8 місяців тому +3

      Jiran yangu umesema kweli

    • @hamidudigogo5863
      @hamidudigogo5863 8 місяців тому

      Wewe ndio umeongea la MAANA kuhusu ubalozi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      Ndugu zangu mlioko huko MUNGU awasimamie waarabu wengi ni makatili hawana utu

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 8 місяців тому

      ​@@MiriamAbdallahwaafirika na waarabu na mayahudi wapi makatili zaidi ?

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 8 місяців тому +9

    Mnao msema huyu dada vibaya hamuna bahati, mwenzenu aliolewa ndoa kabisaaaaaaa 😊😊😊

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 8 місяців тому +5

    Watu weusi ivi lini utumwa na umaskini utaisha maishani kwa wa africa ni binti wausi njo wanao sumbuka duniani wala sii wazungu sii wa arabu kila kona ya dunia ni wausi tu.hadi huruma.

  • @faumarley5707
    @faumarley5707 8 місяців тому +14

    Maelezo yamenyooka kama rula akuna kona kona kama una uelewa kuna kitu cha kujifunza mungu akufanyie wepesi katika alakat zako

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 місяців тому +6

    Kwamimi binafsi sikuona baya uloongea umeongea ukweri. Yaliyokutokea. .polesana. nduguyangu. Wengine wanakutolea maneno machafu ni Dongetu. Mungu atakulipia hayaya Dunianitu yanapita

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 8 місяців тому

      Ndugiangu humjui hyu mtu vzr uliza uwambiwe alioyoyafanya muangalie macho yke tu atukana hyu mpk wazee waliokufa ana matus mpk aibu na voice zke zpo hyu na yy voice zke anatka kuja oman bdo anasema yy mazali kaolewa ataingia tu Oman hyo

    • @saay4273
      @saay4273 8 місяців тому

      Kabisa yani watu wanahukumu bila kusikiliza

    • @saay4273
      @saay4273 8 місяців тому +1

      ​@@RitbayRitbay😂😂😂😂😂😂huyu hatukani bila sababu ukimchefua anakuchafuaa

    • @RahmaKasawa-cn2dt
      @RahmaKasawa-cn2dt 8 місяців тому

      ​@user-dx6d😂😂😂sasa ukimtukana unataka akuchekee mie pia namjua miaka mi3 nasijawahi tukanwa nae tena mtu powa😎😎m6lh1i

    • @saay4273
      @saay4273 8 місяців тому +1

      @@RahmaKasawa-cn2dt wambiye bwana mtu pec sanaa

  • @berthaclement8905
    @berthaclement8905 8 місяців тому +2

    Polee kipenz Mungu halali wala hazinzii,,,,,,na utambue huwezi pendwa na wote na huwez chkiwa na wote. Atakama ufanye nn so jiamn mwanamke shujaaa, hateteleshwi songa mbele😘

  • @1vy1231vys
    @1vy1231vys 8 місяців тому +16

    Shida kazitaka mwenyewe watu wapo miaka 12 hawana shida na kujenga wamejenga

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 місяців тому +2

      Akuna mtu ana taka shida swaiba kama aujapata shida shukuru.

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 8 місяців тому +1

      Hakika ten tumejenga haswaaaa huyu ni mam mjinga san

    • @فيصلالصائغ-و1ث
      @فيصلالصائغ-و1ث 8 місяців тому +2

      Watu kama nyinyi ndio mnafanya tuonekane wa Afrika hatupendan hivi ni kweli mtu mzima alieacha Familia yake aje kuzifata shida??? Umepata sehemu nzur Sema Alhamdulillah hata mm niko Oman nashukuru Alhamdulillah lkn usiseme uongo kama huku watu hawanyanyasiki wanashindwa kujisimamia. So Hali zote zipo tusijikwezwe

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 8 місяців тому +2

      Kimbembe kinaanzia pale ulipotaka kubadil nyumb na kutaka 120 wakat watu wapo had leo na wanalipwa 90 na wanazaid ya miaka 2

    • @faumarley5707
      @faumarley5707 8 місяців тому +2

      @@Zainab-sq1tc we ukikubali kulipwa ela yyote ukiona ina kufaa kubari usitake na mwngne akubari wakat miaka ina enda na mmbo yana badirika

