NAJMA ALIYETISHIWA KUCHOMWA KISU OMAN HADI AKATUPWA MAHABUSU ASIMULIA ALIVYOWEZA KURUDI BONGO...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 480

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  9 днів тому +7

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

    • @Latifa-y6t
      @Latifa-y6t 9 днів тому +1

      Naomba niungwe

    • @ZuinaAidi
      @ZuinaAidi 8 днів тому

      Naomba kuungwa kwenye goup

    • @ZenasaidOmary
      @ZenasaidOmary 8 днів тому

      𝚗𝚊𝚘𝚖𝚋𝚊 𝚔𝚞𝚞𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚒𝚕𝚊 𝚗𝚒𝚙𝚘 𝚘𝚖𝚊𝚗𝚒

    • @hemedkassim
      @hemedkassim 8 днів тому

      Naomba niunge kwenye group

    • @BishraaAmiri
      @BishraaAmiri 6 днів тому

      Naomba niunge

  • @Latifa-y6t
    @Latifa-y6t 9 днів тому +27

    Kweli kabisa sio wote wabaya wengine tunashukuru tunaishi vizuri tu tunashukuru

  • @FghgRyy
    @FghgRyy 6 днів тому +5

    Subhana Allah pole sana Dada kwa yaliotokea kwa upande wangu Alhamdulillah Namuomba Allah wasibadilike maboss wangu kwa kweli ni watu wema Alhamdulillah japo Kiu binadamu hawakosi kusema ila ni watu wema Alhamdulillah

  • @precious.1101
    @precious.1101 9 днів тому +21

    Alhamdulillah napelekwa hospital na huduma napata zote kulingana na ugomvi sio wote wabaya madam wangu hajawai nifokea nikiunguza nguo anasema hakuna tatizo namshukuru Mungu sana

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th 9 днів тому +2

      Umebahaditika

    • @makkawi4294
      @makkawi4294 9 днів тому +2

      Mashaallah tabarak Allah heri ww

    • @jamilabakari1283
      @jamilabakari1283 9 днів тому +4

      hata mie jamani namshukuru mungu mwaka watano hu hata kujibishana wala kupishana kauli mungu awabariki mabos wangu.

    • @Zulekha-sg8fp
      @Zulekha-sg8fp 9 днів тому +1

      Mshukuru mungu

    • @hasnakid
      @hasnakid 9 днів тому +1

      MashaAllah mshukur sana Allah.
      Me pia Alhamndulillah kwa sasa nimepata boss mzur ananipenda kama mtt wake.
      Ila boss wa mwanzo, ukiumwa hospital wanakupelek kwa pes zako, baadh ya vitu unajinunulia mwenyew😒 but Alhamndulillah Allah alinipa subra nikaish nawo kwa mda wa 6 years.

  • @فيصلالبادي-ح1غ
    @فيصلالبادي-ح1غ 9 днів тому +18

    Mm niliomba sanaaa mungu nisije pata mwaraabu wa kiswahili alhamdullah nimepata waarabu wa hukuhuku kiukweli naishi vizuli

    • @NeemaJanga
      @NeemaJanga 9 днів тому +1

      Bora tulia umalize mambo yako hapo ❤❤❤

    • @NeemaJanga
      @NeemaJanga 9 днів тому +1

      Usiende pengine tulia hapohapo ndugu tumalize shida zetu

    • @RakaPk
      @RakaPk 9 днів тому

      ​@@NeemaJanganikweli kabisa mm mwenyewe sibanduki mpaka nimeloze mambo yangu

    • @husseinbahanzika7936
      @husseinbahanzika7936 8 днів тому

      Tuunganishe basi​@@NeemaJanga

    • @husseinbahanzika7936
      @husseinbahanzika7936 8 днів тому

      ​@@RakaPktuunganishe basi

  • @Amena-k3v
    @Amena-k3v 8 днів тому +11

    Namshukuru mungu nipo na boss vizuri nakula nanunuliwa nguo napelekwa hospitali nikiumwa namshukuru mungu pia mshahara mzuri nikimaliza kazi nalala alhamdulllh 😊😊

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 9 днів тому +9

    Alhamdulillah namshukuru Mwenyezi Mungu naishi km nipo nyumbani kwangu haya madhira sijawai Pata Asante Mungu 🤲🤲🤲

    • @HeryethAleck
      @HeryethAleck 9 днів тому +2

      Tumshukuru Mungu kweli ata mm nitakuwa mnyimifu wa fadhila

    • @RakaPk
      @RakaPk 9 днів тому

      Kwakweli hata mm nina mshukuru mungu Alhamdulillah 🙏

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 9 днів тому +1

      Inaonyesha wewe mkorofi hukuweza kustahamili

    • @husseinbahanzika7936
      @husseinbahanzika7936 8 днів тому

      Tuunganishe basi

    • @AraphaCheki
      @AraphaCheki 6 днів тому +1

      Ata mm jaman allhamdullah naishi vzr tu tena jion nasaidiwa kupika kila siku allhamdullah Allah wangu

