Subhana Allah pole sana Dada kwa yaliotokea kwa upande wangu Alhamdulillah Namuomba Allah wasibadilike maboss wangu kwa kweli ni watu wema Alhamdulillah japo Kiu binadamu hawakosi kusema ila ni watu wema Alhamdulillah
Alhamdulillah napelekwa hospital na huduma napata zote kulingana na ugomvi sio wote wabaya madam wangu hajawai nifokea nikiunguza nguo anasema hakuna tatizo namshukuru Mungu sana
MashaAllah mshukur sana Allah. Me pia Alhamndulillah kwa sasa nimepata boss mzur ananipenda kama mtt wake. Ila boss wa mwanzo, ukiumwa hospital wanakupelek kwa pes zako, baadh ya vitu unajinunulia mwenyew😒 but Alhamndulillah Allah alinipa subra nikaish nawo kwa mda wa 6 years.
Namshukuru mungu nipo na boss vizuri nakula nanunuliwa nguo napelekwa hospitali nikiumwa namshukuru mungu pia mshahara mzuri nikimaliza kazi nalala alhamdulllh 😊😊
Nyie mashaghala kuna maelezo mengine msisimulie kwakujumuisha watu wote...binafsi alhamdulilah sitokuja kumuongelea boss wangu vibaya abadani.. kwasabu khery ni nyingi mno kuliko madhaifu yao🎉🎉 Allah awalipe khery nyingi duniani na akhera kwajinsi tunavyoishi kwa kusubiriana 🤲.... kwasabu ata mimi pia nina madhaifu yangu pia... mkamilifu ni Allah pekee 💯 nitafanya nikimaliza inshaallah alhamdulilah 🙏
Kabsa hata mim sito wahi kuongelea hayo ya mshahar kwa sababu mie nilikuja 2016 nilikuja na 70 nilikaa miez 5 nikaongezwa 80 lakin sai nalipo 130 kwa lweli alhamdulillah tunajenga na tumejenga
@@NajmaRajabu-y8b sio wot hat mm hap ninamiak 5 tena mwak wa tano nimetimiza mwez huu tarehe 13 makwazano ya kawaid yap nikiumwa napelekwa hospital kwa bima niliotengenezaw sijawai kukatwa hat mia ya matibabu nishafany Ex -Ray ya goti nishafanya nishafanya Ex -Ray ya kidole nishafanya Ex-Ray ya meno nishaziba meno 6 ninaclenik ya macho na homa zingine kila kitu juu yao nishafanya Ex-ya kichwa sijawai kutoa mia yangu na kila karib ya sikukuu ananipa hela boss wangu niwape wazee wangu sadak nguo juu yao kila kitu ukion nimenunua kit nimeamua mm mwenyew 2 na nanunuag lotion 2 nazopenda mm mwenyew ndo natoa hela yangu wapo wabay na wazur my niliwai fany kazi Oman niliapa sitorud nchi ya kiarab nilipat mates ila nilivumilia dakik za mwisho tulishikan mkononi nusu nimzibue makof yule mam alienda kwao kuongea uongo familia yake yot ikanichukia ila yot kwa yot sijajali nilikuwa naangalia malipo yangu 2 mengine watajua wenyew nilivomaliz mkatab nikarud sasaiv nip uku miaka 5 sio km makwaruzano haman yapo ila sio yale san kunamda unavumilia vinavovumilika nasema Alhmdulillah
Jamani mungu atusitiri na hawa viumbe Allha asinijaaliye na hawa viumbe Jamani mahala panapo kupatia riziki Ukisema ubakishe Kuna siku mtapatamani Lkn kwa kuomba no one mashallhaa
Waoman ni watu wakarimu sana,tena nchi za kiarab oman ndo mwamba wao kwa ukarimu,baati mbaya zipo kama hivyo msiongeze na maneno kwa sababu wapo wanaishi vizuri sana
@@HalimaKassim-yz3we mwarabu Hana jema kwa Ngozi nyeusi kwake wewe ni mtumwa wake hata umfanyie nini anaweza kukubadilikia muda wowote Na hata kukuuwa juzi kuna dada mmoja amesukumwa kwenye kisima kafa huko Oman 🇴🇲 Na wengi wanateswa
Kwakweli umeongea ukweli kipenzi hata kama wabaya wapo sehemu zote lkn kunazidiana subhanallah naishi vzr lkn nikiumwa panadol nakazizinaendelea yotekwayote allah nimjuzi wayote isha allah 🤲🤲🤲
Mimi nashangaa sana watu wakishudwa kazi kutwa kuongea sasa kuna kazi iliyokosa changamoto yani wao maneno kutwa oman jaman ata uko tz kuna watu wana rombaya sana na mishalaa ailipwi
Yaaañi kwa kweli mimi tangu nimeingia kwenye hii nyumba sijawahi kutoka zaidi ya kwenda kutupa takataka basi sina ijaza sina mapumziko ni kazi kazi kwa kweli maisha ya gulf nikuomba Mungu
@@IreneJohn-p2g simlipe wenyewe hela ya hospitali si mnafanya kazi mIsha hala mlipwe na hospitali mlipwe kama mshahara mdogo si mrudi makweni mkalipwe MSHAHARA MINONO
😂😂hapo kuna uwongo wa kupigws kisu akatoroka dada ungelikuwa umeenda police kwa kosa la kupigwa na kitu chochote kila ukweli ulie mshitaki hatatoka police bila dhamana au ww kukubali atoke
Sasa da zari huyu Dada alifugwa Oman sijui miezi mingapi unategemea ataongea ukweli ni lazima atawachafua waoman. Natamani Sana wanao leta Hawa watu waje na wao waongee na wish ingekuwa wanakijua na kiswahili wakafaham wanavyotukana nadhani hakuna mtu angeharibu kuwaleta. Ni bora kupaza sauti wafungiwe tu wao wapunzike na waoman wapunzike.