  • @monalisaally4387
    @monalisaally4387 8 місяців тому +3

    Pole sana dada ila usipende kushindana na watu kuna muda ukijishusha utafanikiwa sana

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 8 місяців тому +18

    Huyu si mtu wa kazi ni jambazi

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 8 місяців тому +1

    Jamani....madhila ju ya madhila.... subhannallah

  • @sharifaaliy1519
    @sharifaaliy1519 8 місяців тому +8

    Uongo hayo unayosema sio wote wabaya mm hapa nipo na watu wazuri TU kama wazazi wangu nanikobvizuri sana moaka muda huu nyamafu ww usiwatie ila wwatu burewa Oman

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 8 місяців тому +1

      Umeandika manini sasa havisomeki😂😂😂

    • @ZenaMgwao
      @ZenaMgwao 8 місяців тому

      Hayajakufika ndo maana

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      Umeandika pumba na nyamaza hayajakikuta

    • @fauzeia976
      @fauzeia976 8 місяців тому

      Hayajakufika ndo maana unabwabwaja ww siku wakikubadilikia ndo utajua kumbe karanga inaliwaga na ugali

    • @morogor90
      @morogor90 8 місяців тому

      Mimi nipo sehemu nzur naishi kama kwangu ilo uyo anachoongea yupo sahii oman ukipata sehem nzur shukur usione mwezio anangaika ukajion wew ndio mwenye akili mwenzio ataki kazi

  • @felisterjames5859
    @felisterjames5859 8 місяців тому +5

    Ubalozini hauna msaada kabsa mimi niliugua niliishiwa damu boss akakataa kunitibu akasema gharama ubalozini ni katuma msg hawa kujibu Mpaka wiki 2 hapo nimesha jipigania mwenyewe

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      Pole tunayaona hayo kwenye mitandao inaumiza xn yule wa Uganda alitolewa figo na kumpatia ukilema na hakika huko muda refu

    • @irenemichael
      @irenemichael 11 днів тому

      Huku niwewe na Mungu wako ata wakala anakusaliti😭

  • @mwajoma1373
    @mwajoma1373 8 місяців тому +9

    Pole san dada zanin mim nimekuelewa san ❤❤

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 8 місяців тому +1

    Alhamdulillah

  • @mamasalhat
    @mamasalhat 8 місяців тому +8

    Mtu anselezea yalio mkuta sasa muna msakamia nini ?? Kwani oman mateso hayapo?? Yapo sana tena yapo

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 8 місяців тому +1

      Hatujakata kam oman hakuna mateso lakin kulala na mbuzi huu sii uongo kwan africa hamtes mnateswa kila siku na wahindi na mpo kwenye Nchi yenu

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 8 місяців тому

      @@omanoman2044 kulala na mbuzi washaangaa. Nini? Kuna agent alinitumia video nimeona kwa macho yangu mdada kitanda chake wanalala na mbuzi hayo mambo yako kama hamujapitia kaaa kimya usibishe usiyoyapitia nashangaaa muna paniki au ndio mushazoea utumwa WA ukoloni hata mukiteswa munaona sawa?

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 8 місяців тому +2

      @@mamasalhat sasa utumwa wa nin na kat hata TZ MBAFANYA HIZO KAZ TEN MSHAHAR MDOG ANALAL NA MBUZI HUYO KAYATAKA MWENYE UKION HIVO NI MTUY AMBAE HAJIELEW KABSA MBUZ KWELI MBUZI HAWHAW AM MBUZI GAN JAMAN OMAN HII MIE SIJAWAHI ONA

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 8 місяців тому +1

      @@mamasalhat ni bora nitumike oman miaka miwili kuliko kutumika kwa wahindi na mshahara wa 90 na matusi juu

    • @ummohammed8380
      @ummohammed8380 8 місяців тому +2

      Mbona Oman
      Tu
      Hakuna kwengine
      Story ni Oman tu

  • @fatemazanzibar877
    @fatemazanzibar877 8 місяців тому +1

    Nilicho jinsia watanzania waoga sana mtu akitokea kusema ukwel mnapinga atukatai wengine mnakaa vizuri lakin kwa kuvumilia tu 😢 maisha ya Tanzania n magumu na akuna tegemez ata mpinge vip ukwel utabak ukwel tu

  • @SawayaNm
    @SawayaNm 8 місяців тому +1

    Huyu dada I tried to critique her! Mimi ni mzuri sana to find untrusted stories! But her story, I believe 99.00% ni mkweli mtupu! My advice be a good wife and work hard to go back to Oman with your children and forget where you come from! God bless you!