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 8 днів тому +4

    Asante mtangazaji asanteee kweli hawa wanaimboa wanakwenda Mabella wana kodi nyumba waschana wengi usiu wanajiuzaaaa 😢😢😢😢😢

  • @NajmaRajabu-y8b
    @NajmaRajabu-y8b 9 днів тому +19

    Nyie mashaghala kuna maelezo mengine msisimulie kwakujumuisha watu wote...binafsi alhamdulilah sitokuja kumuongelea boss wangu vibaya abadani.. kwasabu khery ni nyingi mno kuliko madhaifu yao🎉🎉 Allah awalipe khery nyingi duniani na akhera kwajinsi tunavyoishi kwa kusubiriana 🤲.... kwasabu ata mimi pia nina madhaifu yangu pia... mkamilifu ni Allah pekee 💯 nitafanya nikimaliza inshaallah alhamdulilah 🙏

    • @HUpendo
      @HUpendo 9 днів тому +7

      Uyajakukutaaa dada😢😢😢

    • @stellanyamuhogota1832
      @stellanyamuhogota1832 9 днів тому +7

      Wew kam una heri Acha wenzako waseme changamoto zao

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 9 днів тому +6

      Kabsa hata mim sito wahi kuongelea hayo ya mshahar kwa sababu mie nilikuja 2016 nilikuja na 70 nilikaa miez 5 nikaongezwa 80 lakin sai nalipo 130 kwa lweli alhamdulillah tunajenga na tumejenga

    • @Husnasalim-f2g
      @Husnasalim-f2g 9 днів тому

      @@NajmaRajabu-y8b sio wot hat mm hap ninamiak 5 tena mwak wa tano nimetimiza mwez huu tarehe 13 makwazano ya kawaid yap nikiumwa napelekwa hospital kwa bima niliotengenezaw sijawai kukatwa hat mia ya matibabu nishafany Ex -Ray ya goti nishafanya nishafanya Ex -Ray ya kidole nishafanya Ex-Ray ya meno nishaziba meno 6 ninaclenik ya macho na homa zingine kila kitu juu yao nishafanya Ex-ya kichwa sijawai kutoa mia yangu na kila karib ya sikukuu ananipa hela boss wangu niwape wazee wangu sadak nguo juu yao kila kitu ukion nimenunua kit nimeamua mm mwenyew 2 na nanunuag lotion 2 nazopenda mm mwenyew ndo natoa hela yangu wapo wabay na wazur my niliwai fany kazi Oman niliapa sitorud nchi ya kiarab nilipat mates ila nilivumilia dakik za mwisho tulishikan mkononi nusu nimzibue makof yule mam alienda kwao kuongea uongo familia yake yot ikanichukia ila yot kwa yot sijajali nilikuwa naangalia malipo yangu 2 mengine watajua wenyew nilivomaliz mkatab nikarud sasaiv nip uku miaka 5 sio km makwaruzano haman yapo ila sio yale san kunamda unavumilia vinavovumilika nasema Alhmdulillah

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 9 днів тому +2

      Umeonaee wanaona sifa

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 9 днів тому +2

    Jamani mungu atusitiri na hawa viumbe
    Allha asinijaaliye na hawa viumbe
    Jamani mahala panapo kupatia riziki
    Ukisema ubakishe
    Kuna siku mtapatamani
    Lkn kwa kuomba no one mashallhaa

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 9 днів тому +13

    Waoman ni watu wakarimu sana,tena nchi za kiarab oman ndo mwamba wao kwa ukarimu,baati mbaya zipo kama hivyo msiongeze na maneno kwa sababu wapo wanaishi vizuri sana

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 9 днів тому +1

      Hamna kitu mwaarabu ni mbwa tu

    • @mamialsawafi8020
      @mamialsawafi8020 9 днів тому

      ​@@Kabwela776we mbwa mweusi

    • @hemedkassim
      @hemedkassim 8 днів тому

      Sio wote wanaishi vizur wengine wamebahatika ja wengine wanapata shida

    • @MaimunaSaidi-z7f
      @MaimunaSaidi-z7f 8 днів тому

      Mm pia nami7 naishi vzur tu siowotewabaya​@@hemedkassim

    • @AminatHamis
      @AminatHamis 7 днів тому +1

      Kabisa oman wanaongozwa Kwa ukarimu

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we 9 днів тому +10

    Asilimia nyingi wakishatoroa kazi umalaya wanatutiaibu sisi ambao tunajieshim tunaishi na ma boss zetu vizuri Alihamdulilah

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 9 днів тому +2

      @@HalimaKassim-yz3we mwarabu Hana jema kwa Ngozi nyeusi kwake wewe ni mtumwa wake hata umfanyie nini anaweza kukubadilikia muda wowote Na hata kukuuwa juzi kuna dada mmoja amesukumwa kwenye kisima kafa huko Oman 🇴🇲 Na wengi wanateswa

