Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻
Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu
Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢
Wamama tulee watoto wetu tulio watafuta leba tumuombe MUNGU atupe Uzima angalau wajitegemee hata mama angekuwa na watoto wengi ila mtoto wa kambo lazima amubaguwe kwani moyo huwa hautaki ila anajitahidi sana kuulazimisha hiyo ni nature ya shetani kwa mama 😭😭😭wa pili
Eeee mwenyez mungu nakuomba uniweke niwalee watt wangu hadi wafikie umri wa kujitafutia 🙏🙏🙏🙏 😢😢😢😢 sisi binadam tumeumbwa kwa kutofautiana sanaa dah 😢😢😢
Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻
Sio wote wenye moyo kama wako wengine roho zao ndo kama hivi mwenyezi mungu akubariki sana kwa malezi mazuri❤️
Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu
Hata wewe ni marehemu mtaraiwa kumbuka kuomba mama yake afe
@@MOVIEMPYA Ameen yaraby
Aisee roho imeniuma huyu mtot mungu akubaliki wew mwenyw roh nzur❤
Daah uyu mtoto kaniliza
Pole 😢
Huyu mama shetani kbx mama wa kambo x mama jaman nawachukia sana
INAUMIZA sana
Hawa viumbe wanajiita mama w kambo nyoka sana
Amecheza kialisia wallah uyu mma roho mbaya Yani we acha tu
😭😭🙏
Ee Mwenyezi Mungu utujalie wa mama wote maisha marefu tuwalee watoto wetu 😭😭😭
Huyu mama mbona anareflect sura yake na tabia maana wenye sura mbaya usiombe akawa mama yako wa kambo 😂😂😂
Kabisa yan
😂😂😂😂
Mm😂😂 nakmbuka mbali sana Kwan ata mm nimeyapitia mhhh jaman tuwe na roho za huruma
Ni kweri na Mimi nirilelewa na mama. Wa mambo na akunitesa ❤
Uyu mama katili
😭
Kweli
Jaman we mam kua na uruma haujaenda reba hatakama ni moveee sio ivoooo😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭
🤣🤣🤣🤣walai wewe
True
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
ak umeniliza 😭😭😭😭
Kwa kweli ss wanawake tunajisahau kweli tujuwe yatatufika😢😢
Kabisa 😭🙏
Jamani wanatezwa mama wa kambo si mama
😭😭😭
Niacheni jamani nimeshindwa KUANGALIA Hadi mwisho
😭😭😭
Jamaniii daaaah dunianii kuna mateso kama Haya 😢😢😢😢😢
Namim pia ameniliz😢🇦🇪
Daah Yani huruma 😢 uyu mama jamani
Pole Sana mdogo wng umeniliza from 🇧🇮
😭 Ina huzinisha
woooiii mungu nipee nguvu ya kulea watoto wangu jameni
Jamani mama wa jambo muwalee vyema watoto wa wenzenu
Kabisa 😭
😢😢😢😢jmni ndio mna niliapa mwanangu ata nife stki alelewe n mke mwenza kher mamangu kma pia hyuko hri mpita njia 😢😢😢 mungu t
Walai mtoto wa mwenzio mchukulie kama mtoto wako. Juu mungu halali jameni
Siyo wote
😢 dah
Imeniumiza sana
Hahaaaaa huyu mama Nadhan hajazaa kbx tena mungu atamlipa matexo ya huyo mtoto!!
Kuna wanawake wanaroho mbaya sana
Jaman mm pia mama wa kambo niko na watoto 3 wa mume wangu lkn siez8 fanya watoto hivi mungu aninusuru na ili wallah wangu nawapenda sana
Amin
Sio poa hvo Kwa sababu ni mbayw
Ndivyo walivyo mama wote wakambo mzuri n mumoja 2 lakn Mungu atamuxaidia
Waah uchungu wa mwana ajue ni mama 😭😭😭😭
Najikuta Nalia😢😢😢😢😢😢
Jikaze mtoto kaniliza Huyu 😭
Mtoto aendi shinda baba hajui
😭
Waa huyo mama shetani kweli kweli
Mtoto anakipaji kikubwa sana kiufupi wote walicheza vizuri sana
Shukrani sana 🙏
Ongera @@MOVIEMPYA
Waaa waenga hawakukosea kusema mama wakambo si mama...i feel the pain
inauma sana wa mama wahivo waache tabiya mbaya haya nimaisha
Pole sana yalinikuta hayo jitahid kupambana iposiku yatakwisha 😢😢
Hakuna mama wakambo mzuri hata siku moja mungu saindia watoto
Jaman 😢😢
😭
Huyu mama ni laana kabisa shetani
Kweli nimeishiwa cha kusema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ina huzinisha 😭
Inaumiza sana 😭😭😭
Ww sema tu
Yani mpaka machoz yanatoka kateseka sana huyu kijana
Jaman mtoto amenilza atal maan me mwenyew nmelelewa km huy mtoto dah ee mungu mxaidie huy kijan
😭😭😭😭
😭😭😭🔥
😭😭😭😭😭 kweli huyu mtoto anaipitia..... Mungu saitia watoto wote wanaolelewa na mama wa kambo
