Ww uripata sehem nzuri irakiukweri uwaraubuni kunamateso bora uraya japokuwa kote nishidatu kiukweri tanzania ninchi safi sana wao wakijahuku kwetu wajifunze ukarim wetu hao nafikitu
mimi nakaa na bos wangu yan sio mkorofiki sana anakaukali flan lakin ninkarim mnoo nina miaka 6 sasa nipo nae manina mpngo wa kuonheza mkataba hakuna binadam alie kamili na hakuna sehem ukakuta wote niwazur lazima wapo na wabaya mbona Tz kwetu wapo wengi tu wenyerohombaya wanayesa dada wakaz mshahara wenyewe elf 30 matezo ndio mateso sasa sibora kwa mwarabu nalipwa laki 5 kwamwez
Haswaa deer watuache waanze kwanza kasoro za kwetu ndio ije kwa watu sasa hivi mpaka laki 8 watu wanapata mshahara Lakin mtu anaongea pumba mtu akishindwa rudi kwenu khalas sio maneno kibao mfyuuu
Uyu mwanamke nina mengi niliopenda kwake. Ni jembe na ni mfano mzuri sana wa kuigwa. Huyu ndo mwanamke anapaswa kudai haki zake sio awa kucha ndefu. Dah JESHI KAKUBALI KUA BEKI 3 KWA MALENGO YAKE. BADILISHA TITTLE IO WEWE MUANDISHI HAPO HAKUNA MACHUNGU NI KUTUTIA MOYO TU
Nakupendeaga hapo tu naswiat brembo huongeagi uongo huyo Dada yako hakutaka kukumiza wala kukukwaza pesa yako umeiyona Maa shaa Allaah Mimi ndoto yangu sio biashara kweli nikumalizia nyumba ndyo Biashara baadae
Hata sisi tukija Tanzania, tunanyanyaswa sana,rangu uwanja wa ndege,acha njiani kama unaendesha gari. Unasimamishwa bila kosa na unatetemeshwa mpaka uwape pesa.
Hebu waandishi kuweni professional kidogo si jambo sahihi kulazimisha mtu ajue ana mtaji kiasi gani au anaingiza shilingi ngapi kwenye biashara zake...hilo ni jambo private...akiamua kusema ni sawa lakini kama mtu hayupo tayari usilazimishe...Katika kulijibu suala hilo linaweza sababisha matatizo makubwa kwa agencies nyingine za kiserikali na mtu kuanza kuwa "targeted"....Hivyo jifunzeni kufanya kazi zenu kwa weledi...badala ya mambo ya Kibongobongo....Kwa mfano pamoja na mzuri yote ulimuuliza huyu dada interview yako imengia dosari katika kulazimisha suala hilo...hujamtendea haki mteja wako...Ni hayo tu
Kazi yeyote inachangamoto na pesa za uhalali lazima upitie changamoto kwa hiyo ww mwanamke achana na mambo ya kuzungumza hizi habari za oman ww fanya mambo yako usipende kuongea hivi vitu ndo maana tunaambiwa watanzania tuna midomo sana
Acheni ujinga matatizo yanayotokea huko nikama hata hapa yanatokea kama hayo ila mnataka kuyakuza nyie wenyewe mtakuta mnawanyanyasa wafanyakazi wenu saana tu.
Wala sio uwongo ila tuu waarab wanawachukia kutokan labd nazil stor za zaman hatakam yap lakin kwan tz hakun mabos waain iyo ten wanapigwa wengin wanachomw mot had kuuliw namshahar mdog hat lakimbil haufik lakin hawasemw vibay naukiangalia wa tz wamekomaa mdom mtu akiend kule anajyw kaend kufany kaz lakin anakuw mshenz akiambiw analet jeur ndiy iko kinawaponz anaach kusem mim nimekun huk kutafut nanikikisea uwez kurud nyumbn sio rahis niwemnyenyekev hatak analet mdog mtu anachukia anakudhul ten hat bong ndiy imejaa kibao
@@husnaiyasulesh4687 . Unasema laki mbili wakati wanao tolewa nje ya mikoa wanalipwa 15000 au 20000 na mshahara wenyewe hapewi kila mwezi na kazi anazifanya hadi usiku wa manane. Kuna wanton jiita wa Islam nyakati za Ramadhani huwapigisha kazi hadi saa tisa usiku mda wa kula daku na bado ata takiwa kuamka saa 5.00 kuandaa watoto wa shule.
Tatizo dada zetu wa kibongo bwana, wakienda ng'ambo au wakifanya kazi sehemu za maana basi wanakuwa na ulimbukeni wa kujifanya hawajui kuongea vizuri lugha ya kiswahili,lazima wachanganye maneno ya kiingereza, hata matamshi ya herufii "r" wanaitmka kizungu. Yaani swaga za kiswanglish kwenda mbele lkn walio wengi hawawezi hata kumaliza sentensi yote kwa kiingereza
Mshahara sio mdogo piga laki mbili mara miezi 24 aliokaa oman ni ngapi alipata? Mshahara unaendana na maisha sasa hivi yaya wa ndani ni laki 4 na 60 elfu! Ukiwa na malengo utafanikiwa.