    • @KhadijaSalim-b8q
      @KhadijaSalim-b8q 8 днів тому +1

      Huna lolote mbwa Wewe

    • @HalimaKassim-yz3we
      @HalimaKassim-yz3we 8 днів тому +2

      @KhadijaSalim-b8q mbwa 2 ni ww haoo mna hasira nawaombea woote mnadanga kwa watu mukqmatwe washenzi watabia nyie

    • @HalimaKassim-yz3we
      @HalimaKassim-yz3we 8 днів тому +1

      @KhadijaSalim-b8q unajisahaulisha hamkumbuki mulikamatiwa wapi wamalaya nyie mnawashwa hamsem na nyege zenu kwendeniukoo nyoooo

    • @Zuwenamchuzi
      @Zuwenamchuzi 8 днів тому +1

      ​@@HalimaKassim-yz3wezamu yako inakuja siwatu warabu niuluze Mimi

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 7 днів тому +4

    Mmmm Punguzeniii,Leo umeona mnarudishwa kwenu [MNAKAMATWA] ndio kurudi..WAONGOOO haisaidii kumjua..huko nje ungepata boss,ungebadili tu..

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 9 днів тому +5

    Mtihani wallah mungu atupe subra team 💪

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 9 днів тому

      Aamiin

    • @salamalsawaqi1206
      @salamalsawaqi1206 9 днів тому +2

      Basi tena hatutaki watanzania kuja kufanya kazi kwetu 0man Alhamdulillah tunao wahindi wala hana maneno neno wana uongo uongo kama nyinyi

    • @SalmaAthuman-hp3en
      @SalmaAthuman-hp3en 9 днів тому +2

      @@salamalsawaqi1206 🤣🤣🤣kwenu wapi wenye nchi wala hawajui kiswahili

    • @alhamdullilla5108
      @alhamdullilla5108 8 днів тому +1

      Hakuna mitahani ukiwaona hawa niwahuni unasikia alikuwa injeeee diku zoote hizoooo

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 6 днів тому

      Hakunaga mwarabu anaongea kiswahili wewe shagara tu unajiita muoman 😂😂​@@salamalsawaqi1206

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 9 днів тому +15

    Kote kuna wabaya na wazuri hata Tanzania wapo kila siku watu wanauwawa

    • @Rehemaa-uz8rj
      @Rehemaa-uz8rj 9 днів тому +4

      Kabisa ila Omani niugenn

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 9 днів тому +1

      Waarabu ni mbwa Ngozi nyeusi kwako ni mtumwa

    • @mamialsawafi8020
      @mamialsawafi8020 9 днів тому

      ​@@Kabwela776mbwa ww mweusi kama mkaa kwani walitumwa waje hao weusi wenzako basi waajiri ww nyoko zako

    • @FayzaSultan
      @FayzaSultan 9 днів тому

      ​@@Kabwela776Kabisaa hawathamini watu kabisa hao unafq na ukafir basi

    • @FayzaSultan
      @FayzaSultan 9 днів тому

      ​@@Rehemaa-uz8rj Ni kweli na mazingira yao ni magumu sana sana yaani mmh mtihani unafiq na ukafir basi

  • @TawosiTawosi
    @TawosiTawosi 9 днів тому +3

    Kwakweli umeongea ukweli kipenzi hata kama wabaya wapo sehemu zote lkn kunazidiana subhanallah naishi vzr lkn nikiumwa panadol nakazizinaendelea yotekwayote allah nimjuzi wayote isha allah 🤲🤲🤲

  • @umranim5854
    @umranim5854 2 дні тому +1

    Ngoja nikusanye hizi habari hizi zote nikaonane na mkubwa wa magreshen nimfahamishe hizi habari money kama hawakufungiwa kuingia Oman tena

  • @salimaloufi6470
    @salimaloufi6470 6 днів тому +1

    MZURURAJI WEWE,HAMNA EHSAN

  • @umranim5854
    @umranim5854 2 дні тому +1

    Tamaa mbaya ndio ina wasumbua

  • @shariffsagaf2305
    @shariffsagaf2305 5 днів тому +1

    Hadithi za wafanyakazi zimekuwa nyingi sana na tunapata taarifa upende mmoja tu.fanyeni kazi huku bongo kwenu.

  • @Emilymama2boys
    @Emilymama2boys 4 дні тому +1

    Uyu dada ameongea true kabisa

  • @Noor-o4i
    @Noor-o4i 14 годин тому

    😭😭Allah ndy anatulinda lkn tunayo yaptia kama wazazi wetu wanaona bas wanaanguka presha😢

  • @Fatuma-p9y
    @Fatuma-p9y 6 днів тому +1

    Mimi nashangaa sana watu wakishudwa kazi kutwa kuongea sasa kuna kazi iliyokosa changamoto yani wao maneno kutwa oman jaman ata uko tz kuna watu wana rombaya sana na mishalaa ailipwi

