KAFIA GHETTO FULL MOVIE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 208

  • @AnithaIrankunda
    @AnithaIrankunda 9 місяців тому +18

    Jamani Dada yake Bhailam mwamba sana Yani anajuwa Kuigiza saaana Hongera Sana dada yake bhailam❤❤❤

  • @DinahNish-bm9sr
    @DinahNish-bm9sr 10 місяців тому +53

    Waliopenda hii movie na kuenjoy tujuane😂😂😂😂

  • @MajidKarama-f7c
    @MajidKarama-f7c 9 місяців тому +10

    Bravo ukweli movie yenyewe imepangika na hata waigizaji wote wake sawa nimewakubali. Kubwa kutoka kwangu nawaombea Mungu azidi kuwapa hikma kwa kazi yenu ya uigizaji. Bravo bhailam.

  • @Zulpher-d1x
    @Zulpher-d1x 7 місяців тому +5

    Daaa reachel upo vzri aky nmependa ushauri wko kwa ma ex wa kkako aky umecheza part Kam ya mma Mungu akutie nguvu uzidi kukuza kipaji chko

  • @estermtai5491
    @estermtai5491 3 місяці тому +3

    Dada wa Bailam amecheza uhusika wake vizur sana, hongera kwake na wahusika wote, kaz nzuri

  • @harrysonwaya6517
    @harrysonwaya6517 4 місяці тому +10

    Movie iko safi Sana ..👍🏻🥰ila niulize tu "yani team nzima mpaka producer hakuona Bhailam kakosea ELFU HAMSINI KAZIITA FIFTEEN THOUSAND NA SIO FIFTY THOUSAND....KWELI?😂😂🙌🙌😂😂

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 9 місяців тому +7

    Nachukia wanawake wa kuambia hawa viumbe wa mikia ya chini niko tayari nikufanyie chochote pumbavu sana ndio mana awataki majukumu waume yamezowea kulelewa masingo madha wengi kwa huu ujinga.. Nawachukiaaaa sana.

  • @Ushindipeter
    @Ushindipeter 10 місяців тому +13

    Léo Niko wakwanza Ku comenti naombeni liké zangu 😂🇨🇩🇨🇩

  • @awadhmbarak9451
    @awadhmbarak9451 9 місяців тому +6

    Mm nimependa Sana huyu dadako kama hana mume naomba kuwa mumewe wahalali nikoserious 💯💯💯💯

  • @FrankSanga-z6y
    @FrankSanga-z6y 9 місяців тому +7

    Bailam ww noma hiii story kali kali broooo❤❤❤❤❤❤❤❤ it

  • @AnithaIrankunda
    @AnithaIrankunda 9 місяців тому +14

    Jamon jamon Mariam mwamba saaaana❤❤❤ Hongera Kwake Mariam anajuwa sana kuigiiza 😂❤❤❤

  • @jengenimsuva377
    @jengenimsuva377 8 місяців тому +6

    Ndikola ngolo nene uuwii mhehe ameweza kinyamaa

  • @yasiryusra3333
    @yasiryusra3333 9 місяців тому +7

    Aise huwa sipendi hizi bongo movie ila hiii nipoteza muda wangu kutazama Upo vzr sana kka story kali mnoooo unyama