Anaonekana haswa kama mkorofi huyu mdada oman kweli kuna waarab wakorofi lakini huyu ni mkorofi yeye muongo danga hili bwana muwache kuwasakama watu bure.umalaya tu hamna lolote😊
Waongo hawa wanatoroka wanaenda kujiuza umalaya tu na parent kubwa wana toroka kwa ajili ya kufaya pat time na kufanya umalaya na embassy hawawezi kumjibu utajuana na boss wako
KWA KUWA UNATAKA UHURU KAMA UPO TANZANIA..HII NI USALAMA WENU NA WENYEWE..NA SIO KUZINI MITAANI.KUULIWA.UWONGO HUO POLISI HAKUWACHI HIVYOO UNAJUA ULIFANYALO...
@@Fatima-i7h3w wadada wengine wengi hawajielewi kuna wengine wanalipwa Rial 80 na anaongeza mkataba kwa pesa hiyo hiyo kwani ndugu zetu hawa watu wenyewe kutuita majina ya wanyama malize angalie sehem nyingine unakomaa hapo na unalalamika dah sijui kichwa kukoje
Ila da zari unatamani sana kusikia mabaya ya omani kuriko mazuri pia wafanya kazi wengine wanaingia tamaa ya kupata pesa haraka ndio maana wanaishi magetoni ila wema wapo sana tena wengi majent wanaharibu sana wengine boss unakuta muelewa ila ajent anapanda dau ili usitoke pale
Kwani watanganyika munaenda kufanya nini oman wakati muna nchi yenu na ni Tajiri na hakuna mtanganyika anayelala na njaa ni neema tupu dhahabu, Tanzanite na madini yote munayo sasa munaenda Oman 🇴🇲 kufanya nini?
NAOMBA KUULIZA SAMAHAN LAKIN KWANINI WAFANYA KAZI WA OMAN MNAPENDA SANA KUTUMIA MIKOROGO SIO WOTE LAKIN ASILIMIA MIA KWANIN JAMAN MBADILIKE JAMAN DADA POLE HILA KUWENI MAKINI SANA BORA UBADILI NYUMBA MARA MIA KUSHINDA KUTOROKA KIKUBWA TUNASHUKUR UMERUDI
Duh pole sana Mamy Rais wa Tanzania chukua hatua kuhusu watu wako waliopo uarabuni angalia watu wa filipino wanaishi wa kwa raha sana sheria ya filipino ni kali mpala raha.
Zai bana amesha kujibu alisha kwenda ubalozini akajibiwa atajua mwenyewe bado unamwambia BALOZI haiwezi saidiya mtu alivunjaa sheria😮 wapi kavunja sheria? wakati alikwenda akajibiwa atajua mwenyewe na madamu wake! how come arudi tena kwa sehemu waliyomjibu vile? Niliwahi sema Balozi hawana msadaa kwa wana nchi wao mpka habari iende viral yani iwe yakushangaza(mtu Kesha uliwa😢) or Kik ndiyo ubalozi wata jup in ili waonekane wamesaidia big up kwa huyu dada bila kuogopa umesimamia ukweli wako hujawa muoga km Zai kutwa kuwapamba hao balozi. ukiwa unafanya kazi ya jamii you need to be strong and don't take side kwa kuogopa serekali.