  • @PrincessReen-n8t
    @PrincessReen-n8t 6 днів тому +1

    Ubadilishwe na ulivyo DuBa hivo hata huyo mwarabu alikustir

  • @HildaSwai
    @HildaSwai 6 днів тому +1

    Yaaañi kwa kweli mimi tangu nimeingia kwenye hii nyumba sijawahi kutoka zaidi ya kwenda kutupa takataka basi sina ijaza sina mapumziko ni kazi kazi kwa kweli maisha ya gulf nikuomba Mungu

  • @IreneJohn-p2g
    @IreneJohn-p2g 9 днів тому +4

    Kweli kabisa hapo kwenye hospital hakuna kabisaaa na kukipelekwa hospital utasimangwa hasaaa nimwendo wa panadoli tuu😂

    • @salamalsawaqi1206
      @salamalsawaqi1206 8 днів тому +1

      @@IreneJohn-p2g simlipe wenyewe hela ya hospitali si mnafanya kazi mIsha hala mlipwe na hospitali mlipwe kama mshahara mdogo si mrudi makweni mkalipwe MSHAHARA MINONO

    • @Bintmsanif
      @Bintmsanif 5 днів тому

      Ww muarabu koko ww ​@@salamalsawaqi1206

  • @MariamMustafa-w8e
    @MariamMustafa-w8e 6 днів тому +1

    Ndio wa burundi kwenye kusafiri hatupati shida kabisa kwa Hilo tuna mshukuru mungu

  • @salimaloufi6470
    @salimaloufi6470 6 днів тому +1

    WASWAS UTOKE WAPI UNAE BWANA

  • @humaidalnaamani7859
    @humaidalnaamani7859 5 днів тому +1

    😂😂hapo kuna uwongo wa kupigws kisu akatoroka dada ungelikuwa umeenda police kwa kosa la kupigwa na kitu chochote kila ukweli ulie mshitaki hatatoka police bila dhamana au ww kukubali atoke

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 6 днів тому +1

    Sasa uliombewa kurudi ya nini na wewe unasema kibarua ilikuwa inakulipa vizuri kuliko mkataba?!

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 9 днів тому +2

    Sasa da zari huyu Dada alifugwa Oman sijui miezi mingapi unategemea ataongea ukweli ni lazima atawachafua waoman. Natamani Sana wanao leta Hawa watu waje na wao waongee na wish ingekuwa wanakijua na kiswahili wakafaham wanavyotukana nadhani hakuna mtu angeharibu kuwaleta. Ni bora kupaza sauti wafungiwe tu wao wapunzike na waoman wapunzike.

  • @AbdiBim
    @AbdiBim 6 днів тому +1

    Anaonekana haswa kama mkorofi huyu mdada oman kweli kuna waarab wakorofi lakini huyu ni mkorofi yeye muongo danga hili bwana muwache kuwasakama watu bure.umalaya tu hamna lolote😊

  • @umranim5854
    @umranim5854 2 дні тому +1

    Waongo hawa wanatoroka wanaenda kujiuza umalaya tu na parent kubwa wana toroka kwa ajili ya kufaya pat time na kufanya umalaya na embassy hawawezi kumjibu utajuana na boss wako

    • @Afrikalove736
      @Afrikalove736 День тому

      Inaskitisha malaya kuwalelea watoto wasafi watukufu.,😂😂

    • @umranim5854
      @umranim5854 День тому

      @Afrikalove736 na ndio sababu hakuweza kulea watoto kazoea kulea mapumbu 😅

    • @Afrikalove736
      @Afrikalove736 День тому

      @@umranim5854 waarabu hawawezi kulea watoto ndio maana wanawajiri hao mnao sema wamalaya wewe vipi hujaelewa.😂

    • @Afrikalove736
      @Afrikalove736 День тому

      @@umranim5854 Wanazaa mitoto mingi kwenye upande wa malezi wanaitaji msaindizi ,siwazae wanao wanao waweza kuwalea uvivu tu.

  • @SaidNassor-xj6yp
    @SaidNassor-xj6yp 2 дні тому

    Pole sna kwa mitihani

  • @umranim5854
    @umranim5854 2 дні тому +1

    Huyu asirudishwe tena Omani

  • @MsafiriMakalanzi
    @MsafiriMakalanzi 5 днів тому +1

    Pole mama juma kama umerudi oman njoo moro utusalimiee

  • @rashidmkoga3053
    @rashidmkoga3053 3 дні тому +1

    Najma mwenyewe anaonekana Mbishi sio kinyonge

  • @priscillahpendeza6622
    @priscillahpendeza6622 9 днів тому +3

    Its sad to hear this,as a Kenyan global fan its time for the government of Tanzania to do something,the citizens outside are suffering

  • @Fatma123-b1e
    @Fatma123-b1e 2 дні тому +1

    Dd.hapo.sio.kweli.km.wazazibar.wanasaminiwa.wabara.hawasaminiwiwi.sio.kweli.bwana

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 9 днів тому +2

    Wazanzibar wengi wameowana na wa Oman ndugu yangu

  • @ZakhiaKhanna
    @ZakhiaKhanna 5 днів тому +2

    Huyu kwanza mdomo ndo unaomponza kwanza ndo alokuwa anamtukana mama Samia kisha katoroka ili akafanye umalaya tu

  • @Monaoom-x5m
    @Monaoom-x5m 6 днів тому +1

    Muongo huyu 202.mshahara mia naishiri.sio kweli ninamiaka 10 oman.