  • @Jaydannychawaboy1.
    @Jaydannychawaboy1. 10 місяців тому +12

    Wapi like za bhailam simba jamani 😢😢😢😢❤❤❤😅😅

  • @RoseGraceMatutu
    @RoseGraceMatutu 9 місяців тому +9

    Jamani kuna mengi ya kujifunza katika mchezo huu. Hongereni

  • @pur-ple-girll-304
    @pur-ple-girll-304 10 місяців тому +8

    Muhehee umeupiga mwingii hum 😊chukua maua yako dada bhailam

  • @SalimOmar-x5s
    @SalimOmar-x5s 10 місяців тому +8

    Bailam umetisha sanaa

  • @HadijaSalum-kf6gy
    @HadijaSalum-kf6gy 9 місяців тому +3

    Jamn mungu awabariki wadada wote duniani,huyu dada namfananisha na dada angu jmn

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 9 місяців тому +4

    Baba mapacha ameupiga mwingi🎉 ati anawachana😂😂😂...iyaka naabudu 🙌 🙌

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 9 місяців тому +7

    Nice mashaa allah wallahi hakuna part 2 plz from uk 🇬🇧

  • @LightnessFred
    @LightnessFred 9 місяців тому +6

    🤣🤣🤣🤣🤣mmenifurahisha kwel apo kweny kudaka ka waindi alooh bailam umepigaje apoo

  • @sharifalukindo7669
    @sharifalukindo7669 8 місяців тому +4

    Movie nzuri mnooo nimempenda gumbo buana. Anaigiza kulinga a na uhakisia

  • @celifpower4993
    @celifpower4993 9 місяців тому +5

    Bongo movie ilio potea taratibu imeanza kurudi

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_ 9 місяців тому +4

    KAZI NZURI SANA 🎉

  • @salmambeyu5046
    @salmambeyu5046 9 місяців тому +8

    Jamani Fatuma ni mpolee🤭😂😂😂

  • @Ssr.0
    @Ssr.0 9 місяців тому +9

    Asanteni sana movie nzuri sana❤👏

  • @FavourTemu-cm6hp
    @FavourTemu-cm6hp 5 місяців тому +1

    Kazi nzuri sana hongera sana bhailam ila recho nakupenda sana maombi mengi kwako upate tunzo maana unajuwaa na unajuwatenaa😘😘

  • @Blizzycode
    @Blizzycode 9 місяців тому +6

    Dada wa bailamu nimempenda ata fika mbali

  • @FrankSanga-z6y
    @FrankSanga-z6y 9 місяців тому +4

    Nai enjoy 😂😅😢 there are everythings from it

  • @DanielLolima-b4h
    @DanielLolima-b4h 4 місяці тому +1

    Filam zuri bailam ila kosa kumuuw uyo biti mapema wakati mimi moja napenda kumuona sana nampenda isiya zake

  • @aishasoloka5616
    @aishasoloka5616 10 місяців тому +5

    Piga kelele kwa baba mariam 😂😂😂😂😂

  • @Cambarada
    @Cambarada 9 місяців тому +6

    2:00:37 😂😂😂huyu ndio kaibeba hii movie ameua sana na hiz moments zake za kusini

  • @richardmisango92
    @richardmisango92 9 місяців тому +7

    Kaibuka mkojan mwingine 😂😂😂😂

  • @GakoweAbubakari
    @GakoweAbubakari 9 місяців тому +6

    ❤❤❤❤❤❤ nko sawa

  • @NoorPrince-v1v
    @NoorPrince-v1v 9 місяців тому +7

    Hii movie kali sanaaaa😂😂😂

    • @leeobite2507
      @leeobite2507 5 місяців тому

      Alafu inamafundisho saaana

  • @FelistMethod
    @FelistMethod 6 місяців тому +1

    Filamu ni kali hongereni wote mmeua😄🙌,,,ila my fave character ni dada wa Bairam kajua kuvaa uhusika kweny kila scene🔥

  • @TheresiaNdabagenga
    @TheresiaNdabagenga 10 місяців тому +8

    Nmekuwa wa kwanza 🥰

  • @Japhethniyogusenga-pl9xq
    @Japhethniyogusenga-pl9xq 9 місяців тому +5

    E noma sana munaigiza uhalisia wamambo thanks

  • @NoorPrince-v1v
    @NoorPrince-v1v 9 місяців тому +4

    Jmn huyu dada wa moto😂😂😂khaaaa

  • @MWEGOHA
    @MWEGOHA 9 місяців тому +4

    Kazi nzurii sanaa, imenifanya nianze kuipenda tena Bongo Movie

  • @AbdulRahman-o3p8o
    @AbdulRahman-o3p8o 10 місяців тому +5

    🎉 ndio kbs

  • @UmDonia-i8w
    @UmDonia-i8w 10 місяців тому +6

    Bailam umeyakanyaga😅😅😅

  • @mamasalhat
    @mamasalhat 9 місяців тому +6

    Shepu kama bamia😂😂😂

  • @CatherineJohnson-y2h
    @CatherineJohnson-y2h 8 місяців тому +3

    Ila Bailham umetupiga kwenye fifteen sauthan 😂😂😂..bt well done 👍🔥♥️

  • @nasoromarua-xi5lz
    @nasoromarua-xi5lz 7 місяців тому +2

    Jamani hii kitu tam Sana nilikua nikiipitatu

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 9 місяців тому +4

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂😂😂nimecheka eti we andazi nipishe daa munewwza wapenzi

  • @RehemaFoum
    @RehemaFoum 9 місяців тому +7

    Kazi nzuri sana

  • @shugunderitu8999
    @shugunderitu8999 9 місяців тому +8

    Kenyan men, kimbieni TZ, true love exists😂😂😂😂

  • @AMBROSSThadeo
    @AMBROSSThadeo 4 місяці тому +1

    Bhailam ww ni kanumba aliye baki unajua sana mzee

  • @NellyMwangilwa
    @NellyMwangilwa 9 місяців тому +5

    Maskini dadake bailaam 😢

  • @HusseinKagabo
    @HusseinKagabo 6 місяців тому +1

    Afu baba Mariam mbona anapenda sn neno ndo uzuri🤣🤣🤣

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 7 місяців тому +2

    ❤❤ vieye maliamu alikua muke mwema sasa ndoi huyu nipeni link

  • @AdelfinoFocasJoao
    @AdelfinoFocasJoao 7 місяців тому +1

    Njooni Mozambique 🇲🇿 tunawapenda sana

  • @winiemwalongo8779
    @winiemwalongo8779 6 місяців тому +1

    Huyu dada ake bhailamu ni kabila gani nimeona kasema nikola ingolo unene uwiiiiii😂😂😂😂