Kabisa Tzania hamna kitu Tazama alikufa mwamvua ,,hata kwenda kuonja hilo shimo hakuna alie enda mara amekufa Kwa pressure lakin Hadi sasa kmywa hamna kitu Tzania ,kikubwa kimuomba mungu atusimamie
@@SakinaSakinat-qd9rshivi Huku Oman unaruhusiwa kupanga chumba?? 😅😅😅 Maana anasema alikuwa kapanga anafanya kazi za nje mmmmmmh mimi muoga wallah hapana 😅
Asilimia kubwa huko Oman wanaroho mbaya Sana mana Kila siku wao tu jmn mm ntakufa na umaskin wangu huku hukuTz mana naweza piga mtu wakanitupa gorofani mana wanaroho mbaya Sana hao watu
Ww mbwa koma tena ukome malaya ww ww Acha ubaguzi kutaja Wazazibar Mm ndugu yngu mzazibar saiv ana mwezi wa 7 yumo ndani na kesi yke hukmu imetoka juzi atafungwa miezi 8 na kesi yakuishi nje tu sasa ao Wazanzibar unao wataja niwepi acha ubaguzi kenge ww nyoo yaani nimekuchukia bure mbwa ww
@ashaabdalla924 mm hushangaaa wazanzibar wapo mbona jela kwakua hatusemi O waubalozi wengi wabongo kwann watupndelee ss Wazanzibar mbona ss hatubagui na pngine ndo washamjumuisha mama samia ndo anaeto tamko kua Zanziba watolewe haraka akili ndogo sana huyu dada
@@Osm90-m3j sasa unajua km hiyo 80 ukichenj unapata milioni moja na nusu ya tz ?! Tanzania mfanyakazi gani wa ndani anapata pesa hiyo?! Wangetulia kwenye kazi wangefaidika na mengi mbona wako watz ambao mpaka makwao wamejenga na wanasaidia familia zao wanashukuru
@@fatmaabdallah7709 We naona umetoka kulewa ndo ukaja kuandika 80 ya nyoko wanaopata milion Moja usinitubuwe katanuwe miguu huko bwanawako akuweke ili akili zirudi sawa wangepata hiyo milion wangellamika na mshahara elekezi 120 iweje iwe 80 kama hawataki kuchukuwa wafanyakazi watulize vinyeo😏😏😏
@@Osm90-m3j bwanangu ananifanya vizuri ndo kwa maana nina akili sasa tatizo litakuwa kwako bwanako anayefanya huko nyuma anakukodoza sana mpaka akili zinakuruka. Sasa sawa hata km ni laki 5 mfanyakazi gani hapo tz anapata mshahara huo? Sana sana mshahara mkubwa ni laki 1 na wanashindishwa na njaa mabosi zao wakienda makazini! Nyinyi wachache ndo mnawatia ujinga wengi wakajiona km malaika kwa mabosi zao wakati bosi wako unatakiwa kumuheshimu ndo nidhamu ya kazi inasema!
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Naomba niungwe
Naomba kuungwa kwenye goup
𝚗𝚊𝚘𝚖𝚋𝚊 𝚔𝚞𝚞𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚒𝚕𝚊 𝚗𝚒𝚙𝚘 𝚘𝚖𝚊𝚗𝚒
Naomba niunge kwenye group
Naomba niunge
Kweli kabisa sio wote wabaya wengine tunashukuru tunaishi vizuri tu tunashukuru
Tuunganishe basi
Subhana Allah pole sana Dada kwa yaliotokea kwa upande wangu Alhamdulillah Namuomba Allah wasibadilike maboss wangu kwa kweli ni watu wema Alhamdulillah japo Kiu binadamu hawakosi kusema ila ni watu wema Alhamdulillah
Alhamdulillah napelekwa hospital na huduma napata zote kulingana na ugomvi sio wote wabaya madam wangu hajawai nifokea nikiunguza nguo anasema hakuna tatizo namshukuru Mungu sana
Umebahaditika
Mashaallah tabarak Allah heri ww
hata mie jamani namshukuru mungu mwaka watano hu hata kujibishana wala kupishana kauli mungu awabariki mabos wangu.
Mshukuru mungu
MashaAllah mshukur sana Allah.
Me pia Alhamndulillah kwa sasa nimepata boss mzur ananipenda kama mtt wake.
Ila boss wa mwanzo, ukiumwa hospital wanakupelek kwa pes zako, baadh ya vitu unajinunulia mwenyew😒 but Alhamndulillah Allah alinipa subra nikaish nawo kwa mda wa 6 years.