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 8 днів тому +1

    Mungo alikaaa mwezi 6 ukooo alipelejwa jella kubwa uyooo muo go 😢😢😢😢

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 9 днів тому +2

    Jamani basi wa Tanzania kuingia Oman, malalamiko yamezidi Tena dohh😮😮

  • @hafsa05adil32
    @hafsa05adil32 5 днів тому +1

    Uroho mbay tu unakusubuwa wazanzibar ndio mumewaweka kooni lazima mutawatajaa tu kwachuki zeni😏

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 9 днів тому +1

    Dada umeupiga mwingi hapo kwenye kubadilisha uraia safiii sana

  • @Shadia544
    @Shadia544 9 днів тому +3

    Haya tunasikiliza hapa ili tujuwe ilikuwaje jamaniii 😢😢kuna watu huku wanateseka sana 😢😢halafu miee mkataba wangu ulipotea jamaniii 😢😢

  • @kurthummohamed6290
    @kurthummohamed6290 9 днів тому +1

    Msiende kabisa oman nawashangaa mnasema mnateswa halafu kila leo mnaenda

  • @fatumadiwani4098
    @fatumadiwani4098 6 днів тому +1

    Watanzania wajuaji na jeuri ndio maNa hamkai kazini mbona wenzenu wa mataifa mengine wanadumu kazini

  • @BobJohn-q9f
    @BobJohn-q9f 8 днів тому +1

    Ikiwa uligombana na boss wake kwanini hukurudi kwenu mwaka 3 unafanya nini huko

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 9 днів тому +1

    Sasa huyu atasema kaonewa kufungwa 😮😊???

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 9 днів тому +5

    Mikorogo wote imewaharibu jamani!! Punguzeni!!

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 7 днів тому +1

    KWA KUWA UNATAKA UHURU KAMA UPO TANZANIA..HII NI USALAMA WENU NA WENYEWE..NA SIO KUZINI MITAANI.KUULIWA.UWONGO HUO POLISI HAKUWACHI HIVYOO UNAJUA ULIFANYALO...

  • @FatmaTanzania-i3y
    @FatmaTanzania-i3y 8 днів тому +3

    Minina mwaka 3 bos mswaili ataki kuniongeza pesa naamna siku yamapumziko naata sikukuu nijinunulie mwenyewe nguo ukimwambia mshaara ana kwambia mimi mwenyewe sijaongezwa kazini kwangu😢😢

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 8 днів тому +2

      Mkataba miaka miwili kwa nn ukae mitatu kuna ulazima gani MTU kma huyo ukimaliza mkataba unaondoka unarudi nyumba nyingine

    • @Fatima-i7h3w
      @Fatima-i7h3w 8 днів тому

      Aswaaa ​@@Ayuminchasi

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 8 днів тому

      @@Fatima-i7h3w wadada wengine wengi hawajielewi kuna wengine wanalipwa Rial 80 na anaongeza mkataba kwa pesa hiyo hiyo kwani ndugu zetu hawa watu wenyewe kutuita majina ya wanyama malize angalie sehem nyingine unakomaa hapo na unalalamika dah sijui kichwa kukoje

    • @DanielaFrancis-m6e
      @DanielaFrancis-m6e 7 днів тому +2

      Vumilia sio lazima ijaza Fanya kazi kikubwa uishi kwa Amani

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 7 днів тому

      @DanielaFrancis-m6e kupumzika ni lazima kwa sababu ni binadam sio mashine wala bunda ila waarabu wana matatizo ya akili afya ya akili

  • @aishaa2930
    @aishaa2930 6 днів тому +1

    Ila da zari unatamani sana kusikia mabaya ya omani kuriko mazuri pia wafanya kazi wengine wanaingia tamaa ya kupata pesa haraka ndio maana wanaishi magetoni ila wema wapo sana tena wengi majent wanaharibu sana wengine boss unakuta muelewa ila ajent anapanda dau ili usitoke pale

  • @princesssam6245
    @princesssam6245 6 днів тому +1

    Ufungwa wa nn umalaya tu

  • @manhutamankuta7366
    @manhutamankuta7366 8 днів тому +1

    Kwani watanganyika munaenda kufanya nini oman wakati muna nchi yenu na ni Tajiri na hakuna mtanganyika anayelala na njaa ni neema tupu dhahabu, Tanzanite na madini yote munayo sasa munaenda Oman 🇴🇲 kufanya nini?

