Wanawake msiwe na Tabia ya kuwaambia watoto wenu maneno mabaya juu ya wazazi wenzenu jamani mlipendana inakuwaje muwe waadui jamn mm nawapenda wanaume wanajitambua hata kama uondoke lakini hawasemi baya mungu awabariki wanaume wote
Mama Loveness ndio wakulaumiwa, damu nzito kuliko maji, Abel alijua wazi Loveness ni mwanawe alikua anajaribu kumtafuta Loveness amwambie ukweli lakini mamake ndio alikua hataki iwe ivo, ona walichofanya watoto sasa, funzo kwa wengi tambulisheni watoto wazazi wao ata kama mliachana kuna leo na kesho😢
ila nyie bana hio kingereza mnaonafika hamuezi bt you're continue to force issues, ati what else dadie, yani mnatumia kauli za kingereza kwenye haideserve hamuoni kama mnajidhalilisha. anyway mnafanya vizuri sana may God will rise your talent guys
Na me naombeni likes ❤❤hat kumi japokuwa nmekua wa mwisho😂😂
Mambo zenu watanzania wenzangu nawapenda wote ndg yenu kutok kenya 🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿naipenda nchi yng tz like kumi tyuuu sikujua kua nitam🤣🤣🤣🤣💋💋💋💋💋
Mafunzo mazuri sana,kila mzazi angalie hii movie tusije kulaumiana badae, congratulations guys nawapenda sana 🇰🇪
Wee joice ndo wakusema hayo?
@@AbdullaAzizAbdulla Ina kitu ndani hii movie
Watano jamani mnipe like zenu na comment zenu basi hata kama ni tano
Mwenye atanipa like nampeleka police😂😂😂
Nagojea unipeleke police😂😂
Twende basi
Anza na mimi
Hamkomi hhhh
😂😂😂😂😂😂
Eti dada mke wangu😂 ! Kama umependa iyo line basi like apa
Wakwanza naombeni lek zangu
Wapo doctor kunambi jamni ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wanawake msiwe na Tabia ya kuwaambia watoto wenu maneno mabaya juu ya wazazi wenzenu jamani mlipendana inakuwaje muwe waadui jamn mm nawapenda wanaume wanajitambua hata kama uondoke lakini hawasemi baya mungu awabariki wanaume wote
😢😢😢
😂😂😂😂😂 jamani naomba likes zenu.
🎉🎉🎉🎉🎉😭😭😭😭😭😭
Wa pili😂😂😂 like 👍 tu
Mtoto ni wa kwangu
Wawowawo tenahi ninzuri sana tena inawuzunisha pongezi wakyezaje 'nikibawo
Mama Loveness ndio wakulaumiwa, damu nzito kuliko maji, Abel alijua wazi Loveness ni mwanawe alikua anajaribu kumtafuta Loveness amwambie ukweli lakini mamake ndio alikua hataki iwe ivo, ona walichofanya watoto sasa, funzo kwa wengi tambulisheni watoto wazazi wao ata kama mliachana kuna leo na kesho😢
Ila love usewe uki igiza kufa mimi naumia ya ukweli nawapenda 🇰🇪
Upuhuzi uwo mnahanza kwanini muweke picha Kelvin msirudiag ivo tena upuhuzi uwo
Hii movie ina mafunzo mazuri sana kazi nzuri jamani ❤❤❤
Mama ambia mtoto babaake ni yule mwenye anamuzia dukani acha kuzima data😂
😂😂😂eti
😂😂😂😂😂😂😂
Naombeni like angalau moja
Watatu mimi nipeni lak zangu jaman😅😅😅😅😅😅
Ukiwa na mtoto awe msichana au mvulana ni heri wajue wazazi wote wawili maana kuna jambo laweza tokea mkose la kufanya
Kbs Evaline
Asanten kazi nzuri 🎉 ila tunataka siku Moja kabla ya ndoa yangu jmn😢
Kabisaa❤
True
Staki malke senyu mbona niombe kipindi kiko tamu mafunzo kali weee nawapendda
Kwani hizo like mnapeleka wap😏😏.. zinauzwaa😒
Mm wa mwisho jaman lakn mtu asiguse comment yangu😅😅😅
Kwann
Badala ya kutoa comment, mnaomba likes za nini
𝑵𝒂 𝒘𝒂𝒔𝒉𝒂𝒏𝒈𝒂𝒂 𝒆𝒕𝒊 𝒍𝒊𝒌𝒆 𝒛𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊😮
Watono jamani hongerani donta plus nice work 🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri
Bigger up kelvin ❤❤💪💪
Wakwanza kutoka Kenya wakuu likes zangu
Kenya wapi tujuane
😊@@user-pt6nl5vt2g
Eeeeeee
🤣🤣🤣🤣Sasa doctor kunambi unavyokimbia kimbia hivii huoni kama unawatisha watu jamaniiiii
Filamu nzur sana ❤❤❤loveness wacha wee mama kijacho.