Mm niliomba sanaaa mungu nisije pata mwaraabu wa kiswahili alhamdullah nimepata waarabu wa hukuhuku kiukweli naishi vizuli
Bora tulia umalize mambo yako hapo ❤❤❤
Usiende pengine tulia hapohapo ndugu tumalize shida zetu
@@NeemaJanganikweli kabisa mm mwenyewe sibanduki mpaka nimeloze mambo yangu
Tuunganishe basi@@NeemaJanga
@@RakaPktuunganishe basi
Namshukuru mungu nipo na boss vizuri nakula nanunuliwa nguo napelekwa hospitali nikiumwa namshukuru mungu pia mshahara mzuri nikimaliza kazi nalala alhamdulllh 😊😊
Alhamdulillah namshukuru Mwenyezi Mungu naishi km nipo nyumbani kwangu haya madhira sijawai Pata Asante Mungu 🤲🤲🤲
Tumshukuru Mungu kweli ata mm nitakuwa mnyimifu wa fadhila
Kwakweli hata mm nina mshukuru mungu Alhamdulillah 🙏
Inaonyesha wewe mkorofi hukuweza kustahamili
Tuunganishe basi
Ata mm jaman allhamdullah naishi vzr tu tena jion nasaidiwa kupika kila siku allhamdullah Allah wangu
Asante mtangazaji asanteee kweli hawa wanaimboa wanakwenda Mabella wana kodi nyumba waschana wengi usiu wanajiuzaaaa 😢😢😢😢😢
Kweli kabisa
Nyie mashaghala kuna maelezo mengine msisimulie kwakujumuisha watu wote...binafsi alhamdulilah sitokuja kumuongelea boss wangu vibaya abadani.. kwasabu khery ni nyingi mno kuliko madhaifu yao🎉🎉 Allah awalipe khery nyingi duniani na akhera kwajinsi tunavyoishi kwa kusubiriana 🤲.... kwasabu ata mimi pia nina madhaifu yangu pia... mkamilifu ni Allah pekee 💯 nitafanya nikimaliza inshaallah alhamdulilah 🙏
Uyajakukutaaa dada😢😢😢
Wew kam una heri Acha wenzako waseme changamoto zao
Kabsa hata mim sito wahi kuongelea hayo ya mshahar kwa sababu mie nilikuja 2016 nilikuja na 70 nilikaa miez 5 nikaongezwa 80 lakin sai nalipo 130 kwa lweli alhamdulillah tunajenga na tumejenga
@@NajmaRajabu-y8b sio wot hat mm hap ninamiak 5 tena mwak wa tano nimetimiza mwez huu tarehe 13 makwazano ya kawaid yap nikiumwa napelekwa hospital kwa bima niliotengenezaw sijawai kukatwa hat mia ya matibabu nishafany Ex -Ray ya goti nishafanya nishafanya Ex -Ray ya kidole nishafanya Ex-Ray ya meno nishaziba meno 6 ninaclenik ya macho na homa zingine kila kitu juu yao nishafanya Ex-ya kichwa sijawai kutoa mia yangu na kila karib ya sikukuu ananipa hela boss wangu niwape wazee wangu sadak nguo juu yao kila kitu ukion nimenunua kit nimeamua mm mwenyew 2 na nanunuag lotion 2 nazopenda mm mwenyew ndo natoa hela yangu wapo wabay na wazur my niliwai fany kazi Oman niliapa sitorud nchi ya kiarab nilipat mates ila nilivumilia dakik za mwisho tulishikan mkononi nusu nimzibue makof yule mam alienda kwao kuongea uongo familia yake yot ikanichukia ila yot kwa yot sijajali nilikuwa naangalia malipo yangu 2 mengine watajua wenyew nilivomaliz mkatab nikarud sasaiv nip uku miaka 5 sio km makwaruzano haman yapo ila sio yale san kunamda unavumilia vinavovumilika nasema Alhmdulillah
Umeonaee wanaona sifa
Jamani mungu atusitiri na hawa viumbe
Allha asinijaaliye na hawa viumbe
Jamani mahala panapo kupatia riziki
Ukisema ubakishe
Kuna siku mtapatamani
Lkn kwa kuomba no one mashallhaa
Waoman ni watu wakarimu sana,tena nchi za kiarab oman ndo mwamba wao kwa ukarimu,baati mbaya zipo kama hivyo msiongeze na maneno kwa sababu wapo wanaishi vizuri sana
Hamna kitu mwaarabu ni mbwa tu
@@Kabwela776we mbwa mweusi
Sio wote wanaishi vizur wengine wamebahatika ja wengine wanapata shida
Mm pia nami7 naishi vzur tu siowotewabaya@@hemedkassim
Kabisa oman wanaongozwa Kwa ukarimu
Asilimia nyingi wakishatoroa kazi umalaya wanatutiaibu sisi ambao tunajieshim tunaishi na ma boss zetu vizuri Alihamdulilah
@@HalimaKassim-yz3we mwarabu Hana jema kwa Ngozi nyeusi kwake wewe ni mtumwa wake hata umfanyie nini anaweza kukubadilikia muda wowote Na hata kukuuwa juzi kuna dada mmoja amesukumwa kwenye kisima kafa huko Oman 🇴🇲 Na wengi wanateswa
Huna lolote mbwa Wewe
@KhadijaSalim-b8q mbwa 2 ni ww haoo mna hasira nawaombea woote mnadanga kwa watu mukqmatwe washenzi watabia nyie
@KhadijaSalim-b8q unajisahaulisha hamkumbuki mulikamatiwa wapi wamalaya nyie mnawashwa hamsem na nyege zenu kwendeniukoo nyoooo
@@HalimaKassim-yz3wezamu yako inakuja siwatu warabu niuluze Mimi
Mmmm Punguzeniii,Leo umeona mnarudishwa kwenu [MNAKAMATWA] ndio kurudi..WAONGOOO haisaidii kumjua..huko nje ungepata boss,ungebadili tu..