  • @SalmaMkwenda
    @SalmaMkwenda 9 днів тому

    Pole sana

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 8 днів тому +1

    Si angevumilia huo mshahara wa Rials 90,baada ya hapo Allah atamfungulia. Sababu wanasema, mvumilivu hula mbivu. Basi ni hayo tu.

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 8 днів тому

      Rials 90 ni sawa na sh ngapi ya Tanzania?

    • @RehamAlmamari
      @RehamAlmamari 8 днів тому +1

      laki 6 na 80 ​@@fettyrashid9042

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 15 годин тому

    Kweli kabisa kazi za barabarani unaheshika sn na Kweli wa Burundi hawakawii hatuna embasi wiki2tu unaonfoka

  • @aishababy4640
    @aishababy4640 8 днів тому +1

    Mbona asimulii alivyokuwa anajiuza yani simpendi hy dada

    • @BintRasheed1999
      @BintRasheed1999 8 днів тому

      We ndo ulkua unamnunua

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy День тому

      Kwahiy mwajuana eee mana mchai kujua muchawi mwenzio ulijua aj Kam alijiuz Kam ww hamukutan mahal 😂😂😂😂

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 5 днів тому +1

    anaonesha mjuwaji sasa umetoroka kwann usirudi kwenu ukae miaka 4 nchi ya watu na viza ya wqtu si ndio ujuwaje uwo

    • @GatekaFatma
      @GatekaFatma 15 годин тому

      Sio ujuwaji ww ungerudi na nini bila ticket we vp hayaja kufika ndo mana

  • @bintrobert-rg9cp
    @bintrobert-rg9cp 5 днів тому

    Huyu dada kaongea kweli bila hata chembe ya unafki mwenyezi mungu atutangulie wote tulio jitolea kuishi mbali na familia zetu

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 9 днів тому +1

    Dd asikudanganye huyo eti walimkamata wakamwacha Nani kasema akamatwe hapa Oman halafu wamwache

  • @ZuwainaSd
    @ZuwainaSd 7 днів тому +1

    NAOMBA KUULIZA SAMAHAN LAKIN KWANINI WAFANYA KAZI WA OMAN MNAPENDA SANA KUTUMIA MIKOROGO SIO WOTE LAKIN ASILIMIA MIA KWANIN JAMAN MBADILIKE JAMAN DADA POLE HILA KUWENI MAKINI SANA BORA UBADILI NYUMBA MARA MIA KUSHINDA KUTOROKA KIKUBWA TUNASHUKUR UMERUDI

  • @bahadurbahadur-ir4ub
    @bahadurbahadur-ir4ub 9 днів тому +2

    Hasa hawa magent wa Oman mtihani mno sana😢😢

  • @BeatricesuleimaniBeatricesulei
    @BeatricesuleimaniBeatricesulei 9 днів тому +1

    Ila mengine tukanea tu sio lazima maisha ya ije sio mazuri

  • @WamidhAlsana
    @WamidhAlsana 9 днів тому +2

    Mwambie aseme ukweli Kila ijumaa Al hamis yupo club Na viguo vya ajabu uyooo aseme ukweli

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 9 днів тому

      Acha kuwatetea mbwa hao waarabu

    • @Osm90-m3j
      @Osm90-m3j 6 днів тому

      Kumbe mlikuwa mnadanga wote jamani 😂😂

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 9 днів тому +2

    Sura tu anaonekana shangingi.

    • @MuniraMtika
      @MuniraMtika 6 днів тому

      Hodar ww kw kucoment😅😅

  • @aminaamina135-j9m
    @aminaamina135-j9m 9 днів тому +3

    kabisa dada walabu sio nikijaliwa kuludi salama siwezi ludi Tena naona siku haziendi wazuli wa sula loho mbaya,

    • @IfadatAlly
      @IfadatAlly 9 днів тому +1

      Kata mkataba urudi usigeuke ngombe mchana unakunya usiku unalala

    • @FarajaSijali
      @FarajaSijali 9 днів тому

      Ata Mimi dada

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 9 днів тому +2

    Dada mshahara sio mshaala kiswahili fasaha tuikumbuke herufi R

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we 9 днів тому +1

    Nenda sasa mbona sasa upo Tanzania siungenda kenya mjinga ww

  • @ZuhuraSaidi-w3t
    @ZuhuraSaidi-w3t 4 дні тому

    Ukweli mtupu mm nipo uku ninachangamoto kibao inshallah nikiludi kwetu natulia bora Wali dagaa kwenye Aman

  • @DanielaFrancis-m6e
    @DanielaFrancis-m6e 7 днів тому

    Duh pole sana Mamy Rais wa Tanzania chukua hatua kuhusu watu wako waliopo uarabuni angalia watu wa filipino wanaishi wa kwa raha sana sheria ya filipino ni kali mpala raha.