  • @latiphaabubakary5102
    @latiphaabubakary5102 8 місяців тому +3

    Jala nikawaida kwa yeyote alifanya kazi za nje kinyume na boss wake ukitoroka kwabosi lazima upitie jela Ambayo inaitwa leba ila hukai sana ata Mimi nilipitia kwasababu nilimtora bosi wang kwaiyo ukitaka kurudi lazima upitie huko jela

  • @sophiamasawe4309
    @sophiamasawe4309 8 місяців тому +2

    Pole sana dada yetu mapito hayo ya dunia naomba namba yake

  • @angolina1768
    @angolina1768 8 місяців тому +1

    Nyie ambao mnaembishia huyu dada hayajawakuta pole mpenzi Inshaallah Mungu atakufanyia wepesi utakudi kwa mume wako

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 8 місяців тому +3

    Yaaan comments za humu zahiri wa makadam ,mashaghala maana kali.aswaaaaa ,pole sana mama mwalabu wa oman ndoa tunayo na tunatamba nayo😂

  • @ReychoMc
    @ReychoMc 8 місяців тому +2

    Aaah vzuri yule mzee anajua kunienzi

  • @sabnaa9110
    @sabnaa9110 8 місяців тому +3

    ISHALLAH KHER MUNGU ATAKUSIMAMIA KILA KITU KITAKUWA SAWA NA UTAPATA HAKI ZAKO UWE KM MKE WA MUOMANI NA KWA YYTE ALIESHIRIKI KUKUZALIKISHA ISHALLAH MUNGU ATAMZALIKISHA N YY APA DUNIANI NA FAMILIA YKE MPKA KESHO MBELE YA HAKI. NA PIA NA SS TULIOKO HUKU MUNGU ATUSIMAMIE DAIMA. ILA TUNALIA SANA NA UBALOZI. HILI JAMBO SERIKALI LILIANGALIE SANA

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 8 місяців тому +3

    Watanzania tutafute maisha apa apa kwetu tuache tamaa na ela nyingi pole ila koma

    • @DaheerK
      @DaheerK 8 місяців тому

      Mm nipo Oman nyumba 3 nimekaa nabado nipo has kataka kukaa poke yao nyumba zakupanga

  • @zulphalasher4337
    @zulphalasher4337 8 місяців тому +1

    Pole sana wi❤

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 8 місяців тому +2

    DAAH💔💔💔💔POLE SANAAA YANI UMEONDOKA WEWE KAMA WEWEEEE🙆

  • @husna34562
    @husna34562 8 місяців тому +11

    Mashallah mdada mzur Allah atakufungulia njia mitihan tumeumbiwa binadamu 😢

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 8 місяців тому +3

    حسبنا الله و نعم الوكيل لا حول ولا قوة إلا بالله

  • @allyasia3662
    @allyasia3662 8 місяців тому +1

    Siku zote mungu huku onyesha njia sahihi kwa kupitia magumu utakayokutana nayo inshalah Allah atakusimamia haki zako zote na utapata kwa uwezo wa allah kulli khaki walaukana muraa ni siku zote dhuluma haidumu kwa kweli

  • @KudraIsmail
    @KudraIsmail 8 місяців тому +3

    Jamani huyu mdada namjuwa tumefanya kazi katika familiy moja alikuwa anafanya kazi kwa bibi jonha ❤

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 8 місяців тому

      Na nikweli ameteseka km sio kweli jmn

    • @SabiamSuleimanmtwalo
      @SabiamSuleimanmtwalo 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂sasa Si ndio yy amemfanyia useng

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 місяців тому +1

      Namimi pia namjua tulikuawote kwakoha. Nimemuacha kalipwapesazake kwa. Joha anatafutiwanyumba ingine