Mtihani wallah mungu atupe subra team 💪
Aamiin
Basi tena hatutaki watanzania kuja kufanya kazi kwetu 0man Alhamdulillah tunao wahindi wala hana maneno neno wana uongo uongo kama nyinyi
@@salamalsawaqi1206 🤣🤣🤣kwenu wapi wenye nchi wala hawajui kiswahili
Hakuna mitahani ukiwaona hawa niwahuni unasikia alikuwa injeeee diku zoote hizoooo
Hakunaga mwarabu anaongea kiswahili wewe shagara tu unajiita muoman 😂😂@@salamalsawaqi1206
Kote kuna wabaya na wazuri hata Tanzania wapo kila siku watu wanauwawa
Kabisa ila Omani niugenn
Waarabu ni mbwa Ngozi nyeusi kwako ni mtumwa
@@Kabwela776mbwa ww mweusi kama mkaa kwani walitumwa waje hao weusi wenzako basi waajiri ww nyoko zako
@@Kabwela776Kabisaa hawathamini watu kabisa hao unafq na ukafir basi
@@Rehemaa-uz8rj Ni kweli na mazingira yao ni magumu sana sana yaani mmh mtihani unafiq na ukafir basi
Kwakweli umeongea ukweli kipenzi hata kama wabaya wapo sehemu zote lkn kunazidiana subhanallah naishi vzr lkn nikiumwa panadol nakazizinaendelea yotekwayote allah nimjuzi wayote isha allah 🤲🤲🤲
Ngoja nikusanye hizi habari hizi zote nikaonane na mkubwa wa magreshen nimfahamishe hizi habari money kama hawakufungiwa kuingia Oman tena
MZURURAJI WEWE,HAMNA EHSAN
Tamaa mbaya ndio ina wasumbua
Hadithi za wafanyakazi zimekuwa nyingi sana na tunapata taarifa upende mmoja tu.fanyeni kazi huku bongo kwenu.
Uyu dada ameongea true kabisa
😭😭Allah ndy anatulinda lkn tunayo yaptia kama wazazi wetu wanaona bas wanaanguka presha😢
Mimi nashangaa sana watu wakishudwa kazi kutwa kuongea sasa kuna kazi iliyokosa changamoto yani wao maneno kutwa oman jaman ata uko tz kuna watu wana rombaya sana na mishalaa ailipwi
Ubadilishwe na ulivyo DuBa hivo hata huyo mwarabu alikustir
Yaaañi kwa kweli mimi tangu nimeingia kwenye hii nyumba sijawahi kutoka zaidi ya kwenda kutupa takataka basi sina ijaza sina mapumziko ni kazi kazi kwa kweli maisha ya gulf nikuomba Mungu
😢pole 🫂
Duh kumbe tupo wengi
Kweli kabisa hapo kwenye hospital hakuna kabisaaa na kukipelekwa hospital utasimangwa hasaaa nimwendo wa panadoli tuu😂
@@IreneJohn-p2g simlipe wenyewe hela ya hospitali si mnafanya kazi mIsha hala mlipwe na hospitali mlipwe kama mshahara mdogo si mrudi makweni mkalipwe MSHAHARA MINONO
Ww muarabu koko ww @@salamalsawaqi1206
Ndio wa burundi kwenye kusafiri hatupati shida kabisa kwa Hilo tuna mshukuru mungu
WASWAS UTOKE WAPI UNAE BWANA
😂😂hapo kuna uwongo wa kupigws kisu akatoroka dada ungelikuwa umeenda police kwa kosa la kupigwa na kitu chochote kila ukweli ulie mshitaki hatatoka police bila dhamana au ww kukubali atoke
Sasa uliombewa kurudi ya nini na wewe unasema kibarua ilikuwa inakulipa vizuri kuliko mkataba?!
Sasa da zari huyu Dada alifugwa Oman sijui miezi mingapi unategemea ataongea ukweli ni lazima atawachafua waoman. Natamani Sana wanao leta Hawa watu waje na wao waongee na wish ingekuwa wanakijua na kiswahili wakafaham wanavyotukana nadhani hakuna mtu angeharibu kuwaleta. Ni bora kupaza sauti wafungiwe tu wao wapunzike na waoman wapunzike.
Anaonekana haswa kama mkorofi huyu mdada oman kweli kuna waarab wakorofi lakini huyu ni mkorofi yeye muongo danga hili bwana muwache kuwasakama watu bure.umalaya tu hamna lolote😊
Waongo hawa wanatoroka wanaenda kujiuza umalaya tu na parent kubwa wana toroka kwa ajili ya kufaya pat time na kufanya umalaya na embassy hawawezi kumjibu utajuana na boss wako
Inaskitisha malaya kuwalelea watoto wasafi watukufu.,😂😂
@Afrikalove736 na ndio sababu hakuweza kulea watoto kazoea kulea mapumbu 😅
@@umranim5854 waarabu hawawezi kulea watoto ndio maana wanawajiri hao mnao sema wamalaya wewe vipi hujaelewa.😂
@@umranim5854 Wanazaa mitoto mingi kwenye upande wa malezi wanaitaji msaindizi ,siwazae wanao wanao waweza kuwalea uvivu tu.