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 9 днів тому +1

    Kilasiku mapya jmn pumzikeni hapa kwetu rizk zipo mbona

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 9 днів тому +5

    😅😂😂Anafurahisha kweli yaan umefika tu Oman unataka 120 😂😂😂😅Hhhh unafyrahisha kweli

  • @RutiMasaryk
    @RutiMasaryk 5 днів тому

    Hivi huu ubalozi wa Tanzania unafaida gani kuwepo nchi zingine kama hawasaidi watu wenu ,ugenini,

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb 9 днів тому +1

    24 hours siyo 3 months wakikushika hawakuashi yoote yawongo

  • @umranim5854
    @umranim5854 2 дні тому

    Day work hakukugharamia chochote just umemtia gharama kubwa sana na umemsumbua sana just haki yake utailipa kwa mungu

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 8 днів тому +1

    Hawa madam hujifanya wababe wakati nguvu za kupiga hawana😂

  • @TinaKahindi
    @TinaKahindi 5 днів тому

    Chado umenipunga kweli bint Hussein akuwa sadam Hussein 😂😂😂😂

  • @user-solange968
    @user-solange968 4 дні тому

    Mbona muna sema wa Islam wana roho nzuri Ila waliyo anzazisha dini yawo kama wa rabu wenyewe wanaroho mbaya sana sijawayi ona 😢

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 8 днів тому +1

    Muongo uyoooooo saaaaana 😢😢😢😢

    • @NemaAli-zh6hr
      @NemaAli-zh6hr 8 днів тому

      Hya njoo wew useme ukweli!

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy День тому

      Ap ss 😂😂😂😂 ndo tunasubir ukwel wake​@@NemaAli-zh6hr

  • @sapnaarjun2175
    @sapnaarjun2175 6 днів тому

    Pole

  • @VeronicaPaul-l8m
    @VeronicaPaul-l8m 9 днів тому +1

    Dada huyu ni mpambanaji hata bongo anaweza kujituma atatoboa.
    Pole kwa misukosuko na mshukuru Mungu hujadhurika kabisa mwaya

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 9 днів тому +6

    Zai bana amesha kujibu alisha kwenda ubalozini akajibiwa atajua mwenyewe bado unamwambia BALOZI haiwezi saidiya mtu alivunjaa sheria😮 wapi kavunja sheria? wakati alikwenda akajibiwa atajua mwenyewe na madamu wake! how come arudi tena kwa sehemu waliyomjibu vile? Niliwahi sema Balozi hawana msadaa kwa wana nchi wao mpka habari iende viral yani iwe yakushangaza(mtu Kesha uliwa😢) or Kik ndiyo ubalozi wata jup in ili waonekane wamesaidia big up kwa huyu dada bila kuogopa umesimamia ukweli wako hujawa muoga km Zai kutwa kuwapamba hao balozi. ukiwa unafanya kazi ya jamii you need to be strong and don't take side kwa kuogopa serekali.

    • @irenemichael
      @irenemichael 9 днів тому +1

      Ubaloz ulud tu kwao uliko toka hakuna chamaana

    • @Zuwenamchuzi
      @Zuwenamchuzi 8 днів тому

      Mungu atusimamie hawa watu weupe mungu anawaona😢😢😢Mimi nakatwa mshahara toka mwezi wa tisa nakatwa liyari 20 ila simsamehe Mpaka kiama😢

    • @OmaSs-b7i
      @OmaSs-b7i 8 днів тому +1

      Kabisa Tzania hamna kitu Tazama alikufa mwamvua ,,hata kwenda kuonja hilo shimo hakuna alie enda mara amekufa Kwa pressure lakin Hadi sasa kmywa hamna kitu Tzania ,kikubwa kimuomba mungu atusimamie

  • @PrincessReen-n8t
    @PrincessReen-n8t 6 днів тому

    Mama samia usimsikilize huyo alikuchafua ulipokuja pumbavu zake akwende huko rais anamjua leo hii akalime vimongo huko

  • @Aishajohn-o3m
    @Aishajohn-o3m 9 днів тому +3

    Kukemboi ni changamoto me naona kama yamekushinda urudi tu nyumbani

    • @SakinaSakinat-qd9rs
      @SakinaSakinat-qd9rs 9 днів тому

      Kwa kweli

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 9 днів тому

      ​@@SakinaSakinat-qd9rshivi Huku Oman unaruhusiwa kupanga chumba?? 😅😅😅 Maana anasema alikuwa kapanga anafanya kazi za nje mmmmmmh mimi muoga wallah hapana 😅

  • @FgfgyGfyghhgft
    @FgfgyGfyghhgft 9 днів тому +3

    Kweli kabisa hospital panadol

  • @Awaasha-cn6bx
    @Awaasha-cn6bx 9 днів тому +2

    Ubalozi wa Tz Oman hawatoi ushirikiano haswa kwa wafanyakazi wa ndani

  • @MputuDavid
    @MputuDavid 6 днів тому +1

    wabongo eti panadoli ninisasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦

  • @sharifajamal5764
    @sharifajamal5764 9 днів тому +4

    Hapo umesema ukweli warabu waswahili na washashi

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy День тому

      Yan mwarab muswahil mm siex kua mutumish wak Yan wanavituk bisio isha

  • @aminumengo2123
    @aminumengo2123 6 днів тому

    Ubarozi wa Kitanzania mtihani kweli kweli lkn za West Africa km za Kiamerica hawataki mwananchi wake ateswe