Mshahala mkubwa Sana kibongobongo hata laki haifiki mtu analipwa 50000 kwa mwezi unategemea malengoyake yatatimia kwa miaka mingapi daaaa bongo bado sana tuko nyuma ya tivii
Tupo oman miaka 8 hio pesa alosem Nikweli tulokuja oman miaka 2012 mishahara ilikua laki 250,000 tofaut na sasahiv nahuku unatkiwa ukae kwa akili namie nashkur sikuwahi badilisha nyumba lkn wengine tunajionea kwa macho kabisa mtu anatumishwa kma mtumwaa haswaa sio mfanyakaz sikumoja ntaongelea hili watu wajue huyu ajajua kiundani zaid
Nyumba ziko tofauti mbona bongo wanauliwa uiiwahi ongelea Kila mtu anabahati yake acheni wenzenu watafte risiki kama umeteseka wewe wengine hawajateseka na wanasomesha watoto na Nyumba wamejenga
@@mdzainb3722 haya asante kashapoa alibadili nyumba mana ilikua balaa mwishowe alimbiwa atamwagiwa mafuta ya moto,ikabidi nikazi yalumuambia kimbilia ubalozi mana hapo nimtihani tena alie mleta anamwambia wee kaatu vumilia ,vumilia unatanfikwa kama mtoto mdogo kisa glove kuvaa ukikanda ngano ,tujikaze tu na kusema ukweri sio mtu akurupuke uko nakuja wee uje napakukimbilia ukishachapwa makofii
Msiwe mnauliza mtu eti unapata faida ngapi kwa siku au mwezi, huku vibaka wanamuona wanaskia afu wamtime wamuibie wamfanyie vitu vibaya kumbe chanzo ni nyinyi mlivyo muuliza kiwango cha pesa 🤔🤔🤔
Ila dada umekoroga kusema. Oman hakuna matukio kushinda falme nyengine za kiarabu unyanyaji sana hutokea saudia na Oman na hizi nchi huchangia pia kutokosa sheria na ubaguz pia umo katika jeshi la police zao ila Dubai hukuti ubaguz ndani ya jeshi la police kwasababu Dubai police ata kama hujui kiswahili ukipata tatizo atakuja police wa hiyo nchi yako ata kusaidia Mana police wa Dubai ni mchanganyiko wa nchi nyingi wakiwemo watanzania
Mm niko omani naelekea mwaka wa sita ss na naishi kama home madam wangu anashida muhimu kuheshimiana basi na wala sijawai sikia kwenye family yao kuna mtu kateswa nashukuru kwa ili angarau wapo wanao kutana na matatizo makubwa lakini siyo nyumba zote ziko hivyo kama ilivyo kuwa nchi nyengine lazima kutakuwa na watu wa aina tofauti mm sm mda wote kazi zangu najipangia na mpaka ss na viwanja vitatu ambavyo bado sijajenga na kimoja nimeshaamka ujezi na nimefungua biashara ya ges mwaka huu alhamdullha lnshallha mwakani narudi tz likizo zeni nakuja kukaa miaka yangu miwili ya mwisho Mungu alitupa uzima lnshallha ongera sana bi dd kwa ulipo fikia
That's is good bussuness, good lady very active and so durable for ambitious in life actually,she so accurate, anafanya biashara very good system,coz most of the lady wakienda gulf hurudi kapa, lakini uyu actually she so wanferfull delicious lady, kila la kheri sana Madam
tanks inavyo oneshea kama unao muelekeo wa maisha,mimi nimezaliwa katika bussines family,lakini acha nikufundishe siri moja ya wafanya biashara wa kikweli siri zao za mambo ya biashara wanakua hawamwambii mtu sawa¿ukimuona mfanya biashara anaropokwa ropokwa basi huyo sio mfanya biashara sawa¿tanks
KWA NINI MWAMTUKANA? SI KILA KILICHOKUPATA WEWE BASI NA WENGINE WAPATE NDIYO MAANA KILA MTU ATSKUFA KWA SIKU YAKE MSIWAKISHE TAMAA WA DADA AMBAO WANATAKA KUJARIBU KILA MTU NA BAHATI YAKE ALLAH ASEMA UTALIPWA KWA NIA YAKO😎
Mimi nipo OMAN 🇴🇲 🇴🇲 miaka 5⃣ mpaka leo nipo napambana maisha mazuri yaaani naishi kama nyumbani na ukofanya vibaya lazima aseme ili kesho ulekebishe siajabu kusewa ata mama nyumbani ata kusema tuuu mimi naomba kila nifanikiwe kwenye maisha yangu inshaaaaalllaah 🙏 🙏 🙏
dada sio nyumba yote inawatu wabaya kwa ju na huko tanzania unaweza kutumikia mtu mbaya mimi nipo saudia ninamyaka4 mimi unazani ni nyumbani vingine wengine wanakuja huku umalaya tu bingine kama ufata kazi huwezi kupata mazara
Umalaya nani ulimuona anajiuza nchi za kifalme za kiarabu au umeamua kuchekesha walio nuna tu chefuuu kweli nipo Oman mwaka 6 huu sijaona mwanamke anajiuza hata moja sasa huo umalaya umetoka wapi
Nimependa ulivyoelezea vizuri NA haujaeleza uongo wowote . . Mashaallah sio wanaozungumza uongo mtupu NA kulazimishwa kulala NA mbwa Oman ni uongo mtupu hakuna muoman anaweka mbwa ni najis
Jamani mm niko omani sasa nina miaka 4 kasoro miez 2 Allah niko sawa sawa nime pata nyumba iko salama ipia huku ni kila boss na roho yake afu wengi wako na roho mbaya wana tuona sisi wa afurika ni kama vili hatupumzikagi kazi yetu ni kufanya kazi tu hio nisha shuhudia kwa mama ake na boss wangu ame badiki wafanya kazi 6 ila sasa kapata mfanya kazi wa naijeria na ame mpokonya sm daaa
Ukiwa mvumilivu utaweza ishi popote ni nipo mwaka wa 8 huu nalipwa nalala nakula ila changamoto nakutana nazo nyingi boss ana gubu kila wakati kuongea malalamiko mwingi wa dhana mbaya halafu ukikosea kitu watahadithiwa ukoo mzima na si msaidizi wa kazi hata ukiumwa ni mshindani some time kam nakaa na mke mwenza ila mm naangalia malengo yangu changamoto nazipuuza
Mashaalah habit mungu akufanyie wepes mm niko hp maaber nilikuwa al mawal yul bos wa mala kwanz kidgo alikuwa na matatiz ss iv niko maber nashukul mungu nadany kz zangu akun mtu wa kuni pigia makelel wal nn
Ww Dada wadanganya wenzako Oman na Saudi ndio nchi mbaya zaidi kuliko Dubai na Qatar haina hata usaidizi hata kwa embassy kupata usaidizi ni shida kama ulipata sehemu nzuri shukuru
Ni kweli wasicHana wengi wanashindwa kutofautisha mazingira ya nyumbani na ya kwa mtu baki iyo ndio shida kubwa. Me boss wangu anachoyo lakini MI najua kumsoma mtu ivyo sijawai kugombana nae huu mwaka wa Sita niko nae nikienda nyumbani ananirudisha tena kwake niponae naenda narudi.