Pole sna kwa mitihani
Huyu asirudishwe tena Omani
Pole mama juma kama umerudi oman njoo moro utusalimiee
😂 ACHA tamaa
😂 ACHA tamaa
😂 ACHA tamaa
😂 ACHA tamaa
Najma mwenyewe anaonekana Mbishi sio kinyonge
Its sad to hear this,as a Kenyan global fan its time for the government of Tanzania to do something,the citizens outside are suffering
Dd.hapo.sio.kweli.km.wazazibar.wanasaminiwa.wabara.hawasaminiwiwi.sio.kweli.bwana
Wazanzibar wengi wameowana na wa Oman ndugu yangu
Huyu kwanza mdomo ndo unaomponza kwanza ndo alokuwa anamtukana mama Samia kisha katoroka ili akafanye umalaya tu
Unauhakika mpenzj
Muongo huyu 202.mshahara mia naishiri.sio kweli ninamiaka 10 oman.
Mungo alikaaa mwezi 6 ukooo alipelejwa jella kubwa uyooo muo go 😢😢😢😢
Jamani basi wa Tanzania kuingia Oman, malalamiko yamezidi Tena dohh😮😮
Uroho mbay tu unakusubuwa wazanzibar ndio mumewaweka kooni lazima mutawatajaa tu kwachuki zeni😏
Dada umeupiga mwingi hapo kwenye kubadilisha uraia safiii sana
Haya tunasikiliza hapa ili tujuwe ilikuwaje jamaniii 😢😢kuna watu huku wanateseka sana 😢😢halafu miee mkataba wangu ulipotea jamaniii 😢😢
Bosi wako simzur kwan
Msiende kabisa oman nawashangaa mnasema mnateswa halafu kila leo mnaenda
Watanzania wajuaji na jeuri ndio maNa hamkai kazini mbona wenzenu wa mataifa mengine wanadumu kazini
Ikiwa uligombana na boss wake kwanini hukurudi kwenu mwaka 3 unafanya nini huko
Sasa huyu atasema kaonewa kufungwa 😮😊???
Mikorogo wote imewaharibu jamani!! Punguzeni!!
Nimekapu tu haja jichubua
Wanataka kufanana na warabu 😂😂😂😂
Mkorogo huo 😅
KWA KUWA UNATAKA UHURU KAMA UPO TANZANIA..HII NI USALAMA WENU NA WENYEWE..NA SIO KUZINI MITAANI.KUULIWA.UWONGO HUO POLISI HAKUWACHI HIVYOO UNAJUA ULIFANYALO...
Minina mwaka 3 bos mswaili ataki kuniongeza pesa naamna siku yamapumziko naata sikukuu nijinunulie mwenyewe nguo ukimwambia mshaara ana kwambia mimi mwenyewe sijaongezwa kazini kwangu😢😢
Mkataba miaka miwili kwa nn ukae mitatu kuna ulazima gani MTU kma huyo ukimaliza mkataba unaondoka unarudi nyumba nyingine
Aswaaa @@Ayuminchasi
@@Fatima-i7h3w wadada wengine wengi hawajielewi kuna wengine wanalipwa Rial 80 na anaongeza mkataba kwa pesa hiyo hiyo kwani ndugu zetu hawa watu wenyewe kutuita majina ya wanyama malize angalie sehem nyingine unakomaa hapo na unalalamika dah sijui kichwa kukoje
Vumilia sio lazima ijaza Fanya kazi kikubwa uishi kwa Amani
@DanielaFrancis-m6e kupumzika ni lazima kwa sababu ni binadam sio mashine wala bunda ila waarabu wana matatizo ya akili afya ya akili
Ila da zari unatamani sana kusikia mabaya ya omani kuriko mazuri pia wafanya kazi wengine wanaingia tamaa ya kupata pesa haraka ndio maana wanaishi magetoni ila wema wapo sana tena wengi majent wanaharibu sana wengine boss unakuta muelewa ila ajent anapanda dau ili usitoke pale
Ufungwa wa nn umalaya tu
Kwani watanganyika munaenda kufanya nini oman wakati muna nchi yenu na ni Tajiri na hakuna mtanganyika anayelala na njaa ni neema tupu dhahabu, Tanzanite na madini yote munayo sasa munaenda Oman 🇴🇲 kufanya nini?
Pole sana
Si angevumilia huo mshahara wa Rials 90,baada ya hapo Allah atamfungulia. Sababu wanasema, mvumilivu hula mbivu. Basi ni hayo tu.