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 8 днів тому

    Jamani mumufatiyeni kwanza anavio zungumza 😢😢😢😢

  • @MunaMuna-d4b
    @MunaMuna-d4b 4 дні тому

    Kiukweli ubalozi watanzania nishida sana nchiyetu nimajanga

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 8 днів тому

    Ibri sio ibra mbali sana vijijin ndani pole sana ndugu

  • @levinalyimo-i9k
    @levinalyimo-i9k 9 днів тому

    duuu huyu dada ana kamdomo ile mbayaaa

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 6 днів тому

    Asilimia kubwa huko Oman wanaroho mbaya Sana mana Kila siku wao tu jmn mm ntakufa na umaskin wangu huku hukuTz mana naweza piga mtu wakanitupa gorofani mana wanaroho mbaya Sana hao watu

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 8 днів тому +2

    Ww mbwa koma tena ukome malaya ww ww Acha ubaguzi kutaja Wazazibar Mm ndugu yngu mzazibar saiv ana mwezi wa 7 yumo ndani na kesi yke hukmu imetoka juzi atafungwa miezi 8 na kesi yakuishi nje tu sasa ao Wazanzibar unao wataja niwepi acha ubaguzi kenge ww nyoo yaani nimekuchukia bure mbwa ww

    • @mohmadalmahrizi3717
      @mohmadalmahrizi3717 8 днів тому

      Uwe mstarabu habibty matusi ya nini subhana llaha Allah atuongoze sote

    • @YusterMp
      @YusterMp 6 днів тому +1

      Kuna mdada mzanzibar alienda uko kilichomkuta😢

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 2 дні тому +1

      Wabongo ndio kazi yao kutaja wazanzibar mbwa hao wa kibogo sijui wana chuki gani na choyo na wazanzibar washenzi washenzi tu

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 2 дні тому +1

      @ashaabdalla924 mm hushangaaa wazanzibar wapo mbona jela kwakua hatusemi O waubalozi wengi wabongo kwann watupndelee ss Wazanzibar mbona ss hatubagui na pngine ndo washamjumuisha mama samia ndo anaeto tamko kua Zanziba watolewe haraka akili ndogo sana huyu dada

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 2 дні тому

      @@mohmadalmahrizi3717 hebu nenda uko yy mstarabu aache ukabila kabisa kma kusota nisite tunasota au na ww ndo yule yule ukabila muaache mbona kutwa mnakwenda zanzibar mahotelin mmejaa mbona hatubagui nyamaza kimya na ww

  • @UmayyaMunisi
    @UmayyaMunisi 6 днів тому

    Si mnasemsemaga ukiwa na mkataba hupati usumbufu 😢😢jmn mungu atujalie huku na sasa karudi bongo bila passport 😢😢

    • @Osm90-m3j
      @Osm90-m3j 6 днів тому

      Nikwambie tatizo linaanzia Kwa maajent wao ndio wanawaambia mabosi nipe rial 1000 utakuja kumlipa 80 huu mkataba hawausikikilizi

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 6 днів тому

      ​@@Osm90-m3j sasa unajua km hiyo 80 ukichenj unapata milioni moja na nusu ya tz ?! Tanzania mfanyakazi gani wa ndani anapata pesa hiyo?! Wangetulia kwenye kazi wangefaidika na mengi mbona wako watz ambao mpaka makwao wamejenga na wanasaidia familia zao wanashukuru

    • @Osm90-m3j
      @Osm90-m3j 6 днів тому

      @@fatmaabdallah7709 We naona umetoka kulewa ndo ukaja kuandika 80 ya nyoko wanaopata milion Moja usinitubuwe katanuwe miguu huko bwanawako akuweke ili akili zirudi sawa wangepata hiyo milion wangellamika na mshahara elekezi 120 iweje iwe 80 kama hawataki kuchukuwa wafanyakazi watulize vinyeo😏😏😏

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 6 днів тому

      @@Osm90-m3j bwanangu ananifanya vizuri ndo kwa maana nina akili sasa tatizo litakuwa kwako bwanako anayefanya huko nyuma anakukodoza sana mpaka akili zinakuruka. Sasa sawa hata km ni laki 5 mfanyakazi gani hapo tz anapata mshahara huo? Sana sana mshahara mkubwa ni laki 1 na wanashindishwa na njaa mabosi zao wakienda makazini! Nyinyi wachache ndo mnawatia ujinga wengi wakajiona km malaika kwa mabosi zao wakati bosi wako unatakiwa kumuheshimu ndo nidhamu ya kazi inasema!

    • @Osm90-m3j
      @Osm90-m3j 6 днів тому

      @fatmaabdallah7709 Mi namfanya baba yako na mama yako angekuwa anakufanya vizuri usingekuwa na kiherehere nenda kapakuliwe huko