Yaani mshara 250000 while hapa kima cha mwanzo hata private sectors NI 300000 yaani unsafiri kwenda mbali KWA madhumuni ya kugain 250000 only you would no t serious on that trip sister
Oman nchi ya amani, na wa oman wazuri sana. There is no a big differents between Oman and Zanzibar , they speak swahili , we share the same culture etc . Lakini nchi nyengine za kiarabu nchi mbovu sana , nchi kama Saudi Arabia, Qatar, Emirates, Lebanon ... and so on, please don't send your girls or women over there they have 90% To die or loose their mind over there, because they treat Will treat tem slaves. They confiscate their passport and they don't pay them very well . Women has to stay home for they protection as Allah says . Take care of women and girls please. Enough is enough, It's better for them to stay home, it's better To be poor than loosing our lived # home sweet home .
Nimesikiliza hii interview mbk mwisho sijaelewa zaid ya kutangaza biashara yake kuhusu mateso hata hapa tz yapo tena sna sema wanakuwa mengine awewek waz utasikia kidg oman mwez auishi oman ebu muipumzishe kidg oman na wao wanamoyo jmn wanavyosikia matukio kama haya kusemwa mitandao 🙌
Mi sijaoana kibaya alichoongea huyu dada.nikweli kunawatu wàkutana na maswahibu Kama hayajakukuta Sema alhamdulillah.lkn watu wengi wapitia mitihani.msiseme ni muongo
@@qilil7 Swadakta Maneno yako... Yeye kama Alienda kuitangaza Biashara yake Basi Aitangaze Hayo Mengine yanini Anayoyasema.. Na hiyo pesa Aloipata kwa hao Anaowasema ndio Inayompa kiburi Kufungua biashara yake.
@@upendoeliya9329 ghalama wanalip waajili ila huy dada muong mm nimekaa omn na dubai anasema et oman wastaarb mfyuuuu waupat wap ustaarab yaan bora at mwarb wa dubai ukiumwa anajua unaumwa kulikò oman alafu anaongp et ukatili uko uko dubai 🤣🤣🤣🤣 anawaongopea akuna mt katili kma mwarb kiujumla wot wakatili asiongop atawaongopea wat wasio ish uk mm nimeish na awez niongopea kwa chochot
muandishi wa habari unamlazimisha huyo msichana aseme Maovu juu ya udhalilishaji wa wafanyakazi huko Oman...mie nasema madada Oman wanaishi kama wanavyo fanya kazi Tanzania....hizo propaganda za Utumwa kati ya Oman na Africa sikweli na Ukweli huyo Dada ameusema hapo..lakini Ahsante sana dada yangu mrembo Endelea kuwa Mkweli utayaona Mafanikio hapa duniani na kesho mbele ya Mungu... umezungumza Ukweli Mtupu ...Mungu Akubariki maisha Marefu ...🤲
Msilete watu waliokuwa hawajui kuishi na watu mtaharibu mausiano wazuri baina ya hizi nchi oman na Tanzania ndugu wa wa miaka tangu 1500 Sultan said said
Kila mahali pa kazi lazima kuna changamoto haswa huku ugaibuni kweli ukirudi salama nyumbani u nashukuru sana nina miaka 6 saudia but nashukuru boss wangu sio wabaya but nimeshuhudia boss wengine wa familia hii wakipiga wafanyikazi hadi mmoja wetu kutoka Bangladesh akajitoa uhai kwa kujinyonga sababu ya masaibu aliyokuwa akipitia kutoka kwa madam hapa saudia sana wengi bosses ni wabaya
Safi sana dada, ulienda kufanya kazi kwa malengo ..nidhamu yapesa imekufikisha hapo ulipo..
Ww uripata sehem nzuri irakiukweri uwaraubuni kunamateso bora uraya japokuwa kote nishidatu kiukweri tanzania ninchi safi sana wao wakijahuku kwetu wajifunze ukarim wetu hao nafikitu
Nakupenda sana dada yani umeongea vizuri kabisa umeweka wazi kila kitu
Masha Allah dadangu mola akuzidishie tujifunze kuwa hamna pesa ndogo ni ukubwa tuu wa kufikiria ...keep it up dadangu
Naomba namba yke
mimi nakaa na bos wangu yan sio mkorofiki sana anakaukali flan lakin ninkarim mnoo nina miaka 6 sasa nipo nae manina mpngo wa kuonheza mkataba hakuna binadam alie kamili na hakuna sehem ukakuta wote niwazur lazima wapo na wabaya mbona Tz kwetu wapo wengi tu wenyerohombaya wanayesa dada wakaz mshahara wenyewe elf 30 matezo ndio mateso sasa sibora kwa mwarabu nalipwa laki 5 kwamwez
Haswaa deer watuache waanze kwanza kasoro za kwetu ndio ije kwa watu sasa hivi mpaka laki 8 watu wanapata mshahara
Lakin mtu anaongea pumba mtu akishindwa rudi kwenu khalas sio maneno kibao mfyuuu
Jamani nutafutieni na mm kazi 0656485831
Uyu mwanamke nina mengi niliopenda kwake. Ni jembe na ni mfano mzuri sana wa kuigwa. Huyu ndo mwanamke anapaswa kudai haki zake sio awa kucha ndefu. Dah JESHI KAKUBALI KUA BEKI 3 KWA MALENGO YAKE.