Rials 90 ni sawa na sh ngapi ya Tanzania?
laki 6 na 80 @@fettyrashid9042
Kweli kabisa kazi za barabarani unaheshika sn na Kweli wa Burundi hawakawii hatuna embasi wiki2tu unaonfoka
Mbona asimulii alivyokuwa anajiuza yani simpendi hy dada
We ndo ulkua unamnunua
Kwahiy mwajuana eee mana mchai kujua muchawi mwenzio ulijua aj Kam alijiuz Kam ww hamukutan mahal 😂😂😂😂
anaonesha mjuwaji sasa umetoroka kwann usirudi kwenu ukae miaka 4 nchi ya watu na viza ya wqtu si ndio ujuwaje uwo
Sio ujuwaji ww ungerudi na nini bila ticket we vp hayaja kufika ndo mana
Huyu dada kaongea kweli bila hata chembe ya unafki mwenyezi mungu atutangulie wote tulio jitolea kuishi mbali na familia zetu
Dd asikudanganye huyo eti walimkamata wakamwacha Nani kasema akamatwe hapa Oman halafu wamwache
NAOMBA KUULIZA SAMAHAN LAKIN KWANINI WAFANYA KAZI WA OMAN MNAPENDA SANA KUTUMIA MIKOROGO SIO WOTE LAKIN ASILIMIA MIA KWANIN JAMAN MBADILIKE JAMAN DADA POLE HILA KUWENI MAKINI SANA BORA UBADILI NYUMBA MARA MIA KUSHINDA KUTOROKA KIKUBWA TUNASHUKUR UMERUDI
Hasa hawa magent wa Oman mtihani mno sana😢😢
Ila mengine tukanea tu sio lazima maisha ya ije sio mazuri
Mwambie aseme ukweli Kila ijumaa Al hamis yupo club Na viguo vya ajabu uyooo aseme ukweli
Acha kuwatetea mbwa hao waarabu
Kumbe mlikuwa mnadanga wote jamani 😂😂
Sura tu anaonekana shangingi.
Hodar ww kw kucoment😅😅
kabisa dada walabu sio nikijaliwa kuludi salama siwezi ludi Tena naona siku haziendi wazuli wa sula loho mbaya,
Kata mkataba urudi usigeuke ngombe mchana unakunya usiku unalala
Ata Mimi dada
Dada mshahara sio mshaala kiswahili fasaha tuikumbuke herufi R
Nenda sasa mbona sasa upo Tanzania siungenda kenya mjinga ww
Ukweli mtupu mm nipo uku ninachangamoto kibao inshallah nikiludi kwetu natulia bora Wali dagaa kwenye Aman
Duh pole sana Mamy Rais wa Tanzania chukua hatua kuhusu watu wako waliopo uarabuni angalia watu wa filipino wanaishi wa kwa raha sana sheria ya filipino ni kali mpala raha.
Kilasiku mapya jmn pumzikeni hapa kwetu rizk zipo mbona
😅😂😂Anafurahisha kweli yaan umefika tu Oman unataka 120 😂😂😂😅Hhhh unafyrahisha kweli
Ndo mkataba wake alioingia nao
Hivi huu ubalozi wa Tanzania unafaida gani kuwepo nchi zingine kama hawasaidi watu wenu ,ugenini,
24 hours siyo 3 months wakikushika hawakuashi yoote yawongo
Day work hakukugharamia chochote just umemtia gharama kubwa sana na umemsumbua sana just haki yake utailipa kwa mungu
Hawa madam hujifanya wababe wakati nguvu za kupiga hawana😂
Chado umenipunga kweli bint Hussein akuwa sadam Hussein 😂😂😂😂
Mbona muna sema wa Islam wana roho nzuri Ila waliyo anzazisha dini yawo kama wa rabu wenyewe wanaroho mbaya sana sijawayi ona 😢
Muongo uyoooooo saaaaana 😢😢😢😢
Hya njoo wew useme ukweli!
Ap ss 😂😂😂😂 ndo tunasubir ukwel wake@@NemaAli-zh6hr
Pole
Dada huyu ni mpambanaji hata bongo anaweza kujituma atatoboa.
Pole kwa misukosuko na mshukuru Mungu hujadhurika kabisa mwaya
Zai bana amesha kujibu alisha kwenda ubalozini akajibiwa atajua mwenyewe bado unamwambia BALOZI haiwezi saidiya mtu alivunjaa sheria😮 wapi kavunja sheria? wakati alikwenda akajibiwa atajua mwenyewe na madamu wake! how come arudi tena kwa sehemu waliyomjibu vile? Niliwahi sema Balozi hawana msadaa kwa wana nchi wao mpka habari iende viral yani iwe yakushangaza(mtu Kesha uliwa😢) or Kik ndiyo ubalozi wata jup in ili waonekane wamesaidia big up kwa huyu dada bila kuogopa umesimamia ukweli wako hujawa muoga km Zai kutwa kuwapamba hao balozi. ukiwa unafanya kazi ya jamii you need to be strong and don't take side kwa kuogopa serekali.