    • @nasraAl-b1w
      @nasraAl-b1w 2 місяці тому

      Mhehe huyo😂😂😂

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 9 місяців тому +4

    Ongela sana kaka

  • @khadijaomar7529
    @khadijaomar7529 8 місяців тому +1

    Hu polisi hatari maswali yote anayauliza yote kwa mara moja mhojiwa hata hajui atajibu swali lipi😂😂😂

  • @IssaKaparama
    @IssaKaparama 8 місяців тому +2

    ❤❤❤❤dah aisee bonge moja la movie 🔥🔥🔥🔥😊

  • @DavidFashionsalon
    @DavidFashionsalon 9 місяців тому +4

    Nice movie South Africa

  • @Najdi358
    @Najdi358 10 місяців тому +8

    Hicho kilio cha huyo baba ndio kinaniacha hoi😂😂

  • @GHgh-hq3zj
    @GHgh-hq3zj 10 місяців тому +6

    Saf sana ❤❤❤😂😂😂

  • @Officialrockzompa
    @Officialrockzompa 10 місяців тому +38

    Likes zenu jamn Leo nimewah hata likes 10 tuu🥲🥲💜💜💜💜

    • @wokovu9387
      @wokovu9387 7 місяців тому +5

      Mimi hapa 😊😊🫶

    • @EmanuelSomi
      @EmanuelSomi 6 місяців тому +1

      Hizo like unazipeleka.wap

    • @alphamaginyo7461
      @alphamaginyo7461 5 місяців тому +2

      Kipindi tamu na mafunzo tele namtaka dadake bhailam nzuri sana

    • @shamsiyasalim6866
      @shamsiyasalim6866 5 місяців тому

      Bairam wachana na watoto wa wawatu utakuja kwenda gerezani hao wasichana ni Pacha

    • @happiehappier8962
      @happiehappier8962 4 місяці тому +1

      🤔

  • @rehemachabanga824
    @rehemachabanga824 8 місяців тому +1

    picha nzuri sana ...keep it up Bhailam and team

  • @charlesmlonga2320
    @charlesmlonga2320 9 місяців тому +2

    Broo unajua sana sana sana

  • @dismascosmas-e6q
    @dismascosmas-e6q 8 місяців тому +1

    bailam hao madada mapacha aise wamefanana sana na dem wangu bro

  • @GakoweAbubakari
    @GakoweAbubakari 9 місяців тому +3

    Iyi movie nitam Sana bro

  • @ElyKanzoka-dh1vg
    @ElyKanzoka-dh1vg 10 місяців тому +4

    Unyama sana bailam

  • @johnbostonodhiambo
    @johnbostonodhiambo 8 місяців тому

    Very nice movie, maturely acted, Bhailum you did well. Excellent

  • @MamaMengi
    @MamaMengi 2 місяці тому

    Dada bailam kweli anajuw kuigiza yuko nalia bila chenga🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏🔥

  • @mwanalimasaid2368
    @mwanalimasaid2368 9 місяців тому +4

    😂😂😂😂😂😂jamn bailam

  • @AishaHaguyoo
    @AishaHaguyoo 9 місяців тому +3

    Ndio uzuri

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 5 місяців тому +1

    Bailam we mandazi kweli maana sio kwa jicho hilo dada anaomba wewe unamcheka

  • @HammyBway
    @HammyBway 6 місяців тому +1

    Utengwee bro unajua sana

  • @elinamwakyusaaiseeniatalis3462
    @elinamwakyusaaiseeniatalis3462 7 місяців тому +1