BADILISHA TITTLE IO WEWE MUANDISHI HAPO HAKUNA MACHUNGU NI KUTUTIA MOYO TU
Hongera dada muelewa wa maisha mwenyezi mungu akufungulie kila lenye kheri na wewe Amin
She is beautiful 😍
Badala mngemtangazia biashara yake ilipo, ni maswali yasiyo na mshiko tu.
Hongera sana inaonyesha wazi mwanamke mwenye uelewa wa kina na ujasiri wa pekee...allah akusimamiye kwa kila hatuwa
You are The one in millions....
Hongera sana dada, dah umejitahidi kwa hela hiyo umeweza kubana bacheti
Matokeo oman yapo mm nipo omani yamenikuta ila kwasasa Alhamdulilah
huku kikubwa uvumilivu yataka moyo wengine hurudi home kutokana na dhiki
Mimi nataka namba zako
Nakupendeaga hapo tu naswiat brembo huongeagi uongo huyo Dada yako hakutaka kukumiza wala kukukwaza pesa yako umeiyona Maa shaa Allaah
Mimi ndoto yangu sio biashara kweli nikumalizia nyumba ndyo Biashara baadae
Hata mimi
Hongera dada yetu Allah akubariki ktk biashara zako
Hata sisi tukija Tanzania, tunanyanyaswa sana,rangu uwanja wa ndege,acha njiani kama unaendesha gari. Unasimamishwa bila kosa na unatetemeshwa mpaka uwape pesa.
Umefanya vyema dada kwa sasa inajitegemea siyo kuwategemea wengine Mungu akujalie kwa hayo
Umefanya k2 muhimu katika Misha yk 💗💗💗💗💗💗🧛
Hebu waandishi kuweni professional kidogo si jambo sahihi kulazimisha mtu ajue ana mtaji kiasi gani au anaingiza shilingi ngapi kwenye biashara zake...hilo ni jambo private...akiamua kusema ni sawa lakini kama mtu hayupo tayari usilazimishe...Katika kulijibu suala hilo linaweza sababisha matatizo makubwa kwa agencies nyingine za kiserikali na mtu kuanza kuwa "targeted"....Hivyo jifunzeni kufanya kazi zenu kwa weledi...badala ya mambo ya Kibongobongo....Kwa mfano pamoja na mzuri yote ulimuuliza huyu dada interview yako imengia dosari katika kulazimisha suala hilo...hujamtendea haki mteja wako...Ni hayo tu
Kazi yeyote inachangamoto na pesa za uhalali lazima upitie changamoto kwa hiyo ww mwanamke achana na mambo ya kuzungumza hizi habari za oman ww fanya mambo yako usipende kuongea hivi vitu ndo maana tunaambiwa watanzania tuna midomo sana
Sahihi
Vzr sana my umeongea point 😍😍
Point nawanaalibia watu wengine
Sahihi kabisaa
Urembo wake tu 😍
Mash'Allah
✊🏾🇧🇮
Mdomo mkubwa
@@mozzaliuleiza9288 mdomo mkubwa ndiomzuri hata machine yake itakua umbozuriiii 😋😋
@@idrissamohamed8469 hahahahahahaha
Umejieleza vizuri ukhty nimependa sana shukran
Jaman kabint aka ni brit...sanaaaaaa
Mashaaa Allah umeongea vizuri sn mabrook habipt
Acheni ujinga matatizo yanayotokea huko nikama hata hapa yanatokea kama hayo ila mnataka kuyakuza nyie wenyewe mtakuta mnawanyanyasa wafanyakazi wenu saana tu.
Sana. Kuna watoto wengi tu wanateseka kwenye nyumba nyingi tu. Wengine hutesa yatima wa ndugu zao
kweli kabisa nakuunga mkono Tena Tz na kipigo juu
Ni kweli
Wala sio uwongo ila tuu waarab wanawachukia kutokan labd nazil stor za zaman hatakam yap lakin kwan tz hakun mabos waain iyo ten wanapigwa wengin wanachomw mot had kuuliw namshahar mdog hat lakimbil haufik lakin hawasemw vibay naukiangalia wa tz wamekomaa mdom mtu akiend kule anajyw kaend kufany kaz lakin anakuw mshenz akiambiw analet jeur ndiy iko kinawaponz anaach kusem mim nimekun huk kutafut nanikikisea uwez kurud nyumbn sio rahis niwemnyenyekev hatak analet mdog mtu anachukia anakudhul ten hat bong ndiy imejaa kibao
@@husnaiyasulesh4687 . Unasema laki mbili wakati wanao tolewa nje ya mikoa wanalipwa 15000 au 20000 na mshahara wenyewe hapewi kila mwezi na kazi anazifanya hadi usiku wa manane. Kuna wanton jiita wa Islam nyakati za Ramadhani huwapigisha kazi hadi saa tisa usiku mda wa kula daku na bado ata takiwa kuamka saa 5.00 kuandaa watoto wa shule.
Wow mwanamkee wakibusara kwakweli unarizisha sana big up dally Allah akuzidishie.
Tatizo dada zetu wa kibongo bwana, wakienda ng'ambo au wakifanya kazi sehemu za maana basi wanakuwa na ulimbukeni wa kujifanya hawajui kuongea vizuri lugha ya kiswahili,lazima wachanganye maneno ya kiingereza, hata matamshi ya herufii "r" wanaitmka kizungu. Yaani swaga za kiswanglish kwenda mbele lkn walio wengi hawawezi hata kumaliza sentensi yote kwa kiingereza
🤣😂🤣😂🤣😂 haki umenifanya nicheke kidogo
😂😂😂😂😂😂
Hongera sana Dada kwa kufanya kazi kwa malengo Mungu azibariki biashara zako zote ulizozifungua na pia akuletee wateja wa kutosha🙏
Pole Sana dada mshahara mdogo Sana.Ila umepambana Sana, MASHAALLAH ALLAH AKUJAALIE
Mshahara sio mdogo piga laki mbili mara miezi 24 aliokaa oman ni ngapi alipata? Mshahara unaendana na maisha sasa hivi yaya wa ndani ni laki 4 na 60 elfu!