    • @KudraIsmail
      @KudraIsmail 8 місяців тому

      Ndio😂😂😂tujuwane upo omani sehemu gani

    • @zuwenaomar4201
      @zuwenaomar4201 8 місяців тому

      Anaefanya day worker kakodi chumba nataka nije naomba namba

  • @am2323tze
    @am2323tze 8 місяців тому +3

    Huyo balozi wa Tanzania nchini Oman na wafanyakazi was ubalozi hawafai wanawadhalilisha Watanzania Oman. Wanakula rushwa na urasimu. Hiyo economic diplomacy iko wapi

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 8 місяців тому +1

    Pole sana dada kwenye maisha lazima upitie changamoto

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 8 місяців тому +2

    100%it is true 👍

  • @salmaalkindi5735
    @salmaalkindi5735 8 місяців тому +7

    Huyo ni muwengo. Kama kweli alipata shida kwa nini asirudi Tanzania. Na watu wa ubalozi. Wamemuona muongo. Vp ukodi nyumba. Wengi wanakuja kufanya uhuni. Kesi nyingi ,zipo ubalozi
    .huyo mzee namuonea huruma huyo mwanamke tapeli kaolewa. Kwa pesa tu. Hata ukimsikiliza kwa makini unamjua muonngo. Wengi wanatoroka kwa mabosi wao ili wafanye uhuni.

    • @fauzeia976
      @fauzeia976 8 місяців тому +1

      Mbona wapo wengi tu wafanyakazi wamepanga nyumba?

    • @morogor90
      @morogor90 8 місяців тому

      Omba mungu yakukute Ata kidog tu alafu utajua kwann ajarud

    • @bintabou828
      @bintabou828 8 місяців тому

      Ahsante
      ​@@morogor90

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 8 місяців тому +2

    Huyu alitaka kushindana na nchi ya watu alitaka kuishi kama yupo nchini kwake jaman kila nchi zinataratibu zake

  • @BLACK.ANGEL_58
    @BLACK.ANGEL_58 8 місяців тому +1

    Ushauri wangu roga 😂😂 iyo ndoa inaweza ijafa mune akaona mambo mengi aka amua kupotezea roga dada 😂😂😂 pole sana aiseee ndugu yangu najuwa uliyo ongea ni yakweli coz na mm nipo iraq

  • @RahmaKasawa-cn2dt
    @RahmaKasawa-cn2dt 8 місяців тому +6

    Nyie wanafki tuachieni my wetu acheni kucoment pumba wakati oman munajua ni mambo ya bahati nasibu ukikanyaga mdudu mbaya utajuta😎😎😎

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 8 місяців тому +3

      😊😊😊🎉🎉 mauwa yako my warabu ubahatishe ila weng wao mashetwani aswaaa, Huyu dada simjui sbb sina group la Oman, Anayoyaongea weng wanayapitia

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 місяців тому +2

      Nikweri nashangq hawa mashaghhqla wanamponda yote Dongetu

    • @dogofiy6277
      @dogofiy6277 8 місяців тому +3

      Kwl Oman n bahat n sib s wote wazr n s wote wabay

    • @SabiamSuleimanmtwalo
      @SabiamSuleimanmtwalo 8 місяців тому +1

      😍😍😍😍😍 kabisa

    • @dogofiy6277
      @dogofiy6277 8 місяців тому

      Mm nyumb y kwnz walla sijamlz mwez nisharud nikapew nyengn n nikimlz vzr tu miaka miwl

  • @Naw89
    @Naw89 8 місяців тому +6

    Pole mpendwa watu ndio wana roho mbaya ila Allah atakusimamia
    Kwa ambae hajapitia majanga hawezi muelewa huyu dada ila mie namuelewa sana tu

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 8 місяців тому +1

    Pole sana ; Mungu azidi kupe nguvu.