Jamani uyumtoto ana pitiamaishamagumu
Mungu tusaidie ambao mama xetu wametagulia mbele xa haki🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😭😭😭😭😭😭Aiseee aya mateso daah
😭😭
wanawake ni wauni sana hasa walio achika
Wamama kama hao watesi wawatoto hawastahili kusamehwa na mwenyezi Mungu kweli
Ntapambana na mwanang halelew na mama wa kambo
Jaman mama wa jambo wanaume muwe mnachunguza maisha ya watoto wenu jamaniiii
Nimelia sana Dah
Pole
mama shetani sana anahadamu anajifanya mwemaa
😢.😢😢😢 mama wa kambo simama mungu nilinde
Amina 🙏
Jaman mama wa kambo nawaogopa sana😢😢
Baraha
😭😭
Mmeua
Waa maskin kumbe kweli mama wa kambo si mama 😭😭😭😭😭
We mama mnafiki sana mung anakuona
Kaa namwanao vivuli muulize kwaupendo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢
😢😢😢😢😢
😢
Watu kama hawa siku ya mwisho hukumu yao ni kunyongwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
GOOD IDEA
Wewe mama una ujungu kweli na mtoto wa mwenzio
Usimfanyie ivo mtt was mwenzio uyui wakwako watalelewa na nani tuwapende watoto jaman inauma sanaa
Jaman waking mama achen mates kam Hay jaman kumbuken kunasik ya mwush na pia kuna kufa
Mungu nakuomba uwabariki yatima maan si Kwa mateso hayo
hero kuwa na mama l love you mam so mush💯❣️💝💯💚💟
Mama wa kambo sio mama kwakweli
Kuliko mama wa kambo bora ukakae na bibi kijijini
Mama kambo ni mbaya sana.
Hadi nimelia jaman
Pole 😭😭
@@MOVIEMPYA Asante musichelewe mwendelezo basi
Mama una loo mbaya kama sura yako
😭😭😭
Amuonei hata huruma
Wanawake jamani!!!!!! Ajuaye ni Mungu
Mama wa kambo namchukia sana aise!!!
Jaman wa mama wengine daa😮
Ww mama mungu atakuhukumu mbwa ww
Hii move inahuzunishaa sana juu ya haka katoto kanavyoteseka na huyu limama anavyomtesaa
Cpoa aki
We mam umeza kwli
😭 Yani huruma sana
Huyu tasa
Uyu hajaenda leb wallah lazim mung atamlan jaman daaa machoz yananitok
Hapana yawezekana amezaa ilatabiya yake sio zr hawez kukaa namtoto wakambo huyu dada
Duuh!! Haya maisha bhn weachatu, ila mm siwezi kukaa na mama wakambo, maisha mateso ivi mpakaunamkumbuka mama yako mzazi 😢😢😢😢
Siwezi kutesa mtoto wa mwanamke mwenzangu Mwenyezi Mungu nisaidie kwahili 😓😓
Mhu
Jamani
Huyu
Mama
Ninaona
Aseee
Kwakweli uyu ni mama anaye jua uchungu wa mtoto, uyu mwanamke alaniwe kabisa
Wamama jameni aiii
Kwa kweli mama wa kambo si mama
Daaah mama wakambo sio mama kweli
Wamama tulee watoto wetu tulio watafuta leba tumuombe MUNGU atupe Uzima angalau wajitegemee hata mama angekuwa na watoto wengi ila mtoto wa kambo lazima amubaguwe kwani moyo huwa hautaki ila anajitahidi sana kuulazimisha hiyo ni nature ya shetani kwa mama 😭😭😭wa pili
Wewe mama Mungu akusamehetu mana m
Mwana Muke mubaya Saaana, mama mtesi
Tunakosea wamama kidogo tu kamulilie mama ako kabulini da inauma sana
Tenasana
Daah jamn sis wanawake tunann kwan
😭😭😭😭😭 my mom mjalie maisha mema.amin
Mama wa kambo bure kabisa 😂😂😂😂😂😂
Nimeyakataa haya maisha ya unyonge na pia mateso.Mungu nisaidie nisiwai tesa mtoto wa wenyewe au wetu.😂😂😂.
Jamani sio wote hata mimi nina watoto wa wili wanaume wangu lakini sijawahi fanya hivyo siowote
Eeee mwenyez mungu nakuomba uniweke niwalee watt wangu hadi wafikie umri wa kujitafutia 🙏🙏🙏🙏 😢😢😢😢 sisi binadam tumeumbwa kwa kutofautiana sanaa dah 😢😢😢
Mama mbaya sana
Jaman wazaz weng tuwe wavumiliv kwenye ndoa zet
Yaliza aki 😢😢😢❤❤
Yani acha tu 😭
We mwanamke shetan kabisa
Mama wa kambo sio wote mimi mwenyew napenda mama wa kambo kuliko chochote
Acha mungu akuonekanie
😭😭😭😭 mungu wakumbuke watoto wanaopitia mazingila magumu
Weeeeeee uyooo mama au nn
mama wakambo anasahau kama tunasafali yakwenda mbingini shetan anamtumia haswaaa
Mshenzi sana we mwanamke
We hatakama haujazaa kuwa mstarab kwa watoto wawezi kwni haujuw baadae😢