Ukiwa na malengo utafanikiwa.
Mshahala mkubwa Sana kibongobongo hata laki haifiki mtu analipwa 50000 kwa mwezi unategemea malengoyake yatatimia kwa miaka mingapi daaaa bongo bado sana tuko nyuma ya tivii
Upo sahihi dadangu ,safi sana kwa kutoa shuhuda nzuri...hongera kwa kurejea inchini🇹🇿 wenzio bado tunakomaa
Namimi nataka kuja huko
Sophia mambo jaman nisaidie na mimi jaman na tafuta kazi huko pia Nina passport tayar
@@marianapatrick5993 zipo
Sofia please naitaji mpenz
@@marthadaudi3340Mbon vip umefanikiwa kwenda Oman kufanya kaz
😂😂Apo kwenye msosi na me tulishindwana na boss wa kwanza 😑😏
Wee,,, mbele ya chakula hakuna kuwezana😂😂
@@edinaisaya6229 🤣🤣🤣🤣Yaan unakuta watu wachoyo km nn yaan mfyuu
@@shuubinty1447 😂😂😂
Hufahamiki mara waikashifu omn mara wasifu.Tatizo hujaelimika.upuuzi mtupu.Mungu anakuona lembukeni.
Itakuwa we hufahamu kiswahili vzr maana alichoongea kimeeleweka vzr na Wala hakukashifu omani naona ww ndo hufahamiki
We nae. Au Ulikuwa Huna mtaka. Boss wako!? Wache wenzio wafanye kazi acha Hunafi. Watu wana ENJOY 💃💃💃💃💃 OMANI 👌🏽
Real
😘
@@maryamalhajri4306 hodiiiiii
@@alihaji7201 welcome
@@maryamalhajri4306 hodii hukuuu
umefanya vizuri sana dada yng...🤗🤗🤗🤗
IQ ni mhimu sana katika maisha ya yeyote, safi sana bint kwa kuwa na marengo nakuyasimamia 👊
Allah akubariki zaid .umeongea point nzur
Tupo oman miaka 8 hio pesa alosem Nikweli tulokuja oman miaka 2012 mishahara ilikua laki 250,000 tofaut na sasahiv nahuku unatkiwa ukae kwa akili namie nashkur sikuwahi badilisha nyumba lkn wengine tunajionea kwa macho kabisa mtu anatumishwa kma mtumwaa haswaa sio mfanyakaz sikumoja ntaongelea hili watu wajue huyu ajajua kiundani zaid
Mm n mwaandishi wa habar, embu nitafute
Nyumba ziko tofauti mbona bongo wanauliwa uiiwahi ongelea
Kila mtu anabahati yake acheni wenzenu watafte risiki kama umeteseka wewe wengine hawajateseka na wanasomesha watoto na Nyumba wamejenga
@@zaudatmakula3454 unakurupuka kujibu wee dada alokwambia nimesema wasitafte risk nani punguza kulopoka soma nilichoandika engine tunataka haki itendeke kwa wengine huyo mwenyewe amehojiwa nimfanyakaz wa 2015 malenged tupo natunapambana kunamtu anazibiwa riski kwani umeona uwarabuni hawakuja kucheza wala kumshobokea mtu nikaz na pesa mbele
@@zaudatmakula3454 watu Wenye roho mbaya wapo kila sehem kikubwa usiishi kwa woga muamini mungu katk kila jambo
@@swaiseif2989 hili ndio jibu sasa
Mwaka wa 11 niko oman 🇴🇲 na nina enjoy alhamdulillah
MIGUU YA BINADAMU INAOKOTWA IKIWA PEMBEZONI MWA BAHARI 👇👇
ua-cam.com/video/TQ8iipHhCr4/v-deo.html
Hivi huko Oman wanafanya kazi ni wadada tu naomba kujua
Duuuu
Unafumuliw tu acha kutudanganya hapa
@@stevenhassan269 hata wewe kaka unaweza kufanya kazi zipo kazi za wakaka
Nashukulu nin mungu nimejenga nyumb yngu
Dada natamani sana kuja oman naomba nitumie namba zako plz tuwasiliane vizur
Dada naweza kupata kazi
naomba unisaidie na mm kufika uko mpendwa sin agent wala passport naomb unisaidie kwa ilo mpendwa
Waooo uko vizuri unajielewa sana. Na Mungu azidi kukubariki
Bado nipo Oman nakaza💪
Tupo pamoj mpenziiii
Nakutakia kila la kheri naamini hamna kibaya kwani maneno kila mtu na lake kazi buti dear waarabu tofauti na hawa waafrika wee
@@genovevalaurent6393 nakutakia kila la kheri never give up dear stay there with a lot of steps of successful
@@rahmanassor2652 👌👌
Yani ukiwa na ngongingo wana bugza huku kila nguo unayovaa kosa
Nipo OMAN 🇴🇲🇴🇲🇴🇲sasa miaka 5⃣ bado nipo napambana lakini sio wooote wanaroho mimi wooote kwangu wapo safi jamanii tupambane tuuu
Natak na Mimi kufanykaz niunganishe please +255686083806
@@najmaaniry8431 upo wapi wewe
@@shadyasalumu8757 dar es salam
@@shadyasalumu8757 tunaweza kuwasilian kawaida na WhatsApp-+255686083806
Kabisa wengine ni wazuri sana
Mtoto wa dada angu kachezea fimbo kisa hajavaa glove ,watu wananya nyasika sana ,ukijaaliwa sehemu nzuri sema alihamdulilah
🤣🤣mpe pole sana daaaa