  • @MrNoNonsenseYes
    @MrNoNonsenseYes 8 місяців тому +2

    Ndoa ya maslahi na anasema bila aibu. Mscheeew ndo mana ukakutana na madhila 😢

  • @zania1295
    @zania1295 8 місяців тому +2

    Pole cna ndugu yangu
    Mungu atakufanyia wepesi

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim2680 8 місяців тому

    Anameremeta chea Oman na Waarabu ww watu na raha zao. Tupo kwetu tz twanuka njaa😂😂😂.
    Kanifurahisha hilo neno. Bitwaka yy anasema bataka.😂😂. Nchi zilizo endelea msilete ujuaji ni full respect.

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 8 місяців тому +1

    Pole sana dada😢😢😢

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 8 місяців тому +3

    Pole sana

  • @BLACK.ANGEL_58
    @BLACK.ANGEL_58 8 місяців тому +1

    Siyo mzee sana hata ivyo bado mzagamuano ipo😂😂

  • @LailatAbdullah-w9d
    @LailatAbdullah-w9d 8 місяців тому

    Lahaullah😢😢😢😢😢😢😢😢 hadi machozi yananitoka jaman

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 8 місяців тому +1

    Mabalozi wetu wa kitz ni shida nchi nyingi sana

  • @ZuhraAli-s3u
    @ZuhraAli-s3u 8 місяців тому +1

    Pole sana dada

  • @Florencemahuwa
    @Florencemahuwa 8 місяців тому +3

    Kweli kweli about what she is saying some of the theme 95% evils they don't have heart😢😢😢

  • @FatmaAliy-ld4dg
    @FatmaAliy-ld4dg 8 місяців тому +8

    Hana haya huyu dada atakidogo yani hawa ndowanao tusababishia sisi huku tuonekane wahalifu yani anasema kabisa hataki kurudi kwao anataka ikama yandoa mh hana haya🙄

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 8 місяців тому +1

    Giornalist uko vizuri sana

  • @BLACK.ANGEL_58
    @BLACK.ANGEL_58 8 місяців тому

    Ubalozi wa Tanzania 🇹🇿 oman hauna msaada na wa Tanzania wa oman wanashilikiana na hao waoman sana mm nime kaa miez mitatu sana aisee pale mmmh

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 8 місяців тому +5

    Gabriel huyo kasepa wametapeli cargo za watu na Pesa za Tigo pesa na Dullayo mwenzie anapostiwa kila group matapeli hao ushakuwa na block unatakiwa urudi Tz .Hivi ukamatwe na umeolewa ulishindwa kutoa namba za mumeo ajulishwe km upo police na umerudi ht wiki 2 bado mara huduma mumeo anatoa jaman Mzalamo unajua kuyabananga

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 8 місяців тому +1

      @$_Officia yani Nimecheka kwa sauti 🤣🤣🤣🤣🤣 Utapeli umemponza

    • @OmanOman-vb4uj
      @OmanOman-vb4uj 8 місяців тому +1

      😂😂😂 hahahaha 🤣🤣🤣

    • @sikudhanimoshi6967
      @sikudhanimoshi6967 8 місяців тому +1

      We kumbe uyu tapeli pamoja na dullayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 8 місяців тому

      @@sikudhanimoshi6967 Ndy hd ndoa nahisi kafungia kwa Dullayo maana picha yao inatembea kwenye magroup kakaa sana kwa Dullayo huyo

  • @LoipllOnhye.Mama.Claudi
    @LoipllOnhye.Mama.Claudi 15 днів тому

    Tatzo ndugu zetu munafikaga kwa nchi za watu munajifanya wenyeji.lakini Warabu watu wazur sana Ukiwaheshimu

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 8 місяців тому

    Kuolewa na mubabu wa kiarabu ni ndoto ya kila mwanamke mvivu😂😂😂 af hakuna kitu mtanifanya😂😂😂😂 pegeni kazi wanang

  • @HlmS-y5l
    @HlmS-y5l 8 місяців тому +5

    I've ninavyo Onqea nipo Oman mambo mnakua na mambo menqi huyo dada Ana mambo menqi mtazame chenille kuchukua waume za watu nani atakubali

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 8 місяців тому +3

    Pole Sana mdada Zanini Sasa ivyo unavyosema uko kwenye hio ndoa kimaslahi si watajua wenyewe 🤣 🤣 🤣 🤣 sema nmekupenda Sana umejua kuongea Kila kitu 😘 😘 😘 na kusema ukwel ubalozi wa Tanzania nchini Oman Kila mtu analalamika sijui Kwann hawajirekebishi