    Umetisha bhailam

  • @sadcome3213mapenzi
    @sadcome3213mapenzi 10 місяців тому +22

    Poa mm wasaba Leo wale wakumi Bora like zangu na mm

    • @vaghoghontweki9827
      @vaghoghontweki9827 10 місяців тому +1

      Ushamba nao tatizo....penda vya bure kuna siku utazilipa

    • @sadcome3213mapenzi
      @sadcome3213mapenzi 10 місяців тому

      @@vaghoghontweki9827 usinfrahishe 😂😂😂😂

    • @sadcome3213mapenzi
      @sadcome3213mapenzi 9 місяців тому

      @@vaghoghontweki9827 nambie wataka nkulipe ngapi uko nashida ww aaah

    • @lawrencelawrence1677
      @lawrencelawrence1677 9 місяців тому +1

      Kabisa man I really love this movie I'm waiting for Kenya

  • @JenniferMbulage-jy6br
    @JenniferMbulage-jy6br 7 місяців тому +2

    Naomb namb za gumbo bhailam

  • @CarolyneLiona
    @CarolyneLiona 4 місяці тому +1

    😅😅😅😅kumbe bhailam unamacho kubwa ukifaint😅😅😅

  • @alidzenze716
    @alidzenze716 9 місяців тому +4

    Good job bro

  • @AsiriSimuchimba
    @AsiriSimuchimba 5 місяців тому +1

    Like kwa bailamu na team nzima

  • @eliudyahazi9273
    @eliudyahazi9273 Місяць тому

    Kwenye hii movie kuna mtu kacheza vizuri sana kama dada ake Bairam nimependa sana. Natamani kumpa zawadi, kafanya vizuri sana

  • @alish2182
    @alish2182 8 місяців тому +2

    Mwendelezo jameni❤❤❤❤❤❤

  • @Tesocomedian
    @Tesocomedian 9 місяців тому +6

    Good job bro subscribe

  • @Jackline-b5u
    @Jackline-b5u 9 місяців тому +4

    We andazi😂

  • @DinahNish-bm9sr
    @DinahNish-bm9sr 10 місяців тому +4

    Inachekesha lon

  • @yagakamsela
    @yagakamsela 8 місяців тому +2

    😮bailam usie sikia

  • @abubakarahmed7997
    @abubakarahmed7997 9 місяців тому +4

    Nice movie

  • @FatmaMussa-n7g
    @FatmaMussa-n7g 9 місяців тому +3

    Maryan kiukwel unajua san nikupe maua yako

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 6 місяців тому

    dada wa bhailam nakupa 💯🥰 daah uko vzr dada 🥰❤️

  • @ClaudiaNyalusi
    @ClaudiaNyalusi 5 місяців тому +1

    Dada hongera unasitahiri zawad❤❤❤❤❤❤

  • @johnfrancknzojibwami2779
    @johnfrancknzojibwami2779 7 місяців тому +1

    Film unayianza kui angalia 19h usiku unaisha 5h za asubuhi dhuuu😮😮😮😮😊

  • @factmedia254
    @factmedia254 4 місяці тому +1

    Top actor is sister bhilam

  • @ivyndiwa2554
    @ivyndiwa2554 9 місяців тому +6

    ❤❤❤❤❤❤🇰🇪

  • @AsiaSaid-tq4yw
    @AsiaSaid-tq4yw 5 місяців тому +1

    Mzee wa ndiyo uzuriii nakukubal

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 5 місяців тому +1

    Wewe kaka huyo ameuliwa na mke wa huyo rafiki yako ndie aliye uwa na akatoroka juweni lakufanya ilamke wa rafiki yako ndie muuwaji😊

  • @ibrahimwario3177
    @ibrahimwario3177 9 місяців тому +3

    Huyu Jamaa gumbo anafanana na dr. Ndlozi

    • @Cambarada
      @Cambarada 9 місяців тому

      Dr Ndlozi ndio nan

    • @ibrahimwario3177
      @ibrahimwario3177 9 місяців тому

      @@Cambarada Dr.Ndlozi ni mbunge wa Afrika Kusini kutoka chama cha EFF

  • @IreneMwenda-nl2hu
    @IreneMwenda-nl2hu 9 місяців тому +1

    Jmn lecho nampend bure Ila mariamu ukivaa madela Bila kujilemb unakuwa cute Ila ukivaa hivy vit vyak mmmh pia Naomi Sula ya mjomba Ila mnafany. Vzr

  • @AthumaniMsangi-f4i
    @AthumaniMsangi-f4i 2 місяці тому

    Iko poa sanaaaaaa ila bwana mkubwa bailam alikosea kitu kidogo fifteen

  • @AsiaSaid-tq4yw
    @AsiaSaid-tq4yw 5 місяців тому +1

    Bailam upo vizur napend ulivyoigiz

  • @NoorPrince-v1v
    @NoorPrince-v1v 9 місяців тому +3

    ❤bhailam❤❤❤

  • @mwanajumaraso4637
    @mwanajumaraso4637 9 місяців тому +4

    ❤❤❤❤❤

  • @SammyNyanza
    @SammyNyanza 7 місяців тому

    Dada anawenge😅😅😅😅😅😅😅