@@mdzainb3722 haya asante kashapoa alibadili nyumba mana ilikua balaa mwishowe alimbiwa atamwagiwa mafuta ya moto,ikabidi nikazi yalumuambia kimbilia ubalozi mana hapo nimtihani tena alie mleta anamwambia wee kaatu vumilia ,vumilia unatanfikwa kama mtoto mdogo kisa glove kuvaa ukikanda ngano ,tujikaze tu na kusema ukweri sio mtu akurupuke uko nakuja wee uje napakukimbilia ukishachapwa makofii
Nikweli tupo huku tunayaona mengi
😅😁😅😁😁😁😁😅😅😁😁duuh uyo mabuja wake nibala
Ni kweli nyumba zinatofautiana
Mie niko oman miaka 4 sasa na naongeza inakuwa 6 alhamdulilah niko powa
Nawe pia Una malengo yako! Hongera Sana
Nitafutie job ukoo plzzz my blood
@@wahiduitsverycommentmane5421unatak kuja onan mm nawez kukusaidi mm nina mwak wa pili ss km unatak nichek nitakukimutafut kz zp kibao
Nitakupata vp naomba namba yako ya watsap
@@wahiduitsverycommentmane5421 0715046868
Mashaallah. Allah akuzidishie
Nipo Oman mwaka wanane nashukur nimejenga japo cjamalia ila alhamdulillah nyumba moja cjabadilisha
Miaka 8 nyumba haijaisha
Ndio haijaisha kwasababu ninafamilia inanitegemea bila ivo ningekuwa mbali tatizo nikuwa mother single hahahaa
Msiwe mnauliza mtu eti unapata faida ngapi kwa siku au mwezi, huku vibaka wanamuona wanaskia afu wamtime wamuibie wamfanyie vitu vibaya kumbe chanzo ni nyinyi mlivyo muuliza kiwango cha pesa 🤔🤔🤔
Dada nimekupenda bure sio tajiri wote wabaya hata nami nko hapa na pambana na hali yangu 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ila dada umekoroga kusema. Oman hakuna matukio kushinda falme nyengine za kiarabu unyanyaji sana hutokea saudia na Oman na hizi nchi huchangia pia kutokosa sheria na ubaguz pia umo katika jeshi la police zao ila Dubai hukuti ubaguz ndani ya jeshi la police kwasababu Dubai police ata kama hujui kiswahili ukipata tatizo atakuja police wa hiyo nchi yako ata kusaidia Mana police wa Dubai ni mchanganyiko wa nchi nyingi wakiwemo watanzania
Asante my tumesikia aisee inatupasa tutafute mitaji tuludi makwetu
Duh umenikumbusha mbali ndugu yangu hongera sana una akili sana, Mshahara ulikuwa mdogo sana, lkn umeufanyia maarfa,
Hongera sana dada. Nimekukubali saaaana!
Mm niko omani naelekea mwaka wa sita ss na naishi kama home madam wangu anashida muhimu kuheshimiana basi na wala sijawai sikia kwenye family yao kuna mtu kateswa nashukuru kwa ili angarau wapo wanao kutana na matatizo makubwa lakini siyo nyumba zote ziko hivyo kama ilivyo kuwa nchi nyengine lazima kutakuwa na watu wa aina tofauti mm sm mda wote kazi zangu najipangia na mpaka ss na viwanja vitatu ambavyo bado sijajenga na kimoja nimeshaamka ujezi na nimefungua biashara ya ges mwaka huu alhamdullha lnshallha mwakani narudi tz likizo zeni nakuja kukaa miaka yangu miwili ya mwisho Mungu alitupa uzima lnshallha ongera sana bi dd kwa ulipo fikia
Inshaallah MUNGU akujaalie upate unachokihitaji.
nikipa mimi nita shukulu
That's is good bussuness, good lady very active and so durable for ambitious in life actually,she so accurate, anafanya biashara very good system,coz most of the lady wakienda gulf hurudi kapa, lakini uyu actually she so wanferfull delicious lady, kila la kheri sana Madam
tanks inavyo oneshea kama unao muelekeo wa maisha,mimi nimezaliwa katika bussines family,lakini acha nikufundishe siri moja ya wafanya biashara wa kikweli siri zao za mambo ya biashara wanakua hawamwambii mtu sawa¿ukimuona mfanya biashara anaropokwa ropokwa basi huyo sio mfanya biashara sawa¿tanks
true maana waarabu & wahindi hawasemi biashara yao hata jinsi ya kufanya lolote maana tunajua ujuzi hautoki bure
Safi sana dada wengi wao tunainjoy omani
Kama ni mateso hata humu nchini mwetu wako watu wenye roho chafu wenye kutesa watoto wa watu na Hakuna anae wachukulia hatua
Tofauti ni nyumbani na nje ya nchi.....
Hata ukitaka kumueleza mtu akusaidie lugha hujui.... Acha tu
Wanachukuliwa hatua cku hizi
Hata tanzania shida zipo tena kibao mm niliwahi kufanya kazi huko Dar es yaani Boss wangu alitaka kunibaka yaani hata bongo watu waroho mbaya
Hongera sana good inspiration
KWA NINI MWAMTUKANA?