    • @africanfood_zanzibar4863
      @africanfood_zanzibar4863 8 місяців тому +1

      Yani upo kama ubarozi wa omani tabia zao za kiarabu arabu

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 8 місяців тому

      Sijui wapoje hawaelewe kilichowapeleka hapo badala ya kutusimamia sie wao wanasimama na mabos ovyo kabisaaa hawana faida​@@africanfood_zanzibar4863

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 8 місяців тому +1

      @@africanfood_zanzibar4863 Yan sijui wamewekwa embassy kufanya nn wallah mtihan tujitahid tu kutokufanya mabaya ktk nnchi za watu kama baloz zenyewe ndio hizi

  • @agneslyatuu6349
    @agneslyatuu6349 8 місяців тому

    Yaaanii maelezo yako vizurii kabisaa tatizo ubalozi wetu walioko Omani wananjaa na roho mbaya na wivu

  • @MohamedOmari-wb4oy
    @MohamedOmari-wb4oy 8 місяців тому +8

    Wee dada wee so wote lakini

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 12 днів тому

    hongera sana kwakuolewa uzuri waarabu wanajua kutunza hahaa

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 8 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 dada umenichekesha etiiii nimeenda kulipoti police kwenye kituo chake cha kazi😂😂😂😂😂😂 Hongeraa mpenzi ww nimpambanaji mwanamke wa shokaaaaa 💪💪💪💪

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 8 місяців тому

      😂😂😂huyu ngumi mkononi kabisa 😂😂

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 8 місяців тому

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 8 місяців тому

      Labda uyo mme wake anafanya kazi kwenye icho kituo cha police labda mme wake ni police

  • @NapatNapat-x6i
    @NapatNapat-x6i 8 місяців тому +2

    Muongo mtz huolewi kwa pesa hiyo kupewa nyingi Miya 4😂😂

    • @fauzeia976
      @fauzeia976 8 місяців тому

      Amebahatika

    • @ZenaKambi-d6n
      @ZenaKambi-d6n 8 місяців тому

      Kwa bikra gani aliokua nayo ad apewe pesa hiyo wenyewe wanapeana pesa nyingi kwa xbb ya kuolewa na bikra yy kashazaa wtt 4 kisha kibabu cha watu kitoe pesa hiyo kwan si alikua amejipost huyu ck ya ndoa yake kule tiktok 😂😂😂

    • @fauzeia976
      @fauzeia976 8 місяців тому

      @@ZenaKambi-d6nWana bikra za mbele tu nyuma wanaliwa na wakaka zao kama ulikuwa huijui hii siri Leo ndo nakupa tena wanaishi mascat mjini wanajiuza hata za mbele hawana

    • @fauzeia976
      @fauzeia976 8 місяців тому

      @@ZenaKambi-d6n nishakaa na mabinti wameshamaliza kusoma na wameshaajiriwa walipanga nyumba kila siku walikuwa wanaleta wanaume tofautitofauti na akiwa na ijaza basi mtoko ni saa sita usiku akirudi mchana kachoka hata kutembea anashindwa

  • @SalmaIbrahim-ns6wy
    @SalmaIbrahim-ns6wy 7 місяців тому

    pole Sana mweyezi

  • @VvhhVhjhgc
    @VvhhVhjhgc 8 місяців тому +1

    Mbuzi iyo mweee,,,imani kwa askar ipo sahihi dada

  • @Mukhairat
    @Mukhairat 8 місяців тому +1

    Kuna watu hamjaelewa lkn omba dua ubaki ulipo muarabu asijekugeuka lkn waliomfanyia c waarabu ni ubalozi unahusik km ubalozi upo kwann hauhitaji hasira sbb pale wapo kwa ajili ya wafanyakaz

  • @HlmS-y5l
    @HlmS-y5l 8 місяців тому +4

    Tatizo lenu mnaenda na mawilimawili Umalaya mbona sisi tupo Oman mnakwenda kufanya Umalaya From Oman

    • @khadijamasoud3936
      @khadijamasoud3936 8 місяців тому

      Wew ukikaa sehemu ukatulia shukuru saana Mungu wapo watu wanatabika huko bora unyamaze