Ubaloz ulud tu kwao uliko toka hakuna chamaana
Mungu atusimamie hawa watu weupe mungu anawaona😢😢😢Mimi nakatwa mshahara toka mwezi wa tisa nakatwa liyari 20 ila simsamehe Mpaka kiama😢
Kabisa Tzania hamna kitu Tazama alikufa mwamvua ,,hata kwenda kuonja hilo shimo hakuna alie enda mara amekufa Kwa pressure lakin Hadi sasa kmywa hamna kitu Tzania ,kikubwa kimuomba mungu atusimamie
Mama samia usimsikilize huyo alikuchafua ulipokuja pumbavu zake akwende huko rais anamjua leo hii akalime vimongo huko
Kukemboi ni changamoto me naona kama yamekushinda urudi tu nyumbani
Kwa kweli
@@SakinaSakinat-qd9rshivi Huku Oman unaruhusiwa kupanga chumba?? 😅😅😅 Maana anasema alikuwa kapanga anafanya kazi za nje mmmmmmh mimi muoga wallah hapana 😅
Kweli kabisa hospital panadol
Ubalozi wa Tz Oman hawatoi ushirikiano haswa kwa wafanyakazi wa ndani
wabongo eti panadoli ninisasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦
Hapo umesema ukweli warabu waswahili na washashi
Yan mwarab muswahil mm siex kua mutumish wak Yan wanavituk bisio isha
Ubarozi wa Kitanzania mtihani kweli kweli lkn za West Africa km za Kiamerica hawataki mwananchi wake ateswe
Jamani mumufatiyeni kwanza anavio zungumza 😢😢😢😢
Kiukweli ubalozi watanzania nishida sana nchiyetu nimajanga
Ibri sio ibra mbali sana vijijin ndani pole sana ndugu
Zote Zipo Ibri na ibra
duuu huyu dada ana kamdomo ile mbayaaa
Asilimia kubwa huko Oman wanaroho mbaya Sana mana Kila siku wao tu jmn mm ntakufa na umaskin wangu huku hukuTz mana naweza piga mtu wakanitupa gorofani mana wanaroho mbaya Sana hao watu
Ww mbwa koma tena ukome malaya ww ww Acha ubaguzi kutaja Wazazibar Mm ndugu yngu mzazibar saiv ana mwezi wa 7 yumo ndani na kesi yke hukmu imetoka juzi atafungwa miezi 8 na kesi yakuishi nje tu sasa ao Wazanzibar unao wataja niwepi acha ubaguzi kenge ww nyoo yaani nimekuchukia bure mbwa ww
Uwe mstarabu habibty matusi ya nini subhana llaha Allah atuongoze sote
Kuna mdada mzanzibar alienda uko kilichomkuta😢
Wabongo ndio kazi yao kutaja wazanzibar mbwa hao wa kibogo sijui wana chuki gani na choyo na wazanzibar washenzi washenzi tu
@ashaabdalla924 mm hushangaaa wazanzibar wapo mbona jela kwakua hatusemi O waubalozi wengi wabongo kwann watupndelee ss Wazanzibar mbona ss hatubagui na pngine ndo washamjumuisha mama samia ndo anaeto tamko kua Zanziba watolewe haraka akili ndogo sana huyu dada
@@mohmadalmahrizi3717 hebu nenda uko yy mstarabu aache ukabila kabisa kma kusota nisite tunasota au na ww ndo yule yule ukabila muaache mbona kutwa mnakwenda zanzibar mahotelin mmejaa mbona hatubagui nyamaza kimya na ww
Si mnasemsemaga ukiwa na mkataba hupati usumbufu 😢😢jmn mungu atujalie huku na sasa karudi bongo bila passport 😢😢
Nikwambie tatizo linaanzia Kwa maajent wao ndio wanawaambia mabosi nipe rial 1000 utakuja kumlipa 80 huu mkataba hawausikikilizi
@@Osm90-m3j sasa unajua km hiyo 80 ukichenj unapata milioni moja na nusu ya tz ?! Tanzania mfanyakazi gani wa ndani anapata pesa hiyo?! Wangetulia kwenye kazi wangefaidika na mengi mbona wako watz ambao mpaka makwao wamejenga na wanasaidia familia zao wanashukuru
@@fatmaabdallah7709 We naona umetoka kulewa ndo ukaja kuandika 80 ya nyoko wanaopata milion Moja usinitubuwe katanuwe miguu huko bwanawako akuweke ili akili zirudi sawa wangepata hiyo milion wangellamika na mshahara elekezi 120 iweje iwe 80 kama hawataki kuchukuwa wafanyakazi watulize vinyeo😏😏😏
@@Osm90-m3j bwanangu ananifanya vizuri ndo kwa maana nina akili sasa tatizo litakuwa kwako bwanako anayefanya huko nyuma anakukodoza sana mpaka akili zinakuruka. Sasa sawa hata km ni laki 5 mfanyakazi gani hapo tz anapata mshahara huo? Sana sana mshahara mkubwa ni laki 1 na wanashindishwa na njaa mabosi zao wakienda makazini! Nyinyi wachache ndo mnawatia ujinga wengi wakajiona km malaika kwa mabosi zao wakati bosi wako unatakiwa kumuheshimu ndo nidhamu ya kazi inasema!
@fatmaabdallah7709 Mi namfanya baba yako na mama yako angekuwa anakufanya vizuri usingekuwa na kiherehere nenda kapakuliwe huko