SI KILA KILICHOKUPATA WEWE BASI NA WENGINE WAPATE
NDIYO MAANA KILA MTU ATSKUFA KWA SIKU YAKE MSIWAKISHE TAMAA WA DADA AMBAO WANATAKA KUJARIBU KILA MTU NA BAHATI YAKE ALLAH ASEMA UTALIPWA KWA NIA YAKO😎
Safi sana ulienda kufanya kazi kwa malengo
Millard naomba mtafute mdada ambae anafanya kazi yuko oman mpka sasa ufanye mahojiano kama ni kweli
Mimi nipo OMAN 🇴🇲 🇴🇲 miaka 5⃣ mpaka leo nipo napambana maisha mazuri yaaani naishi kama nyumbani na ukofanya vibaya lazima aseme ili kesho ulekebishe siajabu kusewa ata mama nyumbani ata kusema tuuu mimi naomba kila nifanikiwe kwenye maisha yangu inshaaaaalllaah 🙏 🙏 🙏
Asalam aleikum
Naswiyat naomba namba yako nataka tuongee kuhusu biashara hiyo ya scrub
Ama nikija Dar es salam
Nitakupataje
dada sio nyumba yote inawatu wabaya kwa ju na huko tanzania unaweza kutumikia mtu mbaya mimi nipo saudia ninamyaka4 mimi unazani ni nyumbani vingine wengine wanakuja huku umalaya tu bingine kama ufata kazi huwezi kupata mazara
Hongera
Jamany mi saud naipendaaa ila napaogopa😂..huko wana roho za kibabe sn..bora na oman
Umalaya nani ulimuona anajiuza nchi za kifalme za kiarabu au umeamua kuchekesha walio nuna tu chefuuu kweli nipo Oman mwaka 6 huu sijaona mwanamke anajiuza hata moja sasa huo umalaya umetoka wapi
@@المهلهلالحراصي kama hubijui nyamanza upoo
@@janatahmad7048 kuandika kwenyewe hujui kwenda kule
Mashallah. Huyu msichana ni mzuri na mkweli
Mtangazaji anasound km millad....!
Nisingemuona Hapo Ningedhani Ni Millard
Nimependa ulivyoelezea vizuri NA haujaeleza uongo wowote . . Mashaallah sio wanaozungumza uongo mtupu NA kulazimishwa kulala NA mbwa Oman ni uongo mtupu hakuna muoman anaweka mbwa ni najis
😄Namm nilisikia hvo lakn nipo nna mwaka sijaona mambo ayo
mashaAllah....
Dubai sijasikia matatizo Sema saudia
Wah lugha nzuri mashallah 👍👍👍👍👍
Dada yupo sawa habu tuwekee no ya simu ili tupate hiyo huduma yako
Jamani mm niko omani sasa nina miaka 4 kasoro miez 2 Allah niko sawa sawa nime pata nyumba iko salama ipia huku ni kila boss na roho yake afu wengi wako na roho mbaya wana tuona sisi wa afurika ni kama vili hatupumzikagi kazi yetu ni kufanya kazi tu hio nisha shuhudia kwa mama ake na boss wangu ame badiki wafanya kazi 6 ila sasa kapata mfanya kazi wa naijeria na ame mpokonya sm daaa
Yani mimi ninashida lakini kuja kukaa uko siwezi kwakweri
Ww Dada unajierewa sana safi MUMGU akusimamie inshaalah
Hongera kwa kazi zuri dada
Msichana weeeeee nmekupenda bure aiseeeeeee
Ukiwa mvumilivu utaweza ishi popote ni nipo mwaka wa 8 huu nalipwa nalala nakula ila changamoto nakutana nazo nyingi boss ana gubu kila wakati kuongea malalamiko mwingi wa dhana mbaya halafu ukikosea kitu watahadithiwa ukoo mzima na si msaidizi wa kazi hata ukiumwa ni mshindani some time kam nakaa na mke mwenza ila mm naangalia malengo yangu changamoto nazipuuza
Mashaalah habit mungu akufanyie wepes mm niko hp maaber nilikuwa al mawal yul bos wa mala kwanz kidgo alikuwa na matatiz ss iv niko maber nashukul mungu nadany kz zangu akun mtu wa kuni pigia makelel wal nn
Ww Dada wadanganya wenzako Oman na Saudi ndio nchi mbaya zaidi kuliko Dubai na Qatar haina hata usaidizi hata kwa embassy kupata usaidizi ni shida kama ulipata sehemu nzuri shukuru
Have you been there before?? Au unaongea kwa kuhadithiwa
Duu kazi mnayo poleni
Hongera dada ulikuwa una malengo madhubuti
Ni kweli wasicHana wengi wanashindwa kutofautisha mazingira ya nyumbani na ya kwa mtu baki iyo ndio shida kubwa. Me boss wangu anachoyo lakini MI najua kumsoma mtu ivyo sijawai kugombana nae huu mwaka wa Sita niko nae nikienda nyumbani ananirudisha tena kwake niponae naenda narudi.
Yaani mshara 250000 while hapa kima cha mwanzo hata private sectors NI 300000 yaani unsafiri kwenda mbali KWA madhumuni ya kugain 250000 only you would no t serious on that trip sister
lkn kumbuka ni mshahala wa miaka kadhaa iliyopita na sio mshahara waleo
That is how Life Cycle is.Dont judge about it.
Huyo mwanamke ni muongo sana aliwahi kutukana sana wa omani na omani shakula wanatupa ndo wewe ulikuwa una gombana juu ya msosi????
Mashaallah na mimi nataka nije huko nisaidie mydear
Dah namjua huyu dada maskin kumbe halikwenda oman duu
Mbona unasikitika?
Maisha haliopitia dah
Aliye na ndoto za kuingia huko, afute. Watu hawa ni wazuri huku, kwao siyo. Namfahamu mdada mmoja ambaye yalimkuta ya kumkuta!