    • @hamzasalum613
      @hamzasalum613 8 місяців тому

      ​@@khadijamasoud3936kwakwe watu wanateseka sana uku ukipata sehemu nzuri nikushukuru

    • @morogor90
      @morogor90 8 місяців тому

      Tema mate chini we shagal usiombe ya kukute na ndio mana mbaroz auwajar kwa sababu mnamsimamo na kumbuka dunia duara

  • @ShakrinAliy-kz2el
    @ShakrinAliy-kz2el 8 місяців тому +2

    Allha akufanyie wepesi akusimamie na aidumishe ndoa yenu

  • @SabiamSuleimanmtwalo
    @SabiamSuleimanmtwalo 8 місяців тому +3

    Asilimia kubwa ambao wanakucoment ni ambao awamjuw zanin ila kwa mtu ambaye anamjuwa vizur awez kucoment usengeuseng.zanin pole akuna mwanadam ambaye anapenda mafanikio ya mwenzake

    • @africanfood_zanzibar4863
      @africanfood_zanzibar4863 8 місяців тому +3

      Shidah siyo kumjua maelezo yake anayotoa hayajanyooka kuelesha watu tumuelewe

    • @Sophia-w5k4i
      @Sophia-w5k4i 8 місяців тому

      Utakuta Ata Oman awaijuwi vizuri

  • @midojokefu1103
    @midojokefu1103 8 місяців тому +1

    Pole sana zanini wangu

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 8 місяців тому +1

    Hawa wingi wao unawakuta washajenga na wana majumba kwa pesa izo izo za awo watu wanaowaponda,istoshe wingi wao hawaendei swala la kazi wanaenda kujiuza,unamkuta tajir au mzamin ashatoa pesa na kumleta mfanya kazi, halafu mfanya kazi ashafika nchi husika hatak kufanya kazi .Kiufupi hawandei kilichowapeleka

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 8 місяців тому +1

    Pole dada angu

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 8 місяців тому +1

    Mtangazaji unanvotoa toa pole Sasa kama zinamsaidia vile 😬😬

  • @OkwSunz
    @OkwSunz 8 місяців тому

    We dada mjuaji sana ulivofika oman ukajikuta raia wa huko tena nikujuze tuu nchi za wenzetu ukiwa na matukio unafungiwa kuingia kama unategemea kurudi oman sahau pambana na jua la bongo

  • @RahmaSenga
    @RahmaSenga 8 місяців тому +1

    Nikweli kabas yaarb tupe Mwisho mwema

  • @rayakhalifa855
    @rayakhalifa855 8 місяців тому +2

    Si kweli aliyosema, mbona anataka rudi huku oman? Please usituchafuwe

  • @HafidhKindi
    @HafidhKindi 8 місяців тому +4

    Huhu nimuongo kupita kiasi duuuu !!!

    • @HabibaHussein-vb1ir
      @HabibaHussein-vb1ir 8 місяців тому

      Ww unamjua huyu mpk unasema muongo?? Km uyajui bora ufunge domo lk majnuni wahad

    • @FathiyaAlshidhani
      @FathiyaAlshidhani 8 місяців тому

      Saaana muongo 😊

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 8 місяців тому

    Shida inaweza kuwepo ila SIyo wote wabaya maana hata hapa kwetu Kuna matajiri wabaya hivyo roho mbaya ni mtu siyo watu wote acheni kuogopesha watu

  • @Ayshernasolo
    @Ayshernasolo 8 місяців тому

    Ubalozi waoman wanapenda lushwa hatar😂😂

  • @MARYAMShija
    @MARYAMShija 8 місяців тому

    Mateso mapo.lakini ni ya kawaida hata Tanzania tapo kwahiyo hakuna kazi rahisi ni uvumilivu tuu

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul9246 8 місяців тому

    Hawa sio watu wa kuwaleta oman. Fanyeni kAzi huko bongo Kwa elf 50

  • @Shemejisam209
    @Shemejisam209 8 місяців тому +1

    Muongo huyo kila kitu kipo kwenye system na hata ukitaka kuolewa ipo system ruwi sio jela muongo huyo unawekwa mahabusi tu kwa ajili ya maswali duuuu uongo jamani mbaharibia nchi yenu kwa yo go mlo nao