MashaaAllah MashaaAllah 🎉🎉🎉wallah hii movie iko poa sana ❤❤❤❤
Oy like zenu njombe Tanzanian nimewahi Leo wanao ipenda Kama mm like
Nely is soooo handsome ❤
Mbn mnachelewesha siku moja kabla ya ndoa yangu jmn duuu
Hivi mnaombanga like za nn
Ww ujaomba lkn una kumi tayari
Like zinamaana yak 1umeelew nin. 2 katik maixh umeelew nin nk
Zakula super😂
Naombeni like hata mbili nimekuwa wa 19
Loveness ww n mzuri Sana hata japo kua lkn ww n kiboko
Kelvin nimekuwa ninawakumbumba kbs ❤❤🇧🇮🇧🇮🥰
What do you talk daddy? Nelly! Msomi kizungu hujui 😅😅😅
Woiii movie tam sana aki nawapenda bure donta tv
This is very painful 😭😭😭😭, but has a big lesson to learn, anyway thanks alot ❤❤❤❤❤
Malizeni ndoa yangu jamani nawapenda bule mungu awatunze ❤❤❤❤
😂😂😂Love vitu vichachu vichachu vinaongeza uchachu kweny kichwaa😅😅
Mbna kama baba na mtoto wanatakana sio kwa mapoz ayo baba na mtoto 😂😂
Katika baba love na mama love nani wa kulaumiwa hapo kwa love ya mimba ya kaka yake
Wanja wa mama unaniua😂 mimba sio nyingi ya mwez mmoja😂
Camera ipo vzr sana
Mmmh kazee kamerud tena
Wa mwisho hapa na sitaki like zenu
Mmmmmmhhh makubwa leo nely wakutoa hela
Like za daktari kunambi hata kama nimechelewa
ila nyie bana hio kingereza mnaonafika hamuezi bt you're continue to force issues, ati what else dadie, yani mnatumia kauli za kingereza kwenye haideserve hamuoni kama mnajidhalilisha. anyway mnafanya vizuri sana may God will rise your talent guys
Eeeeh😂 kunambi udaktari tenaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aisee bora angepewa mzee abel....sio kunambi asee😂😂😂😂
Kivyangu mm mwenye makisa niuyo mm angemwambiya lavenesi mapema yasinge tokea ayoyote nauyo bb nimakosa kuwa munakata mimba siovizuri onasasa matokeyo yake😢
Lavesse nakupenda Sana. Iyi movie inanifundisha mengi sana❤
Kweli movie inafundisha sana.
kazi nzuri
Hatariiiiii ❤ love kutoka tanzania
Today I only laugh 😂 😂
Asanteni kwa mafunzo nawapenda nyote 🎉🎉🎉❤❤❤
Jamani kunambi umesomeya wp udokta 😅
Very nice movie thanks
Me mwisho jamani lakini napita tuu,,,
😂😂😂hee eti unaanza kuokota ma gauni hayo kuna kuficha tena😂😂
Kwaio kweny hii movie Love ndo mkubwa kwa Nelly 😂 ay sjaelewa
Love nes hakika ni mrembo umeplay vizuri love nes uhusika😢😢😢😢
Mafunzo mazuri wamama tujulize watoto wetu baba zao ata ukiwa mmekosana tuaiambie watoto ati baba alikufa
Wakwanza kutoka moz🇲🇿
Love nakupend a jamani❤❤❤❤❤
Kumekuchaa 😂😂♥️♥️
Kenya Watching, twapenda
😂😂Baba G umepigaje apo
Jamani nimependa movie zenu keviiii na tinaaaa daaaah
Unyama sana ndonta
Ni vizuri
Kunambi mbona wewe mkali namna hiyo?😂😂😂
Nafas yke angecheza Kelvin ingekuw poa san
Hila love kwa kudeka number one😂😂😂
Wakwanza kutoka Zambia wakuu likes zangu
Mwendelezo wa siku moja kabla ya Ndoa vp
ety hawatuletei episode ya 12
mafunzo mazuriii kwa kila mzazi❤️❤️❤️
Kama kama una akili utaamini wanawake bado ni tatizo kama huyu mama
Wa 36 leo naomba likes 🎉
Kwenye hili igizo kuna mambo tumepigwa, tunazingua na kuingiza siasa mpaka kwenye maigizo! Yote kwa yote, igizo lina ujumbe mzito.
Mwamba eeee nafatilia sn mv zn ila mnazngua kaz zinafanana
Kunambi umependezwaa na udaktar kweli ❤️❤️
Tena yupo lesi kweri kweri 😂😂
duuh kaz nzur san
😅😅😅 acsalimiane na wanawake
Jamani movie nzuri yenye mafunzo ni mejifunza kitu kikubwa
🎉movie mbona hamtoi kwa utaratibu??
Kunambi katokekezea kuwa docter
Love unadeka hadi raha
Filamu nzuri sana na ina masomo sana. Mimi ni mzazi na naipenda sana kwani mawaidha mazuri inanifunza
Ooh God Maskini Binti akamuacha Mama ake 🥹 Nimelia sana 😢😢
Kunambi anavopita res utadhanni ni doctor wa ukweli 😂😂😂
Love kazingua hauez mkolomea mama yako hata Kama iweje😢
Hii nimeielewa sana ila wanawake mtambue dam nzito kuliko maji
What a lesson? Wow!
Much love ❤❤