@DNA OF GOD TV yalimkuta yapi
Husikatishe watu tamaaa kama ni roho mbaya kila sehemu watu wenye roho mbaya wapo
Tupo huku kwa malengo sio kuishi milele
Umeonaee
Sio wote wabay mm nilipat changamot ila nillimaliza Salam miak miwili Nika badilii bosi Sas ivi Allamdulih 🙏
Kila kazi zinachangamoto kwel. Ni navumilia na kuangalia malengo, nina mwaka wa 6 sasa oman changamoto zip ila sio mbaya
Akuna kazi zisizo na changamoto mm nnamwaka pili sasa Dubai tunavumilia tu
Kabisaaaa kupambana na kuvulia ndo kila kitu
Huku kuvumilia tuu jamanii tuvumilie ili tujenge yetu ya baadae🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@@nadyahamisi2763 vumilia tuu Mungu atakusaidia
@@faustadonasian2777 Amina ishallah khell
SAFI SANA MTOTO WANGU. UMETUMIA APROACH YA WAAMERICA. KUANZA KIDOGOKIDOGO, NA KUSONGA MBELE.
Oman nchi ya amani, na wa oman wazuri sana. There is no a big differents between Oman and Zanzibar , they speak swahili , we share the same culture etc . Lakini nchi nyengine za kiarabu nchi mbovu sana , nchi kama Saudi Arabia, Qatar, Emirates, Lebanon ... and so on, please don't send your girls or women over there they have 90% To die or loose their mind over there, because they treat Will treat tem slaves. They confiscate their passport and they don't pay them very well . Women has to stay home for they protection as Allah says . Take care of women and girls please. Enough is enough, It's better for them to stay home, it's better To be poor than loosing our lived # home sweet home .
Nimesikiliza hii interview mbk mwisho sijaelewa zaid ya kutangaza biashara yake kuhusu mateso hata hapa tz yapo tena sna sema wanakuwa mengine awewek waz utasikia kidg oman mwez auishi oman ebu muipumzishe kidg oman na wao wanamoyo jmn wanavyosikia matukio kama haya kusemwa mitandao 🙌
Mi sijaoana kibaya alichoongea huyu dada.nikweli kunawatu wàkutana na maswahibu Kama hayajakukuta Sema alhamdulillah.lkn watu wengi wapitia mitihani.msiseme ni muongo
Masha Allah nimtaji mdogo sana Lakin penye nia Pana njia.
Asante sana dada.
Halafu waandishi kuweni waungwana. Mtu anapokupa nafasi nyumbani kwake, akakukaribu sebuleni, yanini kutamani kuingia hadi chumbani?
Alhamdulillah 🤗🤗🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Dada ad huku upo
Nimesikiliza interview, lakin hakuna maswali ya maaana jamaa aliyouliza kuhusu huyo binti alivyokuwa Oman. Hakuna Technical Question zozote.
Kwakweli hata Mimi sijaelewa kitu ye kama anataka kutangaza biashara si atangaze kuliko kuzugazuga hovyo na hata biashara YAKE haitokuwa na baraka
@@qilil7 Hiyo ni point kabisa kk
@@qilil7 Swadakta Maneno yako... Yeye kama Alienda kuitangaza Biashara yake Basi Aitangaze Hayo Mengine yanini Anayoyasema.. Na hiyo pesa Aloipata kwa hao Anaowasema ndio Inayompa kiburi Kufungua biashara yake.
Alipata wapi tiketi ya kwenda Omar
?? Nani alimgaramia tiketi ya kurudi??
@@upendoeliya9329 ghalama wanalip waajili ila huy dada muong mm nimekaa omn na dubai anasema et oman wastaarb mfyuuuu waupat wap ustaarab yaan bora at mwarb wa dubai ukiumwa anajua unaumwa kulikò oman alafu anaongp et ukatili uko uko dubai 🤣🤣🤣🤣 anawaongopea akuna mt katili kma mwarb kiujumla wot wakatili asiongop atawaongopea wat wasio ish uk mm nimeish na awez niongopea kwa chochot
muandishi wa habari unamlazimisha huyo msichana aseme Maovu juu ya udhalilishaji wa wafanyakazi huko Oman...mie nasema madada Oman wanaishi kama wanavyo fanya kazi Tanzania....hizo propaganda za Utumwa kati ya Oman na Africa sikweli na Ukweli huyo Dada ameusema hapo..lakini Ahsante sana dada yangu mrembo Endelea kuwa Mkweli utayaona Mafanikio hapa duniani na kesho mbele ya Mungu... umezungumza Ukweli Mtupu ...Mungu Akubariki maisha Marefu ...🤲
NA nyie pia kama mwataka kujua ukweli njoni kama flora nitetee kaja kaona na kajua ukweli
Msilete watu waliokuwa hawajui kuishi na watu mtaharibu mausiano wazuri baina ya hizi nchi oman na Tanzania ndugu wa wa miaka tangu 1500 Sultan said said
Mashaallha si kwa lips hizo
Zena wewe
Kama za dangote
Kila mahali pa kazi lazima kuna changamoto haswa huku ugaibuni kweli ukirudi salama nyumbani u nashukuru sana nina miaka 6 saudia but nashukuru boss wangu sio wabaya but nimeshuhudia boss wengine wa familia hii wakipiga wafanyikazi hadi mmoja wetu kutoka Bangladesh akajitoa uhai kwa kujinyonga sababu ya masaibu aliyokuwa akipitia kutoka kwa madam hapa saudia sana wengi bosses ni wabaya
Kwani akild kwao tatzo nn Hadi ajiue
Haa
Hongeera Dada umefany Kaz kwa malengo.
Dada nakupongeza kwa juhudi zako. Umeweza kutimiza lengo lako la kijtegemea
Acheni uongo uarabuni ni sawa na kuzimu balaaaaaa
Kabisa
ushawai kuja
@@safiyatheonlything7848 naomba nambako wasap nikutumie clips za watu waliofia huko na waliobakwa n.k
@@hamicgaga7023 mm niko uku nina miaka wapo wanao fanya lakini siyo wote
Ushawah kuja
Sijawahi kumuona mbongo ameva nguo za heshima Kama ww,wafunze na hao wengine.
Mmmmh sio kweli