    • @BLACK.ANGEL_58
      @BLACK.ANGEL_58 8 місяців тому

      Unamsemeaje mtu sasa watu wengi wana wekwa jela

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 8 місяців тому +5

    Ujuaji mbele yalomkuta alistahili

  • @JafariHamisi-gu4ef
    @JafariHamisi-gu4ef 8 місяців тому

    Hao waarabu wenyewe huku tanzania wanafukuzwa wanakamatwa hovyo na kuuliwa kisingizio ugaidi alafu mnategemea mazuri😅😅sultani majidi aloijenga dar salam kipindi hicho ilikuwapo paliitwa mzizima sasahivi wanasema majengo ya mjerumani hata zanzibar pia ilijengwa na waoman leo wako wapi

  • @miriammgina
    @miriammgina 8 місяців тому

    Huyu dada mimi namjuwa sana anamdomo sana alivyo olewa alikuwa anawachamba watanzania kwenye magroup hadi huruma tena alivyo waaibisha waomani hivyo asahau kurudi Oman eti anasema kaolewa kwa masilahi 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @vovobi2379
      @vovobi2379 8 місяців тому

      Yaniiii anamdomo kinoma

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      Miriam wajinga vip aliwachamba nanyie mkamfanyia vigisu sio😂😂😂😂😂😂😂

    • @vovobi2379
      @vovobi2379 8 місяців тому +1

      @@MiriamAbdallah huyu kiboko kwa mdomo wallah duuuh nawapa pole majirani zake

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      @@vovobi2379 ila si mpaka achokozwe au

    • @neamusic2601
      @neamusic2601 8 місяців тому

      Duh mtihani kwa kweli...

  • @SalmaKautipe-xs5hx
    @SalmaKautipe-xs5hx 8 місяців тому

    Hawa ndo wanaofanya umalaya baladala ya kufanya kilichowapeleka omani, tena wanawakatisha tamaa watu wengine wasiende kutafuta maisha, mpuuzi huyo watu Wana miaka kibao uko na hakuna kilichowakuta

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 8 місяців тому

    Yani tangu alivyo kuja huyu mama ubarozi umezidi kuiza tulijuwa tumepata mama kumbe tumeletewa mtihani hana faida yeyote ile Bora arudi akalee wajukuuzake2

  • @floranahashon4180
    @floranahashon4180 8 місяців тому +1

    Yaani una majanga arafu unaenda kuolewa tena jmn 😢😢

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 8 місяців тому +3

    Polesana ndugu mimwenyewe nishapandaga ndege n'a dada wa singida kapingwa nakasindikizwa kamaunavyosema polisindio walimsidikiza mshahala hakupewa upo sahihi waeleze jazikama zote

    • @lexygeisar8303
      @lexygeisar8303 8 місяців тому

      Mwenyezi Mungu ndio ata wa laani kwa roho zao mbaya

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      Jamani raiya wa Oman asilimia kubwa ni makatili sana poleni

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk 8 місяців тому

      @@MiriamAbdallah yaani usione mtu kaunda oman kafanikiwa ukasema nami niende huko utumie bahati tu lakini kunamambo aiza kwa boss au kwamfanyakazi misiwatetei ila yotenisha yaona changamoto

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk 8 місяців тому

      @@MiriamAbdallah nakingine huyu dada aweza sema kaipata paspot yake je anajua kama inaweza wekewa wino mwekundu asinine tena omani hayo yapo nahawezi uwona akingia tu akienda maigresheniharudi anasindikizwa tena napolis

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 місяців тому

      @@OmanOman-dd5qk MOLA wenu awa nusuru tuu mrudi nyumbani salama, ninayokutana nayo huku mitandaoni kwa wafanyakazi wa Oman inaumiza mwenyezi MUNGU awalinde mmenda kutafuta riski sio kupenda

  • @lenakassian-pr3dy
    @lenakassian-pr3dy 8 місяців тому

    Ila kama hujapitia magumu ukiwa huku uwarabuni mshukuru sana Allah jaman😢😢