Bravo ukweli movie yenyewe imepangika na hata waigizaji wote wake sawa nimewakubali. Kubwa kutoka kwangu nawaombea Mungu azidi kuwapa hikma kwa kazi yenu ya uigizaji. Bravo bhailam.
Movie iko safi Sana ..👍🏻🥰ila niulize tu "yani team nzima mpaka producer hakuona Bhailam kakosea ELFU HAMSINI KAZIITA FIFTEEN THOUSAND NA SIO FIFTY THOUSAND....KWELI?😂😂🙌🙌😂😂
Nachukia wanawake wa kuambia hawa viumbe wa mikia ya chini niko tayari nikufanyie chochote pumbavu sana ndio mana awataki majukumu waume yamezowea kulelewa masingo madha wengi kwa huu ujinga.. Nawachukiaaaa sana.
Jamani Dada yake Bhailam mwamba sana Yani anajuwa Kuigiza saaana Hongera Sana dada yake bhailam❤❤❤
Kumbe sio mimi peke yangu nilieona😊😊
Waliopenda hii movie na kuenjoy tujuane😂😂😂😂
tujuanie hapa hapa
Me hapa hivo
@@DinahNish-bm9sr m͜͡r͜͡ B͜͡h͜͡a͜͡l͡i͜͡l͜͡a͜͡m͜͡
n͜͡i͜͡c͜͡e͜͡ o͜͡n͜͡e͜͡
Bravo ukweli movie yenyewe imepangika na hata waigizaji wote wake sawa nimewakubali. Kubwa kutoka kwangu nawaombea Mungu azidi kuwapa hikma kwa kazi yenu ya uigizaji. Bravo bhailam.
Daaa reachel upo vzri aky nmependa ushauri wko kwa ma ex wa kkako aky umecheza part Kam ya mma Mungu akutie nguvu uzidi kukuza kipaji chko
Dada wa Bailam amecheza uhusika wake vizur sana, hongera kwake na wahusika wote, kaz nzuri
Movie iko safi Sana ..👍🏻🥰ila niulize tu "yani team nzima mpaka producer hakuona Bhailam kakosea ELFU HAMSINI KAZIITA FIFTEEN THOUSAND NA SIO FIFTY THOUSAND....KWELI?😂😂🙌🙌😂😂
😂😂
Nachukia wanawake wa kuambia hawa viumbe wa mikia ya chini niko tayari nikufanyie chochote pumbavu sana ndio mana awataki majukumu waume yamezowea kulelewa masingo madha wengi kwa huu ujinga.. Nawachukiaaaa sana.
Léo Niko wakwanza Ku comenti naombeni liké zangu 😂🇨🇩🇨🇩
Mm nimependa Sana huyu dadako kama hana mume naomba kuwa mumewe wahalali nikoserious 💯💯💯💯
Bailam ww noma hiii story kali kali broooo❤❤❤❤❤❤❤❤ it
Jamon jamon Mariam mwamba saaaana❤❤❤ Hongera Kwake Mariam anajuwa sana kuigiiza 😂❤❤❤
@@AnithaIrankunda hi story kali sana
Ndikola ngolo nene uuwii mhehe ameweza kinyamaa
Aise huwa sipendi hizi bongo movie ila hiii nipoteza muda wangu kutazama Upo vzr sana kka story kali mnoooo unyama
Zama zimeChange sana
Wapi like za bhailam simba jamani 😢😢😢😢❤❤❤😅😅
Jamani kuna mengi ya kujifunza katika mchezo huu. Hongereni
Kwa wifi kama huyo ujipange
Muhehee umeupiga mwingii hum 😊chukua maua yako dada bhailam
Nachenee utindaa
Bailam umetisha sanaa
Jamn mungu awabariki wadada wote duniani,huyu dada namfananisha na dada angu jmn
Baba mapacha ameupiga mwingi🎉 ati anawachana😂😂😂...iyaka naabudu 🙌 🙌
Nice mashaa allah wallahi hakuna part 2 plz from uk 🇬🇧
🤣🤣🤣🤣🤣mmenifurahisha kwel apo kweny kudaka ka waindi alooh bailam umepigaje apoo
Movie nzuri mnooo nimempenda gumbo buana. Anaigiza kulinga a na uhakisia
Bongo movie ilio potea taratibu imeanza kurudi
KAZI NZURI SANA 🎉
Jamani Fatuma ni mpolee🤭😂😂😂
Asanteni sana movie nzuri sana❤👏
Kazi nzuri sana hongera sana bhailam ila recho nakupenda sana maombi mengi kwako upate tunzo maana unajuwaa na unajuwatenaa😘😘
Dada wa bailamu nimempenda ata fika mbali
Nai enjoy 😂😅😢 there are everythings from it
Filam zuri bailam ila kosa kumuuw uyo biti mapema wakati mimi moja napenda kumuona sana nampenda isiya zake
Piga kelele kwa baba mariam 😂😂😂😂😂
2:00:37 😂😂😂huyu ndio kaibeba hii movie ameua sana na hiz moments zake za kusini
Kaibuka mkojan mwingine 😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤ nko sawa
Hii movie kali sanaaaa😂😂😂
Alafu inamafundisho saaana
Filamu ni kali hongereni wote mmeua😄🙌,,,ila my fave character ni dada wa Bairam kajua kuvaa uhusika kweny kila scene🔥
Nmekuwa wa kwanza 🥰
E noma sana munaigiza uhalisia wamambo thanks
Jmn huyu dada wa moto😂😂😂khaaaa
Kazi nzurii sanaa, imenifanya nianze kuipenda tena Bongo Movie
🎉 ndio kbs
Bailam umeyakanyaga😅😅😅
Shepu kama bamia😂😂😂
Ila Bailham umetupiga kwenye fifteen sauthan 😂😂😂..bt well done 👍🔥♥️
Jamani hii kitu tam Sana nilikua nikiipitatu
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂😂😂nimecheka eti we andazi nipishe daa munewwza wapenzi
Kazi nzuri sana
Kenyan men, kimbieni TZ, true love exists😂😂😂😂
Bhailam ww ni kanumba aliye baki unajua sana mzee
Maskini dadake bailaam 😢
Afu baba Mariam mbona anapenda sn neno ndo uzuri🤣🤣🤣
❤❤ vieye maliamu alikua muke mwema sasa ndoi huyu nipeni link
Njooni Mozambique 🇲🇿 tunawapenda sana
Huyu dada ake bhailamu ni kabila gani nimeona kasema nikola ingolo unene uwiiiiii😂😂😂😂
Mhehe huyo😂😂😂
Ongela sana kaka
Hu polisi hatari maswali yote anayauliza yote kwa mara moja mhojiwa hata hajui atajibu swali lipi😂😂😂
❤❤❤❤dah aisee bonge moja la movie 🔥🔥🔥🔥😊
Nice movie South Africa
Hicho kilio cha huyo baba ndio kinaniacha hoi😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂 mwamanya bhantu
Saf sana ❤❤❤😂😂😂
Likes zenu jamn Leo nimewah hata likes 10 tuu🥲🥲💜💜💜💜
Mimi hapa 😊😊🫶
Hizo like unazipeleka.wap
Kipindi tamu na mafunzo tele namtaka dadake bhailam nzuri sana
Bairam wachana na watoto wa wawatu utakuja kwenda gerezani hao wasichana ni Pacha
🤔
picha nzuri sana ...keep it up Bhailam and team
Broo unajua sana sana sana
bailam hao madada mapacha aise wamefanana sana na dem wangu bro
Iyi movie nitam Sana bro
Unyama sana bailam
Very nice movie, maturely acted, Bhailum you did well. Excellent
Dada bailam kweli anajuw kuigiza yuko nalia bila chenga🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏🔥
😂😂😂😂😂😂jamn bailam
Ndio uzuri
Bailam we mandazi kweli maana sio kwa jicho hilo dada anaomba wewe unamcheka
Utengwee bro unajua sana
Umetisha bhailam
Poa mm wasaba Leo wale wakumi Bora like zangu na mm
Ushamba nao tatizo....penda vya bure kuna siku utazilipa
@@vaghoghontweki9827 usinfrahishe 😂😂😂😂
@@vaghoghontweki9827 nambie wataka nkulipe ngapi uko nashida ww aaah
Kabisa man I really love this movie I'm waiting for Kenya
Naomb namb za gumbo bhailam
😅😅😅😅kumbe bhailam unamacho kubwa ukifaint😅😅😅
Good job bro
Like kwa bailamu na team nzima
Kwenye hii movie kuna mtu kacheza vizuri sana kama dada ake Bairam nimependa sana. Natamani kumpa zawadi, kafanya vizuri sana
Mwendelezo jameni❤❤❤❤❤❤
Good job bro subscribe
We andazi😂
Inachekesha lon
😮bailam usie sikia
Nice movie
Maryan kiukwel unajua san nikupe maua yako
dada wa bhailam nakupa 💯🥰 daah uko vzr dada 🥰❤️
Dada hongera unasitahiri zawad❤❤❤❤❤❤
Film unayianza kui angalia 19h usiku unaisha 5h za asubuhi dhuuu😮😮😮😮😊
Top actor is sister bhilam
❤❤❤❤❤❤🇰🇪
Mzee wa ndiyo uzuriii nakukubal
Wewe kaka huyo ameuliwa na mke wa huyo rafiki yako ndie aliye uwa na akatoroka juweni lakufanya ilamke wa rafiki yako ndie muuwaji😊
Huyu Jamaa gumbo anafanana na dr. Ndlozi
Dr Ndlozi ndio nan
@@Cambarada Dr.Ndlozi ni mbunge wa Afrika Kusini kutoka chama cha EFF
Jmn lecho nampend bure Ila mariamu ukivaa madela Bila kujilemb unakuwa cute Ila ukivaa hivy vit vyak mmmh pia Naomi Sula ya mjomba Ila mnafany. Vzr
Iko poa sanaaaaaa ila bwana mkubwa bailam alikosea kitu kidogo fifteen
Bailam upo vizur napend ulivyoigiz
❤bhailam❤❤❤
My 🎉🎉❤
❤❤❤❤❤
Dada anawenge😅😅😅😅